MBUNGE MUSUKUMA ALIVYO MTOLEA UVIVU WAZIRI MPINA
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2018
- Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma amemshukia Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina alipokuwa akichangia taarifa ya kamati ya bunge ya kilimo, mifugo na maji iliyowasilishwa bungeni, mjini Dodoma leo.
Msukuma na kukubali sana ntu wangu. Ki ukweli wewe sio darasa la 7, wewe una digirii 7. Big up sana. Ujielewa wewe ni nani, nini maana ya kuwa mbunge - yaanu muwakilishi wa watu. Uko vzr. Piga kazi na 2020 tunakupa kura zetu japo mimi sikai geita lakin habar ndy hiyo.
Msukuma wewe ni kiongozi mwenye PHD. Nakukubali sana. Mungu akuzidishie moyo wa kuwatumikia wananchi.
NaTAMANI MSUKUMA ANGEKUWA MBUNGE WETU KIGOMA(M) NAKUKUBAL SANAAA
ukwel mzuri my bro msukusu
hongera kamanda wetu
Big up msukuma,hilo ndio jembe analolitaka JPM......muunge mkono JPM baba tunakuombea...
hongera sana musukumaaaaaaaaaa
Mh.msukuma unachokisema ni kweli tupu hongera sana.
Uko vizuri mheshimiwa
Hongera jembe
Natamani sana msukum ungekua mbunge wa geita mjini
Kwakweli msukuma yuko vizuri san good job
Well done Msukuma,,wape ukweli 👍
God bless you brother 🙏
Msukuma piga kazi uko vizuri
msukuma halijasoma sana la saba anajua kujitetea hongera msukuma unajua kuwakilisha mwanachi
pmj sana msukuma nakuelewa sana
Teras wa tbr.
Jamani msukuma mpaka raha
nakukubari sana Msukuma
Safi sana musukuma
kwa kweli kama ni ivo kumbe ukoloni upo ndo tunarudi kwenye mashairi ya form six shairi linaitwa "eat more " duh mungu saidia Tanzania
Huwa msukuma nakupendaga Sana ,,😁😁😁katika kumbukumbu zangu sizani Kama ushawahi kuulizwa swali ukashindwa ((kujibu)).
Asante msukuma
Musukuma weeeee nakukubali kwa namna unavyojielekeza kwenye hoja.
Safi sana msukuma
🔥🔥🔥 king
huyo Mpina hana lolote, arudishe mashamba yetu aliyo pora kijiji cha Kilengezi Mvuha. haya ni maisha tu, leo yeye Waziri kesho hicho hicho kiti atakalia mwingine
Nice
Mimi nashauli msukuma uje uwe mbunge wa chalinze na makonda awe mkuu wa mkoa wa pwani mwaka elfumbili na ishirini natano
Nakukubali sana kaka msukuma💪
Hongera Sana msukumaaaaa
Izumacheli hahahaaaaaa jamaa yangu wewe huwaachagi salama hawa mawaziri wasiofuatilia kazi zao vizuri, hawajitambui sijui wana shida gani.
msukuma oyeeee mpina anatafuta kiki kwa mkuu ila anatuuwa sisi tunao tegemea dagaa na samaki kama biashara
Hahaha umetisha kama umesikia neno kiki twende sawa
Sawah
msukuma nakubali maoni yko aisee
Msukuma uko sahii kabisa mpina mungu anamwona watu wamefirika
Mpina ni mzigo hafai kabsaaa
umeiva sana
#Musukuma unatishaa sana....
👌👌👌
Big up Msukuma
safi sanaaa
Wallahi mimi ninachokiona katika Serikali yetu hizo sheria wamezoziweka sio kwamba nikututaka Raiya tubadilike bali nimfumo Rasmi wa kutafta hela za Serikali na mishahara ya viongozi kupitia migongo ya walala hoi.
Maana maskini wa Mungu wengi wetu hatusomi sheria za NCHI nahata tukisoma ukitaka kujitetea tu unaonekana nimkorofi muhalifu unataka kupingana na Serikali mwisho wa yote unapelekwa kituoni mpaka mahakamani unapelekwa hivi mara vile.
Mwisho wa yote unahukumiwa miaka 2 Gerezani uende ukapasue mawe. Ukitoka huko ushakua muoga siku nyingine ukikutwa unatetemeka.
Napenda kusema tu kua: "maadam alietuumba yupo hii hukumu ya duniani nikitu cha muda, ila malipo yapo mbele za mwenyezimungu.
Unadhulumu watu miaka hata ikizidi saana ni 50, ila unaenda kuchomwa moto na Mungu milele.
Fikiriaa!!!!
Asnte msukuma
safisana
Msukuma noma namuoba awe lais
Msukuma nakukubali, ww ni mkweli, muwazi mpe za uso huyo mtaka kiki kwa gharama ya wananchi
Hivimtoatalifa naembungee maaana kongeavpumba
Uko vizur mkuu
Kwel kabix mxukuma
safi sana msukuma
Nakukubali sana tetea wañyonge wa datasa lasaba tunalia wengi tuuu
Nakukubali sana
Asee Msukuma We mashine, nikweli ziwani hakuna Beria...Yote unayoongea ni ukweli hongera sana, Lakini Usimlaum sana Mpina ni jambo la kumueleza ajirekebishe2 Binadamu hatujakamilika.
Kuanzi Leo umetimiza wajibu kama chombo cha kuisimamia serikali,
Mpina ni mshamba na ajitambui,
msukuma
mutoa tarifa huna. Akili
wambie
Nyavu 1 m27 fain
Ukweli usemwe tu
Msukuma wewe noma
Kwa kweli hii operation ni kurudisha nyuma maendeleo ya wavuvi haikubaliki.
Jose Sizy Hao WAVUVI wanachangia kiasi gani KWENYE uchumi WA nchi? ACHENI ubabaishaji na kusifia ujinga.
Denard David . Km hujui chochote bora yamaza tu ujui uvuvi unamchango gani. Pole
Mpina hajielewagi kabisa
Huyu mpina hafai kabisa
Bahati yako ipo 2 hata kama inacheweshwa uko vzr sn mh msukuma na elimu yako ya darasa la 7
Mskuma aba degree ya heshima na akili sanaa huyu jmaa ni htriiii sana
Msukuma wabheja nkwingwa
watanzania hamueleweki mnatetewa na msukuma ,wengine wanamkashifu
nakupa bigapu
Haise lasaba tunajielewa sana
BP 7
asante msukuma waelimishe
mskuma we jembe ndomaan nakkbal San na ninajua ungekuw na elim ya ktosha ungekuwa wazir mkuuuu
Saf Sana Msukuma Unajua
Magufuli kaacha mtot
Kama na gari lako limekamatwa na samaki haramu, huna maana hata kama dereva ndo alihusika bila IDHINI YAKO, ungepaswa kukemea , hata msipprudi watarudi wengine.
Denard David. Ivi ata km si kiwango wanacho kiitaji samaki 3 tena mtu uenda kanunua kwa matumizi ya yumba ndio atue Miliono therathini. Ww si kanda ya ziwa laiti ungekuwa kanda ya ziwa ungejua watu ambavyo hawana amani na delightful
Msukuma kweli .kwao wanakula panki
Watu wengi wenye biashara hii ya samaki wamekufa wengine wamefilisika kwa kushindwa kulipa mikopo yao ktk mabenk walikokopa. Inauma sana.
𝒖𝒌𝒐 𝒗𝒊𝒛𝒖𝒓 𝒎𝒔𝒖𝒌𝒖𝒎𝒂 𝒎𝒘𝒆𝒛𝒂𝒏𝒈𝒖
hongera sana musukuma
Hahaha msukuma noma kwamba kule ziwan hakuna beria!