- Видео 889
- Просмотров 5 038 646
SHEIKH MWAIPOPO TV
Танзания
Добавлен 20 дек 2020
"Mwangaza Halisi wa Iman"
..
..
Inasimamia na kuendesha Mihadhara mbalimbali ya KIDINI.
..
..
TAFADHALI SUBSCRIBE
..
..
Inasimamia na kuendesha Mihadhara mbalimbali ya KIDINI.
..
..
TAFADHALI SUBSCRIBE
WAARABU NA WA MAREKANI WAVAMIWA NA WACHAWI
#sheikhmwaipopo #universityfilms #muhubirimwaipopo #sheikhmwaipopotv
Просмотров: 499
Видео
WAKRISTO NA WAISLAMU KUFANYA MJADALA WA DINI TENA
Просмотров 4777 часов назад
#sheikhmwaipopotv #muhubirimwaipopo #sheikhmwaipopo #universityfilms . . #universityfilms
SALAFI WAHAMA SISHANA KUANZA KULA FISI
Просмотров 1,1 тыс.9 часов назад
SALAFI WAHAMA SISHANA KUANZA KULA FISI
WAKRISTO WATAKA KUVUNJA MSIKITI COCO BEACH?
Просмотров 1,9 тыс.12 часов назад
WAKRISTO WATAKA KUVUNJA MSIKITI COCO BEACH?
BILLIONEA WA KIARABU AIBUKIA MSIKITINI SHINYANGA
Просмотров 2,3 тыс.14 часов назад
BILLIONEA WA KIARABU AIBUKIA MSIKITINI SHINYANGA
SALAFI WATUKANA MAITI TANZANIA WAISLAMU WAJA JUU
Просмотров 1,8 тыс.16 часов назад
#sheikhmwaipopotv #universityfilms #muhubirimwaipopo #sheikhmwaipopo
TUNDU LISSU AANZA VIBAYA WATANZANIA WAMUONYA
Просмотров 2,6 тыс.21 час назад
#sheikhmwaipopotv #universityfilms #muhubirimwaipopo #sheikhmwaipopo
CHADEMA WAZIDI KUPASUKA KISA UCHAGUZI
Просмотров 85221 день назад
#sheikhmwaipopotv #universityfilms #sheikhmwaipopo #muhubirimwaipopo
POLISI KUZUWIA MUHADHARA WA WAISLAMU NA WAKRISTO
Просмотров 3,4 тыс.21 день назад
#sheikhmwaipopo #universityfilms #sheikhmwaipopotv #muhubirimwaipopo
MBOWE ATABILIWA USHINDI WA KISHINDO NDANI YA CHAMA
Просмотров 1,4 тыс.28 дней назад
#sheikhmwaipopo #universityfilms #sheikhmwaipopotv #muhubirimwaipopo
WAKRISTO KUKUTANA NA WASOMI WA KIISLAMU
Просмотров 2,8 тыс.Месяц назад
#muhubirimwaipopo #universityfilms #sheikhmwaipopo #sheikhmwaipopotv
SHEIKH ALIYESOMA SUDANI ABATIZWA NA KURUDI KWA WAISLAMU
Просмотров 2,8 тыс.Месяц назад
#sheikhmwaipopotv #universityfilms #sheikhmwaipopo #muhubirimwaipopo
MCHUNGAJI SASA AUMBUKA ABAINIKA KUSILIMU MARA 2 KENYA
Просмотров 1,1 тыс.Месяц назад
#sheikhmwaipopotv #universityfilms #sheikhmwaipopo #muhubirimwaipopo
WAKRISTO WAINGIA MSIKITINI NA KUWADANGANYA WAISLAMU
Просмотров 2,4 тыс.Месяц назад
#sheikhmwaipopotv #universityfilms #sheikhmwaipopo #muhubirimwaipopo
MKRISTO ASHINDWA KUTHIBITISHA UGAIDI WA WAISLAMU PALESTINE
Просмотров 496Месяц назад
MKRISTO ASHINDWA KUTHIBITISHA UGAIDI WA WAISLAMU PALESTINE
WAARABU WAANGAMIA ISRAEL YAIFUTA GHAZA
Просмотров 6 тыс.Месяц назад
WAARABU WAANGAMIA ISRAEL YAIFUTA GHAZA
MUHUBIRI WA KIKRISTO AWAPANIA WAISLAMU SIKU YA MUHADHARA
Просмотров 807Месяц назад
MUHUBIRI WA KIKRISTO AWAPANIA WAISLAMU SIKU YA MUHADHARA
WAISLAMU NA WAKRISTO WAUSUBILI MUHADHARA KWA HAMU
Просмотров 596Месяц назад
WAISLAMU NA WAKRISTO WAUSUBILI MUHADHARA KWA HAMU
WAKRISTO KUJITOKEZA KUJADILI BIBLIA NA QUR'AN
Просмотров 934Месяц назад
WAKRISTO KUJITOKEZA KUJADILI BIBLIA NA QUR'AN
SHEIKH KISHKI KUONGOZA MUHADHARA WA QUR'AN NA BIBLIA
Просмотров 1,8 тыс.Месяц назад
SHEIKH KISHKI KUONGOZA MUHADHARA WA QUR'AN NA BIBLIA
WAISLAMU TANZANIA WALAUMIWA KWA KUKOSA MAENDELEO
Просмотров 954Месяц назад
WAISLAMU TANZANIA WALAUMIWA KWA KUKOSA MAENDELEO
SHEIKH ALIYEBATIZWA ASEMA ATAKA KUUWAWA NA WAISLAMU
Просмотров 1,4 тыс.Месяц назад
SHEIKH ALIYEBATIZWA ASEMA ATAKA KUUWAWA NA WAISLAMU
MCHUNGAJI AIGEUKA CHADEMA AANZA KUMPONDA MBOWE
Просмотров 2,2 тыс.Месяц назад
MCHUNGAJI AIGEUKA CHADEMA AANZA KUMPONDA MBOWE
WASABATO WAKATAA KULA CHRISTMAS WASEMA NI UWONGO
Просмотров 499Месяц назад
WASABATO WAKATAA KULA CHRISTMAS WASEMA NI UWONGO
SHEIKH KISHKI AITIKISA MALESIA WAISLAMU WAMPOKEA
Просмотров 880Месяц назад
SHEIKH KISHKI AITIKISA MALESIA WAISLAMU WAMPOKEA
KAZI IMEAMZA WAISLAMU NA WAKRISTO USO KWA USO
Просмотров 888Месяц назад
KAZI IMEAMZA WAISLAMU NA WAKRISTO USO KWA USO
SIRI YA FICHUKA KUMBE TUNDU LISSU SIO RAIA WA TANZANIA
Просмотров 1,3 тыс.Месяц назад
SIRI YA FICHUKA KUMBE TUNDU LISSU SIO RAIA WA TANZANIA
SHEIKH ALIYEBATIZWA AOMBA MSAADA POLISI KENYA
Просмотров 1,7 тыс.Месяц назад
SHEIKH ALIYEBATIZWA AOMBA MSAADA POLISI KENYA
CHADEMA KUTABILIWA MABAYA NA WATANZANIA
Просмотров 1,5 тыс.Месяц назад
CHADEMA KUTABILIWA MABAYA NA WATANZANIA
Hao wanaitwa chaplain mwaipopo kwenye majeshi ya maitaifa mbalimbali wapo hao kwaajili ya ishu ya spiritual jeshi linapokua vitani hawapigani. Hao.Mwaipopo
The older i get
Sasa kwa ysu ndio wapi kwani yesu ndio mungu??au wewe unamuabudu yesu?? Au unamuabudu mungu mmojatu alie umba mbingu na ardhi navyote????
Allah akulipe kheri
Njoo kwa YESU kwani ndiyo jibu la kila kitu acha ubabaishaji wa kupiga watu maokoto 🇮🇱🇮🇱
Kwa yesu niwapi? Kwani yesu ndio mungu??? Au wewe unanubudu yesu au unanubudu mungu alie muumba yesu nalietuumba sisi nyote vilivyomo mbinguni na ardhini??
Nenda ww n mama akoo mpumbavu ww
ruclips.net/video/_zbzMOjeTog/видео.html Majibu kwa Mwaipopo na wanaofana naye kimisimamo dhidi ya tuhuma kwa masalafi kuhusiana na kifo cha shaikh Muhammad Eid Abu Eid Allah amrehemu.
Hujuwi dini
Assalamu aleykum
AMEONGEA UKWELI WE MWAIPOPO HUTAKI WENGINE TUJUE KINACHOENDELEA HUKO MISIKITINI MWENU
Upo sahihi shekhe sio waislamu TU hata sisi wakristo ushirikina upo
Wewe Hujui kua msikiti wa coco BEACH umefunguliwa na waziri masauni akimwakilisha Rais ,?
Mh! Disco limeingia mmasai sasa ndugu yangu mwaipopo uwanja huu sio wako Fusi kuliwa si kauli za eanachuoni ,au umeshtuka limekuwa geni kwako hili ,acha ujinga bwana Wewe ni mzee wa sura pili mstari wa tano huko ndio kwako
yani unavyotamka hiyo salam waarabu wanakuona kama kunguru mweusi
Umeanza tena kutafuya hela kijanja
MWAIPOPO WACHA KUMTUKANA ALLAAH HIO SALAMU HAISEMI ((WALAHMATULLAAHI.....)) BALI NI ((WARAHMATULLAAHI...)) MAANA YA LAHMA NI NYAMA NA RAHMA NI REHEMA. HIVYO UKISEMA WALAHMATULLAAHI MAANA YAKE NI NYAMA YA ..... AMA UKISEMA WARAHMATULLAAHI.... MAANA YAKE NI REHMA ZA ALLAAH NDIO MAANA NAKUAMBIA WACHA KUMTUKANA ALLAAH NA HILO NI TATIZO LAKO WEWE HUTAKI KUSOMA AU UNAITIQADI ZA KIYAHUDI
Na kwa nini mlazimishe lugha za watu wakati mna lugha yenu? Kwani mkiongea kiswahili Allah hasikii?
Acha ujinga hiyo ni lafdhi yake mwaipopo herufi (R) inamshinda na sio kama hajui wala hajasoma kumbuka kua kuna ndimi zingine kutofautisha R na L ni kazi sana so kua mpole kijana.
SHEIKH ANASOMESHA FIQHI KAFIKA KWENYE MLANGO WA WANYAMA WANAOFAA KULIWA AKASOMESHA SASA HUYU MYAHUDI MWAIPOPO ALLAAH ATUTOSHELEZE NA SHARY ZA UJINGA WAKE ANAONA HAIFAI KUSOMESHA HAYO SASA SIJUI HUYU YAHUDI MWAIPOPO ALITAKA SHEIKH ARUKE HUO MLANGO WANAFUNZI WAKIISLAAM WASIJUE BAADHI YA MAMBO YANAYOHUSU DINI YAO KWASABABU YA HUSDA ZA HUYU YAHUDI MWAIPOPO KIUKWELI MWAIPOPO NI KAMA JINA LAKE LILIVYO HAJUI WALA HAJUI KAMA HAJUI
Anayoongea yamethibiti yoote yafaa fisi kuliwa
Anayoongea yamethibiti yoote
Mwaipopo kasome kwanza achana na dini huwezi nenda shamba sio lazima uzungumziie dini
HUYU JAMAA SIJAWAHI KUONA KICHAA KAMA YEYE K7NA UWEZEKANO MKUBWA KWAMBA ANAVUTA BANGI AU ANAKUNYWA POMBE YAANI MTU ANAFUNDISHA HADITHI YA MTUME WEWE UNAPINGA KWA BANGI ZAKO TU
Acha mbwembwe wewee...maneno mengi Elimu huna. Wewe unamuogopa Ndacha..huwezi kukaa meza moja na Ndacha ukaongea point, atakutoa kamasi.
Ndacha hana lolote hakuna Muislam anaye muogopa kafiri yoyote
@@daawaonlinetv4486 Sawa. Kama ni hivyo nini kinamzuia sheikh mwaipopo kujadiliana nae? Mbn sheikh Mbogo huwa wanajadili vzr tu😅.. kwamba mwaipopo yeye ndo mambo mengi?😂 huyo hana elimu...na ww pia unajua vzr tu..jana tu hapa si alikua anapinga hadith sahih inayowaruhusu kula fisi😂 na waislam wengi tu wakamwambia akasome. Huyo ni zero brain📌
Ndacha ana Elimu gani si kafiri tu kama makafiri wengine andika vya maana acha matusi hayatakupeleka peponi jifunze acha kukurupuka
@@Abdulraheem2003-g Umeona wapi matusi hapo? acha mihemko bro. Sawa tufanye Ndacha hana elimu..,kwann mwaipopo humkimbia kila mara? Mbn sheikh Mbogo hujadialiana na Ndacha...ila Mwaipopo kila siku anakula kona. Hajawahi hata mara moja kujadiliana na mwl. wa kikristo akiwa mwenyewe..,hana elimu huyo hata umtetee vipi. Elimu hana📌...juzi tu hapa katoka kupingana na hadithi sahih inayowaruhusu mle fisi...hapo vipi sas?😂😅 sheikh wako hata dini yake haijui...anapingana na hadithi.,dini zingine atazijua?
Amina shee
Mwaipopo wewe ndo mjinga Tena ujielewi
Lazima utaingia mitini tu wewe 🤣wewe muhubiri hata Quaran hujui hata Biblia pia hujui utaanza kulialia tu wewe endelea kuuza dawa tu.Huu uislamu unakwenda kwisha😂🇮🇱🇮🇱
😂😂😂 kwenye mdahalo atasimama ataongea shit kidogo atarudi kukaa...awaachie kina sheikh mbogo wasote. Huyu jamaa anachekesha sn asee😂
Wewe ni mjinga tena ni jaahil murakkab,sasa hiyo hadithi isifundishwe?? Hebu kaa chini usome usiwe mpumbavu
Wewe mjinga kaa chini usome maana hata qur an kwa kiarabu huwezi soma jaahil murakkab unarukaruka2.
Ndio wakat wenu huu tutaona vibweka sn kwani Ata kipindi cha jakaya tuliyaona Aya Aya yanayo fanyika now
Hiki kikundi chasarafi nikikundi chakufanya machafuko ili wakiwa wanafanya machafuko marekani na uingereza wawe wanaingilia kati Kavita navita wawe wanachota Mari zawaislam
Kwahiyo hapo huyo jaahil wenu Mwipopo anapinga hadithi ya Mtume?? Huyo ni mpumbavu2 hamna kitu katika dini
Sarafi nimpango wa marekani na uingereza kuendera kuwatawara waislamu na kuingilia mamboyao kwani
اتق الله يا رجل
Sarafi nimpango wamarekani nauingereza kuenderea kuingilia mambo yawaislamu nakuitawara mashaliki yakati
Weweeee nayeeeee
Maipopo hujielew Tena hufaikusikiliza kasome kwanza
Shida Mwaipopo ulikimbilia mihadhara badala ya kukaa chini ukasoma yani husomi hata aya moja kiarabu
Hamna kitu hapo sasa mtu kasema fili aliwa katoa mpaka hadithi sahih yeye anabweka nini??
Hawana hekma salafi
Hapo alotoa hadithi ya kuliwa fisi kakosea au? Mbona watu ni wajinga kiasi hichi.
Umesema ukweli shekhe Hawa salafi unauwalibu uwslamu kwanza hawana hekma
Mwaipopo apo darasani wanasoma hadithi shekh anafafanua wanyama wanaoliwa
Huyu jamaa ni mjinga hajielewi kabisa Wallah yaani dini hasomi kazi kupiga kelele2 sasa hiyo hadith hataki isomwe??
Upo sahihi
Leo umeongea vizuri, baadhi ya waislam wana chuki sana na wakristo. Ila waislam hawakuelewi, bora urudi kwenye dini yako ya kuzaliwa, uislamu ni mgumu na baadhi ya waislam wamefungwa na chuki waliyo pewa tokea utotoni, wewe tokea utotoni umefundishwa upendo na kuwapenda binadamu wenzako ndio maana unachanganyikiwa na mienendo yao waislam. Bora urudi ukristoni agalia usije ukafa uislamuni. Njoo kwa dini ya waelewa na wapenda maendeleo wakristo.
Duh. Sheikh anamjua fisi sana, anavyomuelezea 😂😂😂
Uyo sheikh umeweka anaongelea wanyama wanaofaa kuliwa sasa unapiga nn ww
Hyu jamaa ni mpumbavu kusoma hataki kazi kupiga kelele2.
Kweli kabisa halafu hata Qur'ani hawezi kusoma yaani huyu inawezekana bado ni mgalatia kajifanya tu ni muislaam kwa malengo maaluk kama malengo ya paulo kwa manaswara@@AlmasAbdallah-r3g
Hapo umefeli mada yako watu wanatoa dalili kutoka kwa Mtumie ww unauliza
Jamaa huyu jamaa ni jaahil murakkab
Kama mafuta nisheikh makubwa kwakipi hata myahudi awe sheikh
Ur wise wise wise sheikh
Nakunasihi piga goti usome qur an sijui kwenye swala huwa unasomaje
Ur too very wise sheikh
Ila Mwaipopo wakati mwingine unajisahau sana! Ulisema wachungaji ndiyo wana maisha ya kifahari na Masheikh wana maisha ya chini leo tena unasema Masheikh wanaishi kama mawaziri😅😅😅du
@@paulmushi2428 Tukimuita bogus wanasema tunamtukana😂...wataelewa tu!..Kilaza ni kilaza tu hata iweje...ukilaza wake utadhihirika tu.
Waislamuuuu fisi kharali kuliwa nguruwe kharamu mna mambo nyie 😂😂😂😂😂😂😂
Nenda shule kwanza coz sio kharali ni halali, na sio kharamu ni haramu nyambaf
@@maryammdoe5801Sawa mla fisi😅
@@maryammdoe5801 Sawa mla fisi 😅
Awajitambui
@@msambalamjukuu3866 Sawa Wala fisi
Wakristo wengi pia wanapenda kuchinjiwa na waislamu.Nakuombewa duwa .
Sasa ww mwaipopo dini umeisomea wapi, nyie endeleeni Kuomba omba sadaka kwa kuwaibia waislam, lazima watu wajue kuwa fisi sio Haram, eti wasifia mashia kweli ww ni jahli,
Mpuuzi