MCHUNGAJI HANANJA AMJIBU MZEE WA UPAKO KUSEMA WAKRISTO WENGI HAWAJUI BIBLIA // INJILI HAIPO HIVO...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 745

  • @erickclaudio2978
    @erickclaudio2978 7 месяцев назад +28

    Kwa kigezo cha utendaji kazi mchungaji hananja umeeleweka Mungu ni mmoja haswa .Mungu akubariki sana kwa fundisho lako pia la siku,siku zote ni siku za ibada

    • @isayasimwinga2854
      @isayasimwinga2854 6 месяцев назад

      @@erickclaudio2978 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗘𝗡𝗖𝗬𝗖𝗟𝗢𝗣𝗘𝗗𝗜𝗔, 𝗩𝗢𝗟𝗨𝗠𝗘 𝗜𝗩 , 𝗨𝗞. 𝟭𝟱𝟯 : "Kanisa.......baada ya kubadilisha siku ya pumziko kutoka Sabato ya kiyahudi, au siku ya saba ya juma, kwenda siku ya kwanza , likaifanya amri ya tatu itamke kuwa Jumapili ni siku ya kuishika Kitakatifu kama siku ya Bwana".
      𝗞𝗔𝗗𝗜𝗡𝗔𝗟𝗜 𝗚𝗜𝗕𝗕𝗢𝗡𝗦, katika kitabu chake kiitwacho "𝗧𝗵𝗲 𝗤𝘂𝗲𝘀𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗕𝗼𝘅, 𝗨𝗞. 𝟭𝟳𝟵, anakiri kwa namna ya kushangaza: "Ikiwa Biblia ndio kiongozi pekee kwa Wakristo, bila Shaka Waadventista Wa Sabato wako sahihi katika utunzaji wa Jumamosi pamoja na Wayahudi...... Si jambo la kushangaza kwamba wale wanaoifanya Biblia kuwa mwalimu wao pekee, Wanakuwa na msimamo tofauti katika jambo kwa kufuata mapokeo ya Kanisa Katoliki?".
      𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗔. 𝗢'𝗕𝗥𝗜𝗘𝗡 katika kitabu "𝗨𝗻𝗱𝗲𝗿𝘀𝘁𝗮𝗻𝗱𝗶𝗻𝗴 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗮𝘁𝗵𝗼𝗹𝗶𝗰 𝗙𝗮𝗶𝘁𝗵," 𝗨𝗞. 𝟭𝟯, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟭𝟵𝟱𝟱 anasema: "𝗕𝗶𝗯𝗹𝗶𝗮 𝗵𝗮𝗶𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗼 𝘆𝗼𝘁𝗲 𝘆𝗮 𝗱𝗶𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗞𝗶𝗸𝗮𝘁𝗼𝗹𝗶𝗸𝗶, wala haielezei majukumu yote ya washiriki wake. Chukulia kwa mfano, suala la utunzaji wa jumapili, uhudhuriaji wa ibada , na uepukaji wa kazi zisizofaa siku hiyo. Hili ni jambo ambalo majirani zetu waprotestanti wameliwekea msisitizo mkubwa kwa miaka mingi; hata hivyo hakuna mahala popote kwenye Biblia ambapo Jumapili imetajwa kama siku ya Bwana; siku iliyotajwa ni Sabato, siku ya mwisho ya juma........"
      𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗟𝗘𝗢 𝗝. 𝗧𝗥𝗘𝗦𝗘 𝗻𝗮 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗝. 𝗖𝗔𝗦𝗧𝗟𝗘𝗟𝗢𝗧, Katika Kitabu kinachoitwa "𝗦𝗮𝗹𝘃𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗛𝗶𝘀𝘁𝗼𝗿𝘆 𝗮𝗻𝗱 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗼𝗺𝗺𝗮𝗻𝗱𝗺𝗲𝗻𝘁𝘀," 𝘂𝗸 𝟮𝟵𝟰, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝟭𝟵𝟲𝟯, hueleza hivi: "Hakuna andiko lolote katika Biblia linalozungumzia badiliko la siku ya Bwana kutoka Jumamosi kwenda Jumapili. Tunafahamu tu kuhusu badiliko hili kutoka Kwenye mapokeo ya kanisa kupitia viongozi wa kanisa. Hii ndiyo sababu kwa nini tunaona haina mantiki kwa makundi mengi ya wasio Wakatoliki, wanaosema kwamba hawataamini chochote vinginevyo iwe imeandikwa katika Biblia na lakini bado wanaendelea kuadhimisha Jumapili Kama siku ya Bwana kwa kauli ya Kanisa Katoliki."
      𝗧𝗛𝗘 𝗖𝗢𝗡𝗩𝗘𝗥𝗧'𝗦 𝗖𝗔𝗧𝗘𝗖𝗛𝗜𝗦𝗠 𝗢𝗙 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗗𝗢𝗖𝗧𝗥𝗜𝗡𝗘 (𝟭𝟵𝟱𝟳):𝟱𝟬
      > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑺𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝑺𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒏𝒊 𝒊𝒑𝒊
      > JIBU: Jumamosi ndiyo siku ya Sabato.
      > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑲𝒘𝒂 𝒏𝒊𝒏𝒊 𝒕𝒖𝒏𝒂𝒊𝒂𝒅𝒉𝒊𝒎𝒊𝒔𝒉𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒑𝒊𝒍𝒊 𝒃𝒂𝒅𝒂𝒍𝒂 𝒚𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒎𝒐𝒔𝒊?
      > JIBU: Tunaiadhimisha Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu Kanisa Katoliki lilihamisha utakatifu wa Jumamosi kwenda Jumapili.
      𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗣𝗥𝗜𝗘𝗦𝗧 𝗧. 𝗘𝗡𝗥𝗜𝗚𝗛𝗧, 𝗖𝗦𝗦𝗥, 𝗞𝗔𝗡𝗦𝗔𝗦 𝗖𝗜𝗧𝗬, 𝗠𝗢:
      "Lilikuwa ni kanisa takatifu Katoliki ambalo lilibadilisha siku ya pumzika kutoka Jumamosi kwenda Jumapili, ambayo ni siku ya kwanza ya juma. Na halikulazimisha wote kuitunza Jumapili peke yake, bali kwenye Baraza la Laodekia, mwaka 364 BK, liliwalaani wale ambao waliitunza Sabato na kuwasihi watu wote kufanya kazi katika siku ya saba chini ya adhabu ya laana"
      𝗦.𝗖. 𝗠𝗢𝗦𝗡𝗔, 𝗦𝗧𝗢𝗥𝗜𝗔 𝗗𝗘𝗟𝗟𝗔 𝗗𝗢𝗠𝗘𝗡𝗜𝗖𝗔 (𝟭𝟵𝟲𝟵): 𝟯𝟲𝟲-𝟯𝟲𝟳
      "Si Muumbaji wa Ulimwengu katika Mwanzo 2:1-3, bali ni Kanisa Katoliki linaweza kudai heshima ya kuwa na idhini ya kumpatia mwanadamu pumziko la kazi yake kila siku saba."
      𝗔𝗥𝗧𝗛𝗨𝗥 𝗪𝗘𝗜𝗚𝗔𝗟𝗟, 𝗧𝗛𝗘 𝗣𝗔𝗚𝗔𝗡𝗜𝗦𝗠 𝗜𝗡 𝗢𝗨𝗥 𝗖𝗛𝗥𝗜𝗦𝗧𝗜𝗔𝗡𝗜𝗧𝗬 (𝗡𝗘𝗪 𝗬𝗢𝗥𝗞: 𝗣𝗨𝗧𝗡𝗔𝗠𝗔™𝘀 𝗦𝗢𝗡𝗦, 𝟭𝟵𝟮𝟴): 𝟭𝟰𝟱:
      "Kanisa LILIIFANYA siku ya JUMAPILI kuwa TAKATIFU kikubwa ni kwa sababu ILIKUWA NI SIKUKUU YA JUA; maana ilikuwa dhahiri ni sera ya Kikristo kukubali sikukuu za kipagani zilizopendeka kwa watu na kwa utamaduni, na kuwapa maana muhimu ya Kikristo."
      𝗞𝗔𝗧𝗘𝗞𝗜𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗡𝗜𝗦𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗢𝗟𝗜𝗞𝗜, 𝗨𝗙𝗨𝗣𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗠𝗔𝗞𝗜𝗡𝗜
      𝗡𝗮𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝘂𝗸. 𝟭𝟯𝟲
      𝗦𝘄𝗮𝗹𝗶 𝟰𝟱𝟬. 𝑲𝒘𝒂𝒏𝒊𝒏𝒊 𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 "𝒂𝒍𝒊𝒊𝒃𝒂𝒓𝒊𝒌𝒊 𝒔𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒂𝒌𝒂𝒊𝒕𝒂𝒌𝒂𝒔𝒂"(𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 20:11)?
      𝗝𝗶𝗯𝘂: "kwa kuwa siku ya sabato linakumbukwa pumziko la Mungu siku ya Saba ya uumbaji, na vilevile ukombozi wa Israeli kutoka utumwani Misri , na Agano ambalo Mungu alikiweka na watu wake."
      💕💕 Hapo utagundua sababu za pumziko ni ; 1.kumbukumbu ya uumbaji wa Mungu,2. Ukombozi wa waisraeli, 3. Agano la Mungu na watu wake.
      𝗧𝘂𝗻𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗸𝘂𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂
      𝗦𝘄𝗹 𝟰𝟱𝟭. 𝒀𝒆𝒔𝒖 𝒂𝒍𝒊𝒊𝒕𝒆𝒏𝒅𝒂𝒋𝒆 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐?
      𝗝𝗶𝗯𝘂: "Yesu alitambua utakatifu wa sabato na kwa mamlaka yake ya kimungu akaipatia ufafanuzi halisi: "sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato"(Mk2:27).
      HAPA KICHWA GEOGRAPHY, INAMALIZA YOTE KUHUSU SABATO: PART1.
      Tutajifunza : Merrian Webster's collegiate Dictionary, Eleventh Edition, Defines Saturdays as The day of the week."
      >Hebu tujue machache kuhusu wanajiografia; wanasemaje kuhusu Sabato? Maana imenilazimu kutumia muda kujifunza na kuchunguza hili kwa kina ili wewe unayefuatilia ubaini Ukweli huu muhimu katika nyanja zotee; usiwe na sababu ya kutojua!!
      ✓Tuanzie mbali kidogo kuhusu kalenda , je kalenda ya leo imevurugwa? Sawa, twende pamoja:-
      -Kuanzia Yesu Kristo mpaka leo zipo kalenda kuu mbili:-
      1. Julia's Ceaser 46kk Yesu amezaliwa Kwenye kalenda hiyo.
      2. Gregory Calendar. Hii ni kalenda iliyoanzishwa na Papa Gregory XIII mwaka 1582.
      Je, mabadiliko hayo ya calendar ya Gregory yaliathiri kwa namna fulani siku ya saba (sabato)? SIKIZA JIBU: Papa Gregory baada ya wanaanga(Astronomer) kuona mapungufu ktk Kalenda ya Julius kuwa Kuna muda unapotea au upotevu wa dakika 11 na kuwa mwaka si siku 365 kamili.
      => Ili litimie neno lililonenwa na nabii Daniel , Papa Gregory alibadili kwa kurekebisha hivi, ilikuwa Alhamis #4/10/1582 akasema; siku inayofuata Yaani Ijumaa iwe tarehe 15/10/1582.
      Hivyo Papa hakufuta siku ya Saba (sabato) Bali tarehe tu zilibadilika! Aidha alibadili siku iishe saa sita kamili usiku, ama ianze saa sita kamili usiku badala ya saa kumi na mbili za mchana na saa kumi na mbili za usiku Kama biblia takatifu isemavyo!!!.👇👇
      Yesu akajibu, Je! Saa za mchana si kumi na mbili? Mtu akienda mchana hajikwai; kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu.Yohana 11:9
      Narudia tena neno la Mungu, halijajipinga na halihitaji marekebisho, iwe ya kisayansi ama ya kifalsafa lipo imara Ni kamilifu.
      Papa Gregory kuhusika kwake katika hili utagundua ndivyo kanisa katoliki hutumia mbinu mbalimbali kupenyeza Mambo yake, hata Ni rahisi kuelewa kuwa kwa kuwa tayari amri ya nne Kama tulivyoona, tayari ilikuwa imehalifiwa na kuididimiza, akaweka siku ianzie saa6 usiku!!
      💖Je, saa sita kamili ndio siku mpya(nyingine) huanza? Wataalamu wa nyota aidha January 1 , 2021 wakizungumzia muda halisi Ni upi dunia humaliza kuzunguka Jua walisema kwa kweli si kweli kuwa saa sita usiku ndiyo siku ya mwaka mpya huanza, hakuna ushahidi wa kisayansi kuwa saa sita kamili ndiye siku inaanza, ni nadharia tu, zilizosapotiwa na Gregory XIII.
      Utagundua pia kuwa, kanisa limejihusisha kwa karibu na ustaarabu unaoendelea duniani, ni taasisi iliyojificha Kwenye sura ya dini Ila Ni serekali.....
      ✓Kwanini kalenda za ulaya zinahesabu Jumatatu Kama siku ya Kwanza ya Juma? JIBU: Kuifanya Jumapili kuwa siku ya saba katika Kalenda za Ulaya kumeanza miaka ya 1950's. Kabla ya mwaka 1950's kalenda ziliishia Jumamosi. Sababu ya mabadiliko hayo ilitokana na wafanyabiashara wengi kwenda ibadani Jumapili, kwa hiyo siku za kazi zikaanza Jumatatu hadi Jumamosi Kwenye kalenda.
      ✔️Pia wanajiografia: wamethibitisha Ukweli huu; Mstari wa Greenwich England (yaani mstari wa tarehe wa kimataifa) na Wachunguzi wa usafiri wa majini U.S.A Wamethibitisha kuwa mzunguko wa week kamwe haujawahi badilika upo vilevile.
      NB: Najua Kuna wasomi wenzangu (G&H) Ni vema wakaguswa nao na kufuata utafiti huo. Biblia ingetosha kueleza umuhimu wa Siku ya Saba ya Juma ila kwa kuwa binadamu tunauelewa tofauti nimeona ni vema kugusa nyanja mbalimbali, ili asomaye afahamu.
      Amani ya Bwana Yesu kristo na Pendo la Mungu Baba na Ushirika wa Roho Mtakatifu viwe nanyi nyote. Amen
      Ukweli ni Ukweli, Mungu akubariki 🙏

    • @margwetsere423
      @margwetsere423 6 месяцев назад +3

      Haya ni maneno yako, siyo biblia, maana biblia imesema IKUMBUKE SIKU YA SABATO UITAKASE, siku sita fanya kazi ......
      Hiyo siku zote ni za Ibada ni maneno yako.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 6 месяцев назад

      @@margwetsere423 Mimi ni Muislam lakini kwani ibada kwa Kikristo ni nini? Kwetu sisi Waislam ni mwenendo mzima wa maisha tokea kuamka hadi kulala uwe ni mwenye kuridhiwa na Mungu kwa kila unachofanya kiwe cha haki na hilo lipo kila siku na kila wakati. Hivyo Mchungaji Hananja kakosea wapi?

    • @musadaudi985
      @musadaudi985 6 месяцев назад

      Hiyo siku ya sabato ni ipi iseme​@@margwetsere423

    • @HoseaNguge
      @HoseaNguge 5 месяцев назад

      ​@@margwetsere423barikiwa sana

  • @josephmoyo5617
    @josephmoyo5617 7 месяцев назад +10

    Hananja upo vzr,ubarikiwe sana Baba.umejibu vzr sana kuhusu Mungu Baba ,Mwana na Roho Mtakatifu.Sisi wakatoliki tunaamini hivyo kama wewe ulivyofafanua hapo.

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 7 месяцев назад +30

    Mchungaji Hananja nimekupenda kwa ukweli huu uliotufafanulia Barikiwa xana🙏🙏🙏

    • @isayasimwinga2854
      @isayasimwinga2854 6 месяцев назад

      @@amisamaurid1882
      𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗘𝗡𝗖𝗬𝗖𝗟𝗢𝗣𝗘𝗗𝗜𝗔, 𝗩𝗢𝗟𝗨𝗠𝗘 𝗜𝗩 , 𝗨𝗞. 𝟭𝟱𝟯 : "Kanisa.......baada ya kubadilisha siku ya pumziko kutoka Sabato ya kiyahudi, au siku ya saba ya juma, kwenda siku ya kwanza , likaifanya amri ya tatu itamke kuwa Jumapili ni siku ya kuishika Kitakatifu kama siku ya Bwana".
      𝗞𝗔𝗗𝗜𝗡𝗔𝗟𝗜 𝗚𝗜𝗕𝗕𝗢𝗡𝗦, katika kitabu chake kiitwacho "𝗧𝗵𝗲 𝗤𝘂𝗲𝘀𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗕𝗼𝘅, 𝗨𝗞. 𝟭𝟳𝟵, anakiri kwa namna ya kushangaza: "Ikiwa Biblia ndio kiongozi pekee kwa Wakristo, bila Shaka Waadventista Wa Sabato wako sahihi katika utunzaji wa Jumamosi pamoja na Wayahudi...... Si jambo la kushangaza kwamba wale wanaoifanya Biblia kuwa mwalimu wao pekee, Wanakuwa na msimamo tofauti katika jambo kwa kufuata mapokeo ya Kanisa Katoliki?".
      𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗔. 𝗢'𝗕𝗥𝗜𝗘𝗡 katika kitabu "𝗨𝗻𝗱𝗲𝗿𝘀𝘁𝗮𝗻𝗱𝗶𝗻𝗴 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗮𝘁𝗵𝗼𝗹𝗶𝗰 𝗙𝗮𝗶𝘁𝗵," 𝗨𝗞. 𝟭𝟯, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟭𝟵𝟱𝟱 anasema: "𝗕𝗶𝗯𝗹𝗶𝗮 𝗵𝗮𝗶𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗼 𝘆𝗼𝘁𝗲 𝘆𝗮 𝗱𝗶𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗞𝗶𝗸𝗮𝘁𝗼𝗹𝗶𝗸𝗶, wala haielezei majukumu yote ya washiriki wake. Chukulia kwa mfano, suala la utunzaji wa jumapili, uhudhuriaji wa ibada , na uepukaji wa kazi zisizofaa siku hiyo. Hili ni jambo ambalo majirani zetu waprotestanti wameliwekea msisitizo mkubwa kwa miaka mingi; hata hivyo hakuna mahala popote kwenye Biblia ambapo Jumapili imetajwa kama siku ya Bwana; siku iliyotajwa ni Sabato, siku ya mwisho ya juma........"
      𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗟𝗘𝗢 𝗝. 𝗧𝗥𝗘𝗦𝗘 𝗻𝗮 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗝. 𝗖𝗔𝗦𝗧𝗟𝗘𝗟𝗢𝗧, Katika Kitabu kinachoitwa "𝗦𝗮𝗹𝘃𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗛𝗶𝘀𝘁𝗼𝗿𝘆 𝗮𝗻𝗱 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗼𝗺𝗺𝗮𝗻𝗱𝗺𝗲𝗻𝘁𝘀," 𝘂𝗸 𝟮𝟵𝟰, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝟭𝟵𝟲𝟯, hueleza hivi: "Hakuna andiko lolote katika Biblia linalozungumzia badiliko la siku ya Bwana kutoka Jumamosi kwenda Jumapili. Tunafahamu tu kuhusu badiliko hili kutoka Kwenye mapokeo ya kanisa kupitia viongozi wa kanisa. Hii ndiyo sababu kwa nini tunaona haina mantiki kwa makundi mengi ya wasio Wakatoliki, wanaosema kwamba hawataamini chochote vinginevyo iwe imeandikwa katika Biblia na lakini bado wanaendelea kuadhimisha Jumapili Kama siku ya Bwana kwa kauli ya Kanisa Katoliki."
      𝗧𝗛𝗘 𝗖𝗢𝗡𝗩𝗘𝗥𝗧'𝗦 𝗖𝗔𝗧𝗘𝗖𝗛𝗜𝗦𝗠 𝗢𝗙 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗗𝗢𝗖𝗧𝗥𝗜𝗡𝗘 (𝟭𝟵𝟱𝟳):𝟱𝟬
      > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑺𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝑺𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒏𝒊 𝒊𝒑𝒊
      > JIBU: Jumamosi ndiyo siku ya Sabato.
      > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑲𝒘𝒂 𝒏𝒊𝒏𝒊 𝒕𝒖𝒏𝒂𝒊𝒂𝒅𝒉𝒊𝒎𝒊𝒔𝒉𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒑𝒊𝒍𝒊 𝒃𝒂𝒅𝒂𝒍𝒂 𝒚𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒎𝒐𝒔𝒊?
      > JIBU: Tunaiadhimisha Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu Kanisa Katoliki lilihamisha utakatifu wa Jumamosi kwenda Jumapili.
      𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗣𝗥𝗜𝗘𝗦𝗧 𝗧. 𝗘𝗡𝗥𝗜𝗚𝗛𝗧, 𝗖𝗦𝗦𝗥, 𝗞𝗔𝗡𝗦𝗔𝗦 𝗖𝗜𝗧𝗬, 𝗠𝗢:
      "Lilikuwa ni kanisa takatifu Katoliki ambalo lilibadilisha siku ya pumzika kutoka Jumamosi kwenda Jumapili, ambayo ni siku ya kwanza ya juma. Na halikulazimisha wote kuitunza Jumapili peke yake, bali kwenye Baraza la Laodekia, mwaka 364 BK, liliwalaani wale ambao waliitunza Sabato na kuwasihi watu wote kufanya kazi katika siku ya saba chini ya adhabu ya laana"
      𝗦.𝗖. 𝗠𝗢𝗦𝗡𝗔, 𝗦𝗧𝗢𝗥𝗜𝗔 𝗗𝗘𝗟𝗟𝗔 𝗗𝗢𝗠𝗘𝗡𝗜𝗖𝗔 (𝟭𝟵𝟲𝟵): 𝟯𝟲𝟲-𝟯𝟲𝟳
      "Si Muumbaji wa Ulimwengu katika Mwanzo 2:1-3, bali ni Kanisa Katoliki linaweza kudai heshima ya kuwa na idhini ya kumpatia mwanadamu pumziko la kazi yake kila siku saba."
      𝗔𝗥𝗧𝗛𝗨𝗥 𝗪𝗘𝗜𝗚𝗔𝗟𝗟, 𝗧𝗛𝗘 𝗣𝗔𝗚𝗔𝗡𝗜𝗦𝗠 𝗜𝗡 𝗢𝗨𝗥 𝗖𝗛𝗥𝗜𝗦𝗧𝗜𝗔𝗡𝗜𝗧𝗬 (𝗡𝗘𝗪 𝗬𝗢𝗥𝗞: 𝗣𝗨𝗧𝗡𝗔𝗠𝗔™𝘀 𝗦𝗢𝗡𝗦, 𝟭𝟵𝟮𝟴): 𝟭𝟰𝟱:
      "Kanisa LILIIFANYA siku ya JUMAPILI kuwa TAKATIFU kikubwa ni kwa sababu ILIKUWA NI SIKUKUU YA JUA; maana ilikuwa dhahiri ni sera ya Kikristo kukubali sikukuu za kipagani zilizopendeka kwa watu na kwa utamaduni, na kuwapa maana muhimu ya Kikristo."
      𝗞𝗔𝗧𝗘𝗞𝗜𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗡𝗜𝗦𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗢𝗟𝗜𝗞𝗜, 𝗨𝗙𝗨𝗣𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗠𝗔𝗞𝗜𝗡𝗜
      𝗡𝗮𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝘂𝗸. 𝟭𝟯𝟲
      𝗦𝘄𝗮𝗹𝗶 𝟰𝟱𝟬. 𝑲𝒘𝒂𝒏𝒊𝒏𝒊 𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 "𝒂𝒍𝒊𝒊𝒃𝒂𝒓𝒊𝒌𝒊 𝒔𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒂𝒌𝒂𝒊𝒕𝒂𝒌𝒂𝒔𝒂"(𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 20:11)?
      𝗝𝗶𝗯𝘂: "kwa kuwa siku ya sabato linakumbukwa pumziko la Mungu siku ya Saba ya uumbaji, na vilevile ukombozi wa Israeli kutoka utumwani Misri , na Agano ambalo Mungu alikiweka na watu wake."
      💕💕 Hapo utagundua sababu za pumziko ni ; 1.kumbukumbu ya uumbaji wa Mungu,2. Ukombozi wa waisraeli, 3. Agano la Mungu na watu wake.
      𝗧𝘂𝗻𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗸𝘂𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂
      𝗦𝘄𝗹 𝟰𝟱𝟭. 𝒀𝒆𝒔𝒖 𝒂𝒍𝒊𝒊𝒕𝒆𝒏𝒅𝒂𝒋𝒆 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐?
      𝗝𝗶𝗯𝘂: "Yesu alitambua utakatifu wa sabato na kwa mamlaka yake ya kimungu akaipatia ufafanuzi halisi: "sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato"(Mk2:27).
      HAPA KICHWA GEOGRAPHY, INAMALIZA YOTE KUHUSU SABATO: PART1.
      Tutajifunza : Merrian Webster's collegiate Dictionary, Eleventh Edition, Defines Saturdays as The day of the week."
      >Hebu tujue machache kuhusu wanajiografia; wanasemaje kuhusu Sabato? Maana imenilazimu kutumia muda kujifunza na kuchunguza hili kwa kina ili wewe unayefuatilia ubaini Ukweli huu muhimu katika nyanja zotee; usiwe na sababu ya kutojua!!
      ✓Tuanzie mbali kidogo kuhusu kalenda , je kalenda ya leo imevurugwa? Sawa, twende pamoja:-
      -Kuanzia Yesu Kristo mpaka leo zipo kalenda kuu mbili:-
      1. Julia's Ceaser 46kk Yesu amezaliwa Kwenye kalenda hiyo.
      2. Gregory Calendar. Hii ni kalenda iliyoanzishwa na Papa Gregory XIII mwaka 1582.
      Je, mabadiliko hayo ya calendar ya Gregory yaliathiri kwa namna fulani siku ya saba (sabato)? SIKIZA JIBU: Papa Gregory baada ya wanaanga(Astronomer) kuona mapungufu ktk Kalenda ya Julius kuwa Kuna muda unapotea au upotevu wa dakika 11 na kuwa mwaka si siku 365 kamili.
      => Ili litimie neno lililonenwa na nabii Daniel , Papa Gregory alibadili kwa kurekebisha hivi, ilikuwa Alhamis #4/10/1582 akasema; siku inayofuata Yaani Ijumaa iwe tarehe 15/10/1582.
      Hivyo Papa hakufuta siku ya Saba (sabato) Bali tarehe tu zilibadilika! Aidha alibadili siku iishe saa sita kamili usiku, ama ianze saa sita kamili usiku badala ya saa kumi na mbili za mchana na saa kumi na mbili za usiku Kama biblia takatifu isemavyo!!!.👇👇
      Yesu akajibu, Je! Saa za mchana si kumi na mbili? Mtu akienda mchana hajikwai; kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu.Yohana 11:9
      Narudia tena neno la Mungu, halijajipinga na halihitaji marekebisho, iwe ya kisayansi ama ya kifalsafa lipo imara Ni kamilifu.
      Papa Gregory kuhusika kwake katika hili utagundua ndivyo kanisa katoliki hutumia mbinu mbalimbali kupenyeza Mambo yake, hata Ni rahisi kuelewa kuwa kwa kuwa tayari amri ya nne Kama tulivyoona, tayari ilikuwa imehalifiwa na kuididimiza, akaweka siku ianzie saa6 usiku!!
      💖Je, saa sita kamili ndio siku mpya(nyingine) huanza? Wataalamu wa nyota aidha January 1 , 2021 wakizungumzia muda halisi Ni upi dunia humaliza kuzunguka Jua walisema kwa kweli si kweli kuwa saa sita usiku ndiyo siku ya mwaka mpya huanza, hakuna ushahidi wa kisayansi kuwa saa sita kamili ndiye siku inaanza, ni nadharia tu, zilizosapotiwa na Gregory XIII.
      Utagundua pia kuwa, kanisa limejihusisha kwa karibu na ustaarabu unaoendelea duniani, ni taasisi iliyojificha Kwenye sura ya dini Ila Ni serekali.....
      ✓Kwanini kalenda za ulaya zinahesabu Jumatatu Kama siku ya Kwanza ya Juma? JIBU: Kuifanya Jumapili kuwa siku ya saba katika Kalenda za Ulaya kumeanza miaka ya 1950's. Kabla ya mwaka 1950's kalenda ziliishia Jumamosi. Sababu ya mabadiliko hayo ilitokana na wafanyabiashara wengi kwenda ibadani Jumapili, kwa hiyo siku za kazi zikaanza Jumatatu hadi Jumamosi Kwenye kalenda.
      ✔️Pia wanajiografia: wamethibitisha Ukweli huu; Mstari wa Greenwich England (yaani mstari wa tarehe wa kimataifa) na Wachunguzi wa usafiri wa majini U.S.A Wamethibitisha kuwa mzunguko wa week kamwe haujawahi badilika upo vilevile.
      NB: Najua Kuna wasomi wenzangu (G&H) Ni vema wakaguswa nao na kufuata utafiti huo. Biblia ingetosha kueleza umuhimu wa Siku ya Saba ya Juma ila kwa kuwa binadamu tunauelewa tofauti nimeona ni vema kugusa nyanja mbalimbali, ili asomaye afahamu.
      Amani ya Bwana Yesu kristo na Pendo la Mungu Baba na Ushirika wa Roho Mtakatifu viwe nanyi nyote. Amen
      Ukweli ni Ukweli, Mungu akubariki 🙏

    • @RehemaDavid-f2l
      @RehemaDavid-f2l 6 месяцев назад +3

      Sasa hananja amesema ukweli gani? Au kasema maneno yake mwenyewe tu,tungetegemea apinge kwa hoja ya maandko,na atuambie kwamba amri za Mungu hazipo,maana siku ya ibada (sabato) ni amri ya nne ya Mungu,hata mbinguni tukifika tutamwabudu Mungu ktk siku hyo,soma ISAYA 66:22-24., kwahyo hananja katoa mawazo yake Wala sio ya Mungu maana hayakutoka kwenye biblia.jisomee maandko mwenyewe uone ukweli ulivyo,yaan hananja katoa majb uliokua nayo na unayoyapenda bila kujali ni ya ukweli au la! Njia Bora ya kijibu hoja za imani ni Biblia na Biblia pekee.Barikiwa

    • @alexluteganya4087
      @alexluteganya4087 6 месяцев назад

      ​@@RehemaDavid-f2l😊

    • @bahatimshali2731
      @bahatimshali2731 6 месяцев назад

      ​@@RehemaDavid-f2lBiblia inasema mtu ahukumiwi kwa siku wala kwa mwandamo wa mwezi. Sasa endelea na kushika siku. Sabato ilitakiwa mtu asitembee umbali unaozidi wa kutupa jiwe. Nyie mnaenda umbali hata wa 50km. Sasa mnaitii sabato?

    • @bahatimshali2731
      @bahatimshali2731 6 месяцев назад

      ​@@RehemaDavid-f2lHalafu unakuta mtu ameshika sabato huku akiendelea kutenda dhambi nyingine. Hiyo inasaidia?
      Mtu anakataa Christmas kwamba Yesu hakuzaliwa siku hiyo, lakini, si alizaliwa?

  • @nicholausmeela3354
    @nicholausmeela3354 7 месяцев назад +6

    Asante sana Mch. Hananja kwa kalenda ya siku hizi Yesu ni kweli alifufuka siku moja na nusu

  • @LucyPhilipo-r2s
    @LucyPhilipo-r2s 2 месяца назад +2

    Barikiwa san mchingaji umeelekeza vyakutosha na unahekima Mimi binafsi nimemuelewa sana, kila iitwapo Leo ni siku ya Ibada barikiwa saaana,

  • @BeullahBujah-lk3sx
    @BeullahBujah-lk3sx 28 дней назад +1

    Asante Mtumishi wa Mungu Pst Hananja

  • @sandejacob623
    @sandejacob623 7 месяцев назад +11

    Safi sana, Yesu hakuja duniani kuwaambia watu wasali Jumamosi bali tuaache uovu

    • @isayasimwinga2854
      @isayasimwinga2854 6 месяцев назад

      @@sandejacob623 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗘𝗡𝗖𝗬𝗖𝗟𝗢𝗣𝗘𝗗𝗜𝗔, 𝗩𝗢𝗟𝗨𝗠𝗘 𝗜𝗩 , 𝗨𝗞. 𝟭𝟱𝟯 : "Kanisa.......baada ya kubadilisha siku ya pumziko kutoka Sabato ya kiyahudi, au siku ya saba ya juma, kwenda siku ya kwanza , likaifanya amri ya tatu itamke kuwa Jumapili ni siku ya kuishika Kitakatifu kama siku ya Bwana".
      𝗞𝗔𝗗𝗜𝗡𝗔𝗟𝗜 𝗚𝗜𝗕𝗕𝗢𝗡𝗦, katika kitabu chake kiitwacho "𝗧𝗵𝗲 𝗤𝘂𝗲𝘀𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗕𝗼𝘅, 𝗨𝗞. 𝟭𝟳𝟵, anakiri kwa namna ya kushangaza: "Ikiwa Biblia ndio kiongozi pekee kwa Wakristo, bila Shaka Waadventista Wa Sabato wako sahihi katika utunzaji wa Jumamosi pamoja na Wayahudi...... Si jambo la kushangaza kwamba wale wanaoifanya Biblia kuwa mwalimu wao pekee, Wanakuwa na msimamo tofauti katika jambo kwa kufuata mapokeo ya Kanisa Katoliki?".
      𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗔. 𝗢'𝗕𝗥𝗜𝗘𝗡 katika kitabu "𝗨𝗻𝗱𝗲𝗿𝘀𝘁𝗮𝗻𝗱𝗶𝗻𝗴 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗮𝘁𝗵𝗼𝗹𝗶𝗰 𝗙𝗮𝗶𝘁𝗵," 𝗨𝗞. 𝟭𝟯, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟭𝟵𝟱𝟱 anasema: "𝗕𝗶𝗯𝗹𝗶𝗮 𝗵𝗮𝗶𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗼 𝘆𝗼𝘁𝗲 𝘆𝗮 𝗱𝗶𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗞𝗶𝗸𝗮𝘁𝗼𝗹𝗶𝗸𝗶, wala haielezei majukumu yote ya washiriki wake. Chukulia kwa mfano, suala la utunzaji wa jumapili, uhudhuriaji wa ibada , na uepukaji wa kazi zisizofaa siku hiyo. Hili ni jambo ambalo majirani zetu waprotestanti wameliwekea msisitizo mkubwa kwa miaka mingi; hata hivyo hakuna mahala popote kwenye Biblia ambapo Jumapili imetajwa kama siku ya Bwana; siku iliyotajwa ni Sabato, siku ya mwisho ya juma........"
      𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗟𝗘𝗢 𝗝. 𝗧𝗥𝗘𝗦𝗘 𝗻𝗮 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗝. 𝗖𝗔𝗦𝗧𝗟𝗘𝗟𝗢𝗧, Katika Kitabu kinachoitwa "𝗦𝗮𝗹𝘃𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗛𝗶𝘀𝘁𝗼𝗿𝘆 𝗮𝗻𝗱 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗼𝗺𝗺𝗮𝗻𝗱𝗺𝗲𝗻𝘁𝘀," 𝘂𝗸 𝟮𝟵𝟰, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝟭𝟵𝟲𝟯, hueleza hivi: "Hakuna andiko lolote katika Biblia linalozungumzia badiliko la siku ya Bwana kutoka Jumamosi kwenda Jumapili. Tunafahamu tu kuhusu badiliko hili kutoka Kwenye mapokeo ya kanisa kupitia viongozi wa kanisa. Hii ndiyo sababu kwa nini tunaona haina mantiki kwa makundi mengi ya wasio Wakatoliki, wanaosema kwamba hawataamini chochote vinginevyo iwe imeandikwa katika Biblia na lakini bado wanaendelea kuadhimisha Jumapili Kama siku ya Bwana kwa kauli ya Kanisa Katoliki."
      𝗧𝗛𝗘 𝗖𝗢𝗡𝗩𝗘𝗥𝗧'𝗦 𝗖𝗔𝗧𝗘𝗖𝗛𝗜𝗦𝗠 𝗢𝗙 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗗𝗢𝗖𝗧𝗥𝗜𝗡𝗘 (𝟭𝟵𝟱𝟳):𝟱𝟬
      > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑺𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝑺𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒏𝒊 𝒊𝒑𝒊
      > JIBU: Jumamosi ndiyo siku ya Sabato.
      > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑲𝒘𝒂 𝒏𝒊𝒏𝒊 𝒕𝒖𝒏𝒂𝒊𝒂𝒅𝒉𝒊𝒎𝒊𝒔𝒉𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒑𝒊𝒍𝒊 𝒃𝒂𝒅𝒂𝒍𝒂 𝒚𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒎𝒐𝒔𝒊?
      > JIBU: Tunaiadhimisha Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu Kanisa Katoliki lilihamisha utakatifu wa Jumamosi kwenda Jumapili.
      𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗣𝗥𝗜𝗘𝗦𝗧 𝗧. 𝗘𝗡𝗥𝗜𝗚𝗛𝗧, 𝗖𝗦𝗦𝗥, 𝗞𝗔𝗡𝗦𝗔𝗦 𝗖𝗜𝗧𝗬, 𝗠𝗢:
      "Lilikuwa ni kanisa takatifu Katoliki ambalo lilibadilisha siku ya pumzika kutoka Jumamosi kwenda Jumapili, ambayo ni siku ya kwanza ya juma. Na halikulazimisha wote kuitunza Jumapili peke yake, bali kwenye Baraza la Laodekia, mwaka 364 BK, liliwalaani wale ambao waliitunza Sabato na kuwasihi watu wote kufanya kazi katika siku ya saba chini ya adhabu ya laana"
      𝗦.𝗖. 𝗠𝗢𝗦𝗡𝗔, 𝗦𝗧𝗢𝗥𝗜𝗔 𝗗𝗘𝗟𝗟𝗔 𝗗𝗢𝗠𝗘𝗡𝗜𝗖𝗔 (𝟭𝟵𝟲𝟵): 𝟯𝟲𝟲-𝟯𝟲𝟳
      "Si Muumbaji wa Ulimwengu katika Mwanzo 2:1-3, bali ni Kanisa Katoliki linaweza kudai heshima ya kuwa na idhini ya kumpatia mwanadamu pumziko la kazi yake kila siku saba."
      𝗔𝗥𝗧𝗛𝗨𝗥 𝗪𝗘𝗜𝗚𝗔𝗟𝗟, 𝗧𝗛𝗘 𝗣𝗔𝗚𝗔𝗡𝗜𝗦𝗠 𝗜𝗡 𝗢𝗨𝗥 𝗖𝗛𝗥𝗜𝗦𝗧𝗜𝗔𝗡𝗜𝗧𝗬 (𝗡𝗘𝗪 𝗬𝗢𝗥𝗞: 𝗣𝗨𝗧𝗡𝗔𝗠𝗔™𝘀 𝗦𝗢𝗡𝗦, 𝟭𝟵𝟮𝟴): 𝟭𝟰𝟱:
      "Kanisa LILIIFANYA siku ya JUMAPILI kuwa TAKATIFU kikubwa ni kwa sababu ILIKUWA NI SIKUKUU YA JUA; maana ilikuwa dhahiri ni sera ya Kikristo kukubali sikukuu za kipagani zilizopendeka kwa watu na kwa utamaduni, na kuwapa maana muhimu ya Kikristo."
      𝗞𝗔𝗧𝗘𝗞𝗜𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗡𝗜𝗦𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗢𝗟𝗜𝗞𝗜, 𝗨𝗙𝗨𝗣𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗠𝗔𝗞𝗜𝗡𝗜
      𝗡𝗮𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝘂𝗸. 𝟭𝟯𝟲
      𝗦𝘄𝗮𝗹𝗶 𝟰𝟱𝟬. 𝑲𝒘𝒂𝒏𝒊𝒏𝒊 𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 "𝒂𝒍𝒊𝒊𝒃𝒂𝒓𝒊𝒌𝒊 𝒔𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒂𝒌𝒂𝒊𝒕𝒂𝒌𝒂𝒔𝒂"(𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 20:11)?
      𝗝𝗶𝗯𝘂: "kwa kuwa siku ya sabato linakumbukwa pumziko la Mungu siku ya Saba ya uumbaji, na vilevile ukombozi wa Israeli kutoka utumwani Misri , na Agano ambalo Mungu alikiweka na watu wake."
      💕💕 Hapo utagundua sababu za pumziko ni ; 1.kumbukumbu ya uumbaji wa Mungu,2. Ukombozi wa waisraeli, 3. Agano la Mungu na watu wake.
      𝗧𝘂𝗻𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗸𝘂𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂
      𝗦𝘄𝗹 𝟰𝟱𝟭. 𝒀𝒆𝒔𝒖 𝒂𝒍𝒊𝒊𝒕𝒆𝒏𝒅𝒂𝒋𝒆 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐?
      𝗝𝗶𝗯𝘂: "Yesu alitambua utakatifu wa sabato na kwa mamlaka yake ya kimungu akaipatia ufafanuzi halisi: "sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato"(Mk2:27).
      HAPA KICHWA GEOGRAPHY, INAMALIZA YOTE KUHUSU SABATO: PART1.
      Tutajifunza : Merrian Webster's collegiate Dictionary, Eleventh Edition, Defines Saturdays as The day of the week."
      >Hebu tujue machache kuhusu wanajiografia; wanasemaje kuhusu Sabato? Maana imenilazimu kutumia muda kujifunza na kuchunguza hili kwa kina ili wewe unayefuatilia ubaini Ukweli huu muhimu katika nyanja zotee; usiwe na sababu ya kutojua!!
      ✓Tuanzie mbali kidogo kuhusu kalenda , je kalenda ya leo imevurugwa? Sawa, twende pamoja:-
      -Kuanzia Yesu Kristo mpaka leo zipo kalenda kuu mbili:-
      1. Julia's Ceaser 46kk Yesu amezaliwa Kwenye kalenda hiyo.
      2. Gregory Calendar. Hii ni kalenda iliyoanzishwa na Papa Gregory XIII mwaka 1582.
      Je, mabadiliko hayo ya calendar ya Gregory yaliathiri kwa namna fulani siku ya saba (sabato)? SIKIZA JIBU: Papa Gregory baada ya wanaanga(Astronomer) kuona mapungufu ktk Kalenda ya Julius kuwa Kuna muda unapotea au upotevu wa dakika 11 na kuwa mwaka si siku 365 kamili.
      => Ili litimie neno lililonenwa na nabii Daniel , Papa Gregory alibadili kwa kurekebisha hivi, ilikuwa Alhamis #4/10/1582 akasema; siku inayofuata Yaani Ijumaa iwe tarehe 15/10/1582.
      Hivyo Papa hakufuta siku ya Saba (sabato) Bali tarehe tu zilibadilika! Aidha alibadili siku iishe saa sita kamili usiku, ama ianze saa sita kamili usiku badala ya saa kumi na mbili za mchana na saa kumi na mbili za usiku Kama biblia takatifu isemavyo!!!.👇👇
      Yesu akajibu, Je! Saa za mchana si kumi na mbili? Mtu akienda mchana hajikwai; kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu.Yohana 11:9
      Narudia tena neno la Mungu, halijajipinga na halihitaji marekebisho, iwe ya kisayansi ama ya kifalsafa lipo imara Ni kamilifu.
      Papa Gregory kuhusika kwake katika hili utagundua ndivyo kanisa katoliki hutumia mbinu mbalimbali kupenyeza Mambo yake, hata Ni rahisi kuelewa kuwa kwa kuwa tayari amri ya nne Kama tulivyoona, tayari ilikuwa imehalifiwa na kuididimiza, akaweka siku ianzie saa6 usiku!!
      💖Je, saa sita kamili ndio siku mpya(nyingine) huanza? Wataalamu wa nyota aidha January 1 , 2021 wakizungumzia muda halisi Ni upi dunia humaliza kuzunguka Jua walisema kwa kweli si kweli kuwa saa sita usiku ndiyo siku ya mwaka mpya huanza, hakuna ushahidi wa kisayansi kuwa saa sita kamili ndiye siku inaanza, ni nadharia tu, zilizosapotiwa na Gregory XIII.
      Utagundua pia kuwa, kanisa limejihusisha kwa karibu na ustaarabu unaoendelea duniani, ni taasisi iliyojificha Kwenye sura ya dini Ila Ni serekali.....
      ✓Kwanini kalenda za ulaya zinahesabu Jumatatu Kama siku ya Kwanza ya Juma? JIBU: Kuifanya Jumapili kuwa siku ya saba katika Kalenda za Ulaya kumeanza miaka ya 1950's. Kabla ya mwaka 1950's kalenda ziliishia Jumamosi. Sababu ya mabadiliko hayo ilitokana na wafanyabiashara wengi kwenda ibadani Jumapili, kwa hiyo siku za kazi zikaanza Jumatatu hadi Jumamosi Kwenye kalenda.
      ✔️Pia wanajiografia: wamethibitisha Ukweli huu; Mstari wa Greenwich England (yaani mstari wa tarehe wa kimataifa) na Wachunguzi wa usafiri wa majini U.S.A Wamethibitisha kuwa mzunguko wa week kamwe haujawahi badilika upo vilevile.
      NB: Najua Kuna wasomi wenzangu (G&H) Ni vema wakaguswa nao na kufuata utafiti huo. Biblia ingetosha kueleza umuhimu wa Siku ya Saba ya Juma ila kwa kuwa binadamu tunauelewa tofauti nimeona ni vema kugusa nyanja mbalimbali, ili asomaye afahamu.
      Amani ya Bwana Yesu kristo na Pendo la Mungu Baba na Ushirika wa Roho Mtakatifu viwe nanyi nyote. Amen
      Ukweli ni Ukweli, Mungu akubariki 🙏

    • @RehemaDavid-f2l
      @RehemaDavid-f2l 6 месяцев назад

      Hyo safi sana,je! Umeikagua na kuiona kweli ni safi kwa mujibu wa Yohana 17:17? Maana ukweli na usafi unapatikana kwa kuyasoma maandko,Sasa je hananja katusomea biblia ktk majb yake? Pima mwenyewe uone!!.

  • @TheMakala21
    @TheMakala21 7 месяцев назад +12

    Asante sana MASTER Hananja! kama hajakuelewa hapa hato elewa tena!

    • @isayasimwinga2854
      @isayasimwinga2854 6 месяцев назад

      @@TheMakala21 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗘𝗡𝗖𝗬𝗖𝗟𝗢𝗣𝗘𝗗𝗜𝗔, 𝗩𝗢𝗟𝗨𝗠𝗘 𝗜𝗩 , 𝗨𝗞. 𝟭𝟱𝟯 : "Kanisa.......baada ya kubadilisha siku ya pumziko kutoka Sabato ya kiyahudi, au siku ya saba ya juma, kwenda siku ya kwanza , likaifanya amri ya tatu itamke kuwa Jumapili ni siku ya kuishika Kitakatifu kama siku ya Bwana".
      𝗞𝗔𝗗𝗜𝗡𝗔𝗟𝗜 𝗚𝗜𝗕𝗕𝗢𝗡𝗦, katika kitabu chake kiitwacho "𝗧𝗵𝗲 𝗤𝘂𝗲𝘀𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗕𝗼𝘅, 𝗨𝗞. 𝟭𝟳𝟵, anakiri kwa namna ya kushangaza: "Ikiwa Biblia ndio kiongozi pekee kwa Wakristo, bila Shaka Waadventista Wa Sabato wako sahihi katika utunzaji wa Jumamosi pamoja na Wayahudi...... Si jambo la kushangaza kwamba wale wanaoifanya Biblia kuwa mwalimu wao pekee, Wanakuwa na msimamo tofauti katika jambo kwa kufuata mapokeo ya Kanisa Katoliki?".
      𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗔. 𝗢'𝗕𝗥𝗜𝗘𝗡 katika kitabu "𝗨𝗻𝗱𝗲𝗿𝘀𝘁𝗮𝗻𝗱𝗶𝗻𝗴 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗮𝘁𝗵𝗼𝗹𝗶𝗰 𝗙𝗮𝗶𝘁𝗵," 𝗨𝗞. 𝟭𝟯, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟭𝟵𝟱𝟱 anasema: "𝗕𝗶𝗯𝗹𝗶𝗮 𝗵𝗮𝗶𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗼 𝘆𝗼𝘁𝗲 𝘆𝗮 𝗱𝗶𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗞𝗶𝗸𝗮𝘁𝗼𝗹𝗶𝗸𝗶, wala haielezei majukumu yote ya washiriki wake. Chukulia kwa mfano, suala la utunzaji wa jumapili, uhudhuriaji wa ibada , na uepukaji wa kazi zisizofaa siku hiyo. Hili ni jambo ambalo majirani zetu waprotestanti wameliwekea msisitizo mkubwa kwa miaka mingi; hata hivyo hakuna mahala popote kwenye Biblia ambapo Jumapili imetajwa kama siku ya Bwana; siku iliyotajwa ni Sabato, siku ya mwisho ya juma........"
      𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗟𝗘𝗢 𝗝. 𝗧𝗥𝗘𝗦𝗘 𝗻𝗮 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗝. 𝗖𝗔𝗦𝗧𝗟𝗘𝗟𝗢𝗧, Katika Kitabu kinachoitwa "𝗦𝗮𝗹𝘃𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗛𝗶𝘀𝘁𝗼𝗿𝘆 𝗮𝗻𝗱 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗼𝗺𝗺𝗮𝗻𝗱𝗺𝗲𝗻𝘁𝘀," 𝘂𝗸 𝟮𝟵𝟰, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝟭𝟵𝟲𝟯, hueleza hivi: "Hakuna andiko lolote katika Biblia linalozungumzia badiliko la siku ya Bwana kutoka Jumamosi kwenda Jumapili. Tunafahamu tu kuhusu badiliko hili kutoka Kwenye mapokeo ya kanisa kupitia viongozi wa kanisa. Hii ndiyo sababu kwa nini tunaona haina mantiki kwa makundi mengi ya wasio Wakatoliki, wanaosema kwamba hawataamini chochote vinginevyo iwe imeandikwa katika Biblia na lakini bado wanaendelea kuadhimisha Jumapili Kama siku ya Bwana kwa kauli ya Kanisa Katoliki."
      𝗧𝗛𝗘 𝗖𝗢𝗡𝗩𝗘𝗥𝗧'𝗦 𝗖𝗔𝗧𝗘𝗖𝗛𝗜𝗦𝗠 𝗢𝗙 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗗𝗢𝗖𝗧𝗥𝗜𝗡𝗘 (𝟭𝟵𝟱𝟳):𝟱𝟬
      > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑺𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝑺𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒏𝒊 𝒊𝒑𝒊
      > JIBU: Jumamosi ndiyo siku ya Sabato.
      > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑲𝒘𝒂 𝒏𝒊𝒏𝒊 𝒕𝒖𝒏𝒂𝒊𝒂𝒅𝒉𝒊𝒎𝒊𝒔𝒉𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒑𝒊𝒍𝒊 𝒃𝒂𝒅𝒂𝒍𝒂 𝒚𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒎𝒐𝒔𝒊?
      > JIBU: Tunaiadhimisha Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu Kanisa Katoliki lilihamisha utakatifu wa Jumamosi kwenda Jumapili.
      𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗣𝗥𝗜𝗘𝗦𝗧 𝗧. 𝗘𝗡𝗥𝗜𝗚𝗛𝗧, 𝗖𝗦𝗦𝗥, 𝗞𝗔𝗡𝗦𝗔𝗦 𝗖𝗜𝗧𝗬, 𝗠𝗢:
      "Lilikuwa ni kanisa takatifu Katoliki ambalo lilibadilisha siku ya pumzika kutoka Jumamosi kwenda Jumapili, ambayo ni siku ya kwanza ya juma. Na halikulazimisha wote kuitunza Jumapili peke yake, bali kwenye Baraza la Laodekia, mwaka 364 BK, liliwalaani wale ambao waliitunza Sabato na kuwasihi watu wote kufanya kazi katika siku ya saba chini ya adhabu ya laana"
      𝗦.𝗖. 𝗠𝗢𝗦𝗡𝗔, 𝗦𝗧𝗢𝗥𝗜𝗔 𝗗𝗘𝗟𝗟𝗔 𝗗𝗢𝗠𝗘𝗡𝗜𝗖𝗔 (𝟭𝟵𝟲𝟵): 𝟯𝟲𝟲-𝟯𝟲𝟳
      "Si Muumbaji wa Ulimwengu katika Mwanzo 2:1-3, bali ni Kanisa Katoliki linaweza kudai heshima ya kuwa na idhini ya kumpatia mwanadamu pumziko la kazi yake kila siku saba."
      𝗔𝗥𝗧𝗛𝗨𝗥 𝗪𝗘𝗜𝗚𝗔𝗟𝗟, 𝗧𝗛𝗘 𝗣𝗔𝗚𝗔𝗡𝗜𝗦𝗠 𝗜𝗡 𝗢𝗨𝗥 𝗖𝗛𝗥𝗜𝗦𝗧𝗜𝗔𝗡𝗜𝗧𝗬 (𝗡𝗘𝗪 𝗬𝗢𝗥𝗞: 𝗣𝗨𝗧𝗡𝗔𝗠𝗔™𝘀 𝗦𝗢𝗡𝗦, 𝟭𝟵𝟮𝟴): 𝟭𝟰𝟱:
      "Kanisa LILIIFANYA siku ya JUMAPILI kuwa TAKATIFU kikubwa ni kwa sababu ILIKUWA NI SIKUKUU YA JUA; maana ilikuwa dhahiri ni sera ya Kikristo kukubali sikukuu za kipagani zilizopendeka kwa watu na kwa utamaduni, na kuwapa maana muhimu ya Kikristo."
      𝗞𝗔𝗧𝗘𝗞𝗜𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗡𝗜𝗦𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗢𝗟𝗜𝗞𝗜, 𝗨𝗙𝗨𝗣𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗠𝗔𝗞𝗜𝗡𝗜
      𝗡𝗮𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝘂𝗸. 𝟭𝟯𝟲
      𝗦𝘄𝗮𝗹𝗶 𝟰𝟱𝟬. 𝑲𝒘𝒂𝒏𝒊𝒏𝒊 𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 "𝒂𝒍𝒊𝒊𝒃𝒂𝒓𝒊𝒌𝒊 𝒔𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒂𝒌𝒂𝒊𝒕𝒂𝒌𝒂𝒔𝒂"(𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 20:11)?
      𝗝𝗶𝗯𝘂: "kwa kuwa siku ya sabato linakumbukwa pumziko la Mungu siku ya Saba ya uumbaji, na vilevile ukombozi wa Israeli kutoka utumwani Misri , na Agano ambalo Mungu alikiweka na watu wake."
      💕💕 Hapo utagundua sababu za pumziko ni ; 1.kumbukumbu ya uumbaji wa Mungu,2. Ukombozi wa waisraeli, 3. Agano la Mungu na watu wake.
      𝗧𝘂𝗻𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗸𝘂𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂
      𝗦𝘄𝗹 𝟰𝟱𝟭. 𝒀𝒆𝒔𝒖 𝒂𝒍𝒊𝒊𝒕𝒆𝒏𝒅𝒂𝒋𝒆 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐?
      𝗝𝗶𝗯𝘂: "Yesu alitambua utakatifu wa sabato na kwa mamlaka yake ya kimungu akaipatia ufafanuzi halisi: "sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato"(Mk2:27).
      HAPA KICHWA GEOGRAPHY, INAMALIZA YOTE KUHUSU SABATO: PART1.
      Tutajifunza : Merrian Webster's collegiate Dictionary, Eleventh Edition, Defines Saturdays as The day of the week."
      >Hebu tujue machache kuhusu wanajiografia; wanasemaje kuhusu Sabato? Maana imenilazimu kutumia muda kujifunza na kuchunguza hili kwa kina ili wewe unayefuatilia ubaini Ukweli huu muhimu katika nyanja zotee; usiwe na sababu ya kutojua!!
      ✓Tuanzie mbali kidogo kuhusu kalenda , je kalenda ya leo imevurugwa? Sawa, twende pamoja:-
      -Kuanzia Yesu Kristo mpaka leo zipo kalenda kuu mbili:-
      1. Julia's Ceaser 46kk Yesu amezaliwa Kwenye kalenda hiyo.
      2. Gregory Calendar. Hii ni kalenda iliyoanzishwa na Papa Gregory XIII mwaka 1582.
      Je, mabadiliko hayo ya calendar ya Gregory yaliathiri kwa namna fulani siku ya saba (sabato)? SIKIZA JIBU: Papa Gregory baada ya wanaanga(Astronomer) kuona mapungufu ktk Kalenda ya Julius kuwa Kuna muda unapotea au upotevu wa dakika 11 na kuwa mwaka si siku 365 kamili.
      => Ili litimie neno lililonenwa na nabii Daniel , Papa Gregory alibadili kwa kurekebisha hivi, ilikuwa Alhamis #4/10/1582 akasema; siku inayofuata Yaani Ijumaa iwe tarehe 15/10/1582.
      Hivyo Papa hakufuta siku ya Saba (sabato) Bali tarehe tu zilibadilika! Aidha alibadili siku iishe saa sita kamili usiku, ama ianze saa sita kamili usiku badala ya saa kumi na mbili za mchana na saa kumi na mbili za usiku Kama biblia takatifu isemavyo!!!.👇👇
      Yesu akajibu, Je! Saa za mchana si kumi na mbili? Mtu akienda mchana hajikwai; kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu.Yohana 11:9
      Narudia tena neno la Mungu, halijajipinga na halihitaji marekebisho, iwe ya kisayansi ama ya kifalsafa lipo imara Ni kamilifu.
      Papa Gregory kuhusika kwake katika hili utagundua ndivyo kanisa katoliki hutumia mbinu mbalimbali kupenyeza Mambo yake, hata Ni rahisi kuelewa kuwa kwa kuwa tayari amri ya nne Kama tulivyoona, tayari ilikuwa imehalifiwa na kuididimiza, akaweka siku ianzie saa6 usiku!!
      💖Je, saa sita kamili ndio siku mpya(nyingine) huanza? Wataalamu wa nyota aidha January 1 , 2021 wakizungumzia muda halisi Ni upi dunia humaliza kuzunguka Jua walisema kwa kweli si kweli kuwa saa sita usiku ndiyo siku ya mwaka mpya huanza, hakuna ushahidi wa kisayansi kuwa saa sita kamili ndiye siku inaanza, ni nadharia tu, zilizosapotiwa na Gregory XIII.
      Utagundua pia kuwa, kanisa limejihusisha kwa karibu na ustaarabu unaoendelea duniani, ni taasisi iliyojificha Kwenye sura ya dini Ila Ni serekali.....
      ✓Kwanini kalenda za ulaya zinahesabu Jumatatu Kama siku ya Kwanza ya Juma? JIBU: Kuifanya Jumapili kuwa siku ya saba katika Kalenda za Ulaya kumeanza miaka ya 1950's. Kabla ya mwaka 1950's kalenda ziliishia Jumamosi. Sababu ya mabadiliko hayo ilitokana na wafanyabiashara wengi kwenda ibadani Jumapili, kwa hiyo siku za kazi zikaanza Jumatatu hadi Jumamosi Kwenye kalenda.
      ✔️Pia wanajiografia: wamethibitisha Ukweli huu; Mstari wa Greenwich England (yaani mstari wa tarehe wa kimataifa) na Wachunguzi wa usafiri wa majini U.S.A Wamethibitisha kuwa mzunguko wa week kamwe haujawahi badilika upo vilevile.
      NB: Najua Kuna wasomi wenzangu (G&H) Ni vema wakaguswa nao na kufuata utafiti huo. Biblia ingetosha kueleza umuhimu wa Siku ya Saba ya Juma ila kwa kuwa binadamu tunauelewa tofauti nimeona ni vema kugusa nyanja mbalimbali, ili asomaye afahamu.
      Amani ya Bwana Yesu kristo na Pendo la Mungu Baba na Ushirika wa Roho Mtakatifu viwe nanyi nyote. Amen
      Ukweli ni Ukweli, Mungu akubariki 🙏

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 6 месяцев назад +6

    Nimekuelewa sana, Mungu ni mmoja tu. Hata sisi Waislam Mungu ana majina 100 na kwa anaelewa kwa kila jambo Mungu huombwa kwa jina sahihi. Waislam na Wakristo tunatofautiana lugha.

    • @judithnaomy6787
      @judithnaomy6787 6 месяцев назад

      Mch hananja mungu akubariki sana umefafanua Mzee wa upako haijui biblia Mzee waupako kaiyacha Imani Kawa mpinga kristo mungu amsanehe kabisa

    • @JosefuSwai
      @JosefuSwai 6 месяцев назад

      Wewe nimekupenda sanasana sio mnazi kama wengine udini umewajaa tu

    • @hamishatibu699
      @hamishatibu699 6 месяцев назад

      Wew waislamu na wakirto wanatofutiana kila kitu, Dini, ibada, Mungu

    • @Abuu-gs1yi
      @Abuu-gs1yi 2 месяца назад

      Mungu ana majina 99 na c 100

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 7 месяцев назад +10

    Mzee wa upako inawezekana kabisa hajui Biblia na hakwenda Bible School maana angejua hayo matatu asingesema habari ya siku ya kusali, Lkn Dr. Hananja kajibu vizuri sana.be blessed Dr.Hananja.

    • @JacksonSimbeye-qz1zp
      @JacksonSimbeye-qz1zp 7 месяцев назад

      Ebrania 4:9soma mungu akusaidie kuelewa

    • @VictoriaCharles-r6y
      @VictoriaCharles-r6y 6 месяцев назад

      Ikumbuke siku ya sabato uitakase

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 6 месяцев назад

      KABISAA

    • @gililwise
      @gililwise 5 месяцев назад +2

      Wachungaji wanaojiita manabii, upako, mitume,hawajasoma theolojia wanakurupuka

  • @IsmailKhamis-c3t
    @IsmailKhamis-c3t 29 дней назад +1

    Mungu atabaki kuwa mungu pekeyeke ahsnte mchungaji

  • @isackchilewa1232
    @isackchilewa1232 7 месяцев назад +1

    Mungu akubariki umesaidia wengi sana juu ya nafsi tatu Mungu mmoja. Asante mtangazaji kwa kuuliza swali kwa ajili ya maelfu

  • @onlyyoujesus8232
    @onlyyoujesus8232 Месяц назад +1

    Safi sana mchungaji, upo vizuri

  • @christinemtengule766
    @christinemtengule766 6 месяцев назад +8

    Ndiyo maana nampenda sana pastor Hananja Kwa sababu yeye hutumia Hilo Hilo neno kukusoa/ kutetea hoja

    • @HoseaNguge
      @HoseaNguge 5 месяцев назад

      Soma biblia acha kusikiliza wachungaji dear

    • @FadhiliMaganga
      @FadhiliMaganga 3 месяца назад

      ​@@HoseaNgugehuyu bwana nae huyu wewe hujaelwa nini hapo?

    • @humbleshoal
      @humbleshoal 4 дня назад

      ​@@HoseaNguge
      Biblia inahitaji uongozi huwezi, kuisoma kama gazeti

  • @andrewkaswagula3367
    @andrewkaswagula3367 7 месяцев назад +11

    Hananja is the best.. kila leo nisikilizapo maelezo yako hasa kuhusu tafsiri ya Biblia inanifanya niendelee kujivunia kuwa mkristo...

    • @jabirkasunzu6841
      @jabirkasunzu6841 7 месяцев назад +3

      Ndugu yangu, naomba uelewe kuwa siku ya hukumu hatokuwepo mkalimani, mwanasaikolojia, mwanafalsafa, roho mtakatifu wala Hananja katikati ni wewe pekee na Mungu wako. Hivyo ni vyema ukawa unasikiliza pande zote mbili na kurejelea maandiko na kuyachambua kwa akili yako ndio msingi wa hoja zako kwa Mungu na si kushabikia fulani kwasababu ni binadamu anaweza kuteleza.
      Nimefuatilia clips zote mbili, Hananja anapotosha, hana hoja za kimaandiko, ni mapokeo ya waleta dini, wazungu.
      Mzee wa Upako yuko sahihi maana ana hoja kutoka kwenye biblia. Na wewe, ungejitahidi kufuatilia clips zote mbili. Asante.

    • @AllDesigningTZ
      @AllDesigningTZ 7 месяцев назад +1

      Kweli mzee wa upako yuko sahihi

    • @Carolina-sm5zt
      @Carolina-sm5zt 7 месяцев назад

      Kwani Mzee wa upako yeye anaabudu siku gani

    • @maclaudismail6606
      @maclaudismail6606 6 месяцев назад

      @@Carolina-sm5zt abudu siku zote

    • @ZabronWambura-yb5jf
      @ZabronWambura-yb5jf 6 месяцев назад

      ​@@jabirkasunzu6841anatwambia hakuna Mungu mwana kwahyo anamkataa yesu 😅

  • @DecmondNergeKind-v6i
    @DecmondNergeKind-v6i Месяц назад +1

    Nakukubali sana Hanan wew ni mtume wa yesu kristo

  • @dominiclupembe8517
    @dominiclupembe8517 5 месяцев назад +1

    Amina ubarikiwe NIMEMUONA MUNGU

  • @ZachaliaJoseph-rp7nt
    @ZachaliaJoseph-rp7nt 4 месяца назад +1

    Ubarikiwe sana mtumishi

  • @geofreymwakasenga7054
    @geofreymwakasenga7054 6 месяцев назад

    Asante sana Baba Mchungaji kwa ufafanuzi mzuri, Kimsingi nimebarikiwa sana ....

  • @LucyPhilipo-r2s
    @LucyPhilipo-r2s 2 месяца назад +1

    Mungu baba Mungu Mwana na Mungu Roho Mtakatifu Mungu ni mmoja namsi tatu,

  • @johnkmjema9727
    @johnkmjema9727 7 месяцев назад +6

    Ubarikiwe sana mchungaji achana na wachumia Trumbo!!!?

  • @issashunda444
    @issashunda444 3 месяца назад +1

    Rafiki yangu hapa kachemsha Mungu huwezi kumuita mtoto. Mungu hakuzaa na hajazaliwa . Na siku ni Nzima kidini ni inaanza jua linapotoka na kwisha juwa linapozama hii kwa waislam na wayahudi

  • @LovenesyMhame
    @LovenesyMhame 6 месяцев назад

    Ameen nmefunguliw n maelez y mchungj hananja mungu ni mmja

  • @Reginajohnson-1988
    @Reginajohnson-1988 5 месяцев назад +1

    Ha Anja muelewa sana , kwa neno . Tatizo yule kule kiburi juu

  • @magrethmicheal4663
    @magrethmicheal4663 6 месяцев назад

    AMEN, AMEN, AMEN, Ubarikiwe Baba kwa Hekima hii.

  • @PhilipobonifacSado
    @PhilipobonifacSado 7 месяцев назад

    Mzee wangu unajua sana nashangaa wanasema mungu mitatu kati wakristo wote tunajua mungu ni1t

  • @naftalimutahi5591
    @naftalimutahi5591 7 месяцев назад +12

    Hanaja mkulima,hanaja mume wa...hanaja daktari,hanaja mwalimu .
    Kweli ni yule yule hanaja.
    Kweli turundi katika bibilia.
    Basi jina la baba mwana roho mtakatifu ni bwana yesu kristo.
    Hiyo ndiyo sababu bibilia imebatiza katika Hilo jina.acts 2:36-40.acts.10 acts19.
    Colossians 3:7 And whatsoever ye do in word or deed, do all in the name of the Lord Jesus, giving thanks to God and the Father by him

    • @isayasimwinga2854
      @isayasimwinga2854 6 месяцев назад

      @@naftalimutahi5591 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗘𝗡𝗖𝗬𝗖𝗟𝗢𝗣𝗘𝗗𝗜𝗔, 𝗩𝗢𝗟𝗨𝗠𝗘 𝗜𝗩 , 𝗨𝗞. 𝟭𝟱𝟯 : "Kanisa.......baada ya kubadilisha siku ya pumziko kutoka Sabato ya kiyahudi, au siku ya saba ya juma, kwenda siku ya kwanza , likaifanya amri ya tatu itamke kuwa Jumapili ni siku ya kuishika Kitakatifu kama siku ya Bwana".
      𝗞𝗔𝗗𝗜𝗡𝗔𝗟𝗜 𝗚𝗜𝗕𝗕𝗢𝗡𝗦, katika kitabu chake kiitwacho "𝗧𝗵𝗲 𝗤𝘂𝗲𝘀𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗕𝗼𝘅, 𝗨𝗞. 𝟭𝟳𝟵, anakiri kwa namna ya kushangaza: "Ikiwa Biblia ndio kiongozi pekee kwa Wakristo, bila Shaka Waadventista Wa Sabato wako sahihi katika utunzaji wa Jumamosi pamoja na Wayahudi...... Si jambo la kushangaza kwamba wale wanaoifanya Biblia kuwa mwalimu wao pekee, Wanakuwa na msimamo tofauti katika jambo kwa kufuata mapokeo ya Kanisa Katoliki?".
      𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗔. 𝗢'𝗕𝗥𝗜𝗘𝗡 katika kitabu "𝗨𝗻𝗱𝗲𝗿𝘀𝘁𝗮𝗻𝗱𝗶𝗻𝗴 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗮𝘁𝗵𝗼𝗹𝗶𝗰 𝗙𝗮𝗶𝘁𝗵," 𝗨𝗞. 𝟭𝟯, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟭𝟵𝟱𝟱 anasema: "𝗕𝗶𝗯𝗹𝗶𝗮 𝗵𝗮𝗶𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗼 𝘆𝗼𝘁𝗲 𝘆𝗮 𝗱𝗶𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗞𝗶𝗸𝗮𝘁𝗼𝗹𝗶𝗸𝗶, wala haielezei majukumu yote ya washiriki wake. Chukulia kwa mfano, suala la utunzaji wa jumapili, uhudhuriaji wa ibada , na uepukaji wa kazi zisizofaa siku hiyo. Hili ni jambo ambalo majirani zetu waprotestanti wameliwekea msisitizo mkubwa kwa miaka mingi; hata hivyo hakuna mahala popote kwenye Biblia ambapo Jumapili imetajwa kama siku ya Bwana; siku iliyotajwa ni Sabato, siku ya mwisho ya juma........"
      𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗟𝗘𝗢 𝗝. 𝗧𝗥𝗘𝗦𝗘 𝗻𝗮 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗝. 𝗖𝗔𝗦𝗧𝗟𝗘𝗟𝗢𝗧, Katika Kitabu kinachoitwa "𝗦𝗮𝗹𝘃𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗛𝗶𝘀𝘁𝗼𝗿𝘆 𝗮𝗻𝗱 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗼𝗺𝗺𝗮𝗻𝗱𝗺𝗲𝗻𝘁𝘀," 𝘂𝗸 𝟮𝟵𝟰, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝟭𝟵𝟲𝟯, hueleza hivi: "Hakuna andiko lolote katika Biblia linalozungumzia badiliko la siku ya Bwana kutoka Jumamosi kwenda Jumapili. Tunafahamu tu kuhusu badiliko hili kutoka Kwenye mapokeo ya kanisa kupitia viongozi wa kanisa. Hii ndiyo sababu kwa nini tunaona haina mantiki kwa makundi mengi ya wasio Wakatoliki, wanaosema kwamba hawataamini chochote vinginevyo iwe imeandikwa katika Biblia na lakini bado wanaendelea kuadhimisha Jumapili Kama siku ya Bwana kwa kauli ya Kanisa Katoliki."
      𝗧𝗛𝗘 𝗖𝗢𝗡𝗩𝗘𝗥𝗧'𝗦 𝗖𝗔𝗧𝗘𝗖𝗛𝗜𝗦𝗠 𝗢𝗙 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗗𝗢𝗖𝗧𝗥𝗜𝗡𝗘 (𝟭𝟵𝟱𝟳):𝟱𝟬
      > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑺𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝑺𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒏𝒊 𝒊𝒑𝒊
      > JIBU: Jumamosi ndiyo siku ya Sabato.
      > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑲𝒘𝒂 𝒏𝒊𝒏𝒊 𝒕𝒖𝒏𝒂𝒊𝒂𝒅𝒉𝒊𝒎𝒊𝒔𝒉𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒑𝒊𝒍𝒊 𝒃𝒂𝒅𝒂𝒍𝒂 𝒚𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒎𝒐𝒔𝒊?
      > JIBU: Tunaiadhimisha Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu Kanisa Katoliki lilihamisha utakatifu wa Jumamosi kwenda Jumapili.
      𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗣𝗥𝗜𝗘𝗦𝗧 𝗧. 𝗘𝗡𝗥𝗜𝗚𝗛𝗧, 𝗖𝗦𝗦𝗥, 𝗞𝗔𝗡𝗦𝗔𝗦 𝗖𝗜𝗧𝗬, 𝗠𝗢:
      "Lilikuwa ni kanisa takatifu Katoliki ambalo lilibadilisha siku ya pumzika kutoka Jumamosi kwenda Jumapili, ambayo ni siku ya kwanza ya juma. Na halikulazimisha wote kuitunza Jumapili peke yake, bali kwenye Baraza la Laodekia, mwaka 364 BK, liliwalaani wale ambao waliitunza Sabato na kuwasihi watu wote kufanya kazi katika siku ya saba chini ya adhabu ya laana"
      𝗦.𝗖. 𝗠𝗢𝗦𝗡𝗔, 𝗦𝗧𝗢𝗥𝗜𝗔 𝗗𝗘𝗟𝗟𝗔 𝗗𝗢𝗠𝗘𝗡𝗜𝗖𝗔 (𝟭𝟵𝟲𝟵): 𝟯𝟲𝟲-𝟯𝟲𝟳
      "Si Muumbaji wa Ulimwengu katika Mwanzo 2:1-3, bali ni Kanisa Katoliki linaweza kudai heshima ya kuwa na idhini ya kumpatia mwanadamu pumziko la kazi yake kila siku saba."
      𝗔𝗥𝗧𝗛𝗨𝗥 𝗪𝗘𝗜𝗚𝗔𝗟𝗟, 𝗧𝗛𝗘 𝗣𝗔𝗚𝗔𝗡𝗜𝗦𝗠 𝗜𝗡 𝗢𝗨𝗥 𝗖𝗛𝗥𝗜𝗦𝗧𝗜𝗔𝗡𝗜𝗧𝗬 (𝗡𝗘𝗪 𝗬𝗢𝗥𝗞: 𝗣𝗨𝗧𝗡𝗔𝗠𝗔™𝘀 𝗦𝗢𝗡𝗦, 𝟭𝟵𝟮𝟴): 𝟭𝟰𝟱:
      "Kanisa LILIIFANYA siku ya JUMAPILI kuwa TAKATIFU kikubwa ni kwa sababu ILIKUWA NI SIKUKUU YA JUA; maana ilikuwa dhahiri ni sera ya Kikristo kukubali sikukuu za kipagani zilizopendeka kwa watu na kwa utamaduni, na kuwapa maana muhimu ya Kikristo."
      𝗞𝗔𝗧𝗘𝗞𝗜𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗡𝗜𝗦𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗢𝗟𝗜𝗞𝗜, 𝗨𝗙𝗨𝗣𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗠𝗔𝗞𝗜𝗡𝗜
      𝗡𝗮𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝘂𝗸. 𝟭𝟯𝟲
      𝗦𝘄𝗮𝗹𝗶 𝟰𝟱𝟬. 𝑲𝒘𝒂𝒏𝒊𝒏𝒊 𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 "𝒂𝒍𝒊𝒊𝒃𝒂𝒓𝒊𝒌𝒊 𝒔𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒂𝒌𝒂𝒊𝒕𝒂𝒌𝒂𝒔𝒂"(𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 20:11)?
      𝗝𝗶𝗯𝘂: "kwa kuwa siku ya sabato linakumbukwa pumziko la Mungu siku ya Saba ya uumbaji, na vilevile ukombozi wa Israeli kutoka utumwani Misri , na Agano ambalo Mungu alikiweka na watu wake."
      💕💕 Hapo utagundua sababu za pumziko ni ; 1.kumbukumbu ya uumbaji wa Mungu,2. Ukombozi wa waisraeli, 3. Agano la Mungu na watu wake.
      𝗧𝘂𝗻𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗸𝘂𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂
      𝗦𝘄𝗹 𝟰𝟱𝟭. 𝒀𝒆𝒔𝒖 𝒂𝒍𝒊𝒊𝒕𝒆𝒏𝒅𝒂𝒋𝒆 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐?
      𝗝𝗶𝗯𝘂: "Yesu alitambua utakatifu wa sabato na kwa mamlaka yake ya kimungu akaipatia ufafanuzi halisi: "sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato"(Mk2:27).
      HAPA KICHWA GEOGRAPHY, INAMALIZA YOTE KUHUSU SABATO: PART1.
      Tutajifunza : Merrian Webster's collegiate Dictionary, Eleventh Edition, Defines Saturdays as The day of the week."
      >Hebu tujue machache kuhusu wanajiografia; wanasemaje kuhusu Sabato? Maana imenilazimu kutumia muda kujifunza na kuchunguza hili kwa kina ili wewe unayefuatilia ubaini Ukweli huu muhimu katika nyanja zotee; usiwe na sababu ya kutojua!!
      ✓Tuanzie mbali kidogo kuhusu kalenda , je kalenda ya leo imevurugwa? Sawa, twende pamoja:-
      -Kuanzia Yesu Kristo mpaka leo zipo kalenda kuu mbili:-
      1. Julia's Ceaser 46kk Yesu amezaliwa Kwenye kalenda hiyo.
      2. Gregory Calendar. Hii ni kalenda iliyoanzishwa na Papa Gregory XIII mwaka 1582.
      Je, mabadiliko hayo ya calendar ya Gregory yaliathiri kwa namna fulani siku ya saba (sabato)? SIKIZA JIBU: Papa Gregory baada ya wanaanga(Astronomer) kuona mapungufu ktk Kalenda ya Julius kuwa Kuna muda unapotea au upotevu wa dakika 11 na kuwa mwaka si siku 365 kamili.
      => Ili litimie neno lililonenwa na nabii Daniel , Papa Gregory alibadili kwa kurekebisha hivi, ilikuwa Alhamis #4/10/1582 akasema; siku inayofuata Yaani Ijumaa iwe tarehe 15/10/1582.
      Hivyo Papa hakufuta siku ya Saba (sabato) Bali tarehe tu zilibadilika! Aidha alibadili siku iishe saa sita kamili usiku, ama ianze saa sita kamili usiku badala ya saa kumi na mbili za mchana na saa kumi na mbili za usiku Kama biblia takatifu isemavyo!!!.👇👇
      Yesu akajibu, Je! Saa za mchana si kumi na mbili? Mtu akienda mchana hajikwai; kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu.Yohana 11:9
      Narudia tena neno la Mungu, halijajipinga na halihitaji marekebisho, iwe ya kisayansi ama ya kifalsafa lipo imara Ni kamilifu.
      Papa Gregory kuhusika kwake katika hili utagundua ndivyo kanisa katoliki hutumia mbinu mbalimbali kupenyeza Mambo yake, hata Ni rahisi kuelewa kuwa kwa kuwa tayari amri ya nne Kama tulivyoona, tayari ilikuwa imehalifiwa na kuididimiza, akaweka siku ianzie saa6 usiku!!
      💖Je, saa sita kamili ndio siku mpya(nyingine) huanza? Wataalamu wa nyota aidha January 1 , 2021 wakizungumzia muda halisi Ni upi dunia humaliza kuzunguka Jua walisema kwa kweli si kweli kuwa saa sita usiku ndiyo siku ya mwaka mpya huanza, hakuna ushahidi wa kisayansi kuwa saa sita kamili ndiye siku inaanza, ni nadharia tu, zilizosapotiwa na Gregory XIII.
      Utagundua pia kuwa, kanisa limejihusisha kwa karibu na ustaarabu unaoendelea duniani, ni taasisi iliyojificha Kwenye sura ya dini Ila Ni serekali.....
      ✓Kwanini kalenda za ulaya zinahesabu Jumatatu Kama siku ya Kwanza ya Juma? JIBU: Kuifanya Jumapili kuwa siku ya saba katika Kalenda za Ulaya kumeanza miaka ya 1950's. Kabla ya mwaka 1950's kalenda ziliishia Jumamosi. Sababu ya mabadiliko hayo ilitokana na wafanyabiashara wengi kwenda ibadani Jumapili, kwa hiyo siku za kazi zikaanza Jumatatu hadi Jumamosi Kwenye kalenda.
      ✔️Pia wanajiografia: wamethibitisha Ukweli huu; Mstari wa Greenwich England (yaani mstari wa tarehe wa kimataifa) na Wachunguzi wa usafiri wa majini U.S.A Wamethibitisha kuwa mzunguko wa week kamwe haujawahi badilika upo vilevile.
      NB: Najua Kuna wasomi wenzangu (G&H) Ni vema wakaguswa nao na kufuata utafiti huo. Biblia ingetosha kueleza umuhimu wa Siku ya Saba ya Juma ila kwa kuwa binadamu tunauelewa tofauti nimeona ni vema kugusa nyanja mbalimbali, ili asomaye afahamu.
      Amani ya Bwana Yesu kristo na Pendo la Mungu Baba na Ushirika wa Roho Mtakatifu viwe nanyi nyote. Amen
      Ukweli ni Ukweli, Mungu akubariki 🙏

    • @jessicahonore
      @jessicahonore 6 месяцев назад

      Yes, JINA LA MUNGU NI YESU KRISTO, DAMU NA NYAMA HAVIJA KUFUNULIA HILI.BARIKIWA

    • @naftalimutahi5591
      @naftalimutahi5591 6 месяцев назад +1

      Ubarikiwe sana jesca.
      Huyo bwana yesu kristo.katika kita u cha ufunuo ndiye pekee....mungu wetu.
      Rev1:8-12
      Iam Alpha and Omega, the beginning and the ending, saith the Lord, which is, and which was, and which is to come, the Almighty.
      Amen

  • @JustinDavid-k6x
    @JustinDavid-k6x 28 дней назад +1

    Mkinipenda mtazishika AMRI ZANGU - yani amri za Mungu hazikuvunjwa na Yesu. Ni sehemu ya maagizo ya Mungu. Moja ya Amri ni kukumbuka Sabato. Yesu hakuja kuitengua torati

  • @FilbertRobert-e4u
    @FilbertRobert-e4u 28 дней назад

    Ubarikiwe sana Hananja

  • @MeshackmarwaKihengu-in3sn
    @MeshackmarwaKihengu-in3sn 4 месяца назад +1

    Uwezo wa Mungu hatuwezi kuumalza kwa kueleza Mungu ni mkuu mno ikili zake hachunhuziki tusivuke mipaka kwa kuona jamii intukubali! tukafkr na Mungu tumemjua ipasavyo

  • @gracekasambala4712
    @gracekasambala4712 7 месяцев назад

    Asante sana Mchungaji Leo umeniongezea uelewa

  • @EvordThomas-uz8fw
    @EvordThomas-uz8fw 7 месяцев назад +4

    Kusoma Biblia na vyuo vyake sio tiketi ya kumjua Mungu, ila unapata wigo wa kutafakari kwa kina juu ya habari za Mungu. Tafakari vizuri kabla hujasema acha kuleta mapokeo.HEKIMA ni muhimu zaidi Big up sana Mch. Hananja Mungu aendelee kukulinda

    • @isayasimwinga2854
      @isayasimwinga2854 7 месяцев назад

      Hajajibu zaidi ya story tu. Utatu hananja hajui😢😢😢

    • @DaudaBilikesi
      @DaudaBilikesi 7 месяцев назад

      Kitu cha kutunga hakiwezi kuwa na mfanano kwa watu wote.Trinity is not biblical !

  • @GoodluckGodfreyNgomuo
    @GoodluckGodfreyNgomuo 6 месяцев назад +1

    Baba umeeleweka asante kwa ufafanuzi

  • @herimornchriston6083
    @herimornchriston6083 7 месяцев назад +4

    Jamani hivi amri za Mungu !!! Mnazipitia zote?? Kumbuka n amri , hazijabadilishwa na hazitabadilishwa

  • @PHILIPDANIEL-oe6ud
    @PHILIPDANIEL-oe6ud 6 месяцев назад +3

    Sipendi kuzungumzia Sana mabishano ya watumishi wa MUNGU Ila nawasihi watumishi muwe na hekima ya MUNGU ili mjue namna sahihi ya kufundisha pia mjue kufanikiwa kuwa na Mali haimaanishi unahekima ,hongera Sana much Hananja

    • @isayasimwinga2854
      @isayasimwinga2854 6 месяцев назад

      @@PHILIPDANIEL-oe6ud 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗘𝗡𝗖𝗬𝗖𝗟𝗢𝗣𝗘𝗗𝗜𝗔, 𝗩𝗢𝗟𝗨𝗠𝗘 𝗜𝗩 , 𝗨𝗞. 𝟭𝟱𝟯 : "Kanisa.......baada ya kubadilisha siku ya pumziko kutoka Sabato ya kiyahudi, au siku ya saba ya juma, kwenda siku ya kwanza , likaifanya amri ya tatu itamke kuwa Jumapili ni siku ya kuishika Kitakatifu kama siku ya Bwana".
      𝗞𝗔𝗗𝗜𝗡𝗔𝗟𝗜 𝗚𝗜𝗕𝗕𝗢𝗡𝗦, katika kitabu chake kiitwacho "𝗧𝗵𝗲 𝗤𝘂𝗲𝘀𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗕𝗼𝘅, 𝗨𝗞. 𝟭𝟳𝟵, anakiri kwa namna ya kushangaza: "Ikiwa Biblia ndio kiongozi pekee kwa Wakristo, bila Shaka Waadventista Wa Sabato wako sahihi katika utunzaji wa Jumamosi pamoja na Wayahudi...... Si jambo la kushangaza kwamba wale wanaoifanya Biblia kuwa mwalimu wao pekee, Wanakuwa na msimamo tofauti katika jambo kwa kufuata mapokeo ya Kanisa Katoliki?".
      𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗔. 𝗢'𝗕𝗥𝗜𝗘𝗡 katika kitabu "𝗨𝗻𝗱𝗲𝗿𝘀𝘁𝗮𝗻𝗱𝗶𝗻𝗴 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗮𝘁𝗵𝗼𝗹𝗶𝗰 𝗙𝗮𝗶𝘁𝗵," 𝗨𝗞. 𝟭𝟯, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟭𝟵𝟱𝟱 anasema: "𝗕𝗶𝗯𝗹𝗶𝗮 𝗵𝗮𝗶𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗼 𝘆𝗼𝘁𝗲 𝘆𝗮 𝗱𝗶𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗞𝗶𝗸𝗮𝘁𝗼𝗹𝗶𝗸𝗶, wala haielezei majukumu yote ya washiriki wake. Chukulia kwa mfano, suala la utunzaji wa jumapili, uhudhuriaji wa ibada , na uepukaji wa kazi zisizofaa siku hiyo. Hili ni jambo ambalo majirani zetu waprotestanti wameliwekea msisitizo mkubwa kwa miaka mingi; hata hivyo hakuna mahala popote kwenye Biblia ambapo Jumapili imetajwa kama siku ya Bwana; siku iliyotajwa ni Sabato, siku ya mwisho ya juma........"
      𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗟𝗘𝗢 𝗝. 𝗧𝗥𝗘𝗦𝗘 𝗻𝗮 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗝. 𝗖𝗔𝗦𝗧𝗟𝗘𝗟𝗢𝗧, Katika Kitabu kinachoitwa "𝗦𝗮𝗹𝘃𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗛𝗶𝘀𝘁𝗼𝗿𝘆 𝗮𝗻𝗱 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗼𝗺𝗺𝗮𝗻𝗱𝗺𝗲𝗻𝘁𝘀," 𝘂𝗸 𝟮𝟵𝟰, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝟭𝟵𝟲𝟯, hueleza hivi: "Hakuna andiko lolote katika Biblia linalozungumzia badiliko la siku ya Bwana kutoka Jumamosi kwenda Jumapili. Tunafahamu tu kuhusu badiliko hili kutoka Kwenye mapokeo ya kanisa kupitia viongozi wa kanisa. Hii ndiyo sababu kwa nini tunaona haina mantiki kwa makundi mengi ya wasio Wakatoliki, wanaosema kwamba hawataamini chochote vinginevyo iwe imeandikwa katika Biblia na lakini bado wanaendelea kuadhimisha Jumapili Kama siku ya Bwana kwa kauli ya Kanisa Katoliki."
      𝗧𝗛𝗘 𝗖𝗢𝗡𝗩𝗘𝗥𝗧'𝗦 𝗖𝗔𝗧𝗘𝗖𝗛𝗜𝗦𝗠 𝗢𝗙 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗗𝗢𝗖𝗧𝗥𝗜𝗡𝗘 (𝟭𝟵𝟱𝟳):𝟱𝟬
      > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑺𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝑺𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒏𝒊 𝒊𝒑𝒊
      > JIBU: Jumamosi ndiyo siku ya Sabato.
      > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑲𝒘𝒂 𝒏𝒊𝒏𝒊 𝒕𝒖𝒏𝒂𝒊𝒂𝒅𝒉𝒊𝒎𝒊𝒔𝒉𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒑𝒊𝒍𝒊 𝒃𝒂𝒅𝒂𝒍𝒂 𝒚𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒎𝒐𝒔𝒊?
      > JIBU: Tunaiadhimisha Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu Kanisa Katoliki lilihamisha utakatifu wa Jumamosi kwenda Jumapili.
      𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗣𝗥𝗜𝗘𝗦𝗧 𝗧. 𝗘𝗡𝗥𝗜𝗚𝗛𝗧, 𝗖𝗦𝗦𝗥, 𝗞𝗔𝗡𝗦𝗔𝗦 𝗖𝗜𝗧𝗬, 𝗠𝗢:
      "Lilikuwa ni kanisa takatifu Katoliki ambalo lilibadilisha siku ya pumzika kutoka Jumamosi kwenda Jumapili, ambayo ni siku ya kwanza ya juma. Na halikulazimisha wote kuitunza Jumapili peke yake, bali kwenye Baraza la Laodekia, mwaka 364 BK, liliwalaani wale ambao waliitunza Sabato na kuwasihi watu wote kufanya kazi katika siku ya saba chini ya adhabu ya laana"
      𝗦.𝗖. 𝗠𝗢𝗦𝗡𝗔, 𝗦𝗧𝗢𝗥𝗜𝗔 𝗗𝗘𝗟𝗟𝗔 𝗗𝗢𝗠𝗘𝗡𝗜𝗖𝗔 (𝟭𝟵𝟲𝟵): 𝟯𝟲𝟲-𝟯𝟲𝟳
      "Si Muumbaji wa Ulimwengu katika Mwanzo 2:1-3, bali ni Kanisa Katoliki linaweza kudai heshima ya kuwa na idhini ya kumpatia mwanadamu pumziko la kazi yake kila siku saba."
      𝗔𝗥𝗧𝗛𝗨𝗥 𝗪𝗘𝗜𝗚𝗔𝗟𝗟, 𝗧𝗛𝗘 𝗣𝗔𝗚𝗔𝗡𝗜𝗦𝗠 𝗜𝗡 𝗢𝗨𝗥 𝗖𝗛𝗥𝗜𝗦𝗧𝗜𝗔𝗡𝗜𝗧𝗬 (𝗡𝗘𝗪 𝗬𝗢𝗥𝗞: 𝗣𝗨𝗧𝗡𝗔𝗠𝗔™𝘀 𝗦𝗢𝗡𝗦, 𝟭𝟵𝟮𝟴): 𝟭𝟰𝟱:
      "Kanisa LILIIFANYA siku ya JUMAPILI kuwa TAKATIFU kikubwa ni kwa sababu ILIKUWA NI SIKUKUU YA JUA; maana ilikuwa dhahiri ni sera ya Kikristo kukubali sikukuu za kipagani zilizopendeka kwa watu na kwa utamaduni, na kuwapa maana muhimu ya Kikristo."
      𝗞𝗔𝗧𝗘𝗞𝗜𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗡𝗜𝗦𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗢𝗟𝗜𝗞𝗜, 𝗨𝗙𝗨𝗣𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗠𝗔𝗞𝗜𝗡𝗜
      𝗡𝗮𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝘂𝗸. 𝟭𝟯𝟲
      𝗦𝘄𝗮𝗹𝗶 𝟰𝟱𝟬. 𝑲𝒘𝒂𝒏𝒊𝒏𝒊 𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 "𝒂𝒍𝒊𝒊𝒃𝒂𝒓𝒊𝒌𝒊 𝒔𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒂𝒌𝒂𝒊𝒕𝒂𝒌𝒂𝒔𝒂"(𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 20:11)?
      𝗝𝗶𝗯𝘂: "kwa kuwa siku ya sabato linakumbukwa pumziko la Mungu siku ya Saba ya uumbaji, na vilevile ukombozi wa Israeli kutoka utumwani Misri , na Agano ambalo Mungu alikiweka na watu wake."
      💕💕 Hapo utagundua sababu za pumziko ni ; 1.kumbukumbu ya uumbaji wa Mungu,2. Ukombozi wa waisraeli, 3. Agano la Mungu na watu wake.
      𝗧𝘂𝗻𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗸𝘂𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂
      𝗦𝘄𝗹 𝟰𝟱𝟭. 𝒀𝒆𝒔𝒖 𝒂𝒍𝒊𝒊𝒕𝒆𝒏𝒅𝒂𝒋𝒆 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐?
      𝗝𝗶𝗯𝘂: "Yesu alitambua utakatifu wa sabato na kwa mamlaka yake ya kimungu akaipatia ufafanuzi halisi: "sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato"(Mk2:27).
      HAPA KICHWA GEOGRAPHY, INAMALIZA YOTE KUHUSU SABATO: PART1.
      Tutajifunza : Merrian Webster's collegiate Dictionary, Eleventh Edition, Defines Saturdays as The day of the week."
      >Hebu tujue machache kuhusu wanajiografia; wanasemaje kuhusu Sabato? Maana imenilazimu kutumia muda kujifunza na kuchunguza hili kwa kina ili wewe unayefuatilia ubaini Ukweli huu muhimu katika nyanja zotee; usiwe na sababu ya kutojua!!
      ✓Tuanzie mbali kidogo kuhusu kalenda , je kalenda ya leo imevurugwa? Sawa, twende pamoja:-
      -Kuanzia Yesu Kristo mpaka leo zipo kalenda kuu mbili:-
      1. Julia's Ceaser 46kk Yesu amezaliwa Kwenye kalenda hiyo.
      2. Gregory Calendar. Hii ni kalenda iliyoanzishwa na Papa Gregory XIII mwaka 1582.
      Je, mabadiliko hayo ya calendar ya Gregory yaliathiri kwa namna fulani siku ya saba (sabato)? SIKIZA JIBU: Papa Gregory baada ya wanaanga(Astronomer) kuona mapungufu ktk Kalenda ya Julius kuwa Kuna muda unapotea au upotevu wa dakika 11 na kuwa mwaka si siku 365 kamili.
      => Ili litimie neno lililonenwa na nabii Daniel , Papa Gregory alibadili kwa kurekebisha hivi, ilikuwa Alhamis #4/10/1582 akasema; siku inayofuata Yaani Ijumaa iwe tarehe 15/10/1582.
      Hivyo Papa hakufuta siku ya Saba (sabato) Bali tarehe tu zilibadilika! Aidha alibadili siku iishe saa sita kamili usiku, ama ianze saa sita kamili usiku badala ya saa kumi na mbili za mchana na saa kumi na mbili za usiku Kama biblia takatifu isemavyo!!!.👇👇
      Yesu akajibu, Je! Saa za mchana si kumi na mbili? Mtu akienda mchana hajikwai; kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu.Yohana 11:9
      Narudia tena neno la Mungu, halijajipinga na halihitaji marekebisho, iwe ya kisayansi ama ya kifalsafa lipo imara Ni kamilifu.
      Papa Gregory kuhusika kwake katika hili utagundua ndivyo kanisa katoliki hutumia mbinu mbalimbali kupenyeza Mambo yake, hata Ni rahisi kuelewa kuwa kwa kuwa tayari amri ya nne Kama tulivyoona, tayari ilikuwa imehalifiwa na kuididimiza, akaweka siku ianzie saa6 usiku!!
      💖Je, saa sita kamili ndio siku mpya(nyingine) huanza? Wataalamu wa nyota aidha January 1 , 2021 wakizungumzia muda halisi Ni upi dunia humaliza kuzunguka Jua walisema kwa kweli si kweli kuwa saa sita usiku ndiyo siku ya mwaka mpya huanza, hakuna ushahidi wa kisayansi kuwa saa sita kamili ndiye siku inaanza, ni nadharia tu, zilizosapotiwa na Gregory XIII.
      Utagundua pia kuwa, kanisa limejihusisha kwa karibu na ustaarabu unaoendelea duniani, ni taasisi iliyojificha Kwenye sura ya dini Ila Ni serekali.....
      ✓Kwanini kalenda za ulaya zinahesabu Jumatatu Kama siku ya Kwanza ya Juma? JIBU: Kuifanya Jumapili kuwa siku ya saba katika Kalenda za Ulaya kumeanza miaka ya 1950's. Kabla ya mwaka 1950's kalenda ziliishia Jumamosi. Sababu ya mabadiliko hayo ilitokana na wafanyabiashara wengi kwenda ibadani Jumapili, kwa hiyo siku za kazi zikaanza Jumatatu hadi Jumamosi Kwenye kalenda.
      ✔️Pia wanajiografia: wamethibitisha Ukweli huu; Mstari wa Greenwich England (yaani mstari wa tarehe wa kimataifa) na Wachunguzi wa usafiri wa majini U.S.A Wamethibitisha kuwa mzunguko wa week kamwe haujawahi badilika upo vilevile.
      NB: Najua Kuna wasomi wenzangu (G&H) Ni vema wakaguswa nao na kufuata utafiti huo. Biblia ingetosha kueleza umuhimu wa Siku ya Saba ya Juma ila kwa kuwa binadamu tunauelewa tofauti nimeona ni vema kugusa nyanja mbalimbali, ili asomaye afahamu.
      Amani ya Bwana Yesu kristo na Pendo la Mungu Baba na Ushirika wa Roho Mtakatifu viwe nanyi nyote. Amen
      Ukweli ni Ukweli, Mungu akubariki 🙏

  • @Chr196
    @Chr196 5 месяцев назад +1

    Barikiwa mtumishi Hananja

  • @godfreylushiku3081
    @godfreylushiku3081 7 месяцев назад +13

    Kwa anayetaka kujua Yesu ni nani kwa mujibu wa Ukristo na biblia. Soma
    Injili ya Yohana sura ya 1 yote na Waraka kwa webrania sura ya 1. Maamuzi yanabaki kwako.
    Roho wa Mungu akuongoze kumtambua na kuelewa maandiko. Amina

    • @Chrishenryson-beats
      @Chrishenryson-beats 7 месяцев назад

      Na nyongeza kidogo hii apa nakuongezea 👇👇👇
      Jitahidi sana kuelewa na kutenga hisia juu ya unachosoma.👇👇
      1. Mwanzo 1:26:
      “Mungu akasema, ‘Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; nao watauwa samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama wa mwituni, na nchi yote pia, na kila kitambaacho kitambaacho juu ya nchi.’”
      2. Mathayo 28:19:
      “Basi, enendeni mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu.”
      3. 2 Wakorintho 13:14:
      “Neema ya Bwana Yesu Kristo, na upendo wa Mungu, na ushirika wa Roho Mtakatifu, ukae nanyi nyote.”
      4. Yohana 14:26:
      “Lakini Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka kwa jina langu, atawafundisha yote na kuwakumbusha yote niliyowaambia.”
      5. Mathayo 3:16-17:
      “Naye Yesu alipokwisha kubatizwa, mara akapanda kutoka majini; na tazama, mbingu zikamfunukia, akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua, akija juu yake; na tazama, sauti kutoka mbinguni ikisema, ‘Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye.’”
      6. Yohana 1:1-2:
      “Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.”
      7. Yohana 10:30:
      “Mimi na Baba tu umoja.”
      8. Yohana 14:9-10:
      “Yesu akamwambia, ‘Ee Filipo, nimekuwako pamoja nanyi muda wote huu, nawe hujanijua? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba? Huamini ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu? Maneno ninenayo mimi siyasemi kwa shauri langu mwenyewe, bali Baba akaaye ndani yangu huzifanya kazi zake.’”
      9. 1 Yohana 5:7:
      “Kwa maana wako watatu washuhudiao mbinguni, Baba, Neno, na Roho Mtakatifu, na watatu hawa ni umoja.”
      10. Waefeso 4:4-6:
      “Mwili mmoja, na Roho mmoja, kama na mlivyoitwa katika tumaini moja la wito wenu; Bwana mmoja, imani moja, ubatizo mmoja; Mungu mmoja, naye ni Baba wa wote, aliye juu ya yote na katika yote na ndani ya yote.”

    • @flova7022
      @flova7022 5 месяцев назад

      God

  • @ezekielpandisha
    @ezekielpandisha 7 месяцев назад +1

    Barikiwa sana Pst.Hananja!

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 Месяц назад +1

    na kweli utatu ni ngumu sana kuelewa mimi na amini mungu mmoja

  • @besttrendingcovers1838
    @besttrendingcovers1838 7 месяцев назад +41

    Mi nlikuwa nasali sana lakini nlipoona viongozi wa dini hawa wanapingana kila siku ikabidi niache kabsa kusali. Ninachojua Mungu alikuwepo kabla ya hizi dini na dini haiwezi fanya ukamjua Mungu ata siku moja. Zaidi dini zimejaa sheria kibao za kumbana muumini asiwe huru kufikiri zaidi

    • @GeorgeChitemo-kt8sw
      @GeorgeChitemo-kt8sw 7 месяцев назад +6

      Yesu akirudi huuingii mbinguni

    • @besttrendingcovers1838
      @besttrendingcovers1838 7 месяцев назад +5

      @@GeorgeChitemo-kt8sw mbingu ipo ila suala la yesu kurudi si la kweli ni stori tuu za wazungu, mbingu utaiona kwa sabab unaish pow na watu na huwafanyi ubaya. Ni mamb ya ajab yaan inahtaji mahubir kujua kuwa kuua sio kit kizur. In short dini ililetwa kufunga akili za waafrika wasifikir zaid. Ndio maana mchawi anaroga hadi awo wachungaj

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 7 месяцев назад

      ​@@besttrendingcovers1838Busara inayohitajika ni utashi wako kuamini au kuacha. Hulazimiki wala kushurutishwa kuwa mfuasi wa imani fulani. Haya unayoyaandandika yana mapungufu mengi. Kwanza dini haipumbazi mtu, kwani elimu uliyopitia ambayo ni formal education mpaka ukajua kuandika na kusoma (universal education) ni mfumo wa dini wa Kanisa Katoliki. Mfumo wa matibabu ya hospitali ni wa Kanisa Katoliki. Chuo kikuu Cha kwanza katika mfumo tuliokuwa nao wa elimu ni Cha kikatoliki Kiko Bologna Italy. Mfumo wa kimahakana (judicial system) ni mfumo wa Kanisa Katoliki na mfumo wa utawala wa kihairakia ni wa kikanisa. Kanisa Katoliki Lina taasisi za kielimu shule na vyuo vikuu duniani kuliko serikali yoyote duniani. Kwa hiyo tuhuma kwamba akili yako imedumazwa na dini ni illogical statement. Mwisho dini ya Kikristo hakuanzishwa na wazungu Bali wazungu waliipikea kama tulivyoipokea sisi, wenyewe waliitumia wakapata maendeleo!

    • @zuberkasim7150
      @zuberkasim7150 7 месяцев назад +2

      ivi nyinyi nduguzetu wakristo ambacho hamuelewi ninihasa yesu amekataa sio mungu wala mtoto nimtumetu katumwa na mungu kama alivo fundisha acheni kung,ang,ania mambo yatakayo waweka jikoni

    • @RamseykingGenius
      @RamseykingGenius 7 месяцев назад +1

      The big thinker 🙌🏿🔥 one love 💪🏿💪🏿🤲🏻✌🏿

  • @DOrio-ue2hr
    @DOrio-ue2hr 6 месяцев назад +1

    Amen mtumisahi

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 2 дня назад +1

    Watu wengi hatujui kwanini tumeletwa duniani, tumeletwa duniani kwa kusudi moja tu, kumwabudu Mungu na hakuna kingine.

  • @AbdallahChapa
    @AbdallahChapa 5 месяцев назад +1

    Miminilitamani mwandishi ungemuuliza mchungaji amesema mungu nimmoja je uyomungu anaitwa mungu niallwa auyesu

  • @wisemanfromzerotohero970
    @wisemanfromzerotohero970 7 месяцев назад +9

    Muze uyu ni mutumishi wa Mungu na Kweli kumuelewa inahitaji utulivu saana

  • @abubakarmustwafa-lg8fe
    @abubakarmustwafa-lg8fe 7 месяцев назад +2

    😂😂😂Ufahamu mpana sana...hongera sana Mzee Hananja

  • @JofreyRobart
    @JofreyRobart 6 месяцев назад +2

    Amina sana nmeielewa hiyo

    • @CharlesMisungwi-f8t
      @CharlesMisungwi-f8t 5 месяцев назад

      Huyo Lusekelo kwishahabari .nimchungaji wambweha nambwamwitu waliovaangozi.zakondoo akiwemo nayeye kwa kuwacheka wakiristu .

  • @DelphinaFidelis
    @DelphinaFidelis 7 месяцев назад +3

    Unaachaje kusali!!!! hatuabudu binadamu,tunamwabudu Mungu wetu aliye hai.

  • @timothychimbo3501
    @timothychimbo3501 6 месяцев назад +1

    Asante sana Hananja hupambani unaelimisha

  • @kidtoto4869
    @kidtoto4869 6 месяцев назад +1

    His incredible geniouz

  • @edwardwereni8336
    @edwardwereni8336 Месяц назад +1

    Ongera sana mchungaji unaijua biblia na kuifafanua vyema.

  • @deogratiasmoses7209
    @deogratiasmoses7209 6 месяцев назад +1

    Amri 10 za Mungu zinajieleza tu wazi Sabato ni mojawapo katika amri hizo Kutoka 20 Soma,JUMA la uumbaji siku ya Saba imetajwa Mwanzo 2:1- 3 ,Agizo kwa wanawaisraeli Sabato ilisisitizwa na Mungu mwenyewe sana kuwa ni AGANO LA MILELE kutoka 31:12 - 16 Isaya 66:22- 23 Sabato hata Sabato mbinguni, Luka 4:16 Yesu alifanya ibada siku ya Sabato

    • @JohnKabuka-o7h
      @JohnKabuka-o7h 6 месяцев назад +1

      Agizo kuu la Yesu ni Enendeni ulimwenguni mwote mkahubiri injili na kuwafanya watu kuwa wanafunzi wake , sio wasali siku ya Jumamosi siku zote ni za Mungu maana NENO la Mungu linasema popote watakapo kuwepo wawili au watatu na Mungu yupo hapohapo

    • @mutuasteve2179
      @mutuasteve2179 15 дней назад

      Yesu alifanya Ibada kila siku, anamwambia wale waliokuja kumkamata " Siku zote nilikuwa nafundisha helaluni na hamkunikamata" Halafu akawaambia inaahili wamkamate ili andiko litimie.
      Sasa wewe nakushangaa kusema Yesu alisali siku ya sabato.

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 8 дней назад

      Siku ulimwenguni hazifanani kwani wakati wewe umelala na upande mwengine wanaamka mzee acheni unafiki kwani siku zote niza Mungu

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 7 месяцев назад +9

    Lusekelo Roho mtakatifu Alimwacha, sass hivi yupo yeye kama yeye tofauti kabisa alivyokuwa anaanza uduma mwanzo lusekelo alikuwa vizuri mno sijui amelogwa nani,
    Lusekelo ni mtumishi wa Mungu,kanisa tuombe kwajili ya lusekelo aludi kama mwanzo, jamani hii inatisha,

    • @mossesmichaelnzowa3378
      @mossesmichaelnzowa3378 7 месяцев назад

      Kweli kabisa huyu Mzee ameiacha njia ya kweli.

    • @neemamdami7466
      @neemamdami7466 7 месяцев назад

      Upo sahihi

    • @maclaudismail6606
      @maclaudismail6606 7 месяцев назад +2

      Wewe ndiyo umepotoka

    • @isayasimwinga2854
      @isayasimwinga2854 6 месяцев назад

      @@elishampoki8751 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗘𝗡𝗖𝗬𝗖𝗟𝗢𝗣𝗘𝗗𝗜𝗔, 𝗩𝗢𝗟𝗨𝗠𝗘 𝗜𝗩 , 𝗨𝗞. 𝟭𝟱𝟯 : "Kanisa.......baada ya kubadilisha siku ya pumziko kutoka Sabato ya kiyahudi, au siku ya saba ya juma, kwenda siku ya kwanza , likaifanya amri ya tatu itamke kuwa Jumapili ni siku ya kuishika Kitakatifu kama siku ya Bwana".
      𝗞𝗔𝗗𝗜𝗡𝗔𝗟𝗜 𝗚𝗜𝗕𝗕𝗢𝗡𝗦, katika kitabu chake kiitwacho "𝗧𝗵𝗲 𝗤𝘂𝗲𝘀𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗕𝗼𝘅, 𝗨𝗞. 𝟭𝟳𝟵, anakiri kwa namna ya kushangaza: "Ikiwa Biblia ndio kiongozi pekee kwa Wakristo, bila Shaka Waadventista Wa Sabato wako sahihi katika utunzaji wa Jumamosi pamoja na Wayahudi...... Si jambo la kushangaza kwamba wale wanaoifanya Biblia kuwa mwalimu wao pekee, Wanakuwa na msimamo tofauti katika jambo kwa kufuata mapokeo ya Kanisa Katoliki?".
      𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗔. 𝗢'𝗕𝗥𝗜𝗘𝗡 katika kitabu "𝗨𝗻𝗱𝗲𝗿𝘀𝘁𝗮𝗻𝗱𝗶𝗻𝗴 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗮𝘁𝗵𝗼𝗹𝗶𝗰 𝗙𝗮𝗶𝘁𝗵," 𝗨𝗞. 𝟭𝟯, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟭𝟵𝟱𝟱 anasema: "𝗕𝗶𝗯𝗹𝗶𝗮 𝗵𝗮𝗶𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗼 𝘆𝗼𝘁𝗲 𝘆𝗮 𝗱𝗶𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗞𝗶𝗸𝗮𝘁𝗼𝗹𝗶𝗸𝗶, wala haielezei majukumu yote ya washiriki wake. Chukulia kwa mfano, suala la utunzaji wa jumapili, uhudhuriaji wa ibada , na uepukaji wa kazi zisizofaa siku hiyo. Hili ni jambo ambalo majirani zetu waprotestanti wameliwekea msisitizo mkubwa kwa miaka mingi; hata hivyo hakuna mahala popote kwenye Biblia ambapo Jumapili imetajwa kama siku ya Bwana; siku iliyotajwa ni Sabato, siku ya mwisho ya juma........"
      𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗟𝗘𝗢 𝗝. 𝗧𝗥𝗘𝗦𝗘 𝗻𝗮 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗝. 𝗖𝗔𝗦𝗧𝗟𝗘𝗟𝗢𝗧, Katika Kitabu kinachoitwa "𝗦𝗮𝗹𝘃𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗛𝗶𝘀𝘁𝗼𝗿𝘆 𝗮𝗻𝗱 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗼𝗺𝗺𝗮𝗻𝗱𝗺𝗲𝗻𝘁𝘀," 𝘂𝗸 𝟮𝟵𝟰, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝟭𝟵𝟲𝟯, hueleza hivi: "Hakuna andiko lolote katika Biblia linalozungumzia badiliko la siku ya Bwana kutoka Jumamosi kwenda Jumapili. Tunafahamu tu kuhusu badiliko hili kutoka Kwenye mapokeo ya kanisa kupitia viongozi wa kanisa. Hii ndiyo sababu kwa nini tunaona haina mantiki kwa makundi mengi ya wasio Wakatoliki, wanaosema kwamba hawataamini chochote vinginevyo iwe imeandikwa katika Biblia na lakini bado wanaendelea kuadhimisha Jumapili Kama siku ya Bwana kwa kauli ya Kanisa Katoliki."
      𝗧𝗛𝗘 𝗖𝗢𝗡𝗩𝗘𝗥𝗧'𝗦 𝗖𝗔𝗧𝗘𝗖𝗛𝗜𝗦𝗠 𝗢𝗙 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗗𝗢𝗖𝗧𝗥𝗜𝗡𝗘 (𝟭𝟵𝟱𝟳):𝟱𝟬
      > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑺𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝑺𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒏𝒊 𝒊𝒑𝒊
      > JIBU: Jumamosi ndiyo siku ya Sabato.
      > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑲𝒘𝒂 𝒏𝒊𝒏𝒊 𝒕𝒖𝒏𝒂𝒊𝒂𝒅𝒉𝒊𝒎𝒊𝒔𝒉𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒑𝒊𝒍𝒊 𝒃𝒂𝒅𝒂𝒍𝒂 𝒚𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒎𝒐𝒔𝒊?
      > JIBU: Tunaiadhimisha Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu Kanisa Katoliki lilihamisha utakatifu wa Jumamosi kwenda Jumapili.
      𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗣𝗥𝗜𝗘𝗦𝗧 𝗧. 𝗘𝗡𝗥𝗜𝗚𝗛𝗧, 𝗖𝗦𝗦𝗥, 𝗞𝗔𝗡𝗦𝗔𝗦 𝗖𝗜𝗧𝗬, 𝗠𝗢:
      "Lilikuwa ni kanisa takatifu Katoliki ambalo lilibadilisha siku ya pumzika kutoka Jumamosi kwenda Jumapili, ambayo ni siku ya kwanza ya juma. Na halikulazimisha wote kuitunza Jumapili peke yake, bali kwenye Baraza la Laodekia, mwaka 364 BK, liliwalaani wale ambao waliitunza Sabato na kuwasihi watu wote kufanya kazi katika siku ya saba chini ya adhabu ya laana"
      𝗦.𝗖. 𝗠𝗢𝗦𝗡𝗔, 𝗦𝗧𝗢𝗥𝗜𝗔 𝗗𝗘𝗟𝗟𝗔 𝗗𝗢𝗠𝗘𝗡𝗜𝗖𝗔 (𝟭𝟵𝟲𝟵): 𝟯𝟲𝟲-𝟯𝟲𝟳
      "Si Muumbaji wa Ulimwengu katika Mwanzo 2:1-3, bali ni Kanisa Katoliki linaweza kudai heshima ya kuwa na idhini ya kumpatia mwanadamu pumziko la kazi yake kila siku saba."
      𝗔𝗥𝗧𝗛𝗨𝗥 𝗪𝗘𝗜𝗚𝗔𝗟𝗟, 𝗧𝗛𝗘 𝗣𝗔𝗚𝗔𝗡𝗜𝗦𝗠 𝗜𝗡 𝗢𝗨𝗥 𝗖𝗛𝗥𝗜𝗦𝗧𝗜𝗔𝗡𝗜𝗧𝗬 (𝗡𝗘𝗪 𝗬𝗢𝗥𝗞: 𝗣𝗨𝗧𝗡𝗔𝗠𝗔™𝘀 𝗦𝗢𝗡𝗦, 𝟭𝟵𝟮𝟴): 𝟭𝟰𝟱:
      "Kanisa LILIIFANYA siku ya JUMAPILI kuwa TAKATIFU kikubwa ni kwa sababu ILIKUWA NI SIKUKUU YA JUA; maana ilikuwa dhahiri ni sera ya Kikristo kukubali sikukuu za kipagani zilizopendeka kwa watu na kwa utamaduni, na kuwapa maana muhimu ya Kikristo."
      𝗞𝗔𝗧𝗘𝗞𝗜𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗡𝗜𝗦𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗢𝗟𝗜𝗞𝗜, 𝗨𝗙𝗨𝗣𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗠𝗔𝗞𝗜𝗡𝗜
      𝗡𝗮𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝘂𝗸. 𝟭𝟯𝟲
      𝗦𝘄𝗮𝗹𝗶 𝟰𝟱𝟬. 𝑲𝒘𝒂𝒏𝒊𝒏𝒊 𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 "𝒂𝒍𝒊𝒊𝒃𝒂𝒓𝒊𝒌𝒊 𝒔𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒂𝒌𝒂𝒊𝒕𝒂𝒌𝒂𝒔𝒂"(𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 20:11)?
      𝗝𝗶𝗯𝘂: "kwa kuwa siku ya sabato linakumbukwa pumziko la Mungu siku ya Saba ya uumbaji, na vilevile ukombozi wa Israeli kutoka utumwani Misri , na Agano ambalo Mungu alikiweka na watu wake."
      💕💕 Hapo utagundua sababu za pumziko ni ; 1.kumbukumbu ya uumbaji wa Mungu,2. Ukombozi wa waisraeli, 3. Agano la Mungu na watu wake.
      𝗧𝘂𝗻𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗸𝘂𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂
      𝗦𝘄𝗹 𝟰𝟱𝟭. 𝒀𝒆𝒔𝒖 𝒂𝒍𝒊𝒊𝒕𝒆𝒏𝒅𝒂𝒋𝒆 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐?
      𝗝𝗶𝗯𝘂: "Yesu alitambua utakatifu wa sabato na kwa mamlaka yake ya kimungu akaipatia ufafanuzi halisi: "sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato"(Mk2:27).
      HAPA KICHWA GEOGRAPHY, INAMALIZA YOTE KUHUSU SABATO: PART1.
      Tutajifunza : Merrian Webster's collegiate Dictionary, Eleventh Edition, Defines Saturdays as The day of the week."
      >Hebu tujue machache kuhusu wanajiografia; wanasemaje kuhusu Sabato? Maana imenilazimu kutumia muda kujifunza na kuchunguza hili kwa kina ili wewe unayefuatilia ubaini Ukweli huu muhimu katika nyanja zotee; usiwe na sababu ya kutojua!!
      ✓Tuanzie mbali kidogo kuhusu kalenda , je kalenda ya leo imevurugwa? Sawa, twende pamoja:-
      -Kuanzia Yesu Kristo mpaka leo zipo kalenda kuu mbili:-
      1. Julia's Ceaser 46kk Yesu amezaliwa Kwenye kalenda hiyo.
      2. Gregory Calendar. Hii ni kalenda iliyoanzishwa na Papa Gregory XIII mwaka 1582.
      Je, mabadiliko hayo ya calendar ya Gregory yaliathiri kwa namna fulani siku ya saba (sabato)? SIKIZA JIBU: Papa Gregory baada ya wanaanga(Astronomer) kuona mapungufu ktk Kalenda ya Julius kuwa Kuna muda unapotea au upotevu wa dakika 11 na kuwa mwaka si siku 365 kamili.
      => Ili litimie neno lililonenwa na nabii Daniel , Papa Gregory alibadili kwa kurekebisha hivi, ilikuwa Alhamis #4/10/1582 akasema; siku inayofuata Yaani Ijumaa iwe tarehe 15/10/1582.
      Hivyo Papa hakufuta siku ya Saba (sabato) Bali tarehe tu zilibadilika! Aidha alibadili siku iishe saa sita kamili usiku, ama ianze saa sita kamili usiku badala ya saa kumi na mbili za mchana na saa kumi na mbili za usiku Kama biblia takatifu isemavyo!!!.👇👇
      Yesu akajibu, Je! Saa za mchana si kumi na mbili? Mtu akienda mchana hajikwai; kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu.Yohana 11:9
      Narudia tena neno la Mungu, halijajipinga na halihitaji marekebisho, iwe ya kisayansi ama ya kifalsafa lipo imara Ni kamilifu.
      Papa Gregory kuhusika kwake katika hili utagundua ndivyo kanisa katoliki hutumia mbinu mbalimbali kupenyeza Mambo yake, hata Ni rahisi kuelewa kuwa kwa kuwa tayari amri ya nne Kama tulivyoona, tayari ilikuwa imehalifiwa na kuididimiza, akaweka siku ianzie saa6 usiku!!
      💖Je, saa sita kamili ndio siku mpya(nyingine) huanza? Wataalamu wa nyota aidha January 1 , 2021 wakizungumzia muda halisi Ni upi dunia humaliza kuzunguka Jua walisema kwa kweli si kweli kuwa saa sita usiku ndiyo siku ya mwaka mpya huanza, hakuna ushahidi wa kisayansi kuwa saa sita kamili ndiye siku inaanza, ni nadharia tu, zilizosapotiwa na Gregory XIII.
      Utagundua pia kuwa, kanisa limejihusisha kwa karibu na ustaarabu unaoendelea duniani, ni taasisi iliyojificha Kwenye sura ya dini Ila Ni serekali.....
      ✓Kwanini kalenda za ulaya zinahesabu Jumatatu Kama siku ya Kwanza ya Juma? JIBU: Kuifanya Jumapili kuwa siku ya saba katika Kalenda za Ulaya kumeanza miaka ya 1950's. Kabla ya mwaka 1950's kalenda ziliishia Jumamosi. Sababu ya mabadiliko hayo ilitokana na wafanyabiashara wengi kwenda ibadani Jumapili, kwa hiyo siku za kazi zikaanza Jumatatu hadi Jumamosi Kwenye kalenda.
      ✔️Pia wanajiografia: wamethibitisha Ukweli huu; Mstari wa Greenwich England (yaani mstari wa tarehe wa kimataifa) na Wachunguzi wa usafiri wa majini U.S.A Wamethibitisha kuwa mzunguko wa week kamwe haujawahi badilika upo vilevile.
      NB: Najua Kuna wasomi wenzangu (G&H) Ni vema wakaguswa nao na kufuata utafiti huo. Biblia ingetosha kueleza umuhimu wa Siku ya Saba ya Juma ila kwa kuwa binadamu tunauelewa tofauti nimeona ni vema kugusa nyanja mbalimbali, ili asomaye afahamu.
      Amani ya Bwana Yesu kristo na Pendo la Mungu Baba na Ushirika wa Roho Mtakatifu viwe nanyi nyote. Amen
      Ukweli ni Ukweli, Mungu akubariki 🙏

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 6 месяцев назад

      KABISAA

  • @Shyreendicksondonald
    @Shyreendicksondonald 6 месяцев назад +1

    nimekubari uko vizuri sana hanaja

  • @joshuamfizi4816
    @joshuamfizi4816 6 месяцев назад +3

    Umeelezea trinity ki theologia vizuri sana

  • @justusrwiza9653
    @justusrwiza9653 7 месяцев назад +6

    Kiukweli si yeye ila Mungu kupitia kinywa Cha huyu baba katujibu. Yaan amefanya hata ukimuelezea mtoto mdogo kwa mfano alioutoa wa Hananja dereva, Hananja Mchungaji au Hananja mchekeshaji still ni yule yule Hananja

  • @msemwawalter837
    @msemwawalter837 4 месяца назад +1

    Asante sana!

  • @mohamedhaji2200
    @mohamedhaji2200 7 месяцев назад +2

    Nyie hangaikeni tu, Mungu mmoja tu, hakuzaa wala kuzaliwa

    • @cath-ef7wd
      @cath-ef7wd 6 месяцев назад

      Waache watangetange mwisho watakuja tu katika njia iliyonyooka.

    • @JosefuSwai
      @JosefuSwai 6 месяцев назад

      Njia Gani yie mabwege uchafu wenu huo waganga nyie​@@cath-ef7wd

    • @MchungajiNzelani
      @MchungajiNzelani 5 месяцев назад

      Na ninyi mlipotezwa

    • @leonardkibungi4903
      @leonardkibungi4903 5 месяцев назад

      Haitusaidii kulumbania Mungu Mungu ki kubwa kuyaishi aliyotuagiza UTAKATIFU TU

  • @bonifacewanyonyi3555
    @bonifacewanyonyi3555 7 месяцев назад +5

    ❤❤❤ umesema kweli kapisa papa

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 2 месяца назад +1

    Hananja ubarikiwe ❤❤❤

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 7 месяцев назад +8

    Mungu ni mmoja kstika utatu, Mungu Baba mwana na Roho mtakatifu
    Mbinguni vinashudia mambo matatu Mungu Baba na Neno na Roho mtakatifu
    Duniani vinashudia mambo matatu Damu maji na Neno

    • @JamesMoses-jd1yq
      @JamesMoses-jd1yq 7 месяцев назад

      Hivi unamanisha kusema ATI yesu ni mungu na roho mtakatifu ni mungu

    • @ZabronWambura-yb5jf
      @ZabronWambura-yb5jf 6 месяцев назад

      ​@@JamesMoses-jd1yqndio

  • @nozesybafikege8417
    @nozesybafikege8417 Месяц назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂safi sana mchungaji,

  • @prAlmodad
    @prAlmodad 5 месяцев назад +3

    Tafuta mchungaji wa Kisabato ili uweke balance ya Story sasa na uwe professional!
    Anasema mambo ya siku ni wanadamu wameweka lakini Biblia inasema: “Mungu akasema, Na iwe mianga katika anga la mbingu ili itenge kati ya mchana na usiku; nayo iwe ndiyo dalili na majira na siku na miaka;” Mwa‬ ‭1‬:‭14‬ ‭SUV‬‬
    Kuchagua siku ya kusali ni uamuzi wa mtu, lakoni hiyo haina maana kwamba Mungu hajaweka siku!
    Pia, kuitenga siku ya Sabato kama siku ya Ibada haina maana kwamba siku zote uache kufanya ibada na uwe unafanya ibada siku moja tu!
    Mchungaji Hananja namkubali sana lakini hapo hayuko sahihi, anahitaji kutulia asome vizuri zaidi hizo hoja na kuzifanyia utafiti!
    Mungu aliweka siku na anasema ni siku yake, sasa Mchungaji anasema ni siku wamejiwekea watu 🤔🤔🤔

  • @godintandala949
    @godintandala949 7 месяцев назад +1

    Asante Mchungaji

  • @husseinomar4294
    @husseinomar4294 4 месяца назад +1

    Aahh Hananja nakubali sana Mungu mmoja tuu

  • @justineswai5885
    @justineswai5885 7 месяцев назад +1

    Hongera hananja

  • @kennethjunior6071
    @kennethjunior6071 6 месяцев назад +1

    Nakuelewa sana mchungaji Hanaja

  • @JumaNassoro-q2p
    @JumaNassoro-q2p 7 месяцев назад +4

    Hananja yuko vizuri anakuelimisha na anakupa na mafundisho ya kueleweka

  • @tryphone3036
    @tryphone3036 6 месяцев назад +1

    Saafi saana

  • @FloraMwaikenda
    @FloraMwaikenda 6 месяцев назад +1

    Mungu wetu ni wa siku zote, hana jumapili wala jumamosi, ni Mungu mwanzo mpaka mwisho

  • @ZaituniLaizer
    @ZaituniLaizer 5 месяцев назад +1

    Saw mchungaji unajua😊

  • @Mahershalalhashbazi-kf6xi
    @Mahershalalhashbazi-kf6xi 7 месяцев назад +8

    Hananja leo nimegundua ana Mungu;na anamjuwa Mungu

    • @jabirkasunzu6841
      @jabirkasunzu6841 7 месяцев назад

      Hananja anajibu kwa kurejelea mapokeo ya Wazungu na Mzee wa Upako ana hoja kwa kurejelea maandiko ya Waisrael wenyewe.
      Mf. Ishu ya siku, biblia inaeleza mwanzo 2:2
      Amri kumi za Musa, moja, Mungu anakataa asifananishwe na chochote majini ardhini na mbinguni na Yesu anasema wakujue wewe Mungu wa pekee na mimi uliyenituma.
      Viongozi wajuu waongo na Wakristu wengi hawaijui biblia na wakisoma wanaathiriwa na mapokeo kutoka kwa wazungu.
      Na kwa akili ya kuzaliwa yenye afya, Mungu aliyesimamisha ardhi na mbingu bila nguzo, anaweza kuwa binadamu (Yesu)? Yesu katahiriwa, kusujudu, alivaa kanzu, alilia, alilala na alikuwa fundi seremala. Mungu wa Alpha na Omega hawezi kuwa wa namna hiyo. Mungu gang dhaifu.

    • @Mahershalalhashbazi-kf6xi
      @Mahershalalhashbazi-kf6xi 7 месяцев назад +1

      @@jabirkasunzu6841
      Mr Jabir hebu nifafanulie hii hadhith sahihi imeandikwa vitabu vifuatavyo vya Kiisilamu;
      Muslim,Imani,302;Bukhari 97/24,10/29;Hanbal III/1
      One day of Judgement,Allah will open his leg and show his thigh to the prophet (S.A.W) to prove his Identity.
      Allah atafunua nguo yake amuonyeshe Muhammad paja lake,kumhakikishia kwa alama iliyo ktk paja lake;
      Allah hakuzaa,Wala hakuzaliwa,Wala Hana wa kufanana naye: .Kumbe anavaa nguo, na ana mguu na una alama?
      Vipi ni Mungu Allah?
      Ni jibu then nitakujibu kuhusu mashaka uliyonayo kwa Maandiko

    • @ismailmaulid1616
      @ismailmaulid1616 6 месяцев назад

      Hananja yupo makini na majibu yake lusekelo mropokaji Mungu ashamuacha muda​@@jabirkasunzu6841

    • @ismailmaulid1616
      @ismailmaulid1616 6 месяцев назад

      ​@@jabirkasunzu6841maelezo mengi lakini hauna hoja soma Biblia kwa mafunuo usisome kama gazeti Yesu mwenyewe amewaita nyinyi ni vipofu Mnamasikio lkin hamsikii, mnamacho lakini humuoni
      Nandio maana Biblia ni fumbo ambalo linafunuliwa na Biblia yenyewe
      YESU MWENYEWE ANASEMA MIMI NA BABA NI MMOJA✅ NILIKUWEPO KABLA YA ADAMU✅ NATUMFANYE MTU KWA MFANO WETU✅

  • @victoriagalinoma4532
    @victoriagalinoma4532 6 месяцев назад

    Maelezo yako yanaeleweka kwa wenye macho ya rohoni Amen

  • @ShukurkollAngel
    @ShukurkollAngel 6 месяцев назад +7

    Kwa hiyo inakubalika kwamba ni Mungu MMOJA. Good!

  • @maddamshance9697
    @maddamshance9697 28 дней назад +1

    Kweli kabisa Mungu ni mmoja

  • @Hajjs-j9b
    @Hajjs-j9b 3 месяца назад +1

    Muulize mungu ndiyo huyo yes au

  • @FrankGasper-eq2ui
    @FrankGasper-eq2ui 6 месяцев назад +1

    Ase uyu mchungaji Ni noma ase anajua

    • @isayasimwinga2854
      @isayasimwinga2854 6 месяцев назад

      @@FrankGasper-eq2ui ONA ALICHOKIFICHA
      𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗘𝗡𝗖𝗬𝗖𝗟𝗢𝗣𝗘𝗗𝗜𝗔, 𝗩𝗢𝗟𝗨𝗠𝗘 𝗜𝗩 , 𝗨𝗞. 𝟭𝟱𝟯 : "Kanisa.......baada ya kubadilisha siku ya pumziko kutoka Sabato ya kiyahudi, au siku ya saba ya juma, kwenda siku ya kwanza , likaifanya amri ya tatu itamke kuwa Jumapili ni siku ya kuishika Kitakatifu kama siku ya Bwana".
      𝗞𝗔𝗗𝗜𝗡𝗔𝗟𝗜 𝗚𝗜𝗕𝗕𝗢𝗡𝗦, katika kitabu chake kiitwacho "𝗧𝗵𝗲 𝗤𝘂𝗲𝘀𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗕𝗼𝘅, 𝗨𝗞. 𝟭𝟳𝟵, anakiri kwa namna ya kushangaza: "Ikiwa Biblia ndio kiongozi pekee kwa Wakristo, bila Shaka Waadventista Wa Sabato wako sahihi katika utunzaji wa Jumamosi pamoja na Wayahudi...... Si jambo la kushangaza kwamba wale wanaoifanya Biblia kuwa mwalimu wao pekee, Wanakuwa na msimamo tofauti katika jambo kwa kufuata mapokeo ya Kanisa Katoliki?".
      𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗔. 𝗢'𝗕𝗥𝗜𝗘𝗡 katika kitabu "𝗨𝗻𝗱𝗲𝗿𝘀𝘁𝗮𝗻𝗱𝗶𝗻𝗴 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗮𝘁𝗵𝗼𝗹𝗶𝗰 𝗙𝗮𝗶𝘁𝗵," 𝗨𝗞. 𝟭𝟯, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟭𝟵𝟱𝟱 anasema: "𝗕𝗶𝗯𝗹𝗶𝗮 𝗵𝗮𝗶𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗼 𝘆𝗼𝘁𝗲 𝘆𝗮 𝗱𝗶𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗞𝗶𝗸𝗮𝘁𝗼𝗹𝗶𝗸𝗶, wala haielezei majukumu yote ya washiriki wake. Chukulia kwa mfano, suala la utunzaji wa jumapili, uhudhuriaji wa ibada , na uepukaji wa kazi zisizofaa siku hiyo. Hili ni jambo ambalo majirani zetu waprotestanti wameliwekea msisitizo mkubwa kwa miaka mingi; hata hivyo hakuna mahala popote kwenye Biblia ambapo Jumapili imetajwa kama siku ya Bwana; siku iliyotajwa ni Sabato, siku ya mwisho ya juma........"
      𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗟𝗘𝗢 𝗝. 𝗧𝗥𝗘𝗦𝗘 𝗻𝗮 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗝. 𝗖𝗔𝗦𝗧𝗟𝗘𝗟𝗢𝗧, Katika Kitabu kinachoitwa "𝗦𝗮𝗹𝘃𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗛𝗶𝘀𝘁𝗼𝗿𝘆 𝗮𝗻𝗱 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗼𝗺𝗺𝗮𝗻𝗱𝗺𝗲𝗻𝘁𝘀," 𝘂𝗸 𝟮𝟵𝟰, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝟭𝟵𝟲𝟯, hueleza hivi: "Hakuna andiko lolote katika Biblia linalozungumzia badiliko la siku ya Bwana kutoka Jumamosi kwenda Jumapili. Tunafahamu tu kuhusu badiliko hili kutoka Kwenye mapokeo ya kanisa kupitia viongozi wa kanisa. Hii ndiyo sababu kwa nini tunaona haina mantiki kwa makundi mengi ya wasio Wakatoliki, wanaosema kwamba hawataamini chochote vinginevyo iwe imeandikwa katika Biblia na lakini bado wanaendelea kuadhimisha Jumapili Kama siku ya Bwana kwa kauli ya Kanisa Katoliki."
      𝗧𝗛𝗘 𝗖𝗢𝗡𝗩𝗘𝗥𝗧'𝗦 𝗖𝗔𝗧𝗘𝗖𝗛𝗜𝗦𝗠 𝗢𝗙 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗗𝗢𝗖𝗧𝗥𝗜𝗡𝗘 (𝟭𝟵𝟱𝟳):𝟱𝟬
      > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑺𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝑺𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒏𝒊 𝒊𝒑𝒊
      > JIBU: Jumamosi ndiyo siku ya Sabato.
      > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑲𝒘𝒂 𝒏𝒊𝒏𝒊 𝒕𝒖𝒏𝒂𝒊𝒂𝒅𝒉𝒊𝒎𝒊𝒔𝒉𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒑𝒊𝒍𝒊 𝒃𝒂𝒅𝒂𝒍𝒂 𝒚𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒎𝒐𝒔𝒊?
      > JIBU: Tunaiadhimisha Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu Kanisa Katoliki lilihamisha utakatifu wa Jumamosi kwenda Jumapili.
      𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗣𝗥𝗜𝗘𝗦𝗧 𝗧. 𝗘𝗡𝗥𝗜𝗚𝗛𝗧, 𝗖𝗦𝗦𝗥, 𝗞𝗔𝗡𝗦𝗔𝗦 𝗖𝗜𝗧𝗬, 𝗠𝗢:
      "Lilikuwa ni kanisa takatifu Katoliki ambalo lilibadilisha siku ya pumzika kutoka Jumamosi kwenda Jumapili, ambayo ni siku ya kwanza ya juma. Na halikulazimisha wote kuitunza Jumapili peke yake, bali kwenye Baraza la Laodekia, mwaka 364 BK, liliwalaani wale ambao waliitunza Sabato na kuwasihi watu wote kufanya kazi katika siku ya saba chini ya adhabu ya laana"
      𝗦.𝗖. 𝗠𝗢𝗦𝗡𝗔, 𝗦𝗧𝗢𝗥𝗜𝗔 𝗗𝗘𝗟𝗟𝗔 𝗗𝗢𝗠𝗘𝗡𝗜𝗖𝗔 (𝟭𝟵𝟲𝟵): 𝟯𝟲𝟲-𝟯𝟲𝟳
      "Si Muumbaji wa Ulimwengu katika Mwanzo 2:1-3, bali ni Kanisa Katoliki linaweza kudai heshima ya kuwa na idhini ya kumpatia mwanadamu pumziko la kazi yake kila siku saba."
      𝗔𝗥𝗧𝗛𝗨𝗥 𝗪𝗘𝗜𝗚𝗔𝗟𝗟, 𝗧𝗛𝗘 𝗣𝗔𝗚𝗔𝗡𝗜𝗦𝗠 𝗜𝗡 𝗢𝗨𝗥 𝗖𝗛𝗥𝗜𝗦𝗧𝗜𝗔𝗡𝗜𝗧𝗬 (𝗡𝗘𝗪 𝗬𝗢𝗥𝗞: 𝗣𝗨𝗧𝗡𝗔𝗠𝗔™𝘀 𝗦𝗢𝗡𝗦, 𝟭𝟵𝟮𝟴): 𝟭𝟰𝟱:
      "Kanisa LILIIFANYA siku ya JUMAPILI kuwa TAKATIFU kikubwa ni kwa sababu ILIKUWA NI SIKUKUU YA JUA; maana ilikuwa dhahiri ni sera ya Kikristo kukubali sikukuu za kipagani zilizopendeka kwa watu na kwa utamaduni, na kuwapa maana muhimu ya Kikristo."
      𝗞𝗔𝗧𝗘𝗞𝗜𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗡𝗜𝗦𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗢𝗟𝗜𝗞𝗜, 𝗨𝗙𝗨𝗣𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗠𝗔𝗞𝗜𝗡𝗜
      𝗡𝗮𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝘂𝗸. 𝟭𝟯𝟲
      𝗦𝘄𝗮𝗹𝗶 𝟰𝟱𝟬. 𝑲𝒘𝒂𝒏𝒊𝒏𝒊 𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 "𝒂𝒍𝒊𝒊𝒃𝒂𝒓𝒊𝒌𝒊 𝒔𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒂𝒌𝒂𝒊𝒕𝒂𝒌𝒂𝒔𝒂"(𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 20:11)?
      𝗝𝗶𝗯𝘂: "kwa kuwa siku ya sabato linakumbukwa pumziko la Mungu siku ya Saba ya uumbaji, na vilevile ukombozi wa Israeli kutoka utumwani Misri , na Agano ambalo Mungu alikiweka na watu wake."
      💕💕 Hapo utagundua sababu za pumziko ni ; 1.kumbukumbu ya uumbaji wa Mungu,2. Ukombozi wa waisraeli, 3. Agano la Mungu na watu wake.
      𝗧𝘂𝗻𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗸𝘂𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂
      𝗦𝘄𝗹 𝟰𝟱𝟭. 𝒀𝒆𝒔𝒖 𝒂𝒍𝒊𝒊𝒕𝒆𝒏𝒅𝒂𝒋𝒆 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐?
      𝗝𝗶𝗯𝘂: "Yesu alitambua utakatifu wa sabato na kwa mamlaka yake ya kimungu akaipatia ufafanuzi halisi: "sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato"(Mk2:27).
      HAPA KICHWA GEOGRAPHY, INAMALIZA YOTE KUHUSU SABATO: PART1.
      Tutajifunza : Merrian Webster's collegiate Dictionary, Eleventh Edition, Defines Saturdays as The day of the week."
      >Hebu tujue machache kuhusu wanajiografia; wanasemaje kuhusu Sabato? Maana imenilazimu kutumia muda kujifunza na kuchunguza hili kwa kina ili wewe unayefuatilia ubaini Ukweli huu muhimu katika nyanja zotee; usiwe na sababu ya kutojua!!
      ✓Tuanzie mbali kidogo kuhusu kalenda , je kalenda ya leo imevurugwa? Sawa, twende pamoja:-
      -Kuanzia Yesu Kristo mpaka leo zipo kalenda kuu mbili:-
      1. Julia's Ceaser 46kk Yesu amezaliwa Kwenye kalenda hiyo.
      2. Gregory Calendar. Hii ni kalenda iliyoanzishwa na Papa Gregory XIII mwaka 1582.
      Je, mabadiliko hayo ya calendar ya Gregory yaliathiri kwa namna fulani siku ya saba (sabato)? SIKIZA JIBU: Papa Gregory baada ya wanaanga(Astronomer) kuona mapungufu ktk Kalenda ya Julius kuwa Kuna muda unapotea au upotevu wa dakika 11 na kuwa mwaka si siku 365 kamili.
      => Ili litimie neno lililonenwa na nabii Daniel , Papa Gregory alibadili kwa kurekebisha hivi, ilikuwa Alhamis #4/10/1582 akasema; siku inayofuata Yaani Ijumaa iwe tarehe 15/10/1582.
      Hivyo Papa hakufuta siku ya Saba (sabato) Bali tarehe tu zilibadilika! Aidha alibadili siku iishe saa sita kamili usiku, ama ianze saa sita kamili usiku badala ya saa kumi na mbili za mchana na saa kumi na mbili za usiku Kama biblia takatifu isemavyo!!!.👇👇
      Yesu akajibu, Je! Saa za mchana si kumi na mbili? Mtu akienda mchana hajikwai; kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu.Yohana 11:9
      Narudia tena neno la Mungu, halijajipinga na halihitaji marekebisho, iwe ya kisayansi ama ya kifalsafa lipo imara Ni kamilifu.
      Papa Gregory kuhusika kwake katika hili utagundua ndivyo kanisa katoliki hutumia mbinu mbalimbali kupenyeza Mambo yake, hata Ni rahisi kuelewa kuwa kwa kuwa tayari amri ya nne Kama tulivyoona, tayari ilikuwa imehalifiwa na kuididimiza, akaweka siku ianzie saa6 usiku!!
      💖Je, saa sita kamili ndio siku mpya(nyingine) huanza? Wataalamu wa nyota aidha January 1 , 2021 wakizungumzia muda halisi Ni upi dunia humaliza kuzunguka Jua walisema kwa kweli si kweli kuwa saa sita usiku ndiyo siku ya mwaka mpya huanza, hakuna ushahidi wa kisayansi kuwa saa sita kamili ndiye siku inaanza, ni nadharia tu, zilizosapotiwa na Gregory XIII.
      Utagundua pia kuwa, kanisa limejihusisha kwa karibu na ustaarabu unaoendelea duniani, ni taasisi iliyojificha Kwenye sura ya dini Ila Ni serekali.....
      ✓Kwanini kalenda za ulaya zinahesabu Jumatatu Kama siku ya Kwanza ya Juma? JIBU: Kuifanya Jumapili kuwa siku ya saba katika Kalenda za Ulaya kumeanza miaka ya 1950's. Kabla ya mwaka 1950's kalenda ziliishia Jumamosi. Sababu ya mabadiliko hayo ilitokana na wafanyabiashara wengi kwenda ibadani Jumapili, kwa hiyo siku za kazi zikaanza Jumatatu hadi Jumamosi Kwenye kalenda.
      ✔️Pia wanajiografia: wamethibitisha Ukweli huu; Mstari wa Greenwich England (yaani mstari wa tarehe wa kimataifa) na Wachunguzi wa usafiri wa majini U.S.A Wamethibitisha kuwa mzunguko wa week kamwe haujawahi badilika upo vilevile.
      NB: Najua Kuna wasomi wenzangu (G&H) Ni vema wakaguswa nao na kufuata utafiti huo. Biblia ingetosha kueleza umuhimu wa Siku ya Saba ya Juma ila kwa kuwa binadamu tunauelewa tofauti nimeona ni vema kugusa nyanja mbalimbali, ili asomaye afahamu.
      Amani ya Bwana Yesu kristo na Pendo la Mungu Baba na Ushirika wa Roho Mtakatifu viwe nanyi nyote. Amen
      Ukweli ni Ukweli, Mungu akubariki 🙏

  • @andrewkaswagula3367
    @andrewkaswagula3367 7 месяцев назад +12

    Anayejiita sijui mzee wa Upako akajifunze upya Biblia.. Asikilize wenzake kama hawa wanavyo elezea tafsiri ya Biblia

    • @MartinLaban
      @MartinLaban 7 месяцев назад

      Huyo alipigwa kitu kizito akaambiwa aanze kupotosha watu, ukiskiza hananja utafurahi hajifagilii na anajibu kifasaha sana.

    • @kiatu
      @kiatu 7 месяцев назад

      Elimu yake ndogo (theology)

    • @hassanthabit4021
      @hassanthabit4021 6 месяцев назад

      Hananja kajibu kiti kimoja tu hakuna 3 wala 2 😅

    • @SaumMohammed-f8k
      @SaumMohammed-f8k 25 минут назад

      kisha hiyo pete ya rangi ya red nn maana yake kwake vidoleni....kanitatiza tu sana

  • @AdamDaudy
    @AdamDaudy 6 месяцев назад +1

    Mchungaji hananja ana babaisha
    Mungu ni Mmoja hana MSHIRIKA .unayo ya sema mchungaji Hananja yanatofautiana na uhalisia . Yohana 17:3

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 6 месяцев назад +1

      huyo Yohana ungemsoma kuanzia mwanzo usingekua hapa unajiabisha mxiuu!! unasoma biblia ipi au ndo wale wanaokurupuka tu mnaosoma kutafuta majibu ya ufoko wenu ili mje kupinga na wala sio kuelewa, hebu kasome yohana 1:1-14 usitupigie kelele....

    • @leonardmhagama5828
      @leonardmhagama5828 6 месяцев назад +1

      Fikiri Usikariri

    • @kensniper8079
      @kensniper8079 5 месяцев назад

      ​@@lilyg2134usibishane na huyo mlevi

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 7 месяцев назад +1

    Kumbe Mungu ni Mmoja takbiiir.

    • @mathiaslyamunda2526
      @mathiaslyamunda2526 7 месяцев назад

      Wewe ulidhani wangapi? Hiyo tafsiri ya miungu wengi kutokuelewa tu biblia.

    • @allythabiti8150
      @allythabiti8150 7 месяцев назад

      @@mathiaslyamunda2526 nyie si huwa mnasema Mungu mwana, Mungu roho na Mungu baba.. nmetoa wapi haya

    • @ANDREWKIMARO-by3zl
      @ANDREWKIMARO-by3zl 7 месяцев назад

      @@allythabiti8150 ni utendaji kazi tu wa Mungu ni kama Allythabiti unavoitwa Ally, au dereva Allythabiti au mwalimu Allythabiti wakati huohuo wewe ni Allythabiti
      Mungu ni mmoja kumbukumbu la Torati 6:4 Biblia Takatifu imenifundisha hivo toka niko mdogo.

  • @adjanihabose1586
    @adjanihabose1586 6 месяцев назад

    mchungaji ubarikiwe sana wewe ni mtumishi wa mungu kabisa

  • @shariduidrisa1993
    @shariduidrisa1993 7 месяцев назад +10

    Hameniiii islam is the best❤

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 7 месяцев назад

      Fanya kazi lisha familia Yako hizi dini zililetwa na watu huku Africa hakuna na dini yeyote, jiulize kwanini sisi Bado maskini na ndo tunaongoza kushika dini alafu wao matajiri japo kuwa wanafanya uovu mwingi kuliko sisi?

    • @venanceJohnbosko
      @venanceJohnbosko 7 месяцев назад

      Utajiri wa mwili au utajiri wa roho.....

    • @Liberatusnsekela
      @Liberatusnsekela 7 месяцев назад

      ​​@@Oldskulgemini9991
      Siyo dini tu zililetwa na watu. Hata hizo kazi zenyewe unazofanya ili kulisha familia yako zililetwa na watu hao hao.
      Kwahiyo ukipuuzia hizo dini walizoleta, puzia na hizo kazi pia. Hata hizo nguo unazovaa, zipuzie.

    • @ismailmaulid1616
      @ismailmaulid1616 6 месяцев назад

      Baki nao wewe inatosha tushatoka huko

    • @dostovan5142
      @dostovan5142 6 месяцев назад

      Tumetoka haturudi

  • @JulianaChanga
    @JulianaChanga 4 месяца назад +1

    Nimekuelewa mchungaji ishi maisha malefu

  • @haidar438
    @haidar438 7 месяцев назад +21

    Mm ni Muisilam ila HANANJA namuelewa sana! 😃

    • @jabirkasunzu6841
      @jabirkasunzu6841 7 месяцев назад +1

      Hananja anajibu kwa kurejelea mapokeo ya Wazungu na Mzee wa Upako ana hoja kwa kurejelea maandiko ya Waisrael wenyewe.
      Mf. Ishu ya siku, biblia inaeleza mwanzo 2:2
      Amri kumi za Musa, moja, Mungu anakataa asifananishwe na chochote majini ardhini na mbinguni na Yesu anasema wakujue wewe Mungu wa pekee na mimi uliyenituma.
      Viongozi wajuu waongo na Wakristu wengi hawaijui biblia na wakisoma wanaathiriwa na mapokeo kutoka kwa wazungu.
      Na kwa akili ya kuzaliwa yenye afya, Mungu aliyesimamisha ardhi na mbingu bila nguzo, anaweza kuwa binadamu (Yesu)? Yesu katahiriwa, kusujudu, alivaa kanzu, alilia, alilala na alikuwa fundi seremala. Mungu wa Alpha na Omega hawezi kuwa wa namna hiyo. Mungu gang dhaifu.

    • @mwlpierre
      @mwlpierre 7 месяцев назад +1

      @@jabirkasunzu6841Yesu anasema”mimi ndio mwanzo na mwisho,mimi ndio njia kweli na uzima ebu kwanza elewa hayo maneno kwanza

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 7 месяцев назад

      @@jabirkasunzu6841 mbona na nyie waislamu mashekh wanarejea mafundisho ya warabu

    • @cassimoa9217
      @cassimoa9217 7 месяцев назад

      Wewe ni muislam unamuelewa vipi huyo kafiri mpotoshaji tu? Elewa vzr chako nayo Quraan kumuelewa huyu ina maana unakubaliana na anayoyatetea ktk dini yake. Hivyo unaweza kujikuta upo nje ya uislamu biila ya kujielewa..

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 7 месяцев назад

      @@cassimoa9217 wewe ndio kafiri na uislamu ni ukafiri

  • @frankjohn8706
    @frankjohn8706 6 месяцев назад +1

    Hapo Hananja nimekukubali sana

  • @jojujjokyussa4699
    @jojujjokyussa4699 5 месяцев назад +1

    Mchungaji Hananja nakukubari sana sana sanaaa yani.

  • @kennedythomas7282
    @kennedythomas7282 5 месяцев назад +1

    Kufanywa kuwa wanafunzi, ni wote kuwa na imani ya aina moja anayoitaka Mungu. Wachungaji musiwapotoshe wana kondoo kwa hekima na ufahamu wa kidunia. Twende na Neno kwa Neno. Tunachokisema tukithibitishe kwa maandiko.

    • @gililwise
      @gililwise 5 месяцев назад

      Imani Gani Yako yangu

  • @Kombs-cr2mj
    @Kombs-cr2mj 6 месяцев назад +1

    MASTER

  • @AbbySigala-u9c
    @AbbySigala-u9c 6 месяцев назад +1

    Mungu aendelee kumpa uzima huyu mchungaji watu wapate mengi kwake watoke ktk giza

  • @isayatippe6409
    @isayatippe6409 6 месяцев назад +1

    Ni kweli kabisa Yesu na mitume hawakutoa Agizo lo lote kwamba kanisa lisali Jumamosi wala Jumapili!!!

    • @VictoriaCharles-r6y
      @VictoriaCharles-r6y 6 месяцев назад

      Desturi ya Yesu ni kusali Kila sabato

    • @RehemaDavid-f2l
      @RehemaDavid-f2l 6 месяцев назад

      Ulitaka watoe agizo la siku ya kusali kwa watu gan? Wakat wayahudi waliijua na kuitunza siku ya sabato,yesu alishughulika na mambo yaliyo washinda wayahudi siku zile kama vile ndoa,na namna ya kuitunza sabato,na hata hvyo bado Yesu aliingia ibadani Kila siku ya sabato,hata baada ya kuondoka kwake wanafunzi wake waliiendelea kuitunza sabato Matendo16:13,Sasa ww unatama agizo gani Tena? Maana agizo liko kwenye amri kumi,la kuitunza sabato,na amri zipo hata mbingu na nchi zitakapotoweka

  • @LiberiusKajoki
    @LiberiusKajoki 6 месяцев назад +1

    Muchungaji Hananja nakupenda sana wewe ni msema ukweli izi pinda pinda zinatuletea shida sana•

  • @GIBSONMWABILI-po3wf
    @GIBSONMWABILI-po3wf 7 месяцев назад

    Nakupenda bure mchungaji,Kenya tunakifuatillia kwa utendeti

  • @Ezeqsweya1116
    @Ezeqsweya1116 7 месяцев назад +6

    Hananja is the best

    • @othmanmaulid4867
      @othmanmaulid4867 7 месяцев назад

      Nae haelewi Trinity

    • @maclaudismail6606
      @maclaudismail6606 7 месяцев назад

      Huyo ni comedy hananja. Lkn nyinyi mupo kama wahindi chochote unachoambiwa kiabudu kwenu poa tu ilimradi kasema mzungu

  • @MO12-b1q
    @MO12-b1q 7 месяцев назад +4

    SIKU ZOTE NAKUWA NADIFUNZA KITU HAPA KWA MZEE HANANJA SABU YEYE ANARUDI KWENYE NENO TU 👏👏

    • @jabirkasunzu6841
      @jabirkasunzu6841 7 месяцев назад +1

      Soma biblia Mwanzo 2:2. Masuala ya siku yapo.
      Usishabikie mtu, soma maandiko.
      Siku ya hukumu, hatokuwepo mkalimani, mwanasaikolojia, mwanafalsafa, roho mtakatifu wala Hananja katikati ni wewe na Mungu wako.

  • @ZakariaJoseph-r9t
    @ZakariaJoseph-r9t 7 месяцев назад

    We ndo nakuelewa saana baba 🙏🙏

  • @ephraimkabeya9648
    @ephraimkabeya9648 7 месяцев назад +4

    Lusekelo asemee kanisa lake, na siku wakijua Biblia watarudi kwa watumishi wa kweli wa Mungu. Wewe SALI jumamosi au siku yoyote uliyoelekezwa na chama chako kuwa haina makali ya utukufu, Rangi zake zimeanza kuonekana kama Kibwetele tu.Kanisa Lisilo kuwa na Sunday school, kipaimara ili kujifunza Biblia.Kanisa ambalo limejaa porojo kibao,kiki, kujipashia umaarufu na ukubwa, stori za mitandaoni na kuaminisha watu vitu ambavyo sio vya kibiblia ni kweli watu wale wa kanisa lake hawajui Biblia.

  • @MaryLawrence-e3w
    @MaryLawrence-e3w 2 месяца назад +2

    Munguamubariki

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 7 месяцев назад +5

    Mchungaji wangu Mungu aendelee kukupa hekima ili wengi wapate Elimu hii.

  • @mosesmartin73
    @mosesmartin73 6 месяцев назад +1

    Ananja ❤Mungu aendelee kukupa afya njema unajua kufundisha na mtu na akakuelewa

  • @FaustineRaphael
    @FaustineRaphael 3 месяца назад +1

    😂ikawa asubuhi ikawa JIONI siku ya pili

  • @littlelunie.7653
    @littlelunie.7653 7 месяцев назад +2

    Hananja anajua hajakariri hata anavojibu maswali n mtu mwenye ufaham wa biblia
    Mungu aendelee kukutumia