WAZIRI ULEGA AMJIBU LUHAGA MPINA / SI ULIKUWA WAZIRI WEWE ULITAKA NIONEKANE SINA ADABU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 май 2023

Комментарии • 143

  • @sebastianmwantuge5597
    @sebastianmwantuge5597 Год назад +3

    Hakuna Waziri hapo,mbona kuku wanachinjwa hadharani,Ng'ombe wanachinjwa hadharàni?
    Mmebaki kupigana vijembe badala ya kushughulikia kero za wananchi!

  • @HisaniMsigwa-lc6zk
    @HisaniMsigwa-lc6zk Год назад +12

    Kwa hiyo mnaacha mambo yahalibike Ili kulinda ugali wenu.

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 Год назад +4

    Huyu ni muigizaji au mchekeshaji anafanya nini hapo bungeni

  • @cloudykusundwa6766
    @cloudykusundwa6766 Год назад +20

    Waziri huyu ni mnafiki mkubwa sana, tena mnafiki mzuri sana huyu

    • @jilalajalu2756
      @jilalajalu2756 Год назад +1

      Good

    • @erastuskajuna812
      @erastuskajuna812 Год назад +2

      Huyu in chawa

    • @millowamilonga
      @millowamilonga Год назад

      @@erastuskajuna812 anaongea ukweli coz huyo mpina ana upuuzi wa kuachwa ktk baraza la mawaziri.
      Mwache ampashe.

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 Год назад +2

      ​@@millowamilonga tumia akili kuliko moyo, Mpina anazungumza vitu vyenye manufaa kwa vizazi vya sasa na vijavyo!

    • @millowamilonga
      @millowamilonga Год назад +2

      @@bcozhenry2698 hamna kitu kwa Mpina ni bwege tu.
      Wakati akiwa waziri chini ya serikali ya dikteta jiwe mwendazake alikuwa mnoko na wananchi hawawezi kumsahau, na alielezwa ukweli hapo hapo mjengoni na mheshimiwa Abdallah Ulega.
      Mpina kinachomtia simanzi kupigwa chini basi.

  • @inno5044
    @inno5044 Год назад +3

    Anachosema huyu kwa maana nyingine, bora ukae kimya upate cheo, kuliko kuyasema yake yenye manufaa kwa nchi

  • @nkoydavid9658
    @nkoydavid9658 Год назад +8

    Waziri Ulega yupo vyombo sana 😂

  • @servantofalmightygoddranth2511
    @servantofalmightygoddranth2511 Год назад +4

    Hili waziri limelewa pombe yani hili pumbafu kweli sijui linaitwa ulega

  • @7675kio
    @7675kio Год назад +11

    Once Nelson Mandela said "Anybody who changes his principles depending on whom he is dealing with, that is not a man who can lead a nation"

  • @mako331
    @mako331 Год назад +7

    Yani hapo umesema madudu mnayofanya, kumbe mnaona majina ya wachangiaji mnayaona halafu mnapigiana simu! Huyu toa hafai kabisa

  • @simonkipondo1453
    @simonkipondo1453 Год назад +11

    Ulega kalewa hapa Leo kachangamka sana siyo kawaida yake

    • @fatmaabdallah7709
      @fatmaabdallah7709 Год назад +2

      🤣🤣🤣imebidi kumuongelea aliyekuwa boss wako inataka uwe na macho makavu

  • @fredyambrose7562
    @fredyambrose7562 11 месяцев назад +2

    Maana ya unahibu ni kusaidiana ushauri na majukumu, kama mwenzako anakosea na ukamuacha Kisha baadae ndo unakuuja kumuumbua sio uwajibikaji sahihi

  • @magesagambajr3546
    @magesagambajr3546 Год назад +3

    Mbona waziri km Yuko km chazi kitwanga,na mzee wa faru John

  • @abdulrahmanally1412
    @abdulrahmanally1412 Год назад +8

    BIG UP ULEGA TEACH HIM( MPINA) HE WAS TOTALLY WRONG

  • @jameskapela2075
    @jameskapela2075 Год назад +2

    Yani ujinga wa huyu ameona waziri anakosea yeye kaogopa kumshauri SABABU bossi wake SASA maana ya naibu waziri ni Nini???????????

  • @nemeskimbe376
    @nemeskimbe376 Год назад +7

    Kumbe mnaandaana kabla,mnachokifanya nini sasa

  • @mwitoremwita3567
    @mwitoremwita3567 Год назад +4

    Mzee Yuko vyombo hatari

  • @isaiahmwasonzwe2486
    @isaiahmwasonzwe2486 Год назад +4

    Hawa ndugu ni hatari kupigiana cm tena kujua atachangia nini ni ovyo kabisa

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 Год назад +2

    Haya mazungumzo ni kupoteza muda BUNGENI .Ya ULEGA na MPINA waliokuwa MTU na boss wake nani anataka kuyajua?Aliyeondoka kwenye kiti Cha wizara hiyo na aliyekalia mbona ni watu kama watu wengine TU?

  • @erastuskajuna812
    @erastuskajuna812 Год назад +5

    Kwa nini viongozi wanatumbuliwa hadharani? Vifaranga wanazidi heshima ya watu? Sheria in sheria, ukiionea aibu itakubamba. Watch out!

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Год назад +7

    Hakuna lolote Hizo ni porojo tu.Wizara yako kila mbunge akisimama anasema kuna Tatizo. Kwahiyo huko kusema eti shoo shoo ni kujifaliji

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 Год назад +6

    KWAIYO ulimwita mkeo ndo mwananchi pekee

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Год назад +3

    Nch ya wasanii hii ovyo sana

  • @storyzatowntz
    @storyzatowntz Год назад +2

    Mh alikuwa vyombo sana

  • @cleophacephelician6739
    @cleophacephelician6739 Год назад +4

    HAPA SOMO LA PHYSICS LIMEPIGWA KWELI NA MADA IMEELEWEKA MH. ULEGA! 🙏

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 Год назад +2

    Hii ni aibu

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 29 дней назад +1

    Hawa jamaa ni uswahili tu mnaacha mambo muhimu mnaleta sarakasi

  • @petromahenge4377
    @petromahenge4377 Год назад +2

    Yuko vyombo kalewa huyo

  • @froma3732
    @froma3732 Год назад +3

    Mtu anapima Samaki hlf ni waziri hapo muelewe kuwa hkn wzr hapo hlf leo anaongea sana

  • @rahimsadru-ct4ot
    @rahimsadru-ct4ot Год назад +2

    Sheria Haina busara,,kama kunge kua na busara bas hakungekua na haja ya busara

  • @bahatihacks8472
    @bahatihacks8472 Год назад +5

    Sasa kama sheria haikuweka utaratibu wa ku destroy kwa nini uchomaji mbele ya watu iwe nongwa ? Au basi tuyaache.

  • @amosmangura
    @amosmangura 27 дней назад +1

    Huyu Ndg sikuelewi amajibu.... Hoja.. Au anajitetea au

  • @JayJay-qc1ky
    @JayJay-qc1ky Год назад +4

    Ccm ni cancer kwa taifa hili. Waziri huyu hafai kbs.

  • @Worldunite
    @Worldunite 3 месяца назад +1

    Hapo ndugu Tulia Akson hakutia neno

  • @cleophacephelician6739
    @cleophacephelician6739 Год назад +7

    TATIZO LA MPINA NI KUTUMIA MUDA MWINGI KUIOSHA SERIKALI YA AWAMU YA TANO, BADALA YA KUJIELEKEZA KWENYE HOJA NA MATATIZO YA WANANCHI YA SASA HIVI. SANA SANA ANAWEZA KUISHIA KUKWAZANA NA WATU. HISTORIA HAIPIGIWI MAKOFI! 😀😀😀😀😀😀🙏

  • @peterkichochi7510
    @peterkichochi7510 Год назад +2

    Bunge la wakuda Daah 😂

  • @stellamwasenga6205
    @stellamwasenga6205 Год назад +1

    Tena

  • @alphaabdallah1406
    @alphaabdallah1406 Год назад +6

    😂😂 Ulega katumia boma la Hiroshima

  • @allanandy2424
    @allanandy2424 Год назад +2

    Aah wapi?Ulega Huna mada!.....watu wanateseka hadharani...

  • @basitjuma6081
    @basitjuma6081 Год назад +2

    Binaadam sio hayawani .. ahsante ulega

  • @basitjuma6081
    @basitjuma6081 Год назад +1

    Kukaa kimya ni .......

  • @mohamedngoi161
    @mohamedngoi161 Год назад +2

    Nchi na watu wake ni lazima ilindwe kwa nguvu zote,na nchi hailindwi kwa mtutu tu ni pamoja na utekelezaji wa sheria za nchi.Pamoja na kutumia hekima ni lazima Sheria zetu ziheshimiwe lasivyo kila mtendaji wa Serikali akiteuliwa kuonekana yeye ndio kila kitu bila kuzilinda na kuzitetea sheria walizoapa na kuzilinda basi Kuna siku Kama nchi tutaharibikiwa kwakuwa Mambo yetu ni ya uholela

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 Год назад +1

    Wewe ajenda ilishapita hiyo, mbona mnawala na mnawachinja,kuku na ng'ombe, na wewe mbona ulifanya nae Kaz,acha unafiki wewe ulega

  • @sylvestercharles3585
    @sylvestercharles3585 Год назад +3

    Nafundisha jinsi ya kupata nguvu ya kuingia bungeni ukiwa umelewa.

  • @nkoydavid9658
    @nkoydavid9658 Год назад +4

    Kwa hyo uliacha makosa yafanyike Kwa sababu ulitaka badae uwe boss?

  • @gracekaboigora189
    @gracekaboigora189 Год назад +2

    Kumbe mnachangia hoja. Mtaani kwanza

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 3 месяца назад +1

    Hili bunge watu wazalendo na wenye uchungu na nchi wamebaki ni wabunge wa kanda ya ziwa tu!!! Hizi mbwembwe zingine kufurahishana bungeni ni upuuzi tu

  • @MalakiGerald-bh5jv
    @MalakiGerald-bh5jv Год назад +2

    Wananchi tumefanywa mazuzu kwa muda mrefu haya ndo yanayofanyika kwa nchi yetu...bila kujisimamia hawa hawana cha kutupatia

  • @ramadhaniyahaya7286
    @ramadhaniyahaya7286 3 месяца назад +1

    Wabungeacheni siasa tekelezeni majukumu yenu

  • @emmanueliman7408
    @emmanueliman7408 Год назад +5

    Wanafiki wapo duniani,hata ww hapo utatoka tu

  • @binfahmi8637
    @binfahmi8637 Год назад +1

    Nakupenda snaa mkuu unajuaa kiswahili kutendea haki

  • @bakariramadhani8644
    @bakariramadhani8644 Год назад +1

    Hongera sana mh ulega

  • @rizikilukali1558
    @rizikilukali1558 Год назад +2

    Safi sana Ulega mnafki huyo mpini

  • @SilvesterRaphael-xb6it
    @SilvesterRaphael-xb6it Год назад +1

    Wew ulega upo kwenye mfumo wa walamba asali acha kuukosoa uongozi wa awamu ya tano kwa mambo ya kipuuz

  • @eliakusiluka2390
    @eliakusiluka2390 Год назад +1

    Hatari

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Год назад +2

    Ulega alilewa hahaaaaaa

  • @deogratiasrugangila3100
    @deogratiasrugangila3100 Год назад +2

    Mh mpina usikatishwe tamaa hii nchi unaijua siasa sana utendaji kiduchu endelea kutuwakilisha vyema

    • @shubebunyesi542
      @shubebunyesi542 Год назад +1

      Sio hasikatishwe tamaa mpina miyeyusho yeye alipokuwa waziri hakufanya chochote Zaid alichoma nyavu za wavuvi na kutaifisha vyombo na kuwatia watu umasikini tu Mulega anazungumza ukweli leo anajifanya hajui alichokifanya

  • @user-yx5lv4pn4v
    @user-yx5lv4pn4v 8 месяцев назад +1

    Hurumiya viumbevyamunvu

  • @jamaa2760
    @jamaa2760 Год назад +1

    😂😂 Mh. Ulega ungemnong'oneza bosi wako.

  • @muhammadalibhaz1390
    @muhammadalibhaz1390 Год назад +3

    busara ya ulega imempatia heshima mwache mpina atoe udenda

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 5 месяцев назад +1

    Uwo ni unafiki urishidwa nini kumushauri

  • @mariayegela239
    @mariayegela239 Год назад +1

    Mmmmh kumbe huwa mnawazima mdomo

  • @ngusawales2039
    @ngusawales2039 Год назад +1

    Tutajua watakao rudi 2025 nyie jofanyeni tuu

  • @tubeminamiwa
    @tubeminamiwa Год назад +1

    aliyeanzisha ni Mhaga Mpina. kwann aanzishe na hata amtaje marehemu?

  • @user-ut6jq4pl3p
    @user-ut6jq4pl3p 3 месяца назад +1

    WAZIRI MBONA KAMA KALEWA !!!?

  • @ajtv9186
    @ajtv9186 Год назад +2

    Jamaa kama amelewa

  • @saidomary8796
    @saidomary8796 Год назад +3

    wewe mzalamo acha uongo vitu au vfaa havifai utavichoma wapi ambapo hakuna watu,bangi tuona,bunduki,tunaona ng'ombe tuliona kwenye ugonjwa,wa liftvale sema upo kwenye mfumo TAMBA kijana

  • @user-hv9pv3sd1u
    @user-hv9pv3sd1u Месяц назад +1

    Naomba niseme tunawatu wa ovyo sana kuliko tunavozan

  • @harabiasingire1653
    @harabiasingire1653 Год назад +1

    😂😂😂😂Kwa mambo ya Ajira na uboss huyu Mzee yuko sahihi Kuna vitu ukisema kazini ata kama ni kweli unamwaga ugali mapema

  • @methewbuzuruga-eg8oz
    @methewbuzuruga-eg8oz Год назад +20

    Hapo mtaongea mengi mtaaumbua weee mtasememana wee kuna viongozi walikuja na speed juu ya kumsema magufuli wakajikuta imekula kwao sasa kiikweli ni kwamba msemane kwa vyovyote vile sisi wananchi tunataka rais kama magufuli awe anatokea upinzani au ccm hatuangilii chama tunataka rais style ya magu bas sisi ndiyo wapiga kura na ikishishidikana tutachagua andazi sisi wapiga kura tuna jambo letu tunajua tunakotoka na tunaenda wapi kwa mfano ccm wanajibomoa wenyewe wanafikiri mtanazani wa leo ni yule wa zamani wa kumpa mafuta ya bodaboda au kutumia wasanii wa mziki kwenye kampeni ili upate kura hayo msahau kabisa tumesha amka na nyinyi wenyewe ndiyo mmetuamsha tunajitambua sasa hivi hiki ni kizazi kipya sasa bunge wala halina mvuto mmebaki kusutana wala siyo kuwakilisha wananchi sisi tunawacheki tu hakuna tena wa kusema niliteeni huyo mbunge nifanye nae kazi kama alivyokuwaga anasema magufuli haipo hiyo mbunge atarudi bungeni kwa ajili ya kusema ukweli siyo uchawa wabunge wasema ukweli tunawajua na watarudi bungeni bila wasiwasi wachangia hoja bungeni tunawajua kwa sura mpaka maisha yao kwa 2025 hamna janja wote tumeshawasoma hadanganyiki mtu hapa na kama hamuamini subiri utaona wabunge wanavyopigwa chini wote wale vigeugeu wanajulikana kazi sisi wapiga ni kumaliza mchezo endeleeni na hayo maagizo yenu tuko pale tunawasubiri 2025 na mkileta hela tunazila na kura hampati habari ndiyo hiyo

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Год назад +1

    Hatufai!

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 5 месяцев назад +1

    Sema sema unaogopa nn

  • @NoelKwayu-lz1or
    @NoelKwayu-lz1or Год назад +1

    Mwambie huyo alichoma nyavu Zangu za kihalali nikaingia hasara kubwa

  • @daudimade9135
    @daudimade9135 Год назад +1

    Ifike hatua kama tunataka kupiga hatua za maendeleo sio Zambi kuvunja bunge hata kwa miaka ishirini maana naamini tunaweza kuishi kwa amani na utulivu na tukasonga mbele mwanasiasa mzuri kwangu mimi hajazaliwa

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Год назад +2

    Mheshimiwa kama hawataki hereni wavalisheni vikuku😂

  • @monicachacha455
    @monicachacha455 Год назад +1

    mmmmmm

  • @kefajoseph158
    @kefajoseph158 Год назад +2

    Ulega serekali ya samia inanuka njaa wee ongea uwezavyo ila waisilamu ni wanafiki mikosi tupu wakiongoza

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 Год назад +2

      Wakati Mwingine Kukaa Kimya Nibusara. Kuliko Kuonekana Wewe Ndio Uliowaumba Nakuwapa Riziki Hao Waislamu.

    • @jumaseif2140
      @jumaseif2140 Год назад +2

      Umekosea ndugu usiingize uislamu na uongozi sio kweli usiingize udini heshimu dini za watu ,,

  • @petromahenge4377
    @petromahenge4377 Год назад +1

    Mawaziri wanafiki Hawa wanakula kwamrija ktk Yale aliyotengeneza magufuli

  • @ROBERT75376
    @ROBERT75376 Год назад +5

    Sijaelewa kitu hapa mimi! Nisaidieni!

    • @hussenmzaganya1081
      @hussenmzaganya1081 Год назад +1

      ili uelewe unatakiwa kurejea mchango wa mpina kwenye hiyo wizara ya mifugo na uvuvi, huyu aneongea ni waziri wa wizara husika, wakati wa jpm alikua naibu waziri, na waziri alikua mpina, hapo ulega anajibu hoja zilizo ibuliwa na mpina

    • @gersonfungo5893
      @gersonfungo5893 Год назад +1

      Anasema sio haki ya wanyama kuchomwa hadhalani bali ni haki kuchomwa kusiko hadhalani
      Na kwamba bosi akikosea muache akosee ili kulinda cheo chako

    • @lovenessmohamedy6329
      @lovenessmohamedy6329 Год назад +1

      Mwenyewe naona mipasho tu

  • @adaboychibu1659
    @adaboychibu1659 Год назад +1

    Mmebaki wenyewe peaneni mipasho mana ndo mlichabakisha hamna mnachofanya

  • @johnfilbert5915
    @johnfilbert5915 Год назад +2

    Waziri kibonde,zezeta,ambae Hana hoja ,anafuata upepo

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Год назад +1

    Mhmmm yaani jambo linamakosa ,usubiri nini?

  • @khalfaniutaly1303
    @khalfaniutaly1303 Год назад +1

    piga kazi ulega achana na mpiga kelele wanainchi tunakuunga mkono kazi iendelee

  • @mohamedngoi161
    @mohamedngoi161 Год назад +1

    Haipendezi Waziri uko kwenye majumuisho halafu umekula vyombo

  • @davidmhagama3319
    @davidmhagama3319 Год назад +1

    Uwongo bwana 2nataka katiba mpya

  • @rajabumorrison3931
    @rajabumorrison3931 Год назад +1

    Nyundo 🚶‍♂️🚶‍♂️

  • @mussamkali9926
    @mussamkali9926 Год назад +1

    King ulega

  • @alliyndumes4150
    @alliyndumes4150 Год назад +1

    Mpina nilishakwambia nenda shule. Kumbe si shule pekee ila fungua roho usiwe kixabizabina

  • @efraimjohn4956
    @efraimjohn4956 Год назад +6

    Inamaana Mpina Hana haki ya kuchangia? Huyu waziri anajarubu kuziba mdomo wa Mpina asimkosoe

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 Год назад +2

      Ukimsikiza Mpina hoja zake ni kwa manufaa ya Taifa, na ukimsikiliza huyu anasema bora kile anachoita busara ya kukaa kimya akisubiri cheo kama alivyo sasa! Kwa ujumla ni mentality ya deals tu

  • @bennybuluguy9554
    @bennybuluguy9554 Год назад +1

    HAKUNA MTU HAPO

  • @severiningungulu1290
    @severiningungulu1290 Год назад +1

    Majungu

  • @olaislukumay3475
    @olaislukumay3475 Год назад +2

    Hana adabu huyo Mpina
    Kuchoma moto vifaranga

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 Год назад +1

      Huzidiani na mwanafunzi anajificha vichakani kukwepa masomo kumba anapigania kubaki na ujinga wake! Tz sio dampo la kuingiza ovyo vitu visivyoeleweka na kwa njia za panya!

  • @sebmalunde5945
    @sebmalunde5945 Год назад +1

    😂😂😂😂Mhe.Ulega😂😂😂😂

  • @esaukalanje5378
    @esaukalanje5378 Год назад +1

    Well spoken

  • @yassinhamza1969
    @yassinhamza1969 Год назад +1

    Hamna kitu hapo

  • @yasiniswedi8835
    @yasiniswedi8835 Год назад +1

    Sasa ngonjela yanini hpo?

  • @gracekaboigora189
    @gracekaboigora189 Год назад +1

    Hakuna jipya, nyamunyamu kwa saaana

  • @elishajumanne6590
    @elishajumanne6590 Год назад +1

    Hatari sana 🤣🤣🤣

  • @pascalkingu9570
    @pascalkingu9570 Год назад +1

    Kwahiyo unapiga stori au unajibu hoja kwani amesema samaki apikwe ndo apimwe nyie vp

  • @piuspanga864
    @piuspanga864 Год назад +1

    Hivi ni mpina au mpiinii?

  • @abrahamsamweli-wg8ck
    @abrahamsamweli-wg8ck Год назад +1

    Ww hacha kufanya wizara yako utatoka tu maneno yako yatakuukumu