HUZUNI YATANDA MSIKITINI KILICHOMKUTA SHEIKH MWAIPOPO KATIKA KUTANGAZA DINI UTATOKA MACHOZI..
HTML-код
- Опубликовано: 7 янв 2021
- Tafadhali Usiache KuSubscribe katika Channel hii ya RUclips ya SHEIKH MWAIPOPO TV
..
Like pamoja na kushare
kwa wengine hili wapatwe na Kheri kutoka kwa Sheikh wetu Mhadhiri Said Mwaipopo.
...............
من فضلك لا تتوقف عن الاشتراك في قناة الشيخ موايبوبو التلفزيونية على يوتيوب
..
مثل مع المشاركة
للآخرين ليتم استدعاؤهم من قبل خيري من الشيخ المحاضر سعيد موايبوبو.
Audhubilahi minasheitani rajim...Shari zote na zikuepuke sheikh Wetu...mawaidha yako yalifanya nisilimu...Jazakaala khaira.. Inshallah Mola akufanyia njiwa yako iwe nyepesi Katika kazi ya Allah (S.W).. Alhamdulillah ni mwangazani sasa
Sheikh yaani wewe ndo mwenyezi Mungu amekuchagua katika ushuhuda kuanzia uliposilimu mara tu alipokupa ulaini wa moyo kwa kuijua kweli! Nakuombea heri sheikh wetu!
😭😭😭Pole sana shayk. Allah akuhepushe na kila mabalaa. Utalipwa kila la kheri hapa dunian na Akhera inshaAllah 🙏
Ishalla Mungu atakulipa frdaus shehe wetu pole kwayote Mungu yupo na nyny mkono Kwa mkono had pepon ishalla
Neema ya mungu iwe juu yako Mtumishi!!!
Allah akulipe kher shukran saan
Pole sana Allah awe nasi daiman ktk kheri sh. Fanya kazi yallah na allah atakulinda abadani
Mashaallah Mwenyezi mungu akuhifadhi duniani na akhera
Amini ww kuwa yesu sio Mungu na dini kiristo sio dini ya Mungu Ila ni kwa Imani yk.. Tumsifu yesu kiristo milele amina
Yesu alisema :msifurahi kwa kuwa mapepo yanawatii bali furahini kwa kuwa majina yenu yameandikwa mbinguni". Sio mnapata.wafuasi ama mapepo kuwatii.
"Yasemeni / hubirini maneno ya Mwenyezi Mungu yenye kuleta amani, upendo na kheri duniani na ahera". Mbarikiwe
Pole Sana sheikh kwa yalio kupata. Allah atakulipa IshaaAllah
Amiin
Pole san ust mwaipopo kwa yailyo kukuta 😭😭😭😭
Pole shekhe Allah ndiye muweza kwakweli
Pole sana shekhe Allah atakulipa kheri
Subhnllh...Allaah atunusuru na hayo..polesn
Ma shaa ALLAH
Ma shaa ALLAH
Ma shaa ALLAH
Wallahi shekh mwaipopo ALLAH akupe umri mrefu na tuzidi kuongoka
Nimepata faraja na furaha sheikh Allah aendele kukuhifadzi napepo iwe makiziyalo pamoja na mimi.
Allah amin.
Waullah nimelia kwa imani allah ni mwema takibiiiir
Allah akbar
🤲🤲😭😭
😭😭😭pole baba pole san jaman nalia san
Mashaa-Allah ALLAH azidi kukuhifadhi sheikh mwaipopo (Nairobi kenya)
Barakallahufik shekhe wetu Allah akupe umri mrefu wenye kheri na wewe pamoja na waislam Amin yaa Rabil'Alamina
Allah atakuhifadhi in shallah sheikh kwa sababu una tangaza neno la Allah subhana llaha
Huo niuongo mtupu anasimulia mwaipopopo Somali wanawasumbua wakristo tu na siyo waislamu wacha uongo
Subhanallah MWENYEZI MUNGU atunusuru
Allah akulipe kilaa la kheir,,
Allah akujalie kwa dunia na akhera yako
Atujalie mema kwa dunia yako na Akhera yako
Maa shaa Allah. Allah akuzidishie shekhe
Allah akuhfadhi na mabalaa
Masha Allah shehe mwaipopo, mungu akueke
Mashaallah allah akuzidishie kheri katika maisha yako amiin
inshallah mwenyezi Mungu azidi kukupa subra! pole kwa mitihani iliyokukuta shekhe wangu.
Nasma polesana shehe mwenywnzi mungu akurinde akuhepoahe nahayo mazwahama
Allah akujaalie mwisho mwema
Mungu akulinde zaidi inshallah
Ma shaa Allah
Masha Allah
Allah akup umri mrefu shekh wetu
Umewadanganya hao waumini wako hakuna Mkristo anahangaika na mtu at kasema Yesu si Mungu anajitetea mwenyewe na km walikuumiza kwajili ya Hilo walukuinea au wewe ni Muongo ZAIDI ya YOTE YESU NI MUNGU UFAHAMU WAKO HAUELEWI
Taqbeer mashaallah allah walipe inshallah
Anaetetea dini ya ALLAH YUKO PAMOJA NAE MASHALLAH MUNGU AKULIPE KHERI
Haswaaaa, tunahaja ya kuhubiri kweli ya Mungu Si vinginevyo.
Note:DINI NI MAHALI PANAPOMWONGOZA MTU KUISHI KUTII, KUNYENYEKEA, KUPENDA NA KUAMINI. si mahali pa uchonganishi au uchochezi.
Allah atakulipa kheri from mombasa
Mashallah ishallah seheh wetu mungu atakulinda kwayote yLiyokufik ia llahyuko pamoja na wewe
Alwahu akibaru😭😭😭
Wbc
Mbona mnateseka na makafiri na yesu wao kwani msifanye yenu na makafiri muwaache warende motoni?
Pole sana Allah akulipe kheri
Sheigh Mwaipopo, kuanzia leo nimebahatika kuona clip yako ya kwanza, natafuta na zingine zote na nitakuwa msikilizaji mzuri wa clip zako zijazo
Hawanaga hata point yaan niuchochez tu ndio maisha yao yaan badara kubadilisha maisha ya watu waache dhambi wao ni uchochezi
Subuhnallah m mungu atakupa ujira mwema na atakuandalia mahala pema peponi kwa kazi kubwa uliyoifanya na unayoendelea kuyafanya . Mnapata shida kubwa sana katika kuwaelimisha watu.
Masha Allah Allah akuhifadhi
Manshallah,manshallah 😥😥😥😥😥😥pole sana sheikh wetu.
Mwaipowe Mwaipopo Alhabiby... Allah a kuhifadhi na akulipe malipo mema...
Amiin
Amiin
ما شا اللہ الحمد للہ علی نعمة الا سلا م
Amani iwe nawe daima🤲 Allah aliyekuwezesha majaribu hayo anakupenda kuliko unavyojijua
NAMUOMBA ((ALLAH)) AKIZIDISHIE KHER SHEIKH WETU
Jazaka Allah khaira shekh
Allah azidi kukuhifadh na akuepushie namabalaa
ALLAH akuzidishie kila jema
Maa shaa Allah Allah akuzidishie🤗🤗🇪🇭🇪🇭
Upuuzi mtupu kumbe hadi akimu naye anasupport . Mungu akuoneshe njia maana ulishapotea
Pole jameni nimekuonea huruma mno hata japo mi si mwislamu .Mola akuneemeshe uishi miaka mingi uhubiri injili yake watu wamfahamu mwenyezi mungu wamwabudu yeye tu
Subhanallah... Shukran Jazaqallah kher Sheikh
Mashallah
Allah akulipe kher sheikh wetu
Mwaipopo we ni jasili San inshallah mungu akujalie
😭😭😭 Allah akulipe jannatul firdaus
Aammin
Aaammin
Amiin
Mungu akulinde na msimamo wako
Yesu sio mwanadini. Yesu ni Neno la Mungu. Wewe na waisilamu ni wanadini na ni sawa tu. Akini Dini tu haitoshi, ndio mana unaona kuna unafiqi mwingi katika Dini zote ikiwemo Dini ya Islam. Yesu wachana nae yeye sio mwenzenu. Yesu ni Neno, Njia na Uzima. Punguzeni utapeli.
Mwaipopo mwenyezi mungu akupe maisha marefu
"Ukizungumza ukweli maneno ya Mungu usiwe na shaka Mungu atakusimamia tu"
Tabkir Allah akulipe kwakweli
Mashalaah allah akulipe mema khakiyamungu nimelia hadithi yakuhuzunisha nayenye mafundisho
LAAHAULA WALA QUWWATI ILA BILAH SUBHANALLAH
KWELI KABISA MANENO YAKO SHEKH
اللهم صل وسلم على نبينا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين صلى الله عليه وسلم
Wala hatumshangai tunamuona snaitikadi kali ww unaweza badala yakusemea mashallah
Laila haila llahu mohamadu rasululahi hakika allh atakuongoza mpk siku ya umulkayma
Poleni.
Subuanallah. Pole sheikh mwaipopo.malipo kwao kwa allah.
Pole sheikh, ndio wanayopitia wenye imani hayo.
Pole sana allah akusimamia paka mwisho wako.
ALLAH AKULINDE SHEIKH WANGU MWAIPOPO.
Pole sana Allah akuliepe
Mashallah Allah wabaarik
Allah azidi kukutilia wepesi kwa kila jambo
Sheikh Mwaipopo.. Nakupenda sana kwa ajili ya Allah
allah akujalie maisha marefu shekhe,,,,,,,
Ashukulliwe Mungu Alie juu aliekuokoa ameni
Allah bless you shkhe🙏
Kwanii ulisema yesu sio mungu,ubaguzi wa kidini.
Na pia wewe jiulize yesu atakuwa aje mungu
@@sophiamakokha9669 sophia kama mwanaume hajatahiliwa utamkubali.
subhanallah subhanallah mtihan wallah
Takbir Allahuakbar ☝️ Allahuakbar lailahailallah Mohammad rasullullah
mashallah....Allah akujalie afya njema
Subhaanallah pole sana Shekh wetu 08:37 -09:04 pamenihuzunisha Sana
Mungu akujaalie umri mrefu
ALLAH AKBAR
MUNGU AKUJAALIE MWISHO MWEMA
Allah akunusuru Hilo na jingine
Allah akuzidizishie Zulu na baya
Mh ongera ramadhani Kareem
Masha Allah Allah akuongoze
pp0
Pole sana Shekh
Yaallah mpe shekhe mema ya finish na akhera
Dah!! Wallah watumishi wa dini yanapitia tabu sana!
Allah atakulipa In shaa Allah
Mashallah Allah
Daah ALLAAH Akuhifadh
Allah akulipi kher
Mwaipopo unajua kuwadanganya waislamu alafu kumbe waislamu wanadanganyika kuliko wakrsto mwaipopo unajua tu kwamba unatafuta maisha kwa waislamu acha unafiki
Allah akusaidie😢
Subukhanallah mungu kupe kila lakheri
You are the servant of God you will live long🙏🙏🙏😭
Ww unasapoti nn hapo? Wkt watu wana imani za ubaguzi na za kikatili?
Ndagha Mwaipopo Kaka gwangu
Nimeipenda SoMo lako Allah wakibal