YESU NI MUNGU AU SIO MUNGU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 май 2024
  • #GRC kwa mzee wa upako (Athony Lusekelo)
    Follow our Social Media:
    FB: / mzeewaupakotzz
    IG: / mzeewaupako_tz
    TIKTOK: / mzee__wa__upako
    Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda.
    Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia runinga ya channel ten na zaidi ya watu milioni 1.7 wanaungana na Mzee wa upako kupitia majukwaa yake ya mitandao ya kijamii ulimwenguni.
    Mzee wa upako anaweza kusikika 24/7 kwenye channel zake za RUclips Mzee wa upako na TUTASHINDA CHURCH. Ungana na Askofu Antony Lusekelo kwenye Instagram Mzeewaupakotz.

Комментарии • 544

  • @johnchalahani6924
    @johnchalahani6924 Месяц назад +2

    Uko sahihi mzee wa upako ni sahihi kabisa Yesu siyo Mungu bali ni mwana wa Mungu. Yesu ni kiunganishi kati ya mwnadamu na Mungu baba.

  • @moseskatega8441
    @moseskatega8441 Месяц назад +2

    Uko sahihi kabisa Mzee wa upako.Yesu anasomeka akisema" Naenda kwa Mungu wangu aliye Mungu wenu.
    Biblia imeandikwa na Wazugu kwa nia zao.Hata kabla ya Biblia, Mungu tulimjua na aliwatendea watu kama walivyomuomba.Mimi hata hilo jina Yesu walilitunga Wagiriki.Ni IESUS CHRISTOS.Maana SUS ni jina la Mungu wa Wagiriki wa kale.Jina halikutoka kwa Mungu.

  • @samoraasura3909
    @samoraasura3909 Месяц назад +3

    Ubarikiwe mtumishi kazi nzuri

  • @abdallahjuma2608
    @abdallahjuma2608 Месяц назад +3

    Nakubali saaana mzee mimi muislam ila nakusikiliza saana na najuwa sikumoja uta silimu 😊

  • @hafidhseif9638
    @hafidhseif9638 Месяц назад +2

    Mzee wa upako sema kweli, mungu ni mmoja tu,jata hivyo yesu mwenywe hakuna sehemu yoyote kwenye biblia aliojiita mungu,hakuna .lakini yesu anasema na uzima wa milele ndio huu wakujue wewe mungu wa pekee na wakweli na yesu kiristo uliye mtuma.

  • @AliHamad-qy9ks
    @AliHamad-qy9ks Месяц назад +6

    MZEE nakufatilia Sana! Na haya unayoyalingania yamo ndani ya QURAN TAKATIFU! Kitabu cha mwisho alichoteremshiwa Mtume wa mwisho MUHAMMAD S. A. W

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 Месяц назад

      Wewe nawe tuondolee kitabu Cha kukopikopi

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Месяц назад

      ​@@paulmushi2428pole huna unalolijua...

    • @AliHamad-qy9ks
      @AliHamad-qy9ks Месяц назад +1

      MUNGU anasema katika QURAN TAKATIFU mwambie Paulo mush na wanzake MUNGU NI MMOJA TU! AMETAKASIKA, HAKUZAA WALA HAJAZALIWA, WALA HAFANANISHWI NA KITU CHOCHOTE KILE! MZEE ameamua kuhubiri haki kumtakasa MOLA wake!!, wacha akili ya kukaririshwa! Mfuate MZEE akupe elimu!!

    • @yustomwaisomania2587
      @yustomwaisomania2587 Месяц назад

      Nan kasema Quran n kitabu Cha Mungu wakati ni mhuni na Malaya,mbakaji fulan aka kaaa na kuandika

    • @AliHamad-qy9ks
      @AliHamad-qy9ks Месяц назад

      @@yustomwaisomania2587 YESSU amesema katika bibilia QURAN TAKATIFU ndio kitakuwa kitabu cha Mwisho Na MUHAMMAD S. A. W 'amemtaja ndani ya BIBILIA kwamba atakuja kufanya kazi hiyo hiyo ya kwrmba MUNGU ni mmoja HAKUZAA wala KUZALIWA na yeye die anaestahili peke yake kuabudiwa!!! . Muombe MZEE MSEKELO awatolee na fundisho hili pia kwani analitambua na kulifahamu vizuri

  • @AlfredAlfred-yd2mg
    @AlfredAlfred-yd2mg 8 дней назад

    Yesu mwenyewe hakusema ni
    Mungu acheni kukufuru

  • @moseskaluwayo2836
    @moseskaluwayo2836 Месяц назад +1

    Very good Bishop. Keep it up

  • @rehemaomary842
    @rehemaomary842 Месяц назад +3

    Wafundishe waelewe maana tunatkiwa maana baba anavyofundisha kwamba Yesu sio mungu mumuelewe sana Chifu anavyo fundisha mimi mwenyewe nimemuelewe.

  • @user-zk8sg3iw1z
    @user-zk8sg3iw1z Месяц назад

    Mzee wa upakoo!!!... Mimi nakwambia hiviii....Soma maandiko vizuri na jifunze upyaa juu ya YESU KRISTO MUNGU MWENYE NGUVU...🙏

  • @aloycembaruku
    @aloycembaruku Месяц назад +1

    Kwa akili huru unaeleweka.Tatizo watu walilishwa itikadi za dini bila maandiko.But mm nimekuelewa mnoo.Hata Yesu msalabani alisema Mungu wangu Mungu wangu mbona umeniacha? Sasa aliyemuacha Yesu hapo ni Mungu Yupi ikiwa Yesu ndio Mungu? Barikiwa sana Mzee

    • @msangiramadhan1911
      @msangiramadhan1911 Месяц назад

      Yani ukichoongea kinaeleweka Kwa wepesi bila ushabiki

  • @raheemaamani6158
    @raheemaamani6158 Месяц назад +19

    Mimi ni Muislamu lakini nakufatilia Sana Mzee WA upako napenda Sana maombez yako waambie hao wenzie Yesu sio mungu wala sio mtoto WA mungu Allah akuongoze IPO siku utakuja kwenye njia ya haki

    • @michaeldoroleo4864
      @michaeldoroleo4864 Месяц назад +4

      Njia ya haki ni moja tu nayo ni Yesu kristo,epuka matapeli wengine.

    • @martinjohn7854
      @martinjohn7854 Месяц назад +1

      KWA hili,
      😂 alishaslim KWA siri.

    • @martinjohn7854
      @martinjohn7854 Месяц назад +1

      KWA nini ulijua MIAKA arobaini, lakini unasema leo.

    • @martinjohn7854
      @martinjohn7854 Месяц назад +1

      Na Roho MTAKATIFU ni Mungu?

    • @charlesboniphace2249
      @charlesboniphace2249 Месяц назад +1

      Waambie hao wenzio Mohamed sio nabii Wala allah sio Mungu ,Mungu ni YEHOVA hakikisha unasoma vzr vitabu

  • @LeocardiaDaniel-sj3wl
    @LeocardiaDaniel-sj3wl Месяц назад +5

    Asante kwa kufafanua Jambo Hilo maake limechanganya watu wengi.Ubarikiwe Sana.

  • @deusobadia8974
    @deusobadia8974 Месяц назад +1

    Mstari wa leo : Yohana9:4 Imetupasa kuzifanya kazi zake yeye aliyenipeleka maadamu ni mchana, usiku waja asipoweza mtu kufanya kazi. ( Ni watu WA usku. Hao hawajui maandiko Neno la Mungu moyoni mwao hawana wanaigiza wamelala. Hata Mimi nilikuwa sjui kabisa hata kidogo ila Sasa Neno ninalo YESU KRISTO sio Mungu kabisa bari ni mtoto WA Mungu. Roho WA Mungu alikuwa akitenda KAZI ndani yake. Mungu ni roho.

  • @juliusmartin1839
    @juliusmartin1839 Месяц назад +6

    Tito 2:13 tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;
    Tito 2:14 ambaye alijitoa nafsi yake kwa ajili yetu, ili atukomboe na maasi yote, na kujisafishia watu wawe milki yake mwenyewe, wale walio na juhudi katika matendo mema.

    • @rangowauswazy8430
      @rangowauswazy8430 Месяц назад +2

      Hivi wewe mtu unaakili timamu unaminishwa yessu ni mungu kweli yani mungu kabigwa makwaju na mijeledi na watu aliowaumba mungu kasulubiwa weka akili yako huru udogoni tulilishwa mafunzo saivi ushakuwa tumia akili zako kuelewa bila kufikiria uliolishwa numa

    • @allysaidlyambange4500
      @allysaidlyambange4500 Месяц назад

      Mwokozi=Holly spirit
      Mungu mkuu=yehova
      Yesu kristo=yesu
      TUMAINI LA PEKEE

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 Месяц назад +1

      Kwa hiyo Yesu jina lake lingine ni YEHOVA. ?....yaani akili ndogo kabisa ya MAANDIKO',...!
      Ukishamaliza hayo MAANDIKO' tuambie na MAANDIKO' mengine ambayo Yesu mwenyewe anasema
      'NA UZIMA WA MILELE NDIO HUU' WAKUJUE WEWE MUNGU WA PEKEE WA KWELI ,NA YESU KRISTO ULIYEMTUMA..!
      🤣🤣🤣...Ndugu usigombane na watu , gombana na biblia Yako Kwa MAANDIKO yanayopingamana...🤣🤣🤣

    • @bensonmsando
      @bensonmsando 19 дней назад

      Yesu ana asili moja na Mungu na ni sawa na Mungu. Yesu hajaumbwa na amekuwepo tangu milele na milele. Mika 5:2 inasema kwamba kutokea Bethlehem Efrata atatokea mtawala katika Israeli ambaye mwanzo wake umekuwepo toka milele na milele. Yesu alikuwepo tangu milele na milele, kabla ya dunia, milima, bahari wanyama, malaika au chochote kuwepo!
      Isaya 9:6, 7:4 inasema ya kwamba Yesu ni Mungu Mwenye Nguvu, Baba wa Milele, Mfalme wa Amani na Mshauri wa Ajabu
      Wafilipi 2:6 inasema ya kwamba Yesu alikuwa sawa na Mungu kwa asili na AKACHAGUA "kujivua" utukufu wake akazaliwa na umbo la wanadamu (Yesu hakuwa mwanadamu ila ameamua kuwa mwanadamu milele kwa ajili yetu). Pia, Yesu alichagua kuzaliwa kwa sababu anasema "Mimi nilikuja...."
      Yohana 17:5 Yesu anamwambia Mungu katika maombi kwamba amrudishie utukufu uleule waliokuwa nao pamoja kabla dunia haijaumbwa.
      Yohana 8:58 Yesu aliwajibu mafarisayo akawaambia kwamba kabla Ibrahimu hajazaliwa "Yeye ni Niko." Niko ni jina takatifu la pekee ambalo Mungu alijifunua nalo kwalo kwa Musa na taifa la Israeli (Kutoka 6:2-3). Jina hilo lilitajwa wakati wa sikukuu ya upatanisho na wakati kuhani alipokuwa anasema "baraka." Mtu yoyote ambaye angelitaja hilo jina takatifu, la ufahari na la kuogofya alipigwa mawe hadi kufa (Mambo ya Walawi 24:11, 16 Kumbukumbu la Torati 28:58) Jina "NIKO" ndilo jina Yesu analolitumia hapa katika Yohana 8:58 na walijua hakuna mtu aliruhusiwa kulitaja hilo jina kwa sababu ni kufuru kubwa ya kujilinganisha na Mungu.
      Walipoenda kumkamata Yesu pia (Yohana 18:6) Alisema ya kwamba Yeye ndiye (NIKO) wote wakaanguka chini!
      Yesu alithibitisha uungu wake pia alipoapishwa jwa jina la Mungu na kuhani mkuu mbele ya baraza la wazee na walimu wa sheria. Yesu alitumia Jina kuu la Mungu la "NIKO" na kuhani mkuu mara moja akachana mavazi yake kwa kuwa alijua Yesu anajiita Mungu (Marko 14:62)
      Tukumbuke ya kwamba kosa ambalo walitumia kumsulubisha Yesu ni kwa sababu alidai Yeye ni "Mungu."
      Kwenye Yohana 20:28 Tomaso anamwona Yesu baada ya kufufuka, yule Yesu ambaye alikuwa fundi seremala na anamwita Yesu "Mungu Wangu na Bwana Wangu."
      Yesu anaonyesha UUNGU wake pale alipomponya mtu mwenye kupooza kwa kumwambia amemsamehe dhambi zake zote. Walimu wa sheria walikerwa na kusema Yesu anakufuru kwa kuwa ni Mungu tu ndiye anayeweza kusamehe dhambi. Yesu alionyesha UUNGU wake kwa kumponya na kumsamehe dhambi (Marko 2:7)
      Yesu alionyesha UUNGU wake alipotumia maneno ya kuamrisha alipoimbia bahari itulie. Wanafunzi wa Yesu wakasema huyu ni mtu wa namna gani hata mawimbi na upepo vinamtii (Marko 4:40-41, Zaburi 65:7, 107:26, 29)
      Yesu alionyesha uungu wake kwa namna alivyofundisha. Wale maaskari waliohongwa kumkamata. Walifika kwenye tukio wakaishia kumsikiliza siku nzima na walipoulizwa kwa nini hawakumshika wakasema hakuna "mwanadamu" amewahi kufundisha kama Yeye. Hapa pia anathibitisha uungu wake (IYohana 7:46).
      Yohana anasema hapo mwanzo alikuwako Neno, huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu, naye Neno alikuwa Mungu na huyu neno alifanyika mwili akakaa miongoni mwetu (Yohana 1:1, 14)
      Paulo anasema katika Warumi 9:5 kwamba Yesu ni Mungu aliye juu ya vyote.
      Paulo anasema UUNGU WOTE (hakuna sehemu iliyobakishwa hata chembe ndogo) wa Mungu ulikaa ndani ya Yesu alipokuwa duniani (Wakolosai 2:9)
      Huyu Yesu atarudi tena mara ya pili na kuwapa waamini wanaomwishia mwili mpya wa utukufu na atawachukua kuishi nao milele na milele.

    • @fundimau2379
      @fundimau2379 16 дней назад +1

      Usisome Biblia kama nyimbo hiyo tito 2:13 kuna kituo simama kidogo utaona utofauti (,)

  • @AliHamad-qy9ks
    @AliHamad-qy9ks Месяц назад +1

    anahubiri kwa kunukuu ukweli uliomo ndani bibilia! ambao pia unapatikana ndani ya kitabu cha Mwisho alichoteremsha MUNGU Muumba MBINGU NA ARDHI kwa Mtume wa mwisho wa ulimwengu Mzima MUHAMMAD S. A W

  • @juliussamwel6606
    @juliussamwel6606 Месяц назад +3

    Yesu alisema kabla ya ibrahimu yeye yupo .alikuwa wapi Mungu hauwezi kumfananisha kwa kibinadamu tafakari vizuri.Askofu

    • @tumowote8879
      @tumowote8879 Месяц назад

      Mwenyezi Mungu aliziumba nafsi za mitume na manabii mwanzo kabla yakutuumba sisi watu wakawaida.
      Yesu kusema hiyo haimanisho kua yeye nimungu

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 Месяц назад

      Sio Yesu tu' hata Mimi na ww na yule tulikuwepo kasome MAANDIKO' usiwe mvivu ww.!,, ushakua usikubali KUKARIRISHWA

    • @edsongodzy386
      @edsongodzy386 Месяц назад

      Hata wewe ulikuwepo tafakari""*

  • @Adoullahsal
    @Adoullahsal Месяц назад +1

    Asante Mzee

  • @mwalimuaman9755
    @mwalimuaman9755 Месяц назад +1

    Mzee wa upako, Mungu akusaidie sana, wewe ni mwanadamu tu, hata Mungu angekuwa mwanadamu wa kujivuna kama wewe angejifunua kwako ila hana hasira kama mwanadamu ni mwingi wa rehema kwetu, nakuombea, siku moja ujue kuwa Yesu ndiye Mungu. Ila nakuhakikishia Yesu ni Mungu ukatae ukubali na Muda si mrefu utajua nakushudia kuwa Yesu ndiye Mungu au si Mungu

    • @khatibabass3106
      @khatibabass3106 Месяц назад +2

      Toa andiko acha blabla

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 Месяц назад

      ​@@khatibabass3106huyo mtumishi wako unaemwamini, ni mtu wa tungi, ndo maana yesu alisema, amelaaniwa yeye anywae kileo, au ampae mtu kileo apate kuona uchi wake, sasa huyo mzee wa upako kalaaniwa, kwakua hua anakunywa mvinyo,

    • @aloycembaruku
      @aloycembaruku Месяц назад

      Kama Yesu ni Mungu angejua cku ya mwisho mbona amesema yeye hajui Wala malaika ila anayejua ni Mungu tu.Halafu soma Ufunuo 1:1 utaelewa

    • @michaelapolonali1289
      @michaelapolonali1289 Месяц назад

      27 Akasema, Nimekabidhiwa vyote na baba yangu; wala hakuna amjuaye Mwana, ila Baba; wala hakuna amjuaye Baba, ila Mwana, na ye yote ambaye Mwana apenda kumfunulia.
      Mathayo 11:27

    • @michaelapolonali1289
      @michaelapolonali1289 Месяц назад

      5 Tomaso akamwambia, Bwana, sisi hatujui uendako; nasi twaijuaje njia?
      Yohana 14:5
      6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
      Yohana 14:6
      7 Kama mngalinijua mimi, mngalimjua na Baba; tangu sasa mnamjua, tena mmemwona.
      Yohana 14:7
      8 Filipo akamwambia, Bwana, utuonyeshe Baba, yatutosha.
      Yohana 14:8
      9 Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?
      Yohana 14:9
      10 Husadiki ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu? Hayo maneno niwaambiayo mimi siyasemi kwa shauri langu; lakini Baba akaaye ndani yangu huzifanya kazi zake.
      Yohana 14:10
      11 Mnisadiki ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu; la! Hamsadiki hivyo, sadikini kwa sababu ya kazi zenyewe.
      Yohana 14:11

  • @user-zs7eq8up5s
    @user-zs7eq8up5s Месяц назад +3

    Umeeleweka sanaaa

  • @farajisewe7416
    @farajisewe7416 Месяц назад +1

    Takbiir
    slowly the truth will be revealed
    Sijajawahi tegemea kusikia maneno haya ambayo yapo ndani ya quraan tangia enzi na enzi... umefafanunua very clear.
    Bado unahitaji spanner kigodo tu ili uslim.

  • @JamesLue
    @JamesLue Месяц назад

    adui anatoa makombora yake kutikisa kanisa ili kuwamwaga nje wasioelewa maandiko. Tumeona ya C. Shusho, sasa ya mzee wa upako, naamini watafuata na wengine wenye hoja ambazo ziko NJE ya mpango wa Mungu ili kuyumbisha imani za wachanga kiroho na kuwazuia wengine kuingia kwenye Ufalme. Pole kwa wanaofuata walimu kama huyu.

  • @williamgeorge-hd2tn
    @williamgeorge-hd2tn Месяц назад +5

    Fundisho hili ilibuelewe lazima uwe mtu huru kwanza

  • @JamesLue
    @JamesLue Месяц назад

    Kama unakiri kwamba inahitaji milele kujua sehemu ndogo sana ya Mungu; kwa nn unaongea kana kwamba wewe unajua yote kuhusu hicho ulichosema? Kwa nn usiseme kwamba yawezkana nawe hujui kama unavyodai wengine hawajui? Pole kwa wanaofuata wahubiri kama huyu. Pole yao sana.

  • @rashidmpozayo7004
    @rashidmpozayo7004 Месяц назад

    Nakuelewa sana mzee wa Upako... endelea kutuelimisha

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 Месяц назад

    Mzee unafundisha vizuri sana wawekee hapo na Maandiko

  • @petermutuku1289
    @petermutuku1289 Месяц назад +2

    Sasa umemalizia vizuri kutokujua si dhambi, cha musingi ni kumpokea Yesu na kumuamini,ndipo tutapona.

  • @deusobadia8974
    @deusobadia8974 Месяц назад +1

    Ufunuo wa Yohana2:10 Usiogope mambo yatakayokupata; tazama, huyo Ibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani ili mjaribiwe, nanyi mtakuwa na dhiki siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufa, nami nitakupa taji ya uzima.

  • @allykaka3484
    @allykaka3484 Месяц назад

    Mungu akufungue akiliyako zaidi ya hapo katika mama aamin.

  • @mrdeniskomba6199
    @mrdeniskomba6199 Месяц назад

    Kazi tunayo, Kujua yesu ni mungu au si mungu hainifaidii lolote kama naishi bila Yesu.

  • @user-wl9ry9tk7p
    @user-wl9ry9tk7p Месяц назад +1

    Uko sahihi tunakuunga mkono na tuko wakristo wengi tunaojua kuwa kuna Yesu na Mungu hao ni wawili tofauti. Tufundishe habari za "WAFU" kama ulivyofundisha habari za Utatu tafadhali.

    • @yusuphbujiku6546
      @yusuphbujiku6546 Месяц назад

      Yoh 20:30 “ mimi na baba tu umoja”
      You 3:1 hapo mwanzo kulikuwapo na neno, naye neno alikuwepo kwa mungu, naye neno alikuwa Mungu, vitu vyote vilifanyika kwa yeye. V14 naye neno alifanyika mwili akakaa kwetu

    • @yusuphbujiku6546
      @yusuphbujiku6546 Месяц назад

      Kati ya yohana na mzee wa upako unamwamini nani

    • @yusuphbujiku6546
      @yusuphbujiku6546 Месяц назад

      MAT.15.14 waachen hao ni viongozi vipofu, na kipofu akimwongoza kipofu mwenzie wote watatumbukia shimoni okoa maisha yako ndugu usimkane Mungu wako

  • @ErastoNzibonera
    @ErastoNzibonera День назад

    Nimekuelewa

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel Месяц назад +1

    Musa halijifanya hanajua sana Mungu akamwambia yupo anayejua kuliko wewe
    Kwa hio Mzee wa hupako Kwa huelewa wako tufundishe zaidi nasi tufahanu
    Je,Yesu ni Nani?
    Maana alikuja mfano wa kibinadamu Sasa Yesu ni Nani?...Tufundishe basi
    Ukisema mtoto wa Mungu Je,Mungu anamtoto?....
    Na kama Yesu ni mtoto wa Mungu na Adamu Je?...
    Embu tufundishane hapo kidogo

  • @ValerioKiputa-be6vt
    @ValerioKiputa-be6vt Месяц назад +3

    Uko sawa kabisa Mzee wa upako. Watu tunajua hivyo utatu ni upagani na ndiyo maana wanaita fumbo la Imani!

  • @umojaupendo6020
    @umojaupendo6020 Месяц назад +5

    Msikubali kupotoshwa. Yesu ni Mungu. Kama asingekuwa Mungu asingalitukomboa.

    • @enockabumba7513
      @enockabumba7513 Месяц назад

      Amina

    • @msangiramadhan1911
      @msangiramadhan1911 Месяц назад

      Mbona alishindwa kumkombia yuda

    • @veraisaria
      @veraisaria Месяц назад

      Amekukomboa wapi wakati maisha magumu ivyo bado unaishi kwa hofu ya kufa magonjwa na umaskini ndiyo usiseme alikuokoaje?😂😂

    • @TBCLINICKYELA
      @TBCLINICKYELA Месяц назад

      Mbona alishindwa kujikomboa mwenyewe.

    • @buharimwanga284
      @buharimwanga284 Месяц назад

      😂😂😂😂😂

  • @user-eo3wj1rc9b
    @user-eo3wj1rc9b Месяц назад

    Nimeamini wewe siyo mtumishi wa Mungu aliyehai bali weweni ajenti wa shetani, hakika,wewe ni miongoni mwa manabii wauongo wanaoitesa Dunia hii! Njaa inakusumbua pole sana mpendwa!

  • @Holiallen
    @Holiallen Месяц назад

    Kwa lugha rahisi sana, Mungu ni Mfalme (King) na Yesu ni mwanamfalme (Crowned Prince) nasi tunao mwamini ni warithi pamoja nae wa ufalme wa Mungu. Kuna mengi yanapotoshwa na mapokeo ya wanadamu lakini ukweli ni kuwa biblia haitetewi, haijipingi ....inajitetea yenyewe inajidhibitisha yenyewe. Ukiona tafsiri yetu ya biblia inahitaji mpaka kuitetea saaana na kuunga unga maandiko, hapo sisi ndio tumepotoka na sii biblia. Hata mzee wetu pia kuna maneno kasema ni mapokeo tu hayana ukweli wowote.

  • @philipojmwaipopo949
    @philipojmwaipopo949 Месяц назад

    Wewe mzee unazeeka vibaya sana

  • @moseskatega8441
    @moseskatega8441 Месяц назад +2

    Mimi namuamini Mungu ila habari za Yesu ni stori kama stori zingine.

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 Месяц назад +2

    Jina la Mungu ni lipii lusekelo ,
    Rusekelo jina la Mungu ni Yesu kristo, Yesu ni Mungu katika sura ya Binadamu, jinaleke Mungu ni Yesu kristo,
    Yesu ni Mungu Mkuu ,

    • @selemanmasanja7878
      @selemanmasanja7878 Месяц назад

      Kwahiyo MUNGU ni mapacha

    • @selemanmasanja7878
      @selemanmasanja7878 Месяц назад

      Mtoto wa Mungu wa kwanza ni Yesu kristo kabla ya viumbe vyote na uumbaji wowote YESU NI MWANA WA MUNGU

  • @paulmwangoka
    @paulmwangoka Месяц назад

    ahsante chief mwantembe Kwa somo Hilo ubalikiwe Sana

  • @venerandamaufi8574
    @venerandamaufi8574 26 дней назад

    Tatizo mnakuwa na mawazo potofu ya kibinadamu,kwamba mtu akitaka kuzaa afuate taratibu kdhaa! Mnakufuru na kuchuma dhambi! Kumbuka Mungu ni mkuu na kwa utukufu wake na uweza wake wa ajabu!bila hayo mnayofikiria ninyi ,Yesu alpatikana kupitia mama Bikira Maria!,Yesu atabaki kuwa mwana wa Mungu in na ni Mungu ktk nafsi ya pili ya Mungu.

  • @user-ky7tj3hd4o
    @user-ky7tj3hd4o Месяц назад

    Tafadhali sana, hacheni kupotosha watu na tamaduni za kigeni, fuateni tamaduni zeni, kwa nini mnazidi kufunga watu minyonyo na upotofu kwenye fikra za watu

  • @user-wf8eb6nm4s
    @user-wf8eb6nm4s Месяц назад +1

    Ukweli unauma Kwa walio zoweya kudanganywa siku nyingi mzee wa upako ameuwona ukweli

  • @tazbernardmanda5176
    @tazbernardmanda5176 Месяц назад +1

    nyie mnaempinga mzee wa upako toeni maandiko yesu anasema mimi ni mungu

  • @deusobadia8974
    @deusobadia8974 Месяц назад +1

    Kwa hili uko sawa kabisa YESU alisema MTU hawezi kwenda Kwa baba bila kupitia kwake

    • @ANDREWKIMARO-by3zl
      @ANDREWKIMARO-by3zl Месяц назад

      Ukitaka kujua unachokiongea hukijui nakufundisha kidogo ili ujue mzee wa upako anaongea upotofu tu
      Kwanza hiyo Yohana 14:6 Yesu hakusema ukitaka "kwenda" kwa Baba
      Bali alisema mtu "HAJI KWA BABA" ila kwa njia ya mimi sio mtu hawezi kwenda kwa Baba
      bali MTU HAJI KWA Baba ikiwa na maana Yesu ndiye Baba mwenyewe
      Rejea aya hiyohiyo mstari wa7mpaka 9 uone Filipo anavyomuambia Yesu "Tuoneshe Baba yatutosha"
      Utakuta Yesu anasema MIMI NIMEKUWAKO PAMOJA NANYI SIKU ZOTE HIZI , WEWE USINIJUE FILIPO???????????

  • @AllyPawaga
    @AllyPawaga Месяц назад +1

    Biblia imechakachuliwa sana Allah awaongoze muijue haki

    • @kamwene
      @kamwene 4 дня назад

      Shida siyo biblia , au dini fulani, shida ipo kwa wanaojiita "waalimu na watumishi wa Mungu" jinsi wanavyowaelekeza watu kuhusu yaliyomo kwenye maandiko....

  • @ConfusedIslandVacation-nh9wc
    @ConfusedIslandVacation-nh9wc Месяц назад +1

    Kwa mala ya kwanza nimeona mchungaji msomi kulikon wachungaji wote tanzania

  • @josephmtikile-yf3pq
    @josephmtikile-yf3pq 12 дней назад

    Yesu alifunga xiku arobaini bila kula we Leo kaa siku xaba bila kula apo utapata tafalari juu ya uweza na umungu wa yesu

    • @SaidiMkome-qq7hy
      @SaidiMkome-qq7hy 6 дней назад

      Mungu Ali wara anywi na afananishi na kituchochote

  • @albertlyimo7915
    @albertlyimo7915 12 дней назад

    Tito 2:13
    [13]tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;
    Looking for that blessed hope, and the glorious appearing of the great God and our Saviour Jesus Christ;

  • @modhanchanelyoutube4746
    @modhanchanelyoutube4746 Месяц назад

    Uposahii mungu azai Wala ajazaliwa nakupenda sanaaaah baba wazungu wanatualibu Mungu akufunue zaidi

  • @frankmuhomi
    @frankmuhomi Месяц назад +1

    Miaka 40 yote hiyo huijui biblia kweli ukiwa huna Roho Mtakatifu ni hasara kubwa Sana , neno linasema Kila roho isiyo Kiri kuwa Yesu ni Bwana haitokana na Baba wa mbinguni

  • @anyamisyechengula908
    @anyamisyechengula908 Месяц назад +1

    Brother umemaliza na hio ndio kweli ya Mungu

  • @user-vy9bl6ei2x
    @user-vy9bl6ei2x Месяц назад +2

    Mzee umesoma eleza ukwel matapel wachukia yesu alikula vipande vya samak akaenda kunya mungu anakunya pumbav

    • @ustawiwetu
      @ustawiwetu Месяц назад

      Mzee wa upako amesema Yesu ni mwana wa Mungu
      Je unakubaliana naye
      Amesema Yesu ni mwokozi wetu,
      Je, unakubali
      Kama huyakubali haya, endelea kusoma hadithi za marehemu mwamedi
      Mwamedi ambaye hakujua kusoma wala kuandika, na alikuwa mbakaji kwa kuoa kitoto cha miaka 6

    • @ustawiwetu
      @ustawiwetu Месяц назад

      Mzee wa upako amesema Yesu ni mwana wa Mungu
      Je unakubaliana naye
      Amesema Yesu ni mwokozi wetu,
      Je, unakubali
      Kama huyakubali haya, endelea kusoma hadithi za marehemu mwamedi
      Mwamedi ambaye hakujua kusoma wala kuandika, na alikuwa mbakaji kwa kuoa kitoto cha miaka 6
      Mzee wa upako amesema Yesu ni mwana wa Mungu
      Je unakubaliana naye
      Amesema Yesu ni mwokozi wetu,
      Je, unakubali
      Kama huyakubali haya, endelea kusoma hadithi za marehemu mwamedi
      Mwamedi ambaye hakujua kusoma wala kuandika, na alikuwa mbakaji kwa kuoa kitoto cha miaka 6
      Mzee wa upako amesema Yesu ni mwana wa Mungu
      Je unakubaliana naye
      Amesema Yesu ni mwokozi wetu,
      Je, unakubali
      Kama huyakubali haya, endelea kusoma hadithi za marehemu mwamedi
      Mwamedi ambaye hakujua kusoma wala kuandika, na alikuwa mbakaji kwa kuoa kitoto cha miaka 6
      Mzee wa upako amesema Yesu ni mwana wa Mungu
      Je unakubaliana naye
      Amesema Yesu ni mwokozi wetu,
      Je, unakubali
      Kama huyakubali haya, endelea kusoma hadithi za marehemu mwamedi
      Mwamedi ambaye hakujua kusoma wala kuandika, na alikuwa mbakaji kwa kuoa kitoto cha miaka 6
      Mzee wa upako amesema Yesu ni mwana wa Mungu
      Je unakubaliana naye
      Amesema Yesu ni mwokozi wetu,
      Je, unakubali
      Kama huyakubali haya, endelea kusoma hadithi za marehemu mwamedi
      Mwamedi ambaye hakujua kusoma wala kuandika, na alikuwa mbakaji kwa kuoa kitoto cha miaka 6
      Mzee wa upako amesema Yesu ni mwana wa Mungu
      Je unakubaliana naye
      Amesema Yesu ni mwokozi wetu,
      Je, unakubali
      Kama huyakubali haya, endelea kusoma hadithi za marehemu mwamedi
      Mwamedi ambaye hakujua kusoma wala kuandika, na alikuwa mbakaji kwa kuoa kitoto cha miaka 6
      Mzee wa upako amesema Yesu ni mwana wa Mungu
      Je unakubaliana naye
      Amesema Yesu ni mwokozi wetu,
      Je, unakubali
      Kama huyakubali haya, endelea kusoma hadithi za marehemu mwamedi
      Mwamedi ambaye hakujua kusoma wala kuandika, na alikuwa mbakaji kwa kuoa kitoto cha miaka 6
      Mzee wa upako amesema Yesu ni mwana wa Mungu
      Je unakubaliana naye
      Amesema Yesu ni mwokozi wetu,
      Je, unakubali
      Kama huyakubali haya, endelea kusoma hadithi za marehemu mwamedi
      Mwamedi ambaye hakujua kusoma wala kuandika, na alikuwa mbakaji kwa kuoa kitoto cha miaka 6
      Mzee wa upako amesema Yesu ni mwana wa Mungu
      Je unakubaliana naye
      Amesema Yesu ni mwokozi wetu,
      Je, unakubali
      Kama huyakubali haya, endelea kusoma hadithi za marehemu mwamedi
      Mwamedi ambaye hakujua kusoma wala kuandika, na alikuwa mbakaji kwa kuoa kitoto cha miaka 6
      Mzee wa upako amesema Yesu ni mwana wa Mungu
      Je unakubaliana naye
      Amesema Yesu ni mwokozi wetu,
      Je, unakubali
      Kama huyakubali haya, endelea kusoma hadithi za marehemu mwamedi
      Mwamedi ambaye hakujua kusoma wala kuandika, na alikuwa mbakaji kwa kuoa kitoto cha miaka 6
      Mzee wa upako amesema Yesu ni mwana wa Mungu
      Je unakubaliana naye
      Amesema Yesu ni mwokozi wetu,
      Je, unakubali
      Kama huyakubali haya, endelea kusoma hadithi za marehemu mwamedi
      Mwamedi ambaye hakujua kusoma wala kuandika, na alikuwa mbakaji kwa kuoa kitoto cha miaka 6
      Mzee wa upako amesema Yesu ni mwana wa Mungu
      Je unakubaliana naye
      Amesema Yesu ni mwokozi wetu,
      Je, unakubali
      Kama huyakubali haya, endelea kusoma hadithi za marehemu mwamedi
      Mwamedi ambaye hakujua kusoma wala kuandika, na alikuwa mbakaji kwa kuoa kitoto cha miaka 6
      Mzee wa upako amesema Yesu ni mwana wa Mungu
      Je unakubaliana naye
      Amesema Yesu ni mwokozi wetu,
      Je, unakubali
      Kama huyakubali haya, endelea kusoma hadithi za marehemu mwamedi
      Mwamedi ambaye hakujua kusoma wala kuandika, na alikuwa mbakaji kwa kuoa kitoto cha miaka 6
      Mzee wa upako amesema Yesu ni mwana wa Mungu
      Je unakubaliana naye
      Amesema Yesu ni mwokozi wetu,
      Je, unakubali
      Kama huyakubali haya, endelea kusoma hadithi za marehemu mwamedi
      Mwamedi ambaye hakujua kusoma wala kuandika, na alikuwa mbakaji kwa kuoa kitoto cha miaka 6
      Mzee wa upako amesema Yesu ni mwana wa Mungu
      Je unakubaliana naye
      Amesema Yesu ni mwokozi wetu,
      Je, unakubali
      Kama huyakubali haya, endelea kusoma hadithi za marehemu mwamedi
      Mwamedi ambaye hakujua kusoma wala kuandika, na alikuwa mbakaji kwa kuoa kitoto cha miaka 6

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Месяц назад +2

    Wazungu walishawapiga kwenye mshono kudaadeki

  • @KaydenBaby
    @KaydenBaby Месяц назад +3

    Maandiko mengi yapo yanayoonesha kristo ni mungu kamili soma Yohana 10:30 pia 1yohana 5:20

    • @zaharanshekilango46
      @zaharanshekilango46 Месяц назад

      Maandiko yanawachanganya maana kila mtume anaandika lake

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 Месяц назад

      Acha uongo ww , MAANDIKO' mengi ndani ya biblia yanakataa UUNGU wa Yesu Tena MAANDIKO' mengi yanayokataa yanatoka kinywani nwa Yesu,..!
      Hebu fafanua andiko hili, Tena ni Yesu mwenyewe anasema, sio hayo MAANDIKO' ya kusemewa na watu, sikiliza hili andiko
      'NA UZIMA WA MILELE NDIO HUU' WAKUJUE WEWE MUNGU WA PEKEE WA KWELI NA YESU KRISTO ULIYEMTUMA ..
      Sasa jiulize mwenyewe Kwa Nini MAANDIKO' yanaingiliana Kisha utajua,🤣🤣🤣

  • @ackleiambrosi7182
    @ackleiambrosi7182 Месяц назад

    Matendo ya Mitume 20:28
    [28]Jitunzeni nafsi zenu, na lile kundi lote nalo, ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa waangalizi ndani yake, mpate kulilisha kanisa lake Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe.

  • @PrinceMgambwa
    @PrinceMgambwa Месяц назад +1

    Huyu mzee kachanganyikiwa na ibada zake za mizimu na uchawi aliyonayo

  • @bakariiddy5252
    @bakariiddy5252 Месяц назад

    Of course, lam yalid walam yuulad, anasema Mungu mwenyewe.
    Mzee wa upako uko sahihi asilimia zote.

  • @andrewmaiga4331
    @andrewmaiga4331 Месяц назад +1

    Mzee wa upako, tunaomba majina ya watoto wa Maria.

  • @lawmarcusmwakagenda355
    @lawmarcusmwakagenda355 Месяц назад +1

    Acha ushamba wa maandiko umechanganyikiwa YESU NI MUNGU

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 Месяц назад

    Mzee wa upoko unajipinga mwenyewe kwenye kinywa chako ,sasa kweli Umekengeuka ufunuo 1:7-8 Yesu alionekana kwenye tanuli ya Moto kwa shadraka meshaki na ubinego lusekeo ulikuwa mzee wa upako zamani za wito wako sasa Hivi sio mzee wa upako isipokuwa ni mzee wa rogosi na thiorojia elimu yako yapatikana chuoni sio Elimu ya Roho mtakatifu, kwaeli mzee wa rogosi Acha kufundisha unakwaza watoto wa Mungu

  • @HellenLemilya
    @HellenLemilya Месяц назад +1

    Unasema madhehebu ni tofauti japo biblia moja Mungu wa biblia ni mmoja kwa wakristo wote japo 90 percentage ya wakristo wanajua yesu ni Mungu na mm najua hvo

    • @niffonlinetz7214
      @niffonlinetz7214 Месяц назад

      UNA MAANDIKO YANAYO SIBITISHA MANENO YAKO ANKO 😂

  • @goldenshadrackmsungu3664
    @goldenshadrackmsungu3664 Месяц назад +1

    Endeleza tu....Yesu sio Mungu.

  • @philipphanuel9558
    @philipphanuel9558 Месяц назад

    Nenda Kanisa Halisi la mungu baba. Wamekuwa wakifundisha haya yote. Kuwa yesu sio mungu. Bali ni mwana..hata tunavyo omba kupitia yesu tunakosa. Maana yesu alitufundisha Sala ya kuanzia Kwa Mungu baba.

  • @RahimuMsabah
    @RahimuMsabah Месяц назад +1

    Kweli baba yesu sio mungu kimaandiko na kiuhalisia ni mtu

  • @ShannyBrowntz
    @ShannyBrowntz Месяц назад

    Jamaa wanambinu chafuu sana etii kwakusema Yesu sio Munguu wamempa kesii ya Ushoga ,,

  • @user-mh4iz5wt3k
    @user-mh4iz5wt3k Месяц назад

    Wewe sasa sio mzee wa upako, bali ni mzee wa uchafu, umenunuliwa ili umkane Yesu, mshahara wa dhambi ni mauti, Yesu atabaki kuwa MUNGU, kasome ISAYA 9:6

  • @PiusNjelekela
    @PiusNjelekela Месяц назад

    ulipoishia ufahamu wako asante baba

  • @sankeykajange353
    @sankeykajange353 Месяц назад

    Mzee unawaita watu hawana akili timamu, kumbe wewe ndo unahitaji kujitafakali. Wala haihitaji elimu kubwa kujua kuwa wewe dishi limeyumba. Pole sana mzee.

  • @esterjoseph670
    @esterjoseph670 Месяц назад

    Muhumadi alimpenda Mungu sana,Ila hakumuelewa na hakutaka kwenda kwa waliomtangulia ajifunze,na ndio maana kawaletea waislamu kizaazaa! Na wewe unakoelekea kuna watu unawapelekea kizaazaa.

  • @andreauisso3225
    @andreauisso3225 Месяц назад

    Huyu ndiyo nabii wa uongoo siku za mwisho wataibuka wengi sana na wata mkana kristo kuwa siyo Mungu hadharani anakamilisha kazi ya shetani

  • @frankkikambako9281
    @frankkikambako9281 Месяц назад +1

    Ukikataa kushambuliwa basi na wewe usiwashambulie wengine.
    Maana umewita watu wana akili mgando ndio mana wanaamini yesu ni Mungu.
    Kumuita mtu mzima anaakili mgando ni kumtusi na dharau ya hali ya juu sana.
    Watch your language

  • @josephmtikile-yf3pq
    @josephmtikile-yf3pq 12 дней назад

    Yan Mzee wa upako Bado xana Yani hapo ndo sikukubali tena apo naona kama hujui

  • @AbasMajala
    @AbasMajala Месяц назад

    Yesu siyo mungu ni kweli kaka lusekelo kuwa mwislam uende mbinguni maana ukweli umeshafunuliwa

  • @tuponisalile5984
    @tuponisalile5984 Месяц назад

    Umekuwa wa hovyo sana,Pombe zimeanza kukuletea madhara..Na ndio maana waandishi walikorekodi umelewa hujitambui

  • @majaliwamsigwa6206
    @majaliwamsigwa6206 Месяц назад

    Kikubwa na cha msingi ni kumsikiliza yeye Yesu yale aliyotuagiza tuyafanye,uelewa wa maandiko siyo tiketi ya kufika kwa Mungu wetu,bali wenye moyo safi.

  • @anthonyezekiel930
    @anthonyezekiel930 Месяц назад

    Sawa mtumishi wa mungu

  • @ZephaniaNdaki-vq1ti
    @ZephaniaNdaki-vq1ti Месяц назад +1

    Si ajabu! Kwame Nkuruma mwenye digree 4, na ya tano ni ya Biblia, lakini mwisho aliweka msimamovkuwa "HAKUNA MUNGU" Kwa hiyo kuona na kusikia akina Lusekelo wanajinadi kuifahamu biblia kuliko watumishi wengine si ajabu.

  • @shabaniselemani9159
    @shabaniselemani9159 Месяц назад +1

    Huyu jamaa kasoma na yupo sahihi sana

  • @musangoboka8364
    @musangoboka8364 Месяц назад +1

    Isaya 9:6 maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa tumepewa mtoto mwanaume na uweza wakifalme begani mwake mshsauri wa ajabu Mungu mwenye nguvu baba wamilele,mfalme wa amani.

  • @baruanhasan8193
    @baruanhasan8193 Месяц назад +3

    Lusekelo umeishiwa uelewa yesu ni mungu soma isaya 9_6

    • @niffonlinetz7214
      @niffonlinetz7214 Месяц назад +1

      ASA YESU MUNGU NA MUNGU ATAKUWA NANI AU KUNA MUNGU WA NGAPI ANKO 😂😂 NA ALIVO KUWA ANASEMA YELOWI YELOWI MUNGU WANGU MBONA UMENIACHA ALIKUWA ANAMWAMBIA NANI 😂😂

    • @fridalyanguka1733
      @fridalyanguka1733 Месяц назад

      Isaya 9:6 aihusiani na Yesu Bali inahusiana na Eliakimu soma Isaya 22:20 ndio utampata aliyehusika na Hilo andiko.

    • @zaharanshekilango46
      @zaharanshekilango46 Месяц назад

      Hahahaha kweli binaadamu niwabishi sana

    • @zaharanshekilango46
      @zaharanshekilango46 Месяц назад +1

      Mnajuwa watu bwana hebu fikiria mara mbilimbili utajuwa ukweli kuwa hata sisi niwana wa mungu kwahiyo yesu kabarikiwa au nimteule wa mungu ambae amemteuwa na amependezwa nae sasa tulivo wajinga tumemsahau mungu sasa tunamuita yesu ndio mungu namungu ana wivu hataki wakufananishwa nae shauri yenu

    • @user-ob2ik5gy1b
      @user-ob2ik5gy1b Месяц назад

      Kwanza ujue biblia siii maneno ya mungu ni maneno ya waandishi ila vitabu kama zaburi ,torati injili na furkani vina manabii.... je biblia ni kitabu cha nabii gani?

  • @user-nz8bv6xn9r
    @user-nz8bv6xn9r Месяц назад

    Wewe fundisha watu kuacha dhambi sio Yesu ni Mungu au sio Mungu

  • @Yeshuatv729
    @Yeshuatv729 Месяц назад

    Ndio maana umefanyakazi ya Elohim kwa upako mkubwa.
    Asante kwa kutupatia Siri hii MUHIMU sana

  • @EmilyGodda-j7z
    @EmilyGodda-j7z 11 дней назад

    Lazima Kanisa lirejee katika misingi ya Injili ya Yesu Masia
    Tuache makosa ya maaskofu ambao walimwacha Roho Mtakatifu wakatumia saikolojia, na mapokeo na tafsiri za miungu ya rumi na uyunani, badala ya Roho Mtakatifu awafunulie wakapeana maelezo ya wanadamu.
    Unayo mafunfisho muhimu.
    Endelea kunyenyekea na kusimamia kweli.
    Mtumishi Godda

  • @mwl.andrewsiame6492
    @mwl.andrewsiame6492 Месяц назад

    Mungu huapa kwa nafsi yake,tendo la Yesu kusema yeye ni mwana wa Mungu lilikuwa ni neno la unyenyekevu ukweli ni kuwa Yesu ni Mungu.yohana 14:1-hadi mwisho

  • @felixgitonga6783
    @felixgitonga6783 Месяц назад

    Yesu kristo ni mwana wa mungu na ako na mungu mungu wake amutia mafuta

  • @josephnjiloi7939
    @josephnjiloi7939 Месяц назад

    tunakuelewasana baba Mungu ni moja

  • @ibrahimnaftar9037
    @ibrahimnaftar9037 Месяц назад

    Me nimekuelewa vizur sana mzee waupako ila mtu hawez kukuelewa kama anaudin ndani yake

  • @aggreyprince3983
    @aggreyprince3983 29 дней назад

    Isaya 9:6
    Mathayo 1:18-24
    Tito 2:13
    Yohana 1:1-4 (14)
    Wakolosai 1:15-23
    1Timotheo 3:16
    Yelemia 23:25-29
    1Yohana 4:1-3
    Wafilipi 2:6-11

  • @abdallahsiraji9919
    @abdallahsiraji9919 Месяц назад

    Kupitia Ufafanuzi huu wako Mzee wa Upako nimejifunza kitu kuwa :
    Tatizo sio kufahamu Maandiko la hasha !! Bali tatizo ni UKWELI !!!!
    Wewe Mzee ni Mkweli sana sana unaongea UKWELI ktk kile unachojifunza na Kuelewa .
    Naamini hata wengine wanaelewa ukweli huu wa BIBILIA kuwa MUNGU NI MMOJA NA NIWA PEKEE ila hawajajaliwa ROHO WA KWELI...
    Mungu akuongoze na akubakishe kuwa Mkweli Aaaamina

  • @Yeshuatv729
    @Yeshuatv729 Месяц назад

    YESU ndiye Roho wa Yahweh aliyetulia juu ya uso MAJI katika MWANZO 1:2

  • @neemamajana3078
    @neemamajana3078 Месяц назад

    ❤Mzee wa Upako una akili nyungi pia una akili nzr sana Mungu akubariki sana.❤

  • @StanleySewando-nb4xm
    @StanleySewando-nb4xm 28 дней назад

    Yesu alipovaa mwili ilikuwa lazima apungue Kila Khali

  • @victorkalolo5350
    @victorkalolo5350 3 дня назад

    Kama hukuitiwa hicho mbona unakizungumzia ungekiacha kama kilivyo,nakwahabr kusema ww niwa mda mlefu Aina maana unauelewa wa neno Mzee wangu,unamzungumzia YESU alipo fanyika mwili

  • @rangowauswazy8430
    @rangowauswazy8430 Месяц назад +1

    Akili yako ukiweka huru ukiweka Imani yako pembeni na vile ulivyokaririshwa utamfahamu vizuri tu
    Tujifunze jamani tusome biblia

  • @shadraachshadinho
    @shadraachshadinho Месяц назад

    Kati ya waalimu wa hovyo wewe ni mmoja wapo Mzee wangu yamkini wewe ndo huelewi vzr maandiko

  • @michaelmlyuka6032
    @michaelmlyuka6032 Месяц назад

    Mbona unachanganya mada mzee wa Upako

  • @abdallahsiraji9919
    @abdallahsiraji9919 Месяц назад

    MZEE WA UPAKO UNA UWEZO MKUBWA SANA WA KUELEWA NA KUELESHA.
    HAKIKA UMEFAFANUA VEMA SANA NA UMEELEWEKA SANA SANA KWA WENYE AKILI.
    NAMUOMBA MUNGU MUUMBA WA PEKEE KABISA ALIYE MMOJA TU DAIMA MILELE AKUPE UELEWA NA UFAHAMU ZAIDI NA ZAIDI.
    PIA NAMUOMBA MUNGU WA PEKEE AKUPE MWISHO MWEMA ..
    HAKIKA MUNGU NI MMOJA NA HANA MSHIRIKA KABISA KATIKA UUNGU WAKE....

  • @moseskatega8441
    @moseskatega8441 Месяц назад

    Yesu sio Emanuel.Isaya aliongea na na Mfalme Ahaz.Utabiri ule ulitimia siku zile zile.Torari haituhusu susi Watanzania maana kabla ya torati tulimjua Mungu/Kyara,Imana,Bguluvi,Rua,Murungu,Mukurukuru.Yesu ni stori za Mrumi/ Mgriki.Yesu eti alipaa na mwili! Je huko anakula,anazeeka au vipi.Ni stori