#LIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Комментарии • 54

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 Месяц назад +6

    ❤Asante kwa mafunzo mema wakili msomi Madeleka. Mungu akubariki.

  • @user-jt4lo1og8w
    @user-jt4lo1og8w Месяц назад +4

    Mawakili wamekuwa machawa wa watawala ,hivyo basi wananchi tumebaki yatima .❤❤❤❤

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga6238 Месяц назад

    Shangazi Fatma and Peter Madeleka we are receiving valuable lessons. Thanks so much and God bless you. You are planting seeds that will produce future fruits for all.

  • @PatricePatrice-ue4yl
    @PatricePatrice-ue4yl Месяц назад +5

    MADELEKA WE LOVE U❤ BRO FROM AMSTERDAM 🫶🏿❤️🫶🏿

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 Месяц назад +6

    Madeleka Hongera sana 🎉🎉🎉

  • @altonkanjolonga2380
    @altonkanjolonga2380 Месяц назад +1

    we still have a very long journey,hongereni sana kazi yenu ni njema sana kwenye Taifa letu.Watanzania tunawahitaji watu kama nyie ili taifa letu lisonge mbele

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Месяц назад

    Madeleka nakukubali sana.Mungu akubariki sana.Umeongea mambo mengi muhimu na ya msingi sana.Taifa hili la Tanzania linahitaji watu wenye ujasiri na uthubutu kama ww.Ww ni mzalendo na kizazi cha wana wa Mungu wenye kujiamini.

  • @lupakisyoassa1579
    @lupakisyoassa1579 Месяц назад +3

    Ni vizuri majaji wote wakapigiwa kura kuliko kuteuliwa, maana watamtumikia aliye wateua, hata hivyo majaji ni kwa ajiri ya watu.

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Месяц назад

    Madeleka one of the brave lndipendet privet advocate in Tanzania vary brave we thanks advocate madeleka with fatuma karume we head your pin point adress tanzania jenelist

  • @InnocentCharles-hm3ff
    @InnocentCharles-hm3ff Месяц назад

    I appreciate adv. Madeleka...he's a phenomenal lawyer...Fear is bad than cancer...yes! Bad than death!..

    • @jacobmakono4399
      @jacobmakono4399 Месяц назад

      I'm sorry Sir,ni worse than na siyo bad than

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 Месяц назад +2

    Inasikitisha sana kuwa Rais wa Tanzania ndie anachagua viongozi wa Tz, hapana hapa anakosea, viongozi wanatakiwa kuchaguliwa na wananchi,

    • @1961nungwi
      @1961nungwi Месяц назад

      Hajakosea, anafuata katiba ina vyosema. SI yeye tuu, hata waliopita na wajao watafanya hivyo hivyo, kwa mujibu wa katiba

    • @mayrfrimi4759
      @mayrfrimi4759 Месяц назад

      @@1961nungwi anajua ugali wao uko wapi na ndio maana kuipitisha katiba mpya inakuwa ngumu kwake,

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Месяц назад

    Kama mahakimu na makarane ni mungu watu hasa makarane ni shida wakaguliwe wafukuzwe na wafungwe

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s Месяц назад +3

    Anzisheni chama cha mawakili binafsi ili kuusimamia haki bila kufungwa na mifumo

    • @user-eo4bl3do8k
      @user-eo4bl3do8k Месяц назад

      Unasema kweli kabisa, kwasababu nchi hii ni lazima iwe na mawakili wa kweli ,kwasasa mpaka mawakili wametekwa na mfumo wa kichawa wa ccm

  • @faustinebahenobi3412
    @faustinebahenobi3412 Месяц назад +1

    Duhh! Hii nchi imeoza

  • @yonnasamwel2145
    @yonnasamwel2145 Месяц назад +2

    Mrithi wa Tundu lisu

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Месяц назад

    Well said

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s Месяц назад +2

    Nyie mawakili kama hamta simama kidete nchi hii utakuwa wa ajabu sana

  • @PatricePatrice-ue4yl
    @PatricePatrice-ue4yl Месяц назад +1

    MWABUGUSI im MACHO'S ❤💯❤

  • @user-lw3tg3yg5b
    @user-lw3tg3yg5b Месяц назад +1

    Mawakili waaminifuhebu saidieni nchi inaangamia hakuna haki katika nchi hii jamani tusaidieni.

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw Месяц назад

    Katiba mpya ni muhimu,mahakama iwe huru,isipokee amri kutoka kwa watawala.

  • @user-el7ni7xb8k
    @user-el7ni7xb8k Месяц назад

    Nakujubali sana piter madereka wakili msomi

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 Месяц назад +1

    Inasikitisha sana kwa Tz yetu unakuta baadhi ya viongozi wanafanya uongozi kwenye lazi ambayo jata hawajawah kuisomea, haya ni maajabu ya dunia, wakifeli utakuta wakisema eti unajua nchi zilizoendelea wanapata maendeleo , sijui nn na nn, shem on you.

  • @nyandonashon7429
    @nyandonashon7429 Месяц назад +1

    WE JAMAA UNGEGOMBEA URAISI WA TLS NINGEKUPIGIA KURA

  • @jacobmakono4399
    @jacobmakono4399 Месяц назад

    Yaani mtu kama Msomi Madeleka anapswa kuishi maisha maefu

  • @knight6757
    @knight6757 Месяц назад +1

    Madeleka 💪

  • @user-vo7oq3gz9c
    @user-vo7oq3gz9c Месяц назад +1

    Ss wananchi tunawapata wap nyiye mawakil

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke Месяц назад +1

    Asante sana madeleka kwakunifuguwa macho na akili

  • @user-rz9xx7nx8t
    @user-rz9xx7nx8t Месяц назад

    P nakupogeza kweri sisi tulio wengi atujielewi kama sio kujitambia.watu wanatekwa,wanauwawa na kupigwa lisasi kama lisu.lakini tunasema ichi inaamani.sio kweri.

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw Месяц назад

    Saluti kwako Madeleka,watu wa aina yako ni wachache.

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Месяц назад

    Chief justice in Tanzania nedd to be pointed by tanzania people not pointed by ccm leadership locel curt need printed by province avoid all this oder from politician from gavment to jurgies what to do it has been so much crush because system of ccm leadership control all gavment system from palament Curt this is really challenge on to our national tanzania

  • @KumbushoMbanga-hf3wx
    @KumbushoMbanga-hf3wx Месяц назад

    Hoja kama hizo ndizo zinazotakiwa

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 Месяц назад +1

    Samia nadhani umesikiliza huu mdahalo, na umeelewa, maana ulituambia unapenda kuwa mtandaoni, sasa basi piga kazi acha kutuambia eti umekuwa chura, huongei unasonga . Mbele, ,huko mbele unafikaje lama huoni njia? tusikilize ss wananchi na utufanyie wepesi kuliko magumu tunayopitia sisi watanzania.

  • @PatricePatrice-ue4yl
    @PatricePatrice-ue4yl Месяц назад

    👍🏿👏🏿👍🏿

  • @user-rz9xx7nx8t
    @user-rz9xx7nx8t Месяц назад

    Fatma mumeweka wazi ili tuwassikie,shida unachaganya lugha wengine atukisoma.elimu hoyo tunaipataje kama sio kutumyima?

  • @annapeter4994
    @annapeter4994 Месяц назад

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥👌👌👌👌💪💪💪💪💪💪

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn Месяц назад

    Siku zote nawakubali ila leo Madereka na F. Karume nimewakubali zaidi. Kuna suala la gharama za kuendesha kesi mahakamani. Ni kubwa mno kiasi kwamba wanyonge hawawezi na hivyo hawana haki! Ilifaa sana hili nalo mlimulike.

  • @Master-ww7ur
    @Master-ww7ur Месяц назад

    Ukisikiliza vizuri Fatma anavyoiongelea katba ya 1977 utaelewa kwanini rais wa Kenya hayati Jomo Kenyatta alisema watanzania ni kama maiti hawatakaa waamke wadai haki yao😮

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 Месяц назад +2

    Wadau ukweli ni kwamba Samia anaweza kazi , ila shida kubwa ni kwasababu ameiambia dunia kuwa yeye atakuwa kama chura kwenye uongozi wake. Wanaojua tabia za chura watakuwa wamemuelewa, Mungu ibariki Tz.

  • @annapeter4994
    @annapeter4994 Месяц назад

    NIMEFURAHI SANA KUONA WANAWAKE NA WANAUME WA NCHI YETU WAZALENDO

  • @PaskalGwandu-q2v
    @PaskalGwandu-q2v Месяц назад

    Kaka madereka rejea comment ya video hi wote wanafki kuwa pafekt

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq Месяц назад

    Hii katiba wanaoingangania ni hawana ccm wanaoitana uchaguzi ukiisha waende Dodoma maana tungekuwa na katiba mpya Kuna viongozi wa serikali wangefia gerezani Kwa ufisadi ila ipo siku wataibadilisha bila kujua wajifunze mfano Kwa majirani zetu

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 Месяц назад

    Wanakiwasha nn makenge tu hao?

  • @GodfreyOsward
    @GodfreyOsward Месяц назад

    Tulipo badilisha, hakutikea chama au taasisi ukuelezea mabadiliko hayo.

  • @calabash4221
    @calabash4221 Месяц назад

    Mawakili wamekuwa wanasiasa. Wanapenda siasa kuliko kutenda haki. Na hili wanalifanya kwa kuwa kwenye siasa kuna mileage. Wakili, Hakimu, mwendesha mashtaka na Jaji...wote wanavutana kwenye technicalities..kama kuna watu wanavunja haki za watu ni mahakimu, majaji na mawakili....

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 Месяц назад

    Viongozi wa Tz wanachekrsha walionuna kwa aina ya uongozi wao, mfano unamkuta wazir wa afya hajasomea hata nursin, people are you sirious?? Ni kosa kubwa sana, au mkuu wa majeshi ambae hajasomea hata jeshi

  • @allyshaban406
    @allyshaban406 Месяц назад

    Mawakili wengi baadhi yenu ni machawa wa serikali, na hutarajia uteuzi. Mawakili!!! Umemsikia yule mzee chizi wa ccm alichokisema kuhusu mtu wa ccm na chadema?

  • @plujoncylugano4611
    @plujoncylugano4611 Месяц назад

    Ninyi mawakili na mahakimu wa kike mmekuwa mbele na tayari mno kumsaidia mwanake anayelalamika bila kutafuta kwa kina ili kuweka mzani sawa.Hata ninyi mawakili wa kujitegemea mmekuwa hamfuati haki.