Halima Mdee amuwashia moto Bashe; ashusha kiingereza Bungeni "Hii ni akili gani jamani?"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 май 2023
  • Mbunge wa viti maalum (Chadema) Halima Mdee akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Kilimo kwa mwaka 2023/24 Bungeni jijini Dodoma leo.

Комментарии • 81

  • @NaphySky-oq5sy
    @NaphySky-oq5sy Месяц назад +1

    Halima oyeeeh my voice 🎉❤

  • @prosperidinya5864
    @prosperidinya5864 2 месяца назад +1

    Akili kubwa sana ya huyu dada. Tunahitaji wabunge kama hawa. Lakini Kwa bahati mbaya sana mawazo ya watu kama hawa hayasikilizwi. Tutaendelea kupiga marktime Kwa tulio wengi na wachache kutengezwa mabilionea.

  • @user-ws5sd8wf1t
    @user-ws5sd8wf1t 5 месяцев назад +1

    Ww dada hunapambanasana mungu hakulinde❤❤

  • @StadiusJustus-ck8xi
    @StadiusJustus-ck8xi 3 месяца назад +1

    Point dada point dada sema kazia hapoo

  • @salmamakweta1198
    @salmamakweta1198 Год назад +3

    Point sana

  • @elishajailosy4916
    @elishajailosy4916 Год назад +3

    Dah uyu mdee Yuko vzr

  • @AbdallahThomastz
    @AbdallahThomastz 5 месяцев назад +1

    Mama nakuelewa halima

  • @azizamvungi1871
    @azizamvungi1871 7 месяцев назад +1

    Mpare wewe unakili sana.kitu hicho chakutoka kilimanjaro❤❤

  • @kimanimain9239
    @kimanimain9239 11 месяцев назад +1

    Yes madam hali congratulations 🎉🎉🎉

  • @mako331
    @mako331 Год назад +6

    Yani tunawabunge wenye akili sana, ila michango yao ingesikilizwa tu

  • @petermwanyondo5370
    @petermwanyondo5370 10 месяцев назад +1

    Huyu halimadee bulaya matiko bunge nk bunge linanoga malizen tofauti sna jaman

  • @TajweedKachila-qb9eq
    @TajweedKachila-qb9eq Год назад +4

    Yaaah big up to you 😁😁😁 if we get representative like you .....we successful our plan

    • @birianination7097
      @birianination7097 Год назад

      What is your plan, vijana kuto pata fursa, kuendelea kulima kwa jembe

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 Год назад +5

    Mboe fanya maliziano na hawa wabunge haraka ukiwatoa bungeni utaua chama

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 9 месяцев назад +1

    Halima mdee breathing fire but oozing some wisdom. 🇰🇪

  • @gililwise
    @gililwise Год назад +5

    Halima oyeeee mama Samia mpe wizara ya kilimo anafaa sana.

    • @emmanuelbonaventura4258
      @emmanuelbonaventura4258 Год назад +1

      Ana hoja lakini haimaanishi anaweza kufanikisha kilimo.

    • @birianination7097
      @birianination7097 Год назад

      Kwa hiyo sasa ni bora tuendelee na kilimo cha jembe na mvua kinacho limwa hasa na wazee, kisa kulima kilimo cha umwagiliaji na mashine kinacho ajiri vijana ni garama.

  • @kimanimain9239
    @kimanimain9239 11 месяцев назад +1

    Halima anakuwang mzuri can but ni hoja yake ndy wanaikataa 2 jmn 🎉🎉

  • @abdillahyussuf7200
    @abdillahyussuf7200 11 месяцев назад +1

    Nakukubali dada

  • @sialo8624
    @sialo8624 Год назад +2

    Genius

  • @benny4345
    @benny4345 Год назад +7

    Halima is spot on! She is making a lot of sense!

    • @birianination7097
      @birianination7097 Год назад +1

      So the government should stop assisting over 1.6 million youth to get into modern agriculture, they should stop the program that aims to increase agro product for over 73% due to it is expensive to do so.

    • @nayfatyally4108
      @nayfatyally4108 11 месяцев назад

      Wema s eptu
      @@birianination7097

  • @dominicbinonde9163
    @dominicbinonde9163 Год назад +1

    Anaitwa Halima James Mdee!

  • @brunokalipesa5231
    @brunokalipesa5231 9 месяцев назад +1

    Ila nikweli

  • @feiswalsalim2117
    @feiswalsalim2117 8 дней назад

    jer ukulima ulukukuwa utatumikaa kulimaa nikilimo anynaganii husika sababuu kunakilomoo chegine kinaharibuu artho

  • @emanuelcosmas395
    @emanuelcosmas395 Год назад +3

    Bashe anataka kuhawa ardhi yote alafu wajukuu zetu watalima wapi?

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Год назад +3

    Kuna mashamba wamemilikishwa wageni tunayaona tuuuu afu baadae yakifikiwa na mji ukikua wanafungua viwanda. Alafu kwann sijaona taarifa ye yote kwenye kuchangia kwake huyu binti yenu?

  • @makupejafar1771
    @makupejafar1771 Год назад +2

    Leo mdee safi skuelewagi ila Leo nakupa Mauwa yangu

  • @TajweedKachila-qb9eq
    @TajweedKachila-qb9eq Год назад +3

    Inavutia Xana ukweli mtupu bg up mama

  • @evelina9621
    @evelina9621 5 дней назад

    Wazungu.wanatucheka.bei.gani
    Hiyo.waziri.

  • @genarahaswile2990
    @genarahaswile2990 Год назад +4

    halima kunywa pepsi kwa mangi nitalipia

  • @isaacbarnabas9608
    @isaacbarnabas9608 Год назад +3

    She's too logical fr fr

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 Год назад +3

    Bashe anadanganya wa at chakula kiuzwe nje ya nchi ndio bei inapanda mkulima iuza mazao siku nyingi mfanyabiashara arabica stoo ,bei inapanda mkulima anazidi kuumia wananchi nao wanakufa na njaa we mashavu yana nenepa unajisifia bure jitafali maana kuna MUNGU

  • @ibrahimtesha2733
    @ibrahimtesha2733 Месяц назад +1

    Halima, wewe ni msalliti wa CHADEMA, Unashangiliwaje na CCM? SI MBUNGE HALALI!

  • @idrissaomba8803
    @idrissaomba8803 Год назад +2

    Nazani umejibiwa sasa, Bashe amekumaliza

  • @saidhamza5318
    @saidhamza5318 Год назад +1

    Duh 🧐

  • @StadiusJustus-ck8xi
    @StadiusJustus-ck8xi 3 месяца назад

    Dada mwaka ujao ingia bungeni nakula tutakupa dada nakufurahia sana

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Год назад +1

    Alima mdee yuko sahii kwa mapungufu ya waziri ila wegemi kupewa arizi miaka mingi ni hatari Sana

  • @evelina9621
    @evelina9621 5 дней назад

    Huyo.nibei.hafai.wizi

  • @Sianonyangwa-ct2vk
    @Sianonyangwa-ct2vk 22 дня назад

    Naomba mikataba ya ardhi kwa wawekezaji ifutwe nitoe mfano shamba naco mbalali nakodi eka moja laki moja je unamsaidia mkulima mdogo au unamuumiza

  • @feiswalsalim2117
    @feiswalsalim2117 8 дней назад

    mbolea za wazungu jeetz slitrgeza hstaa mbeguu

  • @innocentsaka934
    @innocentsaka934 Год назад +2

    Ni Kilimo cha mjini kweli

  • @user-zu7mc9zh6z
    @user-zu7mc9zh6z Месяц назад +1

    Yaani tunawabunge wenye akili kama wewe 10.

  • @nyemombogoni3755
    @nyemombogoni3755 Год назад +1

    Hivi naweza kujiweka hapa?🤔🤔

  • @user-fe1wy5wt5k
    @user-fe1wy5wt5k 10 месяцев назад

    Halima mdee apaswa kupewa sapota kw upingaji na utetenzi kw wakulima❤

  • @seifsaidseifsaid1210
    @seifsaidseifsaid1210 Год назад +1

    Hatuna mawaziri wakiwa nje wanapiga kelele wakipewa uwaziri hakuna wanachokifanya zaidi ya kupiga pesa!

  • @dastanlufunda8846
    @dastanlufunda8846 Год назад +5

    Tunashida nchi hii kila mchangiaji mzuri anapochangia jambo zuri in kama watu. Hawataki , kiti, ushauri kwenye vitu sence vyavtaifa , tuwape mda zaid wale wanaocahangia ukombozi, halima yuko sawa kwa hili, gwajima yupo sawa na wachache wengine tuikomboe nchi yetu jameni,.....

  • @hamisimsosi6237
    @hamisimsosi6237 Год назад

    Huyu ni mtu hatari Sana yaani chuki weka mbali na watoto😅😅😁😁♥️♥️🏆🏆🔥🔥

  • @yusuphMwebesa
    @yusuphMwebesa 4 месяца назад

    washa moto

  • @onesmomasala-rg2wd
    @onesmomasala-rg2wd Год назад

    Dada uko vizuri lkn covd 19

  • @samuelmbogo7448
    @samuelmbogo7448 Месяц назад

    Madee umeongea pointi! Na huo ndiyo ukweli . Wakulima wadogo wanatakiwa kuboresha kilimo chao. Hiyo pesa ni nyingi sana.

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z Год назад +2

    Wewe sio mbunge uliibiwa kura kawe uko hapo kimakosa kadai kura zako,na utafute chama ndio uje, ilikua zamani.

    • @simonloishiye7163
      @simonloishiye7163 Год назад +1

      Halima hoyeeeee anafaa sana kuwa kiongozi Tena Bora kabsa

  • @user-rs8tm5bq9b
    @user-rs8tm5bq9b Месяц назад

    Halima

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 Год назад +1

    Haaaaaa kilimo Cha mjinii

  • @user-do5by8jl6g
    @user-do5by8jl6g 4 месяца назад

    Kichefuchefu

  • @samsonkatigiri2344
    @samsonkatigiri2344 Год назад

    Namshauri Rais awe makini na mradi huu,nimradi wa upigaji,wakulima tayari wapo kazini hao wa kutafuta kwenye vyombo vya habari ni njia tu ya upigaji,wakuwapa hayo mashamba tayari wapo shambani wanalima,nendeni vijijini muwape hao msaada kilimo lazima kiwe ndani ya damu ya mtu sio kulazomisha watu wawe wakulima,haya ni makosa na matumizi mabaya ya fedha za serikali,benki haikopeshi mfamyabiashara mpaka awe na biashara,hivyo hivyo serikali iwape mashamba ambao tayari wana shamba.

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 Год назад

    CCM cha changu lakini kisa cha wabunge 19 bila chama inanipa kigugumizi

  • @genarahaswile2990
    @genarahaswile2990 Год назад

    bashee ni 😂

  • @gideonmphunami2448
    @gideonmphunami2448 Год назад

    Harima Mdee ni mgodi unatakiwa ulinzi

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 Год назад

    Wapi Babutale ni mbunge bado au meneja wa mziiki Diamondplatnumz

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Год назад +3

    Halima amewazoea sana ccm anawapoteza anazungumza 7bu mnamlipa bila 7bu

  • @magrethlubimbi4055
    @magrethlubimbi4055 8 месяцев назад

    Umenena vyema kabisa mdee

  • @innocentsaka934
    @innocentsaka934 Год назад

    Hakuna ruzku kuna umiza wakulima tulimpenda akiwa mbunge sijui wizara inampoleza

  • @user-rd5is3ne3j
    @user-rd5is3ne3j 10 месяцев назад

    Halima.jaman
    Duu

  • @sahilimassawe3557
    @sahilimassawe3557 10 месяцев назад

    Kashachokauyoooo

  • @mohamedkigwehe3561
    @mohamedkigwehe3561 9 месяцев назад

    Shamba la bibi

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 Год назад

    Hivi kweli tunaweza kusema Halima mdee hatuwakilishi vyema eti kwa sababu tu CDM wamemkataa?

  • @user-zx6em4eg6k
    @user-zx6em4eg6k Год назад +1

    Madee umeongea wengi wanaangalia leo tu !

    • @birianination7097
      @birianination7097 Год назад

      Kwa hiyo tuachane na kilimo cha machine na umwagiliaji kisa ni cha garama sasa,
      Tuendelee na kilimo chetu cha bei poa cha kutegemea mvua na majembe kinacho limwa na wazee,
      Je hao wazee wakiisha watalima nani,
      Je mvua isipo nyesha tutakula nini
      Je hao vijana wafanye nini

    • @ismailferouz8688
      @ismailferouz8688 10 месяцев назад

      @@birianination7097 usitupange vijana wenyewe tunalima njo kwetu tabora skonge kaliuwa urambo uwone vijana tunavyo Lima uyo bashe si tabora one, ila hapo somkubaliii

  • @salmanmagwe2612
    @salmanmagwe2612 Год назад +2

    Simuelewi huyu mama anachoongea hapa,na anachosikitikia ni nini hasa?
    Mimi ni ni mkulima wa korosho naelewa ugumu wa kusafisha pori,kulima,kupima n.k.
    Si hata utoe basi plani yako?

  • @innocentkyungai1138
    @innocentkyungai1138 Год назад

    Huu ni utumbo

  • @user-kt1ij8hs8d
    @user-kt1ij8hs8d Год назад

    Mchango mzur

  • @olivaerasto6669
    @olivaerasto6669 10 месяцев назад

    Ubadhilifu unaoendelea .IPO siku utautolea hesabu,uwe raisi uwe wazili uwe mbunge .au hata ukiwa mwanaichi upandacho ndicho uvunacho.hakuna atayeishi miaka puku

  • @eliaschipanda2006
    @eliaschipanda2006 Месяц назад

    Nimemkubali huyu mama. Halima una big brain so mchezo.

  • @emmanuelsamweli6893
    @emmanuelsamweli6893 Год назад

    Mjinga uyu