IDI AMINI ALIVYO WABEBA WAISLAMU UGANDA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • #SHEIKHMWAIPOPO #MUHUBIRIMWAIPOPO #SHEIKHMWAIPOPOTV
    Tafadhali Usiache KuSubscribe katika Channel hii ya RUclips ya SHEIKH MWAIPOPO TV..Like pamoja na kusharekwa wengine hili wapatwe na Kheri kutoka kwa Sheikh wetu Mhadhiri Said Mwaipopo.
    MAWASILIANO ZAIDI TUPIGIE:+255 756 361 906
    ..................من فضلك لا تتوقف عن الاشتراك في قناة الشيخ موايبوبو التلفزيونية على يوتيوب..مثل مع المشاركةللآخرين ليتم استدعاؤهم من قبل خيري من الشيخ المحاضر سعيد موايبوبو.

Комментарии • 57

  • @ramadhanmataba8116
    @ramadhanmataba8116 Год назад +3

    Mashaallah shekhe upo vizuri Allah akulinde na mahasidi

  • @SMG109L
    @SMG109L 10 месяцев назад

    Allah akurehemu ewe ndugu yetu idi amin,
    Najua makafiri wengi walikua upande wa nyerere, ila wewe 👍

  • @shamsiyasalim6866
    @shamsiyasalim6866 Год назад +1

    Kutoka kenya mungu ampepo Yake idd amini

  • @alisalimali8036
    @alisalimali8036 Год назад +2

    Maa Shaa Allah sheikh Allah amlipe kwa mema yake amsamehe mapungufu yake nasie ..ngumu sana kufadhili dini hasa ukijaaliwa rizki tu

    • @hamisinalinga5201
      @hamisinalinga5201 Год назад

      Kakangu mwaipopo Allah akulipe unafanya kazi ya mungu ipasavyo

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 Год назад +1

    Kumbe sisi tukidangsnywa idi amini nambaya hafai kumbe alikuwa mtu mwema mungu amuweke peponi

  • @SubuMpate
    @SubuMpate 11 месяцев назад

    Assalamu alykum shekhe nashida na dawa heshima ya ndoa

  • @saidabdala4980
    @saidabdala4980 Год назад +3

    WAZANZIBAR mpaka hii leo. TUNATAKA kujiunga na Ois.

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Год назад +5

    Mimi baada yakugundua idi amini alikuwa mtu mwemaa na lengo lake alikuwa anatetea uislamu lakini sisi tukakuta sifa yake alikuwa gaidi na tukamwita gaidi na tukamuimba mashuleni ila nyerere alituteka sana waislam allah atusamehe mashehe wa zamani sijui walikuwa hawana elimu manakw walikuwa wanaburuzwa

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 Год назад

      Uo uislam aliutetea vp? Kwanza alimpindua Obote uo ndio uislam? Uganda waislam ni 15% UMESHAWAI kusikia wananyanyasika?

    • @kaitaramadan6340
      @kaitaramadan6340 Год назад

      Ni kweli kabisa ulichosema dadaangu tumekaririshwa chuki tu

    • @kaitaramadan6340
      @kaitaramadan6340 Год назад

      @@josephwilliam5813 wewe bisha tu lakini ukweli ndo huo

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 Год назад

      @@kaitaramadan6340 kwaio kuutetea uislam kwenye nchi YENYE population ya wakristo 85% je WAKRISTO WA UGANDA WALIFANYIWA NINI

    • @kaitaramadan6340
      @kaitaramadan6340 Год назад

      @@josephwilliam5813 uliwanyang'anya wahindi Mali zao na kuwapa waganda wote bila ya kujali ni muislam au mkristo

  • @tocaworld7864
    @tocaworld7864 Год назад +3

    Allah Amrehemu Idi Amin Dada, simba wa Africa kwa juhudi zake kuimarisha Uganda mpaka gaddafi Akajenga big mosque in kampala in Uganda.

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 Год назад +1

    Ww umeumia kwakua umeambiwa hamuyakemei bara. Unataka kunambia ushoga upo mwingi Znz kuliko bara? Msikilize Catherine kahabi na ndio kwanza mnaanza kufatilia ssa. Znz yanapigiwa kelele tangu miaka hio, watu wanapambana nayo. Nyie mnauza dawa tu mpaka mmesikia mzungu anataka kuhalalisha ndio mmekuja juu. Au sheikh gani au mtu gani nambie ww alokua akipigia kelele ushoga?

  • @hamisijuma3276
    @hamisijuma3276 Год назад

    Kwa Hy Idd Amin hakuua Wala hakuivamiaTanzania?? Alikuwa muislamu safi yote alisingiziwa na watu, jibu!!!! Alipenda watu wote na madhehebu yao

  • @othmanmulendelwa9622
    @othmanmulendelwa9622 Год назад +1

    Mambo mengine

  • @saidabdala4980
    @saidabdala4980 Год назад

    SHEKH. WAZANZIBAR tunazulumiwa. Mimi naona bora tukaampe habari Putin. Aje kuisimamiya. ZANZIBAR. Hawa akina LUKUVI ndio magaidi

  • @RogasianNdakidemi
    @RogasianNdakidemi Год назад

    Duuuh macho makav kabs ,c mnakitab chenu na wakrsto wana kitab chao c kila mtu ahubir kwa kitabu chake. mwenye kusikia asikie mwenye kuamua aamue , chuk zanin jaman

  • @salummakame5086
    @salummakame5086 Год назад +3

    Propaganda zinatuathir san mana walio weng wanajua idi amini alikua mshenz kwa propaganda za nyerere

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 Год назад

      Uzuri wa MTU alietangulia MBELE ya haki ni yeye na MUNGU wake yeye kua muislam haimfanyi kutokula mshenzi

  • @hamisijuma3276
    @hamisijuma3276 Год назад +1

    Mtoto wa Amin Jaffar anaomba msamaha kwa mtoto wa Akumbi kwa niaba baba yake ldd Amin kumua Akumbi
    ruclips.net/video/hOkgQtrB6FU/видео.html

  • @thulaniduku3218
    @thulaniduku3218 Год назад +1

    Kanisa la Tanzania linasema idi Amini alikuwa mtu mbaya,
    Waislamu wa Tanzania amkeni
    Msiendweshwe na kanisa
    Watu wa maulidi ndio wanao unga mkona mambo ya ushoga

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 Год назад

      Kanisa halijawai kua na mada ya IDI Amin iyo ishu ni kisiasa zaidi usisingizie kanisa nyie kama mnachukia binafsi na makanisa mseme,,,maana Kila kitu kanisa

    • @SMG109L
      @SMG109L 10 месяцев назад

      ​@@josephwilliam5813Allah amrehemu ndugu yetu idi amin, wale ndugu zetu waislamu waliouawa kwenye mapinduzi Zanzibar Allah awarehemu

  • @kaliskaguzkalis4424
    @kaliskaguzkalis4424 Год назад +2

    Eti alikuwa anakula nyama za watu! Makafiri hatari,

    • @hamisijuma3276
      @hamisijuma3276 Год назад

      Alikusanya ombaomba na walemavu akatuma mto Nile, eti kusafisha Uganda

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 Год назад

    Pahala ppte anapoingia mzungu basi tumia akili yako. Nyerere kibaraka wao kafanya ufisadi mwingi kwa waisilam.

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Год назад +2

    Sisi tunajua kwa nini akapewa jina la nduli idiamini nyerere analaana kubwa huko aliko tunajua iliomponza ni imani na msaada wake katika uislamu ugonvi wa nyerere ilikuwa ni dini ya muislamu lakini alhamdulilah ameshafika mikononi mwa muumba mbingu na ardhi

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 Год назад

      Vita vya Kagera havikua vya kidini,,, uislam ndani ya Uganda ni ASILIMIA 15% tuu Sasa sijui iyo Dola ya kiislam ingepatikanaje? Masheikh wenu watakutetea ikiwa wewe ni muislam hata ukutwe na kesi ya kubaka watakutetea

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Год назад

      @@josephwilliam5813 sijasema vita ya kidini ya wazi ila lengo ni kumuondoa muislamu mtenda haki madarakani kwa macho haikuwa ya kidini lakini nafsi ilikuwa hivo na akaondolewa pamoja na kupewa majina mabaya

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 Год назад

      @@sabihaibrahim143 haki Gani unayomaanisha? AMBAYO waislam wa Uganda walikua hawaipati ila idi amini aliwapa? Na Kama IDI AMINI alikua anapigania waislam je unadhani 90% ya WAKRISTO wangekubali kiongozi Yuko madarakani kwaajili ya dini Moja? UGANDA ina waislam 15% kwaio IDI AMIN alimpindua Obote Ili UGANDA iwe chini ya waislam? Kweli asimia kubwa ya WAKRISTO ya waganda walimuweka IDI AMIN kwasabu anatetea haki za waislam si ndio unachotaka kumaanisha?

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 Год назад

      @@sabihaibrahim143 ULITAKA NYERERE AFANYE NINI BAADA YA IDI AMINI KUTANGAZA KUA KAGERA NI SEHEMU YA UGANDA? KAGERA NDIO HAKI YA WAISLAM UNAYOIZUNGUMZIA?

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Год назад

      @@josephwilliam5813 akamuuwe

  • @shamsiyasalim6866
    @shamsiyasalim6866 Год назад

    Baniani ndio wanao waka vitone usoni

  • @othmanmulendelwa9622
    @othmanmulendelwa9622 Год назад

    Assallam aleikum mwa ipopo istory ya idiamini ume adisia ki unafik kipindi upo kenya ume adisia vinhine na apa una adisia vingine aujasema alivyo fanyiwa figisu na mwalimu

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 Год назад

      Sasa kama mwaipopi alikua chawa wa alhadi na baad ya alhadi kuondolewa mwaipopo akamkana na KUANZA kumnanga unawezaje kumtilia maanani mnafiki kiasi hicho

    • @asiakheir8684
      @asiakheir8684 Год назад

      Kama kasahau yy ni binadamu , wewe hukosei? Acha ujinga kuita mashekh wanafiq

  • @mohamedhozi8110
    @mohamedhozi8110 Год назад +1

    Wanaomchukia idi amini wengiwao ni wakristo

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 Год назад

    Shehe umeongea ukwel kwetu Zanzibar majeshi yalokosa elimu alokwenda vitan yote yanajuta yanatubia baada ya kujua ukwel idi amin MTU mwema % wamekwenda kuwa uwa waislam wenzao kwa propa ganda za nyerere%

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 Год назад

    Gadafi alimkimbia idi Amin airport, hiyo mizinga 21 uwongo! Saudi arabia Amin alipewa apartment na sio jumba kubwa!

  • @othmanmulendelwa9622
    @othmanmulendelwa9622 Год назад

    Nyoosha mistari ulivyo adixia kenya mbona unakuwa mnafiki una kwepa nini wa kati wewe unaji ita msema kweli mbona ili unalikwepa acha unafki mm na kufatilia mawaidha yoko mengine una sema ukweli mengine unasema uongo

    • @salehesalehe2967
      @salehesalehe2967 Год назад

      Kumbuka yupo tz tumia akili

    • @nzubukamlekwa2831
      @nzubukamlekwa2831 Год назад

      Ww utasifia na magaidi,km wakoloni walijenga miundombinu ila bado walitesa waafrika,Leo ww mtu aliyeuwa maelfu ya watu unamsifia kwa kizuri alichokifanya,taja basi na mabaya yake tukuone ww ni shujaa.

    • @hassankalwelamseya2562
      @hassankalwelamseya2562 Год назад

      Sema kweli wewe kasome