UKRISTO NA POMBE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 янв 2024
  • Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda.
    Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia runinga ya channel ten na zaidi ya watu milioni 1.7 wanaungana na Mzee wa upako kupitia majukwaa yake ya mitandao ya kijamii ulimwenguni.
    Mzee wa upako anaweza kusikika 24/7 kwenye channel zake za RUclips Mzee wa upako na TUTASHINDA CHURCH. Ungana na Askofu Antony Lusekelo kwenye Instagram Mzeewaupakotz.

Комментарии • 148

  • @anjelinamwinga
    @anjelinamwinga 6 месяцев назад +13

    Wana wa mungu popote mlipo simameni imara yesu anakuja na malipo

  • @stephenlembo8986
    @stephenlembo8986 6 месяцев назад +8

    Ktk Ufunuo anasema nawachukia walevi, wazinzi na waabudu sanamu

    • @jonamnyone8014
      @jonamnyone8014 4 месяца назад

      Si wote wanywao pombe ni walevi. Anaekunywa pombe chupa moja si mlevi ni mnywaji na Biblia haikatazi anywaye kiasi.

    • @NeemaKwingwa
      @NeemaKwingwa 2 месяца назад

      Nyakat zamwisho watu wataipend dunia,ndio haya,tusimame kwamiguu yetu tuachane namanabii yusome sana neno lamungu

  • @marylucy1455
    @marylucy1455 5 дней назад

    Wana wa Mungu, kimbieni hapo hapana kitu mtaachwa na Yesu Kristo anarudi.

  • @user-im4zj5wn7y
    @user-im4zj5wn7y 6 месяцев назад +4

    Mwenyezi Mungu tujaalie mwisho uliokuwa mwema

  • @HappyKiteboarder-du9th
    @HappyKiteboarder-du9th 2 месяца назад +2

    Wakristo kama haya ndiyo mafundisho yenu mmh hongereni sana na diniyeni ya mchongo

  • @abelialsen5383
    @abelialsen5383 5 месяцев назад

    Mzee anazeeka vby pole sana

  • @aziziabdulrahman3914
    @aziziabdulrahman3914 6 месяцев назад +3

    Mzee me nakuelewa sana wache waseme yao mwaga ukweli ila siku ukitaka kuwa muislam karibu usione haya

    • @esaubakuza2640
      @esaubakuza2640 6 месяцев назад +1

      Aje awafudishe kulewa kwenye miskiti yenu, mnaweza kumpa hata semina miskitini mwenu.

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y 5 месяцев назад

      Duu nilikuwa sijui kumbe miislam inaluhusu ulevi kumbe sheh kishki mazinge niwalevi basi lusekelo ata wafaa 😏😏😏😏

  • @MichaelmotikaLaiser-dl6wm
    @MichaelmotikaLaiser-dl6wm 6 месяцев назад +2

    Endelea na konyagi mzee wa bapa

  • @bakariramaddhani5689
    @bakariramaddhani5689 5 месяцев назад

    anakubali, anakataa, mzee wa bapa yaliyoujaza moyo...

  • @nuruemmymkayula861
    @nuruemmymkayula861 2 месяца назад +1

    Nyakati za mwisho hofu ya Mungu itatoweka kabsa

  • @KanalIdrissah-dh5hj
    @KanalIdrissah-dh5hj 26 дней назад

    Tatizo hamjamuelewa mzee ypo sawa

  • @StephanChika
    @StephanChika 10 дней назад

    Dah mzee nawapa pole walio kaa kuku sikilizeni naona kama hata wewe mwenyewe hujielewi

  • @doricesanga9783
    @doricesanga9783 6 месяцев назад +2

    Hapo tayari kishalewa

    • @user-ot9ch5kl3w
      @user-ot9ch5kl3w 6 месяцев назад

      Kuwa mtaarabu kumbuka ana watoto uyo unavo andika ivo unamaana gani

  • @JescarkarugabaJescar
    @JescarkarugabaJescar 3 дня назад

    Kaeni makini,haya hayana budi kuwepo

  • @user-tz8zu2gt6u
    @user-tz8zu2gt6u 2 месяца назад

    anganyikiwa baba

  • @bishopstephanosaid9205
    @bishopstephanosaid9205 19 дней назад

    Sababu mjinga mzee

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 6 месяцев назад +3

    Kunywa tu mzee

  • @PeterMagoye
    @PeterMagoye 2 месяца назад

    Huenda kashalewa tiyari

  • @lovenessrichard9969
    @lovenessrichard9969 6 месяцев назад +3

    Upo sahihi mchungaji....huo ndo ukweli...tena ukitaka kujiona wewe ni Mtakatifu lewa pombe....mambo utakayofanya baada ya kulewa ndio yaliyopo moyoni mwako

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526 3 месяца назад

    Umeishiwa!

  • @blessingcharles-lc1rr
    @blessingcharles-lc1rr 22 дня назад

    Amen,

  • @user-os3tg5bo6v
    @user-os3tg5bo6v 5 месяцев назад

    Soma lsay 5:11,22, Lk 1:15. Amen

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama4407 Месяц назад

    Vita vya upinzani wa historia ya Kristo iachwe vibaya tunakataa ktk Jina la Yesu Kristo Aliyehai mbaya sana Tusamehe Tusaidie Yehova tumalize salama. Uchambuzi mwingine hauna lazima mtaua wengi jamani. Si mtulie nayo acheni watu wamalize hivyo wajuavyo. Itawaghalimu na mtajibu kwa ajili ya hao wadogo ambao Yesu Kristo Aliyehai Aliwafia.

  • @juliusmartin1839
    @juliusmartin1839 Месяц назад

    Habakuki 2:15 Ole wake yeye ampaye jirani yake kileo, wewe utiaye sumu yako, na kumlevya pia, ili kuutazama uchi wao! Woe unto him that giveth his neighbour drink, that puttest thy bottle to him, and makest him drunken also, that thou mayest look on their nakedness!
    Habakuki 2:16 Umejaa aibu badala ya utukufu; unywe nawe, uwe kama mtu asiyetahiriwa; kikombe cha mkono wa kuume wa BWANA kitageuzwa ukipokee, na aibu kuu itakuwa juu ya utukufu wako. Thou art filled with shame for glory: drink thou also, and let thy foreskin be uncovered: the cup of the LORD'S right hand shall be turned unto thee, and shameful spewing shall be on thy glory.

  • @user-jn6il2zi6l
    @user-jn6il2zi6l 6 месяцев назад

    Dah

  • @user-wu7sy6dp2o
    @user-wu7sy6dp2o 2 месяца назад

    Mafundisho ya kipepo ayo mzee wa upako

  • @user-kp2jf5jc2i
    @user-kp2jf5jc2i 5 месяцев назад

    Hautabiriki!

  • @BatazalNdifwa-nk2hl
    @BatazalNdifwa-nk2hl 27 дней назад

    Hah hah hah hah! Lusekeloooooooooo! Ok

  • @SmilingBuoy-kb1yn
    @SmilingBuoy-kb1yn 4 месяца назад

    Jamani hukumu ya.mwanadamu anaye jua ni mungu ila.wanadamu kazi ni kusema

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 6 месяцев назад

    pombe mumehalalishiwa kabisaaa munywe mulewe mpaka muanguke😂😂 nyinyi kila baya mumeingiziwa na waandishi wa kizungu ndipo tunapogundua bibilia sio tabu la mungu Mungu hawezi kuwaamuru machafu

  • @joycerichard9274
    @joycerichard9274 2 месяца назад

    Ni nyakati za mwisho

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 6 месяцев назад

    Feel free

  • @user-cg6iy2et7q
    @user-cg6iy2et7q 2 месяца назад +1

    Vichungajigani hivi?

  • @agustinohizza1395
    @agustinohizza1395 6 месяцев назад +2

    Ni kweli pombe siyo zambi Ila nikisababishi

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 6 месяцев назад

      Pombe ni dhambi isiipambe pombe ni kilevi ndomaana biblia imesema walevi hawataurithi uzima WA milele ulevi unatokana pombe na mengineyo nyenye kilevi pombe inakilevi ndani yake wakati biblia inaandikwa hakukuwa jina pombe wara bia konyagi mbege na ulanzi na kitochi maana pombe Ina majina mengi

  • @nyimbozakuabudu2650
    @nyimbozakuabudu2650 5 месяцев назад

    Unatakiwa uelewe dhambi ni nini ? Dhambi sio kuvunja amri kumi za Mungu pekee ... jaribu kusoma maandiko utaelewa Wagalatia 5:19-21 ,(Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi, ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi, husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.

  • @Mgutehekima.
    @Mgutehekima. 6 месяцев назад

    Mmh😮
    Ujasiri unatoka wapi huu?

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube 4 месяца назад

    Duh lusekelo atakua anapenda mitungi😂😂😂

  • @amanamani4429
    @amanamani4429 6 месяцев назад

    Mmmh

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare4196 6 месяцев назад +1

    Pombe ni tamu kiukweli

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi 5 месяцев назад +1

    Mm muislam ila mzee mambo mengine unaongea ukwel ila pombe haifai ni dhambi na ndo baba wa maasi # na kwa akili ya kawaida tu ukichunguta utaona pombe haifai ina madhara mengi sana

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646 6 месяцев назад

    Kuzini kumeandikwa kuwa tusizini,ila ukianza kusema kuhusu kuzini wanaozini watakushambulia kwa kuwa wanafaida nalo,hivo wote wanaomtetea Lusekelo ni kwa sababu Amelita mlemle wanapopapenda.kwenye angle yao.pole

  • @EvelinQueen
    @EvelinQueen 2 месяца назад

    Chukizo la uharibifu limeshasimama mahali patakatifu wana wa Mungu tuwe macho tunakaribia kwenda

  • @Rockykomomo9476
    @Rockykomomo9476 Месяц назад

    Unawachanga sasa

  • @Elikanashileka
    @Elikanashileka 4 месяца назад

    Bas ipo siku utaitwa kubariki mtaji wapombe

  • @paschalsafari9747
    @paschalsafari9747 2 месяца назад

    Pombe siyo dhambi ..ulevi ndiyo dhambi.

  • @elibarikimeela2761
    @elibarikimeela2761 6 месяцев назад

    Tafuta kazi nyingine ya kufanya,,,,, ya uchungaji huwezi.

  • @edsonmruma4833
    @edsonmruma4833 2 месяца назад

    Kuna kuzidiwa lkn watu wa Mungu waambiwe ukweli.

  • @kesterkanyala7718
    @kesterkanyala7718 2 месяца назад

    MIMI NAONA,MZEE HUYU...ANAKOSA ZA KUSEMA AU KUFUNDISHA KANISANI MWAKE.
    -AMESHAMKANA HATA,"YESU KRISTU KUWA NI MUNGU"
    -HII SIJUI NI IMANI GANI

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk 2 месяца назад

    Huyu mzee bolt zimekata

  • @user-nw8ct3ud3f
    @user-nw8ct3ud3f 6 месяцев назад

    Amekengeuka

    • @user-ot9ch5kl3w
      @user-ot9ch5kl3w 6 месяцев назад

      Kuwa mstaarabu ndgu maneno mazito ktka account ya mtu hasa ukizingatia ni mtu mzima uyo

    • @user-nw8ct3ud3f
      @user-nw8ct3ud3f 6 месяцев назад

      @@user-ot9ch5kl3w mtu mzima anapotosha neno la Kristo,upumbavu

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 6 месяцев назад

      ​@@user-ot9ch5kl3wmtu mzima haambiwi ukweli?

    • @barakakibuti3324
      @barakakibuti3324 4 месяца назад

      Wewe Bado mchanga Sana wa maandiko tatizo unaongozwa na hisia zaidi na sio ukweli

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 месяца назад

    Wewe Mlevi wa Kvant mchungaji gani hufai kabisa ndiyo maanavunatetea pombe

  • @desderiushaule4264
    @desderiushaule4264 5 месяцев назад

    Soma vizuri biblia mzee wa upako ili ujue habari ya pombe. Mit 23:20-21

  • @philemonkafyulilo7128
    @philemonkafyulilo7128 6 месяцев назад +2

    Kunyweni kanisani

  • @norahmike7643
    @norahmike7643 6 месяцев назад +3

    Mungu atuhurumie😢

  • @bishopstephanosaid9205
    @bishopstephanosaid9205 19 дней назад

    Sasa mzee unaipamba dhambi rangi dah pole heri mwisho wa jambo kuliko mwanzo wake mzee

  • @samsonmwaipaja4839
    @samsonmwaipaja4839 4 месяца назад

    Aiseyi Hilo ni tatizo la kuwa na waalim wengi Yak 3:1,2

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 5 месяцев назад

    Mmmmmmmmmmmmmmmm eleza maana ya kosa

  • @NeemaKwingwa
    @NeemaKwingwa 2 месяца назад

    Huyu anaejiita mzee waupako kwanza mwenyewe nimlev ndio mana anatetea dhamb tazamen hata liuso lake lilivyo lamtu mlev kabis

  • @Direct-0000
    @Direct-0000 6 месяцев назад

    Siasa izi ...na ushoga nao mnasema si dhambi nao ni kosa kwani dhambi Nini.? Dhambi si Imani dhambi ni kosa huu uhuni mtupu...😮

  • @giclifetv-lq8dn
    @giclifetv-lq8dn 2 месяца назад

    Lusekelo unajaribu kuonyesha wewe ni wawapi

  • @PeterJuliusSabuni
    @PeterJuliusSabuni Месяц назад

    Haya bwana yanatokea kwasababu ya kosefu wa ajira yaani huyu mzee ni mpigaji nawaambia jamani, tuweni makini

  • @shadraachshadinho
    @shadraachshadinho Месяц назад

    Jamaa simuelewi kabisa huyu

  • @rashidmohamed1949
    @rashidmohamed1949 2 месяца назад

    POMBE IMEKATAZWA
    Walawi 10:8
    Waamuzi 13:3 - 5 usinywe pombe
    Luka 1:15
    Efeso 5:18

  • @MichaelJohn-et8mk
    @MichaelJohn-et8mk 7 дней назад

    Huyu ni mlevi kama walevi wengine kaeni mbali na hiyo roho ya ulaghai

  • @tiracymbombo5337
    @tiracymbombo5337 2 месяца назад

    hiyo injili yako ina mashaka hakuna ulevi bila bombe.

  • @josephinamkono5183
    @josephinamkono5183 6 месяцев назад +1

    Hizi ninyakati za ukweli na uwazi

  • @yohanamorisi9027
    @yohanamorisi9027 6 месяцев назад +4

    Mbona imeandikwa mselewe kwa mvinyo!! MLEVI MKUBWA WEWE

  • @davidmalila9221
    @davidmalila9221 2 месяца назад

    Tutawatambua kwa matunda yao

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 6 месяцев назад

    Wewe Mzee tubu kabla hauja lala usiwapotoshe watu usiitete dhambi kisiasa

  • @benedictmhina4819
    @benedictmhina4819 2 месяца назад

    Kwani mzkosa na dhambi tofauti yake ni ipi hapo?

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 5 месяцев назад

    Unajiaibisha

  • @cliffdenis144
    @cliffdenis144 6 месяцев назад

    Walimu wa uongo Hawa tayari wameanza

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 6 месяцев назад +2

    wewe mlevi wa Kvant mchungaji gani hovyo kabisa

  • @user-zz9gr1vd9h
    @user-zz9gr1vd9h 2 месяца назад

    Watu wanashangilia kunywa pombe jamani tunapelekwa wapi ? hii injili ya sasa

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 6 месяцев назад

    Wale ambao wanajiita walokole wa kukaririshwa.ni ngumu kukuelewa.kwa kuwa watakusikiliza lakini hawatakuelewa.wakatoliki tunasema pombe ni mzizi was dhambi wala mapadri hawatoi jasho kuhuniri pombe.Bali neno LA Bwana.unaweza kuwa hunywi pombe lakini mwongo.utapataje kupona.

  • @jumahili8121
    @jumahili8121 6 месяцев назад +1

    Mzee wa Upako nimekuelewa. Mtu hataenda jehanum kwa kunywa pombe.

  • @johnjohnkipokola5077
    @johnjohnkipokola5077 6 месяцев назад +1

    Acha kudanganya watu wakaangamie.

  • @ZENAMHUMBA
    @ZENAMHUMBA 2 месяца назад

    Mtumishi wa shetani huyu

  • @msemakweli243
    @msemakweli243 5 месяцев назад

    Uyu mzee ni mtume wa shetani lkn mkumbusheni yesu anarudi

  • @IjumaaIjumaa
    @IjumaaIjumaa 2 месяца назад

    Wkiristo mnakazi pombe si zambi ila ni makosa ila pombe ni mlango wa shatani sasa zambi ni ipi? Na ushani ni upi? Njani katika wislam na ww mzee wa upako geuza kanisa weka msikiti acha kudanganya watu

  • @samwelndaki201
    @samwelndaki201 6 месяцев назад

    Wewe umekwisha sababu ya. Fedha zako

  • @amaningalla9420
    @amaningalla9420 6 месяцев назад +6

    Usiibadilishe biblia ikafuata matakwa yako,dhanbi ni dhambi hata ukiiipaka rangi ni dhambi tu.

    • @ivonaevarista4654
      @ivonaevarista4654 6 месяцев назад

      amina

    • @user-ot9ch5kl3w
      @user-ot9ch5kl3w 6 месяцев назад

      Acha ujinga sikiliza somo alaf pia kapitie ilo somo

    • @calistusmahombo-ty8ni
      @calistusmahombo-ty8ni 6 месяцев назад

      Mtawatambua Kwa matunda Yao,ole wake ampaye jirani yake kileo,usinywe mvinyo ujazwe Roho, (Hekima ya Dunia hii ni upuuzi mbele za MUNGU,(Roho hushuhudu pamoja na roho zetu...)SIKU za mwisho watakuja makristo wa uongo na manabii wa.....

    • @joh_001
      @joh_001 6 месяцев назад

      wewe aliekufundisha ndiye alokupoteza..tuambia kunywa pombe ni dhambi ya amri ya ngapi???

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 6 месяцев назад

      ​@@joh_001jibu hana, ila watu wanaona pombe sigara ni dhambi ila Zina fitna uongo na nk sio dhambi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @HabibuUrasa
    @HabibuUrasa 6 месяцев назад

    Msiposilimu wote mtaishia motoni

    • @denisharris2889
      @denisharris2889 5 месяцев назад

      Ifahamu hiyo Dini Yako mpya, uliohamia kabla haujashauri watu waje huko. Isije ikawa uko tayari moyoni Kwa kumkataa Yesu.

  • @user-nb6yh2bn9y
    @user-nb6yh2bn9y 5 месяцев назад

    Mwana wajoka yupo kutetea maslahi Yake uku dhamila iki msuta anajua anacho kifanya ila hana namna amesha fika mbali sababu ya tamaa mbaya sawa ila haichelewi atakukuta MUNGU wa moses kulola 😢😡

  • @zachariazachaaa4958
    @zachariazachaaa4958 2 месяца назад

    Pombe ni dhambi

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k 6 месяцев назад

    Pombe ni tatizo kwa waafrka kwani hawana kiasi wala si pombe waafrka tuna anasa nyingi na ubnafs na ulafi na unafki neema ya Mungu tu itusaidie

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 2 месяца назад

    We ni mlevi tu ndio maana unaitetea.

  • @SamwelNyika
    @SamwelNyika 2 месяца назад

    Ka

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 5 месяцев назад

    Mlevi hutetea ulevi

  • @laurianogerold5129
    @laurianogerold5129 6 месяцев назад +2

    Kunywa pombe sio dhambi ila ni makosa, kwani kosa sio dhambi? Danganya watu tu

    • @titokwareh1852
      @titokwareh1852 5 месяцев назад

      Sio lzm. Dhambi Ni zile zilizomo kwenye amri 10 za Mungu. Ndo maana anakuambia pombe sio dhambi

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 2 месяца назад

    Watu unakuta wanamsema.mtumishi.huyu freemason huyu freemason tusikatae haraka lumber.inakuwaga.kweli mzee wa upako anaongea pumba

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 2 месяца назад

    Biblia haijakataa pombe je matendo ya pombe he sijui jamani

  • @PeterJuliusSabuni
    @PeterJuliusSabuni Месяц назад

    Acha nisimalize bando langu kwa ajili ya huyu mjinga

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 2 месяца назад

    Kufungua kanisa kwA tamaa za hela madhara yake ndo haya unaanza kubwela mbwela pombe huharibu akili za watu unasema pombe sio dhambi mzee wa upako unavuna ulichokipanda

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre8826 Месяц назад

    Ndio kweli atamakosa akuna ni akili ya mnywa pombe ndo anakosea ila uwe nakiasi ukikosa kiasi apo ndozambi kwani watuwoye wanao piga wake zao wanatumia pombe ?

  • @abidandastanmaliyatabu1373
    @abidandastanmaliyatabu1373 5 месяцев назад

    We kunywa kama umeamua kunywa pombe ila ujue kunywa pombe ni dhambi

  • @user-os3tg5bo6v
    @user-os3tg5bo6v 5 месяцев назад

    Biblia inakataa pombe Moja Kwa Moja,wewe una agano la pombe toka kwa shetani,wewe na wote wanaokunywa,kumpa kileo,kulewa,kutapika,kuanguka wote jehanamu.

  • @ghismelodie
    @ghismelodie 18 дней назад

    Pombe ni zambi kwa namna gani. Kuna kitu tuna weza kukifanya sio zambi lakini lina weza kutu sababishia kufanya zambi.

  • @EBENEZEREMMANUELtv
    @EBENEZEREMMANUELtv 6 месяцев назад

    HABAKUKI 2:15 ole wake yeye ampae jirani yake kileo

  • @MichaelmotikaLaiser-dl6wm
    @MichaelmotikaLaiser-dl6wm 6 месяцев назад

    Huyu vipi sio kosa na sio dhambi tukuelewe je