YESU SI MUNGU MASKOFU WAMJIA JUU MZEE WA UPAKO
HTML-код
- Опубликовано: 3 июн 2024
- #GRC kwa mzee wa upako (Athony Lusekelo)
Follow our Social Media:
FB: / mzeewaupakotzz
IG: / mzeewaupako_tz
TIKTOK: / mzee__wa__upako
Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda.
Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia runinga ya channel ten na zaidi ya watu milioni 1.7 wanaungana na Mzee wa upako kupitia majukwaa yake ya mitandao ya kijamii ulimwenguni.
Mzee wa upako anaweza kusikika 24/7 kwenye channel zake za RUclips Mzee wa upako na TUTASHINDA CHURCH. Ungana na Askofu Antony Lusekelo kwenye Instagram Mzeewaupakotz.
Haqq siku zote inakaa juu, Ahsant mzee Allah akuongoze ktk uislam
Baba uko sawa nakubali na unatuelimisha hiyo kazi ni ngumu sana mungu akutie nguvu
Asante cheef Kwa mafundisho yako
Yesu ni Mungu. Isaya 6: 9
Hakuna hajaye Kwa Baba ila Kwa njia ya MIMI.
FILIPO alijibiwa.
Hakuna atakayeelewa haya ila MTEULE TUU.
Daaaaaa hakuna ajae kwa baba ila kwa njia yangu??? Kweli kaka Akyoo hapo mimi cjaelewa kifungu hiki kinanichanganyaga sn
Mzee wa upoko ni muukweli
Yesu ni Mungu.
Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani.
Isaya 9:6
Ww hushasema mtoto amezaliwa huo ni mpango wa Paulo Yesu katabiriwa na malaika gabrieli na hutabiri huo aliyopewa bikira maria kuwa hatapa mtoto na mtoto huyo jina lake hataitwa Yesu sasa huo mpango wa mtoto amezaliwa jina Emanuel ni mpango wa wapagani waliokupeni dini ukisoma matendo ya mitume 11:25-26 hutapata jibu
Mungu hajazaliwa na yeyote wote waliozaliwa na mwanamke siku zao za kuishi ni chache Mungu hana mwisho
mungu haonekani na bibilia inaema vivyo na atakae muona mungu anakufa sasa iweje yesu awe mungu
acha kukalili
someni maandiko
jamani, acheni mambo ya kurithi
Tutumie akili zetu mungu alizotupa,, mungu atatuuliza tulizitumiaje
Kwahio mungu alimuumba maria ikisha maria akamzaa mungu na kumnyonyesha. Ikisha mungu akakamatwa na binaadam akauliwa na binaadam 😂. Yani mnaona kama kungu ni kipande cha nguru eeh
Ukweli tusiopenda kusikia
Mungu atatutia nguvu hata mbuyu ulianza kama mchicha
Ungekua unajua vyema maandiko unpeeled kuwa huu si ukweli ni upotofu. Wanafunzi wake wakamuuliza unasema unakwenda kwa baba tuonyeshe basi huyo baba, akasema nalikua nanyi siku zote hamkunijua? Lakini maeneo mengi tu anajitanabaisha kuwa mimi niko ambae niko, mimi ni alfa na omega. Lakini maandiko yanathibitisha kuwa Yesu ni Mungu, ukitamani tuyachakate nambie tuendelee nikuthibitishie.
soma Yohana Sur ya 1 yote hapo utaelewa uungu waYesu
@@joshuandone468 kweli lakini hakusema yeye ni Mungu... ndio point yake anakusudia Kwa Nafasi yake yesu kulinganisha na Sisi wanaadam Daraja yake ipo Juu, ila kwa Mungu Hafanani nae. I think Hapo ndio Anakusudia.
Allah akuongoze zaid.imebaki sehem ndogo tu utakua umenyoooka mzeee
Hakika upo saw yesu sio mungu na ana sifa ya uungu wala usimuingize yesu kwenye mtihani siku ya kihama aulizwe na mwenyez mung
Kwani wewe unajua hiyo kiama Nani atahukumu
Naye neno ni Mungu, naye neno akafanyika mwili, yaani wakristo wa siku hizi jau kweli
Sio wote,.Wale aliojifunua kwao wanamjua na kumuelewa ,achana na huyu mtumishi ambaye anahararisha kutoelewa kwake,mathayo 11;27
Na Kila jicho litamwona, na hao waliomchoma watamwona, YESU NI MUNGU KWELI KUTOKA KATIKA MUNGU KWELI,!!!!!
@user-wq4pl5dv6b
Ukisoma Biblia kwa utashi wako hutaelewa kaa hivyo hivyo.Au tafuta watu wakuelesmishe.kwa nini Ni Neno.Kwa maana Mungu aliumba kilakitu kwa neno vitu vikawa.Ila wewe kibinadamu huwezi tamka vitu vikawa ndio maana yake.
❤❤❤❤❤❤Kipawa nilichonacho nilikitamani kutoka kwako miaka hiyo. Nilimuomba Mungu akanishushia biblia ikanijaa kichwani, chanzo ni ww.
Jeremiah 10:16,19
Warumi 9:5
Watu hawakumwelewa Yesu na hawata mwelewa milele. Yesu alikuwa binadamu aslimia 100.
Ajidhaniae amesimama aangalie asianguke
Tabiriwa na manabii kama yeye waseme utakuja,zaliwa kiroho kama yeye,fufua watu kama yeye,tebea juu ya maji uliwa na usurubiwe fufuka siku ya tatu na upae angani ikielekea paradiso,kama wewe ni mwanadamu kama yeye.
Yesu ni mtume kwa wana waisirail tu sio dunia nzima
Kwaiyo we unapindana na yesu au maana yeye anasema ametumwa ulimwenguni ili kuokoa ulimwwngu
@@rogatimushi689 bibilia haibadiliki maneno yanakua ni yale yale binadamu ndio mnabadilisha
Pole
Isaya 9:6 ...Naye ataitwa jina lake, mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu
Yesu siyo Mungu. Mwenyezi Mungu ni mmiliki wa Ulimwengu ambao una Sayari zaidi ya Trillion 2 na anajua vilivyomo. Yesu si mmiliki na hajui chochote kuhusu Sayari zote hizo. Mungu hana hofu lakini Yesu alikuwa na hofu wakati alipopata habari anatafutwa na maadui zake. Mungu hajaribiwi na Ibilisi lakini Yesu alijaribiwa.
Yesu alimjibu shetani usimjaribu bwana Mungu wako , soma biblia wewe
Yesu ni Nabi tu wala siyo Mungu
Mungu hawez kutahiriwa na kiumbe wake aliemuumba,
Swadakta
Yeye mwenyewe anaajichanganya, mwili wa nyama aliotoka nao kwa Mariam aliuvua palepale alipokufa msalabani, anasema Yohana baada ya miaka 30 alimwona akiwa na. Mwili mwinginekabisa, mwili wenye utukufu, anasema alipomwona alizimia, kwanini azimie maana alimona Mungu. Tizama sifa alizomwona nazo, macho kama miale ya moto, sura kama mwangaza wa jua, sauti kama wa maji mengi nk. Alikua na mwili wa utukufu, mtukufu ni Mungu tu, kwanini manajichanganya afu mnasifiana.
Kwahilo lakusema alitahiriwa ni pale unapomwangalia Yesu kibinadamu, ili akubalike katika jamii ilibidi afanye hayo ili aishi na jamii Ile ili aweze kuwahubiri Habari njema, hebu fikiria kama angekuja kwa utukufu ule wa mbinguni, nani angeweza kuwa nae karibu? Alijishusha ili injili itufikie. Kwahiyo usimwangalie Yesu in a human perspective. Mtizame Yesu yule aliekuwepo kabla ya Ibrahim babu yenu, Yule Yesu katika Yohana 1:1-14, yaani pale tunaposoma kuwa alikua neno nae neno alikua kwa Mungu, nae neno alikua Mungu, akafanyika Mwili nao utukufu wake tukaona kama utukufu wa mwana pekee wa Mungu. Jamani kwanini hatusomi maandiko? Yaani alikua kwa Mungu nae alikua Mungu. Ila sisi wanadamu tukamwona kama mwana pekee wa Mungu. Mnataka andiko lipi mjue kuwa alikua Mungu? Ee baba wasamehe maana hawajui wayafikiriayo.
Nyie ambae mmeshawahi kumuona Mungu tuambie anafananaje?
Nachomkubali @mzeewaupako anajenga msingi WA andiko Kwa uwazi WA maandiko MENGI. Sio Hawa wengine wanaotegemea andiko Moja lisilo WAZI. Wewe ni Chief Bhana
kwani mshikaji wa upako kakosea wapi mi kwangu sahihi mungu na yesu vitu viwili tofauti
Uko sawa mzee kabisa yani mungu hazai hajulikani alivyo yesu watu waliish nae na alimuomba Amuepushe na baraa
Yes yes yes
Yesu ni mungu nafsi ya pili na kabla hajapewa jina la yesu alifahamika kama neno na alikuwepa kabla ya dunia kuumbwa rejea kitabu Cha mwazo mungu amesema na tumfanye mtu Kwa sura na mfano wetu alikuwa na yesu
Upofu wako ndio kikombe chako , ila Mungu n mwenye rehema anakuhtj Zaid so sisi kama wakristo tunakuombea uione rehema n pia jifunze kusoma bible vizuri n roho mtakatifu akuongoze uyapate mafunuo haya , maaan mpinga kristo yupo mbioni n anafamya kazi
Lazima wapinga kristo watokee ili unabii hutimie kwahiyo Mimi sishangai hiyo kwasababu na juwa tupo mwisho wa Dunia na hayo yote yalisha tabiliwa habali za mpinga kristo
Ata yesu alimulizaa petro watu wabasema mimi ni nani petro hakamjibu wew n mwana wa Mungu ulie hai🙏🙏🙏
bado kitambo kidogo tu mzee wa upako utaweka wazi ukweli wote
Huo ndo ukweli mungu Hali,hashikwi na usingizi Wala kulala,halii Bali anachukia,hacheki Bali anafurahi,haendi chooni, hakuzaa Wala kuzaliwa, hafi Wala kufufuka ukiona mungu unaye muabudu anasifa hizo jua umepotea upotofu ulio dhahiri Wala usilete ujanja ujanja maana wengine wanasema Kuna mungu wa mwili na waroho uo ni uhuni2
Wapinga Kristo
Unatakiwa na wewe uje na hoja
Hajampinga Kristo msikilize vzr
kabisaa biblia ilituonyaa!!!
Neno la Mungu lilikuwa kwa Yesu.Tulizungumza na Mungu aslimia100 kupitia kinnywa cha Yesu.aliye muona yesu alimuonaMungu kwa NENO sio kwa kwa umbo.na ukweli huu haupingiki.Lusekelo yuko sawa.
Upo sahihi sana. Na Mungu akuongoze uzidi kuiona nuru.Ameen.
Lkn ktk yote najua Mungu uliniamin kuwa kwenye kizazi hiki,one day nitayang'oa haya mana mi nyundo yako uliniambia wazi YESU WEWE NI MUNGU
Acha kufundisha watu uongo sifa zote alizanazo Mungu na Yesu anazo,utahukumiwa Kwa kufundisha uongo huu sijui kama unafundisha Kwa kutokujua au Kwa kujua
Yesu ni mungu tu wew endelea kukataa na yesu ndiyo njia ya kweli na uzima na mtu aendi kwa baba pasipo yeye yesu ambaye ni njia
❤❤❤❤❤❤❤❤
Amen
Na ni mwisho wa sheria
Sasa ndio nini 😂😂😂
Ati Yesu ni mungu, mtu haendi kwa baba pasina yeye😂😂😂
Ndio maana Mungu akaanda Jehanam kwa vilaza wajinga kama hawa.
Jitathmini mzee
Mungu mmoja nafsi 3. Yesu ni Mungu, Mungu ni neno, Yesu Kristo ni neno, akafanyika mwili akaja kwetu nasi tukaona utukufu wake!! Yohana 1:1-14, Yesu ni Mungu Warumi 9:5, Tito2:13. Kwahiyo mzee wa upako ww ni mpinga Kristo. Utaangamia tu!! Tubu leo hii.
Haangamii Kwa Kusema Ukweli. Soma Vizuri Biblia Au Sikiliza Ama Uliza Haujui. Usinukuu vipengelee Usivyovijua. Rudia Maneno YEROI YEROI MBONA Umeniacha Bwana Yesu Akiomba Msaada Kwa Mungu Wake.
@@nurdinmfamau3493 No no no. Isaya 9:6 Yesu ni Mungu mwenye nguvu mfalme wa amani. Huwezi kuniambia kitu ww mpagani usiyejua kitu.
@@user-cw8zn2dn6m Eti Yesu Ni Mungu Na Mungu Atakuwa Nani.
@@user-cw8zn2dn6m Ukweli Umekufikia Mengineyo. Mengine Aongoki Mwenye Kuongoka Ila Kwa Matakwa Ya Wetu Mlezi.
@@nurdinmfamau3493 andika point vizuri maana hata sikuelewi. Andika kitu vizuri ueleweke
UBARIKIWE SANA KWA UKWELI MZEE WA UPAKO
roho ya upotevu hujishuhudia yenyewe kwa yenyewe.
Nabii Isaya alishaona na kutabiri kuja kwa "MUNGU MWENYE NGUVU", lakini kizazi cha leo baadhi wanapinga kwa kutokujua kwao, kwa kuwa hawamjui Mungu, wanajitumikia wenyewe na kuwadanganya wengi ili waangamie pamoja naye.
Yohana akumuona yesu, aliona mfano wa mwanadamu, Mzee muongo sana uyu yani anasoma Biblia aelewi sijui ni mlevi😂😂
Lusekelo yupo sahihi na namuomba MUNGU hamfishe hali ya kuwa muislam
Safi sana
Mzee wa upako ako sawa kabisa na watu wajifunze kutoka kwake
Umesema kweli Mzee wa Upako Mwenyezi Mungu akubariki.
Kanisa ni moja tu ,katoliki la mitume
Ivyo mungu ndoanapenda
Soma Neno Mzee wa upako wafilipi 2:5-10 jitahid kujua unabii acha kudanganya watu wa Mungu na msome nabii Isaya vzr
Yesu anakuona tubu KWA maneno Kuntu yasiyo na uzima wala uhai ,wewe sio mkristo ,sis wakristo tunaamini Yesu ni MUNGU , MUNGU pamoja nasi baba wa Milele
soma vizuri biblia.huyo mzee wa upako anatoa maandiko kwa biblia.someni biblia ndio utajua
Huyo ni tapeli tyu yupo ki pesa
Token KWA huyu mtu ni NABII WA MWONGO ,Yesu ni MUNGU MILELE
We bado sana nakushauri usikubali kusomewa maandiko jitahidi kuchunguza maandiko matakatifu ya biblia utamjua yesu ni nani maana yeye mwenyewe anasema ni mwana wa mungu
Pombe sio nzuri jamani.
Yesu anajitambulisha kuwa ni Mungu Yohana 1:1_5
Wewe hauna akili nasiyo kosa LAKO na ndio maana bibilia zenu Kila mwaka Zinabadilishwa vifungu mala viongezwe mala viondowe ondeo vifungu siyo kola lako Mimi nawalaumu mashetani wanao potosha watu 😢😢😢😢
Nakukubali sana mungu akupe umri mrefu
Amen Mzee nakubaliana nawe mia kwa mia ubarikiwa
Ukweli huu wakristo wengi hawataki kuusikia.Mzee wa upako umefanya sehemu yako,kazi ni kwao wenyewe siku ya kiama hutawajibika ktk jambo kama hili.Mara nyingi maubili yako huwa ni logical sana.M.Mungu akuongoze uzidi kuiona na kuisimamia kweli.
Karibu kwenye Uislamu, muda unaisha huo.
Achana na music, muda ndio huu. Mjadala uungu wa Yesu kwenye Uislamu una majibu ya wazi.
uko sawa
Kweli kuyaelewa maandiko kazi ngum sana aiseee
WARAKA WA KWANZA WA YOHANA 5
20 NASI TWAJUA KWAMBA MWANA WA MUNGU AMEKWISHA KUJA, NAYE AMETUPA AKILI KWAMBA TUMJUE YEYE ALIYE WA KWELI, NASI TUMO NDANI YAKE YEYE ALIYE WA KWELI, YAANI, NDANI YA MWANA WAKE YESU KRISTO, HUYU NDIYE MUNGU WA KWELI, NA UZIMA WA MILELE.
AMEN!!!💖💖💖
Hatauseme yesu si mungu haitamufanya kutokuwa mungu danganya Hao ambao hawasome maandiko
si ndo hapo, sana sana anajizidishia dhambi za uzeeni tu, kamwe biblia haitobadilika
Mzee umekuwa mwiba sana kwenye ukristo aise
Tatizo la afya akili ni hatari mno hasa wajiitao viongozi😢
W tz wanaoamin wahubiri badala ya kusoma neno la mungu ni janga hyu aombewe amepagawa au konyagi yohn 1 kulikuwako neno naye neno alikuwako yesu ni mungu mwanzo na mwisho
Amena amen
kabisa yaani hata sijaimaliza kuangalia upuuzi wake wote....namuona kichaa tu maana msingi wangu biblia...akawadanganye vipofu wenzie huko kanisani kwake
Mzee wa upako kazi unayo umekosea sn
Mathayo 1:23
[23]Tazama, bikira atachukua mimba,
Naye atazaa mwana;
Nao watamwita jina lake Imanueli;
Yaani, Mungu pamoja nasi.
Huyu Mzee n mlevi yesu ni mungu utake usitake
Wewe ndo mlevi 😅😅😅😅 Mungu hajazaliwa na mwanamke yeyote Yule.... Mungu hajafa wala mungu hawezi kupigwa na kusurubiwa na aliyowaumba 😅😅😅😅😅 una feli wapi wewe..... Yesu siyo mungu na wala Hana uungu wowote ule
Ati mungu wenu kazaliwa na mwanamke?
##Wazungu wamedanganywa vibaya
Ni kweli kabisa Yesu siyo Mungu na wala hakuhusika ktk kuumba hii dunia ila ni nabii wa Mwenyezi Mungu na wanaomwita mungu na kumuabudu hiyo ni imani yao maana kuna wanaoabudu ng'ombe na masanamu pia wapo hivyo msimlaumu mzee wa upako
HEBU KAFIE MBELE HUKO, DINI YAKO YENYEWE INATEGEMEA MSINGI WA WAKRISTO, YAN BILA UKRISTIO HAMNA DINI NYIE MAKAFIR YA KIISLAM... QURAN KARIBU YOTE TUMEJAA SISI NA WAYAHUDI TU JINSI MNAVOWASHWA🤣
YESU NABII HUKO KWENU KWA BABAKO SIO KWA WAKRISTO!! NIACHE KUWAAMINI MITUME WA YESU WALIOKULA NAE MEZA MOJA NIMUAMINI CHIZI MMOJA ALOKUJA MIAKA 600 BAADA YA YESU KUPAA MBINGUNI🤣🤣 HATA SURA HAJAWAHI KUMUONA WALA KUMUOTA, ANAAMKA TU ANAKUJA KUWADANGANYA, CHIZI LINGINE NI HILI LA 2024 LISILOJUA LINACHOKIABUDU..AFU LIKIWA KANISANI KWAKE LINAOMBEA WATU KWA JINA LA YESU HUYO HUYO ANAESEMA SIO MUNGU NI MTUME...MXIUUU!!!!
MNAABUDU MUNGU MWEZI, MNAABUDU JIWE NA KULIBUSU KUOMBA KWENE HILO JIWE, WEHU WENZENU KIBAO WANAKUFA KWA KUKANYAGANA HUKO MECCA KISA KUGOMBANIA KULIGUSA JIWE🤣🤣🤣🤣🤣🤣HEBU KAMRUSHIE SHETANI MAWE HUKO MECCA USITUPGIE KELELE..KATIKA WATU WALIOCHANGANYIKIWA NA KUDANGANYWA NA MUDI NYIE WAISLAM..HAMNA DINI !!!
Haki mandiko yana timia wewe unaye sema yesu sii Mungu naa fikiri wewe ni mzee wamashatani
Nimekuelewa Lusekelo
YESU NI MUNGU.
Kaeni Chocho hikinikiama chawazungu nawarabu wanahiria afrka wafanye wananaume kuzaa kama mwanamuke mungu tusahidie namajaribu yawatu weupe
Yesu ni Mungu mzee, ebu tutafsirie na izi mistar :😂
Wahebrania 1:19
Warumi 9:5
Jeremiah 10:16,19 na subiri
Mkristo anayejielewa live leo nimemuona RUclips, sio hawa maandaz wanaowakta wachungaji mitume mamae
Kumtambua kisha kumshusha Yesu kunahitaji matumizi ya akili huku moyo ukautenga kando hapa ndipo roho mtakatifu wa kweli utahisi anakuingia na kuelewa zaidi...
Mzee wa upako uko sahihi kabisa
😂😂uyu mzee kashachanganyikiwa maneno yote ayo anayoyatoa ni ili apewe hela duuh ndo maana kafulia
Sahihi kabisa we mzee Uwe MUISLAMU TU Allah akuongoze YESU Ni nabii tu wa MUNGU
Mzee wa upako ni mlevi hap kagonga bia zake anaongea utumbo utumbo kalale wewe
Sisi WaUNITARIAN japo nasi pia ni wa Kristo kwetu sisi Yesu si Mungu ila Mtoto au Mtumishi wa Mungu au Kikomboleo pekee na kiumbe wa Kwanza wa Mungu na ni mpatanishi pekee kati yetu na Mungu yaani Yahwe. Someni Biblia Yote enyi wakristo jina.
Wanao amini yesu ni Mungu siyo kola lao wanastali maombi na kuelimishwa vizuli
Akili nying
Ukiona unapongezwa na wapinzani wako, yaani wenye imani nyingine, jiulize umekosea wapi.
Huo ndio ukweli hata kama unauma mmedanywa sana
Watu wamemsubilia shakahola yesu hajaja wamekufa kwa njaaa jamani Imani nyingine hizi 😭😭
Kweli upako umekuishia na ufunuo wa roho mtakatifu huna kabisa huelewi hata mafumbo ya neno la Mungu
Mzee wa upoko umeongea ukwel wachie wanunu ukwel ndo uwo
a simple reminder:go thru a metaphysics of IAM whereby Jesus himself said he is AIM
Huwezi kumjua Yesu bila yeye kujifunua kwako,mathayo 11;27 Yesu ni Mungu hakuna ubishi.Wanaochanganywa na maandiko nawashauri waokoke kwanza,waishi maisha matakatifu,wajazwe Roho mtakatifu ndipo watamuelewa vizuri 1wakorinto 2;13(atajifunua kwao).Waulize wanaosema kuwa Yesu si Mungu ,waliambiwa na Roho mtktfu au wamepotelea kwenye maandiko? Maandiko hayo yameandikwa kwa uongozi wa Roho mt ,hivyo ukitaka kuyaelewa lazima ujazwe Roho yuleyule maana hayatambuliki kwa hekima ya kibinadamu,thx
Kwahiyo wewe mbwa unataka kusema yaani wewe wakati unakuja dunia ulipita sehemu ya siri ya mama yako na huyo mungu wako yesu wakati anakuja duniani alipita sehemu ya siri ya Mariam yaani kwenye uchi wa Mariam Sasa wewe siutakuwa ni taira huyo ni mungu gani wa hivyo
@@hajimasoud7210 kwa njia hiyo ya matusi na ubishi hautamjua Yesu,naomba akusamehe nami nimekusamehe maana hujui au unajua nguvu zinazokutumia..Mpokee Yesu,uliishi neno lake ,ujazwe Roho mtakatifu ,atajitamburisha kwako ya kuwa yeye ni nani,Asante ,Mungu akupe kipawa cha wokovu shekh
Acha matusi aisee, wewe unaupofu wa kimaandiko, Yesu mwenyewe anakwambia mimi ni alfa na omega yaani wamwanzo na wamwisho, tena anasema kabla ya Ibrahim mimi niko, Yesu anatamka kwa kinywa chake. Sasa kama alikuwepo kabla hata ya Babu wa mababu Ibrahim, wewe unamzungumziaje kibinadam, tizama usiwe kama wale waliomsurubisha maana alipojitanabaisha kuwa yu Mungu waliona amekufuru nakumsema kuwa anafundisha mafundisho mapotofu maana walikua na idea kama zako, Tumwombe atuokoe nakututoa kwenye upofu huo. Usitukane maana u naupofu wakimaandiko.
@@hajimasoud7210 umemuelewa vzuri uliekomenti kwake au unajibu kudhihirisha ujinga wako amejibu alichosoma na wewe lete ulichosoma sio ushabiki na ujinga ujinga lete maandiko yanayozuia yesu kutokua Mungu kwenye biblia
Amen amen
MUNGU YUKO NDANI YA YESU NA YESU YUKO NDANI YA MUNGU NA SISI TUNAOMWAMINI YESU KRISTO KAMA BWANA NA MWOKOZI WETU TUKO NDANI YA YESU NA YEYE YUKO NDANI YETU. ......
Eti kazaliwa mtoto yaani kuna siku mungu alikuwa ni mtoto anafungwa nepi kama watoto wengine jamani mataira punguzei huo utaira wenu
nakuuliza swali wewe mjiga mtume muhamad aliyemwambia yeye ni mtume ni nani nijibu tafadhali
Mungu ni mmoja katika nafsi tatu ;baba ,mwana na roho mtakatifu
Biblia inakushangaa.
Yesu Ni Mungu Na ni Hakika Yoh 1:1
Dah kiukwel nimesikitika sana , kuona hadi wateule nao wameanza kukengeuka
Mathayo 3:17 na tazama sauti kutoka MBINGUNI ikasikika ikisema huyu ndiye mwanangu nipendezwaye naye msikilizeni yeye
❤❤❤❤
Mzee wa upako kachanganikiwa,,, acha konyagiii mzeee
Biblia inakushangaa.
Mbele ya mungu wako unasimama kwa maneno yako.
Lakini baada ya kukusikiliza inaonesha wewe ni sawa na Askofu Nikodemu aliyeshangaa uzaliwa wa mtu mara ya pili. Kwako
(1) Hujaokoka
(2) Kwa kukosa wokovu umeshindwa kujua pande mbili za Yesu, ambazo hayo aliyosema Yesu alikuwa wapi na akiwa nani.
(3) Kwa kukosa kwako kuokoka umeshindwa kujua Yesu Duniani alikuja kufanya nini. Sikushangai, kwani ndani ya nyumba kuna vyombo vyenye thamani na visivyo na thamani. Huna uwezo wa kubadilisha kitu, YESU NI MUNGU.
HANA AKILI, NA HAJUI ROHO NGAPI ZA WATU KAZIPOTOSHA!! KAZI YAKE ANATAWANYA KONDOO WA BWANA , HUYU NI MPINGA KRISTO NAWAONEA HURUMA HAO WANAOENDA KANISANI KWAKE
Unavosema nisawa kabisa yesu ajawahi kuwepo duniani nistor za hao manguruwe na mungu mnaemuabudu sioyule original vais x vesa
Huyu mzee wa upako ni shangingi flani la kikristo.maandiko yapo wazi kabisa Yesu ndie huyohuyo Mungua katika utendaji wake wa kazi
Akili huna
Mkichaa wewe unaepinga ukweli yesu ni mtume
In Catholic mungu ni mmoja katika nafsi tofauti ni tafakari ya dominika ya pili ILIYOPITA .huyu amepotea tayar ni kumwombea tu apate mwanga
@@FadhilaHakimungu Moja katika nafsi tatu huo ni upangani ulioingizwa kanisani mwaka wa 3 baada ya yesu kuondoka mbona Kila kitu Kiko wazi anaempinga Mzee wa upako ampinge kwa hoja
Kwan mzee wa upako anatumia biblia gani maana maandiko yanayosema Yesu ni Mungu yamejaa tele., au kama anatumia quran pia aseme maana ndyo kitabu kinachopinga uungu wa Yesu
Sasa kama anasema Yesu si Mungu anasubiri nini kanisani.,si afadhali aende msikitini akaungane na waislamu na quran kupinga uungu wa Yesu!!!
Pambana na zambi watu wajitakase YESU analudi kwani masomo Yamaha antoney lusekelo koo wewe umeona ndio somo lakubabadilisha my iyo Y😂ao ao 5:57 washilika wako wapi mitume namanabi I walisimama kuya zungumuzia
Kumbe ni Katoto kwenye maandiko .aibu sana hiii huyu siwezi msikiliza
Ulivyo kuwa masikin alikuwa mungu leo syo Mungu pouw
Lazma waje juu anaharibu biashara zao makanisa yanalipa sana kwa wachungaji
Inasikitisha sana
Biblia inakushangaa.
Me nawahurumia hao washirika wake maana kipofu akimuongoza kipofu mwenzie wote watatumbukia shimoni
@@StevenPeter-sg7zo kabisaa, waumini vichaa tu
Na ndio maana unaelewa?
Ila unaidhalilisha sana diploma yako. Hujui hata maana ya Neno akavaa mwili????
Ndomana Mungu alimpa kila mtu akili na macho ukiamua kusikiliza uvundo ni wewe tu! "Mungu akasema naTUMFANYE MTU KWA SURA YETU" Mwanzo 1:26 mwanzo 11:7 isaya 6:8 tito 2: 13 ufunuo1:3-6 ukipotea umechagua
Yesu kristo ndiye pekee ambaye siyo mtume wala nabii bali ni mwana pekee wa Mungu na amepewa kuhukumu siku ya mwisho,na alikuwepo kabla ulimwengu hujaumbwa.
Acha longolongo dogo, mbona kwa kinywa chake alitamka yeye haijui siku ya mwisho ila ni Mungu pekee ndiyo anaijua. Vichwa vyenu vimejaa mavi nini ?
😂😂😂😂
Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani.
Isaya 9:6
❤❤❤
Nice nice
Umemaliza kila kitu comrade
😀😀😀😀
Watumishi wa mungu mnatuchanganya mengine wanasema yesu ni mungu wengine wanasema hapana
unachanganywa na nani si uvivu wako mwenyew,,, kwani biblia huioni ukaisoma? mkizoea kulishwa kila kitu ndo mnakumbana na chizi kamA hilo hapo linajiita lichungaji...mbingu unaitafuta peke yako na utaenda peke yako....soma neno uache uvivu, na usimamie neno!! sisi tunaojiita wakristo msingi wetu ni Mungu katika utatu..(Mungu baba, Mungu mwana na Roho mtakatifu)..mbali na hapo huwezi kujiita mkristo tafuta dini yako...ukitoa kimoja hapo basi sio mkristo,,,Yesu ni MUNGU KATIKA MWILI, (Yohana 1;14, 1Timotheo 3;16 acha kutegemea wachungaji, pigana kivyako...
Kwani kuna mtu kasema Yesu ni Mungu
Daaah hili fundisho gumu ila ni ukweli
Uongo
Ukweli
Umepotea na unapoteza watu