IDI AMINI ALIVYO WABEBA WAISLAMU UGANDA
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- #SHEIKHMWAIPOPO #MUHUBIRIMWAIPOPO #SHEIKHMWAIPOPOTV
Tafadhali Usiache KuSubscribe katika Channel hii ya RUclips ya SHEIKH MWAIPOPO TV..Like pamoja na kusharekwa wengine hili wapatwe na Kheri kutoka kwa Sheikh wetu Mhadhiri Said Mwaipopo.
MAWASILIANO ZAIDI TUPIGIE:+255 756 361 906
..................من فضلك لا تتوقف عن الاشتراك في قناة الشيخ موايبوبو التلفزيونية على يوتيوب..مثل مع المشاركةللآخرين ليتم استدعاؤهم من قبل خيري من الشيخ المحاضر سعيد موايبوبو.
Mashaallah shekhe upo vizuri Allah akulinde na mahasidi
Allah akurehemu ewe ndugu yetu idi amin,
Najua makafiri wengi walikua upande wa nyerere, ila wewe 👍
Kutoka kenya mungu ampepo Yake idd amini
Maa Shaa Allah sheikh Allah amlipe kwa mema yake amsamehe mapungufu yake nasie ..ngumu sana kufadhili dini hasa ukijaaliwa rizki tu
Kakangu mwaipopo Allah akulipe unafanya kazi ya mungu ipasavyo
Kumbe sisi tukidangsnywa idi amini nambaya hafai kumbe alikuwa mtu mwema mungu amuweke peponi
Assalamu alykum shekhe nashida na dawa heshima ya ndoa
WAZANZIBAR mpaka hii leo. TUNATAKA kujiunga na Ois.
Mjiunge Ili mtuletee itikadi zenu haitatokea labda hii sio Tanzania
Sio TANZANIA au sio TANGANYIKA..??
@@saidabdala4980 TANZANIA
Mimi baada yakugundua idi amini alikuwa mtu mwemaa na lengo lake alikuwa anatetea uislamu lakini sisi tukakuta sifa yake alikuwa gaidi na tukamwita gaidi na tukamuimba mashuleni ila nyerere alituteka sana waislam allah atusamehe mashehe wa zamani sijui walikuwa hawana elimu manakw walikuwa wanaburuzwa
Uo uislam aliutetea vp? Kwanza alimpindua Obote uo ndio uislam? Uganda waislam ni 15% UMESHAWAI kusikia wananyanyasika?
Ni kweli kabisa ulichosema dadaangu tumekaririshwa chuki tu
@@josephwilliam5813 wewe bisha tu lakini ukweli ndo huo
@@kaitaramadan6340 kwaio kuutetea uislam kwenye nchi YENYE population ya wakristo 85% je WAKRISTO WA UGANDA WALIFANYIWA NINI
@@josephwilliam5813 uliwanyang'anya wahindi Mali zao na kuwapa waganda wote bila ya kujali ni muislam au mkristo
Allah Amrehemu Idi Amin Dada, simba wa Africa kwa juhudi zake kuimarisha Uganda mpaka gaddafi Akajenga big mosque in kampala in Uganda.
Ww umeumia kwakua umeambiwa hamuyakemei bara. Unataka kunambia ushoga upo mwingi Znz kuliko bara? Msikilize Catherine kahabi na ndio kwanza mnaanza kufatilia ssa. Znz yanapigiwa kelele tangu miaka hio, watu wanapambana nayo. Nyie mnauza dawa tu mpaka mmesikia mzungu anataka kuhalalisha ndio mmekuja juu. Au sheikh gani au mtu gani nambie ww alokua akipigia kelele ushoga?
Kwa Hy Idd Amin hakuua Wala hakuivamiaTanzania?? Alikuwa muislamu safi yote alisingiziwa na watu, jibu!!!! Alipenda watu wote na madhehebu yao
Mambo mengine
SHEKH. WAZANZIBAR tunazulumiwa. Mimi naona bora tukaampe habari Putin. Aje kuisimamiya. ZANZIBAR. Hawa akina LUKUVI ndio magaidi
Duuuh macho makav kabs ,c mnakitab chenu na wakrsto wana kitab chao c kila mtu ahubir kwa kitabu chake. mwenye kusikia asikie mwenye kuamua aamue , chuk zanin jaman
Propaganda zinatuathir san mana walio weng wanajua idi amini alikua mshenz kwa propaganda za nyerere
Uzuri wa MTU alietangulia MBELE ya haki ni yeye na MUNGU wake yeye kua muislam haimfanyi kutokula mshenzi
Mtoto wa Amin Jaffar anaomba msamaha kwa mtoto wa Akumbi kwa niaba baba yake ldd Amin kumua Akumbi
ruclips.net/video/hOkgQtrB6FU/видео.html
Kanisa la Tanzania linasema idi Amini alikuwa mtu mbaya,
Waislamu wa Tanzania amkeni
Msiendweshwe na kanisa
Watu wa maulidi ndio wanao unga mkona mambo ya ushoga
Kanisa halijawai kua na mada ya IDI Amin iyo ishu ni kisiasa zaidi usisingizie kanisa nyie kama mnachukia binafsi na makanisa mseme,,,maana Kila kitu kanisa
@@josephwilliam5813Allah amrehemu ndugu yetu idi amin, wale ndugu zetu waislamu waliouawa kwenye mapinduzi Zanzibar Allah awarehemu
Eti alikuwa anakula nyama za watu! Makafiri hatari,
Alikusanya ombaomba na walemavu akatuma mto Nile, eti kusafisha Uganda
Pahala ppte anapoingia mzungu basi tumia akili yako. Nyerere kibaraka wao kafanya ufisadi mwingi kwa waisilam.
Sisi tunajua kwa nini akapewa jina la nduli idiamini nyerere analaana kubwa huko aliko tunajua iliomponza ni imani na msaada wake katika uislamu ugonvi wa nyerere ilikuwa ni dini ya muislamu lakini alhamdulilah ameshafika mikononi mwa muumba mbingu na ardhi
Vita vya Kagera havikua vya kidini,,, uislam ndani ya Uganda ni ASILIMIA 15% tuu Sasa sijui iyo Dola ya kiislam ingepatikanaje? Masheikh wenu watakutetea ikiwa wewe ni muislam hata ukutwe na kesi ya kubaka watakutetea
@@josephwilliam5813 sijasema vita ya kidini ya wazi ila lengo ni kumuondoa muislamu mtenda haki madarakani kwa macho haikuwa ya kidini lakini nafsi ilikuwa hivo na akaondolewa pamoja na kupewa majina mabaya
@@sabihaibrahim143 haki Gani unayomaanisha? AMBAYO waislam wa Uganda walikua hawaipati ila idi amini aliwapa? Na Kama IDI AMINI alikua anapigania waislam je unadhani 90% ya WAKRISTO wangekubali kiongozi Yuko madarakani kwaajili ya dini Moja? UGANDA ina waislam 15% kwaio IDI AMIN alimpindua Obote Ili UGANDA iwe chini ya waislam? Kweli asimia kubwa ya WAKRISTO ya waganda walimuweka IDI AMIN kwasabu anatetea haki za waislam si ndio unachotaka kumaanisha?
@@sabihaibrahim143 ULITAKA NYERERE AFANYE NINI BAADA YA IDI AMINI KUTANGAZA KUA KAGERA NI SEHEMU YA UGANDA? KAGERA NDIO HAKI YA WAISLAM UNAYOIZUNGUMZIA?
@@josephwilliam5813 akamuuwe
Baniani ndio wanao waka vitone usoni
Assallam aleikum mwa ipopo istory ya idiamini ume adisia ki unafik kipindi upo kenya ume adisia vinhine na apa una adisia vingine aujasema alivyo fanyiwa figisu na mwalimu
Sasa kama mwaipopi alikua chawa wa alhadi na baad ya alhadi kuondolewa mwaipopo akamkana na KUANZA kumnanga unawezaje kumtilia maanani mnafiki kiasi hicho
Kama kasahau yy ni binadamu , wewe hukosei? Acha ujinga kuita mashekh wanafiq
Wanaomchukia idi amini wengiwao ni wakristo
Shehe umeongea ukwel kwetu Zanzibar majeshi yalokosa elimu alokwenda vitan yote yanajuta yanatubia baada ya kujua ukwel idi amin MTU mwema % wamekwenda kuwa uwa waislam wenzao kwa propa ganda za nyerere%
Gadafi alimkimbia idi Amin airport, hiyo mizinga 21 uwongo! Saudi arabia Amin alipewa apartment na sio jumba kubwa!
Hujui chochote kasome
@@hassankalwelamseya2562, ndio wale wale hao wanaolishwa matango pori
Nyoosha mistari ulivyo adixia kenya mbona unakuwa mnafiki una kwepa nini wa kati wewe unaji ita msema kweli mbona ili unalikwepa acha unafki mm na kufatilia mawaidha yoko mengine una sema ukweli mengine unasema uongo
Kumbuka yupo tz tumia akili
Ww utasifia na magaidi,km wakoloni walijenga miundombinu ila bado walitesa waafrika,Leo ww mtu aliyeuwa maelfu ya watu unamsifia kwa kizuri alichokifanya,taja basi na mabaya yake tukuone ww ni shujaa.
Sema kweli wewe kasome