MKURUGENZI AMVAA MFANYABIASHARA CHAMBULO "ANADAIWA MILIONI 267, ASIPOTOSHE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 393

  • @ammaherman3391
    @ammaherman3391 5 месяцев назад +85

    Aneyeamini mkurugenzi anahusika kwenye huu mchongo agonge like!
    hahahaaa!! mkurugenz huyu anaonekana kbs ni mpigaji.
    Kwan TIN No si inaweza kutumika hata kwenye kampuni 20 mradi mkurugenzi wake awe ni mmoja huyohuyo?
    huwez shindana na Chambulo, he's very smart.

    • @0783144B
      @0783144B 5 месяцев назад +1

      TIN hivi unaeza ukawa nazo mbili au tatu mbona sijawah kusikia hiyo ? Huyu mkuu anajua hela imeenda kwa nani , takukuru wafanye kazi yao .

    • @sudyslaa8278
      @sudyslaa8278 5 месяцев назад

      TIN Namba huwa ni moja kwa mtu mmoja

    • @tonestisakwe368
      @tonestisakwe368 5 месяцев назад

      Ni mtu wa dili😅

    • @fauzibinzoo6563
      @fauzibinzoo6563 5 месяцев назад +1

      Huyu mwizi kabisa na angekuwepo Yule mwamba saa hizi angekuwa jela

    • @Babaharvey3624
      @Babaharvey3624 5 месяцев назад

      😅😅😅nani huyo angelikuwepo jpm au??​@@fauzibinzoo6563

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 5 месяцев назад +66

    Wanaomkubali chambulo gonga Like twende sawa👍

  • @novathmsanyamsanya7702
    @novathmsanyamsanya7702 5 месяцев назад +16

    Chambulo is one of the smartness business man ever, jamaa ana rohoo ya pekee

  • @barakarobert1029
    @barakarobert1029 4 месяца назад +4

    Nani aliye rudi hapa baada ya makonda kumuwajibusha leo

  • @HelpingHandTz
    @HelpingHandTz 5 месяцев назад +35

    Jamaa anajikanyaga , chambulo alishawahi tunukiwa tuzo ya mlipa kodi bora...

    • @lovenessvisent9408
      @lovenessvisent9408 5 месяцев назад

      Hajui😊

    • @ingodwetrust1852
      @ingodwetrust1852 5 месяцев назад

      Alipataje ikiwa hajui kuwa kila kampuni inalipa kodi kwa TIN yake?au ungesema kampuni X anayomiliki iliwai pata tuzo nasio zote, so yeye kama mtu binafsi sio mlipaji mzuri kama anafisha makampuni mengine anayomiliki

  • @inocentedward2185
    @inocentedward2185 5 месяцев назад +22

    Mkurungezi sema ukweli Chambulo hasemagi uwongo pia Tanganyika ni moja kampuni yake inaitwa kibo namjua vidhuri sana huyo mzee nimefanya kazi kwake miaka 12

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq 5 месяцев назад +3

      Mkurugenzi wa mchongo huyu. Hajui kuwa TIN NUMBER inatolewa moja tu, hata kama una makampuni 100

    • @shukraniluhamo3543
      @shukraniluhamo3543 5 месяцев назад

      Nimefanya kazi kwa huyu jamaa chambulo ni smart huyu jamaa

    • @FastpayMauzo
      @FastpayMauzo 4 месяца назад

      Eti hasemagi uongo😂😂😂😂😂😂
      Una hela afu uongo wa nn😂

  • @MartinLouis-jb9ps
    @MartinLouis-jb9ps 5 месяцев назад +38

    Tin namba inatolewa mara moja tu na inaweza kutumika hata kwenye kampuni kumi. Chambulo asemagi uongo huyo anajua nini anachokifanya

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq 5 месяцев назад +2

      Yaani leo nimecheka😂, huyu Mkurugenzi juha kalulu kweli. Hajui hata taratibu za kikodi

    • @wechemakambo2182
      @wechemakambo2182 5 месяцев назад +1

      Kosa la mkurugenzi liko wp?Na anaonekana wazi huyo jamaa ni mjanjamjanja hamuoni hiyo kampuni aliyoiacha kuweka THE ni ujanja?Maana hata Brela hawasajili jina linalofanana...Jamaa wakati wa JPM alijuwa kujipendekeza

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq 5 месяцев назад

      @@wechemakambo2182 Mkurugenzi mzima hajui kwamba TIN NUMBER ya biashara huwa ni moja tu. Hata kama unamiliki makampuni 100 itatumika hiyo hiyo as long as wewe ni mmiliki.
      Hii tosha inaonyesha Mkurugenzi hana elimu ya kutosha kwenye masuala ya kodi.

    • @geofreykasinda1895
      @geofreykasinda1895 5 месяцев назад +2

      Chamburo anajuwa anacho kisema , huwa apendi kona kona

    • @ingodwetrust1852
      @ingodwetrust1852 5 месяцев назад +1

      Jitaid kutafuta elimu kwanza au utoe hoja kwa umakini, kila kampuni inakua na TIN yake,kama ilivo kila mtu na TIN yake, kisheria kampuni ni mtu, bila kuhuaisha wamiliki yaani Directors. Company is a separate legal entity

  • @BahatiLewis
    @BahatiLewis 5 месяцев назад +21

    Huyo mfanyabiashara amenyooka vibaya mkurugenzi utachemka

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 5 месяцев назад +9

    Kama Mkurugenzi ni mkweli , azungumze mbele ya huyo mfanyabiashara wafanye Waite waandishi na wabebe documents zote na kuwe na maswali na majibu, Mkurugenzi anataka kutuaminisha kila atachosema mfanyabiashara hayuko sahihi sio? Kama ni kweli anadaiwa hizo hela alikuwa wapi siku zote ? Je kweli aliwahi Lipa hizo ml 17 na kuandikiwa risiti pungufu? Kuna maswali mengi mno ktk hili sakata

  • @tumahai157
    @tumahai157 5 месяцев назад +11

    Baba makonda hana mchezo Mtanyoooka tu kile ni chombo cha Mungu Magufuli original

  • @bongoreview1738
    @bongoreview1738 5 месяцев назад +9

    Papaa mapete in da house 😂😂

  • @PhilkevinFelix
    @PhilkevinFelix 5 месяцев назад +14

    Mkurugenziiiiiiiiii? Unafikiria huyo mzee ni mjinga? Makonda anza na huyu Mkurugenzi.

  • @joeboa3139
    @joeboa3139 5 месяцев назад +30

    Mkurugenzi ana Pete Kila kidole utadhani msanii

  • @kakagift8356
    @kakagift8356 5 месяцев назад +19

    Jizi wewe, kwa nini ukujitetea siku hiyo si ulikuwepo. Kwanza kwa cheo chako na hayo mapete ni muhuni.

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 5 месяцев назад

      Ukiona mtu mzima anavaa mapete mengi ujue mawili moja hachomoki, alichelewa sana ujanani amepata hela uzeeni hivyo ulimbukeni ndio unaomsumbua na mara nyingi watu wahivyo ni majizi, pili ni mtu wa kushiriki nguvu za giza kuliko za Imani ya Mungu iwe ni muislamu au mkristo. Hapo mzee hachomoki, mapete ya gizani hayo ndio maana makubwa kwa ndani yananafasi ya kuweka vitu vyao😅

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 5 месяцев назад

      Mtu hawezi ongea kwa kujiamini kiasi kile mbele za watu wote mtu mkubwa mwenyeheshima yake kama yule, hivi awe anapata bilioni 90 kwa mwaka aongee uongo kiasi kile? Mzee jitafari wewe bora uwe kimya kuliko kuita waandishi wa habari kutaka kujisafisha, hata uwe na makampuni mia kama unatumia jina moja maana yake utalipia kwa tin number hiyo hiyo. Mzee jiangalie wewe unajiaibisha toa mchanganuo sio maneno mananeno hayaleti tija.

  • @DM_15
    @DM_15 5 месяцев назад +27

    Gonga like kama umegundua mkurugenzi ameshikwa na mhaho

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 5 месяцев назад +12

    Huyu DED au ndio nani sitambui mbona anaweka NYARA za serikali mbele ya camera. Hakuwahi kula kiapo cha kutunza siri za serikali. PROTECT, RESTRICTED, CONFIDENTIAL, SECRET na Top Secret

    • @chacha-255
      @chacha-255 5 месяцев назад +1

      ni nafasi za yeuzi hizo

    • @AllyLalika-l1e
      @AllyLalika-l1e 5 месяцев назад

      Mnakusanya Kodi mkiambiwa mapato ya mwaka yanakuwa chini😂

  • @lucaskashimwita6386
    @lucaskashimwita6386 5 месяцев назад +4

    Hivi huyu jamaa si ndio alikuwa kule Serengeti nyakati za Magufuli akawa analia baada Mbunge mmoja wa CHADEMA kumtuhumu ni mwizi😝😝😝

    • @danielgodsonngalomba
      @danielgodsonngalomba 5 месяцев назад

      Aahahahhhaha! Kaka, ni sahihi. Ndio yeye, nakumbuka mpaka jamaa alikuwa analia sana, JPM akamsamehe akamwambia apige tu kazi!

  • @zebedayobiswalo1924
    @zebedayobiswalo1924 5 месяцев назад +16

    Huge jamaa alie lalamika siyo mjinga bro

  • @remigiusandrew3497
    @remigiusandrew3497 5 месяцев назад +1

    Je ni sahihi au weledi kuonyesha documents za biashara hadharani kama inavyofanyika? Aliombwa ruhusa kwa mfanyabiashara kuzungumziwa hadharani?

  • @sadikidaudi460
    @sadikidaudi460 5 месяцев назад +8

    Mkurugenzi pete zimekua nyingi saana 😂😂😂

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq 5 месяцев назад +5

      Huyu usikute kiunoni ana shanga

    • @HappyMwaigwisya
      @HappyMwaigwisya 5 месяцев назад +1

      ​@@NgengeMkeni-uo5hqhahahaaaaa yes inawezekana

    • @mohamedmacha
      @mohamedmacha 5 месяцев назад

      😂😂😂​@@NgengeMkeni-uo5hq

  • @oscartalljembemgonya3528
    @oscartalljembemgonya3528 5 месяцев назад +26

    wewe ni mwizi kabisa unaonekana tu na mapete yako hayo we mwizi makonda tumbua huyo.

    • @africanpharaoh
      @africanpharaoh 5 месяцев назад +2

      Masta yaani nilivyoona mapete pete ya majini na bahati nikajua hapa mwamba mwongooooo tu hata kabla hajaongea

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq 5 месяцев назад +2

      We muone tu alivyo na mipete yake ya nyota.

    • @HappyMwaigwisya
      @HappyMwaigwisya 5 месяцев назад +1

      ​@@africanpharaohkabisa kabisa

  • @HappyKelvin-ze5lp
    @HappyKelvin-ze5lp 5 месяцев назад +1

    Mbona ungenyamaza tu mkurugenzi

  • @tiffahdangote7548
    @tiffahdangote7548 5 месяцев назад +3

    Mkurugenzi anaelezea vzr tu! Yupo SAHIHI....msikilizeni msikimbilie izo Pete zake au ni mwizi! Kama anapenda kuvaa Pete na avae tu kwani zinawazuia kupumua??? Hapo msikilizeni ili mpate mfafanuo! Acheni KERO za maneno😮

    • @Fred-Ma
      @Fred-Ma 5 месяцев назад

      Wewe umemwelewaje?😂😂

    • @tiffahdangote7548
      @tiffahdangote7548 5 месяцев назад

      @@Fred-Ma ww ni mwanaume au mwanamke!!!! Kama mwanaume una umri gan??? Maana Kuna maswali mengine kabla ya kumjibu mtu uangalie lika lake kwanza na jinsia!

    • @Fred-Ma
      @Fred-Ma 5 месяцев назад

      @@tiffahdangote7548 Argumentum ad hominem si njia sahihi ya kujadili hoja kwa ujadidi...
      Umri wangu utakusaidia nini katika wewe kuelezea ulivyomwelewa Mkurugenzi?

    • @tiffahdangote7548
      @tiffahdangote7548 5 месяцев назад

      @@Fred-Ma naona kama ilikua sio SAHIHI kuuliza swali kama ilo inakua kama kejeli! Maana ww kama mtu mzima sidhani ilo swali kama litakua SAHIHI kuuliza! Na ndo maana nkasema hivyo...ila all in all kama umemuelewa sawa, pia kama hujamuelewa pia sawa

  • @dennisnjonanje62
    @dennisnjonanje62 5 месяцев назад +2

    Mkurugenzi kajaza mapete kama Gangsta 😂

  • @daudifesto5592
    @daudifesto5592 5 месяцев назад

    Mkurugenzi unazunguka sanaaaaa.... Straight to the point.... Je ni kweli au si kweli amelipa ml 24 na akaandikiwa ml 3.......Kama ni kweli yeye aje na ushahidi na kama si kweli toa ushahidi.... Unazunguka sana ili kuonesha uma ubaya wa huyo jamaa..... Na yeye sio chizi aongee vile ungemwita kwanza ili umsikilize...

    • @amirisaid6341
      @amirisaid6341 5 месяцев назад

      Mkurugenzi amekili kuwa jamaa amelipa milioni 24 ila kwa kampuni mbili tofauti ....Moja milioni 3 nyingine milioni 21..

  • @shafiiwajad457
    @shafiiwajad457 4 месяца назад +1

    Mapato yake kwa mwaka ni bilioni 90
    Kubababakeeeeee tutafute hela

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 5 месяцев назад +9

    MKURUGENZI MAPETE HAYO YANAKUSHUSHIA HESHIMA

    • @BinyuraYanga
      @BinyuraYanga 5 месяцев назад +2

      Ushirikina huo😢

    • @edgaphabian407
      @edgaphabian407 5 месяцев назад +2

      So unprofessional mapete kama muuza visu, eti mkurugenzi

  • @innocentlyamuya6517
    @innocentlyamuya6517 5 месяцев назад +18

    mmeiba hela ya chambulo

    • @Wami-Sababisho
      @Wami-Sababisho 5 месяцев назад

      Na hiyo hela itampoteza mtu

    • @StanleyEmmajose-fs8th
      @StanleyEmmajose-fs8th 3 месяца назад

      Huyu kweli mwizi mkurugenzi umeyakanyaga umeyatimba kwa mtoto wa dar

  • @zakayomarandu9949
    @zakayomarandu9949 5 месяцев назад +1

    mtu apate million 90 alafu kodi mill 270 laki 77500/= sas anafanya biashara gan hapo mbon hawa ni wez hivi

  • @egdldm4981
    @egdldm4981 5 месяцев назад +17

    Sasa Mkurugenzi hayo mapete yote ni ya nini?

    • @tweakingtricks1087
      @tweakingtricks1087 5 месяцев назад +1

      Kiti hicho kizito.... 😂😂😂😂😂😂

    • @silivestatesha9262
      @silivestatesha9262 5 месяцев назад +1

      Sipete wewe utakage bila uchawi

    • @johnmalembo6464
      @johnmalembo6464 5 месяцев назад +2

      Hayo mapete ni ya ushirikina...... Hata haoni aibu

    • @taslimanyange2850
      @taslimanyange2850 5 месяцев назад +2

      Mipete ya maostadhi ya kiganga 😂😂😂😂

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 5 месяцев назад +7

    Huyoo mfanya biashara ni wa siku nyingi since he was teenager hawezi sema UWONGO leo. company's yake ni kubwa hawezi DANGANYA lol hiyo different THE.....yupo wapi MUHASIBU??? km alikuwa ana lipa wrong becouse of The.. why km mteja mlipa kodi vizuri hivyoo msimueleweshe? Muhasibu yupo wapi? Yani THE ndiyo iwe chanzo cha kumpiga different kodi okay km ni company's tofauti alikuwa analipia TN number gani?

    • @deogratiusyudatadei5658
      @deogratiusyudatadei5658 5 месяцев назад

      Sasa serikali ndiyo Ina shida au yeye na mwasibu wake ww umepeleka m24 tra alafu umepewa risiti ya m3 unamchukua unaondoka unataka unakuja kulalamika huku Nani alaumiwe

  • @cosein
    @cosein 5 месяцев назад +7

    Mkurugenzi izo Pete vipii mbona nyingi.
    Kama unaona mkurugenzi anajua nipe like

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in 5 месяцев назад +5

    Rudisheni Hela za watu😂😂😂sura tu linaonekan n lijizi

  • @MRPRESIDENT-w4l
    @MRPRESIDENT-w4l 5 месяцев назад +4

    Watu wengi Wanakkimbia Kodi ni ADUI MKUBWA WA Wafanyabiashara 😂

  • @nth3512
    @nth3512 5 месяцев назад +3

    Yani neno "The" linatofautisha kampuni!! Duuh, sio kwamba ni typing error ya wafanyakazi wenu?

    • @ndegebedua
      @ndegebedua 5 месяцев назад +1

      Unaonekana unauelewa saana wa mfumo, hongera saana nikuelewa saana maana natumika kwenye idara ya kutowa Quittance ( risit ) nipo drc.

    • @nth3512
      @nth3512 5 месяцев назад

      @@ndegebedua Yah ni kweli, baadh ya mifumo nahusik kutengeneza na kuisimamia

  • @yusuphmgalawe7193
    @yusuphmgalawe7193 5 месяцев назад +3

    hakika hii nchi bas tu,,,,, hzo karatas zote zinaonekana mpya ila mwanzo kasema kabrasha alikuwa nalo muda mref

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 5 месяцев назад +22

    Huyu mwizi kabisa jambazi hlf mbona unahasira kama sio mwizi

  • @tumahai157
    @tumahai157 5 месяцев назад +6

    MUNGU atusaidie tu Makonda acheleweshwe kidogo arusha asibadilishwe haraka muone arusha itakavyo nyooka.Shikamoo Makonda❤

  • @familytalks1
    @familytalks1 5 месяцев назад +6

    Acheni zengwe, milioni 21 mmezipeleka wapi?.

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 4 месяца назад

    Pete za mkurugenzi,zinaitwa PETE OF UTALII LMTD 😂😂😂

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 5 месяцев назад +2

    Wakurungenzi wa nchi hii rais anawalea sana, ufisadi kila kona,Tra ndiyo kabisa ufisadi tu,no development, RIP JPM

  • @trendings1293
    @trendings1293 4 месяца назад +1

    Huyu mwizi kabisaaa

  • @maalimwenga452
    @maalimwenga452 5 месяцев назад +5

    Mama tumbua hi mutu haifai kua kiongozi amevunja viapo vyake vya utumishi

  • @zephaniamayeye4902
    @zephaniamayeye4902 5 месяцев назад +1

    Mkurugenzi Ana mipeteeee uyo😅😂

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 5 месяцев назад +14

    Ameshabambikiwa tayari

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq 5 месяцев назад +2

      Ndioo, wamembambikia mitozo yote hiyo ili aogope asiwachomee kwa Makonda. Sasa hapa inabidi Makonda ale nae sahani moja😂

  • @gilliardgodfriend5745
    @gilliardgodfriend5745 5 месяцев назад +5

    BILLION 90 kweli sisi tunahangaika😅😅😅😂😂😂

  • @user13375
    @user13375 3 месяца назад

    Unajikaanga mwenyewe ,achana na media😮😮😮

  • @godfreymushi6966
    @godfreymushi6966 5 месяцев назад +11

    Hiyo ni fail.siyo kabrasha heshimu watu unalupwa kwa kodi zao

    • @adamnguvu1020
      @adamnguvu1020 5 месяцев назад +1

      File kingreza kiswahili chake ndo hcho kakaa MAKABRASHA

    • @Burner_Acc
      @Burner_Acc 5 месяцев назад

      Eti fail 😂😂😂 kingereza chenyewe hujui

  • @NgengeMkeni-uo5hq
    @NgengeMkeni-uo5hq 5 месяцев назад +16

    Hayo mapete ya nini sasa?

    • @DwishaMentor
      @DwishaMentor 5 месяцев назад +1

      Analinda cheo hahahah😂😂😂

    • @stephenmbasha4389
      @stephenmbasha4389 5 месяцев назад +1

      Irizi

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq 5 месяцев назад

      @@DwishaMentor dahhh, nimechekaaa🤣... aisee kweli hizi ajira zinatafutwa kwa shida

    • @rosehaule6765
      @rosehaule6765 5 месяцев назад +1

      Kinga 😂😂 kaongopewa..check atatoka😂😂 kumbe cheo ninkoti ukivuq anavaa mwingine nimmuda tu😂😂😂😂 Pete za nn Sasa waiiii

    • @wozanawewoz979
      @wozanawewoz979 5 месяцев назад

      Freemanson 😂

  • @siamuchunguzi
    @siamuchunguzi 5 месяцев назад

    Mama Samia tafadhali sana mama, huyu mkurugenzi hafaiiiii, apishe watu waadilifu wakalie hicho kiti

  • @YusufLubangula-yn6tq
    @YusufLubangula-yn6tq 5 месяцев назад +1

    Haha SASA matusi meeengi Kwa Viongozi tunasema ni wezi Kumbe serikali inatudai mihela rundo Serikali inatupoozea Alafu tunaviimba Eti Watumishi wezi Tulipe Kodi ASKALI WAWEZE LIPWA MISHAHARA🤔 TRA Wafichueni hao wanatuchelewesha🥺🤔

  • @alfredmasawe3081
    @alfredmasawe3081 5 месяцев назад

    Hapa Tatizo ni makosa au kosa lililofanywa kwenye mfumo....unaweza Kuta chambulo anajua kuwa yeye anamiliki kampuni mmoja lakini kwenye mfumo Kuna kampuni mbili.....si rahisi mtu kuwa na kampuni mbili zinazinazofanana majina kiasi hicho Kwa sababu it does not bring any business sense....tofauti Hapo ni neno ....THE....wakae chini waweke Bayana na wamuulize Chambulo kama anamiliki kampuni hiyo ambayo Mkurugenzi kaisema.....tatizo litakuwa kwenye mfumo.....nani aliweka hizo information za kampuni za Chambulo kwenye mfumo wa Serikali.....tatizo might be in either TRA au BRELA.....

    • @alfredmasawe3081
      @alfredmasawe3081 5 месяцев назад

      Kilamkampuni lazima iwe na TIN number Yake kampuni mbili kuwa na TIN number mmoja ni tatizo inatengeneza Loop hole za upotezaji malipo (Fedha)

  • @williamsaningo7577
    @williamsaningo7577 5 месяцев назад +1

    Hakuna Kampuni ya The Tanganyika, ni Tanganyika Wilderness Camps na Kibo Guides ndo Kampuni za Cahmbulo, ngoja tuone

  • @user13375
    @user13375 3 месяца назад

    Akili huna watu wanaiba hata kwa control namba😮😮😮

  • @mimaemwiula385
    @mimaemwiula385 5 месяцев назад

    Huyu baba sio chizi kusema hvyo serekali yetu mnatuumiza kila siku hakuna kitu kinachozungumziawa cha kweli serekali mkakubali

  • @zelastmarley8012
    @zelastmarley8012 5 месяцев назад

    Mkurugenzi mpigaji huyu.. mkurugenzi unacheza vibaya apo... 😂😂😂 Huyu mfanya biashara ni mtu Smart Sana kanyooka mno

  • @tumainiellyimo4657
    @tumainiellyimo4657 5 месяцев назад

    Kinachoonyeaha ulipwajiwaa Kodi ni majina ya coys au tin number? Maana yawezekana makmouni yote yanatumia tin moja maana mkurugenzi ni mmoja

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga5447 5 месяцев назад

    Mil 24 itaonekanaje wakati hamjaingiza, mkurugenzi hujiamini hata kidogo kuita waandishi unaonekana hujiamini inaonekana una kisasi na uvae pete za maana km vile mganga wa kienyeji pete za kila kitu 300 unachagua au pete za bahati na kukupa mvuto

  • @GodsonKimaro
    @GodsonKimaro 5 месяцев назад

    seriously kuna twc and the twc aseee Napenda tuma salamu kwa mifumo

  • @sheilalolila2233
    @sheilalolila2233 4 месяца назад

    Mimi sijawAhi kukometi lakini hili jambo zito kwa kweli mmh acha tuone mwisho wake kuna jambo hapa

  • @florangido202
    @florangido202 5 месяцев назад +5

    Huyu Mkurugenzi MTUMBUENI
    Kwani Muhasibu si Lenu Moja.
    Na yeye kasema kapewa kapewa Risit ya m3 Ambayo ndiyo iko kwenye Hayo Makatatasi.... WE DED VIPI??!!!!
    KUITA WAANDISHI WA HABARI KWANI VIPI....
    SUBIRI UKUTANE NA MAKONDONDA Mbona KUPANIKI!!
    HIZO PESA MMEZILA BANA
    MTAZITAPIKA.....

  • @Wami-Sababisho
    @Wami-Sababisho 5 месяцев назад

    Huyu kashayakanyaga anaujua mchongo mzima 😂😂😂😂😂. Makonda utawaua na presha Brother 😂😂😂😂

  • @norahmaxwell6853
    @norahmaxwell6853 5 месяцев назад

    Swali Hiyo 24 Million ipo wapi? Na ni kwanini hukutoa hayo maelezo mbele ya Makonda? Nirudie tu Chanika huko utaishia jela

  • @chacha-255
    @chacha-255 5 месяцев назад +1

    Money is not power in Tanzania, ndio maana wafanyabiashara wanalazimika kuingia kwenye siasa kuipata power ya kudeal na haya mambo.

  • @MosesKamba-tk3lp
    @MosesKamba-tk3lp 5 месяцев назад

    Mkurungenzi uwez kukubali umeshikwa pabaya,acha janja yko

  • @mabwetebrown5432
    @mabwetebrown5432 5 месяцев назад

    Chambulo yuko smart sana huyu mkurugenzi ndio mbabaifu

  • @joelirunde2823
    @joelirunde2823 5 месяцев назад

    Huyu mkurugenzi aache kumtengenezea zengwe huyu mfanyabiashara wa watu.
    Akuwa wapi kuyasema hayo kabla hajaanika madudu yake.
    Anatuonyesha pete zake za Vito vyathamani.
    Au ndio ulinzi wake?

  • @mikemutabuzi3665
    @mikemutabuzi3665 5 месяцев назад

    Nyie mnalaumu nini sasa? Atapangiwa mkoa mwingine kama desturi, 😂😂😂😂😂😅😅😅😊😊😊

  • @robertdominic7298
    @robertdominic7298 5 месяцев назад

    Mkurugenzi huyo ni makonda unalo hilo hicho ni chuma kama Ali Hapi unapatwa tu ,binafsi sikuelewi unachojieleza umeyakanyaga .

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 5 месяцев назад

    KAWAUMBUWA. SASA WANALETA VYA KULETA😂😂

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 5 месяцев назад +1

    Wakati mfanyabiashara anaongea je mbona hamkumjibu palepale ? Mbona mmesubiria muda Upite? Na Wakati Mkuu wa Mkoa anaongea je hakukuwa na wawakilishi wa Manispaa? Mbona walinyamaza kimyaa? Na hakuna aliejitokeza kumjibu palepale, Ukimsikiliza mfanyabiashara alafu ukisikiliza Hawa Viongozi wa Manispaa utajua nani ni nyongeza ya utumbo

  • @aidankakulu398
    @aidankakulu398 5 месяцев назад +9

    Mbona hukusimama kutoa majibu wakati ule, leo ndio unaleta ujinga hapa wizi tu!!! Mapete ya hovyooo ujinga ujinga tuu

  • @anicethpeter3100
    @anicethpeter3100 5 месяцев назад

    We mkurugenzi em tupishe

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga5447 5 месяцев назад

    Mkurugenzi unauliza maswali kuhusu Kodi sio fani yao wewe toa maelezo yako na pia utolewe huna chembe chembe za uongozi kwani unaongea kwa jazba huo sio uongozi ni kweli nyie wapigaji na mnadai rushwa Sana km deni mkurugenzi kaongoze ng'ombe watu hawakutaki au pete kabadili nyota imekataa

  • @ismailhaji6471
    @ismailhaji6471 5 месяцев назад

    Kwa macho tu ukimuangalia mkurugenzi unagundua ni mpigaji... anajaribu kujiokoa kiaina😂😂😂😂

  • @isaacs3904
    @isaacs3904 4 месяца назад

    Huyu hana miezi 2 anatumbuliwa hapa....

  • @jaclynmziray741
    @jaclynmziray741 5 месяцев назад

    Mkurugenzi anataka tena uwazi mwingine chambulo njoo

  • @tumainiellyimo4657
    @tumainiellyimo4657 5 месяцев назад

    Mkurugenzi tuache,kaa na meku yule kama mmeteleza msije haribu zaidi maana atajibu

  • @kazikazini1042
    @kazikazini1042 5 месяцев назад +3

    Pete nyingi hizo mkononi zinafafanya hata kukuamini shida

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898 5 месяцев назад +4

    Uyo mkulugenzi mkono umejaa mipete kama doto magari

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 5 месяцев назад +1

    Yaan mtu mwenye income ya bilioni 90 adanganye kuhusu milioni 24? Mkurugenzi kaongopa hapa

  • @Loftyattorneys
    @Loftyattorneys 5 месяцев назад

    Mkurugenzi kisheria aliyelipa ni watu wawili tofauti kaa na team yako wakufundishe sheria vizuri utaumbuka😂😂

  • @philipowyinjones9645
    @philipowyinjones9645 5 месяцев назад

    Mkulugez amenyoosha maelezo vizur yule mwamba alitk apite n upepo

  • @keagleeagle821
    @keagleeagle821 4 месяца назад

    Naamua kunuamini Chambulo

  • @stanleymosses8260
    @stanleymosses8260 5 месяцев назад

    TWC iko moja tu mkurungezi ana wenge

  • @ibrahkimesu2402
    @ibrahkimesu2402 5 месяцев назад

    Sijaqahinkuwa nanimani na hawa watendaji ambao wanakurupuka kuja kujibu hoja wakato wameshaiba hela ya serikali. Pumbafu

  • @winnerlucas5924
    @winnerlucas5924 4 месяца назад

    Haya Kiko wapiiii kaburu kapindua meza kibabw

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 5 месяцев назад +2

    Mapete yakiganga yakuzuiya makonda asimtumbue

  • @smarty1064
    @smarty1064 5 месяцев назад

    BILIONI 90 halafu kodi ni mil 260??? Really??? sio millioni 900 ambayoo 30% yake ni mil 260??? Nina mashaka sana na unavyojieleza maana mwanzo nilidhani umekosea ila umerudia rudia mara mbili mbili eti bilioni 90, biashara gani hyo ya bilioni 90 ?

  • @robertdominic7298
    @robertdominic7298 5 месяцев назад

    Haiwezekani udaiwe million mia mbili na kitu kisha utoe tuhuma huyu mkurugenzi anaonekana ana tuhuma achunguzwe vizuri kuna kona atabanwa tu.

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 5 месяцев назад

    The Tanganyika Wilderness ama Tanganyika Wilderness ni kampuni hiyo moja, mzee usitake kubabaisha watu, waelezee je kama ni kampuni mbili na ziko Arusha basi mfumo wenu ungeona. Wewe fafanua tu.

  • @fadhilimartin-o3h
    @fadhilimartin-o3h 5 месяцев назад

    Chamburo Huwa ana nyokaa sana Sasa wewe una fanya kikao na waandishi wabari ukoo peke yako hakuna atakaye kuelewa

  • @mchumiajuani1993
    @mchumiajuani1993 5 месяцев назад

    SURA TU INAONYESHA KUWA NI MUONGO MUOMGO TUH, MTU ANAYEDAIWA HIZO HELA ASINGEJICHOMEKA KWENYE HUU MGOGORO BHNA

  • @AsmaIddi-r4f
    @AsmaIddi-r4f 5 месяцев назад +3

    Naomba muvi. Oxamehewe kirabinadamu anamakoxa

  • @stevemahely
    @stevemahely 5 месяцев назад

    Engineer Juma Hamsini ni moja ya wakurugenzi makini sana!.

  • @denishaule6314
    @denishaule6314 5 месяцев назад

    Hawa watu wanaovaaga mapete pete mengi huwa nawaogopa sana…

  • @joeldaniel3348
    @joeldaniel3348 5 месяцев назад

    Uyu mkurugenzi muhuni tuu toka enzi za magufuri nakumbuka aliwai lia na kugalagala magufuri amsameh na saiz analudia tena

  • @shabanmwasopo1469
    @shabanmwasopo1469 5 месяцев назад +1

    Hii sheria kandamizi ya kuchaji kwenye matzo gafi ni uwizi mtu kuchaji mauzo gafi ni wizi kabisa

  • @mamawadudu48
    @mamawadudu48 5 месяцев назад

    Kwahiyo inamaana gani? Yani mlimfungulia kampuni hewanjamaa au?

  • @jameschali6023
    @jameschali6023 5 месяцев назад

    Huyo ni mkurugenzi au mganga mbona pete nyingi😂😂😂