SHK OTHMAN MAALIM: VISA VYA MITUME | NABII YUNUS NA ZAKARIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 июл 2021
  • SHK OTHMAN MAALIM: VISA VYA MITUME | NABII YUNUS NA ZAKARIA

Комментарии • 18

  • @roseoman7543
    @roseoman7543 Год назад +2

    Mashaallah sukuhura sana kwa kisa Chenye mafunzo mazuri

  • @user-tk2vt1mf6t
    @user-tk2vt1mf6t 4 месяца назад

    Mashallah

  • @maarufabdul128
    @maarufabdul128 11 месяцев назад

    Mashaallah

  • @zaifa-xl9yk
    @zaifa-xl9yk Год назад

    Kisa mashaallah

  • @sirlymdaawahproject5998
    @sirlymdaawahproject5998 2 года назад +1

    Assalamu aleykum ZVP online. Masha Allah mawaaidha matamu na ya kuhuzunisha sana. Ningependa kupata hiyo background sound sana.

  • @abuubakarmbaruk7956
    @abuubakarmbaruk7956 Год назад

    Groop

  • @zamzamzam3920
    @zamzamzam3920 3 года назад

    Shukra sheikh

  • @zamzamzam3920
    @zamzamzam3920 3 года назад

    MaashaAllah

  • @ghalibgumucio3848
    @ghalibgumucio3848 2 года назад +1

    Kisa kizuri

  • @PRstories570
    @PRstories570 2 месяца назад

    Kwa nini wewe ndugu unaweka video kama hii ya mawaidha ya dini tena ya kiislamu halafu pia unaichanganya na muziki ndani yake? Huoni kama ni kosa hili? Sisi hamu yetu ni kusikiliza haya mawadha mazuri. Muziki hauna faida na wewe unafahamu vizuri. Nakuomba ondoa muziki katika video zako ili wasikilizani wafaidike na maneno ya shekhe. Ahsante.

  • @user-lz7rb3tw2v
    @user-lz7rb3tw2v 10 месяцев назад

    Nifoadiwee na Mimi shekhe

  • @crissinkala3110
    @crissinkala3110 3 года назад +1

    Mwambie mazinge ajifunze.kwako si kulopokalopoka tu

    • @muslimmuslim512
      @muslimmuslim512 3 года назад

      Eshima niyalazima kwakila mtu zungumza kwaluga nzuli

    • @Abdulrahman-ie7dy
      @Abdulrahman-ie7dy 2 года назад

      Sema astafiruu allaa mtake msamaha mung wako sheh mazing anaropokwa wakat anaeneza uislamu dini y kwl n dini y haki

    • @aishamohamed8630
      @aishamohamed8630 Год назад

      Kwakeki

    • @aminimushi6945
      @aminimushi6945 Год назад +2

      Mazinge si mropokaji,ila anaonekana hivyo kwa sababu anawarudisha waliopotea kundini,Mazinge chapa kazi,waokoe waliopotea.

    • @istiqaamadar7493
      @istiqaamadar7493 5 месяцев назад +1

      Shk mazinge yy anajua lugha ya mijadala ni lugha ngumu mno kuliko lugha nyengine ndio maana unaona kama anaropoka na yy analingalia dini yetu dhidi ya dini nyengine na ustadh othman maalim analugha ya upendo ya kubembeleza ya watu walio kwenye njia sahihi na kuwavutia uzuri wa dini yetu kwa hiyo kila mmoja anacheza sehemu yake mashaallah wote wako vzr. Mazinge anafanya kazi ya kuwaita wasiowaislam kwenye dini ya haki halafu othman maalim anawapa dawaa ya dini yetu mashallah mashaallah

  • @muzdwalifattsaad7963
    @muzdwalifattsaad7963 Год назад

    Mashallah