HUYU ASKOFU NI BALAA! MWABUKUSI KUSHINDA TLS | AWATANGAZIA KIAMA WAOVU | "WENYE HAKI WANAKUJA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • #TANZANIA: Askofu Mwanamapinduzi amwaga baraka kwa Wakili Mwabukusi kuelekea uchaguzi wa TLS, "wenye haki wanakuja"
    Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Комментарии • 41

  • @user-le7ek2zs4t
    @user-le7ek2zs4t Месяц назад +1

    Barikiwa mtumishi wa Mungu kazi yako ni njema

  • @gaagwasaugustino2584
    @gaagwasaugustino2584 Месяц назад +2

    Asante Askofu Machumu,Mungu akubariki kwa kuongea ukweli! Je wako wapi Viongozi wengine wa dini wanaokemea maovu na kutetea haki Katika Taifa letu!!!???

  • @asanterabikimaro9081
    @asanterabikimaro9081 Месяц назад +1

    ❤❤meseg sent.Mungu akupe maisha marefu mtumishi.

  • @sarahmaro215
    @sarahmaro215 14 дней назад

    Vizuri sana sana askofu, na mimi niombee nishinde Ubunge

  • @WadhifHajji
    @WadhifHajji Месяц назад +1

    Wewemwenyewe mungu. Hakutaki kafiriwewe

  • @sebastianmwantuge5597
    @sebastianmwantuge5597 Месяц назад +7

    Nchi inaongozwa kishirikina kwa maana hiyo.Nyerere alijua machifu ni wachawi ndiyo maana aliwafuta,sasa wanarudishwa wapiga ramli

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 26 дней назад

    Naalaaniwe anayekejeli au kutukana watumishi wa Mungu kwasababu ya maslahi yake mwenyewe.

  • @beatricefilbert1171
    @beatricefilbert1171 Месяц назад

    Hawatashida kwa jina la Yesu

  • @regnaldymambaly9880
    @regnaldymambaly9880 Месяц назад +1

    mchungaji hongera sana kwaushindi ,kama mashabiki wampira wanaweza kusem
    a tumeshinda wakati hatujawai kuwaona wakucheza uwanjani acha na cc tuseme tumeshinda kwasababu tulikuwa tunachezea nje yauwanja kwa salazetu

  • @sarahmaro215
    @sarahmaro215 14 дней назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @BarackyMgenimgeni
    @BarackyMgenimgeni Месяц назад

    Kweli mashetani yatoke ikulu kwa Jina la Yesu

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад +1

    MACCM wengi wanaabudu katika uchawi ndiyo sababu waende kufanya uchawi. Kwa kweli huyu mama ni mzanzibari alafu anarudisha uchifu ambayo ulifutwa na muazilishi wa Inchi hii Nyerere. Yaani Samia ni mkubwa kuliko Nyerere?

  • @johnlugaila
    @johnlugaila Месяц назад +2

    Acha kweli ihubiliwe. Bishop tuko pamoja hatutaki waganga na wachawi waingie ikuru

  • @AgnessKabamanywa-sd2dw
    @AgnessKabamanywa-sd2dw Месяц назад +2

    Wachawi ni akina nani?

  • @zabronmwaipungu2212
    @zabronmwaipungu2212 Месяц назад +5

    Wameitwa tu hao, kosa ni walio waita

  • @EzekielLaizer-hj3ri
    @EzekielLaizer-hj3ri Месяц назад +1

    Awadhi msumi kaaa kwa kutulia elewa somo acha papara kaka

  • @johnamwakibete4345
    @johnamwakibete4345 Месяц назад

    Mchungaji anamapokeo tuu hiyo dini ililetwa tuu .
    Kabla ya hapo machifu walikuwa watala
    Kama vile kipindi fulani dini ndio ilikuwa watawala wakafutwa

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 21 день назад

    Lema ulikimbia mwenyewe bila ya kukimbizwa. Muongo wewe. Ulifikiri Canada utafanya uhuni. Umerudi mwenyewe kwa kushindwa maisha ya kutii sheria.

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 Месяц назад +1

    Kila kiongozi wanapewa uchifu, ninavyo jua uchifu huenda sambamba na kabila husika lkn cku hizi mtu si kabila husika unapewa uchifu

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Месяц назад +1

    Taifa lirudi kuwa la Mungu, Ikulu itakaswe,iongozwe na kukaliwa na watu wenye imani ya nuru,wenye imani za giza,tuachane na imani za nchi za Magharibi zinazoingia mikataba mibaya na serikali,rasilimali zetu zinaondoka tunabaki masikini, wachache wananeemeka na kwenda kuhifadhi ukwasi wao kwa wazungu.

  • @SelijusMalambo
    @SelijusMalambo Месяц назад +1

    Wanganga wapo juu kuliko ww Imani mbovu

  • @ZawadyKaoneka
    @ZawadyKaoneka Месяц назад +1

    Jamani tumpe mitano tu

  • @BraxedaDomina-xn4zc
    @BraxedaDomina-xn4zc Месяц назад

    Hv unaenda kusali au

  • @ngembamakuru3810
    @ngembamakuru3810 Месяц назад +1

    Je machifu wanatambuliwa kikatiba? Je majukumu ya hao machifu yaliyoainishawa na katiba ni yapi katika uongozi wa nchi yetu ya Tanzania?

  • @stockmarketenterprises
    @stockmarketenterprises Месяц назад +1

    Ujumbe mkubwa baba Askofu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 23 дня назад

    Makubwa hayaaa

  • @robertmwagala8280
    @robertmwagala8280 Месяц назад

    Usichanganye Vitus viwili ; mganga wa kíenyeji(asili) na Mçhawi.walienfa ikulu ni waganga au wachawi?

  • @BarackyMgenimgeni
    @BarackyMgenimgeni Месяц назад

    Pumbavu hii

  • @jeremiahblazio4781
    @jeremiahblazio4781 Месяц назад

    Kwani kabra ya hizi Dini za kigeni kuja na hospitali tulitibiwaje. Mganga wa kizungu sio dhambi ila mganga wa kienyeji ni dhambi tubadirishe namna yakufikiri

    • @mpuyamalaba1709
      @mpuyamalaba1709 Месяц назад

      It reflects the highest level of ndoctrination! Tulishaharibiwa akili kwa kiwango hicho. Kila cha kigeni ni kizuri. After all, hata hawa wachungaji wengi wamegeuka kuwa wapiga ramri tu.wanatumia vifaa eti wanaviita vya upako. Kwangu hiyo ni rami tu kama hao wanaowapimga.

  • @FintanMkesha
    @FintanMkesha 29 дней назад

    Wachungaji wa mchongo

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад

    Kwahiyo katika hii Inchi raisi ana haki ya kudharau KATIBA? Maana KATIBA haina machifu. Sasa anaweza kuwa dictator kila anachoona kinafaa akilini mwake ni sawa na KATIBA iwe karatasi tu.

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 Месяц назад +2

    Huyu mchungaji utamdharau ila ni jembe

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 Месяц назад +1

    Hauwezi kurudi uganga wa kienyeji hawana mamlaka yeyote kwenye jamii

  • @FintanMkesha
    @FintanMkesha 23 дня назад

    Kna matapel na waganga tumia akil 😂😂😂😂😂😂 nature never die broh nyie wenyewe ni wahuni kama wahunun wengine tafta sadaka kwa displine hakna ana Amin ushilikina wabuluze hao wajinga

  • @AwadhiMsumi
    @AwadhiMsumi Месяц назад +1

    Sasa wewe unaubili dini au unasema watu kupitia jukwaa la kidin nyingi wachungaji wa Sasa hivi ni wachochezi sana sio watu wema ata kidogo

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 Месяц назад

    Mchungaji nakufuatilia sana kwa sababu una hoja.Ila sikubaliani kuwakataa waganga wa kienyeji kwa sababu ndio viongozi wetu wa dini asilia ambayo ndio ya kiafrika.
    Neno takatifu haina maana ya dini tu,ina maana nyingi.
    Kwa hiyo ikulu ni mahala patakatifu ina maana siyo mahala pa wala rushwa na ujambazi

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Месяц назад

    Hapo Sasa wewe waganga na yesu alitembea na waganga wakina Luka waliokua waganga