MVUTANO MKALI BUNGENI - SPIKA AHOJI BEI ya SUKARI - SHIGONGO - MATHAYO - MWIJAGE WATOA MAJIBU....

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 июн 2024
  • MVUTANO MKALI BUNGENI - SPIKA AHOJI BEI ya SUKARI - SHIGONGO - MATHAYO - MWIJAGE WATOA MAJIBU....
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 53

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  24 дня назад

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @kimwerihamza4152
    @kimwerihamza4152 23 дня назад +1

    Spika hao watu wako wezi sana na shangaa wtz wakipewa kapelo wanakuwa mazuzu na kuishi maisha ya dhiki kwa miaka mitano

  • @GervasGerasMashimba-zw3gn
    @GervasGerasMashimba-zw3gn 24 дня назад +6

    Mpina alikuwa sahihi kabisa

    • @birianination7097
      @birianination7097 24 дня назад

      Mpina alisema ton 120 zina tosha na hakuna haja ya ton za ziada, jambo ambalo sio sahihi

  • @cloudngoko.2679
    @cloudngoko.2679 24 дня назад +1

    Daa mwijage😂😂😂. Niwaombe msifanye mzaha katika mambo ya msingi kama haya. Big up Spika tulia katika hili. Wananchi watazamwe sana kwa jicho la pekee.

  • @DaudiMgallah
    @DaudiMgallah 24 дня назад +1

    Hongera Sana Mh spika.🎉🎉

  • @user-fy3cy5fe6q
    @user-fy3cy5fe6q 24 дня назад +3

    Mimi naona kwenye sukari ni kama kuna kamchezo kinachezwa kwa akili nyingi sana

  • @festokemibala5832
    @festokemibala5832 24 дня назад +2

    Hawa jamaa ni wababaishaji, wanajadili kitu ambacho washindani wao hawawajui na wala gharama zao. Mkoa wa Kagera sukari sh.3,200 wakati dsm sukari leo nimwnunua sh.2,600/- kutoka sh.2800/ niliponunua mara ya mwisho trh 4/06

  • @ZulekhaBaksh-ii4fk
    @ZulekhaBaksh-ii4fk 23 дня назад

    Tanzania tutanunua sukari bei ya shs elf 4 ndio maisha ya mtanzania tunaumia saana

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 24 дня назад

    Kwanini sukari IKO juu namna hii kwetu Hawa ni wezi sana wauza sukari Kwa sababu zipi

  • @lazaroandrew4371
    @lazaroandrew4371 21 день назад

    Nina hofu sana juu ya mwekeo wa Bunge! Naliona bunge linalofanya uamuzi mzito sana bila kuiangalia na kulinda viwanda vya ndani.

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 23 дня назад

    Nyie haeni tu' Yana MWISHO hayo, mtapaona PACHUNGU hapo..!

  • @migerajacob581
    @migerajacob581 24 дня назад

    Bunge, mlimkata Mr mpina juu Kwa juu, ili msiumbuke,, Kuna masrahi ya wachache katika swala la sukari,

  • @gililwise
    @gililwise 24 дня назад

    Machozi ya mpina yanaanza kuonekana mapemaaa.mnachoongea no ubabaishaji tu.Mpinaaa Mungu atakulinda na mabaya yote amina

    • @birianination7097
      @birianination7097 24 дня назад

      Mpina alipinga haja ya kuongeza hifadhi, jambo ambalo sio sawa, Tulia ndio anaye toa wazo jema.

  • @joyceKingu
    @joyceKingu 23 дня назад

    Uhifadhi wa sukari unatakiwa ufanyike kama mazao ya chakula mengine.

  • @OscarAsukenie
    @OscarAsukenie 24 дня назад +1

    Hawa jamaa sijui walimsimamisha nini mpina wakat alikuwa sahihi, kuna mchezo unafanyika hapa

    • @birianination7097
      @birianination7097 24 дня назад

      Mpina naye alipinga hifadhi ya sukari, hapa Tulia ndio yupo sawa

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 24 дня назад +1

    Mpina ndio kichwa kwa sasa

  • @joyceKingu
    @joyceKingu 23 дня назад

    Wabunge tumieni elimu ya kiuchumi. Wataalamu wa chuo kikuu idara ya uchumi ihudishwe.

  • @kelvinfussi5210
    @kelvinfussi5210 24 дня назад

    Mbona mnakimbia mbali sana. Ulipaswa kuuliza sukari zanzibar ni bei gani?

  • @AnnoyedFlowerPot-mr2ps
    @AnnoyedFlowerPot-mr2ps 24 дня назад

    Hapo umenena spika

  • @rehemamejja8342
    @rehemamejja8342 20 дней назад

    Tuliaa wakoseaa.....umetahayari..umemtoaa mpina Sasa waongeaa nini

  • @alanusrespicius1796
    @alanusrespicius1796 24 дня назад

    Huyu mwijage hana hakili

  • @aloycekomba1
    @aloycekomba1 24 дня назад

    Mwijage bhana😂😂 siasa nyingi ukwel kdg

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk 24 дня назад +1

    Hao wbunge na kuwalipa kote mishahara mikubwa hawajui bei ya sukari duuuuh ni hatari sana

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 24 дня назад

      Hapa hakuna bunge kazi Yao ndiyooooooo na kugonga meza

    • @joyceKingu
      @joyceKingu 23 дня назад

      Wabunge mnatuangusha. Kweli mnaweza kujadili kitu nyeti namna hii kwa kubuni na kutumia hisia. Naomba ifanyike Market research ya kitaalamu mpate scientific results ndio hiyo data mtumie kwenye majadiliano. Tumieni wataalamu wa market research kitengo cha agriculture chuo UNIVERSITY OF DARESALAM. Epukeni kutumia kamati za bunge tu kwa maamuzi mazito kama haya. Madam speaker tunakutegemea na tunakuamini . Fanya kazi nzuri.

    • @joyceKingu
      @joyceKingu 23 дня назад

      Bei zinategemea supply na demand ya sugar sio maturity ya Kiwanda. Mwijage

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 24 дня назад +1

    Watanzania wezi lhaga mmemuonea bure

  • @jacobletema3681
    @jacobletema3681 24 дня назад

    Time will tell

  • @najalinanyambo3971
    @najalinanyambo3971 23 дня назад

    Sukari 5000

  • @chajothobujotho5730
    @chajothobujotho5730 24 дня назад

    Shida kubwa tanzania nimakadilio ya kodi tanzania ulizeni viwanda vinalipaje cod ndio mtajua why sukari inakuajuu zaidi ya nchi zote jirani zetu

  • @NanaMaembe
    @NanaMaembe 24 дня назад

    NYINYI WA BUNGE MAFISADI ENDELEENI TU NA UPUMBAVU WENU WAKUWAUMIZA WANAINCH WA TZ KWA BEI YA SUKARI.

  • @philemonkorio9867
    @philemonkorio9867 24 дня назад

    Kenya sukari kilo moja ni Tsh 2250.

  • @Xnadtz
    @Xnadtz 24 дня назад

    tanzania bei kua juu haina uhusiano na kodi?

  • @Nedjadist
    @Nedjadist 24 дня назад +1

    Nadhani tatizo la Tanzania na Afrika ni kujaribu kufuata mifumo iliyoachwa na wakoloni. Hakuna aliyejaribu kutafuta mfumo mbadala unaoendana na akili na tajriba za watu. Ndiyo yote haya.

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 24 дня назад

      Vinngozi wa Africa nikama sokwe hawanaga jipya kazi Yao wizi nakujinufaisha wao na familia zao

  • @toshakisasi8331
    @toshakisasi8331 24 дня назад

    Aa tiuyaache tu tu
    Bongo hamna ukweli ni ujanja+tu

  • @user-pp7ug2bc1y
    @user-pp7ug2bc1y 24 дня назад

    Mswahili na porojo? Umeulizwa bei unaanza story ndefuuuuu

  • @user-fy3cy5fe6q
    @user-fy3cy5fe6q 24 дня назад +1

    kuna mchezo wa akili hapo

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 24 дня назад

      Jambo Kijinga,alibadiki kuwa, la akili.

  • @user-hb8er6dq2q
    @user-hb8er6dq2q 24 дня назад

    Mstusumbuwe mnatwambia nn wakat mlisema mpna hamedanganya tutawanyoosha tu

  • @bahatitumaini347
    @bahatitumaini347 24 дня назад

    Mpina ndo habar ya mjini

  • @paschalmartin9598
    @paschalmartin9598 24 дня назад

    Sasa mpina alitolewa wa nini

  • @haidhabushiri9558
    @haidhabushiri9558 24 дня назад

    Mwijage haha

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502 24 дня назад

    Hivi kwanini serikali haitaki kujenga viwanda vya sukari???

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 24 дня назад

    Kweli mbunge ni mpina tu mvutano wote mliovutana nao hapo ndo ukweli wa kuwa humo ndani wote ni bogazi kidogo mwijage ameonyesha usomi wake

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 24 дня назад

    Dawa ni kuandamana hapa kama Kenya ndiyo mtanyooka wezi nyie