HOTUBA YA RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI KWENYE UZINDUZI WA UKUTA WA MIRERANI.06 APRILI 2018

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 апр 2018
  • HOTUBA YA RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI KWENYE UZINDUZI WA UKUTA WA MIRERANI.06 APRILI 2018

Комментарии • 33

  • @jikomboetv5542
    @jikomboetv5542 6 лет назад +2

    Asante Rais Wangu always I pray for you Mungu akuepusha na kila hila za maadui.

  • @t1910j
    @t1910j 6 лет назад +2

    Hotuba nzuri. Mwenye sikio asikie. Laiti kama watu wangeona dhamira njema ya rais Magufuli.

  • @philipojosephlukumay3965
    @philipojosephlukumay3965 6 лет назад +2

    I admire Tanzanite auction, it will create a competitive environment.

  • @amanichanga3448
    @amanichanga3448 6 лет назад +2

    Yes, keep going Tanzania

  • @philipojosephlukumay3965
    @philipojosephlukumay3965 6 лет назад +2

    Nampongeza sana Rais wangu, anatufanya tuipende nchi yetu. Ni kweli kabisa vibeberu huku ughaibuni havipendi kabisa kusikia yanayoendelea Tanzania na baadhi ya majirani zetu pia waliokua wananufaika. Vita vya kiuchumi ni vigumu sana hasa vikipiganwa na viongozi wenyewe bila kuwajulisha na wananchi maana silaha watakayotumia vibeberu ni kama kawaida yao wataingia kwa mlango wa demokrasia hasa vyama pinzani na kwasababu wananchi hawajui watafwata mkumbo na kusaidia wezi kuivuruga nchi.
    Nipo ughaibuni lakini natembea kifua mbele kweli kweli.

  • @wasafifanstv6317
    @wasafifanstv6317 6 лет назад +2

    This is very touching

  • @nyanda427
    @nyanda427 6 лет назад +2

    Mungu akubariki sana Mr. President John Pombe Magufuli

  • @wcbwanatishakiranikirudiab2349
    @wcbwanatishakiranikirudiab2349 6 лет назад +2

    Huyu ndie mteure wetu wa mwenyez MUNGU kwetu sisi watanzania ewe mwenyez MUNGU enderea kumuongoza kumsimami kumrinda na enderea kuimarisha afya yake raisi wetu na majeshi yetu mwenyez MUNGU yupo pamoja na raisi wetu mwenyez MUMGU mkuu

  • @eliasilaizar9787
    @eliasilaizar9787 Год назад

    Kweli kabisa mzee ulipiga kazi

  • @philipojosephlukumay3965
    @philipojosephlukumay3965 6 лет назад +2

    Zamani nilikua sitaki hata kuisikia serikali wala siasa kwa sababu ya uozo uliokuwepo serikalini na kazi nilikataa serikalini kwa sababu hizo hizo lkn kwa kazi hizi za mheshimiwa rais Magufuli kila siku nafuatilia kinachoendelea katika nchi yangu na nasikia raha sana kuona mambo yanakwenda.
    Mungu ibariki Tanzania.

  • @evraburetta7759
    @evraburetta7759 6 лет назад +2

    Good jpm long live Mr President

  • @prochesilyakurwa815
    @prochesilyakurwa815 6 лет назад +2

    Najiskia mwenye furaha kuwa Tanzania.........ulisema watu watalima na meno..... Nakubali wazembe wanaanza kulima na meno yaan

  • @jamesngundateresia2600
    @jamesngundateresia2600 6 лет назад +1

    JUMANNE MUUJIZA HUO BABA MAGUFURI ULIFICHAMA WAPI JAMANI TZN TUNGEKUWA MBALI SANA

  • @wilhadarobogastshirima9149
    @wilhadarobogastshirima9149 6 лет назад +1

    Jpm

  • @tumainimalulu7708
    @tumainimalulu7708 5 месяцев назад

    Lengo limetimia mzee sasa hivi umeme kutoka Egypt unapita hapa kwenda South Africa

  • @seifhabibu9890
    @seifhabibu9890 6 лет назад +1

    chapa kazi baba

  • @paschalmichael3340
    @paschalmichael3340 3 года назад

    Laizer Tena

  • @cawabedentalclinic1176
    @cawabedentalclinic1176 6 лет назад

    president magufuli keep it up never give up use challenges as an oppotunity we trust in you with all our faith
    hatunamashaka na wewe we
    know that no sweets without sweat.

  • @cawabedentalclinic1176
    @cawabedentalclinic1176 6 лет назад

    ee mungu mulinde Rais wetu huyu ndiye chaguo letu Raisi Wa Wa nyonge
    Rais magufuli kaza hapo hapo wewe umeletwa na mungu kuikomboa Tanzania
    watanzania wengi tumekuelewa usikatishwe tamaa na majungu ya wezi Hawa
    You are the best president I have ever seen nakuomba Rais usirudi nyuma ili na sisi tujivunie na Tanzania yetu

  • @cawabedentalclinic1176
    @cawabedentalclinic1176 6 лет назад

    umenifanya niendelee kubaki Tanzania
    wito wangu kwa watanzania naomba tusidanywe na maneno ya upotoshaji Rais magufuli ni mzalendo na tusipo mupa ushirikiano tutamkumbuka sana
    kila MTU akeshe akiomba tuweze kukombolewa
    maana tumeibiwa na kunyanyaswa vya kutosha!.

  • @cawabedentalclinic1176
    @cawabedentalclinic1176 6 лет назад

    mwaka 1929-1930 kiongozi Wa USSR /Soviet unioni(muungano Wa URUSI) Comrade Joseph Stalin alitangaza vita uchumi na akatangaza kuwa Anataka kubadili USSR from peasant economy to industriezed economy na akasema ndani ya miaka kumi nataka URUSI iwe inaweza kutengeneza nuclear na kuwa super power Wa dunia .Watu wengi wakiwemo viongozi Wa serikari pamoja viongozi mbali mbali Wa dini walimpinga vikali na hata wakawa wanafanya mipango ya kumpindua, lakini Stalin hakubadili msimamo wake
    Na kweli ndoto yake ikatimia baada ya miaka kumi kama alivyokuwa amepanga mwaka 1940 USSR (muungano Wa URUSI) ikwa industriezed country and world superpower.
    SASA naomba tumuamini anachokisema Raisi wetu magufuli kinawezekana kabisa tena kwa 100%
    sisi kuwa na uchumi Wa kati na viwanda inawezekana tusidanganywe na watu wenye hila na wabinafsi!

  • @jamesngundateresia2600
    @jamesngundateresia2600 6 лет назад

    MJEDA
    MJEDA
    MJEDA
    MJEDA
    MJEDA WANGU MIYE

  • @fbr5113
    @fbr5113 6 лет назад

    MUNGU MBARIKI RAISI WETU NA IBARIKI TANZANIA. WACHAWI WA NCHI WOOOOTE MUNGU ATAWAPA DAWA YAO.

  • @fbr5113
    @fbr5113 6 лет назад

    HADI TUNATOKA MACHOZI UNAVYYOTUPA RAHA WATANZANIA. MUNGU AKUPE UHAI MIAKA KIBAO NA UENDELEE KUTULETEA MAENDELEO. KWELI KABISA MAJESHI YETU NDIO YALINDE RASILIMALI ZETU KILA MAHALI

  • @cawabedentalclinic1176
    @cawabedentalclinic1176 6 лет назад

    president magufuli keep it up never give up use challenges as an oppotunity we trust in you with all our faith
    hatunamashaka na wewe we
    know that no sweets without sweat.