MBUNGE SHABIBY AWAKA; "PESA YANGU, BASI LANGU, SERIKALI NDIYO INIWEKEE PESA, BIASHARA YA WAPI HII?"
HTML-код
- Опубликовано: 16 май 2021
- MBUNGE SHABIBY AWAKA; "PESA YANGU, BASI LANGU, SERIKALI NDIYO INIWEKEE PESA, BIASHARA YA WAPI HII?"
Bunge la Tanzania La Jamhuri Ya Muungano Leo May 17, 2021 Limeendelea Na Vikao Vyake Jijini Dodoma Ambapo Wizara Ya Miundombinu Na Ujenzi Imewasilisha Bajeti Yake Na Wabunge Wameendelea Kutoa Maoni na Ushauri Kwa Wizara Hiyo na Mbunge wa Gairo, Ahmed Shabiby ameiwakia serikali.....
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Huyu Shabiby ni mfanyabiashara makini Sana.. hongera Sana Sana.
Hawa wasema ukweli ndio wanatakiwa kuingia bungeni.hongera sana shabiby
mh shabiby yupo sahihi kabisah suala la stand na umbali linatutesa
Mbunge Makini....Anatema Points Tupu. Salute sana Mheshimiwa.....kwa Wabunge wa Aina hii Upinzani lazima Wapate tabu kupenya.
Umekulaa sanaa viazi ndio maanaa unaakili na hoja nzurii ho hongelaa
Shabiby wewe ni kiongozi mcha mungu na mungu akupe afya na rizki..una moyo wa utu sana
Kama unamuona anae umiza mikono gonga like
umeongea sana Mr shabiby mungu
akuongoze daima kweli kuusu stand niaibu sana naisi hii changamoto IPO mikoa yote ilikua na stand mpya
King of business.....🇴🇲🇹🇿 hongera sana
Kuna mwamba kalipwa na boss anapiga Kofi moja moja😁
hahahhahaha, yuko makini kwenye kupiga makofi
Umeona kumbe;😂😂
Noma sana
😀😀😀😀😀😀 Katoa taarifa kwa msisitizo
Anazingua
Shabiby kachangia vzr km Mbunge sio wale wana mipasho hawana hoja wanasimama kupoteza muda tu
Jazak Allah kheir Shabiby
mungu akuongoze ktk kaz yako mzee SHABBIBY!
hongera sana!!!!!!!
Hongera sana Mhe.Shabiby kwa mchango wako mzuri umeongea uhalisia na ukweli uliopo. Suala la Stendi hizi kuwa mbali na miji zinatesa sana wananchi hasa wale wasiokuwa na uwezo!
Qhongera muheshimiwa Ahmed shabiby nakukubali sana
Safi sana shabiby serikali yetu imetengeza mianya ya wizi
Safi Sana Shabiby kwa kuwatetea wanyonge
shabiby mitano tena 👏👏
Mungu Akubariki sana Mzee Shabiby Kwa Kuliona hilo Serikali Ikubari Tu Kwamba Walikosea Na Wazirudishe Hizo Stend Mana Ni Mateso Mno! Mtu Anakwenda Iringa Mjini Unamshusha Igumbilo Kilometer 20 Nyuma Unamuingiza Kwenye Garama Nyingine C Kutesana Uku.
Shukrani Shabiby mambo yanashangaza sana kuhusu hizi stendi zilizo mbali na makazi ya watu zina usumbufu mkubwa
Kweli kabisa shabibu kwanini washushe abiria stendi wakati gari inaelekea hukohuko wanakokwenda?hivi kweli serikali kabla ya kutenda haijiongezi ?wakati gari siyo Yao ? Point unafaa uwaziri mama Samia hawa ndio wanaotakiwa uwape uwaziri
Mwenyezi mungu akupe maisha marefu
Maa Sha Allah, Shabiby unaongeaga ukweli mtupu. Nilichogundua ni kwamba wanasiasa wengi ni wachumia tumbo. Wanaongea chochote ilimradi matumbo yao yajae bila kujali maslahi ya wananchi wengine.
Well said Shabiby... Dom wanafunzi kushuka 8 8 upande boda, bajaji, tax adi town ni gharama mnooo
hi
Shabibyyyyyyyyyyyy,big up
Mambo mengi si nyie mnapitisha lakini havifanyiwi kazi pia mnawaumiza watu wa mabasi jirekibisheni serikali
nimeipenda sana hiyo taarifa.
Dah hii ni hatariiii Sana mama futa huu wizi
Shabibi mtu makini sana we need him
Mbunge mwenye uwezo wa hali ya juu sana
Dah nampenda sana shabiby kwanza anajiamini saaana, dah asipewe uwaziri ili awe anapiga mawaziri
Nakulewa sana mhe. Shabiby. Hongera
Safi sana shabiby tunanyanyaswa ctend zpombali tukipewa msaada hawataki
Shabiby safi sana umeongea point watu wanatoka mbali walipo na stand ya mabus safi kbsa
Gonga like kwa jirani yake..
Hongera mbunge.
thanks so much father God bless you Good point
Yani sasa hivi kuna ushetani mkubwa sasa hivi ni bora mmejionea hayo nyiye wenyewe alafu kuna msamiati unasema wawekezaji labda mwekezaji kicha
Hatari saana
Nchi hii wafanyabiashara walionewa Sana. Mama Samia wanusuru Wafanyabiashara
Hongera sana sema ukweli
Sema Shabib sema kwa sauti
Huyu mbunge Ana Akili nyingi sana mmsikilize
Salute mzee
Heko!..Mh...Shabiby...upo sawa...
Safi Sana shabbiby ukogo vizuri sana
Ndio maana siku hizi Shabiby hamtoi vinywaji... Oooh... Machine!!
Anatoa vinywaji hela iko kwa vendor😂😂
😀
Jamaa upo vizuri safi sana
Safi sana bos
Shabby kaka tuwasiliane leo umeeleweka kaka
Aksante san, kututetea wassfiri.
Vita kawaw ulikukuw umelala shabb kashakutajia idadi ya stand haraf we unatoa taarifa kweli hebu kuw Makin kuwasikiliza wenye hoja za mashik( shabib kataj Dom, iringa na songea we hukusikia?)
Hata hayupo makini huyu mbunge Vita,
Huyo wa Pembeni ni Mbunge au CHAWA wa Shabiby 😂😂😂
Uyo chawa aiseee maana sio makofi ayo
Haha
JOMBII uko vizuri...!
Safi sana Mh. Shabibi
Safiii sanaa mr shabib
Hongera mh
Safi sana babaaaaa
Safi Sana kweli unajitahidi huchangii pumba
Well said Mr MP..
Mamae huu wizi 🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Shabby Mungu akulinde
Fedha za watz maskini.Hongera mbunge makini ambaye huna ubinafsi.Mungu akujalie Maisha Marefu.
Hapo mbunge wangu nimekukubali
Pongezi shabiby kweli uko vizuri sana salamu zako zimefika
Mh,Upo sahihi sana.
Uyu anaipiga Kofi anazingua aiseee😂😂
Watu wanazingua kweli
Nitabu tupu
Ashakula Gongo
Msema ukweli ni mpenzi wa mungu
Safi sana shabib
Mbunge wAngu MWENYE akili zake😂
Uko sawa sana
Ongera sana mh shabby kwakuongea point
Kweli Shabiby hapo kwenye kushusha abiria stend mbali na gari linaenda huko huko mjini kweeeli tunateseka Sana Sena baba abiria tupone
Kweli huu ni wizi kweli kabisa
Hongera shabiby
Safi sana Mh Shabiby
Wizi huo udhibitiwe haraka
Lait mzee angewaona hao wafanyabiashara mambo yangekuwa mazuri
Fact sana.....hio bishara kichaa
Sema mzee,nimekupenda bure,umewapa makavu yao
Point sana boss
Sawa mbunge wetu. Mwanike wa ukaya
Ahsnt sana
Hii hoja imetusaidia sana... asante mheshimiwa
Yani tungekua na waheshimwa wabunge kama mzee Shabiby hata 20 aise ingekua 🔥🔥. Kuhusu stend imeniuma sana hasa Songea na Iringa
Sha ver goos
Fact, mheshimiwa
Point sana
❤❤
Shabiby upo vizuri sana mzewangu
Nakuunga mkono shabby
Shabibi wetu Safi Sana , waukaya
Ila kweli yani juzi dodoma nimeshuka 88 yani nilitamani kulia mchozi..nimepata tabu kweli...gharama...muda..daah
Safi saaaan jmn
Kishwaga jamani mikono hiyo ...
Safi sana mfanyabiashara uko vizuri tumbua majipu
Hili Jinga Linalopigapiga Meza Linakera! Ndio Watanzania tunalipa watu wa aina hii. Kaa sikiliza, Hoja Nzuri hazihitaji Kelele zako za Kupiga Meza.
Duh sijajua Ndo system mbovuu sanaa
Uko vizuri
Sema baba wameiba vyo kutosha
Upo vizur shabibiy
Bonge la point muheshimiwa Shabiby, safari hii nikishuka Dodoma natembea kwa miguu hadi mjini bora mgomo tuu
👏👏👏
Jamaa mwamba Sana
Ooh
Mzee waambie hawooo hawana wanalolijuwa
Kweli sana mbunge shabiby