MVUTANO MKALI BUNGENI - SPIKA AHOJI BEI ya SUKARI - SHIGONGO - MATHAYO - MWIJAGE WATOA MAJIBU....
HTML-код
- Опубликовано: 26 июн 2024
- MVUTANO MKALI BUNGENI - SPIKA AHOJI BEI ya SUKARI - SHIGONGO - MATHAYO - MWIJAGE WATOA MAJIBU....
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Spika hao watu wako wezi sana na shangaa wtz wakipewa kapelo wanakuwa mazuzu na kuishi maisha ya dhiki kwa miaka mitano
Mpina alikuwa sahihi kabisa
Mpina alisema ton 120 zina tosha na hakuna haja ya ton za ziada, jambo ambalo sio sahihi
Daa mwijage😂😂😂. Niwaombe msifanye mzaha katika mambo ya msingi kama haya. Big up Spika tulia katika hili. Wananchi watazamwe sana kwa jicho la pekee.
Hongera Sana Mh spika.🎉🎉
Mimi naona kwenye sukari ni kama kuna kamchezo kinachezwa kwa akili nyingi sana
Hawa jamaa ni wababaishaji, wanajadili kitu ambacho washindani wao hawawajui na wala gharama zao. Mkoa wa Kagera sukari sh.3,200 wakati dsm sukari leo nimwnunua sh.2,600/- kutoka sh.2800/ niliponunua mara ya mwisho trh 4/06
Tanzania tutanunua sukari bei ya shs elf 4 ndio maisha ya mtanzania tunaumia saana
Kwanini sukari IKO juu namna hii kwetu Hawa ni wezi sana wauza sukari Kwa sababu zipi
Nina hofu sana juu ya mwekeo wa Bunge! Naliona bunge linalofanya uamuzi mzito sana bila kuiangalia na kulinda viwanda vya ndani.
Nyie haeni tu' Yana MWISHO hayo, mtapaona PACHUNGU hapo..!
Bunge, mlimkata Mr mpina juu Kwa juu, ili msiumbuke,, Kuna masrahi ya wachache katika swala la sukari,
Machozi ya mpina yanaanza kuonekana mapemaaa.mnachoongea no ubabaishaji tu.Mpinaaa Mungu atakulinda na mabaya yote amina
Mpina alipinga haja ya kuongeza hifadhi, jambo ambalo sio sawa, Tulia ndio anaye toa wazo jema.
Uhifadhi wa sukari unatakiwa ufanyike kama mazao ya chakula mengine.
Hawa jamaa sijui walimsimamisha nini mpina wakat alikuwa sahihi, kuna mchezo unafanyika hapa
Mpina naye alipinga hifadhi ya sukari, hapa Tulia ndio yupo sawa
Mpina ndio kichwa kwa sasa
Wabunge tumieni elimu ya kiuchumi. Wataalamu wa chuo kikuu idara ya uchumi ihudishwe.
Mbona mnakimbia mbali sana. Ulipaswa kuuliza sukari zanzibar ni bei gani?
Hapo umenena spika
Tuliaa wakoseaa.....umetahayari..umemtoaa mpina Sasa waongeaa nini
Huyu mwijage hana hakili
Mwijage bhana😂😂 siasa nyingi ukwel kdg
Hao wbunge na kuwalipa kote mishahara mikubwa hawajui bei ya sukari duuuuh ni hatari sana
Hapa hakuna bunge kazi Yao ndiyooooooo na kugonga meza
Wabunge mnatuangusha. Kweli mnaweza kujadili kitu nyeti namna hii kwa kubuni na kutumia hisia. Naomba ifanyike Market research ya kitaalamu mpate scientific results ndio hiyo data mtumie kwenye majadiliano. Tumieni wataalamu wa market research kitengo cha agriculture chuo UNIVERSITY OF DARESALAM. Epukeni kutumia kamati za bunge tu kwa maamuzi mazito kama haya. Madam speaker tunakutegemea na tunakuamini . Fanya kazi nzuri.
Bei zinategemea supply na demand ya sugar sio maturity ya Kiwanda. Mwijage
Watanzania wezi lhaga mmemuonea bure
Time will tell
Sukari 5000
Shida kubwa tanzania nimakadilio ya kodi tanzania ulizeni viwanda vinalipaje cod ndio mtajua why sukari inakuajuu zaidi ya nchi zote jirani zetu
NYINYI WA BUNGE MAFISADI ENDELEENI TU NA UPUMBAVU WENU WAKUWAUMIZA WANAINCH WA TZ KWA BEI YA SUKARI.
Kenya sukari kilo moja ni Tsh 2250.
tanzania bei kua juu haina uhusiano na kodi?
Nadhani tatizo la Tanzania na Afrika ni kujaribu kufuata mifumo iliyoachwa na wakoloni. Hakuna aliyejaribu kutafuta mfumo mbadala unaoendana na akili na tajriba za watu. Ndiyo yote haya.
Vinngozi wa Africa nikama sokwe hawanaga jipya kazi Yao wizi nakujinufaisha wao na familia zao
Aa tiuyaache tu tu
Bongo hamna ukweli ni ujanja+tu
Mswahili na porojo? Umeulizwa bei unaanza story ndefuuuuu
kuna mchezo wa akili hapo
Jambo Kijinga,alibadiki kuwa, la akili.
Mstusumbuwe mnatwambia nn wakat mlisema mpna hamedanganya tutawanyoosha tu
Mpina ndo habar ya mjini
Sasa mpina alitolewa wa nini
Mwijage haha
Hivi kwanini serikali haitaki kujenga viwanda vya sukari???
Imejenga
Viwanda vipo ni Kagera, Mtibwa, TPC, Kilombero I& II, Bagamoyo na kingine kipo Morogoro kinamilikiwa na Magereza
Utapeli tu
Wakali wa donta
Kweli mbunge ni mpina tu mvutano wote mliovutana nao hapo ndo ukweli wa kuwa humo ndani wote ni bogazi kidogo mwijage ameonyesha usomi wake
Dawa ni kuandamana hapa kama Kenya ndiyo mtanyooka wezi nyie