MZEE WA UPAKO;YESU HAKUA MKRISTU WALA HAKUWAHI KUINGIA KANISA LOLOTE,ALIINGIA MSIKITINI TU.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 1,6 тыс.

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa7903 3 года назад +24

    Allah akuongoze in sha Allah umenena vyema

  • @brunoh_bx77
    @brunoh_bx77 Год назад +2

    Mzee wa upako ni very brilliant yaan anajua kuhusianisha maandiko matakatifu na maisha ya uhalisia, hongera Mungu akubariki sana kwa elimu hii uliyotupatia👏👏👏🙏

  • @hamidafundi-pw1gw
    @hamidafundi-pw1gw Год назад +7

    Asante Askofu Mzee wa Upako. Kwa hakika nimejifunza.. Hakika mwenye akili hujifunza kutoka kwa wengine. Tushikamane kumrejea MWENYEZIMUNGU .Dini ni njia tu ya kurejea KWAKE.

    • @InivocavitTumainiel
      @InivocavitTumainiel 8 месяцев назад

      Story huwa ni tamu,,, lakini mara nyingi huwa ni uongo au ubunifu,,,, Cha msingi ndg yangu tusome maandiko yatuhekimishe na kiukweli kuhusu dini hatuwezi kuelewa chochote bila kurejea ktk historia halisi iliyobeba Alpha na Omega yaani Mwanzo na mwisho Nayo ni Mwa 1:1-31 ALPHA yaani MWANZO.
      Na Mwa 2:2-3 OMEGA yaani Mwisho.
      Kwa pamoja Alpha na Omega unadhihirishwa ktk Mwa 2:1-4 , huo ni mpango mzima wa Mungu hadi Itokee mabadiliko kutoka Mungu kuumba upya na kufuta uumbaji wa kwanza....... Hata hivyo akiumba upya anarejelea Alppha na Omega tena Isaya 66:22-23 na Wakati atafuta wote watakaomwasi ktk hilo Isaya 66:24.…....... Tafakari ndg ya uharibifu mkuu unaendeshwa na Watu wasiotaka kusema ukweli ila wanataka kupoteza sura ya Mungu kwa wanadamu duniani kote Eze 22:24-26.

    • @InivocavitTumainiel
      @InivocavitTumainiel 8 месяцев назад

      Atazidi kuwadanganya kwakuwa yeye ni wakala wa shetani.... Iko atasema ukweli tu...tumwombee

    • @professorimmah
      @professorimmah 4 месяца назад

      ​@@InivocavitTumainielwakala wa shetani ndo wewe unaeabudu sanam la mungu mtu akili mgando wewe haujui kaa kimya mungu anauawa na watu alowaumba mwenyewe mungu anatailiwa mungu ana ukoo? Hahahahaha mazuzu nyie

  • @ramygichero1016
    @ramygichero1016 3 года назад +2

    Mzee nimekuelewa sana ingawa mimi ni msilamu mungu akubari sana

  • @shabansalum9283
    @shabansalum9283 3 года назад +20

    Wewe mzee nimkweli sana Mungu akuongoze njia

    • @ghulamjuma2883
      @ghulamjuma2883 3 года назад +1

      Mwenyezi Mungu akuongoze kwenye njia njema

    • @aaaaaah290
      @aaaaaah290 3 года назад +1

      AWE MUISLAM 😁😁😁😁

    • @ghulamjuma2883
      @ghulamjuma2883 3 года назад

      @@aaaaaah290 Ameen

  • @AndrewShola-ts5lp
    @AndrewShola-ts5lp 10 месяцев назад +1

    Nimekwelewa Sanaa hapo kwenye uchungaji mwanamkee..

  • @richardmushi1062
    @richardmushi1062 Год назад +7

    We need more of this wisdom, especially now.
    Ubarikiwe Askofu.

  • @peterngatunga1527
    @peterngatunga1527 12 часов назад

    Upo sawa Mtumishi katika hili upo sahihi sana

  • @khamisikapopo9356
    @khamisikapopo9356 3 года назад +15

    Unawakera Sana umekuwa Bernard Morison unawakera mzee wa upako

  • @SalomeJackson-c1y
    @SalomeJackson-c1y 3 месяца назад +1

    Kiukweli Chief Mwantembe Nakuelewaga sana Kiukweli biblia umeisoma na umeilewa sana uko vizuri Mchungaji.

  • @omarimussa7904
    @omarimussa7904 3 года назад +19

    mungu akurinde kwakuwapa shure nzuri sana sana

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 Год назад

      Share??? Come on!

    • @uwezohekima-qk8ss
      @uwezohekima-qk8ss Год назад

      Wewe nae rudi shuleni ukaanze Dr's la kwanza ili ukajifunze irabu sawasawa unakimbilia nn kuandika mtandaoni unajichoresha tu na kumbe hujui kusoma na kuandika eti MUNGU AKURINDE Na wakati ulitakiwa kuzena akulinde alafu SHURE pale ulitakiwa uandike shule km hujui kuandika kaa kmya!!!

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor 8 месяцев назад

      ​@@uwezohekima-qk8ssalitakiwa kuzena au kusema mkosoaji ni mwehu zaidi anza wewe kusoma irabu kisha ndo ulinganie wengine

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 6 месяцев назад

      ​@@MuhidiniNassorheri mimi sijasema

  • @NaseebRamadhan
    @NaseebRamadhan 9 месяцев назад +1

    Ila huyu mzee 🤝mashaalah

    • @ligangapaojoeli7819
      @ligangapaojoeli7819 3 месяца назад

      Hawa ni miongoni mwa wale wahubili wauongo so ukweli na Imani ni maisha Yako.

  • @rajabually8659
    @rajabually8659 3 года назад +22

    Mzee wa upako wewe kweli ni msomi wa biblia hongera sana kwa kuwa mkweli

    • @fredjoel1350
      @fredjoel1350 3 года назад +1

      Hasa akinywa konyagi anakuwa mkweli😂

    • @KhadijaJacob
      @KhadijaJacob 5 месяцев назад

      ​@@fredjoel1350🤣🤣🤣

    • @ramadhanchenga4606
      @ramadhanchenga4606 3 месяца назад

      Ana diproma ya bible sasa hapo ww unamuona ndo msomi

  • @ThomasLuhanga-d3r
    @ThomasLuhanga-d3r Месяц назад +1

    Swali,Mungu haku ya jua haya,unayo yaeleza,napenda kufundishwa

  • @charlesrweyemamu8352
    @charlesrweyemamu8352 9 месяцев назад +6

    Hongera Mzee wa upako umenena vema Kwa zaidi ya 90%

  • @betsonnyondo6518
    @betsonnyondo6518 Год назад +1

    Naomba haya mafundisho uyaweke kwenye kitabu . ahsante sana

  • @kimweritz6364
    @kimweritz6364 3 года назад +14

    Wanaelewa sana Mzee wa Upako tatizo wanapinga ukweli kulinda MASLAHI YAO makanisani huko

  • @margaretmahege7948
    @margaretmahege7948 23 дня назад

    Nimekuelewa sana mtumishi

  • @jorammsemakweli3116
    @jorammsemakweli3116 Год назад +10

    Eleza vizuri kuwa kanisa lilianza baada ya kushuka Roho mtakatifu kutoka dini ya kiyahudi yenye kuabudu Mungu Yahweh na kuamini katika njili kwa neema ya ukombozi kwa njia ya Msalaba.

    • @isayaclement9999
      @isayaclement9999 10 месяцев назад

      Wewe jamaa acha uongo, kanisa lilikuweko toka enzi na enzi

    • @husseinihassani3541
      @husseinihassani3541 9 месяцев назад

      Msitari wa ngapi?

    • @JaphethMbasaRobert
      @JaphethMbasaRobert 8 месяцев назад

      " Kwa sababu neno msalaba Kwa wanaopotea ni upuuzi , Bali kwetu sisi ni nguvu ya MUNGU"! Korinthi 1 _ 18 _ 30

    • @AshaHusseinMussa-ul7vt
      @AshaHusseinMussa-ul7vt 8 месяцев назад

      @@JaphethMbasaRobert salale duuuu! Kwa nguvu ya msalaba, hawa wapagani wanawadanganya sana, wanawafanya kama kuku, laiti kama kuku angelijua kuwa mwanaadamu anamfuga kwa ajili ya nyama yake unafikiri angelikaa na ww, lakini akili ya kuku imewezwa na binaadamu ndivyo hivyo hivyo, kwenye ukristo na uhusiano na msalaba, ngoja nikurejeshe nyuma kidogo kwenye historia na sio stori, maana kuna tafauti history na story, wengi wetu tumezoea story. Kwasababu ni wavivu wa kusoma, hapo zamani ilikuwa hivi, alipozaliwa Yesu hapo hapo Yudea, watawala walikuwa ni Roman empire, tekful wa hapo alikuwa Pilato, mfalme wa Roma alikuwa Julius Caesar, kaisari, Roma ilikuwa na nguvu sana, super power, kama unavyoiona leo Marekani, ilitawala dunia nzima, walikuwa makatili na mahabithi sana imani yao walikuwa ni wapagani wanaoabudu masanamu na mambo mengine ya ujinga, Christmas ya tarehe 25 Dec ilikuwa yao, hadithi za lucifa au Morning star, au shetani, hadithi za Mungu kuzaa na binaadamu, zilikuwa zinapendwa, wakieleza kuwa kulikuwa na Mungu jina lake akiitwa Zeus, huyu Zeus alizaa na bin adam akazaliwa Hercules, hata mfalme mwenyewe Julius Caesar aliitwa Mungu, suala la Trinity, utatu mtakatifu na mambo mengine yalikuwa yamo kwenye mila zao za kipagani, alipozaliwa Yesu na kuanza harakati zake kama mwalimu na kuvutia watu wa Roma wakamouna kuwa political threat kwao, na kwa kuwa wayahudi hawakufuata imani yao ya Kipagani wa Roma walipata upinzani mkubwa wa kiimani kwa hiyo alipanza Yesu mahubiri yake akiwa na umri wa miaka 33, waroma waroma wakapanga kumuua ili kuondoa upinzani dhidi ya Emperor wao Julius Caesar, kilichotokezea kimetokezea, waliamini baada ya kumuua yesu ndio upinzani utakwisha, ikawa tafauti wafuasi wake walizidi kueneza mafundisho yake, miaka sabiini baada ya kuondoka Yesu waroma wakavamia Jerusalem na kuteketeza maandiko na mengine kuyachukua, bare in mind kuwa hapo zamani kulikuwa hakuna machine za copy wala vitabu havikuwa vingi, maandiko mengi yalikuwa ya agano la kale kuliko jipya, kwa hiyo wakachukua maandiko na kuyapeleka huko roma na kuyafungia, miaka 321 ya maisha vita vilikuwa vingi sana na Roma ilianza kupoteza nguvu zake, Mfalme Constantine the great akaja na wazo, la kumaliza upinzani bila kumwaga damu nyingi, akafa kikao huko Nikea, akachuchua yake mambo ambayo sio threat kwao kutoka kwenye taurat na injil, yaani agano la kale na agano jipya, na kuchanganya na hayo mambo yao ya kipagani, kama vile hiyi sherehe ya Christmas, hadithi za Morning star, Lucifar, Samson and Dalila na mambo tele, ya maandiko ya Paulo, na kuja na bibilia, wazungu wanasema if you cannot defeat them join them, kwa hiyo hilo suala la msalaba badala kuonekana ni laana likafanywa uukozi, ili kuondosha tuhuma kwa wa Roma, walipo kwisha kutengeneza wakawapelekea wayahudi bibilia, wayahudi walipoisoma wakasema hii ni kufuru wakakikata kitabu hicho na wakaupinga ukristo kwa nguvu zote kuwa ni uzushi, kwa kuwa roma ilikuwa na nguvu wakaeneza imani hiyo kama dini duniani kote, yeye mwenyewe Constantine hakuuamini ndani ya moyo wake, hadi akiwa kitandani mauti yakimkaribia, lawama zote za mauwaji ya yesu wakatupiwa wayahudi, kama vile unavyoona leo, ni nani anaewalaumu wazungu kwa biashara ya utumwa, lawama zote wametupiwa waarabu, utumwa wa east Africa wameupa jina Arabic slave trade, na ule mkubwa wa wazungu ukaitwa Triangular slave trade, au Antlantic slave trade, kwa hiyo mzungu humuoni hapo, halafu akandika historia kuwa wao ndio waliokomesha biashara ya utumwa, wakati mapinduzi ya viwanda ndio yaliondoa mahitaji ya watumwa, chefuuuu, kwa hiyo msalaba sio nguvu ya ukombozi, ni kama mwenge wa taifa unazugwa wewe tu kiimani. Ukristo unatumika kama platform ya wazungu kuleta ideology yao ya freemanson, World order. ni imani ya kishetani haina uhusiano na Yesu wa Nazaretti.

    • @professorimmah
      @professorimmah 4 месяца назад

      ​@@JaphethMbasaRobertHahaha mnahangaika nyie waabudu masanamu msalaba ukombozi wapi mungu ndo mkombozi pekee acha kuifadhi matango poli ya paulo wewe

  • @NassorAbdalla-u9o
    @NassorAbdalla-u9o 2 месяца назад

    Mimi ni mwislamu katika Tanzania hii yetu Mzee wa upako na Mchungaji Hananja nawapenda sana kwanza ukiristo wanaujua vizuri sana na mafundisho yao mazuri sana wa naongea ukweli mtu, Shukra kwa mafundisho yako baba Mzee wa Upako.

  • @lizzygussep2051
    @lizzygussep2051 3 года назад +13

    Leo Ndy nimekulelewa last time hukufafanua vizuri Asante baba

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 3 месяца назад

    Mungu akujalie sana Rev Lusekelo

  • @ibrahimsuleyman9465
    @ibrahimsuleyman9465 Год назад +4

    Masha Allah, Allah akupe tawfiiq ya kusema ukweli!!

  • @sultanhilarious8893
    @sultanhilarious8893 Год назад +2

    Hasante sana Kwa mafundisho

  • @faylafood756
    @faylafood756 3 года назад +6

    Mashaallah Allah akuwezeshe

  • @petermunuo2239
    @petermunuo2239 8 месяцев назад +1

    Ni kweli sana,fundisho lako wanawake hawaja tawazwa kuwa wachungaji au askofu.verry true.

  • @saidali1488
    @saidali1488 3 года назад +4

    Nimekukubali mzee wa upako. You are right!

    • @kamanjamwenjerwa7032
      @kamanjamwenjerwa7032 3 года назад

      Said Ali umnakubali nini? Wewe KATOMBWE matako na MUHAMMAD mtume shoga

    • @lileoh3893
      @lileoh3893 3 года назад

      @@kamanjamwenjerwa7032 wewe ndio ukaolewe napaylo maana ukisoa wakolinto2 l2 soma eti anapendezwa namisiba naufezuli

    • @kamanjamwenjerwa7032
      @kamanjamwenjerwa7032 3 года назад

      @@lileoh3893 jitombe

  • @otienoodera4142
    @otienoodera4142 3 года назад +3

    Safi sana, una ushahidi mkubwa kuhusu hilo swali ya dini.... hongera sana.

  • @SaidMkwabi-ho8yy
    @SaidMkwabi-ho8yy 3 месяца назад

    Mzee waupako mungu akujaalie maisha mema sikuzote msema ukweli ni mpenzi wamungu najua wapo wengi watakujadili tofauti nikwasababu yaukweli wako🎉🎉🎉🎉

  • @mwigaali1942
    @mwigaali1942 3 года назад +11

    Mumewadanganya wezenu kwa miaka na mikaka sasa uongo jitenge ukweli dhihirikaa🙌🙌🙌

  • @abedkirway8668
    @abedkirway8668 3 года назад +2

    asante baba Mungu akubariki sana uendelee kutufundisha neno la Mungu uwe na umri mrefu baba

  • @kawezaseleman5794
    @kawezaseleman5794 3 года назад +8

    Leo nimeamini mzee wa upako msema kweli kabisa namimi nimesoma nimeyaona hayo

    • @bamsimba7835
      @bamsimba7835 3 года назад

      Huyu Kuna maneno huwaanawaambia wafuasi wake wawewanayatumia kila mara hayo maneno ni tafsiri ya ayatul kursy. Nazifahamu hiitafsri ila anaongeza na maneno yake na jina la yesu pia amelichomeka . Huyu anatakakuishi vizuri ila anafahamu kila kitu.

  • @PANDELABABA-MAMA-officiallaudi
    @PANDELABABA-MAMA-officiallaudi 11 месяцев назад

    Asante sana baba

  • @edwardmalila5230
    @edwardmalila5230 3 года назад +3

    Upo vzr mzee wa upako leo nimekuelewa vizuri

  • @solutionprovider7155
    @solutionprovider7155 Год назад

    Nimekuelewa sana,Yesu Kristo hakuwa mkristo Bali Yesu ndiye Kristo mwenyewe, na hapa duniani hakuna wakristo Bali Kuna watu mali ya Kristo ambaye ni Yesu

  • @maulidharuna183
    @maulidharuna183 8 месяцев назад +3

    Jamaa hili linajua sana hadi linakera kudadeki

  • @iddymustapha489
    @iddymustapha489 3 года назад

    Asante kwa elimu

  • @ramadhanimtetu7246
    @ramadhanimtetu7246 3 года назад +38

    Madini hayooo !!!
    Huyu Baba Anajua Mpaka basi
    Mimi ni Muslim lakini Mahubiri yake
    Ni Safi sana hapendi kona kona

    • @eppiemodest
      @eppiemodest 8 месяцев назад

      Kila mmoja na imani yake. Utatu mtakatifu aheshimiwe. Baba. Mwana na Roho mtakatifi
      Nafsi ya kwanza ni Mungu Baba aliyetuumba pamoja na dunia na vyote vilivyo ndani yake.
      Nafsi ya pili ni Yesu Kristo Mkombozi wetu, Alifia Msalabani tupate msamaha wa dhambi kipitia damu yake.
      Nafsi ya tatu ni Roho Mtakatifu ambaye anatupa mwongozo na kutuimarisha katika imani yetu ya Ukristo. Ndiyo maana huwa tunasononeka tukifanya mabaya au kufarijika tutendapo mema. Ni Roho Mtakatifu yuko kazini.

  • @SamwelJoseph-yk3cw
    @SamwelJoseph-yk3cw 11 месяцев назад

    Vizuri nimekufurahiya kwa content nzuri

  • @christophermrema5277
    @christophermrema5277 3 года назад +12

    Mchungaji bwana yesu asifiwe Sana mungu akupe Afya ya Roho na mwili umefafanua vizuri sana.hakika wewe Ni mwazuoni.Amina

    • @frankjohn8706
      @frankjohn8706 Год назад +2

      Wanawake sio kuwa wachungaji tu hatu ukisoma historia ya utumwa hakuna wanawake walichukua watu kuwauza utumwani
      Nenda ziwani au baharini wanakesha wavuvi wanaume sio wanawake.njoka wa kuingia kwenye maduara migodini ni wanaume hata wachoma mkaa ni wanaume. Wapo wanawake wanaitwa wanawake wa shoka lkn hawajawahi kuangusha mti kwa shoka hizo na mpini ukivunjika Hadi mwanaume aje aweke mpini.mwanamke akishika shoka atakatia Kuni miti mikavu sio magogo

    • @aristidesvedasto7855
      @aristidesvedasto7855 Год назад

      ​@@frankjohn8706Hakuna cha kuongeza uko sawa kamanda

    • @simasima8084
      @simasima8084 Год назад

      @@frankjohn8706 Yan ww nyau umefafanua mpka nikaelewa 👍

  • @allysonmmanyi7436
    @allysonmmanyi7436 Год назад

    Very good, uko sahihi vizuri sana!

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 3 года назад +18

    Mungu akujalie usilimu kwa sababu umeeleza ukweli mtupu

    • @aishaomarry6996
      @aishaomarry6996 3 года назад +1

      Amina

    • @Amosbuzinzira
      @Amosbuzinzira 10 месяцев назад +1

      Hata wewe bado haujaelewa Yesu sio mkristo Yesu ni Kristo mwenyewe (Masihi)

    • @FeisalDoctor-wr8ws
      @FeisalDoctor-wr8ws 8 месяцев назад

      ​@@Amosbuzinzirando ameelewa hivo ww nd hujaelewa

    • @richardmagasa4900
      @richardmagasa4900 3 месяца назад

      Sasa kusilimu kumekujaje kwani umesikia Mzee wa uoako ameukana ukristo kwenye maelezo yake?

  • @samweldonati6596
    @samweldonati6596 3 года назад +2

    Asante Sana kwa kunifundisha kwani nilikuwa sielewi kitu juu ya ukristo

  • @sadaralmas4185
    @sadaralmas4185 3 года назад +5

    Big up mzee waupako,endelea kufundisha wajue ukwel upo wap.malizia tu yesu alisali kwenye sinagog ambao nimsikt ili waongeke.amani sana.

  • @FadhiliAdam-oc2kk
    @FadhiliAdam-oc2kk Год назад +1

    Nimekufatilia saana uko sawa umesoma Mungu akupe afya njema uzidi kuwa elimisha watu

  • @novatidamian7236
    @novatidamian7236 3 года назад +5

    Ni kweli walokole hao kama hawapo Dunia hii! Mimi ninabo washangaa wao kila mmoja wao keshafika peponi hayuko Dunia hii ya dhambi. Kubatizwa ktk maji mengi basi kwao kibari tosha.
    Thank you Brother A. Rusekero

  • @SalumuAlly-d9q
    @SalumuAlly-d9q 6 месяцев назад

    Mashaalwah mzee wa upako silimu tu kilichobaki

  • @abdallahsiraji9919
    @abdallahsiraji9919 3 года назад +12

    Nimekuelewa Mzee na nimwjifunza kitu kikubwa Sana Leo..
    Nimejifunza Utu Upendo na Umoja wa wanadamu dhidi ya Shetani ndio Lengo la Mungu kuleta madabii Mirume utume na Unabii...
    Shetani katuzidi Hadi tunakua na Umoja wa baadhi yetu wanadamu dhidi ya wanadamu wenzetu..
    Asante Sana

  • @mbayanilajingare
    @mbayanilajingare 5 месяцев назад

    Mungu akutie nguvu SoMo hili Ni muhimu sana

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 3 года назад +7

    Hongera mzee WA upako sema ukweli mie shabiki wako mkubwa

  • @Abbas-fp5mc
    @Abbas-fp5mc 2 месяца назад

    Kama ulizoea kutukana,Mw Mungu akuzidishie,akubariki uendelee kutukana mpaka MWISHO wa UHAI WAKO.AMEEEEEN.

  • @eliaskalikowele3680
    @eliaskalikowele3680 3 года назад +4

    Nilikuwa cjakuelewa hapo upo sawa

  • @IssaIssa-yi7hr
    @IssaIssa-yi7hr Год назад

    Allah akupehidaya akuletekwenye diniyaki dini ya uislaam

  • @issatwaha3093
    @issatwaha3093 3 года назад +4

    Wafafanulie wajue vizuri

  • @BinmadengeBM-hi8nw
    @BinmadengeBM-hi8nw Год назад

    Mmmmh mungu akuzidishie

  • @ramadhaniabasi6780
    @ramadhaniabasi6780 3 года назад +3

    Nakukubali Sana mzee wa upako

  • @lukabernald3924
    @lukabernald3924 8 месяцев назад

    Nakuelewaga sana mzee wangu, barikiwa zaidi.

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 3 года назад +5

    Mzee wa Upako Yuko sahihi, Kumuita Yesu alikuwa Mkristo ni sawa Na Kusema Mungu ni Mchamungu, Yesu Mwenyewe alisema Hajaja Kuanzisha Dini. Na Akasema Dini Iliyosafi ni Nini

    • @elishakitumbu5719
      @elishakitumbu5719 3 года назад

      Reta andiko

    • @davidngwesa
      @davidngwesa 3 года назад +1

      @@elishakitumbu5719 reta au leta???

    • @alexmwita5426
      @alexmwita5426 3 года назад

      Sawa kabisa maana ukristo umeamza baada ya yesu kufa na kupaa mbinguni

    • @ThobiasMarandu
      @ThobiasMarandu 3 года назад

      @@elishakitumbu5719 Yakobo 1.27 au James 1.17 Religion that God our Father accepts as pure and faultless is this: to look after orphans and widows in their distress and to keep oneself from being polluted by the world.

  • @peterjohn7613
    @peterjohn7613 3 года назад +1

    Duh Baba umeongea point sana!!!!!

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 3 года назад +40

    Unajua tatizo si hoja, ni namna ya kuitetea hoja.wengi wanatoa hoja wanashindwa kuielezea kwa sababu wanakopi na kupesti.ila mzee nimekukubali kwa kuitetea hoja ma ana wewe hujakopi na kupesti bali umebobea.big up baba.

    • @blessingblessing9641
      @blessingblessing9641 Год назад +2

      Karibu katika dini ya haki islam

    • @deusdeusibrahimdeus2149
      @deusdeusibrahimdeus2149 Год назад

      Kichwa hiki bn

    • @JestinaMakamba
      @JestinaMakamba 11 месяцев назад +1

      😅😅😅

    • @JestinaMakamba
      @JestinaMakamba 11 месяцев назад +1

      Mungu haangalii dini we tenda yaliyo mema pole sana mtu wa mungu ukizani dini ndo tiketi ya kwenda mbingini 😂😂

    • @JestinaMakamba
      @JestinaMakamba 11 месяцев назад

      Mungu haangalii dini we tenda yaliyo mema pole sana mtu wa mungu ukizani dini ndo tiketi ya kwenda mbingini 😂😂

  • @KhalidAkida-h2r
    @KhalidAkida-h2r 11 месяцев назад

    Mungu akuongoze

  • @fredyfile623
    @fredyfile623 3 года назад +7

    Kama hata siku moja hushiki na kusoma maneno ya mwenyezi Mungu hutakiwi kubishaa kitu bcz utabishana na mambo usiyoyajua cha muhimu tujitahidi kusomaa maneno ya mwenyezi mungu mara kwa mara. Kafafanua vizuri sana.

    • @qeytherymasoudy4547
      @qeytherymasoudy4547 2 года назад

      Idhajaaaa anasuru llah walfatuh. Wala ai ta nnasa yadighuluna fidiini llah afuaja fassabbih bihamdi rabikah wa staghafiruh innahuu kana tauwabaaa HICHO NDICHO KINACHOTOKEA SASA IVY QURAN HAIONGOPIII WAISLAMU TAKIBIIIR

  • @KilongolaAbdallah
    @KilongolaAbdallah 9 месяцев назад

    Hapo nimekuelewa Mzee wa upako asante kwa kutuelimisha

  • @elisantennko8222
    @elisantennko8222 3 года назад +5

    Nakubali uchambuzi wako.Tatizo watu wanaenda Bible School kukariri ili wapate vyeti ,hawachambui semi na nahau za theology,historical.

  • @tahiyaabubakar5304
    @tahiyaabubakar5304 8 месяцев назад

    Huo ndiyo ukweli wa mambo.Shukran sana bro huo ndiyo utata baina ya Uislamu na ukristo. Mungu awaonyeshe haki muifuate

  • @faylafood756
    @faylafood756 3 года назад +21

    Bwana mchungaji umeongea maneno mazuri sana, nimefurahi nafsini mwangu, naomba utuweke wazi usifiche kwa maana mungu a nakuona na kuku sikiliza na mwisho wa siku utarudi kwake usifiche kwa kumfurahisha mtu. Yesu alikuwa dini gani? YESU na Nabii Muhammad ni ndugu au sio ndugu? Mungu akuongoze kwa jibu zuri.

    • @buuwahiid2898
      @buuwahiid2898 3 года назад

      Jibu mbona umelipata

    • @ericalexandre2166
      @ericalexandre2166 3 года назад

      Yesu alikua Muyahudi, Uyahudi ni dini pia ni kabila. Muhammad ni muarabu, waarabu na wayahudi ni kabila mbili tofauti.

    • @flova7022
      @flova7022 3 года назад +1

      @@ericalexandre2166 nakujibu, kivingine,,, Yesu na Ismail ni ndugu Kwa kushea babu mmoja yaani Ibrahim, kumbuka Yesu alizaliwa kutoka upande WA jakobo Kwa mama Sara( upande WA wakristu) na Ismail ( uislamu) alizaliwa nA hajiri mke kijakazi WA Ibrahim hajiri ..hivo wakristu na waislamu sisi ndugu,,,hivyo hatupaswi chukiana mAna babu yetu sote ni Ibrahimu

    • @adamsamata8754
      @adamsamata8754 3 года назад +1

      Uyahudi ni kabila sio dini na uwaraabu ni kabila sio dini

    • @khalfanikishki2646
      @khalfanikishki2646 3 года назад +2

      @@ericalexandre2166 Dini ya kiyahudi walitunga wenyewe ilikuwa yakishirikina. Uyahudi kabila ndo alilokuwa nalo Bwana Yesu lakini Dini Uislamu. Ndo mana aliswali kama sisi. Matayo 26:39) alisujudu.

  • @rashid3562
    @rashid3562 Год назад

    Big up mzee wa upako

  • @raphaeldinyu427
    @raphaeldinyu427 Год назад +4

    Hekalu ni moja tu na liko Yerusalem kwa ajili ya Wayahudi kwa ajili ya kumtolea Mungu sadaka za kuteketezwa , na masinago ni kwa ajili ya Wayahudi waliokuwa nje ya Yerusalemu kwa ajili ya kusoma na kujifunza torati ya Musa , Sasa msikiti unahusiana Nini na Wayahudi au na Yesu hamjui kitu na hamtakaa mjue chochote mtaishia kwenye unafiki tu pole mzee wa upako wa wasiomwamini Yesu

    • @rockymanson3774
      @rockymanson3774 8 месяцев назад +1

      Nmekuelewa

    • @professorimmah
      @professorimmah 4 месяца назад

      Umeelewa nini wewe taila

    • @professorimmah
      @professorimmah 4 месяца назад

      Kuteketezwa na nini ukweli ndo huo unakuuma kuambiwa ukweli yesu hakuwa mkristo

    • @professorimmah
      @professorimmah 4 месяца назад

      Msikiti unakuuma sana pole utakuuma hadi utakufa na msikit utadum hadi kiama na ukifa motoni utaenda kwa kuukataa ukweli uyo kasoma wewe umesomewa na mchungaji

  • @aminamkumba3549
    @aminamkumba3549 3 года назад

    Upo vzr mzee wa upako, unasema kilichoandikwa hutoi kichwani kama wengine

  • @KandidoLuvanga
    @KandidoLuvanga 9 месяцев назад +3

    Haya umeniongezea uelewa umepanua vichwa vya watu hasahao wa madhabahuni wameze wembe huo saiziyao 🙏🙏🙏👍👍👍

  • @JohariaNyagawa
    @JohariaNyagawa 8 месяцев назад

    Mungu Akuzidishie Imani endelea kutufundisha wanaokupinga achana nao wakasome tena

  • @binurusm8886
    @binurusm8886 3 года назад +11

    Ni wachache watakaokulewa, Ubarikiwe.

  • @elibarikitata8479
    @elibarikitata8479 3 года назад +1

    Nimekuelewa mtumishi wa Mungu.

  • @athumanibaruti6060
    @athumanibaruti6060 3 года назад +4

    Ni kweli Yesu hakuwa mkiristo lakini wapo wasioelewa hili wapo wanao sema Yesu ni mungu.

    • @mossymtwana6422
      @mossymtwana6422 3 года назад

      Tatizo liko wapi

    • @mossymtwana6422
      @mossymtwana6422 3 года назад

      Akili mgando si umeambiwa Yesu ni Kristo ndio maana wanafunzi wake walikua wa Kristo ni sawa na mtoto baba yake ni Athumani utasema huyu mtoto ni wa athumani ndio maana yake WAATHUMANI WAKRISTO SASA HUJAELEWA NINI MBONA SIE WATU WA AJABU LISILOELEWEKA HAPA NI NINI WAKRISTO NI WAFUASI WA KRISTO NDIO MAANA WANAITWA WAKRISTO hakuna dini ya Kristo ukristo sio dini ni wafuasi wa Kristo tatizo liko wapi kila mkristo anajua hakuna dini ya kikristo ila ni wafuasi wa Kristo kama nyie mlivyo wafuasi wa Mtume Mohamed lakini ikaitwa Dini

    • @awadhhamza9296
      @awadhhamza9296 3 года назад +1

      @@mossymtwana6422 Shida mnamuita Mungu

    • @jescalaurent3183
      @jescalaurent3183 Год назад

      YESU NDIYE KRISTO, AWEZI KUWA MKRISTO, WAKRISTO NI SISI WAUMINI TUNAJIITA WAKRISTO, (YESU KRISTO)

  • @sifaelpyuza3422
    @sifaelpyuza3422 2 года назад

    Mzee wa upako hakika wewe ni kiongozi mungu mbariki kiongozi huyu

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 3 года назад +6

    Mzee ume upigaaa mwingiii sana🤝😂

  • @oscarkilangi1187
    @oscarkilangi1187 7 месяцев назад +1

    Baba Modicaya@hongera!

  • @humphreybilly3258
    @humphreybilly3258 3 года назад +5

    Sisi tuache na Askofu wetu gwajima boy.

    • @soccertv293
      @soccertv293 3 года назад +1

      Hahahaaa tukuache upotee

  • @VictorNgosi
    @VictorNgosi 10 месяцев назад

    Sawa nimekuelewa upo sahihi ila Kuna mwewe,kunguru,njiwa,hata uwelewa nivigumu wengine kuelewa ❤

  • @mussamgonola3983
    @mussamgonola3983 3 года назад +4

    Assalam alaykum warahmaturullah wabarakatuh ! Wallah khaki kamwe haiwezi shuka bali itabaki kileleni hadi kiama ,Hadi Yesu (Issa bin Mariam) atakapo rudi kuvunja makanisa na misalaba hatimae kumuua masihi dajal

    • @eastafrica6858
      @eastafrica6858 3 года назад

      Kabisa wamejenga makanisa hao wazungu utagikiri kwao kuna mitume kila kitu wamebadilisha mpaka ma nabee wengi leo padri wanawake waimbaji baranarani wanawake wanacheza eti wanamsifia yesu wapi yesu alicheza akaruka barabarani na nguo fupi na wigi sadaka wanambiwa watoe na mchezaji barabarani yesu ni mtume wa Allah naatarudi ibrahim alivunja masanam na mtume muhamad alivunja masanam pua hao ndio mitume wa kweli isa alipaishwa
      A

  • @NoelKomba-bj4yr
    @NoelKomba-bj4yr 9 месяцев назад +1

    Mzee wa upako umechepuka sana....
    Uislamu umeanza karne ya Sita kipindi kanisa limepoa....
    Kipindi cha Yesu dini iliyokuwepo ni Uyahudi

    • @kibaikiramadhani1475
      @kibaikiramadhani1475 9 месяцев назад

      Ww hujui kitu sema ufundishwe uislam ndik maumbile alioumbiwa mwanadamu

    • @chikuiddy9946
      @chikuiddy9946 5 месяцев назад

      Kweli Paulo kawaweza

  • @fadhiltave1359
    @fadhiltave1359 3 года назад +6

    Ooooooh!!!! Haleluya kama kunawakati umeongea pointi ni huu wakati... Pendo la KRISTO

  • @prosistermsomaMsoma
    @prosistermsomaMsoma 5 месяцев назад

    Baba ubarikiwe

  • @ambwenesandersony1545
    @ambwenesandersony1545 3 года назад +4

    Nimekuelewa Sana, barikiwa sana

  • @comrademlewaisavile336
    @comrademlewaisavile336 3 года назад +1

    Takibiir Allah Akbar nimekuelewa

  • @ilovejesus666
    @ilovejesus666 3 года назад +6

    Mim nimelitambua toka zamani ndio maana nikatoka uko saivi naitwa ally na nitakufa nikiwa mwislamu mwenye wivu ajinyonge

    • @flova7022
      @flova7022 3 года назад

      Hahahahaha

    • @gladnesssidiu4922
      @gladnesssidiu4922 3 года назад

      @@flova7022 bora hata umemcheka manake mwenye wivu gani ajinyonge wakati yeye ndo yuko kupotea
      Yesu ndiye njia ya kweli na uzima

    • @flova7022
      @flova7022 3 года назад +1

      @@gladnesssidiu4922 kanichekesha Sana ..na bado kajiandika jina lake anampenda YESU

    • @Saidkhel
      @Saidkhel Год назад

      @@flova7022 sasa tatzo nini tatzo mnalo nyie maana Waislam pia tunamtambua yesu kama nabii wa Mwenyez Mungu na siyo kama nyie mnamtambua kama Mungu kwaiyo kujiandika siyo tatzo maana yesu ni Nabii hata kwenye Qur'an yupo anasomwa pamoja na Mama yake mariam kwaiyo jiulizen nyie mliye potea eti yesu ni Mungu na alivyo paa mnasema kaenda kwa Mungu sasa Mungu gan tena wakat yeye ndiyo Mungu yaani mnajichanganya kizembe sana Ingien katika UISLAM mjue haki mzee wa upako anawaambia ukwel hapo mnanuna ona sasa mnavyo uwana huko kenya kizembe wakristo akili hamna ila siku hiz wachungaj wenu washa anza ujua ukwel mnaamini sana miujiza zaid kuliko dini ona wakina zumarid wanavyo waendesha kisa mnapenda miujiza

    • @flova7022
      @flova7022 Год назад

      @@Saidkhel akili kijiko ndio hizo ushaskiaa waroman tuna miujiza...pili wewe unaamini quran ,Mimi naamini biblia.. hivyo huna strong point kubisha kilichopo kwenye biblia Wala mm kubisha kilichopo kwenye Qur'an....kama huamn trinity ..hivyo huwez elewa mtu alikwambia Yesu ni Mungu...nanarudia kusema Yesu ni Mungu..na ndie mkombozi WA dunia...afu Yesu WA kwenye biblia sio ISA wenu Mzee..nyie ISSA wenu hajafufuka Hadi Leo. Alikufa akazikwa India.

  • @naseem7188
    @naseem7188 3 месяца назад

    Namuelewa sana

  • @Expedito2512
    @Expedito2512 3 года назад +6

    Ni kweli Yesu hakuwa Mkristo na si wote wanamwamini Yesu

    • @flova7022
      @flova7022 3 года назад

      Wakristu na waislamu wote wanamwamini Yesu... Wakristu huamini Yesu kuwa ni Mungu na ni mwana WA Mungu waislamu huamini Yesu ni nabii(ISA)

    • @ericalexandre2166
      @ericalexandre2166 3 года назад

      Tatizo ni kutokusoma, swali je anae fata uislamu anaitwa muislam na anae fata Kristo ataitwa je? Eti Yesu hakuwa mukristo sasa angekua je Kristo na mukristo the same time. Someni au ulizeni mupate kujua na sio ubishi kwani hausaidii kitu

    • @ericalexandre2166
      @ericalexandre2166 3 года назад +1

      @@flova7022 Yesu sio Mungu coz haijaandikwa hata sehemu 1 ya Biblia istoshe amezaliwa na mwanadamu. Wanao sema ni Mungu waambie wa kuonyeshe ilipo andikwa kwani tunatakiwa kufata maandiko na sio maneno ya watu

  • @augustabisetsa5007
    @augustabisetsa5007 3 года назад +1

    Pole, umechoka

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 3 года назад +3

    Mzee wa upako wewe unaijua biblia, kwangu naona upo sahihi. Hongera sana kwa ufafanuzi huo.

    • @buuwahiid2898
      @buuwahiid2898 3 года назад

      Na mujuwe kuwa bibilia sio kitabu cha mungu

  • @athumanikajembe4585
    @athumanikajembe4585 7 месяцев назад

    Safi sana mzee wa upako nakukubali

  • @roselugendo6943
    @roselugendo6943 3 года назад +5

    Kumweleza mzee wa upako unabidi uwe na akili zakutosha. I miss you dad.

  • @MombokaMomboka
    @MombokaMomboka 8 месяцев назад

    Mungu akulipe

  • @geraldluiso6792
    @geraldluiso6792 3 года назад +8

    Geometry don't lie , your so brilliant

    • @newatareeesanauyumtufantas6227
      @newatareeesanauyumtufantas6227 3 года назад +1

      Baba wewe ni mtu wa mungu nmekupenda na kukuelewa sana sana naomba npate namba yako au mwenye namba ya uyo mkuu tafadhari

    • @khamisawadh7333
      @khamisawadh7333 3 года назад +1

      Usimsute Upako?kweli yesu Alikua anaswali Kwenye MasinaGigi Ambayo Yaitwa MSKTI?Uko Ok

    • @theafricanprincevivecongo8632
      @theafricanprincevivecongo8632 9 месяцев назад

      @@khamisawadh7333 we umeelewaga?

  • @leonardoautomotivegarage9452
    @leonardoautomotivegarage9452 Год назад +1

    Nashauri acheni Mungu awe mwamuzi, kuwa mkongwe haimanishi una Mungu, kujaza watu si kuwa na Mungu, kunyamaza nayo hekima, Mungu atapambanua pumba na mpunga

  • @reganpaul8542
    @reganpaul8542 3 года назад +7

    Chief mwalimu general mzee wa upako kifaru Cha Yesu ubarikiwe mwalimu wa biblia Moses Bible college

  • @charlestesha4202
    @charlestesha4202 3 месяца назад

    Ila Mzee uko sawa

  • @daudinyello4033
    @daudinyello4033 8 месяцев назад +2

    TATIZO WAKRISTO WA AFRIKA MASHARIKI HASA TANZANIA WANA VICHWA VIGUMU, UMENENA SANA NA NDIO UHALISIA.

  • @BasilianaGaitanNgaina
    @BasilianaGaitanNgaina Месяц назад

    Safiiiiiiiiiii MUNGU Akupe nguvu saaaaaaaaana

  • @bajomba2010
    @bajomba2010 3 года назад +2

    Mzee wa Upako...nakuelewa kabisa..endelea kutuelimisha ndugu yetu..wala usiyumbe!!!