Uko marekani tu umalaya hupo utawezekana tz na nchi za kiarabu tu umalaya upo ukumu anayo mungu tu hakuna arie msafi,,,ukienda kuomba Kaz tu unaombwa ngono si umalaya huo wanashindwa kikamata majambazi na wanaowarawiti watto uko mnakamata watu wazima wanao Fanya vitu wanajitambua
Mmh, hii kalikali kwelikweli. Yaani polisi hujui unamkamata mtu kwa kosa gani badala yake unawaburuza tu watu na kuwaweka selo?? Huu ni u - polisi au uhuni na ujambazi tu? Je, ni kwa kuwa tu umepewa amri na Mkuu wa Wilaya? Bongo tuna kazi kwelikweli!!
@@deogratiusyudatadei5658Wanajua Sheria na wanajua wakiua watu watapelekwa Mahakama za Dunia za Haki za binaadamu kama walizopelekwa wale walioua Rwanda .Kwa hiyo wanajua mipaka yao ,hata hapa Tanzania ni vile hawajadhuru raia la sivyo huwa Dunia inaona .Kumbe Raisi Ruto Jana aliamuru Jeshi liingie barabarani lakini wamegoma maana wanajua wajibu wao na wanajua hatma yao itakuwa ni Jela
Huyu Jamaa anaakili sana sana, MNAHOJI BILA KUJUA SHERIA HATETEI KUHUSU UMALAYA NA KUJIUZA ANACHOSIMAMIA NI SHERIA JUU YA WALIOKAMATWA wakihusishwa na kujiuza pia DC hakutenda haki kwenda na camera ni udhalilishaji ilihusisha mpaka mpita njia tu unajikuta unakamatwa unawezaje kumtambua mtu anayejiuza kma wewe sio mnunuaji. Furahi na Cheka kwakua halijakukuta.
KUNA WAJINGA WANATOA MAONI YA KISHABIKI BADALA YA KUSOMA SHERIA NA NINAWÀSHAUTI WANATOA MAONI YA KISHABIKI WAKASOME SHERIA ZA NCHI.WASOME CLIMINAL LAW,CLIMINAL EVIDENCE,CLIMINAL INVESTIGATON ZOTE WASOME PIA WASOME KATIBA YA NCHI INASEMAJE WASITOE MAONI YA KISHABIKI
ww ndo hujitambui kabisa wala sio wakili nenda ukasome uwakili ndo utaelewa miaka mitano tu.je unaweza kuisaidia mahakama ueleze ni kwakivipi wale madada ni malaya?. na ili mtu awe malaya inatkiwa iweje na ili tuseme azizi mtege ni malaya tunatkiwa tuthibitishe kwa vitu gani?
Ila kazi ya wakili ni mbaya wakàti mwingine unatetea wazinifu kweli ogopa siku ya kiama utakuja ulizwa na mungu hawo wale mijekedi na wakirudia wanyongwe pamoja na mashoga wanyongwe itungwe sheria madadapoa na mashoga wanyongwe ili iwe fundisho
Hawa mapolice nao wanatumika vibaya, yaani unakwenda kuwakamata watu bila kujua unawakamata kwa kosa gani, hii ni aibu, nakuomba sana kaka Madereka wanyooshe hao watovu wa nidhamu.
Hongera sana Madeleka. Haki la wewe ni Mzalendo, wanyooshe hao wanaopindisha taratibu za ufanyaji kazi kwa maslahi ya vyeo vyao.
Tokomeza umayala ayo ya sheria ni yako tokomeza umalaya ndio muhimu kwa taifa hili
Wakamatwe pia mashoga na wasagaji ili tuamini tunafuata sheria.
Uko marekani tu umalaya hupo utawezekana tz na nchi za kiarabu tu umalaya upo ukumu anayo mungu tu hakuna arie msafi,,,ukienda kuomba Kaz tu unaombwa ngono si umalaya huo wanashindwa kikamata majambazi na wanaowarawiti watto uko mnakamata watu wazima wanao Fanya vitu wanajitambua
Mmh, hii kalikali kwelikweli. Yaani polisi hujui unamkamata mtu kwa kosa gani badala yake unawaburuza tu watu na kuwaweka selo?? Huu ni u - polisi au uhuni na ujambazi tu? Je, ni kwa kuwa tu umepewa amri na Mkuu wa Wilaya? Bongo tuna kazi kwelikweli!!
Alafu mnasema police wakenya hawana akili kumbe wanajua Sheria 😂😂😂
Nchi hii tumekubali kufanywa hivyo ndio maana tunaburuzwa tu
@@deogratiusyudatadei5658Wanajua Sheria na wanajua wakiua watu watapelekwa Mahakama za Dunia za Haki za binaadamu kama walizopelekwa wale walioua Rwanda .Kwa hiyo wanajua mipaka yao ,hata hapa Tanzania ni vile hawajadhuru raia la sivyo huwa Dunia inaona .Kumbe Raisi Ruto Jana aliamuru Jeshi liingie barabarani lakini wamegoma maana wanajua wajibu wao na wanajua hatma yao itakuwa ni Jela
Hii game GG haitoii😮 man
Unatetea,upumbafu,hivi,unamke,kwer,ww
Huyu Jamaa anaakili sana sana, MNAHOJI BILA KUJUA SHERIA HATETEI KUHUSU UMALAYA NA KUJIUZA ANACHOSIMAMIA NI SHERIA JUU YA WALIOKAMATWA wakihusishwa na kujiuza pia DC hakutenda haki kwenda na camera ni udhalilishaji ilihusisha mpaka mpita njia tu unajikuta unakamatwa unawezaje kumtambua mtu anayejiuza kma wewe sio mnunuaji. Furahi na Cheka kwakua halijakukuta.
Peleken,gerezan,hao,makahaba
Hakuna kosa mtu kuuza mwili wake polisi wahamie mitaani wanyoa kiduku😂wakamatwa waondoa plet number
Uyu jamaa ni mtu na nusu anajua anacho kifanya
Kizazi cha rutu yaani Sodoma na gomola kibeliti kinawahusu
TEMBEENI MADADA POWA HAWAJAWAHI KUISHA TAUNI...HAMUYAJUI MACHAKA NYIE
KUNA WAJINGA WANATOA MAONI YA KISHABIKI BADALA YA KUSOMA SHERIA NA NINAWÀSHAUTI WANATOA MAONI YA KISHABIKI WAKASOME SHERIA ZA NCHI.WASOME CLIMINAL LAW,CLIMINAL EVIDENCE,CLIMINAL INVESTIGATON ZOTE WASOME PIA WASOME KATIBA YA NCHI INASEMAJE WASITOE MAONI YA KISHABIKI
Ivi kumtetea malaya hujui kama ni kumkosea mungu au huyu wakili hana dini? Anajionesha kuwa yey hajitambui Mmmmh
Usiihusishe sheria na dini
Je yesu pia alimtetea Malaya??? Hakuna aliyemsafi , Soma kilichotokea Italy mpaka serikari nzima ikajihuzuru
We mwenyewe Malaya,,,
ww ndo hujitambui kabisa wala sio wakili nenda ukasome uwakili ndo utaelewa miaka mitano tu.je unaweza kuisaidia mahakama ueleze ni kwakivipi wale madada ni malaya?. na ili mtu awe malaya inatkiwa iweje na ili tuseme azizi mtege ni malaya tunatkiwa tuthibitishe kwa vitu gani?
Selikali hainakazi yakufanya kwasasa madada powa tokaenzi za
Tunajenga Utamaduni gani kwa taifa kama watu watakuwa wanajiuza kutakuwa na madada watakaokuwa tayari kujenga familia
Makahaba wanaisaidia sana serikali dhidi ya ubakaji,maana wasiojua kutongoza wanaonyesha hela tu na kupewa huduma ,
Siyo kweli
😂😂😂😂chizi kweli wewe
Kwili kabisa uyo akimu ache kazi makama ni jengo la uma simtu binafsi
Pumbavu kabisa unatetea uovu yaan unaongea ujinga, Hawa mawakil tukae nao chonjo kumbe Hawa makil ndio wanaoharibu maadil shenzi kabisa wakil kenge
WAKILI uwe upande wa neno la MUNGU amri ya 6 inasema USIZINI ...Wacha MUNGU wote tunakushangaa
Hii sio nchi ya kidini
Huyu wakili anaoneka siku za mbeleni atatetea ushoga wakili shoga huyu
hujui sheriA WALA huelew maana ya utawala wa sheria .. kwhy ww kula ulale
Wakili nakukubali mm mkazi wa Mwadui njoo ututetee Wahanga wa Mwadui
Madeleka anajiamini sana kwa sababu anaijua sheria
Wakili uanwatetea watanzania wote itakuwa hatari kukamatana kwa mavazi na sehemu na muda ya ulilokuwa
Mjinga ww angelifanya mama ako je
Uyo akimu atakua ni ccm asie elewa shelia na aki
Samahn naomba namba za wakiri peter madereka
NLIKUWA NAKUKUBAL ILA KWA HILI UMEJICHAFUA KUNA WATU WA MAANA AMBAO UNGEWEZA KUWA SAIDIA MAHAKAMAN SIO HAO😢😢😢😢
Kajichafua kwa lipi sasa. Nchi inaendeshwa kwa sheria sio unakurupuka tu kukamata watu.
YAN KWEL UNATUMIA TAALUMA YAKO KUTETEA UKAHABA
Hii nchi inahitaji watu makini sana
Kweli nimeamini hizi ni reasoning age wakili na akili zake anatetea upumbavu huu is very sad kabisa mungu wewe atakuhukumu
Hana hata haya anajiona Yuko Sawa mungu atakuuliza utakapofika mbele ya hukum yake
Wakili ana mtete mtu yeyote, hata wewe ukiwa na shida utatetewa.
😕😕
Huyu wakili na yeye ni malaya vile vile kama hao anao watetea
😂😂😂kumbe na ww umeona eee😂
Wewe mwenyewe na mamako malaya umezaliwa mkunduni
Huyu wakili anatetea machakudoa ni shoga
@@mohddelo wewe ndio shoga kenge wewe tena kuma
Huyu hakimu analana
Wee wakili
Subirikdg utavuna ulicho kipanda unatetea zinaa pumbavu bora miye nisiyesoma
We wakil taira ww
😅
Kweli kabisa
Sijaona wakili mjinga Kama huyu unatetea jambo ambalo limeharamishwa na mungu au Hana dini huyu?
Wewe ni mangapi unaya Fanya ambayo ni haramu.
Ila kazi ya wakili ni mbaya wakàti mwingine unatetea wazinifu kweli ogopa siku ya kiama utakuja ulizwa na mungu hawo wale mijekedi na wakirudia wanyongwe pamoja na mashoga wanyongwe itungwe sheria madadapoa na mashoga wanyongwe ili iwe fundisho
Hawa mapolice nao wanatumika vibaya, yaani unakwenda kuwakamata watu bila kujua unawakamata kwa kosa gani, hii ni aibu, nakuomba sana kaka Madereka wanyooshe hao watovu wa nidhamu.
Watanzania bhana kwa hiyo hamjaona kosa, mawakili Mungu anawaona
@@edsonnelson4464 ww onyesha hilo kosa
Wewe ni ziro pita
huna akili
Ila kweli tukiwambia mawakili wa chadema mkapimwe akiri mnakataa
Pole kwa ufahamu wako mdgo....hao waliokamatwa ni chadema...
Wakili anatetea yeyote yule,hata CCM wakimhitaji anawatetea ni kazi.
Ipo haja police wapewe eleimu zaidi
Nishoga huyo wakili
Unatetea umalaya
Mungu akusamehe kwa hujui unachokisema..
Nyie hamjui nini anachokipigania hapo
Weewe wakili unayetetea umalaya mungu anakuona
Nashuhudia Dunia inavyomalizwa na wasomi 😅