YESU SI MUNGU MASKOFU WAMJIA JUU MZEE WA UPAKO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 июн 2024
  • #GRC kwa mzee wa upako (Athony Lusekelo)
    Follow our Social Media:
    FB: / mzeewaupakotzz
    IG: / mzeewaupako_tz
    TIKTOK: / mzee__wa__upako
    Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda.
    Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia runinga ya channel ten na zaidi ya watu milioni 1.7 wanaungana na Mzee wa upako kupitia majukwaa yake ya mitandao ya kijamii ulimwenguni.
    Mzee wa upako anaweza kusikika 24/7 kwenye channel zake za RUclips Mzee wa upako na TUTASHINDA CHURCH. Ungana na Askofu Antony Lusekelo kwenye Instagram Mzeewaupakotz.

Комментарии • 478

  • @abuurasshaad
    @abuurasshaad 16 дней назад +5

    Haqq siku zote inakaa juu, Ahsant mzee Allah akuongoze ktk uislam

  • @RamadhanpMwakilasa-di5hc
    @RamadhanpMwakilasa-di5hc Месяц назад +12

    Baba uko sawa nakubali na unatuelimisha hiyo kazi ni ngumu sana mungu akutie nguvu

  • @BensonNevele
    @BensonNevele Месяц назад +7

    Asante cheef Kwa mafundisho yako

  • @StephanoAkyoo
    @StephanoAkyoo Месяц назад +6

    Yesu ni Mungu. Isaya 6: 9
    Hakuna hajaye Kwa Baba ila Kwa njia ya MIMI.
    FILIPO alijibiwa.
    Hakuna atakayeelewa haya ila MTEULE TUU.

    • @NLCG100
      @NLCG100 14 дней назад

      Daaaaaa hakuna ajae kwa baba ila kwa njia yangu??? Kweli kaka Akyoo hapo mimi cjaelewa kifungu hiki kinanichanganyaga sn

  • @kizasebaziga8135
    @kizasebaziga8135 Месяц назад +8

    Mzee wa upoko ni muukweli

  • @elijahmediaservices
    @elijahmediaservices Месяц назад +25

    Yesu ni Mungu.
    Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani.
    Isaya 9:6

    • @HansiKatumbi
      @HansiKatumbi Месяц назад +3

      Ww hushasema mtoto amezaliwa huo ni mpango wa Paulo Yesu katabiriwa na malaika gabrieli na hutabiri huo aliyopewa bikira maria kuwa hatapa mtoto na mtoto huyo jina lake hataitwa Yesu sasa huo mpango wa mtoto amezaliwa jina Emanuel ni mpango wa wapagani waliokupeni dini ukisoma matendo ya mitume 11:25-26 hutapata jibu

    • @kimwerimhando3383
      @kimwerimhando3383 Месяц назад

      Mungu hajazaliwa na yeyote wote waliozaliwa na mwanamke siku zao za kuishi ni chache Mungu hana mwisho

    • @thekingdragon8358
      @thekingdragon8358 Месяц назад +1

      mungu haonekani na bibilia inaema vivyo na atakae muona mungu anakufa sasa iweje yesu awe mungu

    • @farajisewe7416
      @farajisewe7416 Месяц назад +1

      acha kukalili
      someni maandiko
      jamani, acheni mambo ya kurithi
      Tutumie akili zetu mungu alizotupa,, mungu atatuuliza tulizitumiaje

    • @dinocastico8495
      @dinocastico8495 29 дней назад +1

      Kwahio mungu alimuumba maria ikisha maria akamzaa mungu na kumnyonyesha. Ikisha mungu akakamatwa na binaadam akauliwa na binaadam 😂. Yani mnaona kama kungu ni kipande cha nguru eeh

  • @jamesmwakyusa7719
    @jamesmwakyusa7719 Месяц назад +18

    Ukweli tusiopenda kusikia

    • @shabanramadhan7632
      @shabanramadhan7632 Месяц назад

      Mungu atatutia nguvu hata mbuyu ulianza kama mchicha

    • @WinfridaCreitus-bf3zn
      @WinfridaCreitus-bf3zn 26 дней назад

      Ungekua unajua vyema maandiko unpeeled kuwa huu si ukweli ni upotofu. Wanafunzi wake wakamuuliza unasema unakwenda kwa baba tuonyeshe basi huyo baba, akasema nalikua nanyi siku zote hamkunijua? Lakini maeneo mengi tu anajitanabaisha kuwa mimi niko ambae niko, mimi ni alfa na omega. Lakini maandiko yanathibitisha kuwa Yesu ni Mungu, ukitamani tuyachakate nambie tuendelee nikuthibitishie.

    • @joshuandone468
      @joshuandone468 23 дня назад

      soma Yohana Sur ya 1 yote hapo utaelewa uungu waYesu

    • @iysser
      @iysser 3 дня назад

      ​@@joshuandone468 kweli lakini hakusema yeye ni Mungu... ndio point yake anakusudia Kwa Nafasi yake yesu kulinganisha na Sisi wanaadam Daraja yake ipo Juu, ila kwa Mungu Hafanani nae. I think Hapo ndio Anakusudia.

  • @husseinbhatia434
    @husseinbhatia434 Месяц назад +4

    Allah akuongoze zaid.imebaki sehem ndogo tu utakua umenyoooka mzeee

  • @KhamisiMohamed
    @KhamisiMohamed Месяц назад +14

    Hakika upo saw yesu sio mungu na ana sifa ya uungu wala usimuingize yesu kwenye mtihani siku ya kihama aulizwe na mwenyez mung

    • @josephatmahango3869
      @josephatmahango3869 Месяц назад

      Kwani wewe unajua hiyo kiama Nani atahukumu

    • @user-wq4pl5dv6b
      @user-wq4pl5dv6b Месяц назад

      Naye neno ni Mungu, naye neno akafanyika mwili, yaani wakristo wa siku hizi jau kweli

    • @user-hk1dz8de2x
      @user-hk1dz8de2x Месяц назад

      Sio wote,.Wale aliojifunua kwao wanamjua na kumuelewa ,achana na huyu mtumishi ambaye anahararisha kutoelewa kwake,mathayo 11;27

    • @malkiarosemuhando3310
      @malkiarosemuhando3310 Месяц назад

      Na Kila jicho litamwona, na hao waliomchoma watamwona, YESU NI MUNGU KWELI KUTOKA KATIKA MUNGU KWELI,!!!!!

    • @andrewmhagama9816
      @andrewmhagama9816 Месяц назад

      ​@user-wq4pl5dv6b
      Ukisoma Biblia kwa utashi wako hutaelewa kaa hivyo hivyo.Au tafuta watu wakuelesmishe.kwa nini Ni Neno.Kwa maana Mungu aliumba kilakitu kwa neno vitu vikawa.Ila wewe kibinadamu huwezi tamka vitu vikawa ndio maana yake.

  • @neemamajana3078
    @neemamajana3078 Месяц назад +3

    ❤❤❤❤❤❤Kipawa nilichonacho nilikitamani kutoka kwako miaka hiyo. Nilimuomba Mungu akanishushia biblia ikanijaa kichwani, chanzo ni ww.

  • @DaudiSangella
    @DaudiSangella 19 дней назад +4

    Watu hawakumwelewa Yesu na hawata mwelewa milele. Yesu alikuwa binadamu aslimia 100.

    • @rizikilukali1558
      @rizikilukali1558 14 дней назад

      Ajidhaniae amesimama aangalie asianguke

    • @NicholasMacharia-nt5jf
      @NicholasMacharia-nt5jf 12 дней назад

      Tabiriwa na manabii kama yeye waseme utakuja,zaliwa kiroho kama yeye,fufua watu kama yeye,tebea juu ya maji uliwa na usurubiwe fufuka siku ya tatu na upae angani ikielekea paradiso,kama wewe ni mwanadamu kama yeye.

  • @bakariadamu6068
    @bakariadamu6068 Месяц назад +5

    Yesu ni mtume kwa wana waisirail tu sio dunia nzima

    • @rogatimushi689
      @rogatimushi689 Месяц назад

      Kwaiyo we unapindana na yesu au maana yeye anasema ametumwa ulimwenguni ili kuokoa ulimwwngu

    • @bakariadamu6068
      @bakariadamu6068 Месяц назад

      @@rogatimushi689 bibilia haibadiliki maneno yanakua ni yale yale binadamu ndio mnabadilisha

    • @cadiaOnesmo-hd5lr
      @cadiaOnesmo-hd5lr Месяц назад

      Pole

  • @amedeusmtui5495
    @amedeusmtui5495 13 дней назад +3

    Isaya 9:6 ...Naye ataitwa jina lake, mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu

  • @user-ly2tv5og1n
    @user-ly2tv5og1n Месяц назад +3

    Yesu siyo Mungu. Mwenyezi Mungu ni mmiliki wa Ulimwengu ambao una Sayari zaidi ya Trillion 2 na anajua vilivyomo. Yesu si mmiliki na hajui chochote kuhusu Sayari zote hizo. Mungu hana hofu lakini Yesu alikuwa na hofu wakati alipopata habari anatafutwa na maadui zake. Mungu hajaribiwi na Ibilisi lakini Yesu alijaribiwa.

    • @user-wq4pl5dv6b
      @user-wq4pl5dv6b Месяц назад

      Yesu alimjibu shetani usimjaribu bwana Mungu wako , soma biblia wewe

    • @nduwimanaamidou4009
      @nduwimanaamidou4009 23 дня назад +1

      Yesu ni Nabi tu wala siyo Mungu

  • @shaameshaame2837
    @shaameshaame2837 Месяц назад +7

    Mungu hawez kutahiriwa na kiumbe wake aliemuumba,

    • @HappyKiteboarder-du9th
      @HappyKiteboarder-du9th Месяц назад

      Swadakta

    • @WinfridaCreitus-bf3zn
      @WinfridaCreitus-bf3zn 26 дней назад +1

      Yeye mwenyewe anaajichanganya, mwili wa nyama aliotoka nao kwa Mariam aliuvua palepale alipokufa msalabani, anasema Yohana baada ya miaka 30 alimwona akiwa na. Mwili mwinginekabisa, mwili wenye utukufu, anasema alipomwona alizimia, kwanini azimie maana alimona Mungu. Tizama sifa alizomwona nazo, macho kama miale ya moto, sura kama mwangaza wa jua, sauti kama wa maji mengi nk. Alikua na mwili wa utukufu, mtukufu ni Mungu tu, kwanini manajichanganya afu mnasifiana.

    • @WinfridaCreitus-bf3zn
      @WinfridaCreitus-bf3zn 26 дней назад

      Kwahilo lakusema alitahiriwa ni pale unapomwangalia Yesu kibinadamu, ili akubalike katika jamii ilibidi afanye hayo ili aishi na jamii Ile ili aweze kuwahubiri Habari njema, hebu fikiria kama angekuja kwa utukufu ule wa mbinguni, nani angeweza kuwa nae karibu? Alijishusha ili injili itufikie. Kwahiyo usimwangalie Yesu in a human perspective. Mtizame Yesu yule aliekuwepo kabla ya Ibrahim babu yenu, Yule Yesu katika Yohana 1:1-14, yaani pale tunaposoma kuwa alikua neno nae neno alikua kwa Mungu, nae neno alikua Mungu, akafanyika Mwili nao utukufu wake tukaona kama utukufu wa mwana pekee wa Mungu. Jamani kwanini hatusomi maandiko? Yaani alikua kwa Mungu nae alikua Mungu. Ila sisi wanadamu tukamwona kama mwana pekee wa Mungu. Mnataka andiko lipi mjue kuwa alikua Mungu? Ee baba wasamehe maana hawajui wayafikiriayo.

    • @anoldpotentin2446
      @anoldpotentin2446 16 дней назад

      Nyie ambae mmeshawahi kumuona Mungu tuambie anafananaje?

  • @smprotz
    @smprotz 15 дней назад +1

    Nachomkubali @mzeewaupako anajenga msingi WA andiko Kwa uwazi WA maandiko MENGI. Sio Hawa wengine wanaotegemea andiko Moja lisilo WAZI. Wewe ni Chief Bhana

  • @castorchipalo84
    @castorchipalo84 Месяц назад +3

    kwani mshikaji wa upako kakosea wapi mi kwangu sahihi mungu na yesu vitu viwili tofauti

  • @Mwalamidihimbwa
    @Mwalamidihimbwa Месяц назад +1

    Uko sawa mzee kabisa yani mungu hazai hajulikani alivyo yesu watu waliish nae na alimuomba Amuepushe na baraa

  • @alimzee
    @alimzee Месяц назад +3

    Yes yes yes

  • @josephmtikile-yf3pq
    @josephmtikile-yf3pq День назад

    Yesu ni mungu nafsi ya pili na kabla hajapewa jina la yesu alifahamika kama neno na alikuwepa kabla ya dunia kuumbwa rejea kitabu Cha mwazo mungu amesema na tumfanye mtu Kwa sura na mfano wetu alikuwa na yesu

  • @KornelNyenzi
    @KornelNyenzi Месяц назад +3

    Upofu wako ndio kikombe chako , ila Mungu n mwenye rehema anakuhtj Zaid so sisi kama wakristo tunakuombea uione rehema n pia jifunze kusoma bible vizuri n roho mtakatifu akuongoze uyapate mafunuo haya , maaan mpinga kristo yupo mbioni n anafamya kazi

  • @barackamosi4116
    @barackamosi4116 Месяц назад +3

    Lazima wapinga kristo watokee ili unabii hutimie kwahiyo Mimi sishangai hiyo kwasababu na juwa tupo mwisho wa Dunia na hayo yote yalisha tabiliwa habali za mpinga kristo

  • @Faya884
    @Faya884 Месяц назад +1

    Ata yesu alimulizaa petro watu wabasema mimi ni nani petro hakamjibu wew n mwana wa Mungu ulie hai🙏🙏🙏

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 Месяц назад +3

    bado kitambo kidogo tu mzee wa upako utaweka wazi ukweli wote

  • @rashidimahmud8605
    @rashidimahmud8605 23 дня назад +1

    Huo ndo ukweli mungu Hali,hashikwi na usingizi Wala kulala,halii Bali anachukia,hacheki Bali anafurahi,haendi chooni, hakuzaa Wala kuzaliwa, hafi Wala kufufuka ukiona mungu unaye muabudu anasifa hizo jua umepotea upotofu ulio dhahiri Wala usilete ujanja ujanja maana wengine wanasema Kuna mungu wa mwili na waroho uo ni uhuni2

  • @ustawiwetu
    @ustawiwetu Месяц назад +3

    Wapinga Kristo

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu Месяц назад

      Unatakiwa na wewe uje na hoja

    • @neemamajana3078
      @neemamajana3078 Месяц назад

      Hajampinga Kristo msikilize vzr

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 21 день назад

      kabisaa biblia ilituonyaa!!!

  • @DaudiSangella
    @DaudiSangella 19 дней назад

    Neno la Mungu lilikuwa kwa Yesu.Tulizungumza na Mungu aslimia100 kupitia kinnywa cha Yesu.aliye muona yesu alimuonaMungu kwa NENO sio kwa kwa umbo.na ukweli huu haupingiki.Lusekelo yuko sawa.

  • @user-bw5pp3vk3r
    @user-bw5pp3vk3r 10 дней назад

    Upo sahihi sana. Na Mungu akuongoze uzidi kuiona nuru.Ameen.

  • @nehemiagwalusako596
    @nehemiagwalusako596 Месяц назад +1

    Lkn ktk yote najua Mungu uliniamin kuwa kwenye kizazi hiki,one day nitayang'oa haya mana mi nyundo yako uliniambia wazi YESU WEWE NI MUNGU

  • @user-cm5xv7gb2e
    @user-cm5xv7gb2e 23 часа назад

    Acha kufundisha watu uongo sifa zote alizanazo Mungu na Yesu anazo,utahukumiwa Kwa kufundisha uongo huu sijui kama unafundisha Kwa kutokujua au Kwa kujua

  • @AyubuBenard
    @AyubuBenard Месяц назад +2

    Yesu ni mungu tu wew endelea kukataa na yesu ndiyo njia ya kweli na uzima na mtu aendi kwa baba pasipo yeye yesu ambaye ni njia

    • @kanisalatecjcusofficial
      @kanisalatecjcusofficial 24 дня назад

      ❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @kanisalatecjcusofficial
      @kanisalatecjcusofficial 24 дня назад

      Amen

    • @drelizakilili
      @drelizakilili 16 дней назад

      Na ni mwisho wa sheria

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 2 дня назад

      Sasa ndio nini 😂😂😂
      Ati Yesu ni mungu, mtu haendi kwa baba pasina yeye😂😂😂
      Ndio maana Mungu akaanda Jehanam kwa vilaza wajinga kama hawa.

  • @petermwenda6470
    @petermwenda6470 22 дня назад +1

    Jitathmini mzee

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m Месяц назад +2

    Mungu mmoja nafsi 3. Yesu ni Mungu, Mungu ni neno, Yesu Kristo ni neno, akafanyika mwili akaja kwetu nasi tukaona utukufu wake!! Yohana 1:1-14, Yesu ni Mungu Warumi 9:5, Tito2:13. Kwahiyo mzee wa upako ww ni mpinga Kristo. Utaangamia tu!! Tubu leo hii.

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 Месяц назад

      Haangamii Kwa Kusema Ukweli. Soma Vizuri Biblia Au Sikiliza Ama Uliza Haujui. Usinukuu vipengelee Usivyovijua. Rudia Maneno YEROI YEROI MBONA Umeniacha Bwana Yesu Akiomba Msaada Kwa Mungu Wake.

    • @user-cw8zn2dn6m
      @user-cw8zn2dn6m Месяц назад

      @@nurdinmfamau3493 No no no. Isaya 9:6 Yesu ni Mungu mwenye nguvu mfalme wa amani. Huwezi kuniambia kitu ww mpagani usiyejua kitu.

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 Месяц назад

      @@user-cw8zn2dn6m Eti Yesu Ni Mungu Na Mungu Atakuwa Nani.

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 Месяц назад

      @@user-cw8zn2dn6m Ukweli Umekufikia Mengineyo. Mengine Aongoki Mwenye Kuongoka Ila Kwa Matakwa Ya Wetu Mlezi.

    • @user-cw8zn2dn6m
      @user-cw8zn2dn6m Месяц назад

      @@nurdinmfamau3493 andika point vizuri maana hata sikuelewi. Andika kitu vizuri ueleweke

  • @user-ob9mc5zc1k
    @user-ob9mc5zc1k Месяц назад +5

    UBARIKIWE SANA KWA UKWELI MZEE WA UPAKO

    • @emmanuelmwakibolwa735
      @emmanuelmwakibolwa735 24 дня назад

      roho ya upotevu hujishuhudia yenyewe kwa yenyewe.
      Nabii Isaya alishaona na kutabiri kuja kwa "MUNGU MWENYE NGUVU", lakini kizazi cha leo baadhi wanapinga kwa kutokujua kwao, kwa kuwa hawamjui Mungu, wanajitumikia wenyewe na kuwadanganya wengi ili waangamie pamoja naye.

  • @johannesssamsonambogo4125
    @johannesssamsonambogo4125 17 дней назад +1

    Yohana akumuona yesu, aliona mfano wa mwanadamu, Mzee muongo sana uyu yani anasoma Biblia aelewi sijui ni mlevi😂😂

  • @HansiKatumbi
    @HansiKatumbi Месяц назад +1

    Lusekelo yupo sahihi na namuomba MUNGU hamfishe hali ya kuwa muislam

  • @FaustineRichard-kk5xt
    @FaustineRichard-kk5xt Месяц назад +1

    Safi sana

  • @adamcharo9327
    @adamcharo9327 День назад

    Mzee wa upako ako sawa kabisa na watu wajifunze kutoka kwake

  • @abbymdee8920
    @abbymdee8920 15 дней назад

    Umesema kweli Mzee wa Upako Mwenyezi Mungu akubariki.

  • @user-tw6pk6vf4v
    @user-tw6pk6vf4v Месяц назад +1

    Ivyo mungu ndoanapenda

  • @user-jo2qv2qw9x
    @user-jo2qv2qw9x 10 дней назад

    Soma Neno Mzee wa upako wafilipi 2:5-10 jitahid kujua unabii acha kudanganya watu wa Mungu na msome nabii Isaya vzr

  • @user-pq6wd1nj4d
    @user-pq6wd1nj4d Месяц назад +2

    Yesu anakuona tubu KWA maneno Kuntu yasiyo na uzima wala uhai ,wewe sio mkristo ,sis wakristo tunaamini Yesu ni MUNGU , MUNGU pamoja nasi baba wa Milele

    • @mkilwaabdul9230
      @mkilwaabdul9230 Месяц назад

      soma vizuri biblia.huyo mzee wa upako anatoa maandiko kwa biblia.someni biblia ndio utajua

    • @josephmtikile-yf3pq
      @josephmtikile-yf3pq День назад

      Huyo ni tapeli tyu yupo ki pesa

  • @user-pq6wd1nj4d
    @user-pq6wd1nj4d Месяц назад +2

    Token KWA huyu mtu ni NABII WA MWONGO ,Yesu ni MUNGU MILELE

    • @rogatimushi689
      @rogatimushi689 Месяц назад

      We bado sana nakushauri usikubali kusomewa maandiko jitahidi kuchunguza maandiko matakatifu ya biblia utamjua yesu ni nani maana yeye mwenyewe anasema ni mwana wa mungu

  • @Hapomwanzo
    @Hapomwanzo 28 дней назад +1

    Pombe sio nzuri jamani.

  • @isayakiyeyeu6295
    @isayakiyeyeu6295 Месяц назад +1

    Yesu anajitambulisha kuwa ni Mungu Yohana 1:1_5

    • @idinado-wk3lx
      @idinado-wk3lx Месяц назад

      Wewe hauna akili nasiyo kosa LAKO na ndio maana bibilia zenu Kila mwaka Zinabadilishwa vifungu mala viongezwe mala viondowe ondeo vifungu siyo kola lako Mimi nawalaumu mashetani wanao potosha watu 😢😢😢😢

  • @user-tr1jm1ux9f
    @user-tr1jm1ux9f 11 дней назад

    Nakukubali sana mungu akupe umri mrefu

  • @kelvinmurithi7255
    @kelvinmurithi7255 22 дня назад

    Amen Mzee nakubaliana nawe mia kwa mia ubarikiwa

  • @SwedyMohamed-vt5zm
    @SwedyMohamed-vt5zm 9 дней назад

    Ukweli huu wakristo wengi hawataki kuusikia.Mzee wa upako umefanya sehemu yako,kazi ni kwao wenyewe siku ya kiama hutawajibika ktk jambo kama hili.Mara nyingi maubili yako huwa ni logical sana.M.Mungu akuongoze uzidi kuiona na kuisimamia kweli.

  • @Sheba4651
    @Sheba4651 2 дня назад

    Karibu kwenye Uislamu, muda unaisha huo.
    Achana na music, muda ndio huu. Mjadala uungu wa Yesu kwenye Uislamu una majibu ya wazi.

  • @emanuelyohana3049
    @emanuelyohana3049 10 дней назад

    uko sawa

  • @jumasukari7866
    @jumasukari7866 Месяц назад

    Kweli kuyaelewa maandiko kazi ngum sana aiseee

  • @user-hw7ce8gf6v
    @user-hw7ce8gf6v 8 дней назад

    WARAKA WA KWANZA WA YOHANA 5
    20 NASI TWAJUA KWAMBA MWANA WA MUNGU AMEKWISHA KUJA, NAYE AMETUPA AKILI KWAMBA TUMJUE YEYE ALIYE WA KWELI, NASI TUMO NDANI YAKE YEYE ALIYE WA KWELI, YAANI, NDANI YA MWANA WAKE YESU KRISTO, HUYU NDIYE MUNGU WA KWELI, NA UZIMA WA MILELE.
    AMEN!!!💖💖💖

  • @user-hr7ep8zt2r
    @user-hr7ep8zt2r 21 день назад +1

    Hatauseme yesu si mungu haitamufanya kutokuwa mungu danganya Hao ambao hawasome maandiko

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 21 день назад

      si ndo hapo, sana sana anajizidishia dhambi za uzeeni tu, kamwe biblia haitobadilika

  • @Gospelsingersandactors
    @Gospelsingersandactors 13 дней назад

    Mzee umekuwa mwiba sana kwenye ukristo aise

  • @SamsunSamsung-dq4bc
    @SamsunSamsung-dq4bc 29 дней назад +1

    Tatizo la afya akili ni hatari mno hasa wajiitao viongozi😢

  • @user-fw8wm2xd8x
    @user-fw8wm2xd8x Месяц назад +6

    W tz wanaoamin wahubiri badala ya kusoma neno la mungu ni janga hyu aombewe amepagawa au konyagi yohn 1 kulikuwako neno naye neno alikuwako yesu ni mungu mwanzo na mwisho

    • @kanisalatecjcusofficial
      @kanisalatecjcusofficial 24 дня назад

      Amena amen

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 21 день назад

      kabisa yaani hata sijaimaliza kuangalia upuuzi wake wote....namuona kichaa tu maana msingi wangu biblia...akawadanganye vipofu wenzie huko kanisani kwake

  • @kikongajoel2693
    @kikongajoel2693 17 дней назад

    Mzee wa upako kazi unayo umekosea sn

  • @simonzakaria4770
    @simonzakaria4770 Месяц назад

    Mathayo 1:23
    [23]Tazama, bikira atachukua mimba,
    Naye atazaa mwana;
    Nao watamwita jina lake Imanueli;
    Yaani, Mungu pamoja nasi.

  • @stevenialbert5033
    @stevenialbert5033 21 день назад +1

    Huyu Mzee n mlevi yesu ni mungu utake usitake

    • @humbimusisa-db1tg
      @humbimusisa-db1tg 20 дней назад +1

      Wewe ndo mlevi 😅😅😅😅 Mungu hajazaliwa na mwanamke yeyote Yule.... Mungu hajafa wala mungu hawezi kupigwa na kusurubiwa na aliyowaumba 😅😅😅😅😅 una feli wapi wewe..... Yesu siyo mungu na wala Hana uungu wowote ule

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 2 дня назад

      Ati mungu wenu kazaliwa na mwanamke?
      ##Wazungu wamedanganywa vibaya

  • @mohamedjakaya5355
    @mohamedjakaya5355 15 дней назад

    Ni kweli kabisa Yesu siyo Mungu na wala hakuhusika ktk kuumba hii dunia ila ni nabii wa Mwenyezi Mungu na wanaomwita mungu na kumuabudu hiyo ni imani yao maana kuna wanaoabudu ng'ombe na masanamu pia wapo hivyo msimlaumu mzee wa upako

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 14 дней назад

      HEBU KAFIE MBELE HUKO, DINI YAKO YENYEWE INATEGEMEA MSINGI WA WAKRISTO, YAN BILA UKRISTIO HAMNA DINI NYIE MAKAFIR YA KIISLAM... QURAN KARIBU YOTE TUMEJAA SISI NA WAYAHUDI TU JINSI MNAVOWASHWA🤣

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 14 дней назад

      YESU NABII HUKO KWENU KWA BABAKO SIO KWA WAKRISTO!! NIACHE KUWAAMINI MITUME WA YESU WALIOKULA NAE MEZA MOJA NIMUAMINI CHIZI MMOJA ALOKUJA MIAKA 600 BAADA YA YESU KUPAA MBINGUNI🤣🤣 HATA SURA HAJAWAHI KUMUONA WALA KUMUOTA, ANAAMKA TU ANAKUJA KUWADANGANYA, CHIZI LINGINE NI HILI LA 2024 LISILOJUA LINACHOKIABUDU..AFU LIKIWA KANISANI KWAKE LINAOMBEA WATU KWA JINA LA YESU HUYO HUYO ANAESEMA SIO MUNGU NI MTUME...MXIUUU!!!!

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 14 дней назад

      MNAABUDU MUNGU MWEZI, MNAABUDU JIWE NA KULIBUSU KUOMBA KWENE HILO JIWE, WEHU WENZENU KIBAO WANAKUFA KWA KUKANYAGANA HUKO MECCA KISA KUGOMBANIA KULIGUSA JIWE🤣🤣🤣🤣🤣🤣HEBU KAMRUSHIE SHETANI MAWE HUKO MECCA USITUPGIE KELELE..KATIKA WATU WALIOCHANGANYIKIWA NA KUDANGANYWA NA MUDI NYIE WAISLAM..HAMNA DINI !!!

  • @StevenMutale-xt9yj
    @StevenMutale-xt9yj 16 дней назад

    Haki mandiko yana timia wewe unaye sema yesu sii Mungu naa fikiri wewe ni mzee wamashatani

  • @ThomasLucas-rh7wf
    @ThomasLucas-rh7wf 19 дней назад

    Nimekuelewa Lusekelo

  • @VictorChisanza-uf4ly
    @VictorChisanza-uf4ly 20 дней назад +1

    YESU NI MUNGU.

  • @user-ei3iy5fu1i
    @user-ei3iy5fu1i 11 дней назад

    Kaeni Chocho hikinikiama chawazungu nawarabu wanahiria afrka wafanye wananaume kuzaa kama mwanamuke mungu tusahidie namajaribu yawatu weupe

  • @rockevarist4299
    @rockevarist4299 18 дней назад

    Yesu ni Mungu mzee, ebu tutafsirie na izi mistar :😂
    Wahebrania 1:19
    Warumi 9:5
    Jeremiah 10:16,19 na subiri

  • @hamiskayombe6061
    @hamiskayombe6061 19 дней назад

    Mkristo anayejielewa live leo nimemuona RUclips, sio hawa maandaz wanaowakta wachungaji mitume mamae

  • @mhandomhina5503
    @mhandomhina5503 20 дней назад

    Kumtambua kisha kumshusha Yesu kunahitaji matumizi ya akili huku moyo ukautenga kando hapa ndipo roho mtakatifu wa kweli utahisi anakuingia na kuelewa zaidi...

  • @KaristusiMnyagala-ci8kb
    @KaristusiMnyagala-ci8kb Месяц назад +5

    Mzee wa upako uko sahihi kabisa

  • @gbreezy_tz
    @gbreezy_tz Месяц назад +1

    😂😂uyu mzee kashachanganyikiwa maneno yote ayo anayoyatoa ni ili apewe hela duuh ndo maana kafulia

  • @SekaMaster45
    @SekaMaster45 Месяц назад +3

    Sahihi kabisa we mzee Uwe MUISLAMU TU Allah akuongoze YESU Ni nabii tu wa MUNGU

    • @PeterJuliusSabuni
      @PeterJuliusSabuni 23 дня назад +1

      Mzee wa upako ni mlevi hap kagonga bia zake anaongea utumbo utumbo kalale wewe

  • @user-wl9ry9tk7p
    @user-wl9ry9tk7p Месяц назад +1

    Sisi WaUNITARIAN japo nasi pia ni wa Kristo kwetu sisi Yesu si Mungu ila Mtoto au Mtumishi wa Mungu au Kikomboleo pekee na kiumbe wa Kwanza wa Mungu na ni mpatanishi pekee kati yetu na Mungu yaani Yahwe. Someni Biblia Yote enyi wakristo jina.

    • @idinado-wk3lx
      @idinado-wk3lx Месяц назад

      Wanao amini yesu ni Mungu siyo kola lao wanastali maombi na kuelimishwa vizuli

  • @majondejohali5259
    @majondejohali5259 Месяц назад +3

    Akili nying

  • @user-ft4cp2tt5c
    @user-ft4cp2tt5c Месяц назад +2

    Ukiona unapongezwa na wapinzani wako, yaani wenye imani nyingine, jiulize umekosea wapi.

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu Месяц назад

      Huo ndio ukweli hata kama unauma mmedanywa sana

    • @ZuhuraMwanafuno
      @ZuhuraMwanafuno Месяц назад

      Watu wamemsubilia shakahola yesu hajaja wamekufa kwa njaaa jamani Imani nyingine hizi 😭😭

  • @DenisSylivester
    @DenisSylivester 21 день назад

    Kweli upako umekuishia na ufunuo wa roho mtakatifu huna kabisa huelewi hata mafumbo ya neno la Mungu

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi 17 дней назад +1

    Mzee wa upoko umeongea ukwel wachie wanunu ukwel ndo uwo

  • @pepchallanga3626
    @pepchallanga3626 14 дней назад

    a simple reminder:go thru a metaphysics of IAM whereby Jesus himself said he is AIM

  • @user-hk1dz8de2x
    @user-hk1dz8de2x Месяц назад +17

    Huwezi kumjua Yesu bila yeye kujifunua kwako,mathayo 11;27 Yesu ni Mungu hakuna ubishi.Wanaochanganywa na maandiko nawashauri waokoke kwanza,waishi maisha matakatifu,wajazwe Roho mtakatifu ndipo watamuelewa vizuri 1wakorinto 2;13(atajifunua kwao).Waulize wanaosema kuwa Yesu si Mungu ,waliambiwa na Roho mtktfu au wamepotelea kwenye maandiko? Maandiko hayo yameandikwa kwa uongozi wa Roho mt ,hivyo ukitaka kuyaelewa lazima ujazwe Roho yuleyule maana hayatambuliki kwa hekima ya kibinadamu,thx

    • @hajimasoud7210
      @hajimasoud7210 Месяц назад +1

      Kwahiyo wewe mbwa unataka kusema yaani wewe wakati unakuja dunia ulipita sehemu ya siri ya mama yako na huyo mungu wako yesu wakati anakuja duniani alipita sehemu ya siri ya Mariam yaani kwenye uchi wa Mariam Sasa wewe siutakuwa ni taira huyo ni mungu gani wa hivyo

    • @user-hk1dz8de2x
      @user-hk1dz8de2x Месяц назад

      @@hajimasoud7210 kwa njia hiyo ya matusi na ubishi hautamjua Yesu,naomba akusamehe nami nimekusamehe maana hujui au unajua nguvu zinazokutumia..Mpokee Yesu,uliishi neno lake ,ujazwe Roho mtakatifu ,atajitamburisha kwako ya kuwa yeye ni nani,Asante ,Mungu akupe kipawa cha wokovu shekh

    • @WinfridaCreitus-bf3zn
      @WinfridaCreitus-bf3zn 26 дней назад

      Acha matusi aisee, wewe unaupofu wa kimaandiko, Yesu mwenyewe anakwambia mimi ni alfa na omega yaani wamwanzo na wamwisho, tena anasema kabla ya Ibrahim mimi niko, Yesu anatamka kwa kinywa chake. Sasa kama alikuwepo kabla hata ya Babu wa mababu Ibrahim, wewe unamzungumziaje kibinadam, tizama usiwe kama wale waliomsurubisha maana alipojitanabaisha kuwa yu Mungu waliona amekufuru nakumsema kuwa anafundisha mafundisho mapotofu maana walikua na idea kama zako, Tumwombe atuokoe nakututoa kwenye upofu huo. Usitukane maana u naupofu wakimaandiko.

    • @yessesamson741
      @yessesamson741 26 дней назад

      ​@@hajimasoud7210 umemuelewa vzuri uliekomenti kwake au unajibu kudhihirisha ujinga wako amejibu alichosoma na wewe lete ulichosoma sio ushabiki na ujinga ujinga lete maandiko yanayozuia yesu kutokua Mungu kwenye biblia

    • @kanisalatecjcusofficial
      @kanisalatecjcusofficial 24 дня назад

      Amen amen

  • @zenajuma1745
    @zenajuma1745 22 дня назад +1

    MUNGU YUKO NDANI YA YESU NA YESU YUKO NDANI YA MUNGU NA SISI TUNAOMWAMINI YESU KRISTO KAMA BWANA NA MWOKOZI WETU TUKO NDANI YA YESU NA YEYE YUKO NDANI YETU. ......

  • @hajimasoud7210
    @hajimasoud7210 Месяц назад +1

    Eti kazaliwa mtoto yaani kuna siku mungu alikuwa ni mtoto anafungwa nepi kama watoto wengine jamani mataira punguzei huo utaira wenu

    • @elihurumamushi2521
      @elihurumamushi2521 Месяц назад

      nakuuliza swali wewe mjiga mtume muhamad aliyemwambia yeye ni mtume ni nani nijibu tafadhali

  • @FadhilaHaki
    @FadhilaHaki Месяц назад

    Mungu ni mmoja katika nafsi tatu ;baba ,mwana na roho mtakatifu

  • @jameswissa9981
    @jameswissa9981 8 дней назад

    Yesu Ni Mungu Na ni Hakika Yoh 1:1

  • @davidmaisely7487
    @davidmaisely7487 17 дней назад

    Dah kiukwel nimesikitika sana , kuona hadi wateule nao wameanza kukengeuka

  • @PeterNMzee
    @PeterNMzee Месяц назад +1

    Mathayo 3:17 na tazama sauti kutoka MBINGUNI ikasikika ikisema huyu ndiye mwanangu nipendezwaye naye msikilizeni yeye

  • @oseamkama6264
    @oseamkama6264 Месяц назад +1

    Mzee wa upako kachanganikiwa,,, acha konyagiii mzeee

  • @burkardkayombo4608
    @burkardkayombo4608 4 дня назад

    Mbele ya mungu wako unasimama kwa maneno yako.
    Lakini baada ya kukusikiliza inaonesha wewe ni sawa na Askofu Nikodemu aliyeshangaa uzaliwa wa mtu mara ya pili. Kwako
    (1) Hujaokoka
    (2) Kwa kukosa wokovu umeshindwa kujua pande mbili za Yesu, ambazo hayo aliyosema Yesu alikuwa wapi na akiwa nani.
    (3) Kwa kukosa kwako kuokoka umeshindwa kujua Yesu Duniani alikuja kufanya nini. Sikushangai, kwani ndani ya nyumba kuna vyombo vyenye thamani na visivyo na thamani. Huna uwezo wa kubadilisha kitu, YESU NI MUNGU.

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 2 дня назад

      HANA AKILI, NA HAJUI ROHO NGAPI ZA WATU KAZIPOTOSHA!! KAZI YAKE ANATAWANYA KONDOO WA BWANA , HUYU NI MPINGA KRISTO NAWAONEA HURUMA HAO WANAOENDA KANISANI KWAKE

  • @SokratesStallin
    @SokratesStallin 29 дней назад

    Unavosema nisawa kabisa yesu ajawahi kuwepo duniani nistor za hao manguruwe na mungu mnaemuabudu sioyule original vais x vesa

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 Месяц назад +1

    Huyu mzee wa upako ni shangingi flani la kikristo.maandiko yapo wazi kabisa Yesu ndie huyohuyo Mungua katika utendaji wake wa kazi

    • @krizofrancisco5310
      @krizofrancisco5310 Месяц назад

      Akili huna

    • @HappyKiteboarder-du9th
      @HappyKiteboarder-du9th Месяц назад

      Mkichaa wewe unaepinga ukweli yesu ni mtume

    • @FadhilaHaki
      @FadhilaHaki Месяц назад

      In Catholic mungu ni mmoja katika nafsi tofauti ni tafakari ya dominika ya pili ILIYOPITA .huyu amepotea tayar ni kumwombea tu apate mwanga

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu Месяц назад

      ​@@FadhilaHakimungu Moja katika nafsi tatu huo ni upangani ulioingizwa kanisani mwaka wa 3 baada ya yesu kuondoka mbona Kila kitu Kiko wazi anaempinga Mzee wa upako ampinge kwa hoja

    • @StevenPeter-sg7zo
      @StevenPeter-sg7zo Месяц назад

      Kwan mzee wa upako anatumia biblia gani maana maandiko yanayosema Yesu ni Mungu yamejaa tele., au kama anatumia quran pia aseme maana ndyo kitabu kinachopinga uungu wa Yesu
      Sasa kama anasema Yesu si Mungu anasubiri nini kanisani.,si afadhali aende msikitini akaungane na waislamu na quran kupinga uungu wa Yesu!!!

  • @apostel.jofreymkumbwa6092
    @apostel.jofreymkumbwa6092 Месяц назад +1

    Pambana na zambi watu wajitakase YESU analudi kwani masomo Yamaha antoney lusekelo koo wewe umeona ndio somo lakubabadilisha my iyo Y😂ao ao 5:57 washilika wako wapi mitume namanabi I walisimama kuya zungumuzia

  • @kilianmtotowamungu3885
    @kilianmtotowamungu3885 22 дня назад

    Kumbe ni Katoto kwenye maandiko .aibu sana hiii huyu siwezi msikiliza

  • @user-vo5zg1bj3i
    @user-vo5zg1bj3i 15 дней назад

    Ulivyo kuwa masikin alikuwa mungu leo syo Mungu pouw

  • @user-ks4hh8jb6k
    @user-ks4hh8jb6k 20 дней назад

    Lazma waje juu anaharibu biashara zao makanisa yanalipa sana kwa wachungaji

  • @dr.mandelamakakalamd4488
    @dr.mandelamakakalamd4488 Месяц назад

    Inasikitisha sana

    • @jabirkasunzu6841
      @jabirkasunzu6841 Месяц назад

      Biblia inakushangaa.

    • @StevenPeter-sg7zo
      @StevenPeter-sg7zo Месяц назад +1

      Me nawahurumia hao washirika wake maana kipofu akimuongoza kipofu mwenzie wote watatumbukia shimoni

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 21 день назад

      @@StevenPeter-sg7zo kabisaa, waumini vichaa tu

  • @mchopacalvin2986
    @mchopacalvin2986 Месяц назад +1

    Na ndio maana unaelewa?
    Ila unaidhalilisha sana diploma yako. Hujui hata maana ya Neno akavaa mwili????

  • @SamhhIlo-ib4ij
    @SamhhIlo-ib4ij 24 дня назад +1

    Ndomana Mungu alimpa kila mtu akili na macho ukiamua kusikiliza uvundo ni wewe tu! "Mungu akasema naTUMFANYE MTU KWA SURA YETU" Mwanzo 1:26 mwanzo 11:7 isaya 6:8 tito 2: 13 ufunuo1:3-6 ukipotea umechagua

  • @ebenezerchurchsupremetv9490
    @ebenezerchurchsupremetv9490 Месяц назад

    Yesu kristo ndiye pekee ambaye siyo mtume wala nabii bali ni mwana pekee wa Mungu na amepewa kuhukumu siku ya mwisho,na alikuwepo kabla ulimwengu hujaumbwa.

    • @maclaudismail6606
      @maclaudismail6606 Месяц назад

      Acha longolongo dogo, mbona kwa kinywa chake alitamka yeye haijui siku ya mwisho ila ni Mungu pekee ndiyo anaijua. Vichwa vyenu vimejaa mavi nini ?

    • @ZuhuraMwanafuno
      @ZuhuraMwanafuno Месяц назад

      😂😂😂😂

  • @elijahmediaservices
    @elijahmediaservices Месяц назад +4

    Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani.
    Isaya 9:6

  • @cosmasnkyami
    @cosmasnkyami 25 дней назад

    Watumishi wa mungu mnatuchanganya mengine wanasema yesu ni mungu wengine wanasema hapana

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 21 день назад

      unachanganywa na nani si uvivu wako mwenyew,,, kwani biblia huioni ukaisoma? mkizoea kulishwa kila kitu ndo mnakumbana na chizi kamA hilo hapo linajiita lichungaji...mbingu unaitafuta peke yako na utaenda peke yako....soma neno uache uvivu, na usimamie neno!! sisi tunaojiita wakristo msingi wetu ni Mungu katika utatu..(Mungu baba, Mungu mwana na Roho mtakatifu)..mbali na hapo huwezi kujiita mkristo tafuta dini yako...ukitoa kimoja hapo basi sio mkristo,,,Yesu ni MUNGU KATIKA MWILI, (Yohana 1;14, 1Timotheo 3;16 acha kutegemea wachungaji, pigana kivyako...

  • @Sostere98
    @Sostere98 15 дней назад

    Kwani kuna mtu kasema Yesu ni Mungu

  • @williamgeorge-hd2tn
    @williamgeorge-hd2tn Месяц назад +1

    Daaah hili fundisho gumu ila ni ukweli

  • @FadhilaHaki
    @FadhilaHaki Месяц назад +1

    Umepotea na unapoteza watu