@@bcozhenry2698 hamna kitu kwa Mpina ni bwege tu. Wakati akiwa waziri chini ya serikali ya dikteta jiwe mwendazake alikuwa mnoko na wananchi hawawezi kumsahau, na alielezwa ukweli hapo hapo mjengoni na mheshimiwa Abdallah Ulega. Mpina kinachomtia simanzi kupigwa chini basi.
Haya mazungumzo ni kupoteza muda BUNGENI .Ya ULEGA na MPINA waliokuwa MTU na boss wake nani anataka kuyajua?Aliyeondoka kwenye kiti Cha wizara hiyo na aliyekalia mbona ni watu kama watu wengine TU?
TATIZO LA MPINA NI KUTUMIA MUDA MWINGI KUIOSHA SERIKALI YA AWAMU YA TANO, BADALA YA KUJIELEKEZA KWENYE HOJA NA MATATIZO YA WANANCHI YA SASA HIVI. SANA SANA ANAWEZA KUISHIA KUKWAZANA NA WATU. HISTORIA HAIPIGIWI MAKOFI! 😀😀😀😀😀😀🙏
Nchi na watu wake ni lazima ilindwe kwa nguvu zote,na nchi hailindwi kwa mtutu tu ni pamoja na utekelezaji wa sheria za nchi.Pamoja na kutumia hekima ni lazima Sheria zetu ziheshimiwe lasivyo kila mtendaji wa Serikali akiteuliwa kuonekana yeye ndio kila kitu bila kuzilinda na kuzitetea sheria walizoapa na kuzilinda basi Kuna siku Kama nchi tutaharibikiwa kwakuwa Mambo yetu ni ya uholela
Sio hasikatishwe tamaa mpina miyeyusho yeye alipokuwa waziri hakufanya chochote Zaid alichoma nyavu za wavuvi na kutaifisha vyombo na kuwatia watu umasikini tu Mulega anazungumza ukweli leo anajifanya hajui alichokifanya
wewe mzalamo acha uongo vitu au vfaa havifai utavichoma wapi ambapo hakuna watu,bangi tuona,bunduki,tunaona ng'ombe tuliona kwenye ugonjwa,wa liftvale sema upo kwenye mfumo TAMBA kijana
Hapo mtaongea mengi mtaaumbua weee mtasememana wee kuna viongozi walikuja na speed juu ya kumsema magufuli wakajikuta imekula kwao sasa kiikweli ni kwamba msemane kwa vyovyote vile sisi wananchi tunataka rais kama magufuli awe anatokea upinzani au ccm hatuangilii chama tunataka rais style ya magu bas sisi ndiyo wapiga kura na ikishishidikana tutachagua andazi sisi wapiga kura tuna jambo letu tunajua tunakotoka na tunaenda wapi kwa mfano ccm wanajibomoa wenyewe wanafikiri mtanazani wa leo ni yule wa zamani wa kumpa mafuta ya bodaboda au kutumia wasanii wa mziki kwenye kampeni ili upate kura hayo msahau kabisa tumesha amka na nyinyi wenyewe ndiyo mmetuamsha tunajitambua sasa hivi hiki ni kizazi kipya sasa bunge wala halina mvuto mmebaki kusutana wala siyo kuwakilisha wananchi sisi tunawacheki tu hakuna tena wa kusema niliteeni huyo mbunge nifanye nae kazi kama alivyokuwaga anasema magufuli haipo hiyo mbunge atarudi bungeni kwa ajili ya kusema ukweli siyo uchawa wabunge wasema ukweli tunawajua na watarudi bungeni bila wasiwasi wachangia hoja bungeni tunawajua kwa sura mpaka maisha yao kwa 2025 hamna janja wote tumeshawasoma hadanganyiki mtu hapa na kama hamuamini subiri utaona wabunge wanavyopigwa chini wote wale vigeugeu wanajulikana kazi sisi wapiga ni kumaliza mchezo endeleeni na hayo maagizo yenu tuko pale tunawasubiri 2025 na mkileta hela tunazila na kura hampati habari ndiyo hiyo
Ifike hatua kama tunataka kupiga hatua za maendeleo sio Zambi kuvunja bunge hata kwa miaka ishirini maana naamini tunaweza kuishi kwa amani na utulivu na tukasonga mbele mwanasiasa mzuri kwangu mimi hajazaliwa
ili uelewe unatakiwa kurejea mchango wa mpina kwenye hiyo wizara ya mifugo na uvuvi, huyu aneongea ni waziri wa wizara husika, wakati wa jpm alikua naibu waziri, na waziri alikua mpina, hapo ulega anajibu hoja zilizo ibuliwa na mpina
Ukimsikiza Mpina hoja zake ni kwa manufaa ya Taifa, na ukimsikiliza huyu anasema bora kile anachoita busara ya kukaa kimya akisubiri cheo kama alivyo sasa! Kwa ujumla ni mentality ya deals tu
Huzidiani na mwanafunzi anajificha vichakani kukwepa masomo kumba anapigania kubaki na ujinga wake! Tz sio dampo la kuingiza ovyo vitu visivyoeleweka na kwa njia za panya!
Hakuna Waziri hapo,mbona kuku wanachinjwa hadharani,Ng'ombe wanachinjwa hadharàni?
Mmebaki kupigana vijembe badala ya kushughulikia kero za wananchi!
Kwa hiyo mnaacha mambo yahalibike Ili kulinda ugali wenu.
Huyu ni muigizaji au mchekeshaji anafanya nini hapo bungeni
Waziri huyu ni mnafiki mkubwa sana, tena mnafiki mzuri sana huyu
Good
Huyu in chawa
@@erastuskajuna812 anaongea ukweli coz huyo mpina ana upuuzi wa kuachwa ktk baraza la mawaziri.
Mwache ampashe.
@@millowamilonga tumia akili kuliko moyo, Mpina anazungumza vitu vyenye manufaa kwa vizazi vya sasa na vijavyo!
@@bcozhenry2698 hamna kitu kwa Mpina ni bwege tu.
Wakati akiwa waziri chini ya serikali ya dikteta jiwe mwendazake alikuwa mnoko na wananchi hawawezi kumsahau, na alielezwa ukweli hapo hapo mjengoni na mheshimiwa Abdallah Ulega.
Mpina kinachomtia simanzi kupigwa chini basi.
Anachosema huyu kwa maana nyingine, bora ukae kimya upate cheo, kuliko kuyasema yake yenye manufaa kwa nchi
Waziri Ulega yupo vyombo sana 😂
Hili waziri limelewa pombe yani hili pumbafu kweli sijui linaitwa ulega
Once Nelson Mandela said "Anybody who changes his principles depending on whom he is dealing with, that is not a man who can lead a nation"
Yani hapo umesema madudu mnayofanya, kumbe mnaona majina ya wachangiaji mnayaona halafu mnapigiana simu! Huyu toa hafai kabisa
Ulega kalewa hapa Leo kachangamka sana siyo kawaida yake
🤣🤣🤣imebidi kumuongelea aliyekuwa boss wako inataka uwe na macho makavu
Maana ya unahibu ni kusaidiana ushauri na majukumu, kama mwenzako anakosea na ukamuacha Kisha baadae ndo unakuuja kumuumbua sio uwajibikaji sahihi
Mbona waziri km Yuko km chazi kitwanga,na mzee wa faru John
BIG UP ULEGA TEACH HIM( MPINA) HE WAS TOTALLY WRONG
Yani ujinga wa huyu ameona waziri anakosea yeye kaogopa kumshauri SABABU bossi wake SASA maana ya naibu waziri ni Nini???????????
Kumbe mnaandaana kabla,mnachokifanya nini sasa
Mzee Yuko vyombo hatari
Hawa ndugu ni hatari kupigiana cm tena kujua atachangia nini ni ovyo kabisa
Haya mazungumzo ni kupoteza muda BUNGENI .Ya ULEGA na MPINA waliokuwa MTU na boss wake nani anataka kuyajua?Aliyeondoka kwenye kiti Cha wizara hiyo na aliyekalia mbona ni watu kama watu wengine TU?
Kwa nini viongozi wanatumbuliwa hadharani? Vifaranga wanazidi heshima ya watu? Sheria in sheria, ukiionea aibu itakubamba. Watch out!
Hakuna lolote Hizo ni porojo tu.Wizara yako kila mbunge akisimama anasema kuna Tatizo. Kwahiyo huko kusema eti shoo shoo ni kujifaliji
KWAIYO ulimwita mkeo ndo mwananchi pekee
Nch ya wasanii hii ovyo sana
Mh alikuwa vyombo sana
HAPA SOMO LA PHYSICS LIMEPIGWA KWELI NA MADA IMEELEWEKA MH. ULEGA! 🙏
Hii ni aibu
Hawa jamaa ni uswahili tu mnaacha mambo muhimu mnaleta sarakasi
Yuko vyombo kalewa huyo
Mtu anapima Samaki hlf ni waziri hapo muelewe kuwa hkn wzr hapo hlf leo anaongea sana
Sheria Haina busara,,kama kunge kua na busara bas hakungekua na haja ya busara
Sasa kama sheria haikuweka utaratibu wa ku destroy kwa nini uchomaji mbele ya watu iwe nongwa ? Au basi tuyaache.
Huyu Ndg sikuelewi amajibu.... Hoja.. Au anajitetea au
Ccm ni cancer kwa taifa hili. Waziri huyu hafai kbs.
Hapo ndugu Tulia Akson hakutia neno
TATIZO LA MPINA NI KUTUMIA MUDA MWINGI KUIOSHA SERIKALI YA AWAMU YA TANO, BADALA YA KUJIELEKEZA KWENYE HOJA NA MATATIZO YA WANANCHI YA SASA HIVI. SANA SANA ANAWEZA KUISHIA KUKWAZANA NA WATU. HISTORIA HAIPIGIWI MAKOFI! 😀😀😀😀😀😀🙏
Kweli umemgundua eeh
Bunge la wakuda Daah 😂
Tena
😂😂 Ulega katumia boma la Hiroshima
Aah wapi?Ulega Huna mada!.....watu wanateseka hadharani...
Binaadam sio hayawani .. ahsante ulega
Kukaa kimya ni .......
Nchi na watu wake ni lazima ilindwe kwa nguvu zote,na nchi hailindwi kwa mtutu tu ni pamoja na utekelezaji wa sheria za nchi.Pamoja na kutumia hekima ni lazima Sheria zetu ziheshimiwe lasivyo kila mtendaji wa Serikali akiteuliwa kuonekana yeye ndio kila kitu bila kuzilinda na kuzitetea sheria walizoapa na kuzilinda basi Kuna siku Kama nchi tutaharibikiwa kwakuwa Mambo yetu ni ya uholela
Wewe ajenda ilishapita hiyo, mbona mnawala na mnawachinja,kuku na ng'ombe, na wewe mbona ulifanya nae Kaz,acha unafiki wewe ulega
Nafundisha jinsi ya kupata nguvu ya kuingia bungeni ukiwa umelewa.
Kwa hyo uliacha makosa yafanyike Kwa sababu ulitaka badae uwe boss?
Kumbe mnachangia hoja. Mtaani kwanza
Hili bunge watu wazalendo na wenye uchungu na nchi wamebaki ni wabunge wa kanda ya ziwa tu!!! Hizi mbwembwe zingine kufurahishana bungeni ni upuuzi tu
Wananchi tumefanywa mazuzu kwa muda mrefu haya ndo yanayofanyika kwa nchi yetu...bila kujisimamia hawa hawana cha kutupatia
Wabungeacheni siasa tekelezeni majukumu yenu
Wanafiki wapo duniani,hata ww hapo utatoka tu
Chawa wana mwisho wao
Nakupenda snaa mkuu unajuaa kiswahili kutendea haki
Hongera sana mh ulega
Safi sana Ulega mnafki huyo mpini
Wew ulega upo kwenye mfumo wa walamba asali acha kuukosoa uongozi wa awamu ya tano kwa mambo ya kipuuz
Hatari
Ulega alilewa hahaaaaaa
Mh mpina usikatishwe tamaa hii nchi unaijua siasa sana utendaji kiduchu endelea kutuwakilisha vyema
Sio hasikatishwe tamaa mpina miyeyusho yeye alipokuwa waziri hakufanya chochote Zaid alichoma nyavu za wavuvi na kutaifisha vyombo na kuwatia watu umasikini tu Mulega anazungumza ukweli leo anajifanya hajui alichokifanya
Hurumiya viumbevyamunvu
😂😂 Mh. Ulega ungemnong'oneza bosi wako.
busara ya ulega imempatia heshima mwache mpina atoe udenda
Uwo ni unafiki urishidwa nini kumushauri
Mmmmh kumbe huwa mnawazima mdomo
Tutajua watakao rudi 2025 nyie jofanyeni tuu
aliyeanzisha ni Mhaga Mpina. kwann aanzishe na hata amtaje marehemu?
WAZIRI MBONA KAMA KALEWA !!!?
Jamaa kama amelewa
wewe mzalamo acha uongo vitu au vfaa havifai utavichoma wapi ambapo hakuna watu,bangi tuona,bunduki,tunaona ng'ombe tuliona kwenye ugonjwa,wa liftvale sema upo kwenye mfumo TAMBA kijana
Naomba niseme tunawatu wa ovyo sana kuliko tunavozan
😂😂😂😂Kwa mambo ya Ajira na uboss huyu Mzee yuko sahihi Kuna vitu ukisema kazini ata kama ni kweli unamwaga ugali mapema
Hapo mtaongea mengi mtaaumbua weee mtasememana wee kuna viongozi walikuja na speed juu ya kumsema magufuli wakajikuta imekula kwao sasa kiikweli ni kwamba msemane kwa vyovyote vile sisi wananchi tunataka rais kama magufuli awe anatokea upinzani au ccm hatuangilii chama tunataka rais style ya magu bas sisi ndiyo wapiga kura na ikishishidikana tutachagua andazi sisi wapiga kura tuna jambo letu tunajua tunakotoka na tunaenda wapi kwa mfano ccm wanajibomoa wenyewe wanafikiri mtanazani wa leo ni yule wa zamani wa kumpa mafuta ya bodaboda au kutumia wasanii wa mziki kwenye kampeni ili upate kura hayo msahau kabisa tumesha amka na nyinyi wenyewe ndiyo mmetuamsha tunajitambua sasa hivi hiki ni kizazi kipya sasa bunge wala halina mvuto mmebaki kusutana wala siyo kuwakilisha wananchi sisi tunawacheki tu hakuna tena wa kusema niliteeni huyo mbunge nifanye nae kazi kama alivyokuwaga anasema magufuli haipo hiyo mbunge atarudi bungeni kwa ajili ya kusema ukweli siyo uchawa wabunge wasema ukweli tunawajua na watarudi bungeni bila wasiwasi wachangia hoja bungeni tunawajua kwa sura mpaka maisha yao kwa 2025 hamna janja wote tumeshawasoma hadanganyiki mtu hapa na kama hamuamini subiri utaona wabunge wanavyopigwa chini wote wale vigeugeu wanajulikana kazi sisi wapiga ni kumaliza mchezo endeleeni na hayo maagizo yenu tuko pale tunawasubiri 2025 na mkileta hela tunazila na kura hampati habari ndiyo hiyo
Acha kutaja huyo dikteta jiwe muuwaji aliyezimika.
Ww na nani acha kutukumbusha ushetani ule
Sema Wewe sio sisi, alaaaaa
Hatufai!
Sema sema unaogopa nn
Mwambie huyo alichoma nyavu Zangu za kihalali nikaingia hasara kubwa
Ifike hatua kama tunataka kupiga hatua za maendeleo sio Zambi kuvunja bunge hata kwa miaka ishirini maana naamini tunaweza kuishi kwa amani na utulivu na tukasonga mbele mwanasiasa mzuri kwangu mimi hajazaliwa
Mheshimiwa kama hawataki hereni wavalisheni vikuku😂
mmmmmm
Ulega serekali ya samia inanuka njaa wee ongea uwezavyo ila waisilamu ni wanafiki mikosi tupu wakiongoza
Wakati Mwingine Kukaa Kimya Nibusara. Kuliko Kuonekana Wewe Ndio Uliowaumba Nakuwapa Riziki Hao Waislamu.
Umekosea ndugu usiingize uislamu na uongozi sio kweli usiingize udini heshimu dini za watu ,,
Mawaziri wanafiki Hawa wanakula kwamrija ktk Yale aliyotengeneza magufuli
Sijaelewa kitu hapa mimi! Nisaidieni!
ili uelewe unatakiwa kurejea mchango wa mpina kwenye hiyo wizara ya mifugo na uvuvi, huyu aneongea ni waziri wa wizara husika, wakati wa jpm alikua naibu waziri, na waziri alikua mpina, hapo ulega anajibu hoja zilizo ibuliwa na mpina
Anasema sio haki ya wanyama kuchomwa hadhalani bali ni haki kuchomwa kusiko hadhalani
Na kwamba bosi akikosea muache akosee ili kulinda cheo chako
Mwenyewe naona mipasho tu
Mmebaki wenyewe peaneni mipasho mana ndo mlichabakisha hamna mnachofanya
Waziri kibonde,zezeta,ambae Hana hoja ,anafuata upepo
Mhmmm yaani jambo linamakosa ,usubiri nini?
piga kazi ulega achana na mpiga kelele wanainchi tunakuunga mkono kazi iendelee
Haipendezi Waziri uko kwenye majumuisho halafu umekula vyombo
Uwongo bwana 2nataka katiba mpya
Nyundo 🚶♂️🚶♂️
King ulega
Mpina nilishakwambia nenda shule. Kumbe si shule pekee ila fungua roho usiwe kixabizabina
Inamaana Mpina Hana haki ya kuchangia? Huyu waziri anajarubu kuziba mdomo wa Mpina asimkosoe
Ukimsikiza Mpina hoja zake ni kwa manufaa ya Taifa, na ukimsikiliza huyu anasema bora kile anachoita busara ya kukaa kimya akisubiri cheo kama alivyo sasa! Kwa ujumla ni mentality ya deals tu
HAKUNA MTU HAPO
Majungu
Hana adabu huyo Mpina
Kuchoma moto vifaranga
Huzidiani na mwanafunzi anajificha vichakani kukwepa masomo kumba anapigania kubaki na ujinga wake! Tz sio dampo la kuingiza ovyo vitu visivyoeleweka na kwa njia za panya!
😂😂😂😂Mhe.Ulega😂😂😂😂
Well spoken
Hamna kitu hapo
Sasa ngonjela yanini hpo?
Hakuna jipya, nyamunyamu kwa saaana
Hatari sana 🤣🤣🤣
Kwahiyo unapiga stori au unajibu hoja kwani amesema samaki apikwe ndo apimwe nyie vp
Hivi ni mpina au mpiinii?
Ww hacha kufanya wizara yako utatoka tu maneno yako yatakuukumu