RC SIMIYU ALIYEMLAWITI MWANAFUNZI AINGIA 18 ZA WAKILI MADELEKA //ATANGAZA TIMBWILI ZITO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 июн 2024

Комментарии • 16

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 Месяц назад +1

    Ukiwmbiwa dunia ina mambo mengi mazuri na mabaya inamaanisha ni watu na sio dunia kama umbile lake ila ni watu, ktk dunia kuongoza wanadamu ni kazi ngumu sana bora uwe mchungaji wa kundi la ng'ombe au mbuzi au kondoo hata wakiwa milioni mia, lkn sio wanadamu, sisi wanadamu ni viumbe hatari sana, ndio maana kuna msemo unasema Binaadamu kiumbe mzito, sio mzito kwa mwili mkubwa au mdogo lakini mzito kwa mambo na matendo, hata ktk ibada, kwenye ibada ya kumuabudu Mwenyezi Mungu unakuta kila ibada ina taratibu na masharti yake kwa sisi waislamu na hata wale we ye dini nyengine nao wana taratibu zao, lkn kuna ibada inayofanywa na watu wa dini zote nayo ni namna ya kuchanganyikana na watu hii ni ngumu tena ni ngumu kweli kweli, kwa sababu kila taifa lina watu wake na tabia zao na ndani ya hilo taifa kuna kila kabila au ukoo wana tabia zao na ndani ya kabila hilo kila mtu ana tabia zake. Na wanaadamu wote hao wanachanganyikana ktk mambo mengi kama vile maofisini, kwrnye biashara, kqenye ndoa, kwrnye usafiri kwenye nyumba za ibada, kwenye michezo, kwenye masoko nk. Humo ndio unakutana na yenye kupendeza na kuchukiza kwa wanadamu, kama hilo la mkuu wa mkoa na huyo binti jee ni kweli au mipango tu ya kuwadhalilisha wote au mmojawapo? Jee mkuu huyo ana tabia chafu? Jee kabinti ana tabia chafu? Jee nini chanzo cha wao kujuana? Jee maeneo waliyokutana yana taswira gani kwa jamii? Jee huyo mkuu kwa nafasi yake hakuwa na uwezo wa kuondoka na binti akaenda naye mbali kuliko kufanya naye tendo hilo kwenye gari? Jee kulikuwa kuna tofauti yoyote iliyotokea baina yao ikapelekea labda binti ajihami kwa kumchafua mkuu huyo? Lkn ili kujua dhamira ya wawili hao ni kuangaliwa eneo la tukio ni eneo linalohusika na huduma gani? Jee wamekwenda kufanya nini wawili hao ? Walikuwa na makubaliano ya kukutana au ilitokea tu wakakutana hapo. JIBU LENYE TAFAKURI

  • @lydiaoogo5847
    @lydiaoogo5847 Месяц назад

    Ni jambo la kumuomba Mungu sana watu wanadharirisha wenzao kwa kutengeneza vitu

  • @AminaallyAmina-kb8nj
    @AminaallyAmina-kb8nj Месяц назад

    Jamn huo ni mchoro tyu mwanafunzi wachuo arawitiwe kweli huyo alipenda tyu mwenyezi Mungu akusimamie kiongozi wetu Mungu yupo

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 Месяц назад

    Hiyo ndio CCM na uongozi wao.

  • @fredysiwale5413
    @fredysiwale5413 Месяц назад

    Jambo hili likisibitika mahakamani. Basi mh Rais aangalie upya washauri wake na watu wa usalama maana itakuwa ni aibu ya mwaka

  • @lellovenance5702
    @lellovenance5702 13 дней назад

    Malaya mkubwa huyo alitaka kulipwa usiku wa manane ulienda kuonana na mume wa mtu

  • @meshackthomas1341
    @meshackthomas1341 Месяц назад

    Watu wamekubaliana hao. hapo hakuna mtoto but mwanamke. Kapata. Wapuuz. Mwezake Nakumshawish. ili kuchafua makubaliano yao. Nk hao watu nikawaida sana kwao

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Месяц назад +1

    Duuuuuh hatari sana. Mkuu wa mkoa alikuwa na upwiru atakuwa kadanganywa na mganga iliapandixhwe cheo.

    • @jonamnyone8014
      @jonamnyone8014 Месяц назад

      Acheni kuwasingizia waganga. Yeye mwenyewe tu upwiruuu

    • @user-xk7vy4gb6g
      @user-xk7vy4gb6g Месяц назад

      @@jonamnyone8014 😆😆😆😆😆

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l Месяц назад

    Rpc huyu jamani yahaya au?

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m Месяц назад

    Mtu mzima kalawitiwa kweli?

  • @ProsperReuben-fg6uh
    @ProsperReuben-fg6uh Месяц назад +2

    Hii itaenda kama ya gerkulu tuu

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l Месяц назад

    Mshshasema mwnafunzi wachuo tena muhaya, kamlawiti vip? Acheni kuchfua watu jamani

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Месяц назад

      Kwa hiyo ikishakuwa Mhaya kulawitiwa ni haki yake, hana haki ya kulalamika?