Ukiwmbiwa dunia ina mambo mengi mazuri na mabaya inamaanisha ni watu na sio dunia kama umbile lake ila ni watu, ktk dunia kuongoza wanadamu ni kazi ngumu sana bora uwe mchungaji wa kundi la ng'ombe au mbuzi au kondoo hata wakiwa milioni mia, lkn sio wanadamu, sisi wanadamu ni viumbe hatari sana, ndio maana kuna msemo unasema Binaadamu kiumbe mzito, sio mzito kwa mwili mkubwa au mdogo lakini mzito kwa mambo na matendo, hata ktk ibada, kwenye ibada ya kumuabudu Mwenyezi Mungu unakuta kila ibada ina taratibu na masharti yake kwa sisi waislamu na hata wale we ye dini nyengine nao wana taratibu zao, lkn kuna ibada inayofanywa na watu wa dini zote nayo ni namna ya kuchanganyikana na watu hii ni ngumu tena ni ngumu kweli kweli, kwa sababu kila taifa lina watu wake na tabia zao na ndani ya hilo taifa kuna kila kabila au ukoo wana tabia zao na ndani ya kabila hilo kila mtu ana tabia zake. Na wanaadamu wote hao wanachanganyikana ktk mambo mengi kama vile maofisini, kwrnye biashara, kqenye ndoa, kwrnye usafiri kwenye nyumba za ibada, kwenye michezo, kwenye masoko nk. Humo ndio unakutana na yenye kupendeza na kuchukiza kwa wanadamu, kama hilo la mkuu wa mkoa na huyo binti jee ni kweli au mipango tu ya kuwadhalilisha wote au mmojawapo? Jee mkuu huyo ana tabia chafu? Jee kabinti ana tabia chafu? Jee nini chanzo cha wao kujuana? Jee maeneo waliyokutana yana taswira gani kwa jamii? Jee huyo mkuu kwa nafasi yake hakuwa na uwezo wa kuondoka na binti akaenda naye mbali kuliko kufanya naye tendo hilo kwenye gari? Jee kulikuwa kuna tofauti yoyote iliyotokea baina yao ikapelekea labda binti ajihami kwa kumchafua mkuu huyo? Lkn ili kujua dhamira ya wawili hao ni kuangaliwa eneo la tukio ni eneo linalohusika na huduma gani? Jee wamekwenda kufanya nini wawili hao ? Walikuwa na makubaliano ya kukutana au ilitokea tu wakakutana hapo. JIBU LENYE TAFAKURI
Watu wamekubaliana hao. hapo hakuna mtoto but mwanamke. Kapata. Wapuuz. Mwezake Nakumshawish. ili kuchafua makubaliano yao. Nk hao watu nikawaida sana kwao
Ukiwmbiwa dunia ina mambo mengi mazuri na mabaya inamaanisha ni watu na sio dunia kama umbile lake ila ni watu, ktk dunia kuongoza wanadamu ni kazi ngumu sana bora uwe mchungaji wa kundi la ng'ombe au mbuzi au kondoo hata wakiwa milioni mia, lkn sio wanadamu, sisi wanadamu ni viumbe hatari sana, ndio maana kuna msemo unasema Binaadamu kiumbe mzito, sio mzito kwa mwili mkubwa au mdogo lakini mzito kwa mambo na matendo, hata ktk ibada, kwenye ibada ya kumuabudu Mwenyezi Mungu unakuta kila ibada ina taratibu na masharti yake kwa sisi waislamu na hata wale we ye dini nyengine nao wana taratibu zao, lkn kuna ibada inayofanywa na watu wa dini zote nayo ni namna ya kuchanganyikana na watu hii ni ngumu tena ni ngumu kweli kweli, kwa sababu kila taifa lina watu wake na tabia zao na ndani ya hilo taifa kuna kila kabila au ukoo wana tabia zao na ndani ya kabila hilo kila mtu ana tabia zake. Na wanaadamu wote hao wanachanganyikana ktk mambo mengi kama vile maofisini, kwrnye biashara, kqenye ndoa, kwrnye usafiri kwenye nyumba za ibada, kwenye michezo, kwenye masoko nk. Humo ndio unakutana na yenye kupendeza na kuchukiza kwa wanadamu, kama hilo la mkuu wa mkoa na huyo binti jee ni kweli au mipango tu ya kuwadhalilisha wote au mmojawapo? Jee mkuu huyo ana tabia chafu? Jee kabinti ana tabia chafu? Jee nini chanzo cha wao kujuana? Jee maeneo waliyokutana yana taswira gani kwa jamii? Jee huyo mkuu kwa nafasi yake hakuwa na uwezo wa kuondoka na binti akaenda naye mbali kuliko kufanya naye tendo hilo kwenye gari? Jee kulikuwa kuna tofauti yoyote iliyotokea baina yao ikapelekea labda binti ajihami kwa kumchafua mkuu huyo? Lkn ili kujua dhamira ya wawili hao ni kuangaliwa eneo la tukio ni eneo linalohusika na huduma gani? Jee wamekwenda kufanya nini wawili hao ? Walikuwa na makubaliano ya kukutana au ilitokea tu wakakutana hapo. JIBU LENYE TAFAKURI
Ni jambo la kumuomba Mungu sana watu wanadharirisha wenzao kwa kutengeneza vitu
Jamn huo ni mchoro tyu mwanafunzi wachuo arawitiwe kweli huyo alipenda tyu mwenyezi Mungu akusimamie kiongozi wetu Mungu yupo
Hiyo ndio CCM na uongozi wao.
Jambo hili likisibitika mahakamani. Basi mh Rais aangalie upya washauri wake na watu wa usalama maana itakuwa ni aibu ya mwaka
Malaya mkubwa huyo alitaka kulipwa usiku wa manane ulienda kuonana na mume wa mtu
Watu wamekubaliana hao. hapo hakuna mtoto but mwanamke. Kapata. Wapuuz. Mwezake Nakumshawish. ili kuchafua makubaliano yao. Nk hao watu nikawaida sana kwao
Duuuuuh hatari sana. Mkuu wa mkoa alikuwa na upwiru atakuwa kadanganywa na mganga iliapandixhwe cheo.
Acheni kuwasingizia waganga. Yeye mwenyewe tu upwiruuu
@@jonamnyone8014 😆😆😆😆😆
Rpc huyu jamani yahaya au?
Mtu mzima kalawitiwa kweli?
Hii itaenda kama ya gerkulu tuu
Mshshasema mwnafunzi wachuo tena muhaya, kamlawiti vip? Acheni kuchfua watu jamani
Kwa hiyo ikishakuwa Mhaya kulawitiwa ni haki yake, hana haki ya kulalamika?