Kijana mdogo Akili elfu kumi, hofu ya Mungu iko juu, speech safi, unatembea na evidences yaani safi kabisa kwa hiyo hapo tunakuombea tuu ulinzi wa mwili na akili toka kwa Mungu na Mungu akujalie utekelezaji mwema kaka.
Mafanikio ya watu hutokana na ujinga wa wengine. Huyu hajui chochote juu ya kilimo. Wengi wasio na ufahamu wanampa sifa kama unavyofanya, kumbe yeye kisha piga 10% ya pikipiki za maafisa ugani, anavizia nyingine za mbolea.
Mwenyeezi Mungu akulinde,Bashe bro wewe ni akili kubwa sanaa na unauzalendo wa hali ya juu,wengine wanataka kuleta siasa tu ili wapate kiki kwa wananchi.
Fundisha bashe we nimwalim mzr ila ujue wengine hawaelewi na ukweli hawautaki nakumbuka maneno y tundulisu kunawatu wameokotwa majalalani ndy matatizo hayo wanajifanya hawaelewi na pia hakusitahili kuepo apo
Very danger indeed😛word on the ground wakulima wanalia sana. Tusiwe wapaza sauti bungeni with no fast implementation. Muda unazidi kwenda kila mwaka wakulima vilio ni pembejeo and their usual cries..pigeni hatua basi. You will not sit on those seats forever. Mnanimalizia bando
Standard.. Speed and Accuracy (Msimamo ni asili yetu), Kumbuka wakulima wakivuka ni 60-70 percent ya watz wamevuka. MUNGU akupe Moyo thabiti, ulinzi na Akili zaidi.
Bashee Basheèe nakwita mara 2 Allah mpe hifadh yako kabisaa daaa mawaziri mko wapi hebu oneni huyu baba hii yote ni imani ya dhati ya wananchi wa nchi hiii Allah ampe kheir
@@jonasmasingija6530 wewe itakuwa sio mkulima na hujui chochote wewe unataka kujifanya unapita kwa wakulima ,Bashe ni mtoto was huko huko kwa wakulima,anazijua changamoto zote kuliko unavyofikiria wewe,wengine wapo kwa ajili ya siasa wapate kiki Bashe ni Waziri makini sanaa kwenye sekta ya kilimo kuwahi kutokea.
Jambo lingine ambalo huyi bashe hajui ni kwamba wakulima na wasio wakulima wanategemeana, kuna wafanyakazi viwandani, wsttoto mashuleni, wafanyakazi kwenye taasisi mbalimbali, madaktarì ,walimu, wauguzi n.k , lazima walindwe dhidi ya mfumuko wa bei za vyakula manake hata wakulima wanaenda kupata huduma toka kwao hivvo wanategemeana
Kingereza kingi sana majibu hayaendani na maswali anayoulizwa,Jakaya alisema hoja haipigwi nyundo inajibiwa kwa hoja ,badala mtu atoe majibu ya maswali anayoulizwa anajibu kwa hisia zake binafsi,ila kwa watu wenye uelewa mdogo wa fikra hawawezi kumuelewa Mpina ila ukisikiliza vizuri jamaa kauliza very technical issues ila jamaa anaweka politics
amejitetea tu akaweka ukali ili amnyamazishe Mpina alichotakiwa ni amjibu Mpina na sio kumshambulia,tusiwe wanafiki Mpina anatetea wananchi sio kujikomba
Kiwanda cha Choma cha Nkola (Manonga Ginnery) utakifufua lini mbona hujakitaja na kipo katika mkoa wako wa Tabora na jirani zako Wilaya ya Igunga.Goramali mbunge wa Manonga vipi mbona kimya
Huyu mwakani wanamweka pembeni huyu bungeni kwa ajilu ya wahuni tu na wezi na mafisadi ndiyo mama anawataka kama bashe wanawekwa pembeni ... Mungu akusimamie
Na ndo maana huwezi kumwelewa, alishajibu maswali yote labda wewe ukabila ndo unakuhangaisha tu, MPINA aje na ushahidi na yeye ili kueleweka, ima kufungua ushirika lazima serekali ihusike na Hili liko wazi
Punguza kuongea kichina, Pia unaposhauriwa usiwakingie kifua wezi,, Serikali inapotoa ruzuku kwa wakulima mnashindwa usimamizi; mwisho wa siku wafanya biashara wakubwa ndio wanafaidika.
Maneno ya kiswahili kutamkwa kizungu hata kama ni ya kijinga inaonekana yanamaana Sana, matajiri wanashilikiana kumkabili masikini kwa nn masikin tusishilikiane kumkabili tajiri! Hakuna kura mbegu, mjinga tu ndo anakura mbegu
Jielimishe kujua lugha zaidi ya moja ya Kiswahili.. Mfano: kingereza, kiarabu, kichina, kifaransa. Hao tunaosema Wachina na lugha yao Sasa wanajifunza lugha Nyingi ikiwemo za Afrika..Kiswahili, kilingala na kiyoruba. Za kimataifa: Kingereza, Kifaransa, Spanish na lugha maarufu Kama Kijerumani, kireno.
@@malopemaliyamungu5243 Sina tatzo na kujua lugha Zaid ya Moja my concern ni kuchanganya kiswahili na kingereza ndani ya bunge and Kuna watanzania hawajui kingereza
@@24seven78 Kama vile wewe ulivyonichanganyia hapo "my concern" 😅😅. Ila kwa Sheria zetu lugha ya Bungeni au Mahakamani ni Kiswahili au Kingereza.. au zote mbili kwa pamoja. Mahakamani ndio kabisaa.. hukumu inaandikwa kwa Kingereza. Tunasema Kiswahili Kiswahili lkn ukweli uko hv, pambania ubawa wako. Huyu mwananchi unaemsemea anaetaka kutafuniwa mpaka lugha atakuwa 3rd class citizen. Tupambane tubaki 2nd kwenda 1st class citizen. Hata mgao wa keki unaanziaga meza za mbele. Ukipata ndio iende nyuma.. tafakari
😂😂 enewei mara zotee mtu akizngumza kingerezaa kingi inaonekana anatenda kazi bila wizi Lakn angeongea kwa kiswahili hizo mambo alikuwa anasstiza angeonekana niwakawaida sana
@@sayimaduhu8555 uhasidi na roho mbaya na utakufa ukiwa na roho mbaya na uhasidi uliokuwa nao,unachuki kwenye moyo wako inaonesha unaroho chafu ilyojaa kutu,kakini haitokusaidia kitu wala kukuondolea umasikini ulio nao na utakufa na umasikini wako.
Hakuna kitu huyu mtu. Kelele tu na upigaji mwingi. Tunamjua Bashe na Rostam Aziz wake. Bashe anapotosha kabisa! Ameulizwa mambo mawili muhimu: 1. Benki ya ushirika na 2. Bei ya mbolea. Anaeleza bei ya mbolea kwa uchungu utadhani kweli ana niya njema, na kukwepa la benki ya ushirika. Ukweli ni huu; 1. Benki ya ushirika ni mipango yao wafanyabiashara ambao ndo sponsors wake ktk siasa. Hataki kueleza kwa nini anaachana na benki ya kilimo ambayo ipo, sasa anakimbilia ushirika. huu ni ujinga tu! 2. Mbolea ilipanda kabla ya vita ya ukraine. Hizo bei za mbolea anazotaja duniani siyo bei halisi maana hajaeleza ni bei kwa uzito gani. Bei zimeharibika mikononi mwake kwa kudekeza wafanyabiashara wake. 3. Historia ya miaka ya 90 anayosema kwamba yalikuwa maamuzi ya watanzania wote, huu ni ujinga pia! Ni serikali ndo hupeleka sera Bungeni na kulazimisha zipite. Sera nyingi hupita baada ya wafanyabiashara na wanufaika kuwahonga wanasiasa. Kwenye mafuta ilikuwa hivyo enzi za waziri Mkulo akaondoa kodi baada ya kuhongwa na wahindi wanaoagiza mafuta toka Malaysia!! RUBBISH!
Kwa kweli naheshimu maoni yako kwa sababu moja tu kaka itakuwa umefanya tafiti ukimskiliza bashe hoja zake pekee unaweza sema hoja zinamashiko mm nafikiri iwepo njia za kuwasikiliza wananchi na wakulima maoni yao halafu ipigwe kura ya maoni nchi nzima
Wewe bashe una muattack mpina bure, wewe bashe ndiye chanzo cha mfumuko wa bei za vyakula kwa kisingizio cha kumlinda mkulima, hakuna mkulima anaelindwa hapa ila wanaolindwa ni wafanyabiashara walangiuzi, mafisadi na madalali, wananchi wote tunateseka sababu wizara ya kilimo kuongozwa na mtu asie makini na asiejielewa, hao wakulima wanaosemwa wanalindwa ndio haohao wanateseka na mfumuko wa bei za vyakula walicholima wenyewe, sisi tuko nao huku, wako hoi mbaya kabisa, dhibitini uuzaji holela wa chakula nje ya mipaka manake serikali hii inatutesa mno wananchi, mwaka huu huku manyara chakula hamna lakini serikali ndio kwanza imeruhusu wafanyabiashara haswa wakenya kuingia hadi mashambani, hii ni disaster kubwa na hayati Magufuli alifanikiwa hili eneo, hakuruhusu mfanyabiashara kuingia mashambani,, waliruhusiwa tu kuingia sokoni na nchi ilitulia sana, RIP Magufuli
Nimelazimika kuitafuta hutuba ya Mhe Luhaga Mpina nimemsikiliza kwa makini na nimemsikiliza kwa makini Waziri Mh. Hussein Bashe nimegundua mambo mengi 1: Mh. Bashe yeye ndio anapotosha makusudi suala la mbolea sijui kwa maslahi ya nani, Mh Mpina amehoji kuhusu uamuzi wa Serikali wa kufuta mfumo wa ununuzi wa mbolea kwa pamoja mwezi Julai 2021 na kueleza maamuzi hayo kwa kiasi kikubwa yameitumbukiza sekta ya mbolea kufika hapa ilipo leo, nimejiuliza KWANINI SUALA HILI HAKULIJIBU MH BASHE? akaamua kumshambulia Mh Mpina aliyesema kuna tatizo mahali ili urekebishe. 2: Mh Mpina amezungumza kuhusu bei ya mbolea kupanda na kuwaumiza wakulima, Mhe Bashe badala ya kueleza kwanini mbolea imepanda ameamua kum attack personal Mh Mpina mara sijui jimboni kwake wameua kitalu cha pamba kwa ajili ya siasa huku akijua hoja hiyo haikuwa sehemu ya mjadala. 3: Data alizotumia Mh Mpina ni kutoka kwenye hotuba ya Waziri wa Kilimo aliyoisoma mwenyewe sasa kosa ni la nani la Wewe Mh Bashe uliotumbia mbolea imepanda Soko la dunia au Mpina aliyekwambia ufuatilie kwa kina ili kujua ukweli kuhusu bei halisi ya mbolea 4: Mpina amezungunza kama Mbunge mwenye jukumu la kuisimamia Serikali kwa mujibu wa Katiba sasa hayo maneno yako kwamba sijui aliwahi kuwa Waziri kwenye Serikali ndio yatatatua matatizo ya kupanda kwa mbolea kulikochangiwa na kufutwa kwa mfumo wa ununuzi wa mbolea kwa pamoja, suala la kwamba alikuwa Waziri limetoka wapi mbona wewe ulipokuwa Mbunge uliihoji kikamilifu Serikali na mawaziri walikuwa wakikujibu kwa hekima na heshima kwa nini wewe umejibu kwa hasira kiasi hicho. Nikukumbushe Mh Bashe ulikuwa ni moja kati ya mawaziri bora sana wa Serikali hii wanaofanya kazi vizuri unaokubalika sana na wananchi ukishindana na Waziri wa Maji Mh Juma Aweso kwa kuwajibika kutatua changamoto za wizara ila kwa hili suala la mbolea limekushusha sana kisiasa na kuacha maswali mengi bila majibu. Hukupaswa kumshambulia Mpina personal ulitakiwa uzi attack hoja zake zote kwa kuzijibu kuhusu kupanda kwa bei ya mbolea, faida na hasara za kufutwa kwa mfumo ununuzi wa pamoja, sababu za kuanzisha Benki ya Ushirika wakati Benki ya Wakulima ipo.
kingereza kingi lakin hajajibu hoja yoyote ya MPINA..Hata hivyo nilikuwa na uhakika hatojibu hoja zaid tu atamuatack MPINA na kweli imekuwa vile vile nilikuwa nasubiri kwa hamu sababu nilijua yale maswali yalikuwa magumu..hajajibu swala la kuanzisha bank ya ushirika wakati bank zingine zipo na bado tuna struggle na hizo bank tulizozianzisha la pili ni la mbolea ambalo nalo ameshindwa kulijibu but all in all namkubali bashe sema hapa kwa mpina amegonga mwamba na mpina anauwezo mkubwa wa kupambanua mambo kuliko bashe
Sasa mpina si yupo? Si ajibu? Mimi sioni haja ya wewe kutumia akili yako na muda wako mwingi kuchambua , kwani muhusika yupo na kama kuna upotoshaji UPO si ajibu? Bashe kamshinda kwa hoja na yeye angepaswa kujibu
Hakika , huko nikuji defend bila hoja ya msingi. Kuwa mtu aliyewahi kuwa waziri Hana mamlaka ya kutoa hoja zake. Ametumia nguvu kubwa Sana isiyo na tija hata kama hawana maelewano mazuri hakutakiwa kuwa personal kwenye public agenda kama hiyo.
Wale mamluki 19 waliowekwa hapo kisha wakatolewa kwenye baraza lao la CHADEMA mbona hatuwasikii? Nashauri km uchu wao ni posho, basi wapewe posho alf maamuzi ya viongoz wao yafuatwe. Pia mngetafuta spika mwenye hofu ya Mungu Samwel Sitta kaacha pengo kubwa lisilo zibika la uspika wa bunge Tanzania
Mh Bashe ni Waziri Mwavuli wa Serikali. Anafanya vzr sana pia ni mkweli. Hongera kwake
Conguraduration Mheshimiwa You're Very funtastic and wonderful Man You differ from others..
Mungu akubariki Waziri Bashe
Excellent hon. Bashe🔥🔥🔥👏👏👏
Mungu akubariki sana hon.bashe ver intelligent man..
Hussein-very direct man
Kijana mdogo Akili elfu kumi, hofu ya Mungu iko juu, speech safi, unatembea na evidences yaani safi kabisa kwa hiyo hapo tunakuombea tuu ulinzi wa mwili na akili toka kwa Mungu na Mungu akujalie utekelezaji mwema kaka.
Huyu mwakani wanamweka pembeni kwasababu mama anataka wahuni tu
Huwezi kuza Kilimo kwa kudanganya Bunge hapo wakati sisi kama Taifa hata Mbegu ya Mahindi tu hatuzarishi
Mafanikio ya watu hutokana na ujinga wa wengine. Huyu hajui chochote juu ya kilimo. Wengi wasio na ufahamu wanampa sifa kama unavyofanya, kumbe yeye kisha piga 10% ya pikipiki za maafisa ugani, anavizia nyingine za mbolea.
Mwenyeezi Mungu akulinde,Bashe bro wewe ni akili kubwa sanaa na unauzalendo wa hali ya juu,wengine wanataka kuleta siasa tu ili wapate kiki kwa wananchi.
Majibu yamejaa utaalamu mwingi,Hongera Mh. Bashe
Kichwa Makin Iki Sio Wazir Wa Mchongo Hussein Bashe🙏
Nakuelewa sana huseni ,kiongozi mwenye hofu na mungu wapo wachache sana,kwenye mjengo huo.
Very intelligent minister
Nakupend bro bash nakukbl mno MashaAllah
Namkubali waziri wangu badge big up
Uyu jamaa very integet bug IQ safi sana Bashe
si uandike kiswahili tu mjomba??
Fundisha bashe we nimwalim mzr ila ujue wengine hawaelewi na ukweli hawautaki nakumbuka maneno y tundulisu kunawatu wameokotwa majalalani ndy matatizo hayo wanajifanya hawaelewi na pia hakusitahili kuepo apo
Allah pekee amuhifadhi
Idea yako ya One Stop Centre Mh Bashe imezaa matunda sana. Maneno yako yanatoka moyoni. Nakupenda bure!!
Bashee🙌🙌
Safi Sana waziri wa kilimo Husen bashe upo makin sana na wakulima
Very danger indeed😛word on the ground wakulima wanalia sana. Tusiwe wapaza sauti bungeni with no fast implementation. Muda unazidi kwenda kila mwaka wakulima vilio ni pembejeo and their usual cries..pigeni hatua basi. You will not sit on those seats forever. Mnanimalizia bando
Bashe wewe ni kiongozi mkweli,mchapakazi na mwadilifu sanaaaa
Good
Iss very denja....
Standard.. Speed and Accuracy (Msimamo ni asili yetu), Kumbuka wakulima wakivuka ni 60-70 percent ya watz wamevuka. MUNGU akupe Moyo thabiti, ulinzi na Akili zaidi.
Me sijasoma nielezeee vizuri hapo
@@rithadonatus8110
Nakukubali sana bashe
Huyu Bashe ni balaa sana
Kwa binafsi yangu nimeelewa. Kwwnza unamuitaje mtu mwizi nanhaijathibitika hivo
Bashee dah nakukubal Sana akil nying Sana boss
Wambie wananchi kwa kinyakiusa bro atujui kisukwambe
Bashe, Mimi ni mfuasi wako mkubwa na ninakukubali kupindukia hasa unapompa Mpina ukweli kwa ushahidi wa data, Mpina ameaibika
SIKU ZOTE BASHE MKWELI MNO!!
HALAFU SI HASIDI!!
WANGEFURAHI
WAFANYA BIASHARA WAKUSSNYWE WOTE,HALAFU WACHOMWE KWENYE MOTO KWENYE TANURI!!
UHASIDI TU!!
Bashe bashe,unapotupeleka bashe,ngoja tuone,hiyo ruzuku mbonahausemi itapunguza bei ya mbolea kwa sh.ngapi.
Wabunge jitafakarini sana acheni ushabiki tafuteni njia za kumssidia au kuwasaidia wananchi
Wewe msomali sasa unaanzakuacha njia...muda utaongea.. hodari sana wakuongea ww ila kuna kitu nyuma ya pazia
Wananchi wote walindwe, mamlaka za uteuzi kuweni makini na kuteua mtu ilimradi tu anajuwa kulipuka bungeni
Sijamsikilza Mh Mpina , lakini naona Mh Bashe amejibu vzr, tangu akiwa kama mbunge mimi binafsi alikuwa ananifurahisha Sana kw hoja zake za akili
Bashee Basheèe nakwita mara 2 Allah mpe hifadh yako kabisaa daaa mawaziri mko wapi hebu oneni huyu baba hii yote ni imani ya dhati ya wananchi wa nchi hiii Allah ampe kheir
@@jonasmasingija6530 wewe itakuwa sio mkulima na hujui chochote wewe unataka kujifanya unapita kwa wakulima ,Bashe ni mtoto was huko huko kwa wakulima,anazijua changamoto zote kuliko unavyofikiria wewe,wengine wapo kwa ajili ya siasa wapate kiki Bashe ni Waziri makini sanaa kwenye sekta ya kilimo kuwahi kutokea.
Jambo lingine ambalo huyi bashe hajui ni kwamba wakulima na wasio wakulima wanategemeana, kuna wafanyakazi viwandani, wsttoto mashuleni, wafanyakazi kwenye taasisi mbalimbali, madaktarì ,walimu, wauguzi n.k , lazima walindwe dhidi ya mfumuko wa bei za vyakula manake hata wakulima wanaenda kupata huduma toka kwao hivvo wanategemeana
Hv haiwezekani kwenye bunge letu tukatumia lugha yetu ya taifa ya kiswahili tu
Waziri mwenye akili sana
Faida Waziri Bashe wakulima ndio wanaitambua, ila sisi hapa ni mijadala tu ila fika kweny uwanja uskie wakulima wanamzungumzia kivipi
Uyu jamaaa namkubali sana
#amenyooka
Mnacheza na akili zetu tu hakuna cha ruzuku ni kiini macho tu,mpina yuko sawa mnajua
Kingereza kingi sana majibu hayaendani na maswali anayoulizwa,Jakaya alisema hoja haipigwi nyundo inajibiwa kwa hoja ,badala mtu atoe majibu ya maswali anayoulizwa anajibu kwa hisia zake binafsi,ila kwa watu wenye uelewa mdogo wa fikra hawawezi kumuelewa Mpina ila ukisikiliza vizuri jamaa kauliza very technical issues ila jamaa anaweka politics
Wapee ukweli Serekali yote wizi
Bunge la tz nalo la hovyo tu manake mnamshsngilia waziri ambae badala ya kujibu hoja za msingi anabaki kubwatuka tu
Badge tuambie mbolea inayozalishwa Tanzania ndo bro unayoiongelea au inaongezeka zinazotoka nje
Mpina kipindi chake alikua anapima samaki na Mikono, asitafute cheap popularity, aache blabla apeleke bei nzuri ya mbolea apewe tender yeye
Ungea kiswahili
Tunakutengemea asate baba tusaindie.tuna teseka sana wakulima
Bashe anajua kupanga na kupangua
Huyu mpina atulie tu, zama zake zimeshapita akae kwa kutulia kwani yeye atakumbukwa kwa lipi kwa uwaziri wake,
ongea kiswahili bhana kingereza chako peleka huko
tupe beya vanira bashe
Wajumbe wanapiga tu makofi hawana noma
BASHE
HUYU MPINA WANA LAO JAMBO
LAKINI HAWATAFANIKIWA
WANAFAHAMIKA WOTE!!
KINA WACHOMA CHOMA,WAPEWE ENO!!
Huyu Bashe ni waziri wa pekee na ana hofu ya Mungu
Huyu ndie Waziri pekee ninayemwelewa
Maa shaa Allah
amejitetea tu akaweka ukali ili amnyamazishe Mpina alichotakiwa ni amjibu Mpina na sio kumshambulia,tusiwe wanafiki Mpina anatetea wananchi sio kujikomba
Kingeleza sasaaa hicho atuelew
Kiwanda cha Choma cha Nkola (Manonga Ginnery) utakifufua lini mbona hujakitaja na kipo katika mkoa wako wa Tabora na jirani zako Wilaya ya Igunga.Goramali mbunge wa Manonga vipi mbona kimya
kichwa hiki.
Uyu wazili yupo vzr toka kipindi na mzee
Mzee alikuwaga hachagui boko, akimlenga mtu ujue ni kifaa
Huyu mwakani wanamweka pembeni huyu bungeni kwa ajilu ya wahuni tu na wezi na mafisadi ndiyo mama anawataka kama bashe wanawekwa pembeni ... Mungu akusimamie
Sikiliza Bashe jibu hoja ya Mpina kwanza Mimi sijakuelewa unajuwa wewe msomali
??? Ni mtanzania
Na ndo maana huwezi kumwelewa, alishajibu maswali yote labda wewe ukabila ndo unakuhangaisha tu, MPINA aje na ushahidi na yeye ili kueleweka, ima kufungua ushirika lazima serekali ihusike na Hili liko wazi
Wasukuma ndio zenu wabaguzi halafu wajinga wajinga. Na bado mama ataweka mpaka wazungu lazima muwe mataahira
Ritha wewe sio mtanzania kabisaaa na hujui chochote wewe umekalia uhasidi na ukanda na ukabila tu lakini watanzania walio wengi hawapo hivyo.
Apewe ulinzi tafadhali
mbonaunatumia nguvu nyingi sana kuongea
Mpina ndio kiongozi wa sukuma gang
Mpina ndio kiongoz mjinga kwa wasukuma hana tofauti mpina
😁😁😁😁😁
@@raphaelkaswahili323 😀😀😀😀😀😀😀daaaaah
Na humu ndani kumejaa vimada na vichoko vya sukuma gang vibishi halafu vina chuki binafsi na serikali
Kwahiyo unatuambia sie wasukuma ni machoko😢 7:44 ?@@ghost8641
Huyu jamaa atakuja kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania one day
Msomali huyu tatizo
@@sponsor7882 kkkkkkkkkk
Weeeeee😁😁😁😁 hapana watamuuua huyu ni wahuni tuuu😁😁😁
Kuna gwajima nae wamoto kinoma
Punguza kuongea kichina,
Pia unaposhauriwa usiwakingie kifua wezi,,
Serikali inapotoa ruzuku kwa wakulima mnashindwa usimamizi; mwisho wa siku wafanya biashara wakubwa ndio wanafaidika.
Shambulio binafsi hatutaki hawa wanachuki zao sisis watanzania tunataka suruhisho
Suruhisho ndio nini Sasa 😆 hebu rudi shule ujifunze kuandika kwanza. Wasukuma mnateseka sana na bado mama yuko kazini
Maneno ya kiswahili kutamkwa kizungu hata kama ni ya kijinga inaonekana yanamaana
Sana, matajiri wanashilikiana kumkabili masikini kwa nn masikin tusishilikiane kumkabili tajiri! Hakuna kura mbegu, mjinga tu ndo anakura mbegu
Hapewe ulinzi uyu jamaa
Hakuna kitu kinakera kama mawaziri kuchanganya lugha mbili
Luhaga si Waziri now
@@yahayamjenga1996 Yah sio waziri but ndani nasema kuchanganya kingereza na kiswahili
Jielimishe kujua lugha zaidi ya moja ya Kiswahili..
Mfano: kingereza, kiarabu, kichina, kifaransa.
Hao tunaosema Wachina na lugha yao Sasa wanajifunza lugha Nyingi ikiwemo za Afrika..Kiswahili, kilingala na kiyoruba.
Za kimataifa: Kingereza, Kifaransa, Spanish na lugha maarufu Kama Kijerumani, kireno.
@@malopemaliyamungu5243 Sina tatzo na kujua lugha Zaid ya Moja my concern ni kuchanganya kiswahili na kingereza ndani ya bunge and Kuna watanzania hawajui kingereza
@@24seven78 Kama vile wewe ulivyonichanganyia hapo "my concern" 😅😅.
Ila kwa Sheria zetu lugha ya Bungeni au Mahakamani ni Kiswahili au Kingereza.. au zote mbili kwa pamoja. Mahakamani ndio kabisaa.. hukumu inaandikwa kwa Kingereza.
Tunasema Kiswahili Kiswahili lkn ukweli uko hv, pambania ubawa wako. Huyu mwananchi unaemsemea anaetaka kutafuniwa mpaka lugha atakuwa 3rd class citizen. Tupambane tubaki 2nd kwenda 1st class citizen. Hata mgao wa keki unaanziaga meza za mbele. Ukipata ndio iende nyuma.. tafakari
Acha kingereza chako wewe
Nimegundua wewe wazili ni mbabaishaji uko kisiasa zaidi
Jifunze kwanza kuandika bwana Thomas Isdory. Unataka kuleta ujinga kwenye mambo muhimu? Acha waziri amwage nondo
@@mwikamwika4851 nondo gani ameleta zaidi ya majungu msikilize mpina Kisha uchanganue siyo unakurupu tu
Majibu yote ya mpina kajibiwa lakini nazani
Kikubwa hapa nikupigania wananchi mpina katoa hoja anatakiwa azipangue hoja siyo kumuattack binafsi
@@hasinauuwimana8405 hatakiwi kutoka kwenye reli apiganie wananchi km enzi za jomba nikijana tunamtegemea asiangalie tumbo lake
Kumbe kingerezaa kina sound kwenye Uongo
Huko kwao somalia wameshindwa sembuse tz awe raiz,broo unataka boko Haram u na aunt baraka waingie
😂😂 enewei mara zotee mtu akizngumza kingerezaa kingi inaonekana anatenda kazi bila wizi
Lakn angeongea kwa kiswahili hizo mambo alikuwa anasstiza angeonekana niwakawaida sana
@@sayimaduhu8555 uhasidi na roho mbaya na utakufa ukiwa na roho mbaya na uhasidi uliokuwa nao,unachuki kwenye moyo wako inaonesha unaroho chafu ilyojaa kutu,kakini haitokusaidia kitu wala kukuondolea umasikini ulio nao na utakufa na umasikini wako.
MAJIBU MAZURI SANA, LAKINI TATIZO MNAAMBIA WENYEWE TU, HICHO KINGEREZA NI KWA FAIDA YENU TU SIO WANANCHI MNAO WAAKILISHA!
LAKINI MBONA MNAPO KUJA KUOMBA KURA HAMTIMII KINGEREZA, MNATUMIA KISWAHILI FASAHA,MKISHA CHAGULIWA MKAINGIA BUNGENI TAYARI KISWAHILI HAMKIJUWI, ACHENI UTUMWA NYINYI
hicho ndo kinachoniboaga na Bashe,kingereza kiiiiingi,hajui wakulima wengi hawajui kithungu...mbali na hapo,namkubali yuko makini sana..
Mimi nazani ukiongea na wakulima wengi ndo utajua faida Mw. BASHE
Hakuna kitu huyu mtu. Kelele tu na upigaji mwingi. Tunamjua Bashe na Rostam Aziz wake.
Bashe anapotosha kabisa! Ameulizwa mambo mawili muhimu: 1. Benki ya ushirika na 2. Bei ya mbolea. Anaeleza bei ya mbolea kwa uchungu utadhani kweli ana niya njema, na kukwepa la benki ya ushirika. Ukweli ni huu;
1. Benki ya ushirika ni mipango yao wafanyabiashara ambao ndo sponsors wake ktk siasa. Hataki kueleza kwa nini anaachana na benki ya kilimo ambayo ipo, sasa anakimbilia ushirika. huu ni ujinga tu!
2. Mbolea ilipanda kabla ya vita ya ukraine. Hizo bei za mbolea anazotaja duniani siyo bei halisi maana hajaeleza ni bei kwa uzito gani. Bei zimeharibika mikononi mwake kwa kudekeza wafanyabiashara wake.
3. Historia ya miaka ya 90 anayosema kwamba yalikuwa maamuzi ya watanzania wote, huu ni ujinga pia! Ni serikali ndo hupeleka sera Bungeni na kulazimisha zipite. Sera nyingi hupita baada ya wafanyabiashara na wanufaika kuwahonga wanasiasa. Kwenye mafuta ilikuwa hivyo enzi za waziri Mkulo akaondoa kodi baada ya kuhongwa na wahindi wanaoagiza mafuta toka Malaysia!!
RUBBISH!
Kelele tu huyu hamna kitu nimemdharau sana.
Rostam na bashe ni maji na samaki
Ukitumia akili yako vizur utaelewa nn anafanya
Misukuma bwana punguzeni makasiriko au kama vipi mezeni nyembe. Mtateseka sana mama yupo kazini 😆
Kwa kweli naheshimu maoni yako kwa sababu moja tu kaka itakuwa umefanya tafiti ukimskiliza bashe hoja zake pekee unaweza sema hoja zinamashiko mm nafikiri iwepo njia za kuwasikiliza wananchi na wakulima maoni yao halafu ipigwe kura ya maoni nchi nzima
Wewe bashe una muattack mpina bure, wewe bashe ndiye chanzo cha mfumuko wa bei za vyakula kwa kisingizio cha kumlinda mkulima, hakuna mkulima anaelindwa hapa ila wanaolindwa ni wafanyabiashara walangiuzi, mafisadi na madalali, wananchi wote tunateseka sababu wizara ya kilimo kuongozwa na mtu asie makini na asiejielewa, hao wakulima wanaosemwa wanalindwa ndio haohao wanateseka na mfumuko wa bei za vyakula walicholima wenyewe, sisi tuko nao huku, wako hoi mbaya kabisa, dhibitini uuzaji holela wa chakula nje ya mipaka manake serikali hii inatutesa mno wananchi, mwaka huu huku manyara chakula hamna lakini serikali ndio kwanza imeruhusu wafanyabiashara haswa wakenya kuingia hadi mashambani, hii ni disaster kubwa na hayati Magufuli alifanikiwa hili eneo, hakuruhusu mfanyabiashara kuingia mashambani,, waliruhusiwa tu kuingia sokoni na nchi ilitulia sana, RIP Magufuli
Nimelazimika kuitafuta hutuba ya Mhe Luhaga Mpina nimemsikiliza kwa makini na nimemsikiliza kwa makini Waziri Mh. Hussein Bashe nimegundua mambo mengi
1: Mh. Bashe yeye ndio anapotosha makusudi suala la mbolea sijui kwa maslahi ya nani, Mh Mpina amehoji kuhusu uamuzi wa Serikali wa kufuta mfumo wa ununuzi wa mbolea kwa pamoja mwezi Julai 2021 na kueleza maamuzi hayo kwa kiasi kikubwa yameitumbukiza sekta ya mbolea kufika hapa ilipo leo, nimejiuliza KWANINI SUALA HILI HAKULIJIBU MH BASHE? akaamua kumshambulia Mh Mpina aliyesema kuna tatizo mahali ili urekebishe.
2: Mh Mpina amezungumza kuhusu bei ya mbolea kupanda na kuwaumiza wakulima, Mhe Bashe badala ya kueleza kwanini mbolea imepanda ameamua kum attack personal Mh Mpina mara sijui jimboni kwake wameua kitalu cha pamba kwa ajili ya siasa huku akijua hoja hiyo haikuwa sehemu ya mjadala.
3: Data alizotumia Mh Mpina ni kutoka kwenye hotuba ya Waziri wa Kilimo aliyoisoma mwenyewe sasa kosa ni la nani la Wewe Mh Bashe uliotumbia mbolea imepanda Soko la dunia au Mpina aliyekwambia ufuatilie kwa kina ili kujua ukweli kuhusu bei halisi ya mbolea
4: Mpina amezungunza kama Mbunge mwenye jukumu la kuisimamia Serikali kwa mujibu wa Katiba sasa hayo maneno yako kwamba sijui aliwahi kuwa Waziri kwenye Serikali ndio yatatatua matatizo ya kupanda kwa mbolea kulikochangiwa na kufutwa kwa mfumo wa ununuzi wa mbolea kwa pamoja, suala la kwamba alikuwa Waziri limetoka wapi mbona wewe ulipokuwa Mbunge uliihoji kikamilifu Serikali na mawaziri walikuwa wakikujibu kwa hekima na heshima kwa nini wewe umejibu kwa hasira kiasi hicho.
Nikukumbushe Mh Bashe ulikuwa ni moja kati ya mawaziri bora sana wa Serikali hii wanaofanya kazi vizuri unaokubalika sana na wananchi ukishindana na Waziri wa Maji Mh Juma Aweso kwa kuwajibika kutatua changamoto za wizara ila kwa hili suala la mbolea limekushusha sana kisiasa na kuacha maswali mengi bila majibu.
Hukupaswa kumshambulia Mpina personal ulitakiwa uzi attack hoja zake zote kwa kuzijibu kuhusu kupanda kwa bei ya mbolea, faida na hasara za kufutwa kwa mfumo ununuzi wa pamoja, sababu za kuanzisha Benki ya Ushirika wakati Benki ya Wakulima ipo.
kingereza kingi lakin hajajibu hoja yoyote ya MPINA..Hata hivyo nilikuwa na uhakika hatojibu hoja zaid tu atamuatack MPINA na kweli imekuwa vile vile nilikuwa nasubiri kwa hamu sababu nilijua yale maswali yalikuwa magumu..hajajibu swala la kuanzisha bank ya ushirika wakati bank zingine zipo na bado tuna struggle na hizo bank tulizozianzisha la pili ni la mbolea ambalo nalo ameshindwa kulijibu but all in all namkubali bashe sema hapa kwa mpina amegonga mwamba na mpina anauwezo mkubwa wa kupambanua mambo kuliko bashe
Sasa mpina si yupo?
Si ajibu?
Mimi sioni haja ya wewe kutumia akili yako na muda wako mwingi kuchambua , kwani muhusika yupo na kama kuna upotoshaji UPO si ajibu?
Bashe kamshinda kwa hoja na yeye angepaswa kujibu
@@philjonez3324 Kingereza chenyewe kibovu kuliko darasa langu la tano.
Nimewasikiliza wote pia, nilichogundua ni kwamba mpina yuko so bitter na kutoteuliwa uwaziri, Bashe kamjibu vizuri sana tu.
Hakika , huko nikuji defend bila hoja ya msingi. Kuwa mtu aliyewahi kuwa waziri Hana mamlaka ya kutoa hoja zake. Ametumia nguvu kubwa Sana isiyo na tija hata kama hawana maelewano mazuri hakutakiwa kuwa personal kwenye public agenda kama hiyo.
mshaurini Bashe kizungu kinatukwaza😅😂😂😂😂
Wale mamluki 19 waliowekwa hapo kisha wakatolewa kwenye baraza lao la CHADEMA mbona hatuwasikii?
Nashauri km uchu wao ni posho, basi wapewe posho alf maamuzi ya viongoz wao yafuatwe.
Pia mngetafuta spika mwenye hofu ya Mungu
Samwel Sitta kaacha pengo kubwa lisilo zibika la uspika wa bunge Tanzania