godfrey mbwambo una matatizo mkuu yaan unawaza watu muhim kama bashe na msukuma watoke bungen.... ama kweli. Badala uombe jpm hata amtumbue huyu mpina mwenye mehemko ya hasara kwa wananchi. Nadhan hujajua vizur anacho kifanya mpina. Nikupe hii kwa ufupi. Mpina na team yake wamekamata basi la msukuma wakakuta kuna abiria mmoja anasamak wa kukaanga wa3 ndo anasema halam na kumpiga fain msukuma million kumi. Je ni mtu huyo mpina kweli?????
Waziri huyu ni shindaaa sanaaa
ni jipu tena la kwapa
mpina unaroho mbaya ya kwanini
Wape maneno Yao hao wabunge wanaoleta kelele zisizo na maana.
Nidhamu ya hapo Bungeni imeshuka sana.dunia nzima inawatazama mnavyozozana.naomba Mheshimiwa Spika uliangalie tatizo hilo.
Hanna kitu hapo kama Epa na Esecro
KWANI NI LAZIMA BASHE NA MSUKUMA MRUDI BUNGENI 2020? HAKUNA WENGINE WENYE UWEZO WA KUGOMBEA?
godfrey mbwambo una matatizo mkuu yaan unawaza watu muhim kama bashe na msukuma watoke bungen.... ama kweli. Badala uombe jpm hata amtumbue huyu mpina mwenye mehemko ya hasara kwa wananchi. Nadhan hujajua vizur anacho kifanya mpina. Nikupe hii kwa ufupi. Mpina na team yake wamekamata basi la msukuma wakakuta kuna abiria mmoja anasamak wa kukaanga wa3 ndo anasema halam na kumpiga fain msukuma million kumi. Je ni mtu huyo mpina kweli?????
+Michael Pesa music ana mavi kichwani huyo wazir
Mpina ana njaa
unashindwaje kukamata kazi yako nini
Mpn kalie