CHEKI HII YA BASHE, NAPE, MUSUKUMA NA JINSI WAZIRI MPINA ALIVYOCHOMOKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 11

  • @你好吗你好吗-f6o
    @你好吗你好吗-f6o 6 лет назад

    Waziri huyu ni shindaaa sanaaa

  • @robertjagad5826
    @robertjagad5826 6 лет назад +1

    mpina unaroho mbaya ya kwanini

  • @Mamatonny2065
    @Mamatonny2065 6 лет назад

    Wape maneno Yao hao wabunge wanaoleta kelele zisizo na maana.
    Nidhamu ya hapo Bungeni imeshuka sana.dunia nzima inawatazama mnavyozozana.naomba Mheshimiwa Spika uliangalie tatizo hilo.

  • @shekhekassim6402
    @shekhekassim6402 6 лет назад

    Hanna kitu hapo kama Epa na Esecro

  • @godfreymbwambo4460
    @godfreymbwambo4460 6 лет назад +1

    KWANI NI LAZIMA BASHE NA MSUKUMA MRUDI BUNGENI 2020? HAKUNA WENGINE WENYE UWEZO WA KUGOMBEA?

    • @soka1568
      @soka1568 6 лет назад

      godfrey mbwambo una matatizo mkuu yaan unawaza watu muhim kama bashe na msukuma watoke bungen.... ama kweli. Badala uombe jpm hata amtumbue huyu mpina mwenye mehemko ya hasara kwa wananchi. Nadhan hujajua vizur anacho kifanya mpina. Nikupe hii kwa ufupi. Mpina na team yake wamekamata basi la msukuma wakakuta kuna abiria mmoja anasamak wa kukaanga wa3 ndo anasema halam na kumpiga fain msukuma million kumi. Je ni mtu huyo mpina kweli?????

    • @godfreyedwin3096
      @godfreyedwin3096 6 лет назад

      +Michael Pesa music ana mavi kichwani huyo wazir

  • @eshamwalimu6272
    @eshamwalimu6272 5 лет назад

    Mpina ana njaa

  • @hadijaomary9188
    @hadijaomary9188 6 лет назад

    unashindwaje kukamata kazi yako nini