Serikali pia iangalie Kuna mitandao ya kijamii hapa Tanzania haiwalipi waundaji wa maudhui wa MITANDAONI Mfano Facebook, kwahiyo talent na waandishi wanatumia gharama lakini hawalipwi
Waziri sisi wananchi mkoa pwani hatumjui mkuu mkoa wetu tunakuomba waziri mkuu kiongozi huyu atembele vijiji ..kata tarafa ..wilaya maeneo hayo yote kuna matatizo mengi awe kama mkuukoa arusha muheshimiw makonda..
Hakuna elimu bure hapo tunapigwa Tu sasa kma elimu ni bure vipi tunawaandikisha watoto wetu tena darasa la Kwanza na Bado tunalipiaa tena shuleni kwenyewe wanasema ni michangoo ya nin sasa kwatamzamo wng hivii sasa huu ni wizi WA kutuibiaa akili
Ahsante sana umewakilisha vema wasio na Sauti, wewe umevuka lakini umesema hayo kuwavusha waliopo chini ubarikiwe sana ✅
Milady voice is so interesting 🎉🎉🎉
Very good speech
Millard!"you are intelligent"I believe 👍
Hongera sana Milady.🌹🌹🌹🌹❤️
Millard ni next level kabisa,
big up bro umetok mbali sana
Umeongea vizuri xana Dogo
This guy deserves to replace nape coz he is on the ground big time. Big up bro all the best.
Bado saana,
Kumbe bro @millardayo umekula chumvi sana 😅, 2004 nilikuwa la kwanza la shule ya msingi na muhimu. 😂
Woooooh,keep going brother
Bora wewe kwa mwezi nilikuwa nalipwa 15000 kwa mwez nikaja 40'000 nikaja 100k mara ya mwisho 111k 2008 now mungu ni mwema nishasahau yoote hayo
Ndio nakumbuka kiongozi kweli ulianzi wapo redio
kaka nikweli hulisemalo kwasababu hatamimi natumia simu kurekod video na pia natamani kujisajili lakini pesa ni tatizo kongole kak kututetea
Hivi Millard ana miaka mingapi?
🙏🙏🙏❤❤🇹🇿🇹🇿🇴🇲🇴🇲
Semeen nabando kuisha g1 dk15 kwel,
Dogo ni mjanja awe wazi, anameza tu
Serikali pia iangalie Kuna mitandao ya kijamii hapa Tanzania haiwalipi waundaji wa maudhui wa MITANDAONI Mfano Facebook, kwahiyo talent na waandishi wanatumia gharama lakini hawalipwi
Hulipwi wewe me mbona Facebook yangu inanilipa vizuri tu.
@@EvaJuakaliTV mbona kama inaniambia your in ineligible country
@@MtazameKristoTv me niliset kwa vpn na ikakubali vizuri, kuna instream Ads na Stars zote naingia pesa.
Kaka wanalipa Mimi mwenyewe nalipwa
@@Sajaonlinetv Facebook? Mbona Mimi hawanilipi Kamwe na Nina followers 28k na nimekidhi vigezo vyote wananiambia Niko ineligible country
Tunakatwasana fedhazetukwenyemabandoyaMB huyowaziri hajari wananchi tuliishapaza sauti zamaumivu sincethen nothingwastakenplace.
😢sema 5000 kwa week sio kwa mwezi kwake hapo umechemuka
🙏🙏🙏🙏❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇴🇲🇴🇲🇴🇲
Waziri sisi wananchi mkoa pwani hatumjui mkuu mkoa wetu tunakuomba waziri mkuu kiongozi huyu atembele vijiji ..kata tarafa ..wilaya maeneo hayo yote kuna matatizo mengi awe kama mkuukoa arusha muheshimiw makonda..
Hakuna elimu bure hapo tunapigwa Tu sasa kma elimu ni bure vipi tunawaandikisha watoto wetu tena darasa la Kwanza na Bado tunalipiaa tena shuleni kwenyewe wanasema ni michangoo ya nin sasa kwatamzamo wng hivii sasa huu ni wizi WA kutuibiaa akili
Atwambie
Wananchi mkoa pwani wote inatakiwa uwatwmbele katika maeneo kusikliza keto zao