SAKATA LA SUKARI, WAZALISHAJI WAVUNJA UKIMYA KUTOTENDEWA HAKI
HTML-код
- Опубликовано: 1 июл 2024
- Umoja wa Wazalishaji wa sukari nchini (TSPA) umekanusha madai ya kuficha sukari ili kuongeza bei kwa faida yao binafsi.
Wamesema hawana nia ya kuwa waagizaji kwa sababu lengo lao ni kuzalisha zaidi, huku wakilalamika kwamba wametuhumiwa na kuhukumiwa bila kupewa nafasi ya kusikilizwa.
Wamesema wao hawana nia ya kuwa waagizaji wa sukari, kwa sababu lengo la biashara yao ni kuzalisha zaidi.
Akizungumza kwa niaba ya wazalishaji wa sukari jana Jumatatu, Julai 1, 2024, mbele ya vyombo vya habari jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Wazalishaji wa Sukari nchini, Ammi Mpungwe, amesema tangu utabiri wa hali ya hewa ulipotangazwa na kuonesha kwamba kutakuwa na mvua za El Nino, wazalishaji waliwasiliana na mamlaka za Serikali kuzitaarifu kwamba Desemba mwaka jana kungekuwa na tatizo.
Curtaiĺ ipo na ninyi mnafanya 'silent curtail' msitudanganye, ujanja huu mshaufanya mara nyingi ndio maana hakuna stability kwenye bei ya sukari.
Ukipitia comment unaona watanzania ni mazombi , hii ingekuwa inahusu mambo ya Mpira ungeona comment kama elf 20
Tafsuri ya haraka, huu ni ujumbe kwa bashe kuwa hawamtaki na hawataki kushilikina nae katika sekta ya kilimo kwa wakulima wa miiwa na wazaliahaji wa sukali🤔
Serikali ya vibaka hii
Acheni kutuona mazuzu! Badala ya kuja na majibu ya hatima ya tatizo hili kwa wananchi mmeendeleza uchawa! GEN Z wapo wanaangalia.
Tatizo kwa nini kila mwaka linajirudia?
Mimi binafsi naona waache uhuru wa kuagiza ili kuleta unafuu kwa mlaji suala kubwa walipe kodi au waongeze viwanda vya sukari.
Hujuma za kila mwaka na kupanda bei tulisha zoe sbb zipo zipo kila mara.
Kuna shida hadi kwenye kamati za bunge kuna kauli mzee kaongea mpina anajambo lake
Kiko wapi wabunge mliokuwa mnamtetea Hussein Bashe mlaaniwe ninyi wakina msukuma na gengeni lenu la kupinga wabunge wazalindo mlaaniwe
We ndio ulaaniwe maana ni mbumbumbu, unaamini maneno yao hawa bila kujiridhisha wayasemayo ni kweli au la, je kuna curtail au la,
Tanzania ya vibaka hii