Halima Mdee amuwashia moto Bashe; ashusha kiingereza Bungeni "Hii ni akili gani jamani?"
HTML-код
- Опубликовано: 8 май 2023
- Mbunge wa viti maalum (Chadema) Halima Mdee akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Kilimo kwa mwaka 2023/24 Bungeni jijini Dodoma leo.
Halima oyeeeh my voice 🎉❤
Akili kubwa sana ya huyu dada. Tunahitaji wabunge kama hawa. Lakini Kwa bahati mbaya sana mawazo ya watu kama hawa hayasikilizwi. Tutaendelea kupiga marktime Kwa tulio wengi na wachache kutengezwa mabilionea.
Ww dada hunapambanasana mungu hakulinde❤❤
Point dada point dada sema kazia hapoo
Point sana
Dah uyu mdee Yuko vzr
Mama nakuelewa halima
Mpare wewe unakili sana.kitu hicho chakutoka kilimanjaro❤❤
Yes madam hali congratulations 🎉🎉🎉
Yani tunawabunge wenye akili sana, ila michango yao ingesikilizwa tu
Huyu halimadee bulaya matiko bunge nk bunge linanoga malizen tofauti sna jaman
Yaaah big up to you 😁😁😁 if we get representative like you .....we successful our plan
What is your plan, vijana kuto pata fursa, kuendelea kulima kwa jembe
Mboe fanya maliziano na hawa wabunge haraka ukiwatoa bungeni utaua chama
Halima mdee breathing fire but oozing some wisdom. 🇰🇪
Halima oyeeee mama Samia mpe wizara ya kilimo anafaa sana.
Ana hoja lakini haimaanishi anaweza kufanikisha kilimo.
Kwa hiyo sasa ni bora tuendelee na kilimo cha jembe na mvua kinacho limwa hasa na wazee, kisa kulima kilimo cha umwagiliaji na mashine kinacho ajiri vijana ni garama.
Halima anakuwang mzuri can but ni hoja yake ndy wanaikataa 2 jmn 🎉🎉
Nakukubali dada
Genius
Halima is spot on! She is making a lot of sense!
So the government should stop assisting over 1.6 million youth to get into modern agriculture, they should stop the program that aims to increase agro product for over 73% due to it is expensive to do so.
Wema s eptu
@@birianination7097
Anaitwa Halima James Mdee!
Ila nikweli
jer ukulima ulukukuwa utatumikaa kulimaa nikilimo anynaganii husika sababuu kunakilomoo chegine kinaharibuu artho
Bashe anataka kuhawa ardhi yote alafu wajukuu zetu watalima wapi?
Kuna mashamba wamemilikishwa wageni tunayaona tuuuu afu baadae yakifikiwa na mji ukikua wanafungua viwanda. Alafu kwann sijaona taarifa ye yote kwenye kuchangia kwake huyu binti yenu?
Leo mdee safi skuelewagi ila Leo nakupa Mauwa yangu
Inavutia Xana ukweli mtupu bg up mama
Wazungu.wanatucheka.bei.gani
Hiyo.waziri.
halima kunywa pepsi kwa mangi nitalipia
She's too logical fr fr
How
Bashe anadanganya wa at chakula kiuzwe nje ya nchi ndio bei inapanda mkulima iuza mazao siku nyingi mfanyabiashara arabica stoo ,bei inapanda mkulima anazidi kuumia wananchi nao wanakufa na njaa we mashavu yana nenepa unajisifia bure jitafali maana kuna MUNGU
Halima, wewe ni msalliti wa CHADEMA, Unashangiliwaje na CCM? SI MBUNGE HALALI!
Nazani umejibiwa sasa, Bashe amekumaliza
Duh 🧐
Dada mwaka ujao ingia bungeni nakula tutakupa dada nakufurahia sana
Alima mdee yuko sahii kwa mapungufu ya waziri ila wegemi kupewa arizi miaka mingi ni hatari Sana
Huyo.nibei.hafai.wizi
Naomba mikataba ya ardhi kwa wawekezaji ifutwe nitoe mfano shamba naco mbalali nakodi eka moja laki moja je unamsaidia mkulima mdogo au unamuumiza
mbolea za wazungu jeetz slitrgeza hstaa mbeguu
Ni Kilimo cha mjini kweli
Yaani tunawabunge wenye akili kama wewe 10.
Hivi naweza kujiweka hapa?🤔🤔
Halima mdee apaswa kupewa sapota kw upingaji na utetenzi kw wakulima❤
Hatuna mawaziri wakiwa nje wanapiga kelele wakipewa uwaziri hakuna wanachokifanya zaidi ya kupiga pesa!
Tunashida nchi hii kila mchangiaji mzuri anapochangia jambo zuri in kama watu. Hawataki , kiti, ushauri kwenye vitu sence vyavtaifa , tuwape mda zaid wale wanaocahangia ukombozi, halima yuko sawa kwa hili, gwajima yupo sawa na wachache wengine tuikomboe nchi yetu jameni,.....
Huyu ni mtu hatari Sana yaani chuki weka mbali na watoto😅😅😁😁♥️♥️🏆🏆🔥🔥
washa moto
Dada uko vizuri lkn covd 19
Madee umeongea pointi! Na huo ndiyo ukweli . Wakulima wadogo wanatakiwa kuboresha kilimo chao. Hiyo pesa ni nyingi sana.
Wewe sio mbunge uliibiwa kura kawe uko hapo kimakosa kadai kura zako,na utafute chama ndio uje, ilikua zamani.
Halima hoyeeeee anafaa sana kuwa kiongozi Tena Bora kabsa
Halima
Haaaaaa kilimo Cha mjinii
Kichefuchefu
Namshauri Rais awe makini na mradi huu,nimradi wa upigaji,wakulima tayari wapo kazini hao wa kutafuta kwenye vyombo vya habari ni njia tu ya upigaji,wakuwapa hayo mashamba tayari wapo shambani wanalima,nendeni vijijini muwape hao msaada kilimo lazima kiwe ndani ya damu ya mtu sio kulazomisha watu wawe wakulima,haya ni makosa na matumizi mabaya ya fedha za serikali,benki haikopeshi mfamyabiashara mpaka awe na biashara,hivyo hivyo serikali iwape mashamba ambao tayari wana shamba.
CCM cha changu lakini kisa cha wabunge 19 bila chama inanipa kigugumizi
bashee ni 😂
Harima Mdee ni mgodi unatakiwa ulinzi
Wapi Babutale ni mbunge bado au meneja wa mziiki Diamondplatnumz
Halima amewazoea sana ccm anawapoteza anazungumza 7bu mnamlipa bila 7bu
Umenena vyema kabisa mdee
Hakuna ruzku kuna umiza wakulima tulimpenda akiwa mbunge sijui wizara inampoleza
Halima.jaman
Duu
Kashachokauyoooo
Shamba la bibi
Hivi kweli tunaweza kusema Halima mdee hatuwakilishi vyema eti kwa sababu tu CDM wamemkataa?
Madee umeongea wengi wanaangalia leo tu !
Kwa hiyo tuachane na kilimo cha machine na umwagiliaji kisa ni cha garama sasa,
Tuendelee na kilimo chetu cha bei poa cha kutegemea mvua na majembe kinacho limwa na wazee,
Je hao wazee wakiisha watalima nani,
Je mvua isipo nyesha tutakula nini
Je hao vijana wafanye nini
@@birianination7097 usitupange vijana wenyewe tunalima njo kwetu tabora skonge kaliuwa urambo uwone vijana tunavyo Lima uyo bashe si tabora one, ila hapo somkubaliii
Simuelewi huyu mama anachoongea hapa,na anachosikitikia ni nini hasa?
Mimi ni ni mkulima wa korosho naelewa ugumu wa kusafisha pori,kulima,kupima n.k.
Si hata utoe basi plani yako?
Huu ni utumbo
Mchango mzur
Ubadhilifu unaoendelea .IPO siku utautolea hesabu,uwe raisi uwe wazili uwe mbunge .au hata ukiwa mwanaichi upandacho ndicho uvunacho.hakuna atayeishi miaka puku
Nimemkubali huyu mama. Halima una big brain so mchezo.
Mjinga uyu