MCHUNGAJI HANANJA AMJIBU MZEE WA UPAKO KUSEMA WAKRISTO WENGI HAWAJUI BIBLIA // INJILI HAIPO HIVO...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024

Комментарии • 676

  • @stevensteven4513
    @stevensteven4513 2 месяца назад +4

    Kituo kinachofuata Namuona MZEE mumoja ivi Akimfuata KIBOKO YA WACHAWI 🤣🤣🤣🤣

  • @prAlmodad
    @prAlmodad Месяц назад +3

    Tafuta mchungaji wa Kisabato ili uweke balance ya Story sasa na uwe professional!
    Anasema mambo ya siku ni wanadamu wameweka lakini Biblia inasema: “Mungu akasema, Na iwe mianga katika anga la mbingu ili itenge kati ya mchana na usiku; nayo iwe ndiyo dalili na majira na siku na miaka;” Mwa‬ ‭1‬:‭14‬ ‭SUV‬‬
    Kuchagua siku ya kusali ni uamuzi wa mtu, lakoni hiyo haina maana kwamba Mungu hajaweka siku!
    Pia, kuitenga siku ya Sabato kama siku ya Ibada haina maana kwamba siku zote uache kufanya ibada na uwe unafanya ibada siku moja tu!
    Mchungaji Hananja namkubali sana lakini hapo hayuko sahihi, anahitaji kutulia asome vizuri zaidi hizo hoja na kuzifanyia utafiti!
    Mungu aliweka siku na anasema ni siku yake, sasa Mchungaji anasema ni siku wamejiwekea watu 🤔🤔🤔

  • @BroDanielShekiyao
    @BroDanielShekiyao 3 месяца назад +14

    Hananji nilikua nakuona mchekeshaji kumbe unajua biblia

    • @vinhaule8617
      @vinhaule8617 2 месяца назад

      Anaenda na majira mungu ambariki

    • @isayasimwinga2854
      @isayasimwinga2854 2 месяца назад

      𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗘𝗡𝗖𝗬𝗖𝗟𝗢𝗣𝗘𝗗𝗜𝗔, 𝗩𝗢𝗟𝗨𝗠𝗘 𝗜𝗩 , 𝗨𝗞. 𝟭𝟱𝟯 : "Kanisa.......baada ya kubadilisha siku ya pumziko kutoka Sabato ya kiyahudi, au siku ya saba ya juma, kwenda siku ya kwanza , likaifanya amri ya tatu itamke kuwa Jumapili ni siku ya kuishika Kitakatifu kama siku ya Bwana".
      𝗞𝗔𝗗𝗜𝗡𝗔𝗟𝗜 𝗚𝗜𝗕𝗕𝗢𝗡𝗦, katika kitabu chake kiitwacho "𝗧𝗵𝗲 𝗤𝘂𝗲𝘀𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗕𝗼𝘅, 𝗨𝗞. 𝟭𝟳𝟵, anakiri kwa namna ya kushangaza: "Ikiwa Biblia ndio kiongozi pekee kwa Wakristo, bila Shaka Waadventista Wa Sabato wako sahihi katika utunzaji wa Jumamosi pamoja na Wayahudi...... Si jambo la kushangaza kwamba wale wanaoifanya Biblia kuwa mwalimu wao pekee, Wanakuwa na msimamo tofauti katika jambo kwa kufuata mapokeo ya Kanisa Katoliki?".
      𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗔. 𝗢'𝗕𝗥𝗜𝗘𝗡 katika kitabu "𝗨𝗻𝗱𝗲𝗿𝘀𝘁𝗮𝗻𝗱𝗶𝗻𝗴 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗮𝘁𝗵𝗼𝗹𝗶𝗰 𝗙𝗮𝗶𝘁𝗵," 𝗨𝗞. 𝟭𝟯, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟭𝟵𝟱𝟱 anasema: "𝗕𝗶𝗯𝗹𝗶𝗮 𝗵𝗮𝗶𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗼 𝘆𝗼𝘁𝗲 𝘆𝗮 𝗱𝗶𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗞𝗶𝗸𝗮𝘁𝗼𝗹𝗶𝗸𝗶, wala haielezei majukumu yote ya washiriki wake. Chukulia kwa mfano, suala la utunzaji wa jumapili, uhudhuriaji wa ibada , na uepukaji wa kazi zisizofaa siku hiyo. Hili ni jambo ambalo majirani zetu waprotestanti wameliwekea msisitizo mkubwa kwa miaka mingi; hata hivyo hakuna mahala popote kwenye Biblia ambapo Jumapili imetajwa kama siku ya Bwana; siku iliyotajwa ni Sabato, siku ya mwisho ya juma........"
      𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗟𝗘𝗢 𝗝. 𝗧𝗥𝗘𝗦𝗘 𝗻𝗮 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗝. 𝗖𝗔𝗦𝗧𝗟𝗘𝗟𝗢𝗧, Katika Kitabu kinachoitwa "𝗦𝗮𝗹𝘃𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗛𝗶𝘀𝘁𝗼𝗿𝘆 𝗮𝗻𝗱 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗼𝗺𝗺𝗮𝗻𝗱𝗺𝗲𝗻𝘁𝘀," 𝘂𝗸 𝟮𝟵𝟰, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝟭𝟵𝟲𝟯, hueleza hivi: "Hakuna andiko lolote katika Biblia linalozungumzia badiliko la siku ya Bwana kutoka Jumamosi kwenda Jumapili. Tunafahamu tu kuhusu badiliko hili kutoka Kwenye mapokeo ya kanisa kupitia viongozi wa kanisa. Hii ndiyo sababu kwa nini tunaona haina mantiki kwa makundi mengi ya wasio Wakatoliki, wanaosema kwamba hawataamini chochote vinginevyo iwe imeandikwa katika Biblia na lakini bado wanaendelea kuadhimisha Jumapili Kama siku ya Bwana kwa kauli ya Kanisa Katoliki."
      𝗧𝗛𝗘 𝗖𝗢𝗡𝗩𝗘𝗥𝗧'𝗦 𝗖𝗔𝗧𝗘𝗖𝗛𝗜𝗦𝗠 𝗢𝗙 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗗𝗢𝗖𝗧𝗥𝗜𝗡𝗘 (𝟭𝟵𝟱𝟳):𝟱𝟬
      > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑺𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝑺𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒏𝒊 𝒊𝒑𝒊
      > JIBU: Jumamosi ndiyo siku ya Sabato.
      > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑲𝒘𝒂 𝒏𝒊𝒏𝒊 𝒕𝒖𝒏𝒂𝒊𝒂𝒅𝒉𝒊𝒎𝒊𝒔𝒉𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒑𝒊𝒍𝒊 𝒃𝒂𝒅𝒂𝒍𝒂 𝒚𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒎𝒐𝒔𝒊?
      > JIBU: Tunaiadhimisha Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu Kanisa Katoliki lilihamisha utakatifu wa Jumamosi kwenda Jumapili.
      𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗣𝗥𝗜𝗘𝗦𝗧 𝗧. 𝗘𝗡𝗥𝗜𝗚𝗛𝗧, 𝗖𝗦𝗦𝗥, 𝗞𝗔𝗡𝗦𝗔𝗦 𝗖𝗜𝗧𝗬, 𝗠𝗢:
      "Lilikuwa ni kanisa takatifu Katoliki ambalo lilibadilisha siku ya pumzika kutoka Jumamosi kwenda Jumapili, ambayo ni siku ya kwanza ya juma. Na halikulazimisha wote kuitunza Jumapili peke yake, bali kwenye Baraza la Laodekia, mwaka 364 BK, liliwalaani wale ambao waliitunza Sabato na kuwasihi watu wote kufanya kazi katika siku ya saba chini ya adhabu ya laana"
      𝗦.𝗖. 𝗠𝗢𝗦𝗡𝗔, 𝗦𝗧𝗢𝗥𝗜𝗔 𝗗𝗘𝗟𝗟𝗔 𝗗𝗢𝗠𝗘𝗡𝗜𝗖𝗔 (𝟭𝟵𝟲𝟵): 𝟯𝟲𝟲-𝟯𝟲𝟳
      "Si Muumbaji wa Ulimwengu katika Mwanzo 2:1-3, bali ni Kanisa Katoliki linaweza kudai heshima ya kuwa na idhini ya kumpatia mwanadamu pumziko la kazi yake kila siku saba."
      𝗔𝗥𝗧𝗛𝗨𝗥 𝗪𝗘𝗜𝗚𝗔𝗟𝗟, 𝗧𝗛𝗘 𝗣𝗔𝗚𝗔𝗡𝗜𝗦𝗠 𝗜𝗡 𝗢𝗨𝗥 𝗖𝗛𝗥𝗜𝗦𝗧𝗜𝗔𝗡𝗜𝗧𝗬 (𝗡𝗘𝗪 𝗬𝗢𝗥𝗞: 𝗣𝗨𝗧𝗡𝗔𝗠𝗔™𝘀 𝗦𝗢𝗡𝗦, 𝟭𝟵𝟮𝟴): 𝟭𝟰𝟱:
      "Kanisa LILIIFANYA siku ya JUMAPILI kuwa TAKATIFU kikubwa ni kwa sababu ILIKUWA NI SIKUKUU YA JUA; maana ilikuwa dhahiri ni sera ya Kikristo kukubali sikukuu za kipagani zilizopendeka kwa watu na kwa utamaduni, na kuwapa maana muhimu ya Kikristo."
      𝗞𝗔𝗧𝗘𝗞𝗜𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗡𝗜𝗦𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗢𝗟𝗜𝗞𝗜, 𝗨𝗙𝗨𝗣𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗠𝗔𝗞𝗜𝗡𝗜
      𝗡𝗮𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝘂𝗸. 𝟭𝟯𝟲
      𝗦𝘄𝗮𝗹𝗶 𝟰𝟱𝟬. 𝑲𝒘𝒂𝒏𝒊𝒏𝒊 𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 "𝒂𝒍𝒊𝒊𝒃𝒂𝒓𝒊𝒌𝒊 𝒔𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒂𝒌𝒂𝒊𝒕𝒂𝒌𝒂𝒔𝒂"(𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 20:11)?
      𝗝𝗶𝗯𝘂: "kwa kuwa siku ya sabato linakumbukwa pumziko la Mungu siku ya Saba ya uumbaji, na vilevile ukombozi wa Israeli kutoka utumwani Misri , na Agano ambalo Mungu alikiweka na watu wake."
      💕💕 Hapo utagundua sababu za pumziko ni ; 1.kumbukumbu ya uumbaji wa Mungu,2. Ukombozi wa waisraeli, 3. Agano la Mungu na watu wake.
      𝗧𝘂𝗻𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗸𝘂𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂
      𝗦𝘄𝗹 𝟰𝟱𝟭. 𝒀𝒆𝒔𝒖 𝒂𝒍𝒊𝒊𝒕𝒆𝒏𝒅𝒂𝒋𝒆 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐?
      𝗝𝗶𝗯𝘂: "Yesu alitambua utakatifu wa sabato na kwa mamlaka yake ya kimungu akaipatia ufafanuzi halisi: "sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato"(Mk2:27).
      HAPA KICHWA GEOGRAPHY, INAMALIZA YOTE KUHUSU SABATO: PART1.
      Tutajifunza : Merrian Webster's collegiate Dictionary, Eleventh Edition, Defines Saturdays as The day of the week."
      >Hebu tujue machache kuhusu wanajiografia; wanasemaje kuhusu Sabato? Maana imenilazimu kutumia muda kujifunza na kuchunguza hili kwa kina ili wewe unayefuatilia ubaini Ukweli huu muhimu katika nyanja zotee; usiwe na sababu ya kutojua!!
      ✓Tuanzie mbali kidogo kuhusu kalenda , je kalenda ya leo imevurugwa? Sawa, twende pamoja:-
      -Kuanzia Yesu Kristo mpaka leo zipo kalenda kuu mbili:-
      1. Julia's Ceaser 46kk Yesu amezaliwa Kwenye kalenda hiyo.
      2. Gregory Calendar. Hii ni kalenda iliyoanzishwa na Papa Gregory XIII mwaka 1582.
      Je, mabadiliko hayo ya calendar ya Gregory yaliathiri kwa namna fulani siku ya saba (sabato)? SIKIZA JIBU: Papa Gregory baada ya wanaanga(Astronomer) kuona mapungufu ktk Kalenda ya Julius kuwa Kuna muda unapotea au upotevu wa dakika 11 na kuwa mwaka si siku 365 kamili.
      => Ili litimie neno lililonenwa na nabii Daniel , Papa Gregory alibadili kwa kurekebisha hivi, ilikuwa Alhamis #4/10/1582 akasema; siku inayofuata Yaani Ijumaa iwe tarehe 15/10/1582.
      Hivyo Papa hakufuta siku ya Saba (sabato) Bali tarehe tu zilibadilika! Aidha alibadili siku iishe saa sita kamili usiku, ama ianze saa sita kamili usiku badala ya saa kumi na mbili za mchana na saa kumi na mbili za usiku Kama biblia takatifu isemavyo!!!.👇👇
      Yesu akajibu, Je! Saa za mchana si kumi na mbili? Mtu akienda mchana hajikwai; kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu.Yohana 11:9
      Narudia tena neno la Mungu, halijajipinga na halihitaji marekebisho, iwe ya kisayansi ama ya kifalsafa lipo imara Ni kamilifu.
      Papa Gregory kuhusika kwake katika hili utagundua ndivyo kanisa katoliki hutumia mbinu mbalimbali kupenyeza Mambo yake, hata Ni rahisi kuelewa kuwa kwa kuwa tayari amri ya nne Kama tulivyoona, tayari ilikuwa imehalifiwa na kuididimiza, akaweka siku ianzie saa6 usiku!!
      💖Je, saa sita kamili ndio siku mpya(nyingine) huanza? Wataalamu wa nyota aidha January 1 , 2021 wakizungumzia muda halisi Ni upi dunia humaliza kuzunguka Jua walisema kwa kweli si kweli kuwa saa sita usiku ndiyo siku ya mwaka mpya huanza, hakuna ushahidi wa kisayansi kuwa saa sita kamili ndiye siku inaanza, ni nadharia tu, zilizosapotiwa na Gregory XIII.
      Utagundua pia kuwa, kanisa limejihusisha kwa karibu na ustaarabu unaoendelea duniani, ni taasisi iliyojificha Kwenye sura ya dini Ila Ni serekali.....
      ✓Kwanini kalenda za ulaya zinahesabu Jumatatu Kama siku ya Kwanza ya Juma? JIBU: Kuifanya Jumapili kuwa siku ya saba katika Kalenda za Ulaya kumeanza miaka ya 1950's. Kabla ya mwaka 1950's kalenda ziliishia Jumamosi. Sababu ya mabadiliko hayo ilitokana na wafanyabiashara wengi kwenda ibadani Jumapili, kwa hiyo siku za kazi zikaanza Jumatatu hadi Jumamosi Kwenye kalenda.
      ✔️Pia wanajiografia: wamethibitisha Ukweli huu; Mstari wa Greenwich England (yaani mstari wa tarehe wa kimataifa) na Wachunguzi wa usafiri wa majini U.S.A Wamethibitisha kuwa mzunguko wa week kamwe haujawahi badilika upo vilevile.
      NB: Najua Kuna wasomi wenzangu (G&H) Ni vema wakaguswa nao na kufuata utafiti huo. Biblia ingetosha kueleza umuhimu wa Siku ya Saba ya Juma ila kwa kuwa binadamu tunauelewa tofauti nimeona ni vema kugusa nyanja mbalimbali, ili asomaye afahamu.
      Amani ya Bwana Yesu kristo na Pendo la Mungu Baba na Ushirika wa Roho Mtakatifu viwe nanyi nyote. Amen
      Ukweli ni Ukweli, Mungu akubariki 🙏

    • @ZabronWambura-yb5jf
      @ZabronWambura-yb5jf 2 месяца назад

      ​@@vinhaule8617et anaenda na majira😅😅😅😅😅😅 kwenye biblia hakuna cha majira wala nini bakini kwenye ukweli wa neno la Mungu

  • @FloraMwaikenda
    @FloraMwaikenda Месяц назад +7

    Yule mwizi msalabani alikuwa anasali wapi na siku gani? Yesu alimwambia hakika utakuwa nami peponi,alibatizwa wapi wapendwa,Mungu anapendezwa na watakatifu waliopo duniani,sio wanaosali jumamisi wala jumapili. Siku ya kwanza ya juma na siku ya saba zitakuwa ni siku takatifu kwenu,siku hiyo msifanye kaxi yoyote,isipokuwa impasayo kula na kunywa

    • @Japanese-lz1or
      @Japanese-lz1or Месяц назад +1

      Ww fala kumbe unafananisha tamthilia 😂😂😂

    • @sheilamaziku5980
      @sheilamaziku5980 12 дней назад

      😂😂😂😂​@@Japanese-lz1or

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 3 месяца назад +28

    Mchungaji Hananja nimekupenda kwa ukweli huu uliotufafanulia Barikiwa xana🙏🙏🙏

    • @isayasimwinga2854
      @isayasimwinga2854 2 месяца назад

      @@amisamaurid1882
      𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗘𝗡𝗖𝗬𝗖𝗟𝗢𝗣𝗘𝗗𝗜𝗔, 𝗩𝗢𝗟𝗨𝗠𝗘 𝗜𝗩 , 𝗨𝗞. 𝟭𝟱𝟯 : "Kanisa.......baada ya kubadilisha siku ya pumziko kutoka Sabato ya kiyahudi, au siku ya saba ya juma, kwenda siku ya kwanza , likaifanya amri ya tatu itamke kuwa Jumapili ni siku ya kuishika Kitakatifu kama siku ya Bwana".
      𝗞𝗔𝗗𝗜𝗡𝗔𝗟𝗜 𝗚𝗜𝗕𝗕𝗢𝗡𝗦, katika kitabu chake kiitwacho "𝗧𝗵𝗲 𝗤𝘂𝗲𝘀𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗕𝗼𝘅, 𝗨𝗞. 𝟭𝟳𝟵, anakiri kwa namna ya kushangaza: "Ikiwa Biblia ndio kiongozi pekee kwa Wakristo, bila Shaka Waadventista Wa Sabato wako sahihi katika utunzaji wa Jumamosi pamoja na Wayahudi...... Si jambo la kushangaza kwamba wale wanaoifanya Biblia kuwa mwalimu wao pekee, Wanakuwa na msimamo tofauti katika jambo kwa kufuata mapokeo ya Kanisa Katoliki?".
      𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗔. 𝗢'𝗕𝗥𝗜𝗘𝗡 katika kitabu "𝗨𝗻𝗱𝗲𝗿𝘀𝘁𝗮𝗻𝗱𝗶𝗻𝗴 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗮𝘁𝗵𝗼𝗹𝗶𝗰 𝗙𝗮𝗶𝘁𝗵," 𝗨𝗞. 𝟭𝟯, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟭𝟵𝟱𝟱 anasema: "𝗕𝗶𝗯𝗹𝗶𝗮 𝗵𝗮𝗶𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗼 𝘆𝗼𝘁𝗲 𝘆𝗮 𝗱𝗶𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗞𝗶𝗸𝗮𝘁𝗼𝗹𝗶𝗸𝗶, wala haielezei majukumu yote ya washiriki wake. Chukulia kwa mfano, suala la utunzaji wa jumapili, uhudhuriaji wa ibada , na uepukaji wa kazi zisizofaa siku hiyo. Hili ni jambo ambalo majirani zetu waprotestanti wameliwekea msisitizo mkubwa kwa miaka mingi; hata hivyo hakuna mahala popote kwenye Biblia ambapo Jumapili imetajwa kama siku ya Bwana; siku iliyotajwa ni Sabato, siku ya mwisho ya juma........"
      𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗟𝗘𝗢 𝗝. 𝗧𝗥𝗘𝗦𝗘 𝗻𝗮 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗝. 𝗖𝗔𝗦𝗧𝗟𝗘𝗟𝗢𝗧, Katika Kitabu kinachoitwa "𝗦𝗮𝗹𝘃𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗛𝗶𝘀𝘁𝗼𝗿𝘆 𝗮𝗻𝗱 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗼𝗺𝗺𝗮𝗻𝗱𝗺𝗲𝗻𝘁𝘀," 𝘂𝗸 𝟮𝟵𝟰, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝟭𝟵𝟲𝟯, hueleza hivi: "Hakuna andiko lolote katika Biblia linalozungumzia badiliko la siku ya Bwana kutoka Jumamosi kwenda Jumapili. Tunafahamu tu kuhusu badiliko hili kutoka Kwenye mapokeo ya kanisa kupitia viongozi wa kanisa. Hii ndiyo sababu kwa nini tunaona haina mantiki kwa makundi mengi ya wasio Wakatoliki, wanaosema kwamba hawataamini chochote vinginevyo iwe imeandikwa katika Biblia na lakini bado wanaendelea kuadhimisha Jumapili Kama siku ya Bwana kwa kauli ya Kanisa Katoliki."
      𝗧𝗛𝗘 𝗖𝗢𝗡𝗩𝗘𝗥𝗧'𝗦 𝗖𝗔𝗧𝗘𝗖𝗛𝗜𝗦𝗠 𝗢𝗙 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗗𝗢𝗖𝗧𝗥𝗜𝗡𝗘 (𝟭𝟵𝟱𝟳):𝟱𝟬
      > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑺𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝑺𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒏𝒊 𝒊𝒑𝒊
      > JIBU: Jumamosi ndiyo siku ya Sabato.
      > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑲𝒘𝒂 𝒏𝒊𝒏𝒊 𝒕𝒖𝒏𝒂𝒊𝒂𝒅𝒉𝒊𝒎𝒊𝒔𝒉𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒑𝒊𝒍𝒊 𝒃𝒂𝒅𝒂𝒍𝒂 𝒚𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒎𝒐𝒔𝒊?
      > JIBU: Tunaiadhimisha Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu Kanisa Katoliki lilihamisha utakatifu wa Jumamosi kwenda Jumapili.
      𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗣𝗥𝗜𝗘𝗦𝗧 𝗧. 𝗘𝗡𝗥𝗜𝗚𝗛𝗧, 𝗖𝗦𝗦𝗥, 𝗞𝗔𝗡𝗦𝗔𝗦 𝗖𝗜𝗧𝗬, 𝗠𝗢:
      "Lilikuwa ni kanisa takatifu Katoliki ambalo lilibadilisha siku ya pumzika kutoka Jumamosi kwenda Jumapili, ambayo ni siku ya kwanza ya juma. Na halikulazimisha wote kuitunza Jumapili peke yake, bali kwenye Baraza la Laodekia, mwaka 364 BK, liliwalaani wale ambao waliitunza Sabato na kuwasihi watu wote kufanya kazi katika siku ya saba chini ya adhabu ya laana"
      𝗦.𝗖. 𝗠𝗢𝗦𝗡𝗔, 𝗦𝗧𝗢𝗥𝗜𝗔 𝗗𝗘𝗟𝗟𝗔 𝗗𝗢𝗠𝗘𝗡𝗜𝗖𝗔 (𝟭𝟵𝟲𝟵): 𝟯𝟲𝟲-𝟯𝟲𝟳
      "Si Muumbaji wa Ulimwengu katika Mwanzo 2:1-3, bali ni Kanisa Katoliki linaweza kudai heshima ya kuwa na idhini ya kumpatia mwanadamu pumziko la kazi yake kila siku saba."
      𝗔𝗥𝗧𝗛𝗨𝗥 𝗪𝗘𝗜𝗚𝗔𝗟𝗟, 𝗧𝗛𝗘 𝗣𝗔𝗚𝗔𝗡𝗜𝗦𝗠 𝗜𝗡 𝗢𝗨𝗥 𝗖𝗛𝗥𝗜𝗦𝗧𝗜𝗔𝗡𝗜𝗧𝗬 (𝗡𝗘𝗪 𝗬𝗢𝗥𝗞: 𝗣𝗨𝗧𝗡𝗔𝗠𝗔™𝘀 𝗦𝗢𝗡𝗦, 𝟭𝟵𝟮𝟴): 𝟭𝟰𝟱:
      "Kanisa LILIIFANYA siku ya JUMAPILI kuwa TAKATIFU kikubwa ni kwa sababu ILIKUWA NI SIKUKUU YA JUA; maana ilikuwa dhahiri ni sera ya Kikristo kukubali sikukuu za kipagani zilizopendeka kwa watu na kwa utamaduni, na kuwapa maana muhimu ya Kikristo."
      𝗞𝗔𝗧𝗘𝗞𝗜𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗡𝗜𝗦𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗢𝗟𝗜𝗞𝗜, 𝗨𝗙𝗨𝗣𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗠𝗔𝗞𝗜𝗡𝗜
      𝗡𝗮𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝘂𝗸. 𝟭𝟯𝟲
      𝗦𝘄𝗮𝗹𝗶 𝟰𝟱𝟬. 𝑲𝒘𝒂𝒏𝒊𝒏𝒊 𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 "𝒂𝒍𝒊𝒊𝒃𝒂𝒓𝒊𝒌𝒊 𝒔𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒂𝒌𝒂𝒊𝒕𝒂𝒌𝒂𝒔𝒂"(𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 20:11)?
      𝗝𝗶𝗯𝘂: "kwa kuwa siku ya sabato linakumbukwa pumziko la Mungu siku ya Saba ya uumbaji, na vilevile ukombozi wa Israeli kutoka utumwani Misri , na Agano ambalo Mungu alikiweka na watu wake."
      💕💕 Hapo utagundua sababu za pumziko ni ; 1.kumbukumbu ya uumbaji wa Mungu,2. Ukombozi wa waisraeli, 3. Agano la Mungu na watu wake.
      𝗧𝘂𝗻𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗸𝘂𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂
      𝗦𝘄𝗹 𝟰𝟱𝟭. 𝒀𝒆𝒔𝒖 𝒂𝒍𝒊𝒊𝒕𝒆𝒏𝒅𝒂𝒋𝒆 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐?
      𝗝𝗶𝗯𝘂: "Yesu alitambua utakatifu wa sabato na kwa mamlaka yake ya kimungu akaipatia ufafanuzi halisi: "sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato"(Mk2:27).
      HAPA KICHWA GEOGRAPHY, INAMALIZA YOTE KUHUSU SABATO: PART1.
      Tutajifunza : Merrian Webster's collegiate Dictionary, Eleventh Edition, Defines Saturdays as The day of the week."
      >Hebu tujue machache kuhusu wanajiografia; wanasemaje kuhusu Sabato? Maana imenilazimu kutumia muda kujifunza na kuchunguza hili kwa kina ili wewe unayefuatilia ubaini Ukweli huu muhimu katika nyanja zotee; usiwe na sababu ya kutojua!!
      ✓Tuanzie mbali kidogo kuhusu kalenda , je kalenda ya leo imevurugwa? Sawa, twende pamoja:-
      -Kuanzia Yesu Kristo mpaka leo zipo kalenda kuu mbili:-
      1. Julia's Ceaser 46kk Yesu amezaliwa Kwenye kalenda hiyo.
      2. Gregory Calendar. Hii ni kalenda iliyoanzishwa na Papa Gregory XIII mwaka 1582.
      Je, mabadiliko hayo ya calendar ya Gregory yaliathiri kwa namna fulani siku ya saba (sabato)? SIKIZA JIBU: Papa Gregory baada ya wanaanga(Astronomer) kuona mapungufu ktk Kalenda ya Julius kuwa Kuna muda unapotea au upotevu wa dakika 11 na kuwa mwaka si siku 365 kamili.
      => Ili litimie neno lililonenwa na nabii Daniel , Papa Gregory alibadili kwa kurekebisha hivi, ilikuwa Alhamis #4/10/1582 akasema; siku inayofuata Yaani Ijumaa iwe tarehe 15/10/1582.
      Hivyo Papa hakufuta siku ya Saba (sabato) Bali tarehe tu zilibadilika! Aidha alibadili siku iishe saa sita kamili usiku, ama ianze saa sita kamili usiku badala ya saa kumi na mbili za mchana na saa kumi na mbili za usiku Kama biblia takatifu isemavyo!!!.👇👇
      Yesu akajibu, Je! Saa za mchana si kumi na mbili? Mtu akienda mchana hajikwai; kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu.Yohana 11:9
      Narudia tena neno la Mungu, halijajipinga na halihitaji marekebisho, iwe ya kisayansi ama ya kifalsafa lipo imara Ni kamilifu.
      Papa Gregory kuhusika kwake katika hili utagundua ndivyo kanisa katoliki hutumia mbinu mbalimbali kupenyeza Mambo yake, hata Ni rahisi kuelewa kuwa kwa kuwa tayari amri ya nne Kama tulivyoona, tayari ilikuwa imehalifiwa na kuididimiza, akaweka siku ianzie saa6 usiku!!
      💖Je, saa sita kamili ndio siku mpya(nyingine) huanza? Wataalamu wa nyota aidha January 1 , 2021 wakizungumzia muda halisi Ni upi dunia humaliza kuzunguka Jua walisema kwa kweli si kweli kuwa saa sita usiku ndiyo siku ya mwaka mpya huanza, hakuna ushahidi wa kisayansi kuwa saa sita kamili ndiye siku inaanza, ni nadharia tu, zilizosapotiwa na Gregory XIII.
      Utagundua pia kuwa, kanisa limejihusisha kwa karibu na ustaarabu unaoendelea duniani, ni taasisi iliyojificha Kwenye sura ya dini Ila Ni serekali.....
      ✓Kwanini kalenda za ulaya zinahesabu Jumatatu Kama siku ya Kwanza ya Juma? JIBU: Kuifanya Jumapili kuwa siku ya saba katika Kalenda za Ulaya kumeanza miaka ya 1950's. Kabla ya mwaka 1950's kalenda ziliishia Jumamosi. Sababu ya mabadiliko hayo ilitokana na wafanyabiashara wengi kwenda ibadani Jumapili, kwa hiyo siku za kazi zikaanza Jumatatu hadi Jumamosi Kwenye kalenda.
      ✔️Pia wanajiografia: wamethibitisha Ukweli huu; Mstari wa Greenwich England (yaani mstari wa tarehe wa kimataifa) na Wachunguzi wa usafiri wa majini U.S.A Wamethibitisha kuwa mzunguko wa week kamwe haujawahi badilika upo vilevile.
      NB: Najua Kuna wasomi wenzangu (G&H) Ni vema wakaguswa nao na kufuata utafiti huo. Biblia ingetosha kueleza umuhimu wa Siku ya Saba ya Juma ila kwa kuwa binadamu tunauelewa tofauti nimeona ni vema kugusa nyanja mbalimbali, ili asomaye afahamu.
      Amani ya Bwana Yesu kristo na Pendo la Mungu Baba na Ushirika wa Roho Mtakatifu viwe nanyi nyote. Amen
      Ukweli ni Ukweli, Mungu akubariki 🙏

    • @RehemaDavid-f2l
      @RehemaDavid-f2l 2 месяца назад +3

      Sasa hananja amesema ukweli gani? Au kasema maneno yake mwenyewe tu,tungetegemea apinge kwa hoja ya maandko,na atuambie kwamba amri za Mungu hazipo,maana siku ya ibada (sabato) ni amri ya nne ya Mungu,hata mbinguni tukifika tutamwabudu Mungu ktk siku hyo,soma ISAYA 66:22-24., kwahyo hananja katoa mawazo yake Wala sio ya Mungu maana hayakutoka kwenye biblia.jisomee maandko mwenyewe uone ukweli ulivyo,yaan hananja katoa majb uliokua nayo na unayoyapenda bila kujali ni ya ukweli au la! Njia Bora ya kijibu hoja za imani ni Biblia na Biblia pekee.Barikiwa

    • @alexluteganya4087
      @alexluteganya4087 2 месяца назад

      ​@@RehemaDavid-f2l😊

    • @bahatimshali2731
      @bahatimshali2731 2 месяца назад

      ​@@RehemaDavid-f2lBiblia inasema mtu ahukumiwi kwa siku wala kwa mwandamo wa mwezi. Sasa endelea na kushika siku. Sabato ilitakiwa mtu asitembee umbali unaozidi wa kutupa jiwe. Nyie mnaenda umbali hata wa 50km. Sasa mnaitii sabato?

    • @bahatimshali2731
      @bahatimshali2731 2 месяца назад

      ​@@RehemaDavid-f2lHalafu unakuta mtu ameshika sabato huku akiendelea kutenda dhambi nyingine. Hiyo inasaidia?
      Mtu anakataa Christmas kwamba Yesu hakuzaliwa siku hiyo, lakini, si alizaliwa?

  • @laurentpeter5772
    @laurentpeter5772 2 месяца назад +2

    Watu wameanza kusali jumapili baada ya miaka zaidi ya 300 baada ya Yesu kufa,huko nyuma hakuwahi mtu kutunza jumapili kama sabato kuanzia Yesu,mitume na manabii! Na watu wanalijua hili vizuri,hata mitime wakifufuka leo watashangaa,maana hakuna mtume aliyeshuhudia ushikaji wa jumapili kama sabato au aliyeitumza jumapili!
    Kwa mara ya kwanza jumapili ilitangazwa na mfalme Constantineo kama siku ya ibaada miaka 320 baada ya Yesu kufa, kwahiyo watu wakaona amri ya Konstantino ni yenye heshima kuliko amri ya 4 ya amri 10 za Mungu mwenyewe!!
    Habari ya kusali ktk siku fulani ni hiali ya mtu😢😢😢 uyu pastor vipi? Yaani Mungu amesema Jumamosi alafu constantino akasema jumapili,alafu uchaguzi wa kumfuata Mungu au Konstantino uwe hiali!!? Sasa kama ilikuwa hiali ya mtu kwanini Mungu aliiweka kwenye amri kumi? ili iweje?
    Acheni kudanganya watu,semeni ukweli kama mzee wa upako kaamua kunawa mikono!

    • @yonasamumba
      @yonasamumba 2 месяца назад

      Uko sawa kabsa mtu wa Mungu

  • @haidar438
    @haidar438 3 месяца назад +17

    Mm ni Muisilam ila HANANJA namuelewa sana! 😃

    • @jabirkasunzu6841
      @jabirkasunzu6841 3 месяца назад +1

      Hananja anajibu kwa kurejelea mapokeo ya Wazungu na Mzee wa Upako ana hoja kwa kurejelea maandiko ya Waisrael wenyewe.
      Mf. Ishu ya siku, biblia inaeleza mwanzo 2:2
      Amri kumi za Musa, moja, Mungu anakataa asifananishwe na chochote majini ardhini na mbinguni na Yesu anasema wakujue wewe Mungu wa pekee na mimi uliyenituma.
      Viongozi wajuu waongo na Wakristu wengi hawaijui biblia na wakisoma wanaathiriwa na mapokeo kutoka kwa wazungu.
      Na kwa akili ya kuzaliwa yenye afya, Mungu aliyesimamisha ardhi na mbingu bila nguzo, anaweza kuwa binadamu (Yesu)? Yesu katahiriwa, kusujudu, alivaa kanzu, alilia, alilala na alikuwa fundi seremala. Mungu wa Alpha na Omega hawezi kuwa wa namna hiyo. Mungu gang dhaifu.

    • @mwlpierre
      @mwlpierre 3 месяца назад +1

      @@jabirkasunzu6841Yesu anasema”mimi ndio mwanzo na mwisho,mimi ndio njia kweli na uzima ebu kwanza elewa hayo maneno kwanza

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 3 месяца назад

      @@jabirkasunzu6841 mbona na nyie waislamu mashekh wanarejea mafundisho ya warabu

    • @cassimoa9217
      @cassimoa9217 3 месяца назад

      Wewe ni muislam unamuelewa vipi huyo kafiri mpotoshaji tu? Elewa vzr chako nayo Quraan kumuelewa huyu ina maana unakubaliana na anayoyatetea ktk dini yake. Hivyo unaweza kujikuta upo nje ya uislamu biila ya kujielewa..

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 3 месяца назад

      @@cassimoa9217 wewe ndio kafiri na uislamu ni ukafiri

  • @andrewkaswagula3367
    @andrewkaswagula3367 3 месяца назад +12

    Anayejiita sijui mzee wa Upako akajifunze upya Biblia.. Asikilize wenzake kama hawa wanavyo elezea tafsiri ya Biblia

    • @MartinLaban
      @MartinLaban 3 месяца назад

      Huyo alipigwa kitu kizito akaambiwa aanze kupotosha watu, ukiskiza hananja utafurahi hajifagilii na anajibu kifasaha sana.

    • @kiatu
      @kiatu 3 месяца назад

      Elimu yake ndogo (theology)

    • @hassanthabit4021
      @hassanthabit4021 2 месяца назад

      Hananja kajibu kiti kimoja tu hakuna 3 wala 2 😅

  • @josephmoyo5617
    @josephmoyo5617 2 месяца назад +10

    Hananja upo vzr,ubarikiwe sana Baba.umejibu vzr sana kuhusu Mungu Baba ,Mwana na Roho Mtakatifu.Sisi wakatoliki tunaamini hivyo kama wewe ulivyofafanua hapo.

  • @erickclaudio2978
    @erickclaudio2978 3 месяца назад +25

    Kwa kigezo cha utendaji kazi mchungaji hananja umeeleweka Mungu ni mmoja haswa .Mungu akubariki sana kwa fundisho lako pia la siku,siku zote ni siku za ibada

    • @isayasimwinga2854
      @isayasimwinga2854 2 месяца назад

      @@erickclaudio2978 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗘𝗡𝗖𝗬𝗖𝗟𝗢𝗣𝗘𝗗𝗜𝗔, 𝗩𝗢𝗟𝗨𝗠𝗘 𝗜𝗩 , 𝗨𝗞. 𝟭𝟱𝟯 : "Kanisa.......baada ya kubadilisha siku ya pumziko kutoka Sabato ya kiyahudi, au siku ya saba ya juma, kwenda siku ya kwanza , likaifanya amri ya tatu itamke kuwa Jumapili ni siku ya kuishika Kitakatifu kama siku ya Bwana".
      𝗞𝗔𝗗𝗜𝗡𝗔𝗟𝗜 𝗚𝗜𝗕𝗕𝗢𝗡𝗦, katika kitabu chake kiitwacho "𝗧𝗵𝗲 𝗤𝘂𝗲𝘀𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗕𝗼𝘅, 𝗨𝗞. 𝟭𝟳𝟵, anakiri kwa namna ya kushangaza: "Ikiwa Biblia ndio kiongozi pekee kwa Wakristo, bila Shaka Waadventista Wa Sabato wako sahihi katika utunzaji wa Jumamosi pamoja na Wayahudi...... Si jambo la kushangaza kwamba wale wanaoifanya Biblia kuwa mwalimu wao pekee, Wanakuwa na msimamo tofauti katika jambo kwa kufuata mapokeo ya Kanisa Katoliki?".
      𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗔. 𝗢'𝗕𝗥𝗜𝗘𝗡 katika kitabu "𝗨𝗻𝗱𝗲𝗿𝘀𝘁𝗮𝗻𝗱𝗶𝗻𝗴 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗮𝘁𝗵𝗼𝗹𝗶𝗰 𝗙𝗮𝗶𝘁𝗵," 𝗨𝗞. 𝟭𝟯, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟭𝟵𝟱𝟱 anasema: "𝗕𝗶𝗯𝗹𝗶𝗮 𝗵𝗮𝗶𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗼 𝘆𝗼𝘁𝗲 𝘆𝗮 𝗱𝗶𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗞𝗶𝗸𝗮𝘁𝗼𝗹𝗶𝗸𝗶, wala haielezei majukumu yote ya washiriki wake. Chukulia kwa mfano, suala la utunzaji wa jumapili, uhudhuriaji wa ibada , na uepukaji wa kazi zisizofaa siku hiyo. Hili ni jambo ambalo majirani zetu waprotestanti wameliwekea msisitizo mkubwa kwa miaka mingi; hata hivyo hakuna mahala popote kwenye Biblia ambapo Jumapili imetajwa kama siku ya Bwana; siku iliyotajwa ni Sabato, siku ya mwisho ya juma........"
      𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗟𝗘𝗢 𝗝. 𝗧𝗥𝗘𝗦𝗘 𝗻𝗮 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗝. 𝗖𝗔𝗦𝗧𝗟𝗘𝗟𝗢𝗧, Katika Kitabu kinachoitwa "𝗦𝗮𝗹𝘃𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗛𝗶𝘀𝘁𝗼𝗿𝘆 𝗮𝗻𝗱 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗼𝗺𝗺𝗮𝗻𝗱𝗺𝗲𝗻𝘁𝘀," 𝘂𝗸 𝟮𝟵𝟰, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝟭𝟵𝟲𝟯, hueleza hivi: "Hakuna andiko lolote katika Biblia linalozungumzia badiliko la siku ya Bwana kutoka Jumamosi kwenda Jumapili. Tunafahamu tu kuhusu badiliko hili kutoka Kwenye mapokeo ya kanisa kupitia viongozi wa kanisa. Hii ndiyo sababu kwa nini tunaona haina mantiki kwa makundi mengi ya wasio Wakatoliki, wanaosema kwamba hawataamini chochote vinginevyo iwe imeandikwa katika Biblia na lakini bado wanaendelea kuadhimisha Jumapili Kama siku ya Bwana kwa kauli ya Kanisa Katoliki."
      𝗧𝗛𝗘 𝗖𝗢𝗡𝗩𝗘𝗥𝗧'𝗦 𝗖𝗔𝗧𝗘𝗖𝗛𝗜𝗦𝗠 𝗢𝗙 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗗𝗢𝗖𝗧𝗥𝗜𝗡𝗘 (𝟭𝟵𝟱𝟳):𝟱𝟬
      > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑺𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝑺𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒏𝒊 𝒊𝒑𝒊
      > JIBU: Jumamosi ndiyo siku ya Sabato.
      > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑲𝒘𝒂 𝒏𝒊𝒏𝒊 𝒕𝒖𝒏𝒂𝒊𝒂𝒅𝒉𝒊𝒎𝒊𝒔𝒉𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒑𝒊𝒍𝒊 𝒃𝒂𝒅𝒂𝒍𝒂 𝒚𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒎𝒐𝒔𝒊?
      > JIBU: Tunaiadhimisha Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu Kanisa Katoliki lilihamisha utakatifu wa Jumamosi kwenda Jumapili.
      𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗣𝗥𝗜𝗘𝗦𝗧 𝗧. 𝗘𝗡𝗥𝗜𝗚𝗛𝗧, 𝗖𝗦𝗦𝗥, 𝗞𝗔𝗡𝗦𝗔𝗦 𝗖𝗜𝗧𝗬, 𝗠𝗢:
      "Lilikuwa ni kanisa takatifu Katoliki ambalo lilibadilisha siku ya pumzika kutoka Jumamosi kwenda Jumapili, ambayo ni siku ya kwanza ya juma. Na halikulazimisha wote kuitunza Jumapili peke yake, bali kwenye Baraza la Laodekia, mwaka 364 BK, liliwalaani wale ambao waliitunza Sabato na kuwasihi watu wote kufanya kazi katika siku ya saba chini ya adhabu ya laana"
      𝗦.𝗖. 𝗠𝗢𝗦𝗡𝗔, 𝗦𝗧𝗢𝗥𝗜𝗔 𝗗𝗘𝗟𝗟𝗔 𝗗𝗢𝗠𝗘𝗡𝗜𝗖𝗔 (𝟭𝟵𝟲𝟵): 𝟯𝟲𝟲-𝟯𝟲𝟳
      "Si Muumbaji wa Ulimwengu katika Mwanzo 2:1-3, bali ni Kanisa Katoliki linaweza kudai heshima ya kuwa na idhini ya kumpatia mwanadamu pumziko la kazi yake kila siku saba."
      𝗔𝗥𝗧𝗛𝗨𝗥 𝗪𝗘𝗜𝗚𝗔𝗟𝗟, 𝗧𝗛𝗘 𝗣𝗔𝗚𝗔𝗡𝗜𝗦𝗠 𝗜𝗡 𝗢𝗨𝗥 𝗖𝗛𝗥𝗜𝗦𝗧𝗜𝗔𝗡𝗜𝗧𝗬 (𝗡𝗘𝗪 𝗬𝗢𝗥𝗞: 𝗣𝗨𝗧𝗡𝗔𝗠𝗔™𝘀 𝗦𝗢𝗡𝗦, 𝟭𝟵𝟮𝟴): 𝟭𝟰𝟱:
      "Kanisa LILIIFANYA siku ya JUMAPILI kuwa TAKATIFU kikubwa ni kwa sababu ILIKUWA NI SIKUKUU YA JUA; maana ilikuwa dhahiri ni sera ya Kikristo kukubali sikukuu za kipagani zilizopendeka kwa watu na kwa utamaduni, na kuwapa maana muhimu ya Kikristo."
      𝗞𝗔𝗧𝗘𝗞𝗜𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗡𝗜𝗦𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗢𝗟𝗜𝗞𝗜, 𝗨𝗙𝗨𝗣𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗠𝗔𝗞𝗜𝗡𝗜
      𝗡𝗮𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝘂𝗸. 𝟭𝟯𝟲
      𝗦𝘄𝗮𝗹𝗶 𝟰𝟱𝟬. 𝑲𝒘𝒂𝒏𝒊𝒏𝒊 𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 "𝒂𝒍𝒊𝒊𝒃𝒂𝒓𝒊𝒌𝒊 𝒔𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒂𝒌𝒂𝒊𝒕𝒂𝒌𝒂𝒔𝒂"(𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 20:11)?
      𝗝𝗶𝗯𝘂: "kwa kuwa siku ya sabato linakumbukwa pumziko la Mungu siku ya Saba ya uumbaji, na vilevile ukombozi wa Israeli kutoka utumwani Misri , na Agano ambalo Mungu alikiweka na watu wake."
      💕💕 Hapo utagundua sababu za pumziko ni ; 1.kumbukumbu ya uumbaji wa Mungu,2. Ukombozi wa waisraeli, 3. Agano la Mungu na watu wake.
      𝗧𝘂𝗻𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗸𝘂𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂
      𝗦𝘄𝗹 𝟰𝟱𝟭. 𝒀𝒆𝒔𝒖 𝒂𝒍𝒊𝒊𝒕𝒆𝒏𝒅𝒂𝒋𝒆 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐?
      𝗝𝗶𝗯𝘂: "Yesu alitambua utakatifu wa sabato na kwa mamlaka yake ya kimungu akaipatia ufafanuzi halisi: "sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato"(Mk2:27).
      HAPA KICHWA GEOGRAPHY, INAMALIZA YOTE KUHUSU SABATO: PART1.
      Tutajifunza : Merrian Webster's collegiate Dictionary, Eleventh Edition, Defines Saturdays as The day of the week."
      >Hebu tujue machache kuhusu wanajiografia; wanasemaje kuhusu Sabato? Maana imenilazimu kutumia muda kujifunza na kuchunguza hili kwa kina ili wewe unayefuatilia ubaini Ukweli huu muhimu katika nyanja zotee; usiwe na sababu ya kutojua!!
      ✓Tuanzie mbali kidogo kuhusu kalenda , je kalenda ya leo imevurugwa? Sawa, twende pamoja:-
      -Kuanzia Yesu Kristo mpaka leo zipo kalenda kuu mbili:-
      1. Julia's Ceaser 46kk Yesu amezaliwa Kwenye kalenda hiyo.
      2. Gregory Calendar. Hii ni kalenda iliyoanzishwa na Papa Gregory XIII mwaka 1582.
      Je, mabadiliko hayo ya calendar ya Gregory yaliathiri kwa namna fulani siku ya saba (sabato)? SIKIZA JIBU: Papa Gregory baada ya wanaanga(Astronomer) kuona mapungufu ktk Kalenda ya Julius kuwa Kuna muda unapotea au upotevu wa dakika 11 na kuwa mwaka si siku 365 kamili.
      => Ili litimie neno lililonenwa na nabii Daniel , Papa Gregory alibadili kwa kurekebisha hivi, ilikuwa Alhamis #4/10/1582 akasema; siku inayofuata Yaani Ijumaa iwe tarehe 15/10/1582.
      Hivyo Papa hakufuta siku ya Saba (sabato) Bali tarehe tu zilibadilika! Aidha alibadili siku iishe saa sita kamili usiku, ama ianze saa sita kamili usiku badala ya saa kumi na mbili za mchana na saa kumi na mbili za usiku Kama biblia takatifu isemavyo!!!.👇👇
      Yesu akajibu, Je! Saa za mchana si kumi na mbili? Mtu akienda mchana hajikwai; kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu.Yohana 11:9
      Narudia tena neno la Mungu, halijajipinga na halihitaji marekebisho, iwe ya kisayansi ama ya kifalsafa lipo imara Ni kamilifu.
      Papa Gregory kuhusika kwake katika hili utagundua ndivyo kanisa katoliki hutumia mbinu mbalimbali kupenyeza Mambo yake, hata Ni rahisi kuelewa kuwa kwa kuwa tayari amri ya nne Kama tulivyoona, tayari ilikuwa imehalifiwa na kuididimiza, akaweka siku ianzie saa6 usiku!!
      💖Je, saa sita kamili ndio siku mpya(nyingine) huanza? Wataalamu wa nyota aidha January 1 , 2021 wakizungumzia muda halisi Ni upi dunia humaliza kuzunguka Jua walisema kwa kweli si kweli kuwa saa sita usiku ndiyo siku ya mwaka mpya huanza, hakuna ushahidi wa kisayansi kuwa saa sita kamili ndiye siku inaanza, ni nadharia tu, zilizosapotiwa na Gregory XIII.
      Utagundua pia kuwa, kanisa limejihusisha kwa karibu na ustaarabu unaoendelea duniani, ni taasisi iliyojificha Kwenye sura ya dini Ila Ni serekali.....
      ✓Kwanini kalenda za ulaya zinahesabu Jumatatu Kama siku ya Kwanza ya Juma? JIBU: Kuifanya Jumapili kuwa siku ya saba katika Kalenda za Ulaya kumeanza miaka ya 1950's. Kabla ya mwaka 1950's kalenda ziliishia Jumamosi. Sababu ya mabadiliko hayo ilitokana na wafanyabiashara wengi kwenda ibadani Jumapili, kwa hiyo siku za kazi zikaanza Jumatatu hadi Jumamosi Kwenye kalenda.
      ✔️Pia wanajiografia: wamethibitisha Ukweli huu; Mstari wa Greenwich England (yaani mstari wa tarehe wa kimataifa) na Wachunguzi wa usafiri wa majini U.S.A Wamethibitisha kuwa mzunguko wa week kamwe haujawahi badilika upo vilevile.
      NB: Najua Kuna wasomi wenzangu (G&H) Ni vema wakaguswa nao na kufuata utafiti huo. Biblia ingetosha kueleza umuhimu wa Siku ya Saba ya Juma ila kwa kuwa binadamu tunauelewa tofauti nimeona ni vema kugusa nyanja mbalimbali, ili asomaye afahamu.
      Amani ya Bwana Yesu kristo na Pendo la Mungu Baba na Ushirika wa Roho Mtakatifu viwe nanyi nyote. Amen
      Ukweli ni Ukweli, Mungu akubariki 🙏

    • @margwetsere423
      @margwetsere423 2 месяца назад +3

      Haya ni maneno yako, siyo biblia, maana biblia imesema IKUMBUKE SIKU YA SABATO UITAKASE, siku sita fanya kazi ......
      Hiyo siku zote ni za Ibada ni maneno yako.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 2 месяца назад

      @@margwetsere423 Mimi ni Muislam lakini kwani ibada kwa Kikristo ni nini? Kwetu sisi Waislam ni mwenendo mzima wa maisha tokea kuamka hadi kulala uwe ni mwenye kuridhiwa na Mungu kwa kila unachofanya kiwe cha haki na hilo lipo kila siku na kila wakati. Hivyo Mchungaji Hananja kakosea wapi?

    • @musadaudi985
      @musadaudi985 2 месяца назад

      Hiyo siku ya sabato ni ipi iseme​@@margwetsere423

    • @HoseaNguge
      @HoseaNguge Месяц назад

      ​@@margwetsere423barikiwa sana

  • @hosenishani6418
    @hosenishani6418 2 месяца назад +2

    SHIDA WANADAMU WADUNIA HII YA SASA TUNANEPENDA SIMPLE GOSPEL SANA NA TUNAPENDA GOSPEL COMMEND SANA KAMA DARASANI KWENY ELIMU DUNIA TUNAKUWA SERIOUSLY KWANINI HUKU KWENY NENO TUNAPENDA URAHISI????

  • @justusrwiza9653
    @justusrwiza9653 2 месяца назад +5

    Kiukweli si yeye ila Mungu kupitia kinywa Cha huyu baba katujibu. Yaan amefanya hata ukimuelezea mtoto mdogo kwa mfano alioutoa wa Hananja dereva, Hananja Mchungaji au Hananja mchekeshaji still ni yule yule Hananja

  • @christinemtengule766
    @christinemtengule766 2 месяца назад +6

    Ndiyo maana nampenda sana pastor Hananja Kwa sababu yeye hutumia Hilo Hilo neno kukusoa/ kutetea hoja

    • @HoseaNguge
      @HoseaNguge Месяц назад

      Soma biblia acha kusikiliza wachungaji dear

  • @mwanamutemi
    @mwanamutemi 2 месяца назад +1

    Hii Biblia itaeleweka lini jamani ?? Kila siku kuna mapya ya zuka !! Mch Hananja leo amekuja na MPYA !!! KWEEEELI JAMANI ITAKUWAJE HICHI KITABU CHA MUNGU KINA KOSA KUELEWEKA NA USHAHIDI KILA UCHAO IMEFIKA MPAKA WACHUNGAJI WAKINZANA WENYEWE KWA WENYEWE 😳😳

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 2 месяца назад +1

    Rusekalo tokapo nabii mzee acha ujinga

  • @ElishaSichone-wk6uy
    @ElishaSichone-wk6uy 2 месяца назад +2

    Usipo mwelewa ananja utamwelewa nani.

  • @SharonOguda-u7b
    @SharonOguda-u7b 2 месяца назад +1

    Uyu Mzee wa upako ni mtu wa kujipendekeza Kwa watu hasa Kwa waislam, Sasa km jumamosi ndiyo siku sahihi mbona wewe mwenyewe unasali jumapili?!

  • @SelfMsham
    @SelfMsham Месяц назад +1

    Yesu ni mmoja injili ni moja na mkusanyiko wa vitabu (biblia)moja mnakotofautiana wapi?"""isaya"""56-10":

  • @sandejacob623
    @sandejacob623 2 месяца назад +9

    Safi sana, Yesu hakuja duniani kuwaambia watu wasali Jumamosi bali tuaache uovu

    • @isayasimwinga2854
      @isayasimwinga2854 2 месяца назад

      @@sandejacob623 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗘𝗡𝗖𝗬𝗖𝗟𝗢𝗣𝗘𝗗𝗜𝗔, 𝗩𝗢𝗟𝗨𝗠𝗘 𝗜𝗩 , 𝗨𝗞. 𝟭𝟱𝟯 : "Kanisa.......baada ya kubadilisha siku ya pumziko kutoka Sabato ya kiyahudi, au siku ya saba ya juma, kwenda siku ya kwanza , likaifanya amri ya tatu itamke kuwa Jumapili ni siku ya kuishika Kitakatifu kama siku ya Bwana".
      𝗞𝗔𝗗𝗜𝗡𝗔𝗟𝗜 𝗚𝗜𝗕𝗕𝗢𝗡𝗦, katika kitabu chake kiitwacho "𝗧𝗵𝗲 𝗤𝘂𝗲𝘀𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗕𝗼𝘅, 𝗨𝗞. 𝟭𝟳𝟵, anakiri kwa namna ya kushangaza: "Ikiwa Biblia ndio kiongozi pekee kwa Wakristo, bila Shaka Waadventista Wa Sabato wako sahihi katika utunzaji wa Jumamosi pamoja na Wayahudi...... Si jambo la kushangaza kwamba wale wanaoifanya Biblia kuwa mwalimu wao pekee, Wanakuwa na msimamo tofauti katika jambo kwa kufuata mapokeo ya Kanisa Katoliki?".
      𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗔. 𝗢'𝗕𝗥𝗜𝗘𝗡 katika kitabu "𝗨𝗻𝗱𝗲𝗿𝘀𝘁𝗮𝗻𝗱𝗶𝗻𝗴 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗮𝘁𝗵𝗼𝗹𝗶𝗰 𝗙𝗮𝗶𝘁𝗵," 𝗨𝗞. 𝟭𝟯, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟭𝟵𝟱𝟱 anasema: "𝗕𝗶𝗯𝗹𝗶𝗮 𝗵𝗮𝗶𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗼 𝘆𝗼𝘁𝗲 𝘆𝗮 𝗱𝗶𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗞𝗶𝗸𝗮𝘁𝗼𝗹𝗶𝗸𝗶, wala haielezei majukumu yote ya washiriki wake. Chukulia kwa mfano, suala la utunzaji wa jumapili, uhudhuriaji wa ibada , na uepukaji wa kazi zisizofaa siku hiyo. Hili ni jambo ambalo majirani zetu waprotestanti wameliwekea msisitizo mkubwa kwa miaka mingi; hata hivyo hakuna mahala popote kwenye Biblia ambapo Jumapili imetajwa kama siku ya Bwana; siku iliyotajwa ni Sabato, siku ya mwisho ya juma........"
      𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗟𝗘𝗢 𝗝. 𝗧𝗥𝗘𝗦𝗘 𝗻𝗮 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗝. 𝗖𝗔𝗦𝗧𝗟𝗘𝗟𝗢𝗧, Katika Kitabu kinachoitwa "𝗦𝗮𝗹𝘃𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗛𝗶𝘀𝘁𝗼𝗿𝘆 𝗮𝗻𝗱 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗼𝗺𝗺𝗮𝗻𝗱𝗺𝗲𝗻𝘁𝘀," 𝘂𝗸 𝟮𝟵𝟰, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝟭𝟵𝟲𝟯, hueleza hivi: "Hakuna andiko lolote katika Biblia linalozungumzia badiliko la siku ya Bwana kutoka Jumamosi kwenda Jumapili. Tunafahamu tu kuhusu badiliko hili kutoka Kwenye mapokeo ya kanisa kupitia viongozi wa kanisa. Hii ndiyo sababu kwa nini tunaona haina mantiki kwa makundi mengi ya wasio Wakatoliki, wanaosema kwamba hawataamini chochote vinginevyo iwe imeandikwa katika Biblia na lakini bado wanaendelea kuadhimisha Jumapili Kama siku ya Bwana kwa kauli ya Kanisa Katoliki."
      𝗧𝗛𝗘 𝗖𝗢𝗡𝗩𝗘𝗥𝗧'𝗦 𝗖𝗔𝗧𝗘𝗖𝗛𝗜𝗦𝗠 𝗢𝗙 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗗𝗢𝗖𝗧𝗥𝗜𝗡𝗘 (𝟭𝟵𝟱𝟳):𝟱𝟬
      > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑺𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝑺𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒏𝒊 𝒊𝒑𝒊
      > JIBU: Jumamosi ndiyo siku ya Sabato.
      > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑲𝒘𝒂 𝒏𝒊𝒏𝒊 𝒕𝒖𝒏𝒂𝒊𝒂𝒅𝒉𝒊𝒎𝒊𝒔𝒉𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒑𝒊𝒍𝒊 𝒃𝒂𝒅𝒂𝒍𝒂 𝒚𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒎𝒐𝒔𝒊?
      > JIBU: Tunaiadhimisha Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu Kanisa Katoliki lilihamisha utakatifu wa Jumamosi kwenda Jumapili.
      𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗣𝗥𝗜𝗘𝗦𝗧 𝗧. 𝗘𝗡𝗥𝗜𝗚𝗛𝗧, 𝗖𝗦𝗦𝗥, 𝗞𝗔𝗡𝗦𝗔𝗦 𝗖𝗜𝗧𝗬, 𝗠𝗢:
      "Lilikuwa ni kanisa takatifu Katoliki ambalo lilibadilisha siku ya pumzika kutoka Jumamosi kwenda Jumapili, ambayo ni siku ya kwanza ya juma. Na halikulazimisha wote kuitunza Jumapili peke yake, bali kwenye Baraza la Laodekia, mwaka 364 BK, liliwalaani wale ambao waliitunza Sabato na kuwasihi watu wote kufanya kazi katika siku ya saba chini ya adhabu ya laana"
      𝗦.𝗖. 𝗠𝗢𝗦𝗡𝗔, 𝗦𝗧𝗢𝗥𝗜𝗔 𝗗𝗘𝗟𝗟𝗔 𝗗𝗢𝗠𝗘𝗡𝗜𝗖𝗔 (𝟭𝟵𝟲𝟵): 𝟯𝟲𝟲-𝟯𝟲𝟳
      "Si Muumbaji wa Ulimwengu katika Mwanzo 2:1-3, bali ni Kanisa Katoliki linaweza kudai heshima ya kuwa na idhini ya kumpatia mwanadamu pumziko la kazi yake kila siku saba."
      𝗔𝗥𝗧𝗛𝗨𝗥 𝗪𝗘𝗜𝗚𝗔𝗟𝗟, 𝗧𝗛𝗘 𝗣𝗔𝗚𝗔𝗡𝗜𝗦𝗠 𝗜𝗡 𝗢𝗨𝗥 𝗖𝗛𝗥𝗜𝗦𝗧𝗜𝗔𝗡𝗜𝗧𝗬 (𝗡𝗘𝗪 𝗬𝗢𝗥𝗞: 𝗣𝗨𝗧𝗡𝗔𝗠𝗔™𝘀 𝗦𝗢𝗡𝗦, 𝟭𝟵𝟮𝟴): 𝟭𝟰𝟱:
      "Kanisa LILIIFANYA siku ya JUMAPILI kuwa TAKATIFU kikubwa ni kwa sababu ILIKUWA NI SIKUKUU YA JUA; maana ilikuwa dhahiri ni sera ya Kikristo kukubali sikukuu za kipagani zilizopendeka kwa watu na kwa utamaduni, na kuwapa maana muhimu ya Kikristo."
      𝗞𝗔𝗧𝗘𝗞𝗜𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗡𝗜𝗦𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗢𝗟𝗜𝗞𝗜, 𝗨𝗙𝗨𝗣𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗠𝗔𝗞𝗜𝗡𝗜
      𝗡𝗮𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝘂𝗸. 𝟭𝟯𝟲
      𝗦𝘄𝗮𝗹𝗶 𝟰𝟱𝟬. 𝑲𝒘𝒂𝒏𝒊𝒏𝒊 𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 "𝒂𝒍𝒊𝒊𝒃𝒂𝒓𝒊𝒌𝒊 𝒔𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒂𝒌𝒂𝒊𝒕𝒂𝒌𝒂𝒔𝒂"(𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 20:11)?
      𝗝𝗶𝗯𝘂: "kwa kuwa siku ya sabato linakumbukwa pumziko la Mungu siku ya Saba ya uumbaji, na vilevile ukombozi wa Israeli kutoka utumwani Misri , na Agano ambalo Mungu alikiweka na watu wake."
      💕💕 Hapo utagundua sababu za pumziko ni ; 1.kumbukumbu ya uumbaji wa Mungu,2. Ukombozi wa waisraeli, 3. Agano la Mungu na watu wake.
      𝗧𝘂𝗻𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗸𝘂𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂
      𝗦𝘄𝗹 𝟰𝟱𝟭. 𝒀𝒆𝒔𝒖 𝒂𝒍𝒊𝒊𝒕𝒆𝒏𝒅𝒂𝒋𝒆 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐?
      𝗝𝗶𝗯𝘂: "Yesu alitambua utakatifu wa sabato na kwa mamlaka yake ya kimungu akaipatia ufafanuzi halisi: "sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato"(Mk2:27).
      HAPA KICHWA GEOGRAPHY, INAMALIZA YOTE KUHUSU SABATO: PART1.
      Tutajifunza : Merrian Webster's collegiate Dictionary, Eleventh Edition, Defines Saturdays as The day of the week."
      >Hebu tujue machache kuhusu wanajiografia; wanasemaje kuhusu Sabato? Maana imenilazimu kutumia muda kujifunza na kuchunguza hili kwa kina ili wewe unayefuatilia ubaini Ukweli huu muhimu katika nyanja zotee; usiwe na sababu ya kutojua!!
      ✓Tuanzie mbali kidogo kuhusu kalenda , je kalenda ya leo imevurugwa? Sawa, twende pamoja:-
      -Kuanzia Yesu Kristo mpaka leo zipo kalenda kuu mbili:-
      1. Julia's Ceaser 46kk Yesu amezaliwa Kwenye kalenda hiyo.
      2. Gregory Calendar. Hii ni kalenda iliyoanzishwa na Papa Gregory XIII mwaka 1582.
      Je, mabadiliko hayo ya calendar ya Gregory yaliathiri kwa namna fulani siku ya saba (sabato)? SIKIZA JIBU: Papa Gregory baada ya wanaanga(Astronomer) kuona mapungufu ktk Kalenda ya Julius kuwa Kuna muda unapotea au upotevu wa dakika 11 na kuwa mwaka si siku 365 kamili.
      => Ili litimie neno lililonenwa na nabii Daniel , Papa Gregory alibadili kwa kurekebisha hivi, ilikuwa Alhamis #4/10/1582 akasema; siku inayofuata Yaani Ijumaa iwe tarehe 15/10/1582.
      Hivyo Papa hakufuta siku ya Saba (sabato) Bali tarehe tu zilibadilika! Aidha alibadili siku iishe saa sita kamili usiku, ama ianze saa sita kamili usiku badala ya saa kumi na mbili za mchana na saa kumi na mbili za usiku Kama biblia takatifu isemavyo!!!.👇👇
      Yesu akajibu, Je! Saa za mchana si kumi na mbili? Mtu akienda mchana hajikwai; kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu.Yohana 11:9
      Narudia tena neno la Mungu, halijajipinga na halihitaji marekebisho, iwe ya kisayansi ama ya kifalsafa lipo imara Ni kamilifu.
      Papa Gregory kuhusika kwake katika hili utagundua ndivyo kanisa katoliki hutumia mbinu mbalimbali kupenyeza Mambo yake, hata Ni rahisi kuelewa kuwa kwa kuwa tayari amri ya nne Kama tulivyoona, tayari ilikuwa imehalifiwa na kuididimiza, akaweka siku ianzie saa6 usiku!!
      💖Je, saa sita kamili ndio siku mpya(nyingine) huanza? Wataalamu wa nyota aidha January 1 , 2021 wakizungumzia muda halisi Ni upi dunia humaliza kuzunguka Jua walisema kwa kweli si kweli kuwa saa sita usiku ndiyo siku ya mwaka mpya huanza, hakuna ushahidi wa kisayansi kuwa saa sita kamili ndiye siku inaanza, ni nadharia tu, zilizosapotiwa na Gregory XIII.
      Utagundua pia kuwa, kanisa limejihusisha kwa karibu na ustaarabu unaoendelea duniani, ni taasisi iliyojificha Kwenye sura ya dini Ila Ni serekali.....
      ✓Kwanini kalenda za ulaya zinahesabu Jumatatu Kama siku ya Kwanza ya Juma? JIBU: Kuifanya Jumapili kuwa siku ya saba katika Kalenda za Ulaya kumeanza miaka ya 1950's. Kabla ya mwaka 1950's kalenda ziliishia Jumamosi. Sababu ya mabadiliko hayo ilitokana na wafanyabiashara wengi kwenda ibadani Jumapili, kwa hiyo siku za kazi zikaanza Jumatatu hadi Jumamosi Kwenye kalenda.
      ✔️Pia wanajiografia: wamethibitisha Ukweli huu; Mstari wa Greenwich England (yaani mstari wa tarehe wa kimataifa) na Wachunguzi wa usafiri wa majini U.S.A Wamethibitisha kuwa mzunguko wa week kamwe haujawahi badilika upo vilevile.
      NB: Najua Kuna wasomi wenzangu (G&H) Ni vema wakaguswa nao na kufuata utafiti huo. Biblia ingetosha kueleza umuhimu wa Siku ya Saba ya Juma ila kwa kuwa binadamu tunauelewa tofauti nimeona ni vema kugusa nyanja mbalimbali, ili asomaye afahamu.
      Amani ya Bwana Yesu kristo na Pendo la Mungu Baba na Ushirika wa Roho Mtakatifu viwe nanyi nyote. Amen
      Ukweli ni Ukweli, Mungu akubariki 🙏

    • @RehemaDavid-f2l
      @RehemaDavid-f2l 2 месяца назад

      Hyo safi sana,je! Umeikagua na kuiona kweli ni safi kwa mujibu wa Yohana 17:17? Maana ukweli na usafi unapatikana kwa kuyasoma maandko,Sasa je hananja katusomea biblia ktk majb yake? Pima mwenyewe uone!!.

  • @MeshackmarwaKihengu-in3sn
    @MeshackmarwaKihengu-in3sn 4 дня назад +1

    Uwezo wa Mungu hatuwezi kuumalza kwa kueleza Mungu ni mkuu mno ikili zake hachunhuziki tusivuke mipaka kwa kuona jamii intukubali! tukafkr na Mungu tumemjua ipasavyo

  • @evaristgamba4204
    @evaristgamba4204 Месяц назад +1

    Mzee hananja ilo fungu la Mathayo 28:19 20 mwisho anasema na kuwafundisha kuyasshika yote

  • @JulianaChanga
    @JulianaChanga 15 дней назад +1

    Nimekuelewa mchungaji ishi maisha malefu

  • @sultanGart
    @sultanGart Месяц назад +1

    Jamani em tuisome biblia kwanza katika kitabu cha kutoka 20:08-11

  • @bobwhite9252
    @bobwhite9252 3 месяца назад +2

    Na ile alimtoa mwanae wa pekee......vip..anyway tuseme tu hilo somo ni gumu na hakuna mtu anaelijua kiuhalisia kabisa

    • @maclaudismail6606
      @maclaudismail6606 2 месяца назад

      Kul' hualahu,samadu,lam ya lid walam yu lad walam ya kulah kuf' an ahad. HAKUZAA WALA HAKUZALIWA MUPO

  • @MchungajiNzelani
    @MchungajiNzelani Месяц назад +1

    Shule shule unapohubiri bila shule watu wanakuinjoy aibu sana

  • @BashiruShabani-w5j
    @BashiruShabani-w5j 2 месяца назад +1

    Ww siomwisilam ww nikafiri ndiyo kwama anahuelewi kinachoezewe

  • @MchungajiNzelani
    @MchungajiNzelani Месяц назад +1

    Alafu lazima wajue jmos ya tz si jmos ya greniland soma shule mtume

  • @AgnessMpanduka-l5g
    @AgnessMpanduka-l5g 16 дней назад +1

    Kweli Lusekelo umeishiwa mpaka unaongea pumba. Yesu aliwaacha wanafunzi wake akapanda mlimani kusali aliporudi alikuta wamelala, akawaambia kesheni mkiomba, mbona hakusema jumamosi msilale tena mkeshe mkiomba?

  • @silassaitoti7689
    @silassaitoti7689 Месяц назад +1

    KKKT tuna madini,ndio maana wachungaji inatakiwa wasome waelewe

  • @naftalimutahi5591
    @naftalimutahi5591 3 месяца назад +12

    Hanaja mkulima,hanaja mume wa...hanaja daktari,hanaja mwalimu .
    Kweli ni yule yule hanaja.
    Kweli turundi katika bibilia.
    Basi jina la baba mwana roho mtakatifu ni bwana yesu kristo.
    Hiyo ndiyo sababu bibilia imebatiza katika Hilo jina.acts 2:36-40.acts.10 acts19.
    Colossians 3:7 And whatsoever ye do in word or deed, do all in the name of the Lord Jesus, giving thanks to God and the Father by him

    • @isayasimwinga2854
      @isayasimwinga2854 2 месяца назад

      @@naftalimutahi5591 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗘𝗡𝗖𝗬𝗖𝗟𝗢𝗣𝗘𝗗𝗜𝗔, 𝗩𝗢𝗟𝗨𝗠𝗘 𝗜𝗩 , 𝗨𝗞. 𝟭𝟱𝟯 : "Kanisa.......baada ya kubadilisha siku ya pumziko kutoka Sabato ya kiyahudi, au siku ya saba ya juma, kwenda siku ya kwanza , likaifanya amri ya tatu itamke kuwa Jumapili ni siku ya kuishika Kitakatifu kama siku ya Bwana".
      𝗞𝗔𝗗𝗜𝗡𝗔𝗟𝗜 𝗚𝗜𝗕𝗕𝗢𝗡𝗦, katika kitabu chake kiitwacho "𝗧𝗵𝗲 𝗤𝘂𝗲𝘀𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗕𝗼𝘅, 𝗨𝗞. 𝟭𝟳𝟵, anakiri kwa namna ya kushangaza: "Ikiwa Biblia ndio kiongozi pekee kwa Wakristo, bila Shaka Waadventista Wa Sabato wako sahihi katika utunzaji wa Jumamosi pamoja na Wayahudi...... Si jambo la kushangaza kwamba wale wanaoifanya Biblia kuwa mwalimu wao pekee, Wanakuwa na msimamo tofauti katika jambo kwa kufuata mapokeo ya Kanisa Katoliki?".
      𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗔. 𝗢'𝗕𝗥𝗜𝗘𝗡 katika kitabu "𝗨𝗻𝗱𝗲𝗿𝘀𝘁𝗮𝗻𝗱𝗶𝗻𝗴 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗮𝘁𝗵𝗼𝗹𝗶𝗰 𝗙𝗮𝗶𝘁𝗵," 𝗨𝗞. 𝟭𝟯, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟭𝟵𝟱𝟱 anasema: "𝗕𝗶𝗯𝗹𝗶𝗮 𝗵𝗮𝗶𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗼 𝘆𝗼𝘁𝗲 𝘆𝗮 𝗱𝗶𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗞𝗶𝗸𝗮𝘁𝗼𝗹𝗶𝗸𝗶, wala haielezei majukumu yote ya washiriki wake. Chukulia kwa mfano, suala la utunzaji wa jumapili, uhudhuriaji wa ibada , na uepukaji wa kazi zisizofaa siku hiyo. Hili ni jambo ambalo majirani zetu waprotestanti wameliwekea msisitizo mkubwa kwa miaka mingi; hata hivyo hakuna mahala popote kwenye Biblia ambapo Jumapili imetajwa kama siku ya Bwana; siku iliyotajwa ni Sabato, siku ya mwisho ya juma........"
      𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗟𝗘𝗢 𝗝. 𝗧𝗥𝗘𝗦𝗘 𝗻𝗮 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗝. 𝗖𝗔𝗦𝗧𝗟𝗘𝗟𝗢𝗧, Katika Kitabu kinachoitwa "𝗦𝗮𝗹𝘃𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗛𝗶𝘀𝘁𝗼𝗿𝘆 𝗮𝗻𝗱 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗼𝗺𝗺𝗮𝗻𝗱𝗺𝗲𝗻𝘁𝘀," 𝘂𝗸 𝟮𝟵𝟰, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝟭𝟵𝟲𝟯, hueleza hivi: "Hakuna andiko lolote katika Biblia linalozungumzia badiliko la siku ya Bwana kutoka Jumamosi kwenda Jumapili. Tunafahamu tu kuhusu badiliko hili kutoka Kwenye mapokeo ya kanisa kupitia viongozi wa kanisa. Hii ndiyo sababu kwa nini tunaona haina mantiki kwa makundi mengi ya wasio Wakatoliki, wanaosema kwamba hawataamini chochote vinginevyo iwe imeandikwa katika Biblia na lakini bado wanaendelea kuadhimisha Jumapili Kama siku ya Bwana kwa kauli ya Kanisa Katoliki."
      𝗧𝗛𝗘 𝗖𝗢𝗡𝗩𝗘𝗥𝗧'𝗦 𝗖𝗔𝗧𝗘𝗖𝗛𝗜𝗦𝗠 𝗢𝗙 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗗𝗢𝗖𝗧𝗥𝗜𝗡𝗘 (𝟭𝟵𝟱𝟳):𝟱𝟬
      > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑺𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝑺𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒏𝒊 𝒊𝒑𝒊
      > JIBU: Jumamosi ndiyo siku ya Sabato.
      > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑲𝒘𝒂 𝒏𝒊𝒏𝒊 𝒕𝒖𝒏𝒂𝒊𝒂𝒅𝒉𝒊𝒎𝒊𝒔𝒉𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒑𝒊𝒍𝒊 𝒃𝒂𝒅𝒂𝒍𝒂 𝒚𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒎𝒐𝒔𝒊?
      > JIBU: Tunaiadhimisha Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu Kanisa Katoliki lilihamisha utakatifu wa Jumamosi kwenda Jumapili.
      𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗣𝗥𝗜𝗘𝗦𝗧 𝗧. 𝗘𝗡𝗥𝗜𝗚𝗛𝗧, 𝗖𝗦𝗦𝗥, 𝗞𝗔𝗡𝗦𝗔𝗦 𝗖𝗜𝗧𝗬, 𝗠𝗢:
      "Lilikuwa ni kanisa takatifu Katoliki ambalo lilibadilisha siku ya pumzika kutoka Jumamosi kwenda Jumapili, ambayo ni siku ya kwanza ya juma. Na halikulazimisha wote kuitunza Jumapili peke yake, bali kwenye Baraza la Laodekia, mwaka 364 BK, liliwalaani wale ambao waliitunza Sabato na kuwasihi watu wote kufanya kazi katika siku ya saba chini ya adhabu ya laana"
      𝗦.𝗖. 𝗠𝗢𝗦𝗡𝗔, 𝗦𝗧𝗢𝗥𝗜𝗔 𝗗𝗘𝗟𝗟𝗔 𝗗𝗢𝗠𝗘𝗡𝗜𝗖𝗔 (𝟭𝟵𝟲𝟵): 𝟯𝟲𝟲-𝟯𝟲𝟳
      "Si Muumbaji wa Ulimwengu katika Mwanzo 2:1-3, bali ni Kanisa Katoliki linaweza kudai heshima ya kuwa na idhini ya kumpatia mwanadamu pumziko la kazi yake kila siku saba."
      𝗔𝗥𝗧𝗛𝗨𝗥 𝗪𝗘𝗜𝗚𝗔𝗟𝗟, 𝗧𝗛𝗘 𝗣𝗔𝗚𝗔𝗡𝗜𝗦𝗠 𝗜𝗡 𝗢𝗨𝗥 𝗖𝗛𝗥𝗜𝗦𝗧𝗜𝗔𝗡𝗜𝗧𝗬 (𝗡𝗘𝗪 𝗬𝗢𝗥𝗞: 𝗣𝗨𝗧𝗡𝗔𝗠𝗔™𝘀 𝗦𝗢𝗡𝗦, 𝟭𝟵𝟮𝟴): 𝟭𝟰𝟱:
      "Kanisa LILIIFANYA siku ya JUMAPILI kuwa TAKATIFU kikubwa ni kwa sababu ILIKUWA NI SIKUKUU YA JUA; maana ilikuwa dhahiri ni sera ya Kikristo kukubali sikukuu za kipagani zilizopendeka kwa watu na kwa utamaduni, na kuwapa maana muhimu ya Kikristo."
      𝗞𝗔𝗧𝗘𝗞𝗜𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗡𝗜𝗦𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗢𝗟𝗜𝗞𝗜, 𝗨𝗙𝗨𝗣𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗠𝗔𝗞𝗜𝗡𝗜
      𝗡𝗮𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝘂𝗸. 𝟭𝟯𝟲
      𝗦𝘄𝗮𝗹𝗶 𝟰𝟱𝟬. 𝑲𝒘𝒂𝒏𝒊𝒏𝒊 𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 "𝒂𝒍𝒊𝒊𝒃𝒂𝒓𝒊𝒌𝒊 𝒔𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒂𝒌𝒂𝒊𝒕𝒂𝒌𝒂𝒔𝒂"(𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 20:11)?
      𝗝𝗶𝗯𝘂: "kwa kuwa siku ya sabato linakumbukwa pumziko la Mungu siku ya Saba ya uumbaji, na vilevile ukombozi wa Israeli kutoka utumwani Misri , na Agano ambalo Mungu alikiweka na watu wake."
      💕💕 Hapo utagundua sababu za pumziko ni ; 1.kumbukumbu ya uumbaji wa Mungu,2. Ukombozi wa waisraeli, 3. Agano la Mungu na watu wake.
      𝗧𝘂𝗻𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗸𝘂𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂
      𝗦𝘄𝗹 𝟰𝟱𝟭. 𝒀𝒆𝒔𝒖 𝒂𝒍𝒊𝒊𝒕𝒆𝒏𝒅𝒂𝒋𝒆 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐?
      𝗝𝗶𝗯𝘂: "Yesu alitambua utakatifu wa sabato na kwa mamlaka yake ya kimungu akaipatia ufafanuzi halisi: "sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato"(Mk2:27).
      HAPA KICHWA GEOGRAPHY, INAMALIZA YOTE KUHUSU SABATO: PART1.
      Tutajifunza : Merrian Webster's collegiate Dictionary, Eleventh Edition, Defines Saturdays as The day of the week."
      >Hebu tujue machache kuhusu wanajiografia; wanasemaje kuhusu Sabato? Maana imenilazimu kutumia muda kujifunza na kuchunguza hili kwa kina ili wewe unayefuatilia ubaini Ukweli huu muhimu katika nyanja zotee; usiwe na sababu ya kutojua!!
      ✓Tuanzie mbali kidogo kuhusu kalenda , je kalenda ya leo imevurugwa? Sawa, twende pamoja:-
      -Kuanzia Yesu Kristo mpaka leo zipo kalenda kuu mbili:-
      1. Julia's Ceaser 46kk Yesu amezaliwa Kwenye kalenda hiyo.
      2. Gregory Calendar. Hii ni kalenda iliyoanzishwa na Papa Gregory XIII mwaka 1582.
      Je, mabadiliko hayo ya calendar ya Gregory yaliathiri kwa namna fulani siku ya saba (sabato)? SIKIZA JIBU: Papa Gregory baada ya wanaanga(Astronomer) kuona mapungufu ktk Kalenda ya Julius kuwa Kuna muda unapotea au upotevu wa dakika 11 na kuwa mwaka si siku 365 kamili.
      => Ili litimie neno lililonenwa na nabii Daniel , Papa Gregory alibadili kwa kurekebisha hivi, ilikuwa Alhamis #4/10/1582 akasema; siku inayofuata Yaani Ijumaa iwe tarehe 15/10/1582.
      Hivyo Papa hakufuta siku ya Saba (sabato) Bali tarehe tu zilibadilika! Aidha alibadili siku iishe saa sita kamili usiku, ama ianze saa sita kamili usiku badala ya saa kumi na mbili za mchana na saa kumi na mbili za usiku Kama biblia takatifu isemavyo!!!.👇👇
      Yesu akajibu, Je! Saa za mchana si kumi na mbili? Mtu akienda mchana hajikwai; kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu.Yohana 11:9
      Narudia tena neno la Mungu, halijajipinga na halihitaji marekebisho, iwe ya kisayansi ama ya kifalsafa lipo imara Ni kamilifu.
      Papa Gregory kuhusika kwake katika hili utagundua ndivyo kanisa katoliki hutumia mbinu mbalimbali kupenyeza Mambo yake, hata Ni rahisi kuelewa kuwa kwa kuwa tayari amri ya nne Kama tulivyoona, tayari ilikuwa imehalifiwa na kuididimiza, akaweka siku ianzie saa6 usiku!!
      💖Je, saa sita kamili ndio siku mpya(nyingine) huanza? Wataalamu wa nyota aidha January 1 , 2021 wakizungumzia muda halisi Ni upi dunia humaliza kuzunguka Jua walisema kwa kweli si kweli kuwa saa sita usiku ndiyo siku ya mwaka mpya huanza, hakuna ushahidi wa kisayansi kuwa saa sita kamili ndiye siku inaanza, ni nadharia tu, zilizosapotiwa na Gregory XIII.
      Utagundua pia kuwa, kanisa limejihusisha kwa karibu na ustaarabu unaoendelea duniani, ni taasisi iliyojificha Kwenye sura ya dini Ila Ni serekali.....
      ✓Kwanini kalenda za ulaya zinahesabu Jumatatu Kama siku ya Kwanza ya Juma? JIBU: Kuifanya Jumapili kuwa siku ya saba katika Kalenda za Ulaya kumeanza miaka ya 1950's. Kabla ya mwaka 1950's kalenda ziliishia Jumamosi. Sababu ya mabadiliko hayo ilitokana na wafanyabiashara wengi kwenda ibadani Jumapili, kwa hiyo siku za kazi zikaanza Jumatatu hadi Jumamosi Kwenye kalenda.
      ✔️Pia wanajiografia: wamethibitisha Ukweli huu; Mstari wa Greenwich England (yaani mstari wa tarehe wa kimataifa) na Wachunguzi wa usafiri wa majini U.S.A Wamethibitisha kuwa mzunguko wa week kamwe haujawahi badilika upo vilevile.
      NB: Najua Kuna wasomi wenzangu (G&H) Ni vema wakaguswa nao na kufuata utafiti huo. Biblia ingetosha kueleza umuhimu wa Siku ya Saba ya Juma ila kwa kuwa binadamu tunauelewa tofauti nimeona ni vema kugusa nyanja mbalimbali, ili asomaye afahamu.
      Amani ya Bwana Yesu kristo na Pendo la Mungu Baba na Ushirika wa Roho Mtakatifu viwe nanyi nyote. Amen
      Ukweli ni Ukweli, Mungu akubariki 🙏

    • @jessicahonore
      @jessicahonore 2 месяца назад

      Yes, JINA LA MUNGU NI YESU KRISTO, DAMU NA NYAMA HAVIJA KUFUNULIA HILI.BARIKIWA

    • @naftalimutahi5591
      @naftalimutahi5591 2 месяца назад +1

      Ubarikiwe sana jesca.
      Huyo bwana yesu kristo.katika kita u cha ufunuo ndiye pekee....mungu wetu.
      Rev1:8-12
      Iam Alpha and Omega, the beginning and the ending, saith the Lord, which is, and which was, and which is to come, the Almighty.
      Amen

  • @DenisAntony-z7h
    @DenisAntony-z7h 2 месяца назад +1

    Mzee yuko realistic yani ukweli mtupu

  • @CharlesMisungwi-f8t
    @CharlesMisungwi-f8t Месяц назад +1

    Judiesm niwakiristo ? au diniyatoratu .?

  • @TheMakala21
    @TheMakala21 3 месяца назад +11

    Asante sana MASTER Hananja! kama hajakuelewa hapa hato elewa tena!

    • @isayasimwinga2854
      @isayasimwinga2854 2 месяца назад

      @@TheMakala21 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗘𝗡𝗖𝗬𝗖𝗟𝗢𝗣𝗘𝗗𝗜𝗔, 𝗩𝗢𝗟𝗨𝗠𝗘 𝗜𝗩 , 𝗨𝗞. 𝟭𝟱𝟯 : "Kanisa.......baada ya kubadilisha siku ya pumziko kutoka Sabato ya kiyahudi, au siku ya saba ya juma, kwenda siku ya kwanza , likaifanya amri ya tatu itamke kuwa Jumapili ni siku ya kuishika Kitakatifu kama siku ya Bwana".
      𝗞𝗔𝗗𝗜𝗡𝗔𝗟𝗜 𝗚𝗜𝗕𝗕𝗢𝗡𝗦, katika kitabu chake kiitwacho "𝗧𝗵𝗲 𝗤𝘂𝗲𝘀𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗕𝗼𝘅, 𝗨𝗞. 𝟭𝟳𝟵, anakiri kwa namna ya kushangaza: "Ikiwa Biblia ndio kiongozi pekee kwa Wakristo, bila Shaka Waadventista Wa Sabato wako sahihi katika utunzaji wa Jumamosi pamoja na Wayahudi...... Si jambo la kushangaza kwamba wale wanaoifanya Biblia kuwa mwalimu wao pekee, Wanakuwa na msimamo tofauti katika jambo kwa kufuata mapokeo ya Kanisa Katoliki?".
      𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗔. 𝗢'𝗕𝗥𝗜𝗘𝗡 katika kitabu "𝗨𝗻𝗱𝗲𝗿𝘀𝘁𝗮𝗻𝗱𝗶𝗻𝗴 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗮𝘁𝗵𝗼𝗹𝗶𝗰 𝗙𝗮𝗶𝘁𝗵," 𝗨𝗞. 𝟭𝟯, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟭𝟵𝟱𝟱 anasema: "𝗕𝗶𝗯𝗹𝗶𝗮 𝗵𝗮𝗶𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗼 𝘆𝗼𝘁𝗲 𝘆𝗮 𝗱𝗶𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗞𝗶𝗸𝗮𝘁𝗼𝗹𝗶𝗸𝗶, wala haielezei majukumu yote ya washiriki wake. Chukulia kwa mfano, suala la utunzaji wa jumapili, uhudhuriaji wa ibada , na uepukaji wa kazi zisizofaa siku hiyo. Hili ni jambo ambalo majirani zetu waprotestanti wameliwekea msisitizo mkubwa kwa miaka mingi; hata hivyo hakuna mahala popote kwenye Biblia ambapo Jumapili imetajwa kama siku ya Bwana; siku iliyotajwa ni Sabato, siku ya mwisho ya juma........"
      𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗟𝗘𝗢 𝗝. 𝗧𝗥𝗘𝗦𝗘 𝗻𝗮 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗝. 𝗖𝗔𝗦𝗧𝗟𝗘𝗟𝗢𝗧, Katika Kitabu kinachoitwa "𝗦𝗮𝗹𝘃𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗛𝗶𝘀𝘁𝗼𝗿𝘆 𝗮𝗻𝗱 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗼𝗺𝗺𝗮𝗻𝗱𝗺𝗲𝗻𝘁𝘀," 𝘂𝗸 𝟮𝟵𝟰, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝟭𝟵𝟲𝟯, hueleza hivi: "Hakuna andiko lolote katika Biblia linalozungumzia badiliko la siku ya Bwana kutoka Jumamosi kwenda Jumapili. Tunafahamu tu kuhusu badiliko hili kutoka Kwenye mapokeo ya kanisa kupitia viongozi wa kanisa. Hii ndiyo sababu kwa nini tunaona haina mantiki kwa makundi mengi ya wasio Wakatoliki, wanaosema kwamba hawataamini chochote vinginevyo iwe imeandikwa katika Biblia na lakini bado wanaendelea kuadhimisha Jumapili Kama siku ya Bwana kwa kauli ya Kanisa Katoliki."
      𝗧𝗛𝗘 𝗖𝗢𝗡𝗩𝗘𝗥𝗧'𝗦 𝗖𝗔𝗧𝗘𝗖𝗛𝗜𝗦𝗠 𝗢𝗙 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗗𝗢𝗖𝗧𝗥𝗜𝗡𝗘 (𝟭𝟵𝟱𝟳):𝟱𝟬
      > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑺𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝑺𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒏𝒊 𝒊𝒑𝒊
      > JIBU: Jumamosi ndiyo siku ya Sabato.
      > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑲𝒘𝒂 𝒏𝒊𝒏𝒊 𝒕𝒖𝒏𝒂𝒊𝒂𝒅𝒉𝒊𝒎𝒊𝒔𝒉𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒑𝒊𝒍𝒊 𝒃𝒂𝒅𝒂𝒍𝒂 𝒚𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒎𝒐𝒔𝒊?
      > JIBU: Tunaiadhimisha Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu Kanisa Katoliki lilihamisha utakatifu wa Jumamosi kwenda Jumapili.
      𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗣𝗥𝗜𝗘𝗦𝗧 𝗧. 𝗘𝗡𝗥𝗜𝗚𝗛𝗧, 𝗖𝗦𝗦𝗥, 𝗞𝗔𝗡𝗦𝗔𝗦 𝗖𝗜𝗧𝗬, 𝗠𝗢:
      "Lilikuwa ni kanisa takatifu Katoliki ambalo lilibadilisha siku ya pumzika kutoka Jumamosi kwenda Jumapili, ambayo ni siku ya kwanza ya juma. Na halikulazimisha wote kuitunza Jumapili peke yake, bali kwenye Baraza la Laodekia, mwaka 364 BK, liliwalaani wale ambao waliitunza Sabato na kuwasihi watu wote kufanya kazi katika siku ya saba chini ya adhabu ya laana"
      𝗦.𝗖. 𝗠𝗢𝗦𝗡𝗔, 𝗦𝗧𝗢𝗥𝗜𝗔 𝗗𝗘𝗟𝗟𝗔 𝗗𝗢𝗠𝗘𝗡𝗜𝗖𝗔 (𝟭𝟵𝟲𝟵): 𝟯𝟲𝟲-𝟯𝟲𝟳
      "Si Muumbaji wa Ulimwengu katika Mwanzo 2:1-3, bali ni Kanisa Katoliki linaweza kudai heshima ya kuwa na idhini ya kumpatia mwanadamu pumziko la kazi yake kila siku saba."
      𝗔𝗥𝗧𝗛𝗨𝗥 𝗪𝗘𝗜𝗚𝗔𝗟𝗟, 𝗧𝗛𝗘 𝗣𝗔𝗚𝗔𝗡𝗜𝗦𝗠 𝗜𝗡 𝗢𝗨𝗥 𝗖𝗛𝗥𝗜𝗦𝗧𝗜𝗔𝗡𝗜𝗧𝗬 (𝗡𝗘𝗪 𝗬𝗢𝗥𝗞: 𝗣𝗨𝗧𝗡𝗔𝗠𝗔™𝘀 𝗦𝗢𝗡𝗦, 𝟭𝟵𝟮𝟴): 𝟭𝟰𝟱:
      "Kanisa LILIIFANYA siku ya JUMAPILI kuwa TAKATIFU kikubwa ni kwa sababu ILIKUWA NI SIKUKUU YA JUA; maana ilikuwa dhahiri ni sera ya Kikristo kukubali sikukuu za kipagani zilizopendeka kwa watu na kwa utamaduni, na kuwapa maana muhimu ya Kikristo."
      𝗞𝗔𝗧𝗘𝗞𝗜𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗡𝗜𝗦𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗢𝗟𝗜𝗞𝗜, 𝗨𝗙𝗨𝗣𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗠𝗔𝗞𝗜𝗡𝗜
      𝗡𝗮𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝘂𝗸. 𝟭𝟯𝟲
      𝗦𝘄𝗮𝗹𝗶 𝟰𝟱𝟬. 𝑲𝒘𝒂𝒏𝒊𝒏𝒊 𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 "𝒂𝒍𝒊𝒊𝒃𝒂𝒓𝒊𝒌𝒊 𝒔𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒂𝒌𝒂𝒊𝒕𝒂𝒌𝒂𝒔𝒂"(𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 20:11)?
      𝗝𝗶𝗯𝘂: "kwa kuwa siku ya sabato linakumbukwa pumziko la Mungu siku ya Saba ya uumbaji, na vilevile ukombozi wa Israeli kutoka utumwani Misri , na Agano ambalo Mungu alikiweka na watu wake."
      💕💕 Hapo utagundua sababu za pumziko ni ; 1.kumbukumbu ya uumbaji wa Mungu,2. Ukombozi wa waisraeli, 3. Agano la Mungu na watu wake.
      𝗧𝘂𝗻𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗸𝘂𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂
      𝗦𝘄𝗹 𝟰𝟱𝟭. 𝒀𝒆𝒔𝒖 𝒂𝒍𝒊𝒊𝒕𝒆𝒏𝒅𝒂𝒋𝒆 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐?
      𝗝𝗶𝗯𝘂: "Yesu alitambua utakatifu wa sabato na kwa mamlaka yake ya kimungu akaipatia ufafanuzi halisi: "sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato"(Mk2:27).
      HAPA KICHWA GEOGRAPHY, INAMALIZA YOTE KUHUSU SABATO: PART1.
      Tutajifunza : Merrian Webster's collegiate Dictionary, Eleventh Edition, Defines Saturdays as The day of the week."
      >Hebu tujue machache kuhusu wanajiografia; wanasemaje kuhusu Sabato? Maana imenilazimu kutumia muda kujifunza na kuchunguza hili kwa kina ili wewe unayefuatilia ubaini Ukweli huu muhimu katika nyanja zotee; usiwe na sababu ya kutojua!!
      ✓Tuanzie mbali kidogo kuhusu kalenda , je kalenda ya leo imevurugwa? Sawa, twende pamoja:-
      -Kuanzia Yesu Kristo mpaka leo zipo kalenda kuu mbili:-
      1. Julia's Ceaser 46kk Yesu amezaliwa Kwenye kalenda hiyo.
      2. Gregory Calendar. Hii ni kalenda iliyoanzishwa na Papa Gregory XIII mwaka 1582.
      Je, mabadiliko hayo ya calendar ya Gregory yaliathiri kwa namna fulani siku ya saba (sabato)? SIKIZA JIBU: Papa Gregory baada ya wanaanga(Astronomer) kuona mapungufu ktk Kalenda ya Julius kuwa Kuna muda unapotea au upotevu wa dakika 11 na kuwa mwaka si siku 365 kamili.
      => Ili litimie neno lililonenwa na nabii Daniel , Papa Gregory alibadili kwa kurekebisha hivi, ilikuwa Alhamis #4/10/1582 akasema; siku inayofuata Yaani Ijumaa iwe tarehe 15/10/1582.
      Hivyo Papa hakufuta siku ya Saba (sabato) Bali tarehe tu zilibadilika! Aidha alibadili siku iishe saa sita kamili usiku, ama ianze saa sita kamili usiku badala ya saa kumi na mbili za mchana na saa kumi na mbili za usiku Kama biblia takatifu isemavyo!!!.👇👇
      Yesu akajibu, Je! Saa za mchana si kumi na mbili? Mtu akienda mchana hajikwai; kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu.Yohana 11:9
      Narudia tena neno la Mungu, halijajipinga na halihitaji marekebisho, iwe ya kisayansi ama ya kifalsafa lipo imara Ni kamilifu.
      Papa Gregory kuhusika kwake katika hili utagundua ndivyo kanisa katoliki hutumia mbinu mbalimbali kupenyeza Mambo yake, hata Ni rahisi kuelewa kuwa kwa kuwa tayari amri ya nne Kama tulivyoona, tayari ilikuwa imehalifiwa na kuididimiza, akaweka siku ianzie saa6 usiku!!
      💖Je, saa sita kamili ndio siku mpya(nyingine) huanza? Wataalamu wa nyota aidha January 1 , 2021 wakizungumzia muda halisi Ni upi dunia humaliza kuzunguka Jua walisema kwa kweli si kweli kuwa saa sita usiku ndiyo siku ya mwaka mpya huanza, hakuna ushahidi wa kisayansi kuwa saa sita kamili ndiye siku inaanza, ni nadharia tu, zilizosapotiwa na Gregory XIII.
      Utagundua pia kuwa, kanisa limejihusisha kwa karibu na ustaarabu unaoendelea duniani, ni taasisi iliyojificha Kwenye sura ya dini Ila Ni serekali.....
      ✓Kwanini kalenda za ulaya zinahesabu Jumatatu Kama siku ya Kwanza ya Juma? JIBU: Kuifanya Jumapili kuwa siku ya saba katika Kalenda za Ulaya kumeanza miaka ya 1950's. Kabla ya mwaka 1950's kalenda ziliishia Jumamosi. Sababu ya mabadiliko hayo ilitokana na wafanyabiashara wengi kwenda ibadani Jumapili, kwa hiyo siku za kazi zikaanza Jumatatu hadi Jumamosi Kwenye kalenda.
      ✔️Pia wanajiografia: wamethibitisha Ukweli huu; Mstari wa Greenwich England (yaani mstari wa tarehe wa kimataifa) na Wachunguzi wa usafiri wa majini U.S.A Wamethibitisha kuwa mzunguko wa week kamwe haujawahi badilika upo vilevile.
      NB: Najua Kuna wasomi wenzangu (G&H) Ni vema wakaguswa nao na kufuata utafiti huo. Biblia ingetosha kueleza umuhimu wa Siku ya Saba ya Juma ila kwa kuwa binadamu tunauelewa tofauti nimeona ni vema kugusa nyanja mbalimbali, ili asomaye afahamu.
      Amani ya Bwana Yesu kristo na Pendo la Mungu Baba na Ushirika wa Roho Mtakatifu viwe nanyi nyote. Amen
      Ukweli ni Ukweli, Mungu akubariki 🙏

  • @andrewkaswagula3367
    @andrewkaswagula3367 3 месяца назад +11

    Hananja is the best.. kila leo nisikilizapo maelezo yako hasa kuhusu tafsiri ya Biblia inanifanya niendelee kujivunia kuwa mkristo...

    • @jabirkasunzu6841
      @jabirkasunzu6841 3 месяца назад +3

      Ndugu yangu, naomba uelewe kuwa siku ya hukumu hatokuwepo mkalimani, mwanasaikolojia, mwanafalsafa, roho mtakatifu wala Hananja katikati ni wewe pekee na Mungu wako. Hivyo ni vyema ukawa unasikiliza pande zote mbili na kurejelea maandiko na kuyachambua kwa akili yako ndio msingi wa hoja zako kwa Mungu na si kushabikia fulani kwasababu ni binadamu anaweza kuteleza.
      Nimefuatilia clips zote mbili, Hananja anapotosha, hana hoja za kimaandiko, ni mapokeo ya waleta dini, wazungu.
      Mzee wa Upako yuko sahihi maana ana hoja kutoka kwenye biblia. Na wewe, ungejitahidi kufuatilia clips zote mbili. Asante.

    • @AllDesigningTZ
      @AllDesigningTZ 3 месяца назад +1

      Kweli mzee wa upako yuko sahihi

    • @Carolina-sm5zt
      @Carolina-sm5zt 2 месяца назад

      Kwani Mzee wa upako yeye anaabudu siku gani

    • @maclaudismail6606
      @maclaudismail6606 2 месяца назад

      @@Carolina-sm5zt abudu siku zote

    • @ZabronWambura-yb5jf
      @ZabronWambura-yb5jf 2 месяца назад

      ​@@jabirkasunzu6841anatwambia hakuna Mungu mwana kwahyo anamkataa yesu 😅

  • @japhetnzunda99
    @japhetnzunda99 Месяц назад +1

    Na wewe mchungaji usiongee siasa mzee wa upako ndiye anaongea safi kabisa

  • @leonardkibungi4903
    @leonardkibungi4903 Месяц назад +1

    Hananja pamoja na comedy zake ni mtu anaeizungumza biblia Mzee wa upako mzee wa upako jitathimini hizi tamaa za sadaka

  • @besttrendingcovers1838
    @besttrendingcovers1838 3 месяца назад +39

    Mi nlikuwa nasali sana lakini nlipoona viongozi wa dini hawa wanapingana kila siku ikabidi niache kabsa kusali. Ninachojua Mungu alikuwepo kabla ya hizi dini na dini haiwezi fanya ukamjua Mungu ata siku moja. Zaidi dini zimejaa sheria kibao za kumbana muumini asiwe huru kufikiri zaidi

    • @GeorgeChitemo-kt8sw
      @GeorgeChitemo-kt8sw 3 месяца назад +6

      Yesu akirudi huuingii mbinguni

    • @besttrendingcovers1838
      @besttrendingcovers1838 3 месяца назад +4

      @@GeorgeChitemo-kt8sw mbingu ipo ila suala la yesu kurudi si la kweli ni stori tuu za wazungu, mbingu utaiona kwa sabab unaish pow na watu na huwafanyi ubaya. Ni mamb ya ajab yaan inahtaji mahubir kujua kuwa kuua sio kit kizur. In short dini ililetwa kufunga akili za waafrika wasifikir zaid. Ndio maana mchawi anaroga hadi awo wachungaj

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 3 месяца назад

      ​@@besttrendingcovers1838Busara inayohitajika ni utashi wako kuamini au kuacha. Hulazimiki wala kushurutishwa kuwa mfuasi wa imani fulani. Haya unayoyaandandika yana mapungufu mengi. Kwanza dini haipumbazi mtu, kwani elimu uliyopitia ambayo ni formal education mpaka ukajua kuandika na kusoma (universal education) ni mfumo wa dini wa Kanisa Katoliki. Mfumo wa matibabu ya hospitali ni wa Kanisa Katoliki. Chuo kikuu Cha kwanza katika mfumo tuliokuwa nao wa elimu ni Cha kikatoliki Kiko Bologna Italy. Mfumo wa kimahakana (judicial system) ni mfumo wa Kanisa Katoliki na mfumo wa utawala wa kihairakia ni wa kikanisa. Kanisa Katoliki Lina taasisi za kielimu shule na vyuo vikuu duniani kuliko serikali yoyote duniani. Kwa hiyo tuhuma kwamba akili yako imedumazwa na dini ni illogical statement. Mwisho dini ya Kikristo hakuanzishwa na wazungu Bali wazungu waliipikea kama tulivyoipokea sisi, wenyewe waliitumia wakapata maendeleo!

    • @zuberkasim7150
      @zuberkasim7150 3 месяца назад +2

      ivi nyinyi nduguzetu wakristo ambacho hamuelewi ninihasa yesu amekataa sio mungu wala mtoto nimtumetu katumwa na mungu kama alivo fundisha acheni kung,ang,ania mambo yatakayo waweka jikoni

    • @RamseykingGenius
      @RamseykingGenius 3 месяца назад +1

      The big thinker 🙌🏿🔥 one love 💪🏿💪🏿🤲🏻✌🏿

  • @wisemanfromzerotohero970
    @wisemanfromzerotohero970 3 месяца назад +10

    Muze uyu ni mutumishi wa Mungu na Kweli kumuelewa inahitaji utulivu saana

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai Месяц назад +1

    Mulevi mzee wa upako mchumia tumbo uyo

  • @EmanuelDiskon
    @EmanuelDiskon 2 месяца назад +1

    Hananja toa msimamo wa biblia ukweli unaujua shida maslahi ya tumbo

  • @FellaMbogela
    @FellaMbogela 3 месяца назад +5

    MCHUNGAJI AKISHA KUWA MLEVI HAFAI TENA, MAANA ATAWAPOTEZA WENGI WAIFUATE NJIA OVU

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 2 месяца назад

      YAANI HAFAI, HATA AIBU HANA YULE BABA

  • @CheerfulDrumKit-du7qk
    @CheerfulDrumKit-du7qk Месяц назад +1

    Huyu Mzee Hana mda aftasilimu namuona kabiisaaa

  • @AlfaMwahasanga-j1q
    @AlfaMwahasanga-j1q 2 месяца назад +1

    Hananja acha upotoshaji. Mzee wa upako anajua ukweli wala hakukurupuka. Ukweli haufungwi natazamo wa kibinadamu. Soma isaya 66:22,23 hata mbinguni ibada ni siku ya saba. Karagabaho.

  • @MchungajiNzelani
    @MchungajiNzelani Месяц назад +1

    Mzee wa upako anasema alisoma diploma hiyo haotoshi mzee soma zaidi kuna vitu unakosea sana unapotosha watu

  • @JajiZakayo-fw9mk
    @JajiZakayo-fw9mk 13 дней назад +1

    Kama anchokisema ni sahihi mbona anakusanyika na watu wake siku ya jumapili au ana agenda ya siri?

  • @vennyblack3766
    @vennyblack3766 Месяц назад +1

    Hananja anajibu kwa hekima na mifano sahihi ila wachache wasio jua itafakar biblia hawawez muelewa

  • @Ba63828
    @Ba63828 Месяц назад +1

    Tunabishana juu ya imani ya wayahudi za kwetu je

  • @MichaelMagige
    @MichaelMagige 3 месяца назад +1

    Hananja ni mtu wa Drama,Mzee wa Upako Yuko sawa,Ibada ni siku ya Jumamosi,Jumapili ni siku ya kuabudu jua,Ambayo ilianzishwa na mfalme Constantine,Kwa anayetetea Jumapili Ni kweli hajui Biblia

    • @Ushashi26
      @Ushashi26 2 месяца назад

      Udini umekukamata san

  • @JajiZakayo-fw9mk
    @JajiZakayo-fw9mk 13 дней назад +1

    mbona wewe unasalisha watu juma pili.

  • @goodlucksamson6910
    @goodlucksamson6910 2 месяца назад +1

    Jumamosi ni siku ya kupumzika siyo ya kusari

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 3 месяца назад +9

    Lusekelo Roho mtakatifu Alimwacha, sass hivi yupo yeye kama yeye tofauti kabisa alivyokuwa anaanza uduma mwanzo lusekelo alikuwa vizuri mno sijui amelogwa nani,
    Lusekelo ni mtumishi wa Mungu,kanisa tuombe kwajili ya lusekelo aludi kama mwanzo, jamani hii inatisha,

    • @mossesmichaelnzowa3378
      @mossesmichaelnzowa3378 3 месяца назад

      Kweli kabisa huyu Mzee ameiacha njia ya kweli.

    • @neemamdami7466
      @neemamdami7466 3 месяца назад

      Upo sahihi

    • @maclaudismail6606
      @maclaudismail6606 2 месяца назад +2

      Wewe ndiyo umepotoka

    • @isayasimwinga2854
      @isayasimwinga2854 2 месяца назад

      @@elishampoki8751 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗘𝗡𝗖𝗬𝗖𝗟𝗢𝗣𝗘𝗗𝗜𝗔, 𝗩𝗢𝗟𝗨𝗠𝗘 𝗜𝗩 , 𝗨𝗞. 𝟭𝟱𝟯 : "Kanisa.......baada ya kubadilisha siku ya pumziko kutoka Sabato ya kiyahudi, au siku ya saba ya juma, kwenda siku ya kwanza , likaifanya amri ya tatu itamke kuwa Jumapili ni siku ya kuishika Kitakatifu kama siku ya Bwana".
      𝗞𝗔𝗗𝗜𝗡𝗔𝗟𝗜 𝗚𝗜𝗕𝗕𝗢𝗡𝗦, katika kitabu chake kiitwacho "𝗧𝗵𝗲 𝗤𝘂𝗲𝘀𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗕𝗼𝘅, 𝗨𝗞. 𝟭𝟳𝟵, anakiri kwa namna ya kushangaza: "Ikiwa Biblia ndio kiongozi pekee kwa Wakristo, bila Shaka Waadventista Wa Sabato wako sahihi katika utunzaji wa Jumamosi pamoja na Wayahudi...... Si jambo la kushangaza kwamba wale wanaoifanya Biblia kuwa mwalimu wao pekee, Wanakuwa na msimamo tofauti katika jambo kwa kufuata mapokeo ya Kanisa Katoliki?".
      𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗔. 𝗢'𝗕𝗥𝗜𝗘𝗡 katika kitabu "𝗨𝗻𝗱𝗲𝗿𝘀𝘁𝗮𝗻𝗱𝗶𝗻𝗴 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗮𝘁𝗵𝗼𝗹𝗶𝗰 𝗙𝗮𝗶𝘁𝗵," 𝗨𝗞. 𝟭𝟯, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟭𝟵𝟱𝟱 anasema: "𝗕𝗶𝗯𝗹𝗶𝗮 𝗵𝗮𝗶𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗼 𝘆𝗼𝘁𝗲 𝘆𝗮 𝗱𝗶𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗞𝗶𝗸𝗮𝘁𝗼𝗹𝗶𝗸𝗶, wala haielezei majukumu yote ya washiriki wake. Chukulia kwa mfano, suala la utunzaji wa jumapili, uhudhuriaji wa ibada , na uepukaji wa kazi zisizofaa siku hiyo. Hili ni jambo ambalo majirani zetu waprotestanti wameliwekea msisitizo mkubwa kwa miaka mingi; hata hivyo hakuna mahala popote kwenye Biblia ambapo Jumapili imetajwa kama siku ya Bwana; siku iliyotajwa ni Sabato, siku ya mwisho ya juma........"
      𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗟𝗘𝗢 𝗝. 𝗧𝗥𝗘𝗦𝗘 𝗻𝗮 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗝. 𝗖𝗔𝗦𝗧𝗟𝗘𝗟𝗢𝗧, Katika Kitabu kinachoitwa "𝗦𝗮𝗹𝘃𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗛𝗶𝘀𝘁𝗼𝗿𝘆 𝗮𝗻𝗱 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗼𝗺𝗺𝗮𝗻𝗱𝗺𝗲𝗻𝘁𝘀," 𝘂𝗸 𝟮𝟵𝟰, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝟭𝟵𝟲𝟯, hueleza hivi: "Hakuna andiko lolote katika Biblia linalozungumzia badiliko la siku ya Bwana kutoka Jumamosi kwenda Jumapili. Tunafahamu tu kuhusu badiliko hili kutoka Kwenye mapokeo ya kanisa kupitia viongozi wa kanisa. Hii ndiyo sababu kwa nini tunaona haina mantiki kwa makundi mengi ya wasio Wakatoliki, wanaosema kwamba hawataamini chochote vinginevyo iwe imeandikwa katika Biblia na lakini bado wanaendelea kuadhimisha Jumapili Kama siku ya Bwana kwa kauli ya Kanisa Katoliki."
      𝗧𝗛𝗘 𝗖𝗢𝗡𝗩𝗘𝗥𝗧'𝗦 𝗖𝗔𝗧𝗘𝗖𝗛𝗜𝗦𝗠 𝗢𝗙 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗗𝗢𝗖𝗧𝗥𝗜𝗡𝗘 (𝟭𝟵𝟱𝟳):𝟱𝟬
      > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑺𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝑺𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒏𝒊 𝒊𝒑𝒊
      > JIBU: Jumamosi ndiyo siku ya Sabato.
      > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑲𝒘𝒂 𝒏𝒊𝒏𝒊 𝒕𝒖𝒏𝒂𝒊𝒂𝒅𝒉𝒊𝒎𝒊𝒔𝒉𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒑𝒊𝒍𝒊 𝒃𝒂𝒅𝒂𝒍𝒂 𝒚𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒎𝒐𝒔𝒊?
      > JIBU: Tunaiadhimisha Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu Kanisa Katoliki lilihamisha utakatifu wa Jumamosi kwenda Jumapili.
      𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗣𝗥𝗜𝗘𝗦𝗧 𝗧. 𝗘𝗡𝗥𝗜𝗚𝗛𝗧, 𝗖𝗦𝗦𝗥, 𝗞𝗔𝗡𝗦𝗔𝗦 𝗖𝗜𝗧𝗬, 𝗠𝗢:
      "Lilikuwa ni kanisa takatifu Katoliki ambalo lilibadilisha siku ya pumzika kutoka Jumamosi kwenda Jumapili, ambayo ni siku ya kwanza ya juma. Na halikulazimisha wote kuitunza Jumapili peke yake, bali kwenye Baraza la Laodekia, mwaka 364 BK, liliwalaani wale ambao waliitunza Sabato na kuwasihi watu wote kufanya kazi katika siku ya saba chini ya adhabu ya laana"
      𝗦.𝗖. 𝗠𝗢𝗦𝗡𝗔, 𝗦𝗧𝗢𝗥𝗜𝗔 𝗗𝗘𝗟𝗟𝗔 𝗗𝗢𝗠𝗘𝗡𝗜𝗖𝗔 (𝟭𝟵𝟲𝟵): 𝟯𝟲𝟲-𝟯𝟲𝟳
      "Si Muumbaji wa Ulimwengu katika Mwanzo 2:1-3, bali ni Kanisa Katoliki linaweza kudai heshima ya kuwa na idhini ya kumpatia mwanadamu pumziko la kazi yake kila siku saba."
      𝗔𝗥𝗧𝗛𝗨𝗥 𝗪𝗘𝗜𝗚𝗔𝗟𝗟, 𝗧𝗛𝗘 𝗣𝗔𝗚𝗔𝗡𝗜𝗦𝗠 𝗜𝗡 𝗢𝗨𝗥 𝗖𝗛𝗥𝗜𝗦𝗧𝗜𝗔𝗡𝗜𝗧𝗬 (𝗡𝗘𝗪 𝗬𝗢𝗥𝗞: 𝗣𝗨𝗧𝗡𝗔𝗠𝗔™𝘀 𝗦𝗢𝗡𝗦, 𝟭𝟵𝟮𝟴): 𝟭𝟰𝟱:
      "Kanisa LILIIFANYA siku ya JUMAPILI kuwa TAKATIFU kikubwa ni kwa sababu ILIKUWA NI SIKUKUU YA JUA; maana ilikuwa dhahiri ni sera ya Kikristo kukubali sikukuu za kipagani zilizopendeka kwa watu na kwa utamaduni, na kuwapa maana muhimu ya Kikristo."
      𝗞𝗔𝗧𝗘𝗞𝗜𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗡𝗜𝗦𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗢𝗟𝗜𝗞𝗜, 𝗨𝗙𝗨𝗣𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗠𝗔𝗞𝗜𝗡𝗜
      𝗡𝗮𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝘂𝗸. 𝟭𝟯𝟲
      𝗦𝘄𝗮𝗹𝗶 𝟰𝟱𝟬. 𝑲𝒘𝒂𝒏𝒊𝒏𝒊 𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 "𝒂𝒍𝒊𝒊𝒃𝒂𝒓𝒊𝒌𝒊 𝒔𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒂𝒌𝒂𝒊𝒕𝒂𝒌𝒂𝒔𝒂"(𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 20:11)?
      𝗝𝗶𝗯𝘂: "kwa kuwa siku ya sabato linakumbukwa pumziko la Mungu siku ya Saba ya uumbaji, na vilevile ukombozi wa Israeli kutoka utumwani Misri , na Agano ambalo Mungu alikiweka na watu wake."
      💕💕 Hapo utagundua sababu za pumziko ni ; 1.kumbukumbu ya uumbaji wa Mungu,2. Ukombozi wa waisraeli, 3. Agano la Mungu na watu wake.
      𝗧𝘂𝗻𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗸𝘂𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂
      𝗦𝘄𝗹 𝟰𝟱𝟭. 𝒀𝒆𝒔𝒖 𝒂𝒍𝒊𝒊𝒕𝒆𝒏𝒅𝒂𝒋𝒆 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐?
      𝗝𝗶𝗯𝘂: "Yesu alitambua utakatifu wa sabato na kwa mamlaka yake ya kimungu akaipatia ufafanuzi halisi: "sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato"(Mk2:27).
      HAPA KICHWA GEOGRAPHY, INAMALIZA YOTE KUHUSU SABATO: PART1.
      Tutajifunza : Merrian Webster's collegiate Dictionary, Eleventh Edition, Defines Saturdays as The day of the week."
      >Hebu tujue machache kuhusu wanajiografia; wanasemaje kuhusu Sabato? Maana imenilazimu kutumia muda kujifunza na kuchunguza hili kwa kina ili wewe unayefuatilia ubaini Ukweli huu muhimu katika nyanja zotee; usiwe na sababu ya kutojua!!
      ✓Tuanzie mbali kidogo kuhusu kalenda , je kalenda ya leo imevurugwa? Sawa, twende pamoja:-
      -Kuanzia Yesu Kristo mpaka leo zipo kalenda kuu mbili:-
      1. Julia's Ceaser 46kk Yesu amezaliwa Kwenye kalenda hiyo.
      2. Gregory Calendar. Hii ni kalenda iliyoanzishwa na Papa Gregory XIII mwaka 1582.
      Je, mabadiliko hayo ya calendar ya Gregory yaliathiri kwa namna fulani siku ya saba (sabato)? SIKIZA JIBU: Papa Gregory baada ya wanaanga(Astronomer) kuona mapungufu ktk Kalenda ya Julius kuwa Kuna muda unapotea au upotevu wa dakika 11 na kuwa mwaka si siku 365 kamili.
      => Ili litimie neno lililonenwa na nabii Daniel , Papa Gregory alibadili kwa kurekebisha hivi, ilikuwa Alhamis #4/10/1582 akasema; siku inayofuata Yaani Ijumaa iwe tarehe 15/10/1582.
      Hivyo Papa hakufuta siku ya Saba (sabato) Bali tarehe tu zilibadilika! Aidha alibadili siku iishe saa sita kamili usiku, ama ianze saa sita kamili usiku badala ya saa kumi na mbili za mchana na saa kumi na mbili za usiku Kama biblia takatifu isemavyo!!!.👇👇
      Yesu akajibu, Je! Saa za mchana si kumi na mbili? Mtu akienda mchana hajikwai; kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu.Yohana 11:9
      Narudia tena neno la Mungu, halijajipinga na halihitaji marekebisho, iwe ya kisayansi ama ya kifalsafa lipo imara Ni kamilifu.
      Papa Gregory kuhusika kwake katika hili utagundua ndivyo kanisa katoliki hutumia mbinu mbalimbali kupenyeza Mambo yake, hata Ni rahisi kuelewa kuwa kwa kuwa tayari amri ya nne Kama tulivyoona, tayari ilikuwa imehalifiwa na kuididimiza, akaweka siku ianzie saa6 usiku!!
      💖Je, saa sita kamili ndio siku mpya(nyingine) huanza? Wataalamu wa nyota aidha January 1 , 2021 wakizungumzia muda halisi Ni upi dunia humaliza kuzunguka Jua walisema kwa kweli si kweli kuwa saa sita usiku ndiyo siku ya mwaka mpya huanza, hakuna ushahidi wa kisayansi kuwa saa sita kamili ndiye siku inaanza, ni nadharia tu, zilizosapotiwa na Gregory XIII.
      Utagundua pia kuwa, kanisa limejihusisha kwa karibu na ustaarabu unaoendelea duniani, ni taasisi iliyojificha Kwenye sura ya dini Ila Ni serekali.....
      ✓Kwanini kalenda za ulaya zinahesabu Jumatatu Kama siku ya Kwanza ya Juma? JIBU: Kuifanya Jumapili kuwa siku ya saba katika Kalenda za Ulaya kumeanza miaka ya 1950's. Kabla ya mwaka 1950's kalenda ziliishia Jumamosi. Sababu ya mabadiliko hayo ilitokana na wafanyabiashara wengi kwenda ibadani Jumapili, kwa hiyo siku za kazi zikaanza Jumatatu hadi Jumamosi Kwenye kalenda.
      ✔️Pia wanajiografia: wamethibitisha Ukweli huu; Mstari wa Greenwich England (yaani mstari wa tarehe wa kimataifa) na Wachunguzi wa usafiri wa majini U.S.A Wamethibitisha kuwa mzunguko wa week kamwe haujawahi badilika upo vilevile.
      NB: Najua Kuna wasomi wenzangu (G&H) Ni vema wakaguswa nao na kufuata utafiti huo. Biblia ingetosha kueleza umuhimu wa Siku ya Saba ya Juma ila kwa kuwa binadamu tunauelewa tofauti nimeona ni vema kugusa nyanja mbalimbali, ili asomaye afahamu.
      Amani ya Bwana Yesu kristo na Pendo la Mungu Baba na Ushirika wa Roho Mtakatifu viwe nanyi nyote. Amen
      Ukweli ni Ukweli, Mungu akubariki 🙏

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 2 месяца назад

      KABISAA

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 2 месяца назад +1

    Agenda za mzee wa upako sio zakumfikisha mtu mbinguni

  • @husseinomar4294
    @husseinomar4294 15 дней назад +1

    Ndiyo ukweli wa mambo baadhi hawajui

  • @shekimachaku233
    @shekimachaku233 2 месяца назад +1

    Agizo la Mungu kwa Israel lilikuwa ... waitakase sabato (sanctify the sabbath), wasifanye kazi yoyote siku hiyo, hata manna wasiende kuokota siku hiyo. Nadhani shida hapa ni tafsiri ya neno sanctify au keep it holy. Mpaka leo siku ya Jumamosi, Wayahudi hata simu hawagusi. Hawawashi moto, hawapiki, hawadeki nyumba etc. Sisi vipi? Na ndio maana hata wafilisti wanapopanga kuwashambulia, wafanya hivyo Jumamosi. Sasa Hii Sabato ya kwetu na yao ni tofauti?

  • @husseinomar4294
    @husseinomar4294 15 дней назад +1

    Aahh Hananja nakubali sana Mungu mmoja tuu

  • @silassaitoti7689
    @silassaitoti7689 Месяц назад +1

    TATIZO MTU AKI IBUKA ANAKUA NABII HATACHUO HAENDI

  • @johnkmjema9727
    @johnkmjema9727 3 месяца назад +6

    Ubarikiwe sana mchungaji achana na wachumia Trumbo!!!?

  • @MchungajiNzelani
    @MchungajiNzelani Месяц назад +1

    Unamsikia huyu hananja msomi huyu

  • @ElizabethKimbi
    @ElizabethKimbi 3 месяца назад +4

    Mchg hananja wewe una akili sana na umesoma kweli kweli

  • @hamishatibu699
    @hamishatibu699 2 месяца назад +1

    Ananja anakataa ukweli,😅😅😅😅😅

  • @nicholausmeela3354
    @nicholausmeela3354 3 месяца назад +5

    Asante sana Mch. Hananja kwa kalenda ya siku hizi Yesu ni kweli alifufuka siku moja na nusu

  • @JoshuaMuyanjizi
    @JoshuaMuyanjizi 2 месяца назад +1

    Hananja kwa majibu yako hata 13:29 wangemuuliza yesu angewajibu hivyo hivyo 13:29 1

    • @VictoriaCharles-r6y
      @VictoriaCharles-r6y 2 месяца назад

      Wala Yesu angamkataa hananja hakuna andiko Yesu anasema siku ni siku ndo maana😮

  • @Reginajohnson-1988
    @Reginajohnson-1988 Месяц назад +1

    Kiukweli siku ya kusali ni kila siku

  • @AnnaMtulo-fc5tg
    @AnnaMtulo-fc5tg 2 месяца назад +2

    Kusema ukweli upako amesoma andiko kutoka kwenye bible ndo mwongozo wawatu wote

  • @joshuamfizi4816
    @joshuamfizi4816 2 месяца назад +3

    Umeelezea trinity ki theologia vizuri sana

  • @SifaelMpagike-gt1gz
    @SifaelMpagike-gt1gz Месяц назад +2

    Nenda juu rud chini j,mos Ndiyo siku ya Ibada hananja inabidi kufundishwa aache siasa na kutetea tumbo

    • @nicolasnzema08
      @nicolasnzema08 Месяц назад

      😂😂😂😂😂😂😂 HAKUN HICHO KITU

    • @SifaelMpagike-gt1gz
      @SifaelMpagike-gt1gz Месяц назад

      @@nicolasnzema08 ndiyo ukweli.. Mungu aishaandaa kila kitu kuhusu mwanadamu.. hivyo ili tuishi maisha matakatifu ni lazima tusome Neno la Mungu lenye mwongozo kamili.. wa namna gan tuabudu na kuishi maisha matakatifu., ila siyo TUTAKAVYO SISI.. NARUDIA.. SIYO TUTAKAVYO SISI. Maana njia zetu ni ovu muda wote

    • @amanayubu4804
      @amanayubu4804 Месяц назад

      Nikuulize swali,Sabato ni dhehebu au ni siku,MAMBO YA WALAWI 25:4-6,hapo kuna Sabato ya mwaka na sabato ya nchi.
      -Sabato maana yake ni kupumzika kwa ajili ya Bwana Mungu.
      -Kwa mfano,leo ni Jnne,nikisema kila baada ya siku saba kwangu itakuwa sabato.

    • @amanayubu4804
      @amanayubu4804 Месяц назад

      Shida kubwa Duniani inayotutesa ni mapokeo Yanayotujengea kuamini,kwa mfano Mtu unazaliwa unakuta Wazazi Wasabato ukakulia kwenye misingi hiyo na ukaaminishwa kuwa Sabato ni Jmosi,utaamini hivyo na utaitetea Jmosi kuwa ndiyo siku ya Sabato.
      -Mfano wa kweli, mimi Babaangu mzazi ni Muisram,lakini mimi ni Mkristo,yeye amepokea alichopokea na mimi nimeamini nilichokipokea.
      -ujumbe wangu tusiangaike na Dini na Madhehebu,tuangaike kuitafuta siku ya kutubu dhambi na kuacha dhambi,Wapendwa tuimarishe mahusiano yetu na Bwana Mungu,siku inakuja Bwana Mungu hatouliza ulikuwa unasali wapi.

  • @nasserm.nasser5087
    @nasserm.nasser5087 3 месяца назад +6

    Muongo huyu bwana anajua fika jumamosi ya marekani ni jumamosi lakini anadai nao waswali kama sisi Tanzania. Hii haiwezekani maana sisi ikiwa mchana wao Marekani ni usiku
    Yesu ni myahudi na walitumia kalenda la mwezi kwa maana siku za kiyahudi huanza baada ya jua kuzama.
    Huyu mchungaji anatumia falsafa ujanjaujanja na kuchanganya na ukweli na urongo na kuwauzia waumini kama ndio ukweli lakini si mtu wa kumuamini hata kidogo

    • @GervasLyimo-f7p
      @GervasLyimo-f7p 3 месяца назад

      Wewe ndio wa kuaminika?

    • @martintito2824
      @martintito2824 3 месяца назад

      Soma biblia wewe

    • @mbeshanaftali7106
      @mbeshanaftali7106 2 месяца назад

      Uko nyuma Sanaa ndngu yangu ,, kwenye kulijua neno ,,aliye panga siku ya kuabudu cyo Mungu ni wanadamu ,, hata ww ungesema mm siku yangu ya mapunziko ni juma tano ,unge kuwa sawa maana ndio siku unge kuwa una sali,, ww usipate tabu na siku ,,na sabatho cyo siku tu ,Bali ni siku ya saba au siku ambayo umeiteuwa ww kusali hyo ndio sabatho yako.

    • @VictoriaCharles-r6y
      @VictoriaCharles-r6y 2 месяца назад

      Anasoma biblia ipi ambayo haijaandikwa kuikumbuka siku ya sabato uitakase

    • @VictoriaCharles-r6y
      @VictoriaCharles-r6y 2 месяца назад

      Ikumbuke siku ya sabato uitakase

  • @ephraimkabeya9648
    @ephraimkabeya9648 3 месяца назад +4

    Lusekelo asemee kanisa lake, na siku wakijua Biblia watarudi kwa watumishi wa kweli wa Mungu. Wewe SALI jumamosi au siku yoyote uliyoelekezwa na chama chako kuwa haina makali ya utukufu, Rangi zake zimeanza kuonekana kama Kibwetele tu.Kanisa Lisilo kuwa na Sunday school, kipaimara ili kujifunza Biblia.Kanisa ambalo limejaa porojo kibao,kiki, kujipashia umaarufu na ukubwa, stori za mitandaoni na kuaminisha watu vitu ambavyo sio vya kibiblia ni kweli watu wale wa kanisa lake hawajui Biblia.

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 2 месяца назад +6

    Nimekuelewa sana, Mungu ni mmoja tu. Hata sisi Waislam Mungu ana majina 100 na kwa anaelewa kwa kila jambo Mungu huombwa kwa jina sahihi. Waislam na Wakristo tunatofautiana lugha.

    • @judithnaomy6787
      @judithnaomy6787 2 месяца назад

      Mch hananja mungu akubariki sana umefafanua Mzee wa upako haijui biblia Mzee waupako kaiyacha Imani Kawa mpinga kristo mungu amsanehe kabisa

    • @JosefuSwai
      @JosefuSwai 2 месяца назад

      Wewe nimekupenda sanasana sio mnazi kama wengine udini umewajaa tu

    • @hamishatibu699
      @hamishatibu699 2 месяца назад

      Wew waislamu na wakirto wanatofutiana kila kitu, Dini, ibada, Mungu

  • @PotileNyese
    @PotileNyese 2 месяца назад +1

    Imeandikwa siku ya saba ni ipi

  • @mahyorokalokola4012
    @mahyorokalokola4012 2 месяца назад +2

    Huyu Hananji ni mbabaishaji.
    Maana Hananji anatakiwa kuelewa kuwa japo Hananji anaweza kuwa na kazi mbalimbali lakini hawezi kuwa anafanya kazi ya udereva na huku anafanya kazi ya ukulima kwa wakati mmoja kama inavyoelezwa na utatu mtakatifu

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 3 месяца назад +8

    Lusekelo hajui biblia

    • @jabirkasunzu6841
      @jabirkasunzu6841 3 месяца назад

      Hananja anajibu kwa kurejelea mapokeo ya Wazungu na Mzee wa Upako ana hoja kwa kurejelea maandiko ya Waisrael wenyewe.
      Mf. Ishu ya siku, biblia inaeleza mwanzo 2:2
      Amri kumi za Musa, moja, Mungu anakataa asifananishwe na chochote majini ardhini na mbinguni na Yesu anasema wakujue wewe Mungu wa pekee na mimi uliyenituma.
      Viongozi wajuu waongo na Wakristu wengi hawaijui biblia na wakisoma wanaathiriwa na mapokeo kutoka kwa wazungu.
      Na kwa akili ya kuzaliwa yenye afya, Mungu aliyesimamisha ardhi na mbingu bila nguzo, anaweza kuwa binadamu (Yesu)? Yesu katahiriwa, kusujudu, alivaa kanzu, alilia, alilala na alikuwa fundi seremala. Mungu wa Alpha na Omega hawezi kuwa wa namna hiyo. Mungu gang dhaifu.

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 3 месяца назад

      @@jabirkasunzu6841 Yesu siyo dhaifu

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 3 месяца назад

      @@jabirkasunzu6841 tangu lini muislamu akajua mambo ya rohoni muislamu hajui mambo ya rohoni na hajagizwa na mhammad kujua mambo ya rohoni mhammad aliwaagiza waislamu kuzingatia mambo ya mwilini tu kama vile usafi kuoa wake wengi nakazalika lkn mKiristo wamepewa roho mtakatifu wa kujua mambo ya rohoni ndomana siku zote muislamu anamtambua yesu kristo katika hali ya kimwili hamtambui yesu kristo katika hali ya kiroho ndo mana utakuta wanasema "yesu kristo alitahiliwa, alikula, alikuwa selemala, muislamu anaishia kujua yesu kristo katika hali hiyo tu

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 3 месяца назад

      ​@@jabirkasunzu6841 na wewe utajibu kwa kupokea mapokeo kutoka kwa warabu kuhusu Quran,,, hivi wewe? Kabla warabu, hawajaleta dini yao ya uislamu,, hapa Africa karne ya 7,, je! babu zetu walikufa ktk imani gani? Acha kuona kama uslamu ndio bora kuliko ukristo, kila mtu abaki na mapokeo kutoka kwa watu awapendao,, hata elimu dunia ni mapokeo kutoka kwa wazungu,, na inatufanya tunaendesha maisha yetu vizuri. Na hakuna dini ya mzungu! Dini zote chanzo chake ni mashariki ya kati,, kuanzia, ibrahimu,musa,daudi,sulemani,yesu, paulo, muhamadi, wooote hao, wana asili ya kutoka arabuni,, tafuta ramani ya dunia ya zamani, itakuonyesha,, hata wakati yesu anazariwa,, wazungu walikuwepo, na walishaungana, kitambo, na muungano wao uliitwa rumi empire, kwa mataifa kumi, na walikua na dini zao, na dini hizo! Sio uslamu wala ukristo. Hivo,, uslamu na ukristo vyanzo vyake ni arabuni.

    • @VictoriaCharles-r6y
      @VictoriaCharles-r6y 2 месяца назад

      Anajua ndo maana kaona kwamba atakua mjinga kuikataa sabato wakati IPO kwenye biblia anayoisoma. Mzee wa upako sasa ndo unahubiri injiri ya milele

  • @daudmasungwa1577
    @daudmasungwa1577 Месяц назад +1

    Soma wakolosai 2:14_16

  • @IssacNtacho
    @IssacNtacho 3 месяца назад +6

    Hananja simsifii kwakuwa amesoma namsifia kwa kuwa amefunulia neema hyo yakuijua kweli,,

    • @vinhaule8617
      @vinhaule8617 2 месяца назад

      Mungu ni mwema sana

    • @isayasimwinga2854
      @isayasimwinga2854 2 месяца назад

      @@IssacNtacho 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗘𝗡𝗖𝗬𝗖𝗟𝗢𝗣𝗘𝗗𝗜𝗔, 𝗩𝗢𝗟𝗨𝗠𝗘 𝗜𝗩 , 𝗨𝗞. 𝟭𝟱𝟯 : "Kanisa.......baada ya kubadilisha siku ya pumziko kutoka Sabato ya kiyahudi, au siku ya saba ya juma, kwenda siku ya kwanza , likaifanya amri ya tatu itamke kuwa Jumapili ni siku ya kuishika Kitakatifu kama siku ya Bwana".
      𝗞𝗔𝗗𝗜𝗡𝗔𝗟𝗜 𝗚𝗜𝗕𝗕𝗢𝗡𝗦, katika kitabu chake kiitwacho "𝗧𝗵𝗲 𝗤𝘂𝗲𝘀𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗕𝗼𝘅, 𝗨𝗞. 𝟭𝟳𝟵, anakiri kwa namna ya kushangaza: "Ikiwa Biblia ndio kiongozi pekee kwa Wakristo, bila Shaka Waadventista Wa Sabato wako sahihi katika utunzaji wa Jumamosi pamoja na Wayahudi...... Si jambo la kushangaza kwamba wale wanaoifanya Biblia kuwa mwalimu wao pekee, Wanakuwa na msimamo tofauti katika jambo kwa kufuata mapokeo ya Kanisa Katoliki?".
      𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗔. 𝗢'𝗕𝗥𝗜𝗘𝗡 katika kitabu "𝗨𝗻𝗱𝗲𝗿𝘀𝘁𝗮𝗻𝗱𝗶𝗻𝗴 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗮𝘁𝗵𝗼𝗹𝗶𝗰 𝗙𝗮𝗶𝘁𝗵," 𝗨𝗞. 𝟭𝟯, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟭𝟵𝟱𝟱 anasema: "𝗕𝗶𝗯𝗹𝗶𝗮 𝗵𝗮𝗶𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗼 𝘆𝗼𝘁𝗲 𝘆𝗮 𝗱𝗶𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗞𝗶𝗸𝗮𝘁𝗼𝗹𝗶𝗸𝗶, wala haielezei majukumu yote ya washiriki wake. Chukulia kwa mfano, suala la utunzaji wa jumapili, uhudhuriaji wa ibada , na uepukaji wa kazi zisizofaa siku hiyo. Hili ni jambo ambalo majirani zetu waprotestanti wameliwekea msisitizo mkubwa kwa miaka mingi; hata hivyo hakuna mahala popote kwenye Biblia ambapo Jumapili imetajwa kama siku ya Bwana; siku iliyotajwa ni Sabato, siku ya mwisho ya juma........"
      𝗔𝗦𝗞𝗢𝗙𝗨 𝗟𝗘𝗢 𝗝. 𝗧𝗥𝗘𝗦𝗘 𝗻𝗮 𝗝𝗢𝗛𝗡 𝗝. 𝗖𝗔𝗦𝗧𝗟𝗘𝗟𝗢𝗧, Katika Kitabu kinachoitwa "𝗦𝗮𝗹𝘃𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗛𝗶𝘀𝘁𝗼𝗿𝘆 𝗮𝗻𝗱 𝘁𝗵𝗲 𝗖𝗼𝗺𝗺𝗮𝗻𝗱𝗺𝗲𝗻𝘁𝘀," 𝘂𝗸 𝟮𝟵𝟰, 𝘁𝗼𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗮 𝟭𝟵𝟲𝟯, hueleza hivi: "Hakuna andiko lolote katika Biblia linalozungumzia badiliko la siku ya Bwana kutoka Jumamosi kwenda Jumapili. Tunafahamu tu kuhusu badiliko hili kutoka Kwenye mapokeo ya kanisa kupitia viongozi wa kanisa. Hii ndiyo sababu kwa nini tunaona haina mantiki kwa makundi mengi ya wasio Wakatoliki, wanaosema kwamba hawataamini chochote vinginevyo iwe imeandikwa katika Biblia na lakini bado wanaendelea kuadhimisha Jumapili Kama siku ya Bwana kwa kauli ya Kanisa Katoliki."
      𝗧𝗛𝗘 𝗖𝗢𝗡𝗩𝗘𝗥𝗧'𝗦 𝗖𝗔𝗧𝗘𝗖𝗛𝗜𝗦𝗠 𝗢𝗙 𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗗𝗢𝗖𝗧𝗥𝗜𝗡𝗘 (𝟭𝟵𝟱𝟳):𝟱𝟬
      > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑺𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝑺𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒏𝒊 𝒊𝒑𝒊
      > JIBU: Jumamosi ndiyo siku ya Sabato.
      > 𝑺𝑾𝑨𝑳𝑰: 𝑲𝒘𝒂 𝒏𝒊𝒏𝒊 𝒕𝒖𝒏𝒂𝒊𝒂𝒅𝒉𝒊𝒎𝒊𝒔𝒉𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒑𝒊𝒍𝒊 𝒃𝒂𝒅𝒂𝒍𝒂 𝒚𝒂 𝑱𝒖𝒎𝒂𝒎𝒐𝒔𝒊?
      > JIBU: Tunaiadhimisha Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu Kanisa Katoliki lilihamisha utakatifu wa Jumamosi kwenda Jumapili.
      𝗖𝗔𝗧𝗛𝗢𝗟𝗜𝗖 𝗣𝗥𝗜𝗘𝗦𝗧 𝗧. 𝗘𝗡𝗥𝗜𝗚𝗛𝗧, 𝗖𝗦𝗦𝗥, 𝗞𝗔𝗡𝗦𝗔𝗦 𝗖𝗜𝗧𝗬, 𝗠𝗢:
      "Lilikuwa ni kanisa takatifu Katoliki ambalo lilibadilisha siku ya pumzika kutoka Jumamosi kwenda Jumapili, ambayo ni siku ya kwanza ya juma. Na halikulazimisha wote kuitunza Jumapili peke yake, bali kwenye Baraza la Laodekia, mwaka 364 BK, liliwalaani wale ambao waliitunza Sabato na kuwasihi watu wote kufanya kazi katika siku ya saba chini ya adhabu ya laana"
      𝗦.𝗖. 𝗠𝗢𝗦𝗡𝗔, 𝗦𝗧𝗢𝗥𝗜𝗔 𝗗𝗘𝗟𝗟𝗔 𝗗𝗢𝗠𝗘𝗡𝗜𝗖𝗔 (𝟭𝟵𝟲𝟵): 𝟯𝟲𝟲-𝟯𝟲𝟳
      "Si Muumbaji wa Ulimwengu katika Mwanzo 2:1-3, bali ni Kanisa Katoliki linaweza kudai heshima ya kuwa na idhini ya kumpatia mwanadamu pumziko la kazi yake kila siku saba."
      𝗔𝗥𝗧𝗛𝗨𝗥 𝗪𝗘𝗜𝗚𝗔𝗟𝗟, 𝗧𝗛𝗘 𝗣𝗔𝗚𝗔𝗡𝗜𝗦𝗠 𝗜𝗡 𝗢𝗨𝗥 𝗖𝗛𝗥𝗜𝗦𝗧𝗜𝗔𝗡𝗜𝗧𝗬 (𝗡𝗘𝗪 𝗬𝗢𝗥𝗞: 𝗣𝗨𝗧𝗡𝗔𝗠𝗔™𝘀 𝗦𝗢𝗡𝗦, 𝟭𝟵𝟮𝟴): 𝟭𝟰𝟱:
      "Kanisa LILIIFANYA siku ya JUMAPILI kuwa TAKATIFU kikubwa ni kwa sababu ILIKUWA NI SIKUKUU YA JUA; maana ilikuwa dhahiri ni sera ya Kikristo kukubali sikukuu za kipagani zilizopendeka kwa watu na kwa utamaduni, na kuwapa maana muhimu ya Kikristo."
      𝗞𝗔𝗧𝗘𝗞𝗜𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗡𝗜𝗦𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗢𝗟𝗜𝗞𝗜, 𝗨𝗙𝗨𝗣𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗠𝗔𝗞𝗜𝗡𝗜
      𝗡𝗮𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂 𝘂𝗸. 𝟭𝟯𝟲
      𝗦𝘄𝗮𝗹𝗶 𝟰𝟱𝟬. 𝑲𝒘𝒂𝒏𝒊𝒏𝒊 𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 "𝒂𝒍𝒊𝒊𝒃𝒂𝒓𝒊𝒌𝒊 𝒔𝒊𝒌𝒖 𝒚𝒂 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐 𝒂𝒌𝒂𝒊𝒕𝒂𝒌𝒂𝒔𝒂"(𝒌𝒖𝒕𝒐𝒌𝒂 20:11)?
      𝗝𝗶𝗯𝘂: "kwa kuwa siku ya sabato linakumbukwa pumziko la Mungu siku ya Saba ya uumbaji, na vilevile ukombozi wa Israeli kutoka utumwani Misri , na Agano ambalo Mungu alikiweka na watu wake."
      💕💕 Hapo utagundua sababu za pumziko ni ; 1.kumbukumbu ya uumbaji wa Mungu,2. Ukombozi wa waisraeli, 3. Agano la Mungu na watu wake.
      𝗧𝘂𝗻𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗸𝘂𝗻𝘂𝗸𝘂𝘂
      𝗦𝘄𝗹 𝟰𝟱𝟭. 𝒀𝒆𝒔𝒖 𝒂𝒍𝒊𝒊𝒕𝒆𝒏𝒅𝒂𝒋𝒆 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒕𝒐?
      𝗝𝗶𝗯𝘂: "Yesu alitambua utakatifu wa sabato na kwa mamlaka yake ya kimungu akaipatia ufafanuzi halisi: "sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato"(Mk2:27).
      HAPA KICHWA GEOGRAPHY, INAMALIZA YOTE KUHUSU SABATO: PART1.
      Tutajifunza : Merrian Webster's collegiate Dictionary, Eleventh Edition, Defines Saturdays as The day of the week."
      >Hebu tujue machache kuhusu wanajiografia; wanasemaje kuhusu Sabato? Maana imenilazimu kutumia muda kujifunza na kuchunguza hili kwa kina ili wewe unayefuatilia ubaini Ukweli huu muhimu katika nyanja zotee; usiwe na sababu ya kutojua!!
      ✓Tuanzie mbali kidogo kuhusu kalenda , je kalenda ya leo imevurugwa? Sawa, twende pamoja:-
      -Kuanzia Yesu Kristo mpaka leo zipo kalenda kuu mbili:-
      1. Julia's Ceaser 46kk Yesu amezaliwa Kwenye kalenda hiyo.
      2. Gregory Calendar. Hii ni kalenda iliyoanzishwa na Papa Gregory XIII mwaka 1582.
      Je, mabadiliko hayo ya calendar ya Gregory yaliathiri kwa namna fulani siku ya saba (sabato)? SIKIZA JIBU: Papa Gregory baada ya wanaanga(Astronomer) kuona mapungufu ktk Kalenda ya Julius kuwa Kuna muda unapotea au upotevu wa dakika 11 na kuwa mwaka si siku 365 kamili.
      => Ili litimie neno lililonenwa na nabii Daniel , Papa Gregory alibadili kwa kurekebisha hivi, ilikuwa Alhamis #4/10/1582 akasema; siku inayofuata Yaani Ijumaa iwe tarehe 15/10/1582.
      Hivyo Papa hakufuta siku ya Saba (sabato) Bali tarehe tu zilibadilika! Aidha alibadili siku iishe saa sita kamili usiku, ama ianze saa sita kamili usiku badala ya saa kumi na mbili za mchana na saa kumi na mbili za usiku Kama biblia takatifu isemavyo!!!.👇👇
      Yesu akajibu, Je! Saa za mchana si kumi na mbili? Mtu akienda mchana hajikwai; kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu.Yohana 11:9
      Narudia tena neno la Mungu, halijajipinga na halihitaji marekebisho, iwe ya kisayansi ama ya kifalsafa lipo imara Ni kamilifu.
      Papa Gregory kuhusika kwake katika hili utagundua ndivyo kanisa katoliki hutumia mbinu mbalimbali kupenyeza Mambo yake, hata Ni rahisi kuelewa kuwa kwa kuwa tayari amri ya nne Kama tulivyoona, tayari ilikuwa imehalifiwa na kuididimiza, akaweka siku ianzie saa6 usiku!!
      💖Je, saa sita kamili ndio siku mpya(nyingine) huanza? Wataalamu wa nyota aidha January 1 , 2021 wakizungumzia muda halisi Ni upi dunia humaliza kuzunguka Jua walisema kwa kweli si kweli kuwa saa sita usiku ndiyo siku ya mwaka mpya huanza, hakuna ushahidi wa kisayansi kuwa saa sita kamili ndiye siku inaanza, ni nadharia tu, zilizosapotiwa na Gregory XIII.
      Utagundua pia kuwa, kanisa limejihusisha kwa karibu na ustaarabu unaoendelea duniani, ni taasisi iliyojificha Kwenye sura ya dini Ila Ni serekali.....
      ✓Kwanini kalenda za ulaya zinahesabu Jumatatu Kama siku ya Kwanza ya Juma? JIBU: Kuifanya Jumapili kuwa siku ya saba katika Kalenda za Ulaya kumeanza miaka ya 1950's. Kabla ya mwaka 1950's kalenda ziliishia Jumamosi. Sababu ya mabadiliko hayo ilitokana na wafanyabiashara wengi kwenda ibadani Jumapili, kwa hiyo siku za kazi zikaanza Jumatatu hadi Jumamosi Kwenye kalenda.
      ✔️Pia wanajiografia: wamethibitisha Ukweli huu; Mstari wa Greenwich England (yaani mstari wa tarehe wa kimataifa) na Wachunguzi wa usafiri wa majini U.S.A Wamethibitisha kuwa mzunguko wa week kamwe haujawahi badilika upo vilevile.
      NB: Najua Kuna wasomi wenzangu (G&H) Ni vema wakaguswa nao na kufuata utafiti huo. Biblia ingetosha kueleza umuhimu wa Siku ya Saba ya Juma ila kwa kuwa binadamu tunauelewa tofauti nimeona ni vema kugusa nyanja mbalimbali, ili asomaye afahamu.
      Amani ya Bwana Yesu kristo na Pendo la Mungu Baba na Ushirika wa Roho Mtakatifu viwe nanyi nyote. Amen
      Ukweli ni Ukweli, Mungu akubariki 🙏

  • @MeshackmarwaKihengu-in3sn
    @MeshackmarwaKihengu-in3sn 4 дня назад +1

    Kwani hapo shd nini!

  • @Kulindwa
    @Kulindwa 2 месяца назад +1

    Kwani wewe ni myahudi?

  • @ElizabethCharles-j3s
    @ElizabethCharles-j3s 2 месяца назад +1

    Biblia inasema itunze siku ya 7 na uitakase,ambayo ni jmamosi,
    Kwenye amri 10 za Mungu

    • @NtamamiloGibson
      @NtamamiloGibson 26 дней назад

      Imeandikwa wapi hiyo 7 kuwa ni Juma mosi? Huyu mchungaji yuko sawa kabisa kuwa hakuna mwenye kujua usahihi wa siku isipokuwa ni binadamu tu tuliweka utaratibu.

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 3 месяца назад +5

    Mzee wa upako ni mkurupukaji tu bendera fuata upepo hajulika ni muislamu msabato au mpentekoste anapinga kusali juma pili lakini yeye anasali jumapili zamanu aliweka bendera ya israel kanisani kwake lkn sikuizi katoa ni mtu wa ajabu sana mahubiri yake hayana msimamo yeye kila linalo mjia usiku kichwani ndo analifundisha kanisani kwake

    • @EmanuelStart-jd1vr
      @EmanuelStart-jd1vr 3 месяца назад +1

      Kweli kabisa mabii wa uwongo walitabiriwa watatokea 😮

    • @bnsonimakle1155
      @bnsonimakle1155 3 месяца назад

      Kabisa, kakurupuk huy,,

    • @mujwasteven
      @mujwasteven 3 месяца назад

      Hana shule

    • @AllDesigningTZ
      @AllDesigningTZ 3 месяца назад

      Hananja anawadanganya na nyinyi mkasome bibilia sio awasomee mchungaji

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 3 месяца назад

      @@AllDesigningTZ sisi wakiristo tuna soma biblia na tunatembea nayo popote tuendapo ila nyie waislamu mamuma ndio mnasomewa Quran na masheikh wenu

  • @johnkmjema9727
    @johnkmjema9727 3 месяца назад +3

    Mzee wa upako chenga tupu!!?

  • @davidandrew9575
    @davidandrew9575 2 месяца назад +2

    Jumapili jumatatu jumamoc ni watu walikaa wakatunga kalenda na kusema hii iwe siku gani ,

  • @mohamedsoud3225
    @mohamedsoud3225 Месяц назад +1

    Msitoe comment ujui elimu ya dini mungu Hana manina mia msiwe mnapitosha uliza mashekhe ili kujifhnza mungu ana majina 99

    • @LUCYITOGOZA
      @LUCYITOGOZA Месяц назад

      Hayo yanajulikana kibiblia kulingana na utendaji wa Mungu, hakuna anayejua jina kamili la Mungu tunamtambua Kwa utendaji wake

  • @leonardkibungi4903
    @leonardkibungi4903 Месяц назад +1

    Anton ameishiwa

  • @DavidNdaha
    @DavidNdaha 3 месяца назад +5

    Kweli mida wote ni wakusali

  • @frankiuskilomba4880
    @frankiuskilomba4880 2 месяца назад +1

    Kuna point mzee wa upako yuko sahihi na kuna point pastor hananja yuko sahihi ,, Issue ya siku ya kuabudu wengi tunaitafsiri vibaya ,, issue ya ibada siku ya sabato ni sehemu ya Amri kumi za Mungu,, Sasa ukweli ubaki ukweli ,, maelezo yanakuwa mengi kuliko imeandikwa,, kubadilika kwa majina ya siku,miezi, na miezi , haijabadili siku sahihi ya ibaada , na kupishana masaa kadhaa eneo kwa eneo ,haijabadili bado siku husika ,,, Bwana atufungue macho tuone ukweli halisi

  • @godfreylushiku3081
    @godfreylushiku3081 3 месяца назад +12

    Kwa anayetaka kujua Yesu ni nani kwa mujibu wa Ukristo na biblia. Soma
    Injili ya Yohana sura ya 1 yote na Waraka kwa webrania sura ya 1. Maamuzi yanabaki kwako.
    Roho wa Mungu akuongoze kumtambua na kuelewa maandiko. Amina

    • @Chrishenryson-beats
      @Chrishenryson-beats 3 месяца назад

      Na nyongeza kidogo hii apa nakuongezea 👇👇👇
      Jitahidi sana kuelewa na kutenga hisia juu ya unachosoma.👇👇
      1. Mwanzo 1:26:
      “Mungu akasema, ‘Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; nao watauwa samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama wa mwituni, na nchi yote pia, na kila kitambaacho kitambaacho juu ya nchi.’”
      2. Mathayo 28:19:
      “Basi, enendeni mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu.”
      3. 2 Wakorintho 13:14:
      “Neema ya Bwana Yesu Kristo, na upendo wa Mungu, na ushirika wa Roho Mtakatifu, ukae nanyi nyote.”
      4. Yohana 14:26:
      “Lakini Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka kwa jina langu, atawafundisha yote na kuwakumbusha yote niliyowaambia.”
      5. Mathayo 3:16-17:
      “Naye Yesu alipokwisha kubatizwa, mara akapanda kutoka majini; na tazama, mbingu zikamfunukia, akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua, akija juu yake; na tazama, sauti kutoka mbinguni ikisema, ‘Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye.’”
      6. Yohana 1:1-2:
      “Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.”
      7. Yohana 10:30:
      “Mimi na Baba tu umoja.”
      8. Yohana 14:9-10:
      “Yesu akamwambia, ‘Ee Filipo, nimekuwako pamoja nanyi muda wote huu, nawe hujanijua? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba? Huamini ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu? Maneno ninenayo mimi siyasemi kwa shauri langu mwenyewe, bali Baba akaaye ndani yangu huzifanya kazi zake.’”
      9. 1 Yohana 5:7:
      “Kwa maana wako watatu washuhudiao mbinguni, Baba, Neno, na Roho Mtakatifu, na watatu hawa ni umoja.”
      10. Waefeso 4:4-6:
      “Mwili mmoja, na Roho mmoja, kama na mlivyoitwa katika tumaini moja la wito wenu; Bwana mmoja, imani moja, ubatizo mmoja; Mungu mmoja, naye ni Baba wa wote, aliye juu ya yote na katika yote na ndani ya yote.”

    • @flova7022
      @flova7022 Месяц назад

      God

  • @Stellastella-yi5vu
    @Stellastella-yi5vu 2 месяца назад +3

    Saa zote ni za bwana, ck zote ni za bwana amua wew usali jpil au alhamis

    • @laurentpeter5772
      @laurentpeter5772 2 месяца назад

      UNAPOSEMA siku na saa zote ni za Mungu,na kwamba usali siku yoyote Ile ukiamua,je, unadhani Mungu kuileta sabato hakulijua Hilo? Je,amri ya sabato kuwa Moja ya amri kumi unadhani Mungu alikosea?
      Kama ilikuwa siku yoyote, kwanini Sasa Yesu na mitume hawakushika jumapili? Kwanini jumapili ianze kuheshimuwa kama siku ya Ibada baada ya kutangazwa na mfalme constantino na hapo nyuma haikuwa hivyo?
      Haya biblia hamuelewi,ulizieni basi hata histolia mpate Majibu kwamba histolia inasemaje!!!?

  • @AdamDaudy
    @AdamDaudy 2 месяца назад +2

    Mzee wa Upako yupo Sahihi . Kubalini ukweli unapodhihiri kinyume chake itakua mnafanya KIBURI

    • @MpokiEnock
      @MpokiEnock 2 месяца назад

      Kweli kabisa biblia imeweka bayana , ni kweli siku zote ni MUNGU lakini siku ya ibada MUNGU aliitenga siku ya saba siku ya sabato hata kama tungetafuta porojo nyingiingi ukweli unabaki palepale

  • @msemwawalter837
    @msemwawalter837 15 дней назад +1

    Asante sana!

  • @Sisopotashiumz
    @Sisopotashiumz 2 месяца назад +2

    😂😂😂😂

  • @reubenjoram9675
    @reubenjoram9675 Месяц назад +1

    Hahahaha haya sasa wale wa kwamwaposa mpoooooooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣👂

  • @maruruedward5735
    @maruruedward5735 3 месяца назад +3

    Licha ya comedy zake ila ndy mwelimishaji wa neno la mungu

  • @SharonOguda-u7b
    @SharonOguda-u7b 2 месяца назад +1

    Mzee wa upako ni misifa

  • @JumaNassoro-q2p
    @JumaNassoro-q2p 3 месяца назад +4

    Hananja yuko vizuri anakuelimisha na anakupa na mafundisho ya kueleweka

  • @mosesmbushi
    @mosesmbushi 2 месяца назад +1

    Kama huyo Mzee asiye na Upako kasema ukweli ,Siku ya Kusali Mungu ameagiza ni siku gani atuambie,na aonyeshe ushahidi wa Maamdiko yatosha

  • @MapesaRoma
    @MapesaRoma 2 месяца назад +2

    Askofu hamanja amewachana vizuri wataelewa tu😂

  • @vicentmigodela190
    @vicentmigodela190 2 месяца назад +2

    Ivi mzee wa upako ni mzima kweli au ndio kichaa kinaanza taratibu, poleni waamini wake

    • @VictoriaCharles-r6y
      @VictoriaCharles-r6y 2 месяца назад

      Mzee wa upako unahubiri injiri ya milele. Wengi hawatakuelewa

    • @kensniper8079
      @kensniper8079 Месяц назад

      ​@@VictoriaCharles-r6y anapiga kelele tu mlevi yule

  • @DanielErnest-nn2zj
    @DanielErnest-nn2zj 2 месяца назад +1

    Mzee wa upako na Haanja wote vilaza hawajui waandiko, ila huyu mzee wa upako kuna ukweli anajua ila anapindisha

  • @Mahershalalhashbazi-kf6xi
    @Mahershalalhashbazi-kf6xi 3 месяца назад +7

    Hananja leo nimegundua ana Mungu;na anamjuwa Mungu

    • @jabirkasunzu6841
      @jabirkasunzu6841 3 месяца назад

      Hananja anajibu kwa kurejelea mapokeo ya Wazungu na Mzee wa Upako ana hoja kwa kurejelea maandiko ya Waisrael wenyewe.
      Mf. Ishu ya siku, biblia inaeleza mwanzo 2:2
      Amri kumi za Musa, moja, Mungu anakataa asifananishwe na chochote majini ardhini na mbinguni na Yesu anasema wakujue wewe Mungu wa pekee na mimi uliyenituma.
      Viongozi wajuu waongo na Wakristu wengi hawaijui biblia na wakisoma wanaathiriwa na mapokeo kutoka kwa wazungu.
      Na kwa akili ya kuzaliwa yenye afya, Mungu aliyesimamisha ardhi na mbingu bila nguzo, anaweza kuwa binadamu (Yesu)? Yesu katahiriwa, kusujudu, alivaa kanzu, alilia, alilala na alikuwa fundi seremala. Mungu wa Alpha na Omega hawezi kuwa wa namna hiyo. Mungu gang dhaifu.

    • @Mahershalalhashbazi-kf6xi
      @Mahershalalhashbazi-kf6xi 3 месяца назад +1

      @@jabirkasunzu6841
      Mr Jabir hebu nifafanulie hii hadhith sahihi imeandikwa vitabu vifuatavyo vya Kiisilamu;
      Muslim,Imani,302;Bukhari 97/24,10/29;Hanbal III/1
      One day of Judgement,Allah will open his leg and show his thigh to the prophet (S.A.W) to prove his Identity.
      Allah atafunua nguo yake amuonyeshe Muhammad paja lake,kumhakikishia kwa alama iliyo ktk paja lake;
      Allah hakuzaa,Wala hakuzaliwa,Wala Hana wa kufanana naye: .Kumbe anavaa nguo, na ana mguu na una alama?
      Vipi ni Mungu Allah?
      Ni jibu then nitakujibu kuhusu mashaka uliyonayo kwa Maandiko

    • @ismailmaulid1616
      @ismailmaulid1616 2 месяца назад

      Hananja yupo makini na majibu yake lusekelo mropokaji Mungu ashamuacha muda​@@jabirkasunzu6841

    • @ismailmaulid1616
      @ismailmaulid1616 2 месяца назад

      ​@@jabirkasunzu6841maelezo mengi lakini hauna hoja soma Biblia kwa mafunuo usisome kama gazeti Yesu mwenyewe amewaita nyinyi ni vipofu Mnamasikio lkin hamsikii, mnamacho lakini humuoni
      Nandio maana Biblia ni fumbo ambalo linafunuliwa na Biblia yenyewe
      YESU MWENYEWE ANASEMA MIMI NA BABA NI MMOJA✅ NILIKUWEPO KABLA YA ADAMU✅ NATUMFANYE MTU KWA MFANO WETU✅

  • @benjaminmiselya2622
    @benjaminmiselya2622 3 месяца назад +3

    Hahaha vitabu vya wakoloni vitawasubua Sana wenye kitahu chao wametulia Sasa nyie munahangaika🤣🤣🤣🤣

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 2 месяца назад

      MYAHUDI ALIWAHI KUTAWALA NCHI GANI AFRICA BOYA WEWE? AU ULIAMBIWA UKRISTO ULIANZISHWA NA WAZUNGU? 🤣🤣UKRISTO ULIANZA BAADA YA YESU KUONDOKA, WALE WALIOMUAMINI KRISTO WAKAJIITA WAKRISTO WAKIWEMO WAFUASI WA YESU...MFANO MMOJA TU NI MTAKATIFU PETER/SIMEON, ALIFARIKI VATICAN HUKO ALIANZISHA KANISA, WATU WAKAENDELEAZA (WAROMA)....WAFUASI WA YESU WALIUAWA WAKISAMBAZA INJILI DUNIANI, NA UNAJUA FIKA KUWA BIBLIA NZIMA NI KUHUSU MUNGU NA WAISRAELI, NA NI HAO WAISRAEL/WAYAHUDI WALIOSAMBAZA UKRISTO...BIBLIA ILIANDIKWA KIYAHUDI , ARAMIC, KIGIRIKI...KABLA YA KUTAFSIRIWA KWA LUGHA NYNGNE....KWAHYO WAZUNGU NAO WALIPEWA WAKAIPOKEA DINI NA WAO WAKAISAMBAZA DUNIANI....UKRISTO NI DINI ILIANZISHWA NA WAYAHUDI WENYEWE (WAFUASI WA YESU) NA AKINA PAULO....ACHA KUKARIRI

  • @Issa-ud6sy
    @Issa-ud6sy 3 месяца назад +1

    Mzee Hannanja silimu uwe muislam,mbona unajielewa tu, unakwama wapi?