YESU NI MUNGU AU SIO MUNGU
HTML-код
- Опубликовано: 26 май 2024
- #GRC kwa mzee wa upako (Athony Lusekelo)
Follow our Social Media:
FB: / mzeewaupakotzz
IG: / mzeewaupako_tz
TIKTOK: / mzee__wa__upako
Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda.
Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia runinga ya channel ten na zaidi ya watu milioni 1.7 wanaungana na Mzee wa upako kupitia majukwaa yake ya mitandao ya kijamii ulimwenguni.
Mzee wa upako anaweza kusikika 24/7 kwenye channel zake za RUclips Mzee wa upako na TUTASHINDA CHURCH. Ungana na Askofu Antony Lusekelo kwenye Instagram Mzeewaupakotz.
Uko sahihi mzee wa upako ni sahihi kabisa Yesu siyo Mungu bali ni mwana wa Mungu. Yesu ni kiunganishi kati ya mwnadamu na Mungu baba.
Uko sahihi kabisa Mzee wa upako.Yesu anasomeka akisema" Naenda kwa Mungu wangu aliye Mungu wenu.
Biblia imeandikwa na Wazugu kwa nia zao.Hata kabla ya Biblia, Mungu tulimjua na aliwatendea watu kama walivyomuomba.Mimi hata hilo jina Yesu walilitunga Wagiriki.Ni IESUS CHRISTOS.Maana SUS ni jina la Mungu wa Wagiriki wa kale.Jina halikutoka kwa Mungu.
Ubarikiwe mtumishi kazi nzuri
Nakubali saaana mzee mimi muislam ila nakusikiliza saana na najuwa sikumoja uta silimu 😊
Mzee wa upako sema kweli, mungu ni mmoja tu,jata hivyo yesu mwenywe hakuna sehemu yoyote kwenye biblia aliojiita mungu,hakuna .lakini yesu anasema na uzima wa milele ndio huu wakujue wewe mungu wa pekee na wakweli na yesu kiristo uliye mtuma.
MZEE nakufatilia Sana! Na haya unayoyalingania yamo ndani ya QURAN TAKATIFU! Kitabu cha mwisho alichoteremshiwa Mtume wa mwisho MUHAMMAD S. A. W
Wewe nawe tuondolee kitabu Cha kukopikopi
@@paulmushi2428pole huna unalolijua...
MUNGU anasema katika QURAN TAKATIFU mwambie Paulo mush na wanzake MUNGU NI MMOJA TU! AMETAKASIKA, HAKUZAA WALA HAJAZALIWA, WALA HAFANANISHWI NA KITU CHOCHOTE KILE! MZEE ameamua kuhubiri haki kumtakasa MOLA wake!!, wacha akili ya kukaririshwa! Mfuate MZEE akupe elimu!!
Nan kasema Quran n kitabu Cha Mungu wakati ni mhuni na Malaya,mbakaji fulan aka kaaa na kuandika
@@yustomwaisomania2587 YESSU amesema katika bibilia QURAN TAKATIFU ndio kitakuwa kitabu cha Mwisho Na MUHAMMAD S. A. W 'amemtaja ndani ya BIBILIA kwamba atakuja kufanya kazi hiyo hiyo ya kwrmba MUNGU ni mmoja HAKUZAA wala KUZALIWA na yeye die anaestahili peke yake kuabudiwa!!! . Muombe MZEE MSEKELO awatolee na fundisho hili pia kwani analitambua na kulifahamu vizuri
Yesu mwenyewe hakusema ni
Mungu acheni kukufuru
Very good Bishop. Keep it up
Wafundishe waelewe maana tunatkiwa maana baba anavyofundisha kwamba Yesu sio mungu mumuelewe sana Chifu anavyo fundisha mimi mwenyewe nimemuelewe.
Mzee wa upakoo!!!... Mimi nakwambia hiviii....Soma maandiko vizuri na jifunze upyaa juu ya YESU KRISTO MUNGU MWENYE NGUVU...🙏
Kwa akili huru unaeleweka.Tatizo watu walilishwa itikadi za dini bila maandiko.But mm nimekuelewa mnoo.Hata Yesu msalabani alisema Mungu wangu Mungu wangu mbona umeniacha? Sasa aliyemuacha Yesu hapo ni Mungu Yupi ikiwa Yesu ndio Mungu? Barikiwa sana Mzee
Yani ukichoongea kinaeleweka Kwa wepesi bila ushabiki
Mimi ni Muislamu lakini nakufatilia Sana Mzee WA upako napenda Sana maombez yako waambie hao wenzie Yesu sio mungu wala sio mtoto WA mungu Allah akuongoze IPO siku utakuja kwenye njia ya haki
Njia ya haki ni moja tu nayo ni Yesu kristo,epuka matapeli wengine.
KWA hili,
😂 alishaslim KWA siri.
KWA nini ulijua MIAKA arobaini, lakini unasema leo.
Na Roho MTAKATIFU ni Mungu?
Waambie hao wenzio Mohamed sio nabii Wala allah sio Mungu ,Mungu ni YEHOVA hakikisha unasoma vzr vitabu
Asante kwa kufafanua Jambo Hilo maake limechanganya watu wengi.Ubarikiwe Sana.
46:42 labda abarikiwe na shetani sio mungu
Mstari wa leo : Yohana9:4 Imetupasa kuzifanya kazi zake yeye aliyenipeleka maadamu ni mchana, usiku waja asipoweza mtu kufanya kazi. ( Ni watu WA usku. Hao hawajui maandiko Neno la Mungu moyoni mwao hawana wanaigiza wamelala. Hata Mimi nilikuwa sjui kabisa hata kidogo ila Sasa Neno ninalo YESU KRISTO sio Mungu kabisa bari ni mtoto WA Mungu. Roho WA Mungu alikuwa akitenda KAZI ndani yake. Mungu ni roho.
Tito 2:13 tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;
Tito 2:14 ambaye alijitoa nafsi yake kwa ajili yetu, ili atukomboe na maasi yote, na kujisafishia watu wawe milki yake mwenyewe, wale walio na juhudi katika matendo mema.
Hivi wewe mtu unaakili timamu unaminishwa yessu ni mungu kweli yani mungu kabigwa makwaju na mijeledi na watu aliowaumba mungu kasulubiwa weka akili yako huru udogoni tulilishwa mafunzo saivi ushakuwa tumia akili zako kuelewa bila kufikiria uliolishwa numa
Mwokozi=Holly spirit
Mungu mkuu=yehova
Yesu kristo=yesu
TUMAINI LA PEKEE
Kwa hiyo Yesu jina lake lingine ni YEHOVA. ?....yaani akili ndogo kabisa ya MAANDIKO',...!
Ukishamaliza hayo MAANDIKO' tuambie na MAANDIKO' mengine ambayo Yesu mwenyewe anasema
'NA UZIMA WA MILELE NDIO HUU' WAKUJUE WEWE MUNGU WA PEKEE WA KWELI ,NA YESU KRISTO ULIYEMTUMA..!
🤣🤣🤣...Ndugu usigombane na watu , gombana na biblia Yako Kwa MAANDIKO yanayopingamana...🤣🤣🤣
Yesu ana asili moja na Mungu na ni sawa na Mungu. Yesu hajaumbwa na amekuwepo tangu milele na milele. Mika 5:2 inasema kwamba kutokea Bethlehem Efrata atatokea mtawala katika Israeli ambaye mwanzo wake umekuwepo toka milele na milele. Yesu alikuwepo tangu milele na milele, kabla ya dunia, milima, bahari wanyama, malaika au chochote kuwepo!
Isaya 9:6, 7:4 inasema ya kwamba Yesu ni Mungu Mwenye Nguvu, Baba wa Milele, Mfalme wa Amani na Mshauri wa Ajabu
Wafilipi 2:6 inasema ya kwamba Yesu alikuwa sawa na Mungu kwa asili na AKACHAGUA "kujivua" utukufu wake akazaliwa na umbo la wanadamu (Yesu hakuwa mwanadamu ila ameamua kuwa mwanadamu milele kwa ajili yetu). Pia, Yesu alichagua kuzaliwa kwa sababu anasema "Mimi nilikuja...."
Yohana 17:5 Yesu anamwambia Mungu katika maombi kwamba amrudishie utukufu uleule waliokuwa nao pamoja kabla dunia haijaumbwa.
Yohana 8:58 Yesu aliwajibu mafarisayo akawaambia kwamba kabla Ibrahimu hajazaliwa "Yeye ni Niko." Niko ni jina takatifu la pekee ambalo Mungu alijifunua nalo kwalo kwa Musa na taifa la Israeli (Kutoka 6:2-3). Jina hilo lilitajwa wakati wa sikukuu ya upatanisho na wakati kuhani alipokuwa anasema "baraka." Mtu yoyote ambaye angelitaja hilo jina takatifu, la ufahari na la kuogofya alipigwa mawe hadi kufa (Mambo ya Walawi 24:11, 16 Kumbukumbu la Torati 28:58) Jina "NIKO" ndilo jina Yesu analolitumia hapa katika Yohana 8:58 na walijua hakuna mtu aliruhusiwa kulitaja hilo jina kwa sababu ni kufuru kubwa ya kujilinganisha na Mungu.
Walipoenda kumkamata Yesu pia (Yohana 18:6) Alisema ya kwamba Yeye ndiye (NIKO) wote wakaanguka chini!
Yesu alithibitisha uungu wake pia alipoapishwa jwa jina la Mungu na kuhani mkuu mbele ya baraza la wazee na walimu wa sheria. Yesu alitumia Jina kuu la Mungu la "NIKO" na kuhani mkuu mara moja akachana mavazi yake kwa kuwa alijua Yesu anajiita Mungu (Marko 14:62)
Tukumbuke ya kwamba kosa ambalo walitumia kumsulubisha Yesu ni kwa sababu alidai Yeye ni "Mungu."
Kwenye Yohana 20:28 Tomaso anamwona Yesu baada ya kufufuka, yule Yesu ambaye alikuwa fundi seremala na anamwita Yesu "Mungu Wangu na Bwana Wangu."
Yesu anaonyesha UUNGU wake pale alipomponya mtu mwenye kupooza kwa kumwambia amemsamehe dhambi zake zote. Walimu wa sheria walikerwa na kusema Yesu anakufuru kwa kuwa ni Mungu tu ndiye anayeweza kusamehe dhambi. Yesu alionyesha UUNGU wake kwa kumponya na kumsamehe dhambi (Marko 2:7)
Yesu alionyesha UUNGU wake alipotumia maneno ya kuamrisha alipoimbia bahari itulie. Wanafunzi wa Yesu wakasema huyu ni mtu wa namna gani hata mawimbi na upepo vinamtii (Marko 4:40-41, Zaburi 65:7, 107:26, 29)
Yesu alionyesha uungu wake kwa namna alivyofundisha. Wale maaskari waliohongwa kumkamata. Walifika kwenye tukio wakaishia kumsikiliza siku nzima na walipoulizwa kwa nini hawakumshika wakasema hakuna "mwanadamu" amewahi kufundisha kama Yeye. Hapa pia anathibitisha uungu wake (IYohana 7:46).
Yohana anasema hapo mwanzo alikuwako Neno, huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu, naye Neno alikuwa Mungu na huyu neno alifanyika mwili akakaa miongoni mwetu (Yohana 1:1, 14)
Paulo anasema katika Warumi 9:5 kwamba Yesu ni Mungu aliye juu ya vyote.
Paulo anasema UUNGU WOTE (hakuna sehemu iliyobakishwa hata chembe ndogo) wa Mungu ulikaa ndani ya Yesu alipokuwa duniani (Wakolosai 2:9)
Huyu Yesu atarudi tena mara ya pili na kuwapa waamini wanaomwishia mwili mpya wa utukufu na atawachukua kuishi nao milele na milele.
Usisome Biblia kama nyimbo hiyo tito 2:13 kuna kituo simama kidogo utaona utofauti (,)
anahubiri kwa kunukuu ukweli uliomo ndani bibilia! ambao pia unapatikana ndani ya kitabu cha Mwisho alichoteremsha MUNGU Muumba MBINGU NA ARDHI kwa Mtume wa mwisho wa ulimwengu Mzima MUHAMMAD S. A W
Yesu alisema kabla ya ibrahimu yeye yupo .alikuwa wapi Mungu hauwezi kumfananisha kwa kibinadamu tafakari vizuri.Askofu
Mwenyezi Mungu aliziumba nafsi za mitume na manabii mwanzo kabla yakutuumba sisi watu wakawaida.
Yesu kusema hiyo haimanisho kua yeye nimungu
Sio Yesu tu' hata Mimi na ww na yule tulikuwepo kasome MAANDIKO' usiwe mvivu ww.!,, ushakua usikubali KUKARIRISHWA
Hata wewe ulikuwepo tafakari""*
Asante Mzee
Mzee wa upako, Mungu akusaidie sana, wewe ni mwanadamu tu, hata Mungu angekuwa mwanadamu wa kujivuna kama wewe angejifunua kwako ila hana hasira kama mwanadamu ni mwingi wa rehema kwetu, nakuombea, siku moja ujue kuwa Yesu ndiye Mungu. Ila nakuhakikishia Yesu ni Mungu ukatae ukubali na Muda si mrefu utajua nakushudia kuwa Yesu ndiye Mungu au si Mungu
Toa andiko acha blabla
@@khatibabass3106huyo mtumishi wako unaemwamini, ni mtu wa tungi, ndo maana yesu alisema, amelaaniwa yeye anywae kileo, au ampae mtu kileo apate kuona uchi wake, sasa huyo mzee wa upako kalaaniwa, kwakua hua anakunywa mvinyo,
Kama Yesu ni Mungu angejua cku ya mwisho mbona amesema yeye hajui Wala malaika ila anayejua ni Mungu tu.Halafu soma Ufunuo 1:1 utaelewa
27 Akasema, Nimekabidhiwa vyote na baba yangu; wala hakuna amjuaye Mwana, ila Baba; wala hakuna amjuaye Baba, ila Mwana, na ye yote ambaye Mwana apenda kumfunulia.
Mathayo 11:27
5 Tomaso akamwambia, Bwana, sisi hatujui uendako; nasi twaijuaje njia?
Yohana 14:5
6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Yohana 14:6
7 Kama mngalinijua mimi, mngalimjua na Baba; tangu sasa mnamjua, tena mmemwona.
Yohana 14:7
8 Filipo akamwambia, Bwana, utuonyeshe Baba, yatutosha.
Yohana 14:8
9 Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?
Yohana 14:9
10 Husadiki ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu? Hayo maneno niwaambiayo mimi siyasemi kwa shauri langu; lakini Baba akaaye ndani yangu huzifanya kazi zake.
Yohana 14:10
11 Mnisadiki ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu; la! Hamsadiki hivyo, sadikini kwa sababu ya kazi zenyewe.
Yohana 14:11
Umeeleweka sanaaa
Takbiir
slowly the truth will be revealed
Sijajawahi tegemea kusikia maneno haya ambayo yapo ndani ya quraan tangia enzi na enzi... umefafanunua very clear.
Bado unahitaji spanner kigodo tu ili uslim.
adui anatoa makombora yake kutikisa kanisa ili kuwamwaga nje wasioelewa maandiko. Tumeona ya C. Shusho, sasa ya mzee wa upako, naamini watafuata na wengine wenye hoja ambazo ziko NJE ya mpango wa Mungu ili kuyumbisha imani za wachanga kiroho na kuwazuia wengine kuingia kwenye Ufalme. Pole kwa wanaofuata walimu kama huyu.
Fundisho hili ilibuelewe lazima uwe mtu huru kwanza
Kama unakiri kwamba inahitaji milele kujua sehemu ndogo sana ya Mungu; kwa nn unaongea kana kwamba wewe unajua yote kuhusu hicho ulichosema? Kwa nn usiseme kwamba yawezkana nawe hujui kama unavyodai wengine hawajui? Pole kwa wanaofuata wahubiri kama huyu. Pole yao sana.
Nakuelewa sana mzee wa Upako... endelea kutuelimisha
Mzee unafundisha vizuri sana wawekee hapo na Maandiko
Sasa umemalizia vizuri kutokujua si dhambi, cha musingi ni kumpokea Yesu na kumuamini,ndipo tutapona.
Ufunuo wa Yohana2:10 Usiogope mambo yatakayokupata; tazama, huyo Ibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani ili mjaribiwe, nanyi mtakuwa na dhiki siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufa, nami nitakupa taji ya uzima.
Mungu akufungue akiliyako zaidi ya hapo katika mama aamin.
Kazi tunayo, Kujua yesu ni mungu au si mungu hainifaidii lolote kama naishi bila Yesu.
Uko sahihi tunakuunga mkono na tuko wakristo wengi tunaojua kuwa kuna Yesu na Mungu hao ni wawili tofauti. Tufundishe habari za "WAFU" kama ulivyofundisha habari za Utatu tafadhali.
Yoh 20:30 “ mimi na baba tu umoja”
You 3:1 hapo mwanzo kulikuwapo na neno, naye neno alikuwepo kwa mungu, naye neno alikuwa Mungu, vitu vyote vilifanyika kwa yeye. V14 naye neno alifanyika mwili akakaa kwetu
Kati ya yohana na mzee wa upako unamwamini nani
MAT.15.14 waachen hao ni viongozi vipofu, na kipofu akimwongoza kipofu mwenzie wote watatumbukia shimoni okoa maisha yako ndugu usimkane Mungu wako
Nimekuelewa
Musa halijifanya hanajua sana Mungu akamwambia yupo anayejua kuliko wewe
Kwa hio Mzee wa hupako Kwa huelewa wako tufundishe zaidi nasi tufahanu
Je,Yesu ni Nani?
Maana alikuja mfano wa kibinadamu Sasa Yesu ni Nani?...Tufundishe basi
Ukisema mtoto wa Mungu Je,Mungu anamtoto?....
Na kama Yesu ni mtoto wa Mungu na Adamu Je?...
Embu tufundishane hapo kidogo
Uko sawa kabisa Mzee wa upako. Watu tunajua hivyo utatu ni upagani na ndiyo maana wanaita fumbo la Imani!
Msikubali kupotoshwa. Yesu ni Mungu. Kama asingekuwa Mungu asingalitukomboa.
Amina
Mbona alishindwa kumkombia yuda
Amekukomboa wapi wakati maisha magumu ivyo bado unaishi kwa hofu ya kufa magonjwa na umaskini ndiyo usiseme alikuokoaje?😂😂
Mbona alishindwa kujikomboa mwenyewe.
😂😂😂😂😂
Nimeamini wewe siyo mtumishi wa Mungu aliyehai bali weweni ajenti wa shetani, hakika,wewe ni miongoni mwa manabii wauongo wanaoitesa Dunia hii! Njaa inakusumbua pole sana mpendwa!
Kwa lugha rahisi sana, Mungu ni Mfalme (King) na Yesu ni mwanamfalme (Crowned Prince) nasi tunao mwamini ni warithi pamoja nae wa ufalme wa Mungu. Kuna mengi yanapotoshwa na mapokeo ya wanadamu lakini ukweli ni kuwa biblia haitetewi, haijipingi ....inajitetea yenyewe inajidhibitisha yenyewe. Ukiona tafsiri yetu ya biblia inahitaji mpaka kuitetea saaana na kuunga unga maandiko, hapo sisi ndio tumepotoka na sii biblia. Hata mzee wetu pia kuna maneno kasema ni mapokeo tu hayana ukweli wowote.
Wewe mzee unazeeka vibaya sana
Mimi namuamini Mungu ila habari za Yesu ni stori kama stori zingine.
😂😂😂 ila we jamaa umenifurahisha
Una mwamini yesu ila unajilazimisha kuwa humjui
Jina la Mungu ni lipii lusekelo ,
Rusekelo jina la Mungu ni Yesu kristo, Yesu ni Mungu katika sura ya Binadamu, jinaleke Mungu ni Yesu kristo,
Yesu ni Mungu Mkuu ,
Kwahiyo MUNGU ni mapacha
Mtoto wa Mungu wa kwanza ni Yesu kristo kabla ya viumbe vyote na uumbaji wowote YESU NI MWANA WA MUNGU
ahsante chief mwantembe Kwa somo Hilo ubalikiwe Sana
Tatizo mnakuwa na mawazo potofu ya kibinadamu,kwamba mtu akitaka kuzaa afuate taratibu kdhaa! Mnakufuru na kuchuma dhambi! Kumbuka Mungu ni mkuu na kwa utukufu wake na uweza wake wa ajabu!bila hayo mnayofikiria ninyi ,Yesu alpatikana kupitia mama Bikira Maria!,Yesu atabaki kuwa mwana wa Mungu in na ni Mungu ktk nafsi ya pili ya Mungu.
Tafadhali sana, hacheni kupotosha watu na tamaduni za kigeni, fuateni tamaduni zeni, kwa nini mnazidi kufunga watu minyonyo na upotofu kwenye fikra za watu
Ukweli unauma Kwa walio zoweya kudanganywa siku nyingi mzee wa upako ameuwona ukweli
nyie mnaempinga mzee wa upako toeni maandiko yesu anasema mimi ni mungu
Kwa hili uko sawa kabisa YESU alisema MTU hawezi kwenda Kwa baba bila kupitia kwake
Ukitaka kujua unachokiongea hukijui nakufundisha kidogo ili ujue mzee wa upako anaongea upotofu tu
Kwanza hiyo Yohana 14:6 Yesu hakusema ukitaka "kwenda" kwa Baba
Bali alisema mtu "HAJI KWA BABA" ila kwa njia ya mimi sio mtu hawezi kwenda kwa Baba
bali MTU HAJI KWA Baba ikiwa na maana Yesu ndiye Baba mwenyewe
Rejea aya hiyohiyo mstari wa7mpaka 9 uone Filipo anavyomuambia Yesu "Tuoneshe Baba yatutosha"
Utakuta Yesu anasema MIMI NIMEKUWAKO PAMOJA NANYI SIKU ZOTE HIZI , WEWE USINIJUE FILIPO???????????
Biblia imechakachuliwa sana Allah awaongoze muijue haki
Shida siyo biblia , au dini fulani, shida ipo kwa wanaojiita "waalimu na watumishi wa Mungu" jinsi wanavyowaelekeza watu kuhusu yaliyomo kwenye maandiko....
Kwa mala ya kwanza nimeona mchungaji msomi kulikon wachungaji wote tanzania
Yesu alifunga xiku arobaini bila kula we Leo kaa siku xaba bila kula apo utapata tafalari juu ya uweza na umungu wa yesu
Mungu Ali wara anywi na afananishi na kituchochote
Tito 2:13
[13]tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;
Looking for that blessed hope, and the glorious appearing of the great God and our Saviour Jesus Christ;
Uposahii mungu azai Wala ajazaliwa nakupenda sanaaaah baba wazungu wanatualibu Mungu akufunue zaidi
Miaka 40 yote hiyo huijui biblia kweli ukiwa huna Roho Mtakatifu ni hasara kubwa Sana , neno linasema Kila roho isiyo Kiri kuwa Yesu ni Bwana haitokana na Baba wa mbinguni
Brother umemaliza na hio ndio kweli ya Mungu
Mzee umesoma eleza ukwel matapel wachukia yesu alikula vipande vya samak akaenda kunya mungu anakunya pumbav
Mzee wa upako amesema Yesu ni mwana wa Mungu
Je unakubaliana naye
Amesema Yesu ni mwokozi wetu,
Je, unakubali
Kama huyakubali haya, endelea kusoma hadithi za marehemu mwamedi
Mwamedi ambaye hakujua kusoma wala kuandika, na alikuwa mbakaji kwa kuoa kitoto cha miaka 6
Mzee wa upako amesema Yesu ni mwana wa Mungu
Je unakubaliana naye
Amesema Yesu ni mwokozi wetu,
Je, unakubali
Kama huyakubali haya, endelea kusoma hadithi za marehemu mwamedi
Mwamedi ambaye hakujua kusoma wala kuandika, na alikuwa mbakaji kwa kuoa kitoto cha miaka 6
Mzee wa upako amesema Yesu ni mwana wa Mungu
Je unakubaliana naye
Amesema Yesu ni mwokozi wetu,
Je, unakubali
Kama huyakubali haya, endelea kusoma hadithi za marehemu mwamedi
Mwamedi ambaye hakujua kusoma wala kuandika, na alikuwa mbakaji kwa kuoa kitoto cha miaka 6
Mzee wa upako amesema Yesu ni mwana wa Mungu
Je unakubaliana naye
Amesema Yesu ni mwokozi wetu,
Je, unakubali
Kama huyakubali haya, endelea kusoma hadithi za marehemu mwamedi
Mwamedi ambaye hakujua kusoma wala kuandika, na alikuwa mbakaji kwa kuoa kitoto cha miaka 6
Mzee wa upako amesema Yesu ni mwana wa Mungu
Je unakubaliana naye
Amesema Yesu ni mwokozi wetu,
Je, unakubali
Kama huyakubali haya, endelea kusoma hadithi za marehemu mwamedi
Mwamedi ambaye hakujua kusoma wala kuandika, na alikuwa mbakaji kwa kuoa kitoto cha miaka 6
Mzee wa upako amesema Yesu ni mwana wa Mungu
Je unakubaliana naye
Amesema Yesu ni mwokozi wetu,
Je, unakubali
Kama huyakubali haya, endelea kusoma hadithi za marehemu mwamedi
Mwamedi ambaye hakujua kusoma wala kuandika, na alikuwa mbakaji kwa kuoa kitoto cha miaka 6
Mzee wa upako amesema Yesu ni mwana wa Mungu
Je unakubaliana naye
Amesema Yesu ni mwokozi wetu,
Je, unakubali
Kama huyakubali haya, endelea kusoma hadithi za marehemu mwamedi
Mwamedi ambaye hakujua kusoma wala kuandika, na alikuwa mbakaji kwa kuoa kitoto cha miaka 6
Mzee wa upako amesema Yesu ni mwana wa Mungu
Je unakubaliana naye
Amesema Yesu ni mwokozi wetu,
Je, unakubali
Kama huyakubali haya, endelea kusoma hadithi za marehemu mwamedi
Mwamedi ambaye hakujua kusoma wala kuandika, na alikuwa mbakaji kwa kuoa kitoto cha miaka 6
Mzee wa upako amesema Yesu ni mwana wa Mungu
Je unakubaliana naye
Amesema Yesu ni mwokozi wetu,
Je, unakubali
Kama huyakubali haya, endelea kusoma hadithi za marehemu mwamedi
Mwamedi ambaye hakujua kusoma wala kuandika, na alikuwa mbakaji kwa kuoa kitoto cha miaka 6
Mzee wa upako amesema Yesu ni mwana wa Mungu
Je unakubaliana naye
Amesema Yesu ni mwokozi wetu,
Je, unakubali
Kama huyakubali haya, endelea kusoma hadithi za marehemu mwamedi
Mwamedi ambaye hakujua kusoma wala kuandika, na alikuwa mbakaji kwa kuoa kitoto cha miaka 6
Mzee wa upako amesema Yesu ni mwana wa Mungu
Je unakubaliana naye
Amesema Yesu ni mwokozi wetu,
Je, unakubali
Kama huyakubali haya, endelea kusoma hadithi za marehemu mwamedi
Mwamedi ambaye hakujua kusoma wala kuandika, na alikuwa mbakaji kwa kuoa kitoto cha miaka 6
Mzee wa upako amesema Yesu ni mwana wa Mungu
Je unakubaliana naye
Amesema Yesu ni mwokozi wetu,
Je, unakubali
Kama huyakubali haya, endelea kusoma hadithi za marehemu mwamedi
Mwamedi ambaye hakujua kusoma wala kuandika, na alikuwa mbakaji kwa kuoa kitoto cha miaka 6
Mzee wa upako amesema Yesu ni mwana wa Mungu
Je unakubaliana naye
Amesema Yesu ni mwokozi wetu,
Je, unakubali
Kama huyakubali haya, endelea kusoma hadithi za marehemu mwamedi
Mwamedi ambaye hakujua kusoma wala kuandika, na alikuwa mbakaji kwa kuoa kitoto cha miaka 6
Mzee wa upako amesema Yesu ni mwana wa Mungu
Je unakubaliana naye
Amesema Yesu ni mwokozi wetu,
Je, unakubali
Kama huyakubali haya, endelea kusoma hadithi za marehemu mwamedi
Mwamedi ambaye hakujua kusoma wala kuandika, na alikuwa mbakaji kwa kuoa kitoto cha miaka 6
Mzee wa upako amesema Yesu ni mwana wa Mungu
Je unakubaliana naye
Amesema Yesu ni mwokozi wetu,
Je, unakubali
Kama huyakubali haya, endelea kusoma hadithi za marehemu mwamedi
Mwamedi ambaye hakujua kusoma wala kuandika, na alikuwa mbakaji kwa kuoa kitoto cha miaka 6
Mzee wa upako amesema Yesu ni mwana wa Mungu
Je unakubaliana naye
Amesema Yesu ni mwokozi wetu,
Je, unakubali
Kama huyakubali haya, endelea kusoma hadithi za marehemu mwamedi
Mwamedi ambaye hakujua kusoma wala kuandika, na alikuwa mbakaji kwa kuoa kitoto cha miaka 6
Wazungu walishawapiga kwenye mshono kudaadeki
Maandiko mengi yapo yanayoonesha kristo ni mungu kamili soma Yohana 10:30 pia 1yohana 5:20
Maandiko yanawachanganya maana kila mtume anaandika lake
Acha uongo ww , MAANDIKO' mengi ndani ya biblia yanakataa UUNGU wa Yesu Tena MAANDIKO' mengi yanayokataa yanatoka kinywani nwa Yesu,..!
Hebu fafanua andiko hili, Tena ni Yesu mwenyewe anasema, sio hayo MAANDIKO' ya kusemewa na watu, sikiliza hili andiko
'NA UZIMA WA MILELE NDIO HUU' WAKUJUE WEWE MUNGU WA PEKEE WA KWELI NA YESU KRISTO ULIYEMTUMA ..
Sasa jiulize mwenyewe Kwa Nini MAANDIKO' yanaingiliana Kisha utajua,🤣🤣🤣
Matendo ya Mitume 20:28
[28]Jitunzeni nafsi zenu, na lile kundi lote nalo, ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa waangalizi ndani yake, mpate kulilisha kanisa lake Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe.
Huyu mzee kachanganyikiwa na ibada zake za mizimu na uchawi aliyonayo
Of course, lam yalid walam yuulad, anasema Mungu mwenyewe.
Mzee wa upako uko sahihi asilimia zote.
Mzee wa upako, tunaomba majina ya watoto wa Maria.
Acha ushamba wa maandiko umechanganyikiwa YESU NI MUNGU
Mzee wa upoko unajipinga mwenyewe kwenye kinywa chako ,sasa kweli Umekengeuka ufunuo 1:7-8 Yesu alionekana kwenye tanuli ya Moto kwa shadraka meshaki na ubinego lusekeo ulikuwa mzee wa upako zamani za wito wako sasa Hivi sio mzee wa upako isipokuwa ni mzee wa rogosi na thiorojia elimu yako yapatikana chuoni sio Elimu ya Roho mtakatifu, kwaeli mzee wa rogosi Acha kufundisha unakwaza watoto wa Mungu
Unasema madhehebu ni tofauti japo biblia moja Mungu wa biblia ni mmoja kwa wakristo wote japo 90 percentage ya wakristo wanajua yesu ni Mungu na mm najua hvo
UNA MAANDIKO YANAYO SIBITISHA MANENO YAKO ANKO 😂
Endeleza tu....Yesu sio Mungu.
Nenda Kanisa Halisi la mungu baba. Wamekuwa wakifundisha haya yote. Kuwa yesu sio mungu. Bali ni mwana..hata tunavyo omba kupitia yesu tunakosa. Maana yesu alitufundisha Sala ya kuanzia Kwa Mungu baba.
Kweli baba yesu sio mungu kimaandiko na kiuhalisia ni mtu
Jamaa wanambinu chafuu sana etii kwakusema Yesu sio Munguu wamempa kesii ya Ushoga ,,
Wewe sasa sio mzee wa upako, bali ni mzee wa uchafu, umenunuliwa ili umkane Yesu, mshahara wa dhambi ni mauti, Yesu atabaki kuwa MUNGU, kasome ISAYA 9:6
ulipoishia ufahamu wako asante baba
Mzee unawaita watu hawana akili timamu, kumbe wewe ndo unahitaji kujitafakali. Wala haihitaji elimu kubwa kujua kuwa wewe dishi limeyumba. Pole sana mzee.
Muhumadi alimpenda Mungu sana,Ila hakumuelewa na hakutaka kwenda kwa waliomtangulia ajifunze,na ndio maana kawaletea waislamu kizaazaa! Na wewe unakoelekea kuna watu unawapelekea kizaazaa.
Hujui kitu
Huyu ndiyo nabii wa uongoo siku za mwisho wataibuka wengi sana na wata mkana kristo kuwa siyo Mungu hadharani anakamilisha kazi ya shetani
Wewe ndiye nabii wa uongo kabisa.
Inaonekana anakuwezesha kuishi ndiyo maana unapambana kumtete
Ukikataa kushambuliwa basi na wewe usiwashambulie wengine.
Maana umewita watu wana akili mgando ndio mana wanaamini yesu ni Mungu.
Kumuita mtu mzima anaakili mgando ni kumtusi na dharau ya hali ya juu sana.
Watch your language
Yan Mzee wa upako Bado xana Yani hapo ndo sikukubali tena apo naona kama hujui
Yesu siyo mungu ni kweli kaka lusekelo kuwa mwislam uende mbinguni maana ukweli umeshafunuliwa
Umekuwa wa hovyo sana,Pombe zimeanza kukuletea madhara..Na ndio maana waandishi walikorekodi umelewa hujitambui
Kikubwa na cha msingi ni kumsikiliza yeye Yesu yale aliyotuagiza tuyafanye,uelewa wa maandiko siyo tiketi ya kufika kwa Mungu wetu,bali wenye moyo safi.
Uelewa ni msingi sana tusije abudu shetani miungu3
Sawa mtumishi wa mungu
Si ajabu! Kwame Nkuruma mwenye digree 4, na ya tano ni ya Biblia, lakini mwisho aliweka msimamovkuwa "HAKUNA MUNGU" Kwa hiyo kuona na kusikia akina Lusekelo wanajinadi kuifahamu biblia kuliko watumishi wengine si ajabu.
Huyu jamaa kasoma na yupo sahihi sana
Isaya 9:6 maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa tumepewa mtoto mwanaume na uweza wakifalme begani mwake mshsauri wa ajabu Mungu mwenye nguvu baba wamilele,mfalme wa amani.
Mungu ajazaliwa
Lusekelo umeishiwa uelewa yesu ni mungu soma isaya 9_6
ASA YESU MUNGU NA MUNGU ATAKUWA NANI AU KUNA MUNGU WA NGAPI ANKO 😂😂 NA ALIVO KUWA ANASEMA YELOWI YELOWI MUNGU WANGU MBONA UMENIACHA ALIKUWA ANAMWAMBIA NANI 😂😂
Isaya 9:6 aihusiani na Yesu Bali inahusiana na Eliakimu soma Isaya 22:20 ndio utampata aliyehusika na Hilo andiko.
Hahahaha kweli binaadamu niwabishi sana
Mnajuwa watu bwana hebu fikiria mara mbilimbili utajuwa ukweli kuwa hata sisi niwana wa mungu kwahiyo yesu kabarikiwa au nimteule wa mungu ambae amemteuwa na amependezwa nae sasa tulivo wajinga tumemsahau mungu sasa tunamuita yesu ndio mungu namungu ana wivu hataki wakufananishwa nae shauri yenu
Kwanza ujue biblia siii maneno ya mungu ni maneno ya waandishi ila vitabu kama zaburi ,torati injili na furkani vina manabii.... je biblia ni kitabu cha nabii gani?
Wewe fundisha watu kuacha dhambi sio Yesu ni Mungu au sio Mungu
Ndio maana umefanyakazi ya Elohim kwa upako mkubwa.
Asante kwa kutupatia Siri hii MUHIMU sana
Lazima Kanisa lirejee katika misingi ya Injili ya Yesu Masia
Tuache makosa ya maaskofu ambao walimwacha Roho Mtakatifu wakatumia saikolojia, na mapokeo na tafsiri za miungu ya rumi na uyunani, badala ya Roho Mtakatifu awafunulie wakapeana maelezo ya wanadamu.
Unayo mafunfisho muhimu.
Endelea kunyenyekea na kusimamia kweli.
Mtumishi Godda
Mungu huapa kwa nafsi yake,tendo la Yesu kusema yeye ni mwana wa Mungu lilikuwa ni neno la unyenyekevu ukweli ni kuwa Yesu ni Mungu.yohana 14:1-hadi mwisho
Yesu kristo ni mwana wa mungu na ako na mungu mungu wake amutia mafuta
tunakuelewasana baba Mungu ni moja
Me nimekuelewa vizur sana mzee waupako ila mtu hawez kukuelewa kama anaudin ndani yake
Isaya 9:6
Mathayo 1:18-24
Tito 2:13
Yohana 1:1-4 (14)
Wakolosai 1:15-23
1Timotheo 3:16
Yelemia 23:25-29
1Yohana 4:1-3
Wafilipi 2:6-11
Kupitia Ufafanuzi huu wako Mzee wa Upako nimejifunza kitu kuwa :
Tatizo sio kufahamu Maandiko la hasha !! Bali tatizo ni UKWELI !!!!
Wewe Mzee ni Mkweli sana sana unaongea UKWELI ktk kile unachojifunza na Kuelewa .
Naamini hata wengine wanaelewa ukweli huu wa BIBILIA kuwa MUNGU NI MMOJA NA NIWA PEKEE ila hawajajaliwa ROHO WA KWELI...
Mungu akuongoze na akubakishe kuwa Mkweli Aaaamina
YESU ndiye Roho wa Yahweh aliyetulia juu ya uso MAJI katika MWANZO 1:2
❤Mzee wa Upako una akili nyungi pia una akili nzr sana Mungu akubariki sana.❤
Yesu alipovaa mwili ilikuwa lazima apungue Kila Khali
Kama hukuitiwa hicho mbona unakizungumzia ungekiacha kama kilivyo,nakwahabr kusema ww niwa mda mlefu Aina maana unauelewa wa neno Mzee wangu,unamzungumzia YESU alipo fanyika mwili
Akili yako ukiweka huru ukiweka Imani yako pembeni na vile ulivyokaririshwa utamfahamu vizuri tu
Tujifunze jamani tusome biblia
Kati ya waalimu wa hovyo wewe ni mmoja wapo Mzee wangu yamkini wewe ndo huelewi vzr maandiko
Mbona unachanganya mada mzee wa Upako
MZEE WA UPAKO UNA UWEZO MKUBWA SANA WA KUELEWA NA KUELESHA.
HAKIKA UMEFAFANUA VEMA SANA NA UMEELEWEKA SANA SANA KWA WENYE AKILI.
NAMUOMBA MUNGU MUUMBA WA PEKEE KABISA ALIYE MMOJA TU DAIMA MILELE AKUPE UELEWA NA UFAHAMU ZAIDI NA ZAIDI.
PIA NAMUOMBA MUNGU WA PEKEE AKUPE MWISHO MWEMA ..
HAKIKA MUNGU NI MMOJA NA HANA MSHIRIKA KABISA KATIKA UUNGU WAKE....
Yesu sio Emanuel.Isaya aliongea na na Mfalme Ahaz.Utabiri ule ulitimia siku zile zile.Torari haituhusu susi Watanzania maana kabla ya torati tulimjua Mungu/Kyara,Imana,Bguluvi,Rua,Murungu,Mukurukuru.Yesu ni stori za Mrumi/ Mgriki.Yesu eti alipaa na mwili! Je huko anakula,anazeeka au vipi.Ni stori