HARUFU MBAYA INAHARIBU UJASIRI WA MWANAUME KATIKA NDOA "PASTOR MGOGO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Kuendelea kupata mafundisho yangu mazuri yanayohusu mahusiano yako na Mungu,Utakatifu,Uchumi na Biashara kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: Daniel Mgogo / revdanielmgogo
    Instagram: Pastor Daniel Mgogo / pastordanie. .
    RUclips : Pastor Daniel Mgogo www.youtube.co....
    #PastorDanielMgogo#ImaniYaKweli#InjiliYaKristo

Комментарии • 185

  • @mellissauwase5514
    @mellissauwase5514 Год назад +8

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
    Love from Rwanda 🇬🇦

  • @aminamahamud9333
    @aminamahamud9333 Год назад +7

    I am a Muslim but I love this pastor so much. His agendas are good oooh and motivational 😅😅😅

    • @JoelHillu
      @JoelHillu Год назад +1

      Mungu,akuzishie neema.utukumbushe.ukwel.

  • @user-zt6ju3lv6m
    @user-zt6ju3lv6m Год назад +5

    waah hiyo ni kweli mtumish wa mungu hapa Kenya tunakupenda xana ubarikiwe xana amen

  • @rehemamwanja106
    @rehemamwanja106 Год назад +2

    Hakikaa mchungaji wangu mgogo nakuelewa vizuri,tufundishee baba tunapona katik ndoa zetuu. Amiiiinaaaaa🙏🙏🙏🙏

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 Год назад +9

    Mahubiri yako yananibariki sana mtumishi🙏🙏🙏

  • @francisnyahage4576
    @francisnyahage4576 11 месяцев назад +1

    Ukweli mtupu, wanaume walioamua kumutumikia Mungu kwa utakativu tunapitia sana, juu wanajua hauwezi kwenda njee juu unamuogopa Mungu. Mungu atusaidie

  • @valsilaakamatonya632
    @valsilaakamatonya632 Год назад +2

    This pastor will kill me one day😂😂😂😂😂😂 newly marriage lam learning alot here

  • @kavuliann222
    @kavuliann222 Год назад +3

    Waah pastor Mungu akubariki kabisa,,,maneno ya hekima haya 😂😂👏👏👏

  • @user-bj6bm8jg2o
    @user-bj6bm8jg2o Год назад +2

    Blessed be the optimistic man who spreads the Gospel wisely may u be blessed

  • @petermuganda7322
    @petermuganda7322 Год назад +17

    Like Zako hapa kama umebarikiwa kama mimi..

  • @rebecakikoti374
    @rebecakikoti374 Год назад +2

    Pasta bwanaaaa! Love u so much. Ukwel utatuweka huru

  • @user-mc4we6qf3x
    @user-mc4we6qf3x Год назад +2

    Ni kweli mch mahubiri mazuri sana lkn upande wa ndoa mmmhhhh Mungu atusaidie sana lkn wengi wao wanabakana tu 😮

  • @Neemakilimba
    @Neemakilimba Год назад +2

    Nimecheka kwa sauti jamani duu wew mgogo Ila kweli jamani Kuna wanawake wachafu Sana kaa ,Safi Sana mgogo
    Wamama safisheni huko jamani

  • @sophiandumbaro1709
    @sophiandumbaro1709 Год назад +3

    Asante sana pastor, unaponya sana ndoa zetu, na ni wachungaji wachache wanaohubiri hayo.

  • @wallarickymutua6120
    @wallarickymutua6120 Год назад +5

    Niuwe, niuwe,,,niuwe,,,Ameeeeeeeen

  • @joyyjoyy5474
    @joyyjoyy5474 Год назад +3

    Semina nzuri sana nimejifunza asante paster

  • @sebiussanga
    @sebiussanga Год назад +2

    Mungu akupe na mafundisho mengine mapya mtumishi

  • @judithkatabaro3294
    @judithkatabaro3294 Год назад +5

    Nakuambia ivi pstor mgogo unaongea ukweli toka mbinguni sema binadanu wa ngozi nyeusi tumeumbiwa aibu ndio mana wasio elewa wana kushangaa lakin sema chochote unatuponya ujuwi tu mimi nakuandalia zawadi yako nakusikilizaga tu ktk you tube lakin unasema ukweli unao ponya maisha yety

  • @fbfb6420
    @fbfb6420 Год назад +1

    Mchungaji barikiwa sana kwa mahenzo yko

    • @fbfb6420
      @fbfb6420 Год назад

      Sorry kwa mafunzo

  • @petermuganda7322
    @petermuganda7322 Год назад +2

    Aisee mchumgaji ubarikiwe sana

  • @makenemboko530
    @makenemboko530 Год назад +2

    Kazi njema kweli ❤❤❤

  • @annajustin1945
    @annajustin1945 Год назад +4

    Hiyo ni kweli Mchungaji..hata sisi wanawake hatupendi harufu..kuna wanaume hawpigi mswaki vizuri..unakuta hauwaoshi kichwa yaani unapishana na mwanaume hata kwenye daladala asbh unasema je huko nyumbani amefukuzwa au aliagwa?

    • @kisalaTV
      @kisalaTV Год назад

      😅😅😅😅 na wananuka kweli😅

    • @syliviakente9460
      @syliviakente9460 Год назад

      Shida ni mazingira wanayokulia toka wadogo.hakuna mtu wa kuwasimmia kwenye usafi, Waliosoma miaka ya nyuma sana kulikuwa na kipindi cha afya , kinachotufunza usafi wa mwili kwa ujumla na kwa undani zaidi, na hata usafi wa nyumba , nguo etc etc

  • @petermuganda7322
    @petermuganda7322 Год назад +2

    Nimebarikiwa sana😁

  • @claraikuu1196
    @claraikuu1196 Год назад +2

    Hongera pastor, unafundisha vizuri

  • @alfakiyaulilo9508
    @alfakiyaulilo9508 Год назад +2

    Hiyo imeenda hiyo

  • @user-jl1db6lc1w
    @user-jl1db6lc1w 11 месяцев назад

    Hongera Sana pastor mgogo Kwa seminar hiyo nzito,maana wahubiri wengi hawaelezi Kwa uwazi hivi,yaani ubarikiwe.

  • @FaithNaliaka-m9g
    @FaithNaliaka-m9g 7 месяцев назад

    Sijaoleka but nasoma mengi kutoka kwa mhubiri huyu 😅😅😂😂😂I promise my husband nitakuwa mzuri😅😅😅😅😅pastor barikiwa sana ❤❤❤kutoka kenya 🇰🇪 🙏 😆 😄 😅😅😅

  • @guilainenzaira8757
    @guilainenzaira8757 Год назад +2

    Semina nzuri...., Barikiwa Pastor

  • @HappinessAhia-ey1lq
    @HappinessAhia-ey1lq Месяц назад

    😂😂😂 pastor Mgogo uko vizur sana

  • @teresaotieno141
    @teresaotieno141 Год назад +1

    😂😂😂😂niuwe niuwe peleka thanks pastor. Aki barikiwa😅😅

  • @user-rw6tu9wn3m
    @user-rw6tu9wn3m Год назад +3

    Nikweli kabisa mutumishi wa mungu ubarikiwe sana

  • @lizabeth6305
    @lizabeth6305 Год назад +1

    Amen 🙏🙏🙏🙏

  • @ppatop
    @ppatop 8 месяцев назад

    Real life preacher, no sugar coating . Be blessed

  • @doriskhasoa615
    @doriskhasoa615 Год назад +1

    Pastor nakupenda sana unamafunzo mazuri mno

  • @esperancekanyinyi7811
    @esperancekanyinyi7811 Год назад +2

    Mungu akuongezeee tena na tena

  • @richardsahashauri7138
    @richardsahashauri7138 Год назад +2

    PASTOR DANIEL YOU ARE DOING THE RIGHT IN LIFE. BARIKIWA SANAAAA........

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Год назад +1

    Mahubiri MAZURI jamiini..

  • @justinethomas5959
    @justinethomas5959 3 месяца назад

    Pastor nashukulu umeongea na langu tatz Mungu akubarki

  • @AnithaBagna
    @AnithaBagna Год назад +2

    Asante baba mchungaji tunashukuru kwa semina nzuri ya usafi asa kwetu sisi mabinti itatussaidia

  • @elysemaombi8858
    @elysemaombi8858 Год назад +1

    Amen amen

  • @user-sr5hn4bl5d
    @user-sr5hn4bl5d 4 месяца назад

    Amen 🙏 🙏 ubarikiwe sana mtumishi wa mungu

  • @PeridaKivamba
    @PeridaKivamba 10 месяцев назад

    Ahsante ujumbe nimeupata naomba Mungu anisidie sana. Ubarikiwe

  • @maggieandrew995
    @maggieandrew995 8 дней назад

    Jamani nercheka mm mpaka bhac

  • @esperancekanyinyi7811
    @esperancekanyinyi7811 Год назад +1

    Mungu akubariki pasta unanijenga saana asante

  • @MariusMulwanda
    @MariusMulwanda Год назад

    Nakubali mzee we mkali nazidi kusikiliza huku Zambia

  • @MariaLuvinga-ht1mv
    @MariaLuvinga-ht1mv Год назад +1

    Haswa,Mtumishi uko Sahihi

  • @lillianm.munyao7793
    @lillianm.munyao7793 Год назад +1

    Mtumishi wa Mungu🙏👍👏👏👏👏👏

  • @dastansimpanzye4019
    @dastansimpanzye4019 Год назад +1

    Barikiwa Sana

  • @hirdahaule-qe8ot
    @hirdahaule-qe8ot 11 месяцев назад

    Amina mtumishi nikweli kabisa tunafungulia sabufa

  • @user-sg7uj6ou1k
    @user-sg7uj6ou1k 6 месяцев назад

    Ubarikiwe mch,mungua akupe maisha marefu

  • @nyambofrancine8466
    @nyambofrancine8466 Год назад

    barikiwa pasta reo ndiyomarayakwanza nimekuangalia kwa
    youtoube nanimesikiya mengi kutokakwako barikiwasana

  • @kinirahandirashidi1858
    @kinirahandirashidi1858 Год назад +1

    Umenifurahisha sana

  • @aminamangu
    @aminamangu Год назад +3

    Amen mtumishi wa Mungu

  • @user-ie7hp2pf2c
    @user-ie7hp2pf2c Год назад +2

    Âmene amene mwalimu

  • @princemathe9749
    @princemathe9749 Год назад +1

    Sema Pastor wangu

  • @user-nc6hq2tj8u
    @user-nc6hq2tj8u 7 месяцев назад

    Sema kwa kweli japo walio wengi hakuna maandalizi

  • @emmysarikiurio6445
    @emmysarikiurio6445 Год назад +1

    Big up baba

  • @sarahndinda3344
    @sarahndinda3344 Год назад +1

    Barikiwa sana mtumishi wamungu.

  • @dushalice8391
    @dushalice8391 Год назад +2

    Mtumshi wa Mungu unasema ukweli nyumba za uku Mujini zinaweza leta Batoto bakakua natabia mbaa kbxa bt Bazazi habataki kujua

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 Год назад +3

    Jamani pastor, huyo mchezooooo jamani , watoto wana hakiri wanajiuliza kwani baba ni mtu mbaya anampiga mama.

  • @ShidaKazungu-tp8ld
    @ShidaKazungu-tp8ld 3 месяца назад

    Ameni pastor jamani hiyo ni kweli

  • @user-jm6hd9qw9f
    @user-jm6hd9qw9f 6 месяцев назад

    Be blessed pastor

  • @KevineKataka
    @KevineKataka 11 месяцев назад

    😂❤ true kabisa pst going on Amina hallelujah 🙏

  • @NeemaJaskon
    @NeemaJaskon Год назад +3

    Ameni mtumishii,nimependa hii semina

  • @KasindiPapi
    @KasindiPapi Год назад +1

    Safi sana Baba mchungaji

  • @BeatriceJackson-tu1hp
    @BeatriceJackson-tu1hp 11 месяцев назад

    Amen barikiwa mtumish wa mungu

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 Год назад

    Aisee 😂😂😂 mgogo ahahaha na enjoy sana wallah

  • @GeorgeAntony-hn2xw
    @GeorgeAntony-hn2xw Год назад

    tunabarkiwaa Sanaa Mungu akubarki

  • @Masaweruben44
    @Masaweruben44 Год назад

    Ubalikiwe

  • @user-tj7gf9wc5y
    @user-tj7gf9wc5y Год назад

    Ubarikiwe baba kwa mahubiri mazuri

  • @sammymasinde373
    @sammymasinde373 Год назад +3

    Ukweli wamama wengini wanaharufu chafu hawaongi

  • @ClarisRiziki-yh9fs
    @ClarisRiziki-yh9fs 9 месяцев назад

    Ni kweli pastor be blessed

  • @johnmausa779
    @johnmausa779 5 месяцев назад

    Amen

  • @phoebemukhwana3058
    @phoebemukhwana3058 Год назад +2

    😂😂😂😂😂😂you made my night

  • @MagdalenaMumbi
    @MagdalenaMumbi Год назад

    Nimebarikiwa kabisa,

  • @AngelaBungoma
    @AngelaBungoma Месяц назад

    N kweli tunanza bila mambi.

  • @joycelaura4611
    @joycelaura4611 10 месяцев назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣sabufaaaaa muhimu safi sana

  • @leahmwasaru3500
    @leahmwasaru3500 Год назад

    Thanks 🙏

  • @judithkatabaro3294
    @judithkatabaro3294 Год назад +2

    Apa pale tunapo ona ujinga ndio maisha halisi furaha ya mtu ina anzia nyumbani

  • @DaudiShumbi-sv3bk
    @DaudiShumbi-sv3bk Год назад

    Waambie baba

  • @NyamboriOnsabwa-wf2gv
    @NyamboriOnsabwa-wf2gv Год назад +1

    Hallelujah mtumishi wa mungu😂😂😂😂

  • @guelordlenge8219
    @guelordlenge8219 Год назад

    Yan Pastor mgogo

  • @mlagz8032
    @mlagz8032 3 месяца назад

    Anaenda kunioshea kajiado😂😂😂😂 barikiwa pastor, harufu jamani it's a turn off for sure 😂😂😂😂😂

  • @sylviaoira3349
    @sylviaoira3349 Год назад +5

    I love that part of prayers while hugging your spouse

  • @AmAm-xt1og
    @AmAm-xt1og 2 месяца назад

    Waaa! Hii ni kali sana😂😂😂

  • @elisechance5553
    @elisechance5553 8 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂😂 much love from DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 Год назад

    😂😂😂 mchungaji nakukubali sana tena zaidi ya sana

  • @scadygady9822
    @scadygady9822 Год назад

    Nikweli mtushi.AMEN KUBWA

  • @peteroduor369
    @peteroduor369 Год назад +2

    Blessed be the man who brings God's message

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 Год назад +1

    Ibada ibadaa😂😂

  • @sergiomakena5313
    @sergiomakena5313 Год назад

    Great message as always

  • @carolinenkatha2578
    @carolinenkatha2578 5 месяцев назад

    Sijaoleka lkn napenda mafunzo yako....❤❤😂😂😂

  • @SharonWatila
    @SharonWatila Год назад +1

    Kajiado was just chilling then boom!!!!😂😂😂

  • @estherkiula3430
    @estherkiula3430 Год назад +1

    Nikwel kabs mtumishi wamung

  • @stellarehemamkare1784
    @stellarehemamkare1784 Год назад +2

    Hata wababa wanaharufu chafu hii nikwa Kila mtu SI mama Wala baba.kazi usafi kuoga.ju kama inavuta sigara utaacha kunuka na eti unataka kiss nani atakupea.sinyaaa

  • @thabitharange-vz2ru
    @thabitharange-vz2ru Год назад +2

    😂😂😂😂Amen❤

  • @georgeyoram8638
    @georgeyoram8638 2 месяца назад

    Hiki ni CHUMA cha pua!😃😃😃🔥🔥🔥

  • @JESCAPius-i1f
    @JESCAPius-i1f Год назад

    Wambie babaa

  • @SifaNdabila
    @SifaNdabila 11 месяцев назад

    Ngumu sana inatufanya watu kufa kiloho

  • @phylesgesare1194
    @phylesgesare1194 Год назад

    Heri pia mwanamke kila mara ukienda haja unatumia maji kujiosha hautanuka hata usipooga