RC CHALAMILA AMCHEKESHA RAIS SAMIA - ''HATA MIMI PIA ni MSANII - INABIDI MJE MCHEZE HAPA''...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 май 2024
  • RC CHALAMILA AMCHEKESHA RAIS SAMIA - ''HATA MIMI PIA ni MSANII - INABIDI MJE MCHEZE HAPA''...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 45

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  21 день назад +5

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 22 дня назад +9

    HONGERA SSSSSSANA MH RAISI WANGU KWA KUJIACHIA URAIANI! NCHI IMETULIA KIMYAAAA!❤

  • @NurdinSaleh-jf8so
    @NurdinSaleh-jf8so 15 дней назад

    Kwa kweli kutoka moyon mwangu nampenda sana Rais mama Samia SULUHU HASSAN

  • @juliusphaustine
    @juliusphaustine 22 дня назад +4

    Big up harmonize

  • @samwa9496
    @samwa9496 22 дня назад +6

    Mama kapendeza 👏👏👏

  • @user-cu9sq7yk3z
    @user-cu9sq7yk3z 21 день назад

    Ladies in publck hongera mama uko vizuri tuko pamoja unanweza

  • @diplomaticdiplomatic3931
    @diplomaticdiplomatic3931 18 дней назад +1

    Hata Mimi pia. Msanii

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily85 21 день назад

    MashaAllaah MashaAllaah mama samiyaa uumependezaaa khan saa khamasaaaaa

  • @angolina1768
    @angolina1768 21 день назад

    Love you mama ❤❤❤

  • @mohdsaid8744
    @mohdsaid8744 22 дня назад +9

    Huyo ndio Raisi Mstaarabu na ni Mama mwenye upendo Mungu Ambarik na Amkinge na kila aina ya shari

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 21 день назад

    Kweli kabisa hili tukio ni kubwa nzuri nipwnda ningetamani niwepo kwa kweli

  • @deogratiaskatinda9232
    @deogratiaskatinda9232 22 дня назад +2

    Kuna kuchanganyikiwa kwingi kwa viongozi wetu kwa sasa

    • @jamesloshilunye414
      @jamesloshilunye414 22 дня назад

      Ki ukweli mpka roho inauma sana,,Nani anaangalia kesho ya Tanzania??? 😭😭😭😭😭Tnajenga nchi ya namna gani ??? Tutakuwa na vijana wenye uwezo wa kudhubutu kufanya mambo makubwa kwa ajili ya nchi???😭😭😭😭
      Tanzania nchi yangu nakulilia sana,,umepoteza mwelekeo,, Tanzania nchi yangu unawayawaya kama kondoo walio kosa mchungaji . Ole wako Tanzania kwa sababu kesho yako ipo hatarini, huna uwakika wa kustawi tena ,tumain lako limefifia, usatwi wako umezikwa kwenye makaburi ya maiti wanaoishi. Sikia Tanzania,,usikie kutoka mashariki,na uwe makin kupokea sauti kutoka magaharibi na ujifunze Maarifa yalitwayo na upepo kutoka kaskaszini na uvute hewa iliyo toka kusini . Ndani yake Kuna maneno yameandikwa" ujitetee kwa maana watu wako wamekusaliti, miti yako ikutetee,maji, hewa, udongo, wanyama, mawe, na kila kitu kilichopo kisimame kukutetea sasa maana umebaki mpweke""

  • @twalibmassea6593
    @twalibmassea6593 22 дня назад +2

    Siku ya wafanyakazi anamtuma mipango, Uzinduzi wa album yupo😅

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 22 дня назад +3

      Ndio labda siku ya wafanya kazi hakuwepo nchini na pengine iyo siku ilikua mchana na hakupata nafasi

    • @beatricefelix1271
      @beatricefelix1271 22 дня назад +1

      😆😆😆😆

  • @peterkasonso3169
    @peterkasonso3169 21 день назад

    Dizeli petroli inazidi kwenda juu,maisha yanazidi kuwa. Magumu,Kila mahali upigaji tu,alafu eti anaupenda ,dah!!!!!!!!!?

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz 22 дня назад

    Mama kaonesha ishara wa2 wakacheze mbele aone wanavo serebuka watoto wake na wajuku zake

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 22 дня назад +2

    Chalamila comedian mno asee

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 22 дня назад +6

    Mama wawatu acheni chuki. Mama yetu habagui wa mtu wa khali yeyote penda sasa mama love sana Rais wangu. Siku zote siichoki kukuombea na sintokaa nichoke kukuombea mama yangu

  • @AzoryIgnas
    @AzoryIgnas 21 день назад

    Hata mm pia ni msanii

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb 16 дней назад

    Imebuma hiyo

  • @Gracemagoma-mi9ub
    @Gracemagoma-mi9ub 22 дня назад +5

    siyo siri mama kapendeza sana leo

  • @aminielyusufu4351
    @aminielyusufu4351 22 дня назад +3

    Mama ni Mrembo Sana. Ana roho ya Upendo Kwa watu wake

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140 22 дня назад

    Makubwa hayo

  • @shmaiderkiborey5144
    @shmaiderkiborey5144 22 дня назад +1

    Mbona mama huwa anakwenda kwenye matukio mengi

  • @JacksonNovatM
    @JacksonNovatM 22 дня назад +1

    Chalamila huna taarifa. Mbona huyu huyu alienda kwa Sugu?

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 19 дней назад

    Mama karibu kwenye wedding yangu, nitafurahi sana kukuona maana nayo itakuwa pambe

  • @user-nm8ym6iq7n
    @user-nm8ym6iq7n 22 дня назад +1

    Kwa sugu , samia alikuwepo

  • @sarahmuhammed6872
    @sarahmuhammed6872 22 дня назад

    Sound poor jeshi hawa managers zako wanaocontral spund wafute kaxi

  • @Hussein-gx4qu
    @Hussein-gx4qu 22 дня назад +2

    Mbona kila siku hafla za ajabu ajabu mama kuwa siliuzi kama baba mambo ya harmonize we unaenda kufanya nini

    • @AllyMaya-yj3xd
      @AllyMaya-yj3xd 22 дня назад

      Sio ya ajabu ajabu sekta ya michezo na sanaaa inachangia uchumi wa nchi nyingi analengo analengo la kuikuza kama diamond kodi analipa zaisi ya ml 300 kwa mwaka msanii mmoja wakiwezeshwa wengi kodi itakuwa kiasi gani

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu 22 дня назад +3

      @@AllyMaya-yj3xd kwani nani kasema haiingizi. Ameshindwa kuzuia wezi wanaitafuna nchi anaharibu muda kwa mambo ya mipasho huo muda akautumie kuzuia wezi ambao wanatuibia Kodi zetu Kila siku nchi imemshida kafeli kusimamia rasilimali za nchi nchi Sasa hivi imekuwa pango la wanyanganyi huku akipoteza muda kwenye mipasho ya harmonize

    • @mwakimedia291
      @mwakimedia291 22 дня назад +1

      UliSkia wap rais joe biden kaudhulia uzinduzi wa album ya Tyga😓😭😭😭

    • @aminakasim1198
      @aminakasim1198 22 дня назад

      Mmmmmmmmmmmmmmmmmmh

    • @NDEWARA
      @NDEWARA 22 дня назад

      ​​@@Hussein-gx4quPole sana. Faida ya hili jambo analofanya Mama yetu siyo rahisi kila mtu kulielewa. Inahitaji mtu kuwa na mtazamo chanya wa mambo😂