HISTORIA YA VITA VYA WAYAHUDI NA WAPALESTINA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda.
    Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia runinga ya channel ten na zaidi ya watu milioni 1.7 wanaungana na Mzee wa upako kupitia majukwaa yake ya mitandao ya kijamii ulimwenguni.
    Mzee wa upako anaweza kusikika 24/7 kwenye channel zake za RUclips Mzee wa upako na TUTASHINDA CHURCH. Ungana na Askofu Antony Lusekelo kwenye Instagram Mzeewaupakotz.

Комментарии • 402

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 Год назад +5

    Mzee wa upako uko sahihi kabisa Yesu Kristo akutunze

  • @HappinessKitosi
    @HappinessKitosi Год назад +3

    Safi baba.huwa nakuelewa sanaaaaaa.miaka ming kwako

  • @PriscusRobart
    @PriscusRobart 8 дней назад

    Mungu ni mkuu sana

  • @nurusalum6729
    @nurusalum6729 Год назад +3

    Ahsante BABA yetu CHIEF kwa mahubiri mafundisho mazuri Ameen

  • @johnmbatta9872
    @johnmbatta9872 2 месяца назад

    Nakukubali mzee wa upako. Wape wembe wanyoe. Israel ni taifa la YEYE.

  • @anthonyezekiel930
    @anthonyezekiel930 4 месяца назад +3

    Anthony lusekero nakupenda sana kwa uwalimu wako unakuja sana kufundisha

  • @gerkombo6512
    @gerkombo6512 6 месяцев назад +2

    Kwa kweli sisi hatuna la kusema zaidi tushikeni jembe tukalime. Well said

  • @Sonko-d1c
    @Sonko-d1c 3 месяца назад

    Upo sahihi mzee wa upako.

  • @pilimpinga647
    @pilimpinga647 3 месяца назад

    Nimelielewa vzr hili somo , Mungu akuinue

  • @lukabernald3924
    @lukabernald3924 8 месяцев назад +2

    Napataga amani sana kukusikiliza mzee wa upako.

  • @HappinessKitosi
    @HappinessKitosi Год назад +1

    Asante umeeleweka baba

    • @charlesphiliph528
      @charlesphiliph528 Год назад

      Kwa nini mnapiga hayo magita gita????Tunataka kusikia taarifa

  • @DeusMbalamwezi-h7t
    @DeusMbalamwezi-h7t Год назад +1

    Hatari

  • @silvanusmathias7690
    @silvanusmathias7690 3 месяца назад

    Well explained Pastor

  • @mungunimwemakilawakati1299
    @mungunimwemakilawakati1299 3 месяца назад

    Big up sana, nakuaminia!!!¡

  • @WAKRISTOKANISALAMUNGU
    @WAKRISTOKANISALAMUNGU 9 месяцев назад +1

    Kwakweli mzee wa upako upo sahihi sana.

  • @MadukaOmary
    @MadukaOmary 3 месяца назад

    Lu! We mzee.mm ni mwislamu lakini nakuelewaga bhn👏🙏

  • @Frank-b2d6u
    @Frank-b2d6u Год назад +3

    Hujui

  • @mkatavitv1014
    @mkatavitv1014 3 месяца назад

    Daaa father nimekupata vema sana

  • @anthonyezekiel930
    @anthonyezekiel930 4 месяца назад

    Nakupenda sana wajina wangu

  • @christophermwanjoka7406
    @christophermwanjoka7406 Год назад +1

    Du nimeilewa sana

  • @joneshelberth1025
    @joneshelberth1025 Год назад +1

    Asantee;

  • @DrLugendo-sf7cj
    @DrLugendo-sf7cj Год назад +9

    Leo NIMEFURAHI SAAANA....UMENENA VYEMA SANA...hasa mwishoni.
    Ahsante.... Asalam aleykum

  • @josephmchila6467
    @josephmchila6467 8 месяцев назад

    Uko sahihi saana,uko sahihi history imekaa vzr kwako

  • @lukasmwaipasi3867
    @lukasmwaipasi3867 4 месяца назад

    Asante mwalimu mkuu

  • @J4UPro
    @J4UPro 4 месяца назад +1

    Duh sawa

  • @Martha-mt5sx
    @Martha-mt5sx 8 месяцев назад +5

    Shalom.kuhusu historia ya wayahudi na ile habari ya Mungu ni mmoja si nafsi 3. Kweli nakukubali. Kuwa umtumishi wa kweli.

  • @Julius-o5c
    @Julius-o5c 11 месяцев назад +1

    Kwanini mwanadamu hawezi kutii maagisho yamungu mkiristo kuwangalia kitabu Cha mwanzo kuwanzia Moja na kutafakari njia za mungu ilikuithi ufalme wamungu ❤

    • @duncanenyodi6222
      @duncanenyodi6222 9 месяцев назад

      Bwana Sule, unadai umesoma saaaana lakini naona huielewi dini ila kichwa yako imejazwa uarabu na chuki kwa wayahudi bandia wazungu.
      Kwanini niseme hivi? Kama kweli umesoma hayo yote kikamilifu, ungelijuwa kwamba muyahudi kamili ni mtu mweusi na Canaan haipo kule wazungu wanatuonyesha ila ndani ya "middle east" ki geography wala si middle east ya kubandikwa na wazungu na waarabu. Kama unatumia kichwa chako mzuri, utaitaje inchi haipo hata ndani ya tropics eti middle east? Je, Halafu inchi ziliopo kwa equator unaziita nini wewe ?
      Hivi punde Tu Russia imeutoa ushahidi uliyofichwa kuonyesha wayahudi walikuwa weusi. Misri yenyewe ilitawaliwa na watu weusi kwenda Hadi huko kupakana na Babylon. Yesu alikuwa kujificha ndani ya watu weusi. Ulisikia wapi utamchukuwa mbuzi mweupe kuficha ndani ya zile nyeusi? Hata kule Roma kuna black Samantha.
      Kulingana na bibilia, kuna wayahudi kadhaa wametajwa au kuonyeshwa kuwa weusi.Hawa hawa watu weusi ndiye waliyokuwa wakipigana vita na waarabu,waroma na wagreek na wewe hapo ndipo unausaliti uafirika wako kumtumikia mwarabu na kumsifiya kwa uovu.
      Tafadhali elewa kwamba miaka Mia inne tangu wazungu na waarabu kuleta utumwa Africa imekamilika. Niwakati ujikomboe kujielewa na kutupiliya mbali dhana za kiarabu.
      Taifa teule ni mtu mweusi peke Yake na hivi karibuni dhana zenu za sijui aqsa aqsa aqsa kilawakati utawaporomoshea vita Hata hizi vita mnaotangaza zianzishe na mchapwe kabisa kwani mungu amekwisha wapa watu wake upanga wakuwanyorosha waliyokuwa vinara vya utumwa wao. Mzungu atawagonganisha waarabu na wazungu kutwangana nao waarabu na washirika wao watachokoza mtu mweusi kulipuzia kisasi kwa kisingizio eti wanashirikiana Na wayahudi wazungu. Hapo ndipo mungu atawawapa waafrika nguvu ya kuwalima waliyowapeleka utumwani maana atawaruhusu kutumia upanga.
      Huu ni utabiri uliyopo, waja na utakamilika hizi karibuni Tu maana tayari kisingizio baina ya muarabu na muzungu kipo na kinashughulikiwa.
      Viva Africa. Viva mungu mkuu WA taifa takatifu la mwafrika. Down with fake Jews. Down with terrorists killing fellow Africans. Down with Arabs!
      Mungu akubariki ujielewe

  • @kaizamulinda633
    @kaizamulinda633 Год назад +6

    Hamna taifa la Mungu hapa duniani. Ile nchi ya Israel ni nchi tu kama nchi nyingine haina umaalumu wowote. Mungu na haki yake hawezi kuendelea kuji-identify na taifa ruthless kama lile. Mungu hana fahari ktk unyama na uonevu wa israe. Kuendelea kumuhusisha Mungu na taifa kandamizi, onevu kama lile ni kufuru tu. Mungu anayeagiza na kusimamia haki hawezi kuwa kipenzi cha wakoloni

    • @isayaamulike
      @isayaamulike Год назад +3

      Live. Hao so wenyewe tunadanganywa

    • @afanikiwechaula1347
      @afanikiwechaula1347 6 месяцев назад

      Ndo ufahanu wako ulipo ishia

    • @japhetlemilya2419
      @japhetlemilya2419 5 месяцев назад

      ​@@isayaamulikeWaafrika tumeaminishwa vitu vingi sn,sisi tukabki tunajiona duni,hii tiukatae kws nguvu zote!!!

    • @AbdallahSalum-vi3tw
      @AbdallahSalum-vi3tw 3 месяца назад

      Hayo uyasemayo ni haki..tatizo wengi ni maskini wa akili hawafahamu..Kama Israel ni taifa la Mungu. Je Mataifa mengine ni ya nani ?

    • @MeshackMayenga
      @MeshackMayenga 3 месяца назад

      Mandiko matakatifu yameongelea hayo anayosema mzee wa upako.

  • @AzizaHamisi-o6z
    @AzizaHamisi-o6z Год назад +4

    Acha kutetea hao wauwaji WA manabii washalaniwa sana Pepo hawatoipata pia walitaka kumuuwa yesu mungu akamnusuru

    • @lulanjamd3886
      @lulanjamd3886 Год назад

      Walimua mpaka Yesu Kristo

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu Год назад

      ​@@lulanjamd3886sio yesu tu hata mtume pia walimtilia sum Ili afe

    • @mwlpierre
      @mwlpierre 4 месяца назад +1

      Wewe unesikiliza sawsawa au ulikuwa unasikiliza jambo la kuku fariji

    • @peteremmanuelymatwimatwiem3258
      @peteremmanuelymatwimatwiem3258 3 месяца назад

      Ndonimeshangaaaa😅😅😅😅​@@mwlpierre

    • @focuspaschal5330
      @focuspaschal5330 3 месяца назад

      Walimuua sio walitaka..

  • @saimonjmai801
    @saimonjmai801 Год назад +1

    Chief🎉🎉🎉🎉

  • @hurumajosephat6333
    @hurumajosephat6333 Год назад +1

    Safi sana mzee wa upako Mungu akubalik

  • @simonzakaria4770
    @simonzakaria4770 4 месяца назад +3

    Nabii wa uongo haendagi sehemu waliopo watu masikini. Maana huko hakuna hela.piga kazi mtu wa Mungu.

    • @samchris1914
      @samchris1914 2 месяца назад

      Eeh miamala isomeke 😂😂

  • @godymaimu3770
    @godymaimu3770 6 месяцев назад +7

    Hii kichwa ni hatariiiiiiii,
    Hii ndio maana halisi ya CHIEF
    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 4 месяца назад

    Leo nimekukubali kweli wewe ni nabii

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 4 месяца назад

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @MichaelAbel-s4r
    @MichaelAbel-s4r 9 месяцев назад +2

    Unapoteza muda Kwa kupotosha na kuyafundisha Maneno ya Mungu sivyo -Kichwa Cha Mwili ni Kristo mwenyewe-wamvunjia heshima mwenyewe Kwa kulopoka kama hukuwahi kujazwa na Roho,umelogwa na nani!. Amen

    • @oigenmwaya6018
      @oigenmwaya6018 8 месяцев назад +2

      Huyu jamaa simfuatiliagi kabisaa sijui ila leo nimemsikiliza mwanzo mwisho Kuna mambo kaongea pointing saana fuatilia history utayajua hayo na ni kweli mwaka Jana Israeli wametunga Sheria ukimtaja Yesu ni jela na mengine mengi saana

    • @AmbokileIbrahim
      @AmbokileIbrahim 7 месяцев назад

      Kweli leo Nami nimeona kaongea ukweli,ila israel ndio hii hii hakuna nyingine Bali kizazi kitabadirika

    • @eliasselemani1963
      @eliasselemani1963 4 месяца назад

      mimi mwenyewe kunakitu nimejifunza​@@oigenmwaya6018

    • @SaidMkome-q5t
      @SaidMkome-q5t 4 месяца назад

      Tulia wwe ujui kityuu

    • @abidandastanmaliyatabu1373
      @abidandastanmaliyatabu1373 4 месяца назад

      ​@@oigenmwaya6018hata mimi

  • @HamisMzava
    @HamisMzava 7 месяцев назад +1

    Ahsante kwa kuwakumbusha malofa wanaosema Palestine wapigwe

  • @ZuliaOmmy
    @ZuliaOmmy 3 месяца назад

    Nimekuulewa

  • @oleangolwisye5367
    @oleangolwisye5367 Год назад +1

    Genius

  • @sukari800
    @sukari800 3 месяца назад

    Ttzo wwe n mkweli Sana mzees👏👏👏

  • @abelwillium4286
    @abelwillium4286 4 месяца назад +1

    Moja ya maswal ambayo niliwahi kuwaza sana, nikuusu chukizo la uharibfu kasimama mahari patakatifu. Leo nimepata jb lake

    • @DanielSempambo
      @DanielSempambo 2 месяца назад

      Pole sana wala chukizo la uharibifu halina maana hiyo aliyosema

    • @DanielSempambo
      @DanielSempambo 2 месяца назад

      Hujapata jibu kabisa

  • @yusafbayu7016
    @yusafbayu7016 3 месяца назад +2

    Njo uwaone wa kristu wanavyo funga na kuwa ombea wayahudi kwa hi vita yani wakristu weng ni wehu sana

    • @FranceYohana-eg5zd
      @FranceYohana-eg5zd 3 месяца назад

      Ehh sababu yesu ni myahud hapo ww kilaza Hujaelewa nn?

    • @Nestory-zm3nh
      @Nestory-zm3nh 3 месяца назад

      Ndivyo dini yako inavyo kufundisha kutukana watu

  • @Neemameisilal
    @Neemameisilal 4 месяца назад +1

    Kumuabudu yesu tena 😮mzee waupako unapatiaaa alafu unaharibu tena😢

    • @ivanbusumbiro6429
      @ivanbusumbiro6429 3 месяца назад +1

      Ananichanganya hapo mwishon

    • @ivanbusumbiro6429
      @ivanbusumbiro6429 3 месяца назад

      Kwenye alimagdon unanichangany

    • @castusbhusolo9802
      @castusbhusolo9802 2 месяца назад

      @@ivanbusumbiro6429Ndiyoo Maandiko yanasema Mwishoni YESU atashuka na Farasi mweupe kuja kuamua Vita ya Almagdonia na hapo Kila Goti litapigwa na Kila Ulimi utakiri kwa YESU kuwa huyu ndiye masihi Mwana wa MUNGU.

  • @hassanlupembe7052
    @hassanlupembe7052 3 месяца назад +1

    uyo ndio Antoni namufahamu Sana toka 2001 kibangu maeneo ya homeck ni ticha Safi sana

  • @mtindikoja8837
    @mtindikoja8837 Год назад +12

    Asilimia kubwa anaongea ukweli Ila kwakua hampendi ukweli mnahisi kamavile ameegamia kwawaislamu huo ndio ukweli japo hamuutaki

    • @mosesmwasanga7661
      @mosesmwasanga7661 20 часов назад

      @@mtindikoja8837 naam, Sahihi sana mr!!👏👏

  • @AzizaHamisi-o6z
    @AzizaHamisi-o6z Год назад +2

    Mungu kawapa Pepo ya Dunia to Pepo hawatoiyona

    • @mwlpierre
      @mwlpierre 4 месяца назад

      Sio kweli kwani wako ambao wanashikamana na Torati hao wataiona pepo

    • @jojolens6027
      @jojolens6027 3 месяца назад

      Wayahudi asilia sio watu wa hivyo , hata mavazi yao ni modestly ...Hao mazayuni ndio wa hovyo chini ya agenda yao ya Great israel ...Wayahudi hata unayemuona raisi ya palestina ni myahudi kabisa libadili dini ..

  • @AziziRajabu-mv8jz
    @AziziRajabu-mv8jz 3 месяца назад +1

    Mkiristo wakwanza kumsikia anaongea point. 👏👏

    • @FranceYohana-eg5zd
      @FranceYohana-eg5zd 3 месяца назад

      Saw mtume wako alioa mtt wa miak 6

    • @AziziRajabu-mv8jz
      @AziziRajabu-mv8jz 3 месяца назад

      @@FranceYohana-eg5zd afadhali yeye kaoa Kuna wengine mashoga wanaoana jinsia moja na ndoa zunafungwa kanisani

    • @FranceYohana-eg5zd
      @FranceYohana-eg5zd 3 месяца назад

      @@AziziRajabu-mv8jz Vp askari wa zenj yule aliolewa kanisan?

    • @AziziRajabu-mv8jz
      @AziziRajabu-mv8jz 3 месяца назад

      @@FranceYohana-eg5zd ulimuona msikitini

    • @FranceYohana-eg5zd
      @FranceYohana-eg5zd 3 месяца назад

      @@AziziRajabu-mv8jz Sehem zenye waislam weng zinaongoza kwa Ushoga

  • @salehrashid703
    @salehrashid703 Месяц назад

    Mzee wa upako endelea na ukweli hivyo hivyo

  • @MOSHIMOSHI-d9y
    @MOSHIMOSHI-d9y 3 месяца назад +2

    Mzee wa upako umejitaid kufundisha ila wayahudi watamwamini yesu baada ya unyakuo wa kanisa. Soma warumi 11_ Aya ya 25. Ila waweza soma sura ya 11 yote.

  • @Nawigotv
    @Nawigotv 3 месяца назад

    🔥🔥🔥

  • @yassinhamza1969
    @yassinhamza1969 3 месяца назад

    Dunia inahamia mashariki Brics hiyo history inaenda kufa

  • @sanukachristophersanuka9385
    @sanukachristophersanuka9385 Месяц назад

    Umeharibu huku mwishoni tena umeharibu mno

  • @complex7582
    @complex7582 3 месяца назад

    Mzee wa upako unasema myahudi haendi syria,haendi lebanon,hapo sio kweli kabisa,Golani ni syria ambayo israel inakalia kimabavu, ramani yao impya ni mpaka Saudi Arabia ,Jordan na labanon

  • @RaymondCharlesSaliboko-to6vx
    @RaymondCharlesSaliboko-to6vx 4 месяца назад

    🎉🎉❤❤

  • @JosephuSiwale
    @JosephuSiwale 3 месяца назад +1

    Unamakosa mengi juu ya ujio wa yesu...miaka 1000 ni mbinguni.. sio
    Duniani ...Bado haujafikia ukweli endelea kuuliza kwa wenye kitabu...

  • @FranckDaniel-cc5rg
    @FranckDaniel-cc5rg 3 месяца назад +1

    Lusekelo hakika umebarikiwa kipaji cha utambuz na maarifa

  • @RashidBusanya
    @RashidBusanya 4 месяца назад +2

    Jamaa hatakagi kupindisha maneno anawachana makavu wale wazee wakuiombea Israel

  • @nicodeleva8207
    @nicodeleva8207 3 месяца назад

    Lusekelo ACHA vituko

  • @balagamijebalagamije4152
    @balagamijebalagamije4152 3 месяца назад

    Daa kaongea fact

  • @SaimonNtupwa-pj5ei
    @SaimonNtupwa-pj5ei 10 месяцев назад +1

    Devi

  • @omaar5693
    @omaar5693 Год назад +4

    9:54 bora uwambie mapema, maana huko Israel Yesu mwenyewe ni WANTED...
    ni kheri ashukie GAZA atakabidhiwa mamlaka yote...

    • @vincentcharles4385
      @vincentcharles4385 Год назад +1

      Wanted ni mamaako anaefirwa na babaako

    • @omaar5693
      @omaar5693 Год назад +1

      @@vincentcharles4385 unanitukana kwa sina vya kukukamata ama?

    • @omaar5693
      @omaar5693 Год назад +1

      @@vincentcharles4385 fresh mamangu hajasulubiwa na babangu ni marehemu,,,
      unatusi lingine?

    • @omaar5693
      @omaar5693 Год назад +1

      @@vincentcharles4385
      so wewe huko kanisani unafundishwa kutukana wazee wa wenzako bila kujali ni marehemu au wako hai, na unatoa sadaka?

    • @omaar5693
      @omaar5693 Год назад

      @@vincentcharles4385
      mimi sitomtukana mzee wako najua kwangu ni point...
      huenda ukawa ibilisi anaetafuta point kwamba amesababisha nikatukana, ila kama wewe ni mtu,,,
      jidhanie wewe si mtukanaji alaf mtu anakutukania mama na babako just think ila kama ni mwehu au mhadarati potezea tu.. mimi spati faida kutukana,
      usisema wewe ni mtu wa mungu umechukia nimesema yesu ni WANTED huo ni ukweli ndio maana ni marufuku kumtaja,,, so ungekuwa unajua kitu ungenikosoa lakini huna zaidi ya matusi angekuwepo hapa angekuunga mkono??

  • @BuryeburyeKwibukaJean-Baptiste
    @BuryeburyeKwibukaJean-Baptiste 3 месяца назад

    Israel taifa la Mungu sahihi

  • @mazaramatucha
    @mazaramatucha 3 месяца назад +1

    Fanya utafiti wa kutosha unapozungumzia historical and geopolitical issues

  • @simonbaltazar9152
    @simonbaltazar9152 3 месяца назад +2

    Sio kweli huyu jamaa anapotosha watu

  • @mtaasisi
    @mtaasisi 3 месяца назад +4

    Nimecheka aliposema Satellite wanayo marekani tuu😂😂😂 ile ya Uganda ni kibwengo labda😂

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 3 месяца назад +2

    Waislam acheni kufatilia mambo ya kikristo hayawahusu mbona mnapenda kufatilia mambo yetu mkitaka kupata uzima wa milele kama sisi njooni kwa YESU KRISTO awe Bwana na mwokozi wetu sote.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Год назад +4

    tunawaombea amani wasiuwane wanaoumia ni wazee wanawake na watoto

  • @simonmwasonywamwamengo5303
    @simonmwasonywamwamengo5303 3 месяца назад

    Acha kunichekesha

  • @isaacndimangwa6791
    @isaacndimangwa6791 3 месяца назад

    Mzee, upako Leo umekaa viziri sana. Ila point ya mwisho kwamba yesu atatawala miaka 1000, watakatifu wa bwana watakua mbinguni. Kifungo Cha shetani kitakua duniani ambapo waovu wote watakua wamekufa wakisubiri ufufuo wa pili baada ya hio miaka 1000 ambayo watakatifu wanakua mbinguni, watafufuliwa kwa ajili ya hukumu pamoja na shetani. Ndipo uovu wote baada ya hukumu hio ya waovu pamoja na shetani utakapokwisha kabisa na Dunia itasafishwa na kua shwari tena. Hapo ndipo watakatifu waliokua mbinguni kwa miaka 1000 watakaposhuka kuishi katika nchi mpya na mbingu mpya. Milele na milele. Rejea ufunuo 21

    • @ashurafarhan8335
      @ashurafarhan8335 2 месяца назад

      Wewe hujui vizuri bible huyu upoko anajua kweli

  • @FABA1271
    @FABA1271 3 месяца назад

    Maya HUD walimsaliti mwenyezi Mungu baada ya kuombewa na nabii musa na walikuwa vyakula vya peponi lakini baadaye alipoenda musa kuchukua amri sheria kwa mwenyezi Mungu alipo rudi akakuta mayahudi wanaabudu ndama sio tena mwenyezi Mungu wa musa aliye umba mbingu na aridhi na wakati walikubali Mungu wa musa ndo Mungu wa kweli musa alipo yakuta yale alichukizwa sana kisha mwenyezi Mungu akasema mmesahau mlicho niahidi kipindi mkiwa na dhiki kule misiri

    • @CharlesSimkoma
      @CharlesSimkoma 3 месяца назад

      Wewe ndo hujamsaliti???

    • @stanleymwinuka4261
      @stanleymwinuka4261 28 дней назад

      Kumuasi kwao Mungu ilikuwa ni mpango wa Mungu mwenyewe, ili wokovu uende kwa mataifa na hatupaswi kuwahukumu kwa hilo.
      Ndiyo maana wa christo hatuna uadui na wayahudi licha ya want kumkataa kristo

  • @mamenpac
    @mamenpac 3 месяца назад

    anawasanua uyo

  • @reganpaul8542
    @reganpaul8542 3 месяца назад

    Kichwa cha maarifa hicho ubarikiwe chief mwantembe miaka 120

  • @isaacndimangwa6791
    @isaacndimangwa6791 3 месяца назад +1

    Kisha nikaona mbingu mpya na nchi mpya; kwa maana mbingu za kwanza na nchi ya kwanza zimekwisha kupita, wala hapana bahari tena. Nami nikauona mji ule mtakatifu, Yerusalemu mpya, ukishuka kutoka mbinguni kwa Mungu, umewekwa tayari, kama bibi-arusi aliyekwisha kupambwa kwa mumewe. Nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha enzi ikisema, Tazama, maskani ya Mungu ni pamoja na wanadamu, naye atafanya maskani yake pamoja nao, nao watakuwa watu wake. Naye Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao. Naye atafuta kila chozi katika macho yao, wala mauti haitakuwapo tena; wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu hayatakuwapo tena; kwa kuwa mambo ya kwanza yamekwisha kupita. Na yeye aketiye juu ya

  • @gracekisaka8461
    @gracekisaka8461 8 месяцев назад +1

    Uko sahihi kabisa.kuhamishia makao makuu Jerisalem ni dalili kabisa za kubomoa msikiti huo .ule unabomolea nina uhakika ..na wameshajipanga ni muda tu unasubiriwa

    • @jojolens6027
      @jojolens6027 3 месяца назад

      Mambo hayo yako dhahiri kabisa , hapa ndio maandiko mengi yatatimia ...wanachofanya ni kuwamaliza wapalestina makusudi sio bahati mbaya mpaka msikiti watavunja.

  • @BinBadru
    @BinBadru Год назад +3

    Muhammad saw ametwambia issa mwana wa bikira maryam atakaposhuka toka mbinguni ataoa na atawakana wale wote waliokua wanamuita Mungu na ataishi miaka 7 na atafata sheria za Muhammad na ulimwengu utakua na amani nayo hy ni ishara ya kiama

  • @omaar5693
    @omaar5693 Год назад +1

    10:40 huu uongo kwangu una maslahi nitaupataje mkuu yani nautafuta kwa garama yoyote..

    • @samarigm
      @samarigm Год назад +1

      Soma Biblia kila kitu kimeandikwa

    • @omaar5693
      @omaar5693 Год назад

      @@samarigm
      hicho nnacho kitaka hakimo kwenye biblia

  • @AbdallahSalum-vi3tw
    @AbdallahSalum-vi3tw 3 месяца назад +1

    Inafaa wa kuelewe
    Israel SI Taifa la Mungu.Mataifa yote ni ya MUNGU MMOJA.

  • @amanitarimo2026
    @amanitarimo2026 9 месяцев назад +2

    Muisrael anakalia kimabavu eneo la Golan Heigh huko Syria na pia sehemu za Lebanon

  • @karimuabdala3234
    @karimuabdala3234 Месяц назад

    Paul alikua myahudi????

  • @MankaTansaniya
    @MankaTansaniya 2 месяца назад

    Sasa mbona hueleweki..mara Israel ile siyo hawa ...mara watarudisha ibada zao za mwanzo... hueleweki jamani

  • @broganbig6651
    @broganbig6651 3 месяца назад

    😅😅 hii video miezi 11 iliyopita leo hii November 11, 2024 Israel wanashambulia lebanon

  • @denismugisha2
    @denismugisha2 Год назад +6

    Satellite mzee zimejaa wachina, warusi
    Yani umepotea kabisa

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Год назад +2

      Huyu jamaa anabahatisha. Wakati mrusi ndio wa kwanza duniani kurusha satellite

    • @isayaamulike
      @isayaamulike Год назад +1

      Hata kenya tu wanazo

    • @ngadupalaamour
      @ngadupalaamour 5 месяцев назад

      Naona alimaanisha wale WA kwanza kwenda anga za mbali japo hata Urusi ina idadi kubwa sana ya wayahudi na wanajumuiya kubwa sana kule Russia

    • @paulvimbamvula9508
      @paulvimbamvula9508 5 месяцев назад

      Hapana​@@rumdeesonsoa1811

    • @paulvimbamvula9508
      @paulvimbamvula9508 5 месяцев назад

      Kwasasa wa yahudi ndio wanautalamu wa makombola zaidi

  • @muhsirkiboko465
    @muhsirkiboko465 3 месяца назад

    Ukcklza mzee wa upako na Dr sule maneno yao yanafanana kama sule!

  • @EmmaShirima-d9l
    @EmmaShirima-d9l 4 месяца назад

    Nimefarijika na mafundisho yako

  • @simonbaltazar9152
    @simonbaltazar9152 3 месяца назад +1

    Hakuna lolote hapa

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis226 Год назад +2

    MASII DAJALI HUYOOO ATAKUJA KUWAPOTEZA WATUU.

    • @christianmwasakogo5579
      @christianmwasakogo5579 Год назад +1

      😂😂😂

    • @mwlpierre
      @mwlpierre 4 месяца назад

      Sawa ndio lakini mjomba ila hayo ya kwako ni kama uchukue Nyama ya umbwa halafu uipike na viungo ili ifanane na ladha ya Mbuzi ndio kilicho fanyika ndio maana unaona vitu kama “Masii Dajal “ lakini mambo ipo huku

  • @BinBadru
    @BinBadru Год назад +2

    Hayo unenayo Muhammad alikwisha tuelezea tangu karne ya 3 na koran au waislamu tunaposema issa mwana wa maryam hajafa wala hajasulubiwa bali alipaishwa mbinguni tunamaana kubwa

    • @prosperjuma905
      @prosperjuma905 8 месяцев назад

      muhamad kazaliwa karne ya 6. ila amewaambia hayo maneno karne ya 3🙌🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @JohnNkina
    @JohnNkina 8 месяцев назад +1

    Kama nakuelewa

  • @lomesjoseph
    @lomesjoseph 4 месяца назад

    Vp kuhusu sisi mzee wa upako itakuwaje make apo naskia wapalestina na wayahudi tu😢

  • @tenzichagaga
    @tenzichagaga 7 месяцев назад

    nakubal

  • @andrew29468
    @andrew29468 Год назад +1

    Mpinga kristo yupo hata sasa

  • @railwayschoolandeducationc6312
    @railwayschoolandeducationc6312 3 месяца назад

    Yesu ataabudiwa? Au mungu? 🙂

  • @martinmkoba361
    @martinmkoba361 Год назад

    Wanaoamini yesu kuibiwa sio wayahudi tu hata waislamu wanaamini yesu kaibiwa.eti iyo habari wameambiwa na mayahudi nao wameamini😢😢😢

    • @madawamchuwa8253
      @madawamchuwa8253 Год назад +2

      Labda WA Islam WA kwenu muislam gani ana urafiki na uyahudi mpaka amuelezee mambo ya yesu? Allah anatuambia Sisi sio marafiki WA WA Kristo wala WA mayahudi mana nyie ni marafiki nyinyi kwa nyinyi

    • @martinmkoba361
      @martinmkoba361 Год назад

      @@madawamchuwa8253 acha uongo Quran inasema mayahudi ndio wamewaambia kristo aliwatoroka na wakamsurubisha mtu mwingine

    • @swafiirbulbul819
      @swafiirbulbul819 Год назад

      Sisi Waislamu tunaamini kuwa Yesu Hakuuwawa, bali Mungu alimnusuru kutoka katika makucha ya Umauti ...
      Tuulize Waislamu... Usisikie yanayosemwa juu yetu..

    • @martinmkoba361
      @martinmkoba361 Год назад

      @@swafiirbulbul819 Mungu alimnusuru kristo hasiuwawe hayo ni maneno ya nani kwenye Quran aloyasema hayo ni nani?

    • @swafiirbulbul819
      @swafiirbulbul819 Год назад

      @@martinmkoba361 Ni maneno ya Mungu wetu sote pamoja na Yesu/Issa Mwana wa Mariamu...
      Hakuwa Yesu isipokuwa ni Mtume kwa Wana wa Israeli kama inavyotaja katika kitabu chenu YOHANA 17:3 ....

  • @Ba63828
    @Ba63828 3 месяца назад

    Kama mungu yuko kwanini ameshindwa kumaliza vita Mashariki ya Kati. Au ndio mapemzi yake watu waendelea kuuwa na mabomu?

  • @Robbymabangoprinting
    @Robbymabangoprinting 8 месяцев назад

    Jamaa ana madini huyu

  • @DanielSempambo
    @DanielSempambo 2 месяца назад

    Umeruka kutoka wababeli walikuja waamed na waajemi sio wayunani

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 4 месяца назад

    Tunaiheshimu Nchi ya Israel ni Nchi takatifu

  • @ChristopherK4
    @ChristopherK4 3 месяца назад

    Israel ni wahangaikaji na wanata kuitawala dunia

  • @masindemagee9603
    @masindemagee9603 8 месяцев назад +1

    Saf

  • @yusufumwasha548
    @yusufumwasha548 3 месяца назад

    Eti mwenye satelite ni muamerika tu😂😂😂😂😂😂we mzee acha kudanganya watu