UKRISTO NA POMBE
HTML-код
- Опубликовано: 15 янв 2024
- Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda.
Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia runinga ya channel ten na zaidi ya watu milioni 1.7 wanaungana na Mzee wa upako kupitia majukwaa yake ya mitandao ya kijamii ulimwenguni.
Mzee wa upako anaweza kusikika 24/7 kwenye channel zake za RUclips Mzee wa upako na TUTASHINDA CHURCH. Ungana na Askofu Antony Lusekelo kwenye Instagram Mzeewaupakotz.
Wana wa mungu popote mlipo simameni imara yesu anakuja na malipo
Ktk Ufunuo anasema nawachukia walevi, wazinzi na waabudu sanamu
Si wote wanywao pombe ni walevi. Anaekunywa pombe chupa moja si mlevi ni mnywaji na Biblia haikatazi anywaye kiasi.
Nyakat zamwisho watu wataipend dunia,ndio haya,tusimame kwamiguu yetu tuachane namanabii yusome sana neno lamungu
Wana wa Mungu, kimbieni hapo hapana kitu mtaachwa na Yesu Kristo anarudi.
Mwenyezi Mungu tujaalie mwisho uliokuwa mwema
Wakristo kama haya ndiyo mafundisho yenu mmh hongereni sana na diniyeni ya mchongo
Mzee anazeeka vby pole sana
Mzee me nakuelewa sana wache waseme yao mwaga ukweli ila siku ukitaka kuwa muislam karibu usione haya
Aje awafudishe kulewa kwenye miskiti yenu, mnaweza kumpa hata semina miskitini mwenu.
Duu nilikuwa sijui kumbe miislam inaluhusu ulevi kumbe sheh kishki mazinge niwalevi basi lusekelo ata wafaa 😏😏😏😏
Endelea na konyagi mzee wa bapa
anakubali, anakataa, mzee wa bapa yaliyoujaza moyo...
Nyakati za mwisho hofu ya Mungu itatoweka kabsa
Tatizo hamjamuelewa mzee ypo sawa
Dah mzee nawapa pole walio kaa kuku sikilizeni naona kama hata wewe mwenyewe hujielewi
Hapo tayari kishalewa
Kuwa mtaarabu kumbuka ana watoto uyo unavo andika ivo unamaana gani
Kaeni makini,haya hayana budi kuwepo
anganyikiwa baba
Sababu mjinga mzee
Kunywa tu mzee
Huenda kashalewa tiyari
Upo sahihi mchungaji....huo ndo ukweli...tena ukitaka kujiona wewe ni Mtakatifu lewa pombe....mambo utakayofanya baada ya kulewa ndio yaliyopo moyoni mwako
Umeishiwa!
Amen,
Soma lsay 5:11,22, Lk 1:15. Amen
Vita vya upinzani wa historia ya Kristo iachwe vibaya tunakataa ktk Jina la Yesu Kristo Aliyehai mbaya sana Tusamehe Tusaidie Yehova tumalize salama. Uchambuzi mwingine hauna lazima mtaua wengi jamani. Si mtulie nayo acheni watu wamalize hivyo wajuavyo. Itawaghalimu na mtajibu kwa ajili ya hao wadogo ambao Yesu Kristo Aliyehai Aliwafia.
Habakuki 2:15 Ole wake yeye ampaye jirani yake kileo, wewe utiaye sumu yako, na kumlevya pia, ili kuutazama uchi wao! Woe unto him that giveth his neighbour drink, that puttest thy bottle to him, and makest him drunken also, that thou mayest look on their nakedness!
Habakuki 2:16 Umejaa aibu badala ya utukufu; unywe nawe, uwe kama mtu asiyetahiriwa; kikombe cha mkono wa kuume wa BWANA kitageuzwa ukipokee, na aibu kuu itakuwa juu ya utukufu wako. Thou art filled with shame for glory: drink thou also, and let thy foreskin be uncovered: the cup of the LORD'S right hand shall be turned unto thee, and shameful spewing shall be on thy glory.
Dah
Mafundisho ya kipepo ayo mzee wa upako
Hautabiriki!
Hah hah hah hah! Lusekeloooooooooo! Ok
Jamani hukumu ya.mwanadamu anaye jua ni mungu ila.wanadamu kazi ni kusema
pombe mumehalalishiwa kabisaaa munywe mulewe mpaka muanguke😂😂 nyinyi kila baya mumeingiziwa na waandishi wa kizungu ndipo tunapogundua bibilia sio tabu la mungu Mungu hawezi kuwaamuru machafu
Ni nyakati za mwisho
Feel free
Vichungajigani hivi?
Ni kweli pombe siyo zambi Ila nikisababishi
Pombe ni dhambi isiipambe pombe ni kilevi ndomaana biblia imesema walevi hawataurithi uzima WA milele ulevi unatokana pombe na mengineyo nyenye kilevi pombe inakilevi ndani yake wakati biblia inaandikwa hakukuwa jina pombe wara bia konyagi mbege na ulanzi na kitochi maana pombe Ina majina mengi
Unatakiwa uelewe dhambi ni nini ? Dhambi sio kuvunja amri kumi za Mungu pekee ... jaribu kusoma maandiko utaelewa Wagalatia 5:19-21 ,(Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi, ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi, husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.
Mmh😮
Ujasiri unatoka wapi huu?
Duh lusekelo atakua anapenda mitungi😂😂😂
Mmmh
Pombe ni tamu kiukweli
Mm muislam ila mzee mambo mengine unaongea ukwel ila pombe haifai ni dhambi na ndo baba wa maasi # na kwa akili ya kawaida tu ukichunguta utaona pombe haifai ina madhara mengi sana
Kuzini kumeandikwa kuwa tusizini,ila ukianza kusema kuhusu kuzini wanaozini watakushambulia kwa kuwa wanafaida nalo,hivo wote wanaomtetea Lusekelo ni kwa sababu Amelita mlemle wanapopapenda.kwenye angle yao.pole
Wakala wa shetani
Chukizo la uharibifu limeshasimama mahali patakatifu wana wa Mungu tuwe macho tunakaribia kwenda
Unawachanga sasa
Bas ipo siku utaitwa kubariki mtaji wapombe
Pombe siyo dhambi ..ulevi ndiyo dhambi.
Tafuta kazi nyingine ya kufanya,,,,, ya uchungaji huwezi.
Kuna kuzidiwa lkn watu wa Mungu waambiwe ukweli.
MIMI NAONA,MZEE HUYU...ANAKOSA ZA KUSEMA AU KUFUNDISHA KANISANI MWAKE.
-AMESHAMKANA HATA,"YESU KRISTU KUWA NI MUNGU"
-HII SIJUI NI IMANI GANI
Huyu mzee bolt zimekata
Amekengeuka
Kuwa mstaarabu ndgu maneno mazito ktka account ya mtu hasa ukizingatia ni mtu mzima uyo
@@user-ot9ch5kl3w mtu mzima anapotosha neno la Kristo,upumbavu
@@user-ot9ch5kl3wmtu mzima haambiwi ukweli?
Wewe Bado mchanga Sana wa maandiko tatizo unaongozwa na hisia zaidi na sio ukweli
Wewe Mlevi wa Kvant mchungaji gani hufai kabisa ndiyo maanavunatetea pombe
Soma vizuri biblia mzee wa upako ili ujue habari ya pombe. Mit 23:20-21
Mithali 31 :4
Kunyweni kanisani
Mungu atuhurumie😢
Sasa mzee unaipamba dhambi rangi dah pole heri mwisho wa jambo kuliko mwanzo wake mzee
Aiseyi Hilo ni tatizo la kuwa na waalim wengi Yak 3:1,2
Mmmmmmmmmmmmmmmm eleza maana ya kosa
Huyu anaejiita mzee waupako kwanza mwenyewe nimlev ndio mana anatetea dhamb tazamen hata liuso lake lilivyo lamtu mlev kabis
Siasa izi ...na ushoga nao mnasema si dhambi nao ni kosa kwani dhambi Nini.? Dhambi si Imani dhambi ni kosa huu uhuni mtupu...😮
Lusekelo unajaribu kuonyesha wewe ni wawapi
Haya bwana yanatokea kwasababu ya kosefu wa ajira yaani huyu mzee ni mpigaji nawaambia jamani, tuweni makini
Jamaa simuelewi kabisa huyu
POMBE IMEKATAZWA
Walawi 10:8
Waamuzi 13:3 - 5 usinywe pombe
Luka 1:15
Efeso 5:18
Huyu ni mlevi kama walevi wengine kaeni mbali na hiyo roho ya ulaghai
hiyo injili yako ina mashaka hakuna ulevi bila bombe.
Hizi ninyakati za ukweli na uwazi
Mbona imeandikwa mselewe kwa mvinyo!! MLEVI MKUBWA WEWE
Hahahahahahahaha Yani hajajirudi tu
Ajabu 😮
Umesikiliza vzuri sikiliza vzuri sio unalopoka tu acha utoto
Huyu ni mlevi mkubwa kuna cku alilewa akaanza kutukana matus
Duh 😂😂😂
Tutawatambua kwa matunda yao
Wewe Mzee tubu kabla hauja lala usiwapotoshe watu usiitete dhambi kisiasa
Kwani mzkosa na dhambi tofauti yake ni ipi hapo?
Unajiaibisha
Walimu wa uongo Hawa tayari wameanza
wewe mlevi wa Kvant mchungaji gani hovyo kabisa
Watu wanashangilia kunywa pombe jamani tunapelekwa wapi ? hii injili ya sasa
Wale ambao wanajiita walokole wa kukaririshwa.ni ngumu kukuelewa.kwa kuwa watakusikiliza lakini hawatakuelewa.wakatoliki tunasema pombe ni mzizi was dhambi wala mapadri hawatoi jasho kuhuniri pombe.Bali neno LA Bwana.unaweza kuwa hunywi pombe lakini mwongo.utapataje kupona.
Mzee wa Upako nimekuelewa. Mtu hataenda jehanum kwa kunywa pombe.
Acha kudanganya watu wakaangamie.
Mtumishi wa shetani huyu
Uyu mzee ni mtume wa shetani lkn mkumbusheni yesu anarudi
Wkiristo mnakazi pombe si zambi ila ni makosa ila pombe ni mlango wa shatani sasa zambi ni ipi? Na ushani ni upi? Njani katika wislam na ww mzee wa upako geuza kanisa weka msikiti acha kudanganya watu
Wewe umekwisha sababu ya. Fedha zako
Usiibadilishe biblia ikafuata matakwa yako,dhanbi ni dhambi hata ukiiipaka rangi ni dhambi tu.
amina
Acha ujinga sikiliza somo alaf pia kapitie ilo somo
Mtawatambua Kwa matunda Yao,ole wake ampaye jirani yake kileo,usinywe mvinyo ujazwe Roho, (Hekima ya Dunia hii ni upuuzi mbele za MUNGU,(Roho hushuhudu pamoja na roho zetu...)SIKU za mwisho watakuja makristo wa uongo na manabii wa.....
wewe aliekufundisha ndiye alokupoteza..tuambia kunywa pombe ni dhambi ya amri ya ngapi???
@@joh_001jibu hana, ila watu wanaona pombe sigara ni dhambi ila Zina fitna uongo na nk sio dhambi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Msiposilimu wote mtaishia motoni
Ifahamu hiyo Dini Yako mpya, uliohamia kabla haujashauri watu waje huko. Isije ikawa uko tayari moyoni Kwa kumkataa Yesu.
Mwana wajoka yupo kutetea maslahi Yake uku dhamila iki msuta anajua anacho kifanya ila hana namna amesha fika mbali sababu ya tamaa mbaya sawa ila haichelewi atakukuta MUNGU wa moses kulola 😢😡
Pombe ni dhambi
Pombe ni tatizo kwa waafrka kwani hawana kiasi wala si pombe waafrka tuna anasa nyingi na ubnafs na ulafi na unafki neema ya Mungu tu itusaidie
We ni mlevi tu ndio maana unaitetea.
Ka
Mlevi hutetea ulevi
Kunywa pombe sio dhambi ila ni makosa, kwani kosa sio dhambi? Danganya watu tu
Sio lzm. Dhambi Ni zile zilizomo kwenye amri 10 za Mungu. Ndo maana anakuambia pombe sio dhambi
Watu unakuta wanamsema.mtumishi.huyu freemason huyu freemason tusikatae haraka lumber.inakuwaga.kweli mzee wa upako anaongea pumba
Biblia haijakataa pombe je matendo ya pombe he sijui jamani
Acha nisimalize bando langu kwa ajili ya huyu mjinga
Kufungua kanisa kwA tamaa za hela madhara yake ndo haya unaanza kubwela mbwela pombe huharibu akili za watu unasema pombe sio dhambi mzee wa upako unavuna ulichokipanda
Ndio kweli atamakosa akuna ni akili ya mnywa pombe ndo anakosea ila uwe nakiasi ukikosa kiasi apo ndozambi kwani watuwoye wanao piga wake zao wanatumia pombe ?
We kunywa kama umeamua kunywa pombe ila ujue kunywa pombe ni dhambi
Biblia inakataa pombe Moja Kwa Moja,wewe una agano la pombe toka kwa shetani,wewe na wote wanaokunywa,kumpa kileo,kulewa,kutapika,kuanguka wote jehanamu.
Pombe ni zambi kwa namna gani. Kuna kitu tuna weza kukifanya sio zambi lakini lina weza kutu sababishia kufanya zambi.
HABAKUKI 2:15 ole wake yeye ampae jirani yake kileo
Huyu vipi sio kosa na sio dhambi tukuelewe je