Yaa Hayyu Yaa Qayyum! Tunakuomba mpe afya njema, mzidishie ilmu yenye manufaa na uislam, msamehe anapokosea,msamehe makosa yake pamoja na Wazazi wake,ksha mjaalie mwisho mwema yeye pamoja na sisi na waislamu wote. Allahumma Aamiyn
Hakika hicho ni kipaji Sheikh ulichoruzukiwa na Allah na ninaamini miongoni mwetu wafatiliaji tutafanikiwa kufata mafunzo hayo ili tuwe na matendo mema, na Mwenyezi Mungu akulipe khair inshallah
Shekhe na mkubali Sana hapo alipo sema كَانَ إِذَا بَلَغَ النَّبِيَّ عن الرجل الشيئُ kapita Mara ya kwanza kwa dhwamma ya yayee kwenye tamko la nabiyya lakini akaona uuh hii مفعول مقدم akawekea fatha yake kiufaswaha na ile الشيئُ akairibia dwamma akaipa haki yake maashaallah baarakallah fiika
Yaa rabbi mpe afya ilio Bora sheikh wetu na umpe umri mrefu wenye baraka ndani yake amiin yaa rabbal aalaamiin
Aamiin
Amiin yaa rabb 🤲😍
AMEEN YAA RABBI 🤲🏼
Amiin ya rabb
Allah mjaalie sheikh huyu umri mrefu na afya tele🤲🏻
Yaa Hayyu Yaa Qayyum! Tunakuomba mpe afya njema, mzidishie ilmu yenye manufaa na uislam, msamehe anapokosea,msamehe makosa yake pamoja na Wazazi wake,ksha mjaalie mwisho mwema yeye pamoja na sisi na waislamu wote. Allahumma Aamiyn
INSHALLAH ALLAH (SW) AKUJALIE KILA LENYE KHERI SHARI KUEPUKA NA JAMIIII ISLAM AMIIIIIIIIIIIIIIIIIIIINNNNNNNNNNNNNN
Sheikh Othman Maalim nakusikia kutoka Marekani., na jinsi unavyotoa hutba wallahy hata asojua kiswahili husikia raha, mwenyeezi azidi kuku barik. INSHAALLAH
Maa Shaa Allah Mungu akuhifadhi akubariki utupe elimu zaidi Ameen Yaarabi
Hakika hicho ni kipaji Sheikh ulichoruzukiwa na Allah na ninaamini miongoni mwetu wafatiliaji tutafanikiwa kufata mafunzo hayo ili tuwe na matendo mema, na Mwenyezi Mungu akulipe khair inshallah
Yata rabbi mlipe kheri na umfanyiea wepesi sheikh pia umjaliea Afya Bora na mwisho mwema Allahuma amin
Allah mpe maisha marefu aendlee kutufundisha dini
Alhamdullillah, jazakallah kheri shekh wetu, Allah akusimamie kwa kl hatua ya maisha yako.
AMEEN YAARABBI
Mashaallah othman maalim mungu aqujalie umr mrefu amiin
Allah akuhufadhi na kila ain la ubaya shem wangu Allah akuhifadhie wtt wako wawe na upendo baina yao.thumma ameen
Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah jaza khalah
MaashaAllah. Allah akujaalie uwe miongon mwa waja wema InshaaAllah pamoja na wote wanaokuskiliza.
Allahumma swalli wasallim wabarik alayhi
Naam swahih ya sheykh
Allah amuhifadhi shk wetu
MASHAALLAH, JAZZAKALLAH kheir . Bega kwa bega mpaka Firdaus
Jazakallah khayran
Masha Allah ya Othman
Sichoki kukusikiliza Sheikh wangu kipenzi
Mashaa Allah, Barakallahu fiyk yaa Shaikh
Jazakallah kheir fiddunia wal-aakhira
Allah aendelee kumlinda
Masha Allah
Mashallah
Mshallah jazakallah kheir
Allah ysalmak 🤲🏾🙏
Ameen inshallah
Karibu swalahu tv ili uwongeze kuelimika Katika din swalahu tv ipo kwaajiliyako muislam
Amiin
Shekhe na mkubali Sana hapo alipo sema
كَانَ إِذَا بَلَغَ النَّبِيَّ عن الرجل الشيئُ
kapita Mara ya kwanza kwa dhwamma ya yayee kwenye tamko la nabiyya lakini akaona uuh hii مفعول مقدم akawekea fatha yake kiufaswaha na ile الشيئُ akairibia dwamma akaipa haki yake maashaallah baarakallah fiika
Mbona maulid yanatiwa music hata tukitamani kusikiliza hatuwezi
Tafuta elimu kwanza
Maneno matamu huchoki kusikiliza
Masha Allah