YESU NI MUNGU AU SIO MUNGU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • #GRC kwa mzee wa upako (Athony Lusekelo)
    Follow our Social Media:
    FB: / mzeewaupakotzz
    IG: / mzeewaupako_tz
    TIKTOK: / mzee__wa__upako
    Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda.
    Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia runinga ya channel ten na zaidi ya watu milioni 1.7 wanaungana na Mzee wa upako kupitia majukwaa yake ya mitandao ya kijamii ulimwenguni.
    Mzee wa upako anaweza kusikika 24/7 kwenye channel zake za RUclips Mzee wa upako na TUTASHINDA CHURCH. Ungana na Askofu Antony Lusekelo kwenye Instagram Mzeewaupakotz.

Комментарии • 720

  • @MichaelSichimata-ri2td
    @MichaelSichimata-ri2td 3 месяца назад +2

    Hilo somo wengi hawalifaham Asante kwa ugafanuzi mzuri

  • @meshack_kaleb
    @meshack_kaleb 3 месяца назад +1

    2 Wakorintho 5:18-19
    [18]Lakini vyote pia vyatokana na Mungu, aliyetupatanisha sisi na nafsi yake kwa Kristo, naye alitupa huduma ya upatanisho;
    And all things are of God, who hath reconciled us to himself by Jesus Christ, and hath given to us the ministry of reconciliation;
    [19]yaani, Mungu alikuwa ndani ya Kristo, akiupatanisha ulimwengu na nafsi yake, asiwahesabie makosa yao; naye ametia ndani yetu neno la upatanisho.
    To wit, that God was in Christ, reconciling the world unto himself, not imputing their trespasses unto them; and hath committed unto us the word of reconciliation.
    MUNGU alikua ndani KRISTO
    yaani IMMANUEL MUNGU PAMOJA NASI.

  • @AlfredAlfred-yd2mg
    @AlfredAlfred-yd2mg 7 месяцев назад +3

    Yesu mwenyewe hakusema ni
    Mungu acheni kukufuru

  • @amossteven9538
    @amossteven9538 3 месяца назад +7

    Isaya 9:6, kwa maana kwa ajiri yetu amezaliwa mtoto wa kiume, nae ataitwa mshauri wa ajabu, baba wa milele, Mungu mwenye nguvu na uweza wa kifalme utakuwa mabegani mwake

    • @SabihaibrahimRajabu
      @SabihaibrahimRajabu 2 месяца назад

      😂😂😂😂😂wewe hunaakili yesu ni mtuu

    • @JudithRenald
      @JudithRenald Месяц назад

      Nikweli yesu nimshauri waajabu ten ni baba wamilele watu wengi san Wana yapinga maandiko

    • @FadhilZaharan
      @FadhilZaharan Месяц назад

      Shida ipo apo isaya ninabii atamtabiliaje Mungu kua atazaliwa Yaani Mungu azaliwe kweli soma vizuri biblia

  • @JudithRenald
    @JudithRenald Месяц назад

    Yesu ni mungu kwa sababu yesu alipokuwa duniani alikuwa emanueli yaani mungu pamoja nasi ukisoma mathayo1:23-25 maandiko yanijidhihirisha wazi wazi

  • @samoraasura3909
    @samoraasura3909 8 месяцев назад +3

    Ubarikiwe mtumishi kazi nzuri

  • @raheemaamani6158
    @raheemaamani6158 8 месяцев назад +27

    Mimi ni Muislamu lakini nakufatilia Sana Mzee WA upako napenda Sana maombez yako waambie hao wenzie Yesu sio mungu wala sio mtoto WA mungu Allah akuongoze IPO siku utakuja kwenye njia ya haki

    • @michaeldoroleo4864
      @michaeldoroleo4864 8 месяцев назад +8

      Njia ya haki ni moja tu nayo ni Yesu kristo,epuka matapeli wengine.

    • @martinjohn7854
      @martinjohn7854 8 месяцев назад +3

      KWA hili,
      😂 alishaslim KWA siri.

    • @martinjohn7854
      @martinjohn7854 8 месяцев назад +2

      KWA nini ulijua MIAKA arobaini, lakini unasema leo.

    • @martinjohn7854
      @martinjohn7854 8 месяцев назад +1

      Na Roho MTAKATIFU ni Mungu?

    • @charlesboniphace2249
      @charlesboniphace2249 8 месяцев назад +3

      Waambie hao wenzio Mohamed sio nabii Wala allah sio Mungu ,Mungu ni YEHOVA hakikisha unasoma vzr vitabu

  • @hajisalimmhina3983
    @hajisalimmhina3983 Месяц назад

    Sema tu . Yesu alikuwa na wadogo zake

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 8 месяцев назад

    Wafilipi 2:6 yohana :1:1 isaya 7:14
    Yesu ni Mungu katika sura ya Binadamu 1:1yohana 8:58 Yesu akawaambia Amini Amini nawambia yeye ibrahimu asikkuwako Mimi Niko kutoka 3:14 Mungu akamwambia Musa ,Mimi Niko Ambae Niko Akasema ndivyo utakavyo wambia Wana Israeli Mimi Niko Ambae Niko ametuma kwenu ufunuo 22:12 Tazama naja upesi na ujira wangu ufunuo 22:13 Mimi ni Alfa na Omega😊ufunuo 1:7

    • @elishampoki8751
      @elishampoki8751 8 месяцев назад +1

      Unatakiwa uanze kufundishwa upya neno la Mungu Mungu Baba na mwana na Roho mtakatifu ni Mungu yuleyule isipo kuwa mmoja aliejifunua katika utatu,mtakatifu kwa hiyo Mungu ni mmoja tu aliejifunua katika utatu. Mtakatifu
      Ni sawa wewe mwantembe umekamilika katika utatu roho ya mwantembe mwili wa mwantembe nasfi ya mwantembe lakini ni mwantembe yuleyule mmoja katika utatu

  • @zachariaabraham645
    @zachariaabraham645 4 месяца назад +6

    Yes kuna Mungu na kuna Yesu utofauti unaanzia hapo safi sana mzee wa upako..Leo nimekuelewa

  • @mohammedabdullah5895
    @mohammedabdullah5895 2 месяца назад +2

    Bado kuslim tu karibu katika dini haki uislam

  • @IsaacKalenge
    @IsaacKalenge Месяц назад

    Mbona Maandiko hayatajwi,Yesu anasifa zote na ndiye Alie umba vitu yote,Yesu Jina lina maana Mungu uokoa Mathayo1:21na23,kwenye mwili ni mwana na binadam,kwenye Roho ni Baba,Yohana1:11-13

  • @IsaacKalenge
    @IsaacKalenge Месяц назад

    Kama Kuna chuo kitaa uungu wa Yesu ni Cha shetani,Maandiko mengi yana sema Ni Mungu,Yoh11-4,5:18 Maandiko yanasema watu wote wa mheshimu mwana Kama wanavyo mweshimu Baba,Yohana5:22

  • @johnchalahani6924
    @johnchalahani6924 8 месяцев назад +2

    Uko sahihi mzee wa upako ni sahihi kabisa Yesu siyo Mungu bali ni mwana wa Mungu. Yesu ni kiunganishi kati ya mwnadamu na Mungu baba.

  • @EphremMurhulamuderhwa
    @EphremMurhulamuderhwa 3 месяца назад +5

    Yesu kristo ni Mungu kabisa kabisa

    • @khamisBaharia
      @khamisBaharia 3 месяца назад

      kwaio unapingana na bibilia yako?,

  • @LeocardiaDaniel-sj3wl
    @LeocardiaDaniel-sj3wl 8 месяцев назад +7

    Asante kwa kufafanua Jambo Hilo maake limechanganya watu wengi.Ubarikiwe Sana.

  • @aggreyprince3983
    @aggreyprince3983 7 месяцев назад

    Isaya 9:6
    Mathayo 1:18-24
    Tito 2:13
    Yohana 1:1-4 (14)
    Wakolosai 1:15-23
    1Timotheo 3:16
    Yelemia 23:25-29
    1Yohana 4:1-3
    Wafilipi 2:6-11

  • @MisalabaZanzibar-k8c
    @MisalabaZanzibar-k8c 4 месяца назад

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu keep it up

  • @CharlsShukia-ju1wv
    @CharlsShukia-ju1wv 8 месяцев назад

    Utata kuhusu Uungu wa Yesu Kristo na ubinadamu wa Yesu Kristo haujaanza leo,na tayari ulishapatiwa majibu sahihi na Mababa wa imani katika historia ya kanisa,walitoa Tamko kwamba Yesu ni Mungu kwa asilimia zote 100 pia ni Mungu kwa asilimia zote mia 100 kulingana na UTHIBITISHO wa maandiko yanayomtambulisha kuwa Yesu Kristo ni Mungu Yoh 1:1-5 Yesu Kristo ni mwanadamu Yoh 1:14 na maandiko mengine mengi. Inasikitisha na inashangaza kuona hata wanaojiita wakristo au watumishi wa Mungu, pasipo kuelewa tafsiri sahihi wanawapotosha na kuwakosesha wadogo wasiojua.Inahitajika uchunguzi kwanza kabla ya kufundisha na hili ni fundisho la msingi katika imani ya kikristo,Kumbuka kuwakosesha wadogo unastahili kufungiwa jiwe kubwa na kutoswa baharini Mt 18:5-7

    • @CharlsShukia-ju1wv
      @CharlsShukia-ju1wv 8 месяцев назад

      BAADHI YA SABABU YESU KRISTO NI MUNGU:-1,Alikuwepo kabla ya uumbaji 2,Aliumba vitu vyote 3,Kusamehe dhambi 4.Kutotenda dhambi 5,Kuja tena kuhukumu wanadamu na kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri kuwa Yesu Kristo ni BWANA (MUNGU) Flp 2:10-11

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 7 месяцев назад

      ​@@CharlsShukia-ju1wvPole sana, yaani muafrika mwenzangu unaamini ati Yesu ni Mungu, mafundisho ya uongo tu hayo.
      Hata nawe pia unasamehe dhambi si Yesu tu, kwani hujawahi kukosewa ukasamehe?
      Yesu awe Mungu asijue siku ya hesabu itakua lini, kicheko! Mungu hazaliwi na mwanamke.

  • @mwalimuaman9755
    @mwalimuaman9755 8 месяцев назад +1

    Mzee wa upako, Mungu akusaidie sana, wewe ni mwanadamu tu, hata Mungu angekuwa mwanadamu wa kujivuna kama wewe angejifunua kwako ila hana hasira kama mwanadamu ni mwingi wa rehema kwetu, nakuombea, siku moja ujue kuwa Yesu ndiye Mungu. Ila nakuhakikishia Yesu ni Mungu ukatae ukubali na Muda si mrefu utajua nakushudia kuwa Yesu ndiye Mungu au si Mungu

    • @khatibabass3106
      @khatibabass3106 8 месяцев назад +2

      Toa andiko acha blabla

    • @BenjaNetanyahu
      @BenjaNetanyahu 8 месяцев назад

      ​@@khatibabass3106huyo mtumishi wako unaemwamini, ni mtu wa tungi, ndo maana yesu alisema, amelaaniwa yeye anywae kileo, au ampae mtu kileo apate kuona uchi wake, sasa huyo mzee wa upako kalaaniwa, kwakua hua anakunywa mvinyo,

    • @aloycembaruku
      @aloycembaruku 8 месяцев назад

      Kama Yesu ni Mungu angejua cku ya mwisho mbona amesema yeye hajui Wala malaika ila anayejua ni Mungu tu.Halafu soma Ufunuo 1:1 utaelewa

    • @michaelapolonali1289
      @michaelapolonali1289 8 месяцев назад

      27 Akasema, Nimekabidhiwa vyote na baba yangu; wala hakuna amjuaye Mwana, ila Baba; wala hakuna amjuaye Baba, ila Mwana, na ye yote ambaye Mwana apenda kumfunulia.
      Mathayo 11:27

    • @michaelapolonali1289
      @michaelapolonali1289 8 месяцев назад

      5 Tomaso akamwambia, Bwana, sisi hatujui uendako; nasi twaijuaje njia?
      Yohana 14:5
      6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
      Yohana 14:6
      7 Kama mngalinijua mimi, mngalimjua na Baba; tangu sasa mnamjua, tena mmemwona.
      Yohana 14:7
      8 Filipo akamwambia, Bwana, utuonyeshe Baba, yatutosha.
      Yohana 14:8
      9 Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?
      Yohana 14:9
      10 Husadiki ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu? Hayo maneno niwaambiayo mimi siyasemi kwa shauri langu; lakini Baba akaaye ndani yangu huzifanya kazi zake.
      Yohana 14:10
      11 Mnisadiki ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu; la! Hamsadiki hivyo, sadikini kwa sababu ya kazi zenyewe.
      Yohana 14:11

  • @ErnestLule-z7t
    @ErnestLule-z7t 6 месяцев назад +1

    Yesu ndiye njia kweli na uzima, mtu haendi kwa Mungu bila kupitia kwa Yesu, so Imani ya wakristo imejengwa kwenye msingi mwamba Yesu, mtu asipojenga juu ya mwamba uchukuliwa na kila aina ya elimu

  • @CharlesMwasomola
    @CharlesMwasomola 7 месяцев назад

    YESU NI MUNGU UTHIBITISHO:
    Isaya 9:6
    Yohana 1:1-3
    Matendo 20:28
    1 Timotheo 3:16
    Yohana 10:30
    Ufunuo 1:17
    Ili usizidi kukufuru unajiharakishia mwisho wako.

  • @allykaka3484
    @allykaka3484 7 месяцев назад +1

    Mungu akufungue akiliyako zaidi ya hapo katika mama aamin.

  • @IssaNasir-v2e
    @IssaNasir-v2e 8 месяцев назад +5

    Umeeleweka sanaaa

  • @goldenshadrackmsungu3664
    @goldenshadrackmsungu3664 8 месяцев назад

    Habari ya tomado Yohana 20:24-28.
    Yesu hakukataa kama yeye sio

  • @juliusmartin1839
    @juliusmartin1839 8 месяцев назад +6

    Tito 2:13 tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;
    Tito 2:14 ambaye alijitoa nafsi yake kwa ajili yetu, ili atukomboe na maasi yote, na kujisafishia watu wawe milki yake mwenyewe, wale walio na juhudi katika matendo mema.

    • @rangowauswazy8430
      @rangowauswazy8430 8 месяцев назад +2

      Hivi wewe mtu unaakili timamu unaminishwa yessu ni mungu kweli yani mungu kabigwa makwaju na mijeledi na watu aliowaumba mungu kasulubiwa weka akili yako huru udogoni tulilishwa mafunzo saivi ushakuwa tumia akili zako kuelewa bila kufikiria uliolishwa numa

    • @allysaidlyambange4500
      @allysaidlyambange4500 8 месяцев назад

      Mwokozi=Holly spirit
      Mungu mkuu=yehova
      Yesu kristo=yesu
      TUMAINI LA PEKEE

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 8 месяцев назад +1

      Kwa hiyo Yesu jina lake lingine ni YEHOVA. ?....yaani akili ndogo kabisa ya MAANDIKO',...!
      Ukishamaliza hayo MAANDIKO' tuambie na MAANDIKO' mengine ambayo Yesu mwenyewe anasema
      'NA UZIMA WA MILELE NDIO HUU' WAKUJUE WEWE MUNGU WA PEKEE WA KWELI ,NA YESU KRISTO ULIYEMTUMA..!
      🤣🤣🤣...Ndugu usigombane na watu , gombana na biblia Yako Kwa MAANDIKO yanayopingamana...🤣🤣🤣

    • @bensonmsando
      @bensonmsando 7 месяцев назад

      Yesu ana asili moja na Mungu na ni sawa na Mungu. Yesu hajaumbwa na amekuwepo tangu milele na milele. Mika 5:2 inasema kwamba kutokea Bethlehem Efrata atatokea mtawala katika Israeli ambaye mwanzo wake umekuwepo toka milele na milele. Yesu alikuwepo tangu milele na milele, kabla ya dunia, milima, bahari wanyama, malaika au chochote kuwepo!
      Isaya 9:6, 7:4 inasema ya kwamba Yesu ni Mungu Mwenye Nguvu, Baba wa Milele, Mfalme wa Amani na Mshauri wa Ajabu
      Wafilipi 2:6 inasema ya kwamba Yesu alikuwa sawa na Mungu kwa asili na AKACHAGUA "kujivua" utukufu wake akazaliwa na umbo la wanadamu (Yesu hakuwa mwanadamu ila ameamua kuwa mwanadamu milele kwa ajili yetu). Pia, Yesu alichagua kuzaliwa kwa sababu anasema "Mimi nilikuja...."
      Yohana 17:5 Yesu anamwambia Mungu katika maombi kwamba amrudishie utukufu uleule waliokuwa nao pamoja kabla dunia haijaumbwa.
      Yohana 8:58 Yesu aliwajibu mafarisayo akawaambia kwamba kabla Ibrahimu hajazaliwa "Yeye ni Niko." Niko ni jina takatifu la pekee ambalo Mungu alijifunua nalo kwalo kwa Musa na taifa la Israeli (Kutoka 6:2-3). Jina hilo lilitajwa wakati wa sikukuu ya upatanisho na wakati kuhani alipokuwa anasema "baraka." Mtu yoyote ambaye angelitaja hilo jina takatifu, la ufahari na la kuogofya alipigwa mawe hadi kufa (Mambo ya Walawi 24:11, 16 Kumbukumbu la Torati 28:58) Jina "NIKO" ndilo jina Yesu analolitumia hapa katika Yohana 8:58 na walijua hakuna mtu aliruhusiwa kulitaja hilo jina kwa sababu ni kufuru kubwa ya kujilinganisha na Mungu.
      Walipoenda kumkamata Yesu pia (Yohana 18:6) Alisema ya kwamba Yeye ndiye (NIKO) wote wakaanguka chini!
      Yesu alithibitisha uungu wake pia alipoapishwa jwa jina la Mungu na kuhani mkuu mbele ya baraza la wazee na walimu wa sheria. Yesu alitumia Jina kuu la Mungu la "NIKO" na kuhani mkuu mara moja akachana mavazi yake kwa kuwa alijua Yesu anajiita Mungu (Marko 14:62)
      Tukumbuke ya kwamba kosa ambalo walitumia kumsulubisha Yesu ni kwa sababu alidai Yeye ni "Mungu."
      Kwenye Yohana 20:28 Tomaso anamwona Yesu baada ya kufufuka, yule Yesu ambaye alikuwa fundi seremala na anamwita Yesu "Mungu Wangu na Bwana Wangu."
      Yesu anaonyesha UUNGU wake pale alipomponya mtu mwenye kupooza kwa kumwambia amemsamehe dhambi zake zote. Walimu wa sheria walikerwa na kusema Yesu anakufuru kwa kuwa ni Mungu tu ndiye anayeweza kusamehe dhambi. Yesu alionyesha UUNGU wake kwa kumponya na kumsamehe dhambi (Marko 2:7)
      Yesu alionyesha UUNGU wake alipotumia maneno ya kuamrisha alipoimbia bahari itulie. Wanafunzi wa Yesu wakasema huyu ni mtu wa namna gani hata mawimbi na upepo vinamtii (Marko 4:40-41, Zaburi 65:7, 107:26, 29)
      Yesu alionyesha uungu wake kwa namna alivyofundisha. Wale maaskari waliohongwa kumkamata. Walifika kwenye tukio wakaishia kumsikiliza siku nzima na walipoulizwa kwa nini hawakumshika wakasema hakuna "mwanadamu" amewahi kufundisha kama Yeye. Hapa pia anathibitisha uungu wake (IYohana 7:46).
      Yohana anasema hapo mwanzo alikuwako Neno, huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu, naye Neno alikuwa Mungu na huyu neno alifanyika mwili akakaa miongoni mwetu (Yohana 1:1, 14)
      Paulo anasema katika Warumi 9:5 kwamba Yesu ni Mungu aliye juu ya vyote.
      Paulo anasema UUNGU WOTE (hakuna sehemu iliyobakishwa hata chembe ndogo) wa Mungu ulikaa ndani ya Yesu alipokuwa duniani (Wakolosai 2:9)
      Huyu Yesu atarudi tena mara ya pili na kuwapa waamini wanaomwishia mwili mpya wa utukufu na atawachukua kuishi nao milele na milele.

    • @fundimau2379
      @fundimau2379 7 месяцев назад +1

      Usisome Biblia kama nyimbo hiyo tito 2:13 kuna kituo simama kidogo utaona utofauti (,)

  • @chchafanuel
    @chchafanuel 3 месяца назад

    Umemaliza vema, yatosha kumwamini Yesu ni mwokozi wetu yatosha. Maana awajua waliowake toka wakiwa tumboni mwa mama zao. Amina.

  • @tajiriwaroho
    @tajiriwaroho 8 месяцев назад +4

    GWAJIMA ANATAKIWA AKasome kwa lusekelo

  • @AliHamad-qy9ks
    @AliHamad-qy9ks 8 месяцев назад +9

    MZEE nakufatilia Sana! Na haya unayoyalingania yamo ndani ya QURAN TAKATIFU! Kitabu cha mwisho alichoteremshiwa Mtume wa mwisho MUHAMMAD S. A. W

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 8 месяцев назад

      Wewe nawe tuondolee kitabu Cha kukopikopi

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 8 месяцев назад

      ​@@paulmushi2428pole huna unalolijua...

    • @AliHamad-qy9ks
      @AliHamad-qy9ks 8 месяцев назад +1

      MUNGU anasema katika QURAN TAKATIFU mwambie Paulo mush na wanzake MUNGU NI MMOJA TU! AMETAKASIKA, HAKUZAA WALA HAJAZALIWA, WALA HAFANANISHWI NA KITU CHOCHOTE KILE! MZEE ameamua kuhubiri haki kumtakasa MOLA wake!!, wacha akili ya kukaririshwa! Mfuate MZEE akupe elimu!!

    • @yustomwaisomania2587
      @yustomwaisomania2587 8 месяцев назад

      Nan kasema Quran n kitabu Cha Mungu wakati ni mhuni na Malaya,mbakaji fulan aka kaaa na kuandika

    • @AliHamad-qy9ks
      @AliHamad-qy9ks 8 месяцев назад

      @@yustomwaisomania2587 YESSU amesema katika bibilia QURAN TAKATIFU ndio kitakuwa kitabu cha Mwisho Na MUHAMMAD S. A. W 'amemtaja ndani ya BIBILIA kwamba atakuja kufanya kazi hiyo hiyo ya kwrmba MUNGU ni mmoja HAKUZAA wala KUZALIWA na yeye die anaestahili peke yake kuabudiwa!!! . Muombe MZEE MSEKELO awatolee na fundisho hili pia kwani analitambua na kulifahamu vizuri

  • @betsonishengoma3263
    @betsonishengoma3263 8 месяцев назад +2

    Unapoendelea na maelezo yako naomba Ufafanue Yohana 10:31-33 na hasa (Mst. 33). Unamaanisha nini?
    31 Basi Wayahudi wakaokota mawe tena ili wampige.
    32 Yesu akawajibu, Kazi njema nyingi nimewaonyesha, zitokazo kwa Baba; kwa ajili ya kazi ipi katika hizo mnanipiga kwa mawe?
    33 Wayahudi wakamjibu, Kwa ajili ya kazi njema hatukupigi kwa mawe; bali kwa kukufuru, na kwa sababu wewe uliye mwanadamu wajifanya mwenyewe u Mungu.
    Kumbe hoja Yesu ni Mungu haikuletwa na Wazungu bali ni BWANA YESU MWENYEWE au andiko hili liko kwenye Biblia yangu tu kwako halipo? 😢
    Acha Niiitunze clip hii😂😂😂

    • @sundaystanley5322
      @sundaystanley5322 8 месяцев назад

      Huyu lusekelo kapotoka,c yeye bali ni shetani yupo ndani yake

    • @elifasinimpagaritse7902
      @elifasinimpagaritse7902 7 месяцев назад

      Kwasababu Yesu Ni mwana wa Mungu wayahudi hawakutaka kuamini Hilo maana mtoto wa kwanza wa mfalme Hupewa heshima Kama ya mfalme na Yesu kusema kuwa Mungu ni Baba walimuona kuwa alikuwa akiwambia kuwa yeye ni Mungu mtoto wa mfalme ni mfalme

  • @moseskaluwayo2836
    @moseskaluwayo2836 8 месяцев назад +2

    Very good Bishop. Keep it up

  • @MasikuHajiMasiku
    @MasikuHajiMasiku 2 месяца назад

    Uko sw I'm Muslim masiku khajj God bless you my dad

  • @RashidAlannabhaniy
    @RashidAlannabhaniy 2 месяца назад

    Wew mkristo wapekee mwenye Imani thabit nawaislamu katka kuitakidi yesu ninan naamekuja kwaajili yanin Allah akuongoze zaid katka kuijua haki zaidi yahapi

  • @modhanchanelyoutube4746
    @modhanchanelyoutube4746 8 месяцев назад +1

    Uposahii mungu azai Wala ajazaliwa nakupenda sanaaaah baba wazungu wanatualibu Mungu akufunue zaidi

  • @MichaelMathew-j3f
    @MichaelMathew-j3f 8 месяцев назад

    Mzee wa upako nitakapofika Mbinguni, nitamwona Yesu na Mungu na roho mtakatifu!! Mzee wa upako. Ww ni mpagani!! Nimejua. Neno ilifanyika mwili ikaja kwetu nasi tukaona utukufu wake. Yohana 1:14. Yesu ni Mungu. Tito2:13. Yohana 14:6-8. Soma mzee wa upako. 1 Yohana 4:1-3. Yohana 3:17-18. Yesu ni Mungu, nimekuacha hapaa.

    • @nassorsharifu9837
      @nassorsharifu9837 8 месяцев назад

      Ameshasoma zote hizo

    • @nassorsharifu9837
      @nassorsharifu9837 8 месяцев назад

      Angalia vizuri mistari yako ya mwanzo hiyo; utamuona Yesu na Mungu na roho mtakatifu'

    • @nassorsharifu9837
      @nassorsharifu9837 8 месяцев назад

      Nimecheka sana mtu anatafsiri mpaka Mbeya

    • @nassorsharifu9837
      @nassorsharifu9837 8 месяцев назад

      tayari imejitafsiri yenyewe kabisa

    • @MichaelMathew-j3f
      @MichaelMathew-j3f 8 месяцев назад

      @@nassorsharifu9837 siwezi kufuata mafundisho ya huyu jamaa hata siku mmoja.

  • @anthonyezekiel930
    @anthonyezekiel930 8 месяцев назад +1

    Sawa mtumishi wa mungu

  • @ackleiambrosi7182
    @ackleiambrosi7182 8 месяцев назад

    Matendo ya Mitume 20:28
    [28]Jitunzeni nafsi zenu, na lile kundi lote nalo, ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa waangalizi ndani yake, mpate kulilisha kanisa lake Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe.

    • @paulomlekwa192
      @paulomlekwa192 7 месяцев назад

      Jiangalieni wenyewe na kundi lote, ambalo kati yake roho takatifu imewaweka ninyi rasmi muwe waangalizi, mlichunge kutaniko la Mungu, ambalo alilinunua kwa damu ya Mwana wake mwenyewe

    • @paulomlekwa192
      @paulomlekwa192 7 месяцев назад

      Soma na hiyo

    • @paulomlekwa192
      @paulomlekwa192 7 месяцев назад

      Jihadharini wenyewe; lilindeni lile kundi ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi muwe walezi wake. Lichungeni kanisa la Mungu ambalo amejipatia kwa damu ya Mwanae.

  • @paulomlekwa192
    @paulomlekwa192 7 месяцев назад

    Tafsiri nyingi za biblia zinazotaja kwamba Mwenyezi Mungu ndiye yesu watafsiri waliasiliwa na mapokeo...wasomaji someni tafsiri mbalimbali na kwa lugha tofauti tofauti...
    Hiyo matendo 20:28 mnayotumia je mmesoma tafsiri kama hizi?
    Jihadharini wenyewe; lilindeni lile kundi ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi muwe walezi wake. Lichungeni kanisa la Mungu ambalo amejipatia kwa damu ya Mwanae.

    Jiangalieni wenyewe na kundi lote, ambalo kati yake roho takatifu imewaweka ninyi rasmi muwe waangalizi, mlichunge kutaniko la Mungu, ambalo alilinunua kwa damu ya Mwana wake mwenyewe.

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc 8 месяцев назад

    Yohana5:18,Hauwezikusema Yesu sio Mungu na ukasema ni Mtoto wa Mungu,Isaya9:6,7:14 Mathayo1:21,23

  • @KaydenBaby
    @KaydenBaby 8 месяцев назад +3

    Maandiko mengi yapo yanayoonesha kristo ni mungu kamili soma Yohana 10:30 pia 1yohana 5:20

    • @zaharanshekilango46
      @zaharanshekilango46 8 месяцев назад

      Maandiko yanawachanganya maana kila mtume anaandika lake

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 8 месяцев назад

      Acha uongo ww , MAANDIKO' mengi ndani ya biblia yanakataa UUNGU wa Yesu Tena MAANDIKO' mengi yanayokataa yanatoka kinywani nwa Yesu,..!
      Hebu fafanua andiko hili, Tena ni Yesu mwenyewe anasema, sio hayo MAANDIKO' ya kusemewa na watu, sikiliza hili andiko
      'NA UZIMA WA MILELE NDIO HUU' WAKUJUE WEWE MUNGU WA PEKEE WA KWELI NA YESU KRISTO ULIYEMTUMA ..
      Sasa jiulize mwenyewe Kwa Nini MAANDIKO' yanaingiliana Kisha utajua,🤣🤣🤣

  • @deusobadia8974
    @deusobadia8974 8 месяцев назад +1

    Ufunuo wa Yohana2:10 Usiogope mambo yatakayokupata; tazama, huyo Ibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani ili mjaribiwe, nanyi mtakuwa na dhiki siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufa, nami nitakupa taji ya uzima.

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 8 месяцев назад +3

    Jina la Mungu ni lipii lusekelo ,
    Rusekelo jina la Mungu ni Yesu kristo, Yesu ni Mungu katika sura ya Binadamu, jinaleke Mungu ni Yesu kristo,
    Yesu ni Mungu Mkuu ,

    • @selemanmasanja7878
      @selemanmasanja7878 7 месяцев назад

      Kwahiyo MUNGU ni mapacha

    • @selemanmasanja7878
      @selemanmasanja7878 7 месяцев назад

      Mtoto wa Mungu wa kwanza ni Yesu kristo kabla ya viumbe vyote na uumbaji wowote YESU NI MWANA WA MUNGU

    • @cleophacephelician6739
      @cleophacephelician6739 4 месяца назад

      Elisha we ndo umekariri maandiko

  • @moseskatega8441
    @moseskatega8441 8 месяцев назад +2

    Uko sahihi kabisa Mzee wa upako.Yesu anasomeka akisema" Naenda kwa Mungu wangu aliye Mungu wenu.
    Biblia imeandikwa na Wazugu kwa nia zao.Hata kabla ya Biblia, Mungu tulimjua na aliwatendea watu kama walivyomuomba.Mimi hata hilo jina Yesu walilitunga Wagiriki.Ni IESUS CHRISTOS.Maana SUS ni jina la Mungu wa Wagiriki wa kale.Jina halikutoka kwa Mungu.

  • @ipyanageorge8211
    @ipyanageorge8211 8 месяцев назад +2

    Yesu anasema Mimi ni njia kweli na uzima... mtu haendi kwa baba ila kwa jina langu

  • @IsmailKhamis-c3t
    @IsmailKhamis-c3t 29 дней назад

    Mti wenye matunda ndiyo unaopigwa mawe h akika mwenye macho ameona na mwenye masikio amesikia kwa wale wanosubiri mapokeo sasa wakasome mzee wa upako umemaliza tena kwa ushahidi wa aya tele kutoka ktk bibilia hakika mungu ni mmoja na yesu ni mtume

  • @aloycembaruku
    @aloycembaruku 8 месяцев назад +2

    Kwa akili huru unaeleweka.Tatizo watu walilishwa itikadi za dini bila maandiko.But mm nimekuelewa mnoo.Hata Yesu msalabani alisema Mungu wangu Mungu wangu mbona umeniacha? Sasa aliyemuacha Yesu hapo ni Mungu Yupi ikiwa Yesu ndio Mungu? Barikiwa sana Mzee

    • @msangiramadhan1911
      @msangiramadhan1911 8 месяцев назад

      Yani ukichoongea kinaeleweka Kwa wepesi bila ushabiki

  • @ClaudKitoki
    @ClaudKitoki 3 месяца назад

    Kwa jina la Yesu na Roho mtakatifu msaidizi wetu tulioachiwa aniongoze hili nililetalo kwa ufahamu wa kiroho Mungu kwa utaratibu wake wa kimungu anaouwezo wa kujigeuza kivyovyote ili tusimuone alivyo maana isoingewezekana muona uhai ungepotea ndio maana alijitamkia na kujibadiri na kuwa kiumbe hai katika sura ya kibinadamu aliempenda na kutaka kumuepusha na Hila za Adui shetani.Inaonyesha umejielevusha na ukapitiliza ukapotea,uelevi mwingi ni upotevu

    • @ClaudKitoki
      @ClaudKitoki 3 месяца назад

      Sidhani walio ndani ya kristo wataunga nawe Bali ni wa upande ule mwingine

  • @meshack_kaleb
    @meshack_kaleb 3 месяца назад +2

    Yohana 17:5
    [5]Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako.
    And now, O Father, glorify thou me with thine own self with the glory which I had with thee before the world was. HAYA NI MANENO YA YESU Aliyefanyika mwili ila AKIONESHA ASILI YAKE NA UTUKUFU WAKE NA NAFASI YAKE HAPO KABLA YA KUJA ulimwenguni ilikuwaje yaani UTUKUFU WA BABA NA MWANA ULIKUA MMOJA..

  • @hajisalimmhina3983
    @hajisalimmhina3983 Месяц назад

    Haina chenga hiyo iko wazi

  • @paulmwangoka
    @paulmwangoka 8 месяцев назад

    ahsante chief mwantembe Kwa somo Hilo ubalikiwe Sana

  • @rehemaomary842
    @rehemaomary842 8 месяцев назад +3

    Wafundishe waelewe maana tunatkiwa maana baba anavyofundisha kwamba Yesu sio mungu mumuelewe sana Chifu anavyo fundisha mimi mwenyewe nimemuelewe.

  • @Adoullahsal
    @Adoullahsal 8 месяцев назад +1

    Asante Mzee

  • @goldenshadrackmsungu3664
    @goldenshadrackmsungu3664 8 месяцев назад +1

    Endeleza tu....Yesu sio Mungu.

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 5 месяцев назад +1

    Ibilisi mkubwa wewe mzee wa upako

  • @hafidhseif9638
    @hafidhseif9638 8 месяцев назад +2

    Mzee wa upako sema kweli, mungu ni mmoja tu,jata hivyo yesu mwenywe hakuna sehemu yoyote kwenye biblia aliojiita mungu,hakuna .lakini yesu anasema na uzima wa milele ndio huu wakujue wewe mungu wa pekee na wakweli na yesu kiristo uliye mtuma.

    • @salangtvone
      @salangtvone 3 месяца назад

      jesus is son of God si binadamu kama MUHAMMAD Ndo tofauti

    • @salangtvone
      @salangtvone 3 месяца назад

      kiufupi ni mwana wa mfalme (mungu muumba wa kila kitu na mkuu katika yote) ila tambua yesu si binadamu ni mwana wa mungu

    • @hafidhseif9638
      @hafidhseif9638 3 месяца назад

      @@salangtvone ndugu yangu soma kwanza usibishane bila elimu, hapa duniani tunapita na sio sehemu ya mchezo mungu katuleta kwa lengo la kumjua na kumuabudu ,yeye peke yake, hana mwana wana baba wala mama , hakuzaa wala hakuzaliwa ,na hana mshirika katika kaxi zake, wala hafanani na chochote kile, hali wala hajwi ,halali wala hachoki, hafi wala hakuna aliye muona au kumshika MUNGU, SOMA UMJUE MUNGU MUUMBA WA VYOTE, Okoa nafsi yako mapema kabla umauti hauja kufika kila mtu anakwenda kuhukumiws kivyake ,hakuna ushabiki huko wala haskhara wala utani wala ubishi, soma umjue mungu ili umuabudu unusuru nafsi yako , Nakuombea mungu akuongoze uijue haki

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 5 месяцев назад

    Pole sana kaka kwa yaliyokupata najisikia vibaya sana juu yako nakumbuka enzi za kule ileje ulipohubili na kusema yesu ni mungu leo unajipinga mwenyewe

    • @SumaAbduly
      @SumaAbduly 4 месяца назад

      Kaelewa ukwer wewe Baki gizani

    • @eliyandondole
      @eliyandondole 3 месяца назад

      Bas nikipepeo kama huku sio Mungu huku ni mungu atuambie yesu ninani mbona hanyoki

  • @mrdeniskomba6199
    @mrdeniskomba6199 8 месяцев назад

    Kazi tunayo, Kujua yesu ni mungu au si mungu hainifaidii lolote kama naishi bila Yesu.

  • @Jamalkishangu
    @Jamalkishangu 7 месяцев назад +1

    Huyu ni msomi na mmoja ya watu wachache wanao sema kweli.

  • @JamesLue
    @JamesLue 8 месяцев назад

    adui anatoa makombora yake kutikisa kanisa ili kuwamwaga nje wasioelewa maandiko. Tumeona ya C. Shusho, sasa ya mzee wa upako, naamini watafuata na wengine wenye hoja ambazo ziko NJE ya mpango wa Mungu ili kuyumbisha imani za wachanga kiroho na kuwazuia wengine kuingia kwenye Ufalme. Pole kwa wanaofuata walimu kama huyu.

  • @farajisewe7416
    @farajisewe7416 8 месяцев назад +2

    Takbiir
    slowly the truth will be revealed
    Sijajawahi tegemea kusikia maneno haya ambayo yapo ndani ya quraan tangia enzi na enzi... umefafanunua very clear.
    Bado unahitaji spanner kigodo tu ili uslim.

    • @JosephGhapi
      @JosephGhapi 3 месяца назад

      Waarabu wameua watu wamewafunga minyororo alafu badae wakaleta stori zao je kati yao na sisi na wao nani alipaswa kumhubiri mwenzie

  • @rashidmpozayo7004
    @rashidmpozayo7004 8 месяцев назад

    Nakuelewa sana mzee wa Upako... endelea kutuelimisha

  • @AnthonyKiwango
    @AnthonyKiwango 6 месяцев назад

    YESU NI MUNGU KWA SABABU AMETOKA KWA MUNGU ILA KWA ASILI YESU NI MWANA MZALIWA PEKEE WA MUNGU NI SAWA NA MTU ALIYEZALIWA NA MTU SI MTU: ILA MUNGU AMBAYE NI MMOJA MWENYE NAFSI MOJA NI BABA(YEHOVA)

    • @SwahibuAthuman-yv2mn
      @SwahibuAthuman-yv2mn 4 месяца назад

      Mungu gani alibatizwa?mungu gani aliekuwa analili emungu wangu usinitupe?mungu gani alitailiwa?amkeni ndugu zangu mzee wa upako yupo sawa

  • @edinajairo
    @edinajairo 5 месяцев назад

    Yesu ni njia ya kweli na uzima m2 haji kwake mungu bila kupitia kwa yesu

  • @philipojmwaipopo949
    @philipojmwaipopo949 8 месяцев назад

    Wewe mzee unazeeka vibaya sana

  • @IsmailKhamis-c3t
    @IsmailKhamis-c3t 29 дней назад

    Huyu ndiyo msomi wakiristo wote kasomeni kwa Mzee wa upako

  • @budebadeus3429
    @budebadeus3429 2 месяца назад

    Mm pia nakubal sana maneno yko watu hawasomi wanasomewa bible na kubak kutabiriwa t na mapatel wa dini

  • @PiusNjelekela
    @PiusNjelekela 8 месяцев назад

    ulipoishia ufahamu wako asante baba

  • @InviolataLuena-f2j
    @InviolataLuena-f2j 5 месяцев назад

    Heriiii, Nimeelewa hoja yako kuwa Hakuna MUNGU WATATU ila unazunguka sana. Emanuel ni MUNGU pamoja nasi. Kamsikilize BABA HALISI KANISA HALISI Utafurahi. Hongera kwa bidii. By HERI

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 8 месяцев назад

    Ktk 11:30 umesema Mungu hazai umekosea,Mungu anazaa ila hazai kama unavyozania wewe ,ila anazaa kwa kutumia Neno,ktk waebrania anasema hivo

    • @niffonlinetz7214
      @niffonlinetz7214 8 месяцев назад

      DUUUH KICHWA KISICHO NA AKILI MALIZIA MWENYEWE ANKO 😂

  • @JimWaro
    @JimWaro 3 месяца назад +1

    Wenye hekima ya Mungu muombeeni huyu mzee AONE na APONE.

  • @AlmasKiloba-z6n
    @AlmasKiloba-z6n 4 месяца назад +1

    Mungu akulinde mm muislam hakika unafaa kuungana n walim w kiislam hakuna mungu alie zaliwa n mwanamke

  • @moseskatega8441
    @moseskatega8441 8 месяцев назад +3

    Mimi namuamini Mungu ila habari za Yesu ni stori kama stori zingine.

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 8 месяцев назад

    Mzee unafundisha vizuri sana wawekee hapo na Maandiko

  • @shabaniselemani9159
    @shabaniselemani9159 8 месяцев назад +2

    Huyu jamaa kasoma na yupo sahihi sana

  • @anjeloghuliku2274
    @anjeloghuliku2274 5 месяцев назад +1

    Ibilisi Huwa anajihirisha mwishoni amefikia.

  • @ShabaniMzenzi
    @ShabaniMzenzi 3 месяца назад

    Wachache sana mzee wanaolijuahili

  • @EnockRubeto
    @EnockRubeto 3 месяца назад

    🎉wewe nikichwa

  • @JamesLue
    @JamesLue 8 месяцев назад

    Kama unakiri kwamba inahitaji milele kujua sehemu ndogo sana ya Mungu; kwa nn unaongea kana kwamba wewe unajua yote kuhusu hicho ulichosema? Kwa nn usiseme kwamba yawezkana nawe hujui kama unavyodai wengine hawajui? Pole kwa wanaofuata wahubiri kama huyu. Pole yao sana.

  • @RizikiRamazani-u6s
    @RizikiRamazani-u6s 7 месяцев назад

    Tafadhali sana, hacheni kupotosha watu na tamaduni za kigeni, fuateni tamaduni zeni, kwa nini mnazidi kufunga watu minyonyo na upotofu kwenye fikra za watu

  • @moseskatega8441
    @moseskatega8441 8 месяцев назад +1

    Yesu sio Mungu

  • @givenaron5427
    @givenaron5427 8 месяцев назад

    Wanafunzi pendi Yesu anapaa walimuomba awaonyeshe Mungu aliwajibu nilikuwa nanyi siku 40 hamkunitambua, na Shetani alipokuwa anamjaribu Yesu alijibiwa direct kwamba usimjaribu bwana Mungu wako.

  • @anthonyezekiel930
    @anthonyezekiel930 4 месяца назад +2

    Wewe kichwa sio chakuchezea

  • @bakariiddy5252
    @bakariiddy5252 8 месяцев назад

    Of course, lam yalid walam yuulad, anasema Mungu mwenyewe.
    Mzee wa upako uko sahihi asilimia zote.

  • @AllyPawaga
    @AllyPawaga 8 месяцев назад +1

    Biblia imechakachuliwa sana Allah awaongoze muijue haki

    • @kamwene
      @kamwene 6 месяцев назад

      Shida siyo biblia , au dini fulani, shida ipo kwa wanaojiita "waalimu na watumishi wa Mungu" jinsi wanavyowaelekeza watu kuhusu yaliyomo kwenye maandiko....

  • @sagudamaduhu-yf9se
    @sagudamaduhu-yf9se 2 месяца назад

    1 Yohana 4:9 Katika hili pendo la Mungu lilionekana kwetu, kwamba Mungu amemtuma Mwanawe pekee ulimwenguni, ili tupate uzima kwa yeye.

  • @ValerioKiputa-be6vt
    @ValerioKiputa-be6vt 8 месяцев назад +4

    Uko sawa kabisa Mzee wa upako. Watu tunajua hivyo utatu ni upagani na ndiyo maana wanaita fumbo la Imani!

  • @Barikimgalla-u9i
    @Barikimgalla-u9i 3 месяца назад

    Sawa mzeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.

  • @venerandamaufi8574
    @venerandamaufi8574 7 месяцев назад

    Tatizo mnakuwa na mawazo potofu ya kibinadamu,kwamba mtu akitaka kuzaa afuate taratibu kdhaa! Mnakufuru na kuchuma dhambi! Kumbuka Mungu ni mkuu na kwa utukufu wake na uweza wake wa ajabu!bila hayo mnayofikiria ninyi ,Yesu alpatikana kupitia mama Bikira Maria!,Yesu atabaki kuwa mwana wa Mungu in na ni Mungu ktk nafsi ya pili ya Mungu.

  • @AbasiAbasi-v9d
    @AbasiAbasi-v9d 2 месяца назад

    Tatizo n uwelewa tu wa watu

  • @FasilKais
    @FasilKais 3 месяца назад

    Kuna mwaka walisema kule morogoro yesu sio mungu weeeeh)( kwa manemo haya kweli sasa wewe ni ktumiahi wa mungu

  • @SelemaniRingia
    @SelemaniRingia 7 месяцев назад +1

    Mzee wa upakoo!!!... Mimi nakwambia hiviii....Soma maandiko vizuri na jifunze upyaa juu ya YESU KRISTO MUNGU MWENYE NGUVU...🙏

  • @ShannyBrowntz
    @ShannyBrowntz 7 месяцев назад

    Jamaa wanambinu chafuu sana etii kwakusema Yesu sio Munguu wamempa kesii ya Ushoga ,,

  • @deusobadia8974
    @deusobadia8974 8 месяцев назад +1

    Mstari wa leo : Yohana9:4 Imetupasa kuzifanya kazi zake yeye aliyenipeleka maadamu ni mchana, usiku waja asipoweza mtu kufanya kazi. ( Ni watu WA usku. Hao hawajui maandiko Neno la Mungu moyoni mwao hawana wanaigiza wamelala. Hata Mimi nilikuwa sjui kabisa hata kidogo ila Sasa Neno ninalo YESU KRISTO sio Mungu kabisa bari ni mtoto WA Mungu. Roho WA Mungu alikuwa akitenda KAZI ndani yake. Mungu ni roho.

  • @salangtvone
    @salangtvone 3 месяца назад

    mimi nimekuelewa vzuri sana kwa ufupi chanzo cha mtoto yoyote duniani ni baba na baba ni mkubwa kuliko mwana so mungu ndo chanzo cha yesu (so yesu ni mungu( kwa asili) ila si mkuu kama mungu baba hivyo mungu wa kila kitu ni mungu si yesu

  • @FasilKais
    @FasilKais 3 месяца назад

    Tena tuambie yesu anasema yeyote anae tenda mema ni mwana wa mungu umesema kweli sisi wote wana wa mungu )( sio kwa kutuzaaa ila kwa iutu umba )( heko kzee wa upako

  • @michaelmlyuka6032
    @michaelmlyuka6032 8 месяцев назад

    Mbona unachanganya mada mzee wa Upako

    • @seifmiraji43
      @seifmiraji43 4 месяца назад

      Hutaki kuelewa tu ndo tatizo

  • @felixgitonga6783
    @felixgitonga6783 8 месяцев назад

    Yesu kristo ni mwana wa mungu na ako na mungu mungu wake amutia mafuta

  • @meshack_kaleb
    @meshack_kaleb 3 месяца назад

    Isaya 9:6
    [6]Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa,
    Tumepewa mtoto mwanamume;
    Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake;
    Naye ataitwa jina lake,
    Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu,
    Baba wa milele, Mfalme wa amani.
    For unto us a child is born, unto us a son is given: and the government shall be upon his shoulder: and his name shall be called Wonderful, Counsellor, The mighty God, The everlasting Father, The Prince of Peace.

  • @ConfusedIslandVacation-nh9wc
    @ConfusedIslandVacation-nh9wc 8 месяцев назад +2

    Kwa mala ya kwanza nimeona mchungaji msomi kulikon wachungaji wote tanzania

  • @JoelWaziaTayari
    @JoelWaziaTayari 8 месяцев назад

    Nimeamini wewe siyo mtumishi wa Mungu aliyehai bali weweni ajenti wa shetani, hakika,wewe ni miongoni mwa manabii wauongo wanaoitesa Dunia hii! Njaa inakusumbua pole sana mpendwa!