WAKILI ANAYEWATETEA MADADA POA PETER MADELEKA AIBUKA MAHAKAMANI WAKISHINDA KESI WALIPWE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024

Комментарии • 75

  • @severinimkini4116
    @severinimkini4116 3 месяца назад +3

    Hongera sana Madeleka. Haki la wewe ni Mzalendo, wanyooshe hao wanaopindisha taratibu za ufanyaji kazi kwa maslahi ya vyeo vyao.

  • @RmoShamte-h9f
    @RmoShamte-h9f 3 месяца назад +5

    Tokomeza umayala ayo ya sheria ni yako tokomeza umalaya ndio muhimu kwa taifa hili

    • @edwinalexander1170
      @edwinalexander1170 3 месяца назад

      Wakamatwe pia mashoga na wasagaji ili tuamini tunafuata sheria.

    • @MsNajma-j7e
      @MsNajma-j7e Месяц назад

      Uko marekani tu umalaya hupo utawezekana tz na nchi za kiarabu tu umalaya upo ukumu anayo mungu tu hakuna arie msafi,,,ukienda kuomba Kaz tu unaombwa ngono si umalaya huo wanashindwa kikamata majambazi na wanaowarawiti watto uko mnakamata watu wazima wanao Fanya vitu wanajitambua

  • @Thevineyard9889
    @Thevineyard9889 3 месяца назад +4

    Mmh, hii kalikali kwelikweli. Yaani polisi hujui unamkamata mtu kwa kosa gani badala yake unawaburuza tu watu na kuwaweka selo?? Huu ni u - polisi au uhuni na ujambazi tu? Je, ni kwa kuwa tu umepewa amri na Mkuu wa Wilaya? Bongo tuna kazi kwelikweli!!

    • @deogratiusyudatadei5658
      @deogratiusyudatadei5658 3 месяца назад

      Alafu mnasema police wakenya hawana akili kumbe wanajua Sheria 😂😂😂

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 3 месяца назад

      Nchi hii tumekubali kufanywa hivyo ndio maana tunaburuzwa tu

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 3 месяца назад

      ​@@deogratiusyudatadei5658Wanajua Sheria na wanajua wakiua watu watapelekwa Mahakama za Dunia za Haki za binaadamu kama walizopelekwa wale walioua Rwanda .Kwa hiyo wanajua mipaka yao ,hata hapa Tanzania ni vile hawajadhuru raia la sivyo huwa Dunia inaona .Kumbe Raisi Ruto Jana aliamuru Jeshi liingie barabarani lakini wamegoma maana wanajua wajibu wao na wanajua hatma yao itakuwa ni Jela

    • @mwajabuYusuph
      @mwajabuYusuph 3 месяца назад

      Hii game GG haitoii😮 man

  • @bakarishaban9311
    @bakarishaban9311 5 дней назад

    Unatetea,upumbafu,hivi,unamke,kwer,ww

  • @mosesdavid-vm5hk
    @mosesdavid-vm5hk 2 месяца назад +1

    Huyu Jamaa anaakili sana sana, MNAHOJI BILA KUJUA SHERIA HATETEI KUHUSU UMALAYA NA KUJIUZA ANACHOSIMAMIA NI SHERIA JUU YA WALIOKAMATWA wakihusishwa na kujiuza pia DC hakutenda haki kwenda na camera ni udhalilishaji ilihusisha mpaka mpita njia tu unajikuta unakamatwa unawezaje kumtambua mtu anayejiuza kma wewe sio mnunuaji. Furahi na Cheka kwakua halijakukuta.

  • @bakarishaban9311
    @bakarishaban9311 5 дней назад

    Peleken,gerezan,hao,makahaba

  • @PeterMchomvu-gv1bq
    @PeterMchomvu-gv1bq 3 месяца назад +1

    Hakuna kosa mtu kuuza mwili wake polisi wahamie mitaani wanyoa kiduku😂wakamatwa waondoa plet number

  • @NellyDibaling
    @NellyDibaling 3 месяца назад +2

    Uyu jamaa ni mtu na nusu anajua anacho kifanya

  • @kalebomawande6057
    @kalebomawande6057 3 месяца назад +1

    Kizazi cha rutu yaani Sodoma na gomola kibeliti kinawahusu

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 3 месяца назад +1

    TEMBEENI MADADA POWA HAWAJAWAHI KUISHA TAUNI...HAMUYAJUI MACHAKA NYIE

  • @jumannentimizi9000
    @jumannentimizi9000 3 месяца назад

    KUNA WAJINGA WANATOA MAONI YA KISHABIKI BADALA YA KUSOMA SHERIA NA NINAWÀSHAUTI WANATOA MAONI YA KISHABIKI WAKASOME SHERIA ZA NCHI.WASOME CLIMINAL LAW,CLIMINAL EVIDENCE,CLIMINAL INVESTIGATON ZOTE WASOME PIA WASOME KATIBA YA NCHI INASEMAJE WASITOE MAONI YA KISHABIKI

  • @azizimtege
    @azizimtege 3 месяца назад +1

    Ivi kumtetea malaya hujui kama ni kumkosea mungu au huyu wakili hana dini? Anajionesha kuwa yey hajitambui Mmmmh

    • @ZawadiHaidary
      @ZawadiHaidary 3 месяца назад

      Usiihusishe sheria na dini

    • @catherinecostantino2034
      @catherinecostantino2034 3 месяца назад

      Je yesu pia alimtetea Malaya??? Hakuna aliyemsafi , Soma kilichotokea Italy mpaka serikari nzima ikajihuzuru

    • @richardrobert2203
      @richardrobert2203 2 месяца назад

      We mwenyewe Malaya,,,

    • @kirkiADVOCATE
      @kirkiADVOCATE Месяц назад

      ww ndo hujitambui kabisa wala sio wakili nenda ukasome uwakili ndo utaelewa miaka mitano tu.je unaweza kuisaidia mahakama ueleze ni kwakivipi wale madada ni malaya?. na ili mtu awe malaya inatkiwa iweje na ili tuseme azizi mtege ni malaya tunatkiwa tuthibitishe kwa vitu gani?

  • @SalmaSuleiman-ir7zt
    @SalmaSuleiman-ir7zt 3 месяца назад +1

    Selikali hainakazi yakufanya kwasasa madada powa tokaenzi za

    • @MashakaMagesa
      @MashakaMagesa 3 месяца назад

      Tunajenga Utamaduni gani kwa taifa kama watu watakuwa wanajiuza kutakuwa na madada watakaokuwa tayari kujenga familia

  • @BonnyMwajombe-iu7hb
    @BonnyMwajombe-iu7hb 3 месяца назад +1

    Makahaba wanaisaidia sana serikali dhidi ya ubakaji,maana wasiojua kutongoza wanaonyesha hela tu na kupewa huduma ,

  • @DullaMimi
    @DullaMimi Месяц назад

    Kwili kabisa uyo akimu ache kazi makama ni jengo la uma simtu binafsi

  • @DaimonMwapelele
    @DaimonMwapelele 3 месяца назад

    Pumbavu kabisa unatetea uovu yaan unaongea ujinga, Hawa mawakil tukae nao chonjo kumbe Hawa makil ndio wanaoharibu maadil shenzi kabisa wakil kenge

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 3 месяца назад

    WAKILI uwe upande wa neno la MUNGU amri ya 6 inasema USIZINI ...Wacha MUNGU wote tunakushangaa

  • @UstadhiRai
    @UstadhiRai 2 месяца назад

    Huyu wakili anaoneka siku za mbeleni atatetea ushoga wakili shoga huyu

    • @kirkiADVOCATE
      @kirkiADVOCATE Месяц назад

      hujui sheriA WALA huelew maana ya utawala wa sheria .. kwhy ww kula ulale

  • @jilumbabathold6769
    @jilumbabathold6769 2 месяца назад

    Wakili nakukubali mm mkazi wa Mwadui njoo ututetee Wahanga wa Mwadui

  • @EzekiaMbuba-ix8br
    @EzekiaMbuba-ix8br 2 месяца назад

    Madeleka anajiamini sana kwa sababu anaijua sheria

  • @devangandhl2255
    @devangandhl2255 3 месяца назад

    Wakili uanwatetea watanzania wote itakuwa hatari kukamatana kwa mavazi na sehemu na muda ya ulilokuwa

  • @abubakarmwasumilwe7070
    @abubakarmwasumilwe7070 3 месяца назад

    Mjinga ww angelifanya mama ako je

  • @JumaMkiji
    @JumaMkiji 3 месяца назад

    Uyo akimu atakua ni ccm asie elewa shelia na aki

  • @PeterJustin-ke5mk
    @PeterJustin-ke5mk 3 месяца назад

    Samahn naomba namba za wakiri peter madereka

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 3 месяца назад

    NLIKUWA NAKUKUBAL ILA KWA HILI UMEJICHAFUA KUNA WATU WA MAANA AMBAO UNGEWEZA KUWA SAIDIA MAHAKAMAN SIO HAO😢😢😢😢

    • @humphreymwihambi4330
      @humphreymwihambi4330 3 месяца назад

      Kajichafua kwa lipi sasa. Nchi inaendeshwa kwa sheria sio unakurupuka tu kukamata watu.

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 3 месяца назад

    YAN KWEL UNATUMIA TAALUMA YAKO KUTETEA UKAHABA

    • @issashekh4726
      @issashekh4726 3 месяца назад

      Hii nchi inahitaji watu makini sana

  • @msafirithomas7751
    @msafirithomas7751 3 месяца назад +2

    Kweli nimeamini hizi ni reasoning age wakili na akili zake anatetea upumbavu huu is very sad kabisa mungu wewe atakuhukumu

    • @safiyasafiya5014
      @safiyasafiya5014 2 месяца назад

      Hana hata haya anajiona Yuko Sawa mungu atakuuliza utakapofika mbele ya hukum yake

    • @erasmusaloyce4398
      @erasmusaloyce4398 2 месяца назад

      Wakili ana mtete mtu yeyote, hata wewe ukiwa na shida utatetewa.

    • @kirkiADVOCATE
      @kirkiADVOCATE Месяц назад

      😕😕

  • @AbdulAzizAli-i6x
    @AbdulAzizAli-i6x 3 месяца назад +3

    Huyu wakili na yeye ni malaya vile vile kama hao anao watetea

    • @deogratiusyudatadei5658
      @deogratiusyudatadei5658 3 месяца назад

      😂😂😂kumbe na ww umeona eee😂

    • @rogerabdallah439
      @rogerabdallah439 3 месяца назад

      Wewe mwenyewe na mamako malaya umezaliwa mkunduni

    • @mohddelo
      @mohddelo 3 месяца назад +1

      Huyu wakili anatetea machakudoa ni shoga

    • @rogerabdallah439
      @rogerabdallah439 3 месяца назад

      @@mohddelo wewe ndio shoga kenge wewe tena kuma

  • @HussenMkisi
    @HussenMkisi 3 месяца назад

    Huyu hakimu analana

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo 3 месяца назад +1

    Wee wakili
    Subirikdg utavuna ulicho kipanda unatetea zinaa pumbavu bora miye nisiyesoma

  • @SofiaNdundu-ty3jz
    @SofiaNdundu-ty3jz 3 месяца назад

    We wakil taira ww

  • @wisebigalaleftfwambo7928
    @wisebigalaleftfwambo7928 3 месяца назад

    😅

  • @Ntabalibabbutuga
    @Ntabalibabbutuga 3 месяца назад

    Kweli kabisa

  • @SaidShabani-s4o
    @SaidShabani-s4o 3 месяца назад +1

    Sijaona wakili mjinga Kama huyu unatetea jambo ambalo limeharamishwa na mungu au Hana dini huyu?

    • @erasmusaloyce4398
      @erasmusaloyce4398 2 месяца назад

      Wewe ni mangapi unaya Fanya ambayo ni haramu.

  • @IjumaaIjumaa
    @IjumaaIjumaa 2 месяца назад +1

    Ila kazi ya wakili ni mbaya wakàti mwingine unatetea wazinifu kweli ogopa siku ya kiama utakuja ulizwa na mungu hawo wale mijekedi na wakirudia wanyongwe pamoja na mashoga wanyongwe itungwe sheria madadapoa na mashoga wanyongwe ili iwe fundisho

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo3983 3 месяца назад +1

    Hawa mapolice nao wanatumika vibaya, yaani unakwenda kuwakamata watu bila kujua unawakamata kwa kosa gani, hii ni aibu, nakuomba sana kaka Madereka wanyooshe hao watovu wa nidhamu.

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 3 месяца назад +1

      Watanzania bhana kwa hiyo hamjaona kosa, mawakili Mungu anawaona

    • @ramadhanchenga4606
      @ramadhanchenga4606 3 месяца назад

      ​@@edsonnelson4464 ww onyesha hilo kosa

  • @jamaliddiin9357
    @jamaliddiin9357 3 месяца назад +1

    Wewe ni ziro pita
    huna akili

  • @FredrickMnyakiwele
    @FredrickMnyakiwele 3 месяца назад +1

    Ila kweli tukiwambia mawakili wa chadema mkapimwe akiri mnakataa

    • @makindimbo1851
      @makindimbo1851 3 месяца назад

      Pole kwa ufahamu wako mdgo....hao waliokamatwa ni chadema...

    • @cyprianboniphace-oz5lw
      @cyprianboniphace-oz5lw 2 месяца назад

      Wakili anatetea yeyote yule,hata CCM wakimhitaji anawatetea ni kazi.

  • @AbdulmujibAhmed
    @AbdulmujibAhmed 3 месяца назад +1

    Ipo haja police wapewe eleimu zaidi

  • @athumanbalozi9748
    @athumanbalozi9748 3 месяца назад +1

    Nishoga huyo wakili
    Unatetea umalaya

    • @makindimbo1851
      @makindimbo1851 3 месяца назад

      Mungu akusamehe kwa hujui unachokisema..

    • @ZawadiHaidary
      @ZawadiHaidary 3 месяца назад

      Nyie hamjui nini anachokipigania hapo

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo 3 месяца назад

    Weewe wakili unayetetea umalaya mungu anakuona

  • @KisagasiLuyangi
    @KisagasiLuyangi 3 месяца назад

    Nashuhudia Dunia inavyomalizwa na wasomi 😅