MBUNGE SHABIBY AWAKA; "PESA YANGU, BASI LANGU, SERIKALI NDIYO INIWEKEE PESA, BIASHARA YA WAPI HII?"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 май 2021
  • MBUNGE SHABIBY AWAKA; "PESA YANGU, BASI LANGU, SERIKALI NDIYO INIWEKEE PESA, BIASHARA YA WAPI HII?"
    Bunge la Tanzania La Jamhuri Ya Muungano Leo May 17, 2021 Limeendelea Na Vikao Vyake Jijini Dodoma Ambapo Wizara Ya Miundombinu Na Ujenzi Imewasilisha Bajeti Yake Na Wabunge Wameendelea Kutoa Maoni na Ushauri Kwa Wizara Hiyo na Mbunge wa Gairo, Ahmed Shabiby ameiwakia serikali.....
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Комментарии • 389

  • @tareqhilal6750
    @tareqhilal6750 3 года назад +34

    Huyu Shabiby ni mfanyabiashara makini Sana.. hongera Sana Sana.

  • @geraldngwisija5034
    @geraldngwisija5034 3 года назад +14

    Hawa wasema ukweli ndio wanatakiwa kuingia bungeni.hongera sana shabiby

  • @b90tv2
    @b90tv2 3 года назад +6

    mh shabiby yupo sahihi kabisah suala la stand na umbali linatutesa

  • @rwehumbizajonathan8689
    @rwehumbizajonathan8689 3 года назад +11

    Mbunge Makini....Anatema Points Tupu. Salute sana Mheshimiwa.....kwa Wabunge wa Aina hii Upinzani lazima Wapate tabu kupenya.

  • @chikuluchidodokochiitingan340
    @chikuluchidodokochiitingan340 3 года назад +5

    Umekulaa sanaa viazi ndio maanaa unaakili na hoja nzurii ho hongelaa

  • @kasimramadhani1502
    @kasimramadhani1502 Год назад +2

    Shabiby wewe ni kiongozi mcha mungu na mungu akupe afya na rizki..una moyo wa utu sana

  • @danielbraitony9696
    @danielbraitony9696 3 года назад +7

    Kama unamuona anae umiza mikono gonga like

  • @hilalmohd8941
    @hilalmohd8941 3 года назад +16

    umeongea sana Mr shabiby mungu
    akuongoze daima kweli kuusu stand niaibu sana naisi hii changamoto IPO mikoa yote ilikua na stand mpya

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 3 года назад +8

    King of business.....🇴🇲🇹🇿 hongera sana

  • @petermushy9883
    @petermushy9883 3 года назад +56

    Kuna mwamba kalipwa na boss anapiga Kofi moja moja😁

  • @amanishoo1813
    @amanishoo1813 3 года назад +14

    Shabiby kachangia vzr km Mbunge sio wale wana mipasho hawana hoja wanasimama kupoteza muda tu

  • @issaramadhan9937
    @issaramadhan9937 2 года назад +3

    Jazak Allah kheir Shabiby

  • @sadikiabdi6179
    @sadikiabdi6179 3 года назад +17

    mungu akuongoze ktk kaz yako mzee SHABBIBY!
    hongera sana!!!!!!!

  • @danielmpigasupi2212
    @danielmpigasupi2212 3 года назад +5

    Hongera sana Mhe.Shabiby kwa mchango wako mzuri umeongea uhalisia na ukweli uliopo. Suala la Stendi hizi kuwa mbali na miji zinatesa sana wananchi hasa wale wasiokuwa na uwezo!

  • @salimbinargan9658
    @salimbinargan9658 3 года назад +13

    Qhongera muheshimiwa Ahmed shabiby nakukubali sana

  • @izraelyherman4467
    @izraelyherman4467 3 года назад +11

    Safi sana shabiby serikali yetu imetengeza mianya ya wizi

  • @simonsonelo1467
    @simonsonelo1467 3 года назад +10

    Safi Sana Shabiby kwa kuwatetea wanyonge

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 3 года назад +9

    shabiby mitano tena 👏👏

  • @dottodotto7621
    @dottodotto7621 3 года назад +2

    Mungu Akubariki sana Mzee Shabiby Kwa Kuliona hilo Serikali Ikubari Tu Kwamba Walikosea Na Wazirudishe Hizo Stend Mana Ni Mateso Mno! Mtu Anakwenda Iringa Mjini Unamshusha Igumbilo Kilometer 20 Nyuma Unamuingiza Kwenye Garama Nyingine C Kutesana Uku.

  • @herikaduma4993
    @herikaduma4993 3 года назад +9

    Shukrani Shabiby mambo yanashangaza sana kuhusu hizi stendi zilizo mbali na makazi ya watu zina usumbufu mkubwa

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 2 года назад +1

      Kweli kabisa shabibu kwanini washushe abiria stendi wakati gari inaelekea hukohuko wanakokwenda?hivi kweli serikali kabla ya kutenda haijiongezi ?wakati gari siyo Yao ? Point unafaa uwaziri mama Samia hawa ndio wanaotakiwa uwape uwaziri

  • @paschalkipeta2353
    @paschalkipeta2353 3 года назад +13

    Mwenyezi mungu akupe maisha marefu

  • @abdulaziz703
    @abdulaziz703 3 года назад +26

    Maa Sha Allah, Shabiby unaongeaga ukweli mtupu. Nilichogundua ni kwamba wanasiasa wengi ni wachumia tumbo. Wanaongea chochote ilimradi matumbo yao yajae bila kujali maslahi ya wananchi wengine.

  • @neemajoel5081
    @neemajoel5081 3 года назад +18

    Well said Shabiby... Dom wanafunzi kushuka 8 8 upande boda, bajaji, tax adi town ni gharama mnooo

  • @omarmkumba3547
    @omarmkumba3547 3 года назад +7

    Shabibyyyyyyyyyyyy,big up

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 2 года назад

      Mambo mengi si nyie mnapitisha lakini havifanyiwi kazi pia mnawaumiza watu wa mabasi jirekibisheni serikali

  • @rafikiwildlife4263
    @rafikiwildlife4263 3 года назад +13

    nimeipenda sana hiyo taarifa.

  • @husseinchiaseeds2653
    @husseinchiaseeds2653 3 года назад +5

    Dah hii ni hatariiii Sana mama futa huu wizi

  • @theophilmawe9776
    @theophilmawe9776 29 дней назад

    Shabibi mtu makini sana we need him

  • @chogaissa1619
    @chogaissa1619 3 года назад +4

    Mbunge mwenye uwezo wa hali ya juu sana

  • @mchumiajuani1993
    @mchumiajuani1993 3 года назад +8

    Dah nampenda sana shabiby kwanza anajiamini saaana, dah asipewe uwaziri ili awe anapiga mawaziri

  • @mussai.sillas3796
    @mussai.sillas3796 3 года назад +2

    Nakulewa sana mhe. Shabiby. Hongera

  • @jenniferkaristo5671
    @jenniferkaristo5671 3 года назад +3

    Safi sana shabiby tunanyanyaswa ctend zpombali tukipewa msaada hawataki

  • @kamanyile
    @kamanyile 3 года назад +15

    Shabiby safi sana umeongea point watu wanatoka mbali walipo na stand ya mabus safi kbsa

  • @dismascosmas1441
    @dismascosmas1441 3 года назад +4

    Gonga like kwa jirani yake..

  • @juliethsemwenda8100
    @juliethsemwenda8100 3 года назад +2

    Hongera mbunge.

  • @samueltomboza3767
    @samueltomboza3767 2 года назад +7

    thanks so much father God bless you Good point

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Год назад

      Yani sasa hivi kuna ushetani mkubwa sasa hivi ni bora mmejionea hayo nyiye wenyewe alafu kuna msamiati unasema wawekezaji labda mwekezaji kicha

  • @aishkombo6383
    @aishkombo6383 3 года назад +7

    Hatari saana
    Nchi hii wafanyabiashara walionewa Sana. Mama Samia wanusuru Wafanyabiashara

  • @rafikkarimomar8202
    @rafikkarimomar8202 Месяц назад

    Hongera sana sema ukweli

  • @shamimhayat7637
    @shamimhayat7637 3 года назад +6

    Sema Shabib sema kwa sauti

  • @damsonwillison435
    @damsonwillison435 3 года назад +6

    Huyu mbunge Ana Akili nyingi sana mmsikilize

  • @gibonykiyao9698
    @gibonykiyao9698 3 года назад +4

    Salute mzee

  • @fellyfernando4516
    @fellyfernando4516 2 года назад

    Heko!..Mh...Shabiby...upo sawa...

  • @mussamgonola3983
    @mussamgonola3983 3 года назад +1

    Safi Sana shabbiby ukogo vizuri sana

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 3 года назад +13

    Ndio maana siku hizi Shabiby hamtoi vinywaji... Oooh... Machine!!

  • @merickymangula5156
    @merickymangula5156 3 года назад +1

    Jamaa upo vizuri safi sana

  • @samiumussa1193
    @samiumussa1193 3 года назад +1

    Safi sana bos

  • @aishkombo6383
    @aishkombo6383 3 года назад +7

    Shabby kaka tuwasiliane leo umeeleweka kaka

  • @bettymassanja881
    @bettymassanja881 3 года назад +11

    Aksante san, kututetea wassfiri.

  • @sigfridprotas5695
    @sigfridprotas5695 3 года назад +15

    Vita kawaw ulikukuw umelala shabb kashakutajia idadi ya stand haraf we unatoa taarifa kweli hebu kuw Makin kuwasikiliza wenye hoja za mashik( shabib kataj Dom, iringa na songea we hukusikia?)

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho4342 3 года назад +13

    Huyo wa Pembeni ni Mbunge au CHAWA wa Shabiby 😂😂😂

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 2 года назад

    JOMBII uko vizuri...!

  • @bsemwaly207
    @bsemwaly207 3 года назад

    Safi sana Mh. Shabibi

  • @suleimangaming1907
    @suleimangaming1907 2 года назад

    Safiii sanaa mr shabib

  • @allynkya265
    @allynkya265 2 года назад

    Hongera mh

  • @ahmedesmail4488
    @ahmedesmail4488 3 года назад

    Safi sana babaaaaa

  • @stevengracphord953
    @stevengracphord953 3 года назад +1

    Safi Sana kweli unajitahidi huchangii pumba

  • @rosiemmari5396
    @rosiemmari5396 3 года назад +1

    Well said Mr MP..

  • @erastoshedrack7118
    @erastoshedrack7118 3 года назад +1

    Mamae huu wizi 🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @charleskaflela7115
    @charleskaflela7115 2 года назад

    Shabby Mungu akulinde

  • @peterdoisso2414
    @peterdoisso2414 2 года назад

    Fedha za watz maskini.Hongera mbunge makini ambaye huna ubinafsi.Mungu akujalie Maisha Marefu.

  • @richardmgweno3846
    @richardmgweno3846 3 года назад +2

    Hapo mbunge wangu nimekukubali

  • @ahmedashfa7318
    @ahmedashfa7318 3 года назад +6

    Pongezi shabiby kweli uko vizuri sana salamu zako zimefika

  • @saidlwambo1995
    @saidlwambo1995 2 года назад

    Mh,Upo sahihi sana.

  • @barakanelson8123
    @barakanelson8123 3 года назад +9

    Uyu anaipiga Kofi anazingua aiseee😂😂

  • @zwinaalhabsi664
    @zwinaalhabsi664 3 года назад +7

    Msema ukweli ni mpenzi wa mungu

  • @kyaro5945
    @kyaro5945 2 года назад

    Safi sana shabib

  • @neylatikilango401
    @neylatikilango401 3 года назад +18

    Mbunge wAngu MWENYE akili zake😂

  • @Commentsplus
    @Commentsplus 2 года назад

    Uko sawa sana

  • @sixberthcostantini9290
    @sixberthcostantini9290 2 года назад

    Ongera sana mh shabby kwakuongea point

  • @neemamasimba2981
    @neemamasimba2981 3 года назад +7

    Kweli Shabiby hapo kwenye kushusha abiria stend mbali na gari linaenda huko huko mjini kweeeli tunateseka Sana Sena baba abiria tupone

  • @rugijofrey3685
    @rugijofrey3685 3 года назад +3

    Kweli huu ni wizi kweli kabisa

  • @suleymanally1465
    @suleymanally1465 2 года назад

    Hongera shabiby

  • @tycoon9540
    @tycoon9540 3 года назад

    Safi sana Mh Shabiby

  • @joshualaitei6275
    @joshualaitei6275 3 года назад +5

    Wizi huo udhibitiwe haraka
    Lait mzee angewaona hao wafanyabiashara mambo yangekuwa mazuri

  • @Enzo-cp
    @Enzo-cp 2 года назад

    Fact sana.....hio bishara kichaa

  • @jastinmkandala5620
    @jastinmkandala5620 3 года назад +3

    Sema mzee,nimekupenda bure,umewapa makavu yao

  • @killylevenson1359
    @killylevenson1359 3 года назад

    Point sana boss

  • @mcyudasicqo9610
    @mcyudasicqo9610 3 года назад +5

    Sawa mbunge wetu. Mwanike wa ukaya

  • @cleofasnyoni3836
    @cleofasnyoni3836 3 года назад

    Ahsnt sana

  • @alloycejames5285
    @alloycejames5285 3 года назад

    Hii hoja imetusaidia sana... asante mheshimiwa

  • @patrickmukundichalamila3038
    @patrickmukundichalamila3038 2 года назад

    Yani tungekua na waheshimwa wabunge kama mzee Shabiby hata 20 aise ingekua 🔥🔥. Kuhusu stend imeniuma sana hasa Songea na Iringa

  • @ashamalik268
    @ashamalik268 3 года назад

    Sha ver goos

  • @udechemussa4550
    @udechemussa4550 3 года назад

    Fact, mheshimiwa

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 3 года назад

    Point sana

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 3 года назад +5

    ❤❤

  • @mahamudunangalapa4933
    @mahamudunangalapa4933 3 года назад

    Shabiby upo vizuri sana mzewangu

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 3 года назад +2

    Nakuunga mkono shabby

  • @gellysemwali5113
    @gellysemwali5113 3 года назад +6

    Shabibi wetu Safi Sana , waukaya

  • @luizabahati5198
    @luizabahati5198 3 года назад +7

    Ila kweli yani juzi dodoma nimeshuka 88 yani nilitamani kulia mchozi..nimepata tabu kweli...gharama...muda..daah

  • @loveremedy5348
    @loveremedy5348 2 года назад

    Safi saaaan jmn

  • @shabanimyombe3834
    @shabanimyombe3834 3 года назад +3

    Kishwaga jamani mikono hiyo ...

  • @simonnick1242
    @simonnick1242 2 года назад

    Safi sana mfanyabiashara uko vizuri tumbua majipu

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Год назад

    Hili Jinga Linalopigapiga Meza Linakera! Ndio Watanzania tunalipa watu wa aina hii. Kaa sikiliza, Hoja Nzuri hazihitaji Kelele zako za Kupiga Meza.

  • @eenpaard3915
    @eenpaard3915 3 года назад

    Duh sijajua Ndo system mbovuu sanaa

  • @benderarulenge8898
    @benderarulenge8898 3 года назад +3

    Uko vizuri

  • @rahimdikungule3737
    @rahimdikungule3737 3 года назад +7

    Bonge la point muheshimiwa Shabiby, safari hii nikishuka Dodoma natembea kwa miguu hadi mjini bora mgomo tuu

  • @jamaljamala6005
    @jamaljamala6005 3 года назад +1

    👏👏👏

  • @rajaburajabu1040
    @rajaburajabu1040 3 года назад

    Jamaa mwamba Sana

  • @eliemoses138
    @eliemoses138 3 года назад

    Ooh

  • @hatybshenkondo373
    @hatybshenkondo373 2 года назад

    Mzee waambie hawooo hawana wanalolijuwa

  • @mariomsenga
    @mariomsenga 2 года назад

    Kweli sana mbunge shabiby