HUYU ASKOFU NI BALAA! MWABUKUSI KUSHINDA TLS | AWATANGAZIA KIAMA WAOVU | "WENYE HAKI WANAKUJA"
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- #TANZANIA: Askofu Mwanamapinduzi amwaga baraka kwa Wakili Mwabukusi kuelekea uchaguzi wa TLS, "wenye haki wanakuja"
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram
Barikiwa mtumishi wa Mungu kazi yako ni njema
Asante Askofu Machumu,Mungu akubariki kwa kuongea ukweli! Je wako wapi Viongozi wengine wa dini wanaokemea maovu na kutetea haki Katika Taifa letu!!!???
❤❤meseg sent.Mungu akupe maisha marefu mtumishi.
Vizuri sana sana askofu, na mimi niombee nishinde Ubunge
Wewemwenyewe mungu. Hakutaki kafiriwewe
Nchi inaongozwa kishirikina kwa maana hiyo.Nyerere alijua machifu ni wachawi ndiyo maana aliwafuta,sasa wanarudishwa wapiga ramli
Naalaaniwe anayekejeli au kutukana watumishi wa Mungu kwasababu ya maslahi yake mwenyewe.
Hawatashida kwa jina la Yesu
mchungaji hongera sana kwaushindi ,kama mashabiki wampira wanaweza kusem
a tumeshinda wakati hatujawai kuwaona wakucheza uwanjani acha na cc tuseme tumeshinda kwasababu tulikuwa tunachezea nje yauwanja kwa salazetu
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kweli mashetani yatoke ikulu kwa Jina la Yesu
MACCM wengi wanaabudu katika uchawi ndiyo sababu waende kufanya uchawi. Kwa kweli huyu mama ni mzanzibari alafu anarudisha uchifu ambayo ulifutwa na muazilishi wa Inchi hii Nyerere. Yaani Samia ni mkubwa kuliko Nyerere?
Acha kweli ihubiliwe. Bishop tuko pamoja hatutaki waganga na wachawi waingie ikuru
Wachawi ni akina nani?
Wameitwa tu hao, kosa ni walio waita
Awadhi msumi kaaa kwa kutulia elewa somo acha papara kaka
Mchungaji anamapokeo tuu hiyo dini ililetwa tuu .
Kabla ya hapo machifu walikuwa watala
Kama vile kipindi fulani dini ndio ilikuwa watawala wakafutwa
Lema ulikimbia mwenyewe bila ya kukimbizwa. Muongo wewe. Ulifikiri Canada utafanya uhuni. Umerudi mwenyewe kwa kushindwa maisha ya kutii sheria.
Kila kiongozi wanapewa uchifu, ninavyo jua uchifu huenda sambamba na kabila husika lkn cku hizi mtu si kabila husika unapewa uchifu
Taifa lirudi kuwa la Mungu, Ikulu itakaswe,iongozwe na kukaliwa na watu wenye imani ya nuru,wenye imani za giza,tuachane na imani za nchi za Magharibi zinazoingia mikataba mibaya na serikali,rasilimali zetu zinaondoka tunabaki masikini, wachache wananeemeka na kwenda kuhifadhi ukwasi wao kwa wazungu.
Wanganga wapo juu kuliko ww Imani mbovu
Jamani tumpe mitano tu
Hv unaenda kusali au
Je machifu wanatambuliwa kikatiba? Je majukumu ya hao machifu yaliyoainishawa na katiba ni yapi katika uongozi wa nchi yetu ya Tanzania?
Ujumbe mkubwa baba Askofu
Makubwa hayaaa
Usichanganye Vitus viwili ; mganga wa kíenyeji(asili) na Mçhawi.walienfa ikulu ni waganga au wachawi?
Pumbavu hii
Kwani kabra ya hizi Dini za kigeni kuja na hospitali tulitibiwaje. Mganga wa kizungu sio dhambi ila mganga wa kienyeji ni dhambi tubadirishe namna yakufikiri
It reflects the highest level of ndoctrination! Tulishaharibiwa akili kwa kiwango hicho. Kila cha kigeni ni kizuri. After all, hata hawa wachungaji wengi wamegeuka kuwa wapiga ramri tu.wanatumia vifaa eti wanaviita vya upako. Kwangu hiyo ni rami tu kama hao wanaowapimga.
Wachungaji wa mchongo
Kwahiyo katika hii Inchi raisi ana haki ya kudharau KATIBA? Maana KATIBA haina machifu. Sasa anaweza kuwa dictator kila anachoona kinafaa akilini mwake ni sawa na KATIBA iwe karatasi tu.
Huyu mchungaji utamdharau ila ni jembe
Hauwezi kurudi uganga wa kienyeji hawana mamlaka yeyote kwenye jamii
Kna matapel na waganga tumia akil 😂😂😂😂😂😂 nature never die broh nyie wenyewe ni wahuni kama wahunun wengine tafta sadaka kwa displine hakna ana Amin ushilikina wabuluze hao wajinga
Sasa wewe unaubili dini au unasema watu kupitia jukwaa la kidin nyingi wachungaji wa Sasa hivi ni wachochezi sana sio watu wema ata kidogo
Uchochezi upo? Anasema kweli.
Mchungaji nakufuatilia sana kwa sababu una hoja.Ila sikubaliani kuwakataa waganga wa kienyeji kwa sababu ndio viongozi wetu wa dini asilia ambayo ndio ya kiafrika.
Neno takatifu haina maana ya dini tu,ina maana nyingi.
Kwa hiyo ikulu ni mahala patakatifu ina maana siyo mahala pa wala rushwa na ujambazi
Hapo Sasa wewe waganga na yesu alitembea na waganga wakina Luka waliokua waganga