Nondo za Wakili Madeleka Juu ya Utendaji wa Mahakama Dhidi ya Matamko ya Kisiasa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • #ijuesheria

Комментарии • 87

  • @joelmwaitege2121
    @joelmwaitege2121 Месяц назад +12

    Nimekuelewa vizuri sana..
    Ubarikiwe sana mheshimiwa.

  • @user-gy4vk1hh3x
    @user-gy4vk1hh3x Месяц назад +6

    Mungu akulinde Wakili umenifanya nisiwe mwoga Kwa kweri. Viongozi machawa ndio wanaorudisha nyuma maendeleo ya nchi hii

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai Месяц назад +4

    Nakukubali sanasana afande mwanasheria wakili masomi

  • @stevenmabungi3245
    @stevenmabungi3245 Месяц назад +1

    Nakuelewa sana Peter your the best one,taifa la Tanzanian linahitaji watu kama hawa.

  • @moyokajange1699
    @moyokajange1699 Месяц назад +4

    Wewe mtumishi wa mungu kazi unayo ifanya ni ya kitume Bwana yesu akulinde akuingezee siku zakuishi ubarikiwe sana.

  • @kahemachowdry7346
    @kahemachowdry7346 Месяц назад +2

    Hongera sana kaka Madeleka.Watanzania wanahitajisana vipindi kama hivi angalau kila wiki,

  • @robertmapinda1866
    @robertmapinda1866 Месяц назад +2

    Wakili madeleka nakukubali sana katika utendaji wako Mungu akuongezee hekima na busara,usimamie haki

  • @tumsifumartine612
    @tumsifumartine612 Месяц назад +2

    Kuna watu wazuri sana kama Madereka Mungu akulinde wakili Madereka

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Месяц назад +4

    Notisi of apili zinatutesa sana unaka myaka makalane jamani watafute kazi nyingine ndio wanachafua mahakama jamani wajaji wamesoma sana makonda jeli silaa Wana amuka siku moja majaji wanaoshindwa nini

  • @user-eo4bl3do8k
    @user-eo4bl3do8k Месяц назад +1

    Tafadhali sana wakili MADELEKA usikubali kununuliwa na wale wasiotaka mabadiliko ya nchi yetu ,,kwasababu ccm hawataki kuyasikia hayo unayoyasema

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 Месяц назад

    Kaka kunywasoda safi nalipa mimi nakukubali sana

  • @augustinomsuya9310
    @augustinomsuya9310 Месяц назад +1

    Mungu aendelee kukulinda

  • @abdulmajidmageja6562
    @abdulmajidmageja6562 Месяц назад +1

    Wakili dunia zote zinazo sitahiki zikufikie amina rabilaalah mina

  • @asibwenemwaipopo4863
    @asibwenemwaipopo4863 Месяц назад

    Asante kwa kuwaelimisha Watanganyika. Mungu akubariki, akulinde na kukupa maisha marefu.

  • @MuhojaMalicho
    @MuhojaMalicho Месяц назад +1

    ❤❤❤❤ mm nikwelewa sana ila nakuomba ungane na lisu

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 Месяц назад +1

    Hawa hawana mungu hawa ni sehemu ya wauaji maana huwa wanawatetea mpaka wauaji hawana lolote

  • @PatricePatrice-ue4yl
    @PatricePatrice-ue4yl Месяц назад +3

    MADELEKE is big advocaten her from AMSTERDAM NEDERLAND she want to kuongea na WEWE

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Месяц назад +1

    Amen mungu akubaliki sana

  • @kamalabuberwa2001
    @kamalabuberwa2001 Месяц назад

    Nimekukubali wewe ni mpigania haki. Mungu akuinue zaidi

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 Месяц назад +3

    Hakuna cha amani na usalama
    wakati tunaishi kama wanyama pori

  • @geraldgedi4657
    @geraldgedi4657 Месяц назад +1

    Peter Madeleka huwa unanikosha sana , mwanangu mmojawapo nitahakikisha anasoma sheria.

  • @kasumalnews4580
    @kasumalnews4580 Месяц назад +1

    Awesome

  • @user-uh3eg5cj2r
    @user-uh3eg5cj2r Месяц назад +3

    Peter MUNGU AKUJALIE AFYA NJEMA TU!

  • @exseviangaeje1158
    @exseviangaeje1158 Месяц назад +1

    Madeleka ni azina ya nchi tuwaombee sana kwa Mungu mtu kama UYU mtu wa kutaka haki ni wa kumwombea sana

  • @gustavrwekaza802
    @gustavrwekaza802 Месяц назад

    🎉libarikiwe tumbo lililokuzaa, ziwa ulilonyonya na kiuno ulimotoka

  • @hamissomary6869
    @hamissomary6869 Месяц назад +1

    Safi sanaa kaka

  • @SarahAlphonce-q4e
    @SarahAlphonce-q4e Месяц назад

    Mungu akubariki wewe nimtetezi wa wanyonge

  • @waziradam2794
    @waziradam2794 Месяц назад +2

    Wee Madeleka ni kiboko. Pokea 🎉🎉 yako.

  • @NdebileMathias
    @NdebileMathias Месяц назад

    Good message for our country

  • @foundationforcommunityhope7327
    @foundationforcommunityhope7327 Месяц назад

    Duuuu kazi kweli kweli.asante

  • @DavidDanken-uf7kp
    @DavidDanken-uf7kp Месяц назад

    Mendez madereka ,nakutaman kaka.moja kati ya watanzania walio soma wakaelewa ❤

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Месяц назад +1

    Kwahiyo kazi baba mama waliyofanya nizawadi za watoto wao

  • @JoshuaStanley-qu3im
    @JoshuaStanley-qu3im Месяц назад

    Uko vizur mwamba

  • @ClementLushino
    @ClementLushino Месяц назад

    Biblia inasema tunapata wapi watu kama awa wenye kusimamia kweli, MUNGU akubariki sana na akuongeze ujasili.

  • @peterkitima4383
    @peterkitima4383 Месяц назад +1

    Madeleka ubarikiwe saana nduguuu

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 24 дня назад

    Polisi bado wale wale hajui kama kuna maungo maungo ya KATIBA. CCM ndiyo kabisa hawana habari wanaona Hatamu yao bado kabisa.

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Месяц назад

    Jamani Madereka,akupe ulinzi mungu baba.ni huruma na upendo.utu.mungu atakulipa.

  • @Uhuru1234
    @Uhuru1234 Месяц назад

    Hakika ww mungu akubariki sana

  • @user-mh2fw4ze8m
    @user-mh2fw4ze8m Месяц назад

    Da sina hamu kabisa na ujumbe huo wakili madeleka

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 24 дня назад

    Hata sisi tulikuwa wadogo. Hapa hakuna amani hata kidogo sasa hivi kuna uchawa tu wala hakunaAmani.

  • @KelvinBamuhiga
    @KelvinBamuhiga Месяц назад

    Mungu akulonde madeleka🎉

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Месяц назад +1

    👍👊✌️.

  • @farajansekela5763
    @farajansekela5763 Месяц назад

    Mmmh!!!!! Akili kubwa Sana Kakangu

  • @user-vg4ph5zx8h
    @user-vg4ph5zx8h Месяц назад

    This guy he so genius

  • @hamissomary6869
    @hamissomary6869 Месяц назад +1

    Nakkubali kaka

  • @jumannekamota4870
    @jumannekamota4870 Месяц назад

    Yani saizi ukiwa na kesi usiombe polic awe na ukaribu na hakimu au wakili wamahakama ya karibu na kituo yani uwe nahaki usiwe na haki ndani utaenda

  • @AtuganyiraKabigumila-rz7ou
    @AtuganyiraKabigumila-rz7ou Месяц назад

    Uje utukomboe madereka jaman naomba hata uwe kaka yangu wa mfano nakupenda Bure baba

  • @PatricePatrice-ue4yl
    @PatricePatrice-ue4yl Месяц назад +2

    UAGOPENINI KAKA TUTAKUFAWOTE WAZALENDO

  • @samwelmohonge4573
    @samwelmohonge4573 Месяц назад

    tupo tayari kuiandika katiba mpya

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Месяц назад +1

    Tanzania hamuna mawakili ni waganga njaa wapo ishalla lugemeleza mwabukusi madeleka lisu antipasi lisu

    • @user-uh3eg5cj2r
      @user-uh3eg5cj2r Месяц назад +1

      Bado Kuna vichwa kama kibatara, Bob wangwe, nk!

  • @Kwarasi
    @Kwarasi Месяц назад +1

    Hekooooo

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi Месяц назад +2

    👇🏿
    #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿

  • @christophermalango1433
    @christophermalango1433 Месяц назад

    Hongera sana Madereka

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai Месяц назад +2

    Baba unasitahili mauwa yako

  • @charlesmapunda2002
    @charlesmapunda2002 Месяц назад +3

    Unajua mpaka basi

  • @johnmathew9854
    @johnmathew9854 Месяц назад

    Bado tunawatu wanaakili mmno!!!!!!!

  • @brigethsauzand3926
    @brigethsauzand3926 Месяц назад

    Mungu Wa Mbinguni akujaalie na TLS nzima mtendee wananchi haki

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Месяц назад +1

    Tuache uoga tufanye maandamano tuwaondowe vibaya kwenye wamefanikiwa

  • @abdallahnkrumah6237
    @abdallahnkrumah6237 Месяц назад +1

    Msomi Madeleka wewe ni AKILI KUBWA hata wasioelewa wanakuelewa vizuri sana. Japo wachache hawataki kukuelewa Kwa sababu za wivu tu Kwa uwezo Mkubwa ulionao.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад +1

    Shetani anafanya mabaya zaidi hata kuliko shetani. Kesi hata direct tunahangaika nazo miaka na miaka mingi kila siku kwa sababu ya utawala wa CCM ambayo hauna hata uelewa wa kutawala bali wanacho jua ni kupigiwa makofi, kupokea uchawa na sifa za uongo mtupu.

  • @BernadethaCharles-sv3oy
    @BernadethaCharles-sv3oy Месяц назад

    Kumbe una uelewa mdogo wa kisheria? Mbona hatari sana sasa. Kumbe unatupotosha!

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 15 дней назад

      Baba yako ametuibia sana ndiyo maana unahofu ugali wako utachukuliwa,

  • @pastorypetro6861
    @pastorypetro6861 Месяц назад

    Bro kweli unajielewa

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад +1

    Kwa kweli lakini watu wamewekwa chini ya CCM. Watanganyika wanafanyiwa vibaya sana lakini hata nadhani serikali, mahakama, na CCM ndiyo wamekuja kuharibu Time kwa sababu Rostam kwani aliposema kuwa kuwa mahakama ya kungonjea ku maagizo kutoka juu. Kwa nini mahakimu walijifanya kulalamika kwani siyo kweli? Mahakimu waliolalamika waliokuwa wanalalamika walikuwa uchawa au kweli? Jamani sisi tulikwisha kaa inje ya Tanganyika huwa tunaona kama serikali ya kujifanya ya kitoto. Yaani watoto wanapo jifanya kupika kupika unaweza kuona wazi kuwa ni watoto. Serikali ya CCM inafanya kuwa kila kitu kana kwamba wanajifanya. Ni kwa sababu ni CCM hata watu professional wanakuwa wachawa tu. Sasa hii ni serikali gani?

  • @januarysila1569
    @januarysila1569 Месяц назад

    chuma hicho

  • @FADHILICHIKOLO-pb8iy
    @FADHILICHIKOLO-pb8iy Месяц назад +1

    Wewe ndiye wakili Bora Sana kwa sasa

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Месяц назад

    Umemtaja Biswalo bado Anna Makaka.

  • @brigethsauzand3926
    @brigethsauzand3926 Месяц назад

    Namba Yako tunazipataje kaka

  • @peterantony5890
    @peterantony5890 Месяц назад

    Peter Madeleka naPeter Kibatala ni miongoni mwa mawakili bora na watetezi wa haki za binadamu.

  • @hamissomary6869
    @hamissomary6869 Месяц назад +1

    Tunataka katiba mpyaa"

  • @user-ii7yw9ng5d
    @user-ii7yw9ng5d Месяц назад

    Madeleka,libarikiwe ziwa ulilonyonya,darasa lako limenibariki!

  • @PatricePatrice-ue4yl
    @PatricePatrice-ue4yl Месяц назад +1

    Aya mauupuuzi kamalile CHALAMILA ajafikaatalasaba yani stupide sijawai kuuona MATAKUYAKE

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 15 дней назад

      Ngumbalo mbona umeandika utumbo

  • @user-cp8df8ik5h
    @user-cp8df8ik5h Месяц назад

    Dah, hii nchi, kuvuanguo!!?

  • @jeremiahmwasanu8157
    @jeremiahmwasanu8157 Месяц назад

    Ihubiriwe haki popote ulipo pasi kuangalia nani anafanyiwa uonevu.

  • @eliaschipanda2006
    @eliaschipanda2006 Месяц назад

    Madeleka, we ni kiboko.

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Месяц назад +1

    Tufanye anzisheni

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Месяц назад

    Wengi wanakataa vyeo.

  • @alexlazoro3530
    @alexlazoro3530 Месяц назад

    CCM imesha penyeza watu wao humo ndani ya T L S

  • @ebenezernnko8251
    @ebenezernnko8251 Месяц назад

    Tumpate wapi mtu kama huyu

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 Месяц назад

    Hiyo ya kuwavua watu nguo na
    kuwaingiza vidole sehemu za siri hata mimi siikubali.
    Kuna haja ya maandamano kupinga hilo ili serikali inunue vifaa vya uchunguzi kuliko kuwatia watu vidole sehemu za siri