HARUFU MBAYA INAHARIBU UJASIRI WA MWANAUME KATIKA NDOA "PASTOR MGOGO
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Kuendelea kupata mafundisho yangu mazuri yanayohusu mahusiano yako na Mungu,Utakatifu,Uchumi na Biashara kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: Daniel Mgogo / revdanielmgogo
Instagram: Pastor Daniel Mgogo / pastordanie. .
RUclips : Pastor Daniel Mgogo www.youtube.co....
#PastorDanielMgogo#ImaniYaKweli#InjiliYaKristo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Love from Rwanda 🇬🇦
I am a Muslim but I love this pastor so much. His agendas are good oooh and motivational 😅😅😅
Mungu,akuzishie neema.utukumbushe.ukwel.
waah hiyo ni kweli mtumish wa mungu hapa Kenya tunakupenda xana ubarikiwe xana amen
Hakikaa mchungaji wangu mgogo nakuelewa vizuri,tufundishee baba tunapona katik ndoa zetuu. Amiiiinaaaaa🙏🙏🙏🙏
Mahubiri yako yananibariki sana mtumishi🙏🙏🙏
Ukweli mtupu, wanaume walioamua kumutumikia Mungu kwa utakativu tunapitia sana, juu wanajua hauwezi kwenda njee juu unamuogopa Mungu. Mungu atusaidie
This pastor will kill me one day😂😂😂😂😂😂 newly marriage lam learning alot here
Waah pastor Mungu akubariki kabisa,,,maneno ya hekima haya 😂😂👏👏👏
Blessed be the optimistic man who spreads the Gospel wisely may u be blessed
Like Zako hapa kama umebarikiwa kama mimi..
Fa hfi
Pasta bwanaaaa! Love u so much. Ukwel utatuweka huru
Ni kweli mch mahubiri mazuri sana lkn upande wa ndoa mmmhhhh Mungu atusaidie sana lkn wengi wao wanabakana tu 😮
Nimecheka kwa sauti jamani duu wew mgogo Ila kweli jamani Kuna wanawake wachafu Sana kaa ,Safi Sana mgogo
Wamama safisheni huko jamani
Asante sana pastor, unaponya sana ndoa zetu, na ni wachungaji wachache wanaohubiri hayo.
Niuwe, niuwe,,,niuwe,,,Ameeeeeeeen
😂😂Daa!! Niuwe***
Semina nzuri sana nimejifunza asante paster
Mungu akupe na mafundisho mengine mapya mtumishi
Nakuambia ivi pstor mgogo unaongea ukweli toka mbinguni sema binadanu wa ngozi nyeusi tumeumbiwa aibu ndio mana wasio elewa wana kushangaa lakin sema chochote unatuponya ujuwi tu mimi nakuandalia zawadi yako nakusikilizaga tu ktk you tube lakin unasema ukweli unao ponya maisha yety
Mchungaji barikiwa sana kwa mahenzo yko
Sorry kwa mafunzo
Aisee mchumgaji ubarikiwe sana
Kazi njema kweli ❤❤❤
Hiyo ni kweli Mchungaji..hata sisi wanawake hatupendi harufu..kuna wanaume hawpigi mswaki vizuri..unakuta hauwaoshi kichwa yaani unapishana na mwanaume hata kwenye daladala asbh unasema je huko nyumbani amefukuzwa au aliagwa?
😅😅😅😅 na wananuka kweli😅
Shida ni mazingira wanayokulia toka wadogo.hakuna mtu wa kuwasimmia kwenye usafi, Waliosoma miaka ya nyuma sana kulikuwa na kipindi cha afya , kinachotufunza usafi wa mwili kwa ujumla na kwa undani zaidi, na hata usafi wa nyumba , nguo etc etc
Nimebarikiwa sana😁
Hongera pastor, unafundisha vizuri
Hiyo imeenda hiyo
Hongera Sana pastor mgogo Kwa seminar hiyo nzito,maana wahubiri wengi hawaelezi Kwa uwazi hivi,yaani ubarikiwe.
Sijaoleka but nasoma mengi kutoka kwa mhubiri huyu 😅😅😂😂😂I promise my husband nitakuwa mzuri😅😅😅😅😅pastor barikiwa sana ❤❤❤kutoka kenya 🇰🇪 🙏 😆 😄 😅😅😅
Semina nzuri...., Barikiwa Pastor
😂😂😂 pastor Mgogo uko vizur sana
😂😂😂😂niuwe niuwe peleka thanks pastor. Aki barikiwa😅😅
Nikweli kabisa mutumishi wa mungu ubarikiwe sana
Amen 🙏🙏🙏🙏
Real life preacher, no sugar coating . Be blessed
Pastor nakupenda sana unamafunzo mazuri mno
Mungu akuongezeee tena na tena
PASTOR DANIEL YOU ARE DOING THE RIGHT IN LIFE. BARIKIWA SANAAAA........
Mahubiri MAZURI jamiini..
Pastor nashukulu umeongea na langu tatz Mungu akubarki
Asante baba mchungaji tunashukuru kwa semina nzuri ya usafi asa kwetu sisi mabinti itatussaidia
Amen amen
Amen 🙏 🙏 ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
Ahsante ujumbe nimeupata naomba Mungu anisidie sana. Ubarikiwe
Jamani nercheka mm mpaka bhac
Mungu akubariki pasta unanijenga saana asante
Nakubali mzee we mkali nazidi kusikiliza huku Zambia
Haswa,Mtumishi uko Sahihi
Mtumishi wa Mungu🙏👍👏👏👏👏👏
Barikiwa Sana
Amina mtumishi nikweli kabisa tunafungulia sabufa
Ubarikiwe mch,mungua akupe maisha marefu
barikiwa pasta reo ndiyomarayakwanza nimekuangalia kwa
youtoube nanimesikiya mengi kutokakwako barikiwasana
Umenifurahisha sana
Amen mtumishi wa Mungu
Âmene amene mwalimu
Sema Pastor wangu
Sema kwa kweli japo walio wengi hakuna maandalizi
Big up baba
Barikiwa sana mtumishi wamungu.
Mtumshi wa Mungu unasema ukweli nyumba za uku Mujini zinaweza leta Batoto bakakua natabia mbaa kbxa bt Bazazi habataki kujua
Jamani pastor, huyo mchezooooo jamani , watoto wana hakiri wanajiuliza kwani baba ni mtu mbaya anampiga mama.
😂
Ameni pastor jamani hiyo ni kweli
Be blessed pastor
😂❤ true kabisa pst going on Amina hallelujah 🙏
Ameni mtumishii,nimependa hii semina
Safi sana Baba mchungaji
Amen barikiwa mtumish wa mungu
Aisee 😂😂😂 mgogo ahahaha na enjoy sana wallah
tunabarkiwaa Sanaa Mungu akubarki
Ubalikiwe
Ubarikiwe baba kwa mahubiri mazuri
Ukweli wamama wengini wanaharufu chafu hawaongi
Ni kweli pastor be blessed
Amen
😂😂😂😂😂😂you made my night
Nimebarikiwa kabisa,
N kweli tunanza bila mambi.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣sabufaaaaa muhimu safi sana
Thanks 🙏
Apa pale tunapo ona ujinga ndio maisha halisi furaha ya mtu ina anzia nyumbani
Waambie baba
Hallelujah mtumishi wa mungu😂😂😂😂
Yan Pastor mgogo
Anaenda kunioshea kajiado😂😂😂😂 barikiwa pastor, harufu jamani it's a turn off for sure 😂😂😂😂😂
I love that part of prayers while hugging your spouse
Waaa! Hii ni kali sana😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂 much love from DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
😂😂😂 mchungaji nakukubali sana tena zaidi ya sana
Nikweli mtushi.AMEN KUBWA
Blessed be the man who brings God's message
Ibada ibadaa😂😂
Great message as always
Sijaoleka lkn napenda mafunzo yako....❤❤😂😂😂
Kajiado was just chilling then boom!!!!😂😂😂
Nikwel kabs mtumishi wamung
Hata wababa wanaharufu chafu hii nikwa Kila mtu SI mama Wala baba.kazi usafi kuoga.ju kama inavuta sigara utaacha kunuka na eti unataka kiss nani atakupea.sinyaaa
😂😂😂😂Amen❤
Hiki ni CHUMA cha pua!😃😃😃🔥🔥🔥
Wambie babaa
Ngumu sana inatufanya watu kufa kiloho
Heri pia mwanamke kila mara ukienda haja unatumia maji kujiosha hautanuka hata usipooga