Kwa nini wewe ndugu unaweka video kama hii ya mawaidha ya dini tena ya kiislamu halafu pia unaichanganya na muziki ndani yake? Huoni kama ni kosa hili? Sisi hamu yetu ni kusikiliza haya mawadha mazuri. Muziki hauna faida na wewe unafahamu vizuri. Nakuomba ondoa muziki katika video zako ili wasikilizani wafaidike na maneno ya shekhe. Ahsante.
Shk mazinge yy anajua lugha ya mijadala ni lugha ngumu mno kuliko lugha nyengine ndio maana unaona kama anaropoka na yy analingalia dini yetu dhidi ya dini nyengine na ustadh othman maalim analugha ya upendo ya kubembeleza ya watu walio kwenye njia sahihi na kuwavutia uzuri wa dini yetu kwa hiyo kila mmoja anacheza sehemu yake mashaallah wote wako vzr. Mazinge anafanya kazi ya kuwaita wasiowaislam kwenye dini ya haki halafu othman maalim anawapa dawaa ya dini yetu mashallah mashaallah
Mashaallah sukuhura sana kwa kisa Chenye mafunzo mazuri
Mashallah
Mashaallah
Kisa mashaallah
Assalamu aleykum ZVP online. Masha Allah mawaaidha matamu na ya kuhuzunisha sana. Ningependa kupata hiyo background sound sana.
Groop
Shukra sheikh
MaashaAllah
Kisa kizuri
Kwa nini wewe ndugu unaweka video kama hii ya mawaidha ya dini tena ya kiislamu halafu pia unaichanganya na muziki ndani yake? Huoni kama ni kosa hili? Sisi hamu yetu ni kusikiliza haya mawadha mazuri. Muziki hauna faida na wewe unafahamu vizuri. Nakuomba ondoa muziki katika video zako ili wasikilizani wafaidike na maneno ya shekhe. Ahsante.
Nifoadiwee na Mimi shekhe
Mwambie mazinge ajifunze.kwako si kulopokalopoka tu
Eshima niyalazima kwakila mtu zungumza kwaluga nzuli
Sema astafiruu allaa mtake msamaha mung wako sheh mazing anaropokwa wakat anaeneza uislamu dini y kwl n dini y haki
Kwakeki
Mazinge si mropokaji,ila anaonekana hivyo kwa sababu anawarudisha waliopotea kundini,Mazinge chapa kazi,waokoe waliopotea.
Shk mazinge yy anajua lugha ya mijadala ni lugha ngumu mno kuliko lugha nyengine ndio maana unaona kama anaropoka na yy analingalia dini yetu dhidi ya dini nyengine na ustadh othman maalim analugha ya upendo ya kubembeleza ya watu walio kwenye njia sahihi na kuwavutia uzuri wa dini yetu kwa hiyo kila mmoja anacheza sehemu yake mashaallah wote wako vzr. Mazinge anafanya kazi ya kuwaita wasiowaislam kwenye dini ya haki halafu othman maalim anawapa dawaa ya dini yetu mashallah mashaallah
Mashallah