MCHUNGAJI ASHINDWA KUMJIBU SHEIKH MWAIPOPO TANGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • #SHEIKHMWAIPOPO #MUHUBIRIMWAIPOPO #SHEIKHMWAIPOPOTV
    Tafadhali Usiache KuSubscribe katika Channel hii ya RUclips ya SHEIKH MWAIPOPO TV..Like pamoja na kusharekwa wengine hili wapatwe na Kheri kutoka kwa Sheikh wetu Mhadhiri Said Mwaipopo.
    MAWASILIANO ZAIDI TUPIGIE:+255 756 361 906
    ..................من فضلك لا تتوقف عن الاشتراك في قناة الشيخ موايبوبو التلفزيونية على يوتيوب..مثل مع المشاركةللآخرين ليتم استدعاؤهم من قبل خيري من الشيخ المحاضر سعيد موايبوبو.

Комментарии • 61

  • @babauna3458
    @babauna3458 2 года назад +11

    Allah akubariki ,akuhifadh ustadh mwaipopo akujalie maisha mazuri hapa Dunian na Akhera uzudi kuenedesha gurudumu hili la uislamu

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 2 года назад +12

    Mue mnaenda vijijini masheikh zetu wamasai huko wanahitaji elimu

    • @khuiii9032
      @khuiii9032 2 года назад

      Hata ww pia una jukumu hilo so mashehee tuu

    • @hassanbilali1697
      @hassanbilali1697 Год назад

      Hilo ni jukumu letu sote tutafute elimu na kufikishia wengine na Mashekh wanapaswa zaidi

  • @maimunafzaka880
    @maimunafzaka880 2 года назад +6

    Allah akujaalie Jannah...

  • @user-ls9gb3ql2b
    @user-ls9gb3ql2b 6 месяцев назад +1

    Mashallah mungu akulipe jannah

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 2 года назад +4

    Allah akujaalie kila la kher sheikh wetu mwaipopo

  • @barazaadonias8110
    @barazaadonias8110 2 года назад +5

    Allah akupe maisha marefu sheikh uendelee kutupa daawa

  • @maimunafzaka880
    @maimunafzaka880 2 года назад +4

    Ma ustadh wetu Allah awape subra...

  • @salehesalehe2967
    @salehesalehe2967 2 года назад +2

    Mungu akulinde shekh wetu

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 2 года назад +2

    Sheikh mwaipopo Allah akulinde sana 🙏

  • @masudingana9550
    @masudingana9550 2 года назад +1

    Elmu Safi kabisa,sheik mwaipopo Allah akujalie neema

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 2 года назад +2

    Masha"Allah Da'wah iendelee?

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 2 года назад +2

    MashaAllah

  • @user-fy4op1sw2f
    @user-fy4op1sw2f 2 года назад +1

    Assalamu aleikum sheikh waipopo mimi niko saudiarabia mji wa makka ila nataka kununua maji kwa ajili ya mke na watoto wangu wako kenya nifanyie mpango ili mke wangu ayapate maji

  • @hassanabubakar3001
    @hassanabubakar3001 2 года назад +1

    Jatakas Laahu khair🥰🥰🇬🇧

  • @rahmanino1374
    @rahmanino1374 2 года назад +1

    Maa shaa Allah

  • @jimjam4148
    @jimjam4148 2 года назад +1

    MASHAA ALLAH.

  • @mathayopapiasi8872
    @mathayopapiasi8872 Год назад +1

    Mawazo yako simawazo ya Mungu (mithali3:5

  • @user-xu2xm6db4f
    @user-xu2xm6db4f 8 месяцев назад

    Wapeeeeeeee ukweliii

  • @halinishibakari5402
    @halinishibakari5402 2 года назад

    Allahiu akbar.Allah.atawahifadhii na.penginepo

  • @ernesttomas85
    @ernesttomas85 Год назад

    Safi sana kwani unaifanya kazi ya shetani vizuri sana

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 2 года назад +1

    Walyekum salam warahmatullah wabaraqatuh

  • @mohameeddoaan2296
    @mohameeddoaan2296 2 года назад

    MashaaAllah Allah awe nawe

  • @hamisijuma3276
    @hamisijuma3276 Год назад +1

    Muhammad hakutailiwa, Ila alioa mtoto wa miaka 6 hata baaday hakuzaA

  • @meekman1805
    @meekman1805 2 года назад

    Maashallah!

  • @user-rk4qw3td1k
    @user-rk4qw3td1k 5 месяцев назад

    Anae vuta fegi ana pona

  • @nzeyimanaambari9754
    @nzeyimanaambari9754 2 года назад +1

    Asalaam alaykum mtupe nanamba 2 utuendelezee hadi mwisho wamaada asnte kwaku ni saidia hayo ndio tutaelewa

  • @sasakazi9531
    @sasakazi9531 Год назад

    Achana na mambo ya mwili sema Neno la Mungu MUNGU no Neno.kutahiriwa si kitu wala kutotahiriwa si kitu.Bali ni kulishika Neno laMungu. Acha uongo,

  • @salhkasmm558
    @salhkasmm558 Год назад +1

    Ukienda znz uta sarenda mwenyewe

  • @ramazecha2877
    @ramazecha2877 2 года назад +1

    Ukweli kbsa shekh umeongea

  • @charlesmgonja8689
    @charlesmgonja8689 Год назад

    acha kujiapiza namba iyo tapelli ww

  • @josephwilliam5813
    @josephwilliam5813 2 года назад +1

    Mmeenda kushindana?

  • @neemayauislamutv8547
    @neemayauislamutv8547 2 года назад

    Sikiliza SIMULIZI yenye ujumbe mzito
    gusa link hii⤵⤵⤵
    ruclips.net/video/5JztpvgxNhY/видео.html

  • @monalisalebasoto2538
    @monalisalebasoto2538 2 года назад +3

    Muongo Sana huyu jamaaa

    • @onlyonetztv610
      @onlyonetztv610 2 года назад +1

      Sawa kheri wewe mkweli mwenzetu

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 2 года назад +1

      @@onlyonetztv610 roho mbaya imemvaa mwaipopo ukiacha uchungaji roho za kishetani lazima uwenazo ndomaana ni mganga wa kyinyeji mshilikina na majini ni ndugu zake

    • @ukweliwauislamu9590
      @ukweliwauislamu9590 2 года назад

      Mwongo ni huyu hapa
      ruclips.net/video/ykCCLJHlNIE/видео.html

    • @ramadhanilukambuzi9760
      @ramadhanilukambuzi9760 2 года назад +1

      @@prochesernest5439 Ww unaropoka na kupayuka tu,kwani hapo kakosea nini?Au chuki zako zinakusumbua nini?Ww hapa ndiyo unaonekana una rohoo chafu!

    • @monalisalebasoto2538
      @monalisalebasoto2538 2 года назад +2

      @@onlyonetztv610 hahahah anajitahidi kuuchafua ukristo lakini hata fanikiwa katika jina la Yesu

  • @sasakazi9531
    @sasakazi9531 Год назад

    Ataenda vijijini kufanya nini kwani alizaliwa mjini? Mbona alishindwa huko kwao Mbeya?

  • @johngerald4677
    @johngerald4677 Год назад

    Mkiambiwa uislam sio dini ya amani mnakataa

    • @johngerald4677
      @johngerald4677 Год назад

      Ungekua na akili ulipotoka somalia ungeachana na uo ukafir unaoitwa uislam

    • @saphinalutaha9077
      @saphinalutaha9077 6 месяцев назад

      ​@@johngerald4677😂😂😂😂😂

    • @KabatoniBoraa
      @KabatoniBoraa Месяц назад

      Wewe yakwako dini ya amani ipi?tuonyeshe sasa iyo Yako dini ya ukweli na amani mpotevu mkubwa

    • @KabatoniBoraa
      @KabatoniBoraa Месяц назад

      Wewe naye ndo unaakili sasa.. Mbona wewe ndiye lofa zaidi ya malofa.unaemfananisha yesu na mungu ivi we unaakili kweli?mjinga mkubwa

  • @rahmasoliman489
    @rahmasoliman489 2 года назад

    Mashaallah