🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • #tanzania #haki #report
    Tumsime Mathias Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza cha SAUT Mwanza anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Simiyu-Yahaya Newanda anafunguka ukweli wote kuhusu Tuhuma hizo.
    Tumsime mwenye umri wa miaka 21 amekiri kufanyiwa kitenfo hicho kama ilivyoripotiwa katika vyombo vya habari na kuwa alikuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na Mtuhumiwa kwa muda wa miezi sita.
    Hatahivyo; Tumsime anaomba haki itendeke na kesi yake ifike mahakamani ili apatiwe haki kwani kwa sasa maisha yake yapo hatarini na hata chuo amesitisha.

Комментарии • 91

  • @lubatikoseme9412
    @lubatikoseme9412 2 месяца назад +8

    Viongozi wengi wazinzi. Inaenda kuonana nao wa nini kwa huo umri wa 21. Tamaa mbaya wadogo zetu. Someni, mjitegemee

    • @paull8659
      @paull8659 2 месяца назад

      sema wafiraji, wazinzi ni sisi wote tu

  • @verroallex9144
    @verroallex9144 2 месяца назад +3

    Uzinzi unashusha sana hadhi ya mtu. This girl anamuita Mh kwa Jina lake. Ukute ana mke nyumbani anamuheshimu tu halafu bint mdogo anamuita kwa jina lake🤣 kisa tu uzinzi. Pole sana binti. Pole sana

    • @Boka-cf3re
      @Boka-cf3re 2 месяца назад

      Walikua wapenzi eti dah 😂

  • @lukankya7220
    @lukankya7220 2 месяца назад +2

    Tukiweka suala la kulawitiwa pembeni: Kuna haja ya kuiangalia upya elimu yetu...na sisi kama wazazi na jamii kwa ujumla tuna kazi kubwa ya kufanya ili kuhakikisha watoto wetu wanakua na basics za kujieleza, ama kueleza jambo kwa ufasaha. Huyu ni binti aliekaa darasani miaka 14 lakini hivi ndivyo anavyojieleza. Hii mizaha katika mambo ya msingi ita-cost sana huko tuendako.

    • @hamisijuma3276
      @hamisijuma3276 2 месяца назад +1

      Hujui siku? Cm yako haijui kusoma nyakati?? Calls!!
      Hapo unajichora2', Hapo hakuna. Kesi .
      Tambua kusoma alama za nyakati, kwan Kuna Makonda hapo??? Kwan ndy kesi ya kwanza ya Aina hii

  • @allymohamedclaud7626
    @allymohamedclaud7626 2 месяца назад +3

    Mkuu wa mkoa wa mwanza anajipalia makaa aachane na hili suala

  • @harsoshelezi4658
    @harsoshelezi4658 2 месяца назад +2

    Wanatafuta kupata pesa , kwanini mama asikasirishwe na tabia mwanae kufanya ngono kabla ya ndoa? Jee, siokwamba aliahidiwa kuolewa au kupatiwa jambo alilokuwa analitaka mfano ajira? Hili la liwati ni muendelezo wa uzoefu. Mtoto, bint aliye lelewa vema hawezi kuitwa na mwanaume usiku na akaamua kwenda.

  • @neemamasimba2981
    @neemamasimba2981 Месяц назад

    Sasa umebakwa mkubwa vile , alikuwa na mtu mwingine au ni yeye peke yake , mapaka akibandue alikufunga mdomo, ?? Siajelewa vizuri. Usiku badala ya kusoma unaenda kubanduliwa ?? Kwenye gari ni padodo sana na hawezi kama hujapenda.

  • @musason1680
    @musason1680 2 месяца назад +1

    Balaa juu ya balaa 🙌

  • @nathanpangjanda2734
    @nathanpangjanda2734 2 месяца назад

    Duu hii sinema tena nzuri

  • @mariamsaid7603
    @mariamsaid7603 2 месяца назад +2

    Tutafute hela watoto wetu wasiingie kwenye vishawishi km hivi kwa kigezo cha umaskini

  • @mmewaswida
    @mmewaswida 2 месяца назад

    Yesu anaokoa. Itakusaidia.

  • @frankiemasese2901
    @frankiemasese2901 Месяц назад

    Kumbe walikua wapenzi mi nlifkri alimbaka..

  • @chw2009
    @chw2009 2 месяца назад

    Tutumie sana lugha yetu ya kiswahili kuliko kuchanganya lugha

  • @Planet_Zong
    @Planet_Zong 2 месяца назад +2

    Huyu mtoto huyu😊😊😊😊😊😊

  • @SimonKatawa
    @SimonKatawa 2 месяца назад +5

    Si wangemfunika kuliko kumuanika hivi

  • @taperecyclingtanzania7827
    @taperecyclingtanzania7827 2 месяца назад +3

    Huyu binti alishawahi kuwa na kesi kama hiyo alivyokuwa Secondary ni tabia yake kuingia kwenye mahusiano na kisha kutengeneza kesi ni kama huwa anatega mitego

    • @masalumichael5147
      @masalumichael5147 2 месяца назад +2

      Hadi ungekua umef!rwa wewe ndio ungekua na haki ya kuchangia

    • @gervasmwijage8657
      @gervasmwijage8657 2 месяца назад

      Unakuta kitambo ​@@masalumichael5147

    • @allymohamedclaud7626
      @allymohamedclaud7626 2 месяца назад

      Kabisaaa watu wanashindwa kuelewa kosa hapo asingemfira yasingekuwepo haya

    • @Josephineexsuper
      @Josephineexsuper 2 месяца назад +1

      Akiwa secondary hakutengeneza kesi, Bali alitoroka Ili aolewe, alikuwa under18, so serikali ndo ilifungua kesi dhidi ya yule bodaboda...jua hata mkeo hapo nyumbani ukimlawiti ni kosa na akishtaki utachukuliwa HATUA....kosa hapa ni ulawiti

    • @masalumichael5147
      @masalumichael5147 2 месяца назад

      @@allymohamedclaud7626 wanachoshindwa kuelewa ni kwamba haijalishi dada alipewa au hakupewa pesa baada ya kitendo hicho. Kulingana na Sheria za nchi yetu kumuingilia mtu kinyume na maumbile ni kinyume na Sheria na ikibainika lazma hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yako, period

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 Месяц назад

    UKAHABA TU UTAKUFIKISHA PABAYA

  • @rhodamshana1794
    @rhodamshana1794 2 месяца назад +4

    Vingereza vingi 😅😅😅

  • @Salisalum
    @Salisalum 2 месяца назад +1

    Ushahidi umebana sana. Ila Mkuu wa mkoa wa Mwanza bado yuko ofsini?

  • @marthajuma8411
    @marthajuma8411 2 месяца назад +1

    Mmmh ,nawe binti yangu unahitaji mabadiliko maana kwa umri huu afu unatembea na waume za watu wenye umri Sawa na babako duuuh.Ila pole kama na yeye pia alifanya hivyo Mungu wake yupo maana hapo ana mke wake anayemheshimu mtu lakini anaenda kukimbia kimbia na watoto kama hivi hatari

  • @kingsman1713
    @kingsman1713 Месяц назад +1

    Oi mngemfunika uso kwa dot nyeusi au blur. Hivi ni kumdharirisha huyo msichana.

    • @isaacmwaseba9972
      @isaacmwaseba9972 Месяц назад

      Una mzalilisha kivip anakuambia alikuwa mpenzi wake miaka 21 unatembea na mzee kama huyo na hauogopi hii nchi uhuru umezidi.

    • @kingsman1713
      @kingsman1713 Месяц назад

      @@isaacmwaseba9972 Kitendo cha huyo msichana kulala na mzee kama yule hakuondoi maana ya udharirishaji na hakuondoi ulazima wa kumfunika uso .

  • @deodatusnabaku6255
    @deodatusnabaku6255 2 месяца назад +2

    Barua umecopy ety hujui ni kitu gn unacopy?mwanachuo huyo😂huenda mh ana makosa lkn siasa usitumike!

  • @fredypastoryutd4864
    @fredypastoryutd4864 2 месяца назад

    Pesa mbaya mama kabadilika faaasta eti mwanangu futa kesi. Si mchezo. Pesa ina nguvu sana.😅 Ila Polisi wamefanya kazi yao vizuri sana. Hingera kwao.

  • @sambulugu9988
    @sambulugu9988 2 месяца назад

    Hii issue angekuwa Mtanda ni Makonda nchi nzima ingepiga kelele!

  • @vaneddie418
    @vaneddie418 2 месяца назад +1

    Sheria ifate mkondo sasa

  • @HamiduMaguo
    @HamiduMaguo Месяц назад

    Sasa vingereza vya nini ndio maana alikuona unashobo wewe umehojiwa kiswahili unaleta uzungu

  • @denisdeusdedith5849
    @denisdeusdedith5849 2 месяца назад

    Hii ni malaya experienced

  • @alfredkatuma426
    @alfredkatuma426 2 месяца назад +2

    Sema huyu dada ni muhuni mzoefu

  • @josephmwamu6314
    @josephmwamu6314 2 месяца назад +1

    Duuu uhuu mchongo ni mkubwa sana 😂😂

  • @elijahmwakilindi4536
    @elijahmwakilindi4536 2 месяца назад +2

    Haka ni kamalaya tu na hii ni set up. Akamalizane na mpenzi wake Huko Huko.

  • @HebronWilliam-wr3sx
    @HebronWilliam-wr3sx Месяц назад

    Wanachuo mpunguze njaa
    Wabeba mizgo munawavungia munatafuta wenye Lange mtalubar mpungnz njaa njaaa

  • @Planet_Zong
    @Planet_Zong 2 месяца назад +2

    Na naona kazungukwa na mazungu hapo take your time eeeeh

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 2 месяца назад

      Sasa ulitaka azungukwe na nani.

  • @harsoshelezi4658
    @harsoshelezi4658 2 месяца назад +1

    Kama alikuwa mtu wake maana yake malaya mwenzake, kwanini muanzie kwenye kulawiti mkaacha ufuska uliopelekea huko. Hata anavyoongea sio mgeni wa jambo hilo. Makahaba wenyewe hua wanafichficha uso japo kidogo lakini huyu macho makavu kabisa, sio mgeni kabisa.
    Katika ubepari hili sio tatizo bali media ndio wanalikuza maana huyu ilipasa awe mke wamtu ila mtasema ni mwanafunzi kwa ndoa bado lakini ngono ni ruhusa, sio tatizo

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 2 месяца назад

      Unajua kumuingilia kinyume na maumbile ni nyuma ya kisheria.

  • @elchapojr638
    @elchapojr638 2 месяца назад

    Ts too sad

  • @HebronWilliam-wr3sx
    @HebronWilliam-wr3sx Месяц назад

    Huo niukatili
    MKUU wamkoa kabisa
    Hahahhh hapo mulikutana wote njaaatu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 pole Sana mbingu hamutaiona pongezi saan kwa police mwanza kwakazinzur bna ilahao wanajuwana na wataowana hapo hakunachuo kashaliwa tayar

  • @issampologomy1286
    @issampologomy1286 2 месяца назад +1

    Kwanini mnarekodi na kuweka sura yake hadharani? Hapa hamumpiganii bali mmepania kumdhalilisha, mnakosea sana akina Ngurumo hata kama hela za wazungu tamu basi tulinde utu wa mtu, mngemuhoji kwa kuficha sura yake

    • @isaacmwaseba9972
      @isaacmwaseba9972 Месяц назад

      Huyo mzoefu wa miaka mingi sana ni mpenzi wake jiulize walikutana wapi na mkuu wa mkoa.

  • @ernestsinje9700
    @ernestsinje9700 Месяц назад

    Visichana siku hizi vikienda Chuo ni Umalaya tu Umalaya yaani vimalaya .Wazazi tunawasomesha ili muweze kuwa wazazi bora wa baadaye...kama haka kana mbaba huyu kwa miezi sita ,eti leo umebakwa miezi sita iliyopita walikuwa wanakubaliana ?sasa kama ni mtu wako asikubake miezi sita yote ubakwe leo?

  • @blackpanther4825
    @blackpanther4825 2 месяца назад +1

    Aongee Kiswahili..Kiingereza kigumu

    • @joycekija6245
      @joycekija6245 2 месяца назад

      Ni wivu tu😅😅😅 kani wi kamu tu miti?

    • @abdulrahmanhusseinsalim4404
      @abdulrahmanhusseinsalim4404 2 месяца назад

      Ni kasumba tu, kuona akiongea kuswakinge ataonekana msomi, badala ya kuongea kiswahili anachokifahamu vizuri. Tumetawaliwa hata kifikra

  • @joelmwaitege2121
    @joelmwaitege2121 2 месяца назад

    Hapa ushahidi mkubwa uko kwenye kampuni za simu kuhusu mazungumzo kati ya hao wakuu wa mikoa,PERIOD.

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 Месяц назад

    Wewe ni malaya tu tena utakuja kufa vibaya sana

    • @joshuanyonyi3313
      @joshuanyonyi3313 22 дня назад

      Kweli ili litoto liongo..
      Mtu uingiliwe kinyume..
      Utulie eti.
      Si üpige kelele...na mko kweny parking ya Magari Ni mengi hapo.

  • @philipombwambo1980
    @philipombwambo1980 2 месяца назад

    Yaan hapo mashaka ni mengi kuliko wasiwasi

  • @goodlucksawaya
    @goodlucksawaya Месяц назад

    Huu ni mchongo

  • @MichaelMwasese
    @MichaelMwasese Месяц назад

    Wewe kitoto huogopi wazee chuo hkunawenzio,mmefanya mradi arafu kizoefu ,siunaiona ten ml ,ulikua unamuzia nn kwanini we namaako.mpoke mpunga mmemaliza mnaanza,kwani mkemwenzio nawatoto ake hawali ila Mungu anawaona aya

  • @dr.mgungo1429
    @dr.mgungo1429 2 месяца назад

    Hiki kiingereza 😂 alifaulu vipi advance huyu

  • @nyotaphina8167
    @nyotaphina8167 2 месяца назад

    Kumbe mlikuwa na mahusiano!!! Mhh we mtoto

  • @junesyatera9923
    @junesyatera9923 2 месяца назад

    Wazazi wako wanahali gani wakiona hii😢

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk Месяц назад

    Huyu bint apewe mauayake asante shujaa maana mwingine qngelificha hili tatito

  • @KimAsia-ec5yp
    @KimAsia-ec5yp Месяц назад

    We mzoefu unaonekana

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 Месяц назад

    Wewe ni stupid harlot hata sauti yako inaonyesha umalaya! Mwanafunzi unalalwa na kila mtu

  • @mwesigwamichael2843
    @mwesigwamichael2843 2 месяца назад +2

    Kwa nn anaongea huku anafunga macho?

    • @gervasmwijage8657
      @gervasmwijage8657 2 месяца назад

      Bdo utakua umeachia haujafunga

    • @mwesigwamichael2843
      @mwesigwamichael2843 2 месяца назад

      @@gervasmwijage8657 ... Kyoma huyu Dada sehemu aliyobakwa, ni kama usikie mwanafunzi wa UDSM, amebakwa nje ya Club Ambiance pale sinza au kitambaa cheupe sinza.

  • @Planet_Zong
    @Planet_Zong 2 месяца назад +4

    How I will be escape there

  • @SwaumuMzindawa
    @SwaumuMzindawa 2 месяца назад

    Hii ndio dawa ya wanaume wazinzi na walawiti

  • @abdulsalum2852
    @abdulsalum2852 2 месяца назад

    haya nimaigizo kwakweli

  • @paull8659
    @paull8659 2 месяца назад

    CCM wanapenda vya nyuma sana, hata yule Geku wa Manyara hana "mboo" ikibidi achukue chupa amuingizie yule kijana wa kiumme matakoni. Mpaka leo yuko huru pia, anawekewa kifua na mama Samia na walawiti wenzake maccm. Haya majitu tuyaondoe madarakani.

    • @shld7508
      @shld7508 2 месяца назад

      😂😂😂

  • @deodatusnabaku6255
    @deodatusnabaku6255 2 месяца назад +1

    Kufungua mlango hukuweza?milango ilifungwa kwa kofuli nin😂umeamua tu kumwaribia Mh maana ungeweza kumkwepa vzr tu

    • @denissnkya5891
      @denissnkya5891 2 месяца назад +2

      Fikiria tena... Inategemea ni lock za aina gani. Hizi gari nyingi za kisasa zinaweza kuwa na central lock ambayo iko kwa driver...

    • @alloycemillinga1673
      @alloycemillinga1673 2 месяца назад

      ​@@denissnkya5891 Anafikir kila gar Ni manual

    • @gervasmwijage8657
      @gervasmwijage8657 2 месяца назад

      ​@@denissnkya5891central lock ata ukiweka unafungua....Yeye alifuata nini kwa mbaba kama uyo.

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 2 месяца назад

      ​@@denissnkya5891unabishana na mtu hana hata gari.

    • @Waberoya
      @Waberoya 2 месяца назад

      ​@@denissnkya5891angekuwa na Nia ya kutoka angetoka

  • @josenyambeo3587
    @josenyambeo3587 Месяц назад

    Ww mdada funika kombe mwana haramu apite.

  • @HebronWilliam-wr3sx
    @HebronWilliam-wr3sx Месяц назад

    😂😂😂😂😂😂 unatafuta umarufu au munatafuta umarufu mh kabisa dah doro hiziban sio wavuvitu MKUU jamn hhhhhh😂😂😂😂😂 pole sauti chuo

  • @HamiduMaguo
    @HamiduMaguo Месяц назад

    Sasa vingereza vya nini ndio maana alikuona unashobo wewe umehojiwa kiswahili unaleta uzungu

  • @HamiduMaguo
    @HamiduMaguo Месяц назад

    Sasa vingereza vya nini ndio maana alikuona unashobo wewe umehojiwa kiswahili unaleta uzungu