Aneyeamini mkurugenzi anahusika kwenye huu mchongo agonge like! hahahaaa!! mkurugenz huyu anaonekana kbs ni mpigaji. Kwan TIN No si inaweza kutumika hata kwenye kampuni 20 mradi mkurugenzi wake awe ni mmoja huyohuyo? huwez shindana na Chambulo, he's very smart.
Alipataje ikiwa hajui kuwa kila kampuni inalipa kodi kwa TIN yake?au ungesema kampuni X anayomiliki iliwai pata tuzo nasio zote, so yeye kama mtu binafsi sio mlipaji mzuri kama anafisha makampuni mengine anayomiliki
Mkurungezi sema ukweli Chambulo hasemagi uwongo pia Tanganyika ni moja kampuni yake inaitwa kibo namjua vidhuri sana huyo mzee nimefanya kazi kwake miaka 12
Kosa la mkurugenzi liko wp?Na anaonekana wazi huyo jamaa ni mjanjamjanja hamuoni hiyo kampuni aliyoiacha kuweka THE ni ujanja?Maana hata Brela hawasajili jina linalofanana...Jamaa wakati wa JPM alijuwa kujipendekeza
@@wechemakambo2182 Mkurugenzi mzima hajui kwamba TIN NUMBER ya biashara huwa ni moja tu. Hata kama unamiliki makampuni 100 itatumika hiyo hiyo as long as wewe ni mmiliki. Hii tosha inaonyesha Mkurugenzi hana elimu ya kutosha kwenye masuala ya kodi.
Jitaid kutafuta elimu kwanza au utoe hoja kwa umakini, kila kampuni inakua na TIN yake,kama ilivo kila mtu na TIN yake, kisheria kampuni ni mtu, bila kuhuaisha wamiliki yaani Directors. Company is a separate legal entity
Kama Mkurugenzi ni mkweli , azungumze mbele ya huyo mfanyabiashara wafanye Waite waandishi na wabebe documents zote na kuwe na maswali na majibu, Mkurugenzi anataka kutuaminisha kila atachosema mfanyabiashara hayuko sahihi sio? Kama ni kweli anadaiwa hizo hela alikuwa wapi siku zote ? Je kweli aliwahi Lipa hizo ml 17 na kuandikiwa risiti pungufu? Kuna maswali mengi mno ktk hili sakata
Ukiona mtu mzima anavaa mapete mengi ujue mawili moja hachomoki, alichelewa sana ujanani amepata hela uzeeni hivyo ulimbukeni ndio unaomsumbua na mara nyingi watu wahivyo ni majizi, pili ni mtu wa kushiriki nguvu za giza kuliko za Imani ya Mungu iwe ni muislamu au mkristo. Hapo mzee hachomoki, mapete ya gizani hayo ndio maana makubwa kwa ndani yananafasi ya kuweka vitu vyao😅
Mtu hawezi ongea kwa kujiamini kiasi kile mbele za watu wote mtu mkubwa mwenyeheshima yake kama yule, hivi awe anapata bilioni 90 kwa mwaka aongee uongo kiasi kile? Mzee jitafari wewe bora uwe kimya kuliko kuita waandishi wa habari kutaka kujisafisha, hata uwe na makampuni mia kama unatumia jina moja maana yake utalipia kwa tin number hiyo hiyo. Mzee jiangalie wewe unajiaibisha toa mchanganuo sio maneno mananeno hayaleti tija.
Huyu DED au ndio nani sitambui mbona anaweka NYARA za serikali mbele ya camera. Hakuwahi kula kiapo cha kutunza siri za serikali. PROTECT, RESTRICTED, CONFIDENTIAL, SECRET na Top Secret
Mkurugenzi anaelezea vzr tu! Yupo SAHIHI....msikilizeni msikimbilie izo Pete zake au ni mwizi! Kama anapenda kuvaa Pete na avae tu kwani zinawazuia kupumua??? Hapo msikilizeni ili mpate mfafanuo! Acheni KERO za maneno😮
@@Fred-Ma ww ni mwanaume au mwanamke!!!! Kama mwanaume una umri gan??? Maana Kuna maswali mengine kabla ya kumjibu mtu uangalie lika lake kwanza na jinsia!
@@tiffahdangote7548 Argumentum ad hominem si njia sahihi ya kujadili hoja kwa ujadidi... Umri wangu utakusaidia nini katika wewe kuelezea ulivyomwelewa Mkurugenzi?
@@Fred-Ma naona kama ilikua sio SAHIHI kuuliza swali kama ilo inakua kama kejeli! Maana ww kama mtu mzima sidhani ilo swali kama litakua SAHIHI kuuliza! Na ndo maana nkasema hivyo...ila all in all kama umemuelewa sawa, pia kama hujamuelewa pia sawa
Mkurugenzi unazunguka sanaaaaa.... Straight to the point.... Je ni kweli au si kweli amelipa ml 24 na akaandikiwa ml 3.......Kama ni kweli yeye aje na ushahidi na kama si kweli toa ushahidi.... Unazunguka sana ili kuonesha uma ubaya wa huyo jamaa..... Na yeye sio chizi aongee vile ungemwita kwanza ili umsikilize...
Huyoo mfanya biashara ni wa siku nyingi since he was teenager hawezi sema UWONGO leo. company's yake ni kubwa hawezi DANGANYA lol hiyo different THE.....yupo wapi MUHASIBU??? km alikuwa ana lipa wrong becouse of The.. why km mteja mlipa kodi vizuri hivyoo msimueleweshe? Muhasibu yupo wapi? Yani THE ndiyo iwe chanzo cha kumpiga different kodi okay km ni company's tofauti alikuwa analipia TN number gani?
Sasa serikali ndiyo Ina shida au yeye na mwasibu wake ww umepeleka m24 tra alafu umepewa risiti ya m3 unamchukua unaondoka unataka unakuja kulalamika huku Nani alaumiwe
Haha SASA matusi meeengi Kwa Viongozi tunasema ni wezi Kumbe serikali inatudai mihela rundo Serikali inatupoozea Alafu tunaviimba Eti Watumishi wezi Tulipe Kodi ASKALI WAWEZE LIPWA MISHAHARA🤔 TRA Wafichueni hao wanatuchelewesha🥺🤔
Hapa Tatizo ni makosa au kosa lililofanywa kwenye mfumo....unaweza Kuta chambulo anajua kuwa yeye anamiliki kampuni mmoja lakini kwenye mfumo Kuna kampuni mbili.....si rahisi mtu kuwa na kampuni mbili zinazinazofanana majina kiasi hicho Kwa sababu it does not bring any business sense....tofauti Hapo ni neno ....THE....wakae chini waweke Bayana na wamuulize Chambulo kama anamiliki kampuni hiyo ambayo Mkurugenzi kaisema.....tatizo litakuwa kwenye mfumo.....nani aliweka hizo information za kampuni za Chambulo kwenye mfumo wa Serikali.....tatizo might be in either TRA au BRELA.....
Mil 24 itaonekanaje wakati hamjaingiza, mkurugenzi hujiamini hata kidogo kuita waandishi unaonekana hujiamini inaonekana una kisasi na uvae pete za maana km vile mganga wa kienyeji pete za kila kitu 300 unachagua au pete za bahati na kukupa mvuto
Huyu Mkurugenzi MTUMBUENI Kwani Muhasibu si Lenu Moja. Na yeye kasema kapewa kapewa Risit ya m3 Ambayo ndiyo iko kwenye Hayo Makatatasi.... WE DED VIPI??!!!! KUITA WAANDISHI WA HABARI KWANI VIPI.... SUBIRI UKUTANE NA MAKONDONDA Mbona KUPANIKI!! HIZO PESA MMEZILA BANA MTAZITAPIKA.....
Huyu mkurugenzi aache kumtengenezea zengwe huyu mfanyabiashara wa watu. Akuwa wapi kuyasema hayo kabla hajaanika madudu yake. Anatuonyesha pete zake za Vito vyathamani. Au ndio ulinzi wake?
Wakati mfanyabiashara anaongea je mbona hamkumjibu palepale ? Mbona mmesubiria muda Upite? Na Wakati Mkuu wa Mkoa anaongea je hakukuwa na wawakilishi wa Manispaa? Mbona walinyamaza kimyaa? Na hakuna aliejitokeza kumjibu palepale, Ukimsikiliza mfanyabiashara alafu ukisikiliza Hawa Viongozi wa Manispaa utajua nani ni nyongeza ya utumbo
Mkurugenzi unauliza maswali kuhusu Kodi sio fani yao wewe toa maelezo yako na pia utolewe huna chembe chembe za uongozi kwani unaongea kwa jazba huo sio uongozi ni kweli nyie wapigaji na mnadai rushwa Sana km deni mkurugenzi kaongoze ng'ombe watu hawakutaki au pete kabadili nyota imekataa
BILIONI 90 halafu kodi ni mil 260??? Really??? sio millioni 900 ambayoo 30% yake ni mil 260??? Nina mashaka sana na unavyojieleza maana mwanzo nilidhani umekosea ila umerudia rudia mara mbili mbili eti bilioni 90, biashara gani hyo ya bilioni 90 ?
The Tanganyika Wilderness ama Tanganyika Wilderness ni kampuni hiyo moja, mzee usitake kubabaisha watu, waelezee je kama ni kampuni mbili na ziko Arusha basi mfumo wenu ungeona. Wewe fafanua tu.
Aneyeamini mkurugenzi anahusika kwenye huu mchongo agonge like!
hahahaaa!! mkurugenz huyu anaonekana kbs ni mpigaji.
Kwan TIN No si inaweza kutumika hata kwenye kampuni 20 mradi mkurugenzi wake awe ni mmoja huyohuyo?
huwez shindana na Chambulo, he's very smart.
TIN hivi unaeza ukawa nazo mbili au tatu mbona sijawah kusikia hiyo ? Huyu mkuu anajua hela imeenda kwa nani , takukuru wafanye kazi yao .
TIN Namba huwa ni moja kwa mtu mmoja
Ni mtu wa dili😅
Huyu mwizi kabisa na angekuwepo Yule mwamba saa hizi angekuwa jela
😅😅😅nani huyo angelikuwepo jpm au??@@fauzibinzoo6563
Wanaomkubali chambulo gonga Like twende sawa👍
Chambulo is one of the smartness business man ever, jamaa ana rohoo ya pekee
Nani aliye rudi hapa baada ya makonda kumuwajibusha leo
Jamaa anajikanyaga , chambulo alishawahi tunukiwa tuzo ya mlipa kodi bora...
Hajui😊
Alipataje ikiwa hajui kuwa kila kampuni inalipa kodi kwa TIN yake?au ungesema kampuni X anayomiliki iliwai pata tuzo nasio zote, so yeye kama mtu binafsi sio mlipaji mzuri kama anafisha makampuni mengine anayomiliki
Mkurungezi sema ukweli Chambulo hasemagi uwongo pia Tanganyika ni moja kampuni yake inaitwa kibo namjua vidhuri sana huyo mzee nimefanya kazi kwake miaka 12
Mkurugenzi wa mchongo huyu. Hajui kuwa TIN NUMBER inatolewa moja tu, hata kama una makampuni 100
Nimefanya kazi kwa huyu jamaa chambulo ni smart huyu jamaa
Eti hasemagi uongo😂😂😂😂😂😂
Una hela afu uongo wa nn😂
Tin namba inatolewa mara moja tu na inaweza kutumika hata kwenye kampuni kumi. Chambulo asemagi uongo huyo anajua nini anachokifanya
Yaani leo nimecheka😂, huyu Mkurugenzi juha kalulu kweli. Hajui hata taratibu za kikodi
Kosa la mkurugenzi liko wp?Na anaonekana wazi huyo jamaa ni mjanjamjanja hamuoni hiyo kampuni aliyoiacha kuweka THE ni ujanja?Maana hata Brela hawasajili jina linalofanana...Jamaa wakati wa JPM alijuwa kujipendekeza
@@wechemakambo2182 Mkurugenzi mzima hajui kwamba TIN NUMBER ya biashara huwa ni moja tu. Hata kama unamiliki makampuni 100 itatumika hiyo hiyo as long as wewe ni mmiliki.
Hii tosha inaonyesha Mkurugenzi hana elimu ya kutosha kwenye masuala ya kodi.
Chamburo anajuwa anacho kisema , huwa apendi kona kona
Jitaid kutafuta elimu kwanza au utoe hoja kwa umakini, kila kampuni inakua na TIN yake,kama ilivo kila mtu na TIN yake, kisheria kampuni ni mtu, bila kuhuaisha wamiliki yaani Directors. Company is a separate legal entity
Huyo mfanyabiashara amenyooka vibaya mkurugenzi utachemka
Kama Mkurugenzi ni mkweli , azungumze mbele ya huyo mfanyabiashara wafanye Waite waandishi na wabebe documents zote na kuwe na maswali na majibu, Mkurugenzi anataka kutuaminisha kila atachosema mfanyabiashara hayuko sahihi sio? Kama ni kweli anadaiwa hizo hela alikuwa wapi siku zote ? Je kweli aliwahi Lipa hizo ml 17 na kuandikiwa risiti pungufu? Kuna maswali mengi mno ktk hili sakata
Baba makonda hana mchezo Mtanyoooka tu kile ni chombo cha Mungu Magufuli original
Papaa mapete in da house 😂😂
Mkurugenziiiiiiiiii? Unafikiria huyo mzee ni mjinga? Makonda anza na huyu Mkurugenzi.
Mkurugenzi ana Pete Kila kidole utadhani msanii
😂😂
Pete za majini anapangua majini😂😂
Msanii😂
😂😂😂😂 daaaaah Diamond platinum au sio
Watu wanaishi Maisha yakitumwa kwasababu hawana MUNGU wa kweli.
Jizi wewe, kwa nini ukujitetea siku hiyo si ulikuwepo. Kwanza kwa cheo chako na hayo mapete ni muhuni.
Ukiona mtu mzima anavaa mapete mengi ujue mawili moja hachomoki, alichelewa sana ujanani amepata hela uzeeni hivyo ulimbukeni ndio unaomsumbua na mara nyingi watu wahivyo ni majizi, pili ni mtu wa kushiriki nguvu za giza kuliko za Imani ya Mungu iwe ni muislamu au mkristo. Hapo mzee hachomoki, mapete ya gizani hayo ndio maana makubwa kwa ndani yananafasi ya kuweka vitu vyao😅
Mtu hawezi ongea kwa kujiamini kiasi kile mbele za watu wote mtu mkubwa mwenyeheshima yake kama yule, hivi awe anapata bilioni 90 kwa mwaka aongee uongo kiasi kile? Mzee jitafari wewe bora uwe kimya kuliko kuita waandishi wa habari kutaka kujisafisha, hata uwe na makampuni mia kama unatumia jina moja maana yake utalipia kwa tin number hiyo hiyo. Mzee jiangalie wewe unajiaibisha toa mchanganuo sio maneno mananeno hayaleti tija.
Gonga like kama umegundua mkurugenzi ameshikwa na mhaho
😂😂😂😂😂
Huyu DED au ndio nani sitambui mbona anaweka NYARA za serikali mbele ya camera. Hakuwahi kula kiapo cha kutunza siri za serikali. PROTECT, RESTRICTED, CONFIDENTIAL, SECRET na Top Secret
ni nafasi za yeuzi hizo
Mnakusanya Kodi mkiambiwa mapato ya mwaka yanakuwa chini😂
Hivi huyu jamaa si ndio alikuwa kule Serengeti nyakati za Magufuli akawa analia baada Mbunge mmoja wa CHADEMA kumtuhumu ni mwizi😝😝😝
Aahahahhhaha! Kaka, ni sahihi. Ndio yeye, nakumbuka mpaka jamaa alikuwa analia sana, JPM akamsamehe akamwambia apige tu kazi!
Huge jamaa alie lalamika siyo mjinga bro
Na lazima awarudie
Je ni sahihi au weledi kuonyesha documents za biashara hadharani kama inavyofanyika? Aliombwa ruhusa kwa mfanyabiashara kuzungumziwa hadharani?
Mkurugenzi pete zimekua nyingi saana 😂😂😂
Huyu usikute kiunoni ana shanga
@@NgengeMkeni-uo5hqhahahaaaaa yes inawezekana
😂😂😂@@NgengeMkeni-uo5hq
wewe ni mwizi kabisa unaonekana tu na mapete yako hayo we mwizi makonda tumbua huyo.
Masta yaani nilivyoona mapete pete ya majini na bahati nikajua hapa mwamba mwongooooo tu hata kabla hajaongea
We muone tu alivyo na mipete yake ya nyota.
@@africanpharaohkabisa kabisa
Mbona ungenyamaza tu mkurugenzi
Mkurugenzi anaelezea vzr tu! Yupo SAHIHI....msikilizeni msikimbilie izo Pete zake au ni mwizi! Kama anapenda kuvaa Pete na avae tu kwani zinawazuia kupumua??? Hapo msikilizeni ili mpate mfafanuo! Acheni KERO za maneno😮
Wewe umemwelewaje?😂😂
@@Fred-Ma ww ni mwanaume au mwanamke!!!! Kama mwanaume una umri gan??? Maana Kuna maswali mengine kabla ya kumjibu mtu uangalie lika lake kwanza na jinsia!
@@tiffahdangote7548 Argumentum ad hominem si njia sahihi ya kujadili hoja kwa ujadidi...
Umri wangu utakusaidia nini katika wewe kuelezea ulivyomwelewa Mkurugenzi?
@@Fred-Ma naona kama ilikua sio SAHIHI kuuliza swali kama ilo inakua kama kejeli! Maana ww kama mtu mzima sidhani ilo swali kama litakua SAHIHI kuuliza! Na ndo maana nkasema hivyo...ila all in all kama umemuelewa sawa, pia kama hujamuelewa pia sawa
Mkurugenzi kajaza mapete kama Gangsta 😂
Mkurugenzi unazunguka sanaaaaa.... Straight to the point.... Je ni kweli au si kweli amelipa ml 24 na akaandikiwa ml 3.......Kama ni kweli yeye aje na ushahidi na kama si kweli toa ushahidi.... Unazunguka sana ili kuonesha uma ubaya wa huyo jamaa..... Na yeye sio chizi aongee vile ungemwita kwanza ili umsikilize...
Mkurugenzi amekili kuwa jamaa amelipa milioni 24 ila kwa kampuni mbili tofauti ....Moja milioni 3 nyingine milioni 21..
Mapato yake kwa mwaka ni bilioni 90
Kubababakeeeeee tutafute hela
MKURUGENZI MAPETE HAYO YANAKUSHUSHIA HESHIMA
Ushirikina huo😢
So unprofessional mapete kama muuza visu, eti mkurugenzi
mmeiba hela ya chambulo
Na hiyo hela itampoteza mtu
Huyu kweli mwizi mkurugenzi umeyakanyaga umeyatimba kwa mtoto wa dar
mtu apate million 90 alafu kodi mill 270 laki 77500/= sas anafanya biashara gan hapo mbon hawa ni wez hivi
Sasa Mkurugenzi hayo mapete yote ni ya nini?
Kiti hicho kizito.... 😂😂😂😂😂😂
Sipete wewe utakage bila uchawi
Hayo mapete ni ya ushirikina...... Hata haoni aibu
Mipete ya maostadhi ya kiganga 😂😂😂😂
Huyoo mfanya biashara ni wa siku nyingi since he was teenager hawezi sema UWONGO leo. company's yake ni kubwa hawezi DANGANYA lol hiyo different THE.....yupo wapi MUHASIBU??? km alikuwa ana lipa wrong becouse of The.. why km mteja mlipa kodi vizuri hivyoo msimueleweshe? Muhasibu yupo wapi? Yani THE ndiyo iwe chanzo cha kumpiga different kodi okay km ni company's tofauti alikuwa analipia TN number gani?
Sasa serikali ndiyo Ina shida au yeye na mwasibu wake ww umepeleka m24 tra alafu umepewa risiti ya m3 unamchukua unaondoka unataka unakuja kulalamika huku Nani alaumiwe
Mkurugenzi izo Pete vipii mbona nyingi.
Kama unaona mkurugenzi anajua nipe like
Rudisheni Hela za watu😂😂😂sura tu linaonekan n lijizi
Watu wengi Wanakkimbia Kodi ni ADUI MKUBWA WA Wafanyabiashara 😂
Yani neno "The" linatofautisha kampuni!! Duuh, sio kwamba ni typing error ya wafanyakazi wenu?
Unaonekana unauelewa saana wa mfumo, hongera saana nikuelewa saana maana natumika kwenye idara ya kutowa Quittance ( risit ) nipo drc.
@@ndegebedua Yah ni kweli, baadh ya mifumo nahusik kutengeneza na kuisimamia
hakika hii nchi bas tu,,,,, hzo karatas zote zinaonekana mpya ila mwanzo kasema kabrasha alikuwa nalo muda mref
Huyu mwizi kabisa jambazi hlf mbona unahasira kama sio mwizi
MUNGU atusaidie tu Makonda acheleweshwe kidogo arusha asibadilishwe haraka muone arusha itakavyo nyooka.Shikamoo Makonda❤
Acheni zengwe, milioni 21 mmezipeleka wapi?.
Pete za mkurugenzi,zinaitwa PETE OF UTALII LMTD 😂😂😂
Wakurungenzi wa nchi hii rais anawalea sana, ufisadi kila kona,Tra ndiyo kabisa ufisadi tu,no development, RIP JPM
Huyu mwizi kabisaaa
Mama tumbua hi mutu haifai kua kiongozi amevunja viapo vyake vya utumishi
Mkurugenzi Ana mipeteeee uyo😅😂
Ameshabambikiwa tayari
Ndioo, wamembambikia mitozo yote hiyo ili aogope asiwachomee kwa Makonda. Sasa hapa inabidi Makonda ale nae sahani moja😂
BILLION 90 kweli sisi tunahangaika😅😅😅😂😂😂
Fanyakazi kijana
mwenyewe nimestuka kaka😅
Unajikaanga mwenyewe ,achana na media😮😮😮
Hiyo ni fail.siyo kabrasha heshimu watu unalupwa kwa kodi zao
File kingreza kiswahili chake ndo hcho kakaa MAKABRASHA
Eti fail 😂😂😂 kingereza chenyewe hujui
Hayo mapete ya nini sasa?
Analinda cheo hahahah😂😂😂
Irizi
@@DwishaMentor dahhh, nimechekaaa🤣... aisee kweli hizi ajira zinatafutwa kwa shida
Kinga 😂😂 kaongopewa..check atatoka😂😂 kumbe cheo ninkoti ukivuq anavaa mwingine nimmuda tu😂😂😂😂 Pete za nn Sasa waiiii
Freemanson 😂
Mama Samia tafadhali sana mama, huyu mkurugenzi hafaiiiii, apishe watu waadilifu wakalie hicho kiti
Haha SASA matusi meeengi Kwa Viongozi tunasema ni wezi Kumbe serikali inatudai mihela rundo Serikali inatupoozea Alafu tunaviimba Eti Watumishi wezi Tulipe Kodi ASKALI WAWEZE LIPWA MISHAHARA🤔 TRA Wafichueni hao wanatuchelewesha🥺🤔
Hapa Tatizo ni makosa au kosa lililofanywa kwenye mfumo....unaweza Kuta chambulo anajua kuwa yeye anamiliki kampuni mmoja lakini kwenye mfumo Kuna kampuni mbili.....si rahisi mtu kuwa na kampuni mbili zinazinazofanana majina kiasi hicho Kwa sababu it does not bring any business sense....tofauti Hapo ni neno ....THE....wakae chini waweke Bayana na wamuulize Chambulo kama anamiliki kampuni hiyo ambayo Mkurugenzi kaisema.....tatizo litakuwa kwenye mfumo.....nani aliweka hizo information za kampuni za Chambulo kwenye mfumo wa Serikali.....tatizo might be in either TRA au BRELA.....
Kilamkampuni lazima iwe na TIN number Yake kampuni mbili kuwa na TIN number mmoja ni tatizo inatengeneza Loop hole za upotezaji malipo (Fedha)
Hakuna Kampuni ya The Tanganyika, ni Tanganyika Wilderness Camps na Kibo Guides ndo Kampuni za Cahmbulo, ngoja tuone
Akili huna watu wanaiba hata kwa control namba😮😮😮
Huyu baba sio chizi kusema hvyo serekali yetu mnatuumiza kila siku hakuna kitu kinachozungumziawa cha kweli serekali mkakubali
Mkurugenzi mpigaji huyu.. mkurugenzi unacheza vibaya apo... 😂😂😂 Huyu mfanya biashara ni mtu Smart Sana kanyooka mno
Kinachoonyeaha ulipwajiwaa Kodi ni majina ya coys au tin number? Maana yawezekana makmouni yote yanatumia tin moja maana mkurugenzi ni mmoja
Mil 24 itaonekanaje wakati hamjaingiza, mkurugenzi hujiamini hata kidogo kuita waandishi unaonekana hujiamini inaonekana una kisasi na uvae pete za maana km vile mganga wa kienyeji pete za kila kitu 300 unachagua au pete za bahati na kukupa mvuto
seriously kuna twc and the twc aseee Napenda tuma salamu kwa mifumo
Mimi sijawAhi kukometi lakini hili jambo zito kwa kweli mmh acha tuone mwisho wake kuna jambo hapa
Huyu Mkurugenzi MTUMBUENI
Kwani Muhasibu si Lenu Moja.
Na yeye kasema kapewa kapewa Risit ya m3 Ambayo ndiyo iko kwenye Hayo Makatatasi.... WE DED VIPI??!!!!
KUITA WAANDISHI WA HABARI KWANI VIPI....
SUBIRI UKUTANE NA MAKONDONDA Mbona KUPANIKI!!
HIZO PESA MMEZILA BANA
MTAZITAPIKA.....
Ndio😅😅
Huyu kashayakanyaga anaujua mchongo mzima 😂😂😂😂😂. Makonda utawaua na presha Brother 😂😂😂😂
Swali Hiyo 24 Million ipo wapi? Na ni kwanini hukutoa hayo maelezo mbele ya Makonda? Nirudie tu Chanika huko utaishia jela
Money is not power in Tanzania, ndio maana wafanyabiashara wanalazimika kuingia kwenye siasa kuipata power ya kudeal na haya mambo.
Mkurungenzi uwez kukubali umeshikwa pabaya,acha janja yko
Chambulo yuko smart sana huyu mkurugenzi ndio mbabaifu
Huyu mkurugenzi aache kumtengenezea zengwe huyu mfanyabiashara wa watu.
Akuwa wapi kuyasema hayo kabla hajaanika madudu yake.
Anatuonyesha pete zake za Vito vyathamani.
Au ndio ulinzi wake?
Nyie mnalaumu nini sasa? Atapangiwa mkoa mwingine kama desturi, 😂😂😂😂😂😅😅😅😊😊😊
Mkurugenzi huyo ni makonda unalo hilo hicho ni chuma kama Ali Hapi unapatwa tu ,binafsi sikuelewi unachojieleza umeyakanyaga .
KAWAUMBUWA. SASA WANALETA VYA KULETA😂😂
Wakati mfanyabiashara anaongea je mbona hamkumjibu palepale ? Mbona mmesubiria muda Upite? Na Wakati Mkuu wa Mkoa anaongea je hakukuwa na wawakilishi wa Manispaa? Mbona walinyamaza kimyaa? Na hakuna aliejitokeza kumjibu palepale, Ukimsikiliza mfanyabiashara alafu ukisikiliza Hawa Viongozi wa Manispaa utajua nani ni nyongeza ya utumbo
Mbona hukusimama kutoa majibu wakati ule, leo ndio unaleta ujinga hapa wizi tu!!! Mapete ya hovyooo ujinga ujinga tuu
We mkurugenzi em tupishe
Mkurugenzi unauliza maswali kuhusu Kodi sio fani yao wewe toa maelezo yako na pia utolewe huna chembe chembe za uongozi kwani unaongea kwa jazba huo sio uongozi ni kweli nyie wapigaji na mnadai rushwa Sana km deni mkurugenzi kaongoze ng'ombe watu hawakutaki au pete kabadili nyota imekataa
Kwa macho tu ukimuangalia mkurugenzi unagundua ni mpigaji... anajaribu kujiokoa kiaina😂😂😂😂
Huyu hana miezi 2 anatumbuliwa hapa....
Mkurugenzi anataka tena uwazi mwingine chambulo njoo
Mkurugenzi tuache,kaa na meku yule kama mmeteleza msije haribu zaidi maana atajibu
Pete nyingi hizo mkononi zinafafanya hata kukuamini shida
😂😂😂
Uyo mkulugenzi mkono umejaa mipete kama doto magari
Yaan mtu mwenye income ya bilioni 90 adanganye kuhusu milioni 24? Mkurugenzi kaongopa hapa
Mkurugenzi kisheria aliyelipa ni watu wawili tofauti kaa na team yako wakufundishe sheria vizuri utaumbuka😂😂
Mkulugez amenyoosha maelezo vizur yule mwamba alitk apite n upepo
Yule jamaa unamjua n mkweli
Naamua kunuamini Chambulo
TWC iko moja tu mkurungezi ana wenge
Sijaqahinkuwa nanimani na hawa watendaji ambao wanakurupuka kuja kujibu hoja wakato wameshaiba hela ya serikali. Pumbafu
Haya Kiko wapiiii kaburu kapindua meza kibabw
Mapete yakiganga yakuzuiya makonda asimtumbue
BILIONI 90 halafu kodi ni mil 260??? Really??? sio millioni 900 ambayoo 30% yake ni mil 260??? Nina mashaka sana na unavyojieleza maana mwanzo nilidhani umekosea ila umerudia rudia mara mbili mbili eti bilioni 90, biashara gani hyo ya bilioni 90 ?
Haiwezekani udaiwe million mia mbili na kitu kisha utoe tuhuma huyu mkurugenzi anaonekana ana tuhuma achunguzwe vizuri kuna kona atabanwa tu.
The Tanganyika Wilderness ama Tanganyika Wilderness ni kampuni hiyo moja, mzee usitake kubabaisha watu, waelezee je kama ni kampuni mbili na ziko Arusha basi mfumo wenu ungeona. Wewe fafanua tu.
Chamburo Huwa ana nyokaa sana Sasa wewe una fanya kikao na waandishi wabari ukoo peke yako hakuna atakaye kuelewa
SURA TU INAONYESHA KUWA NI MUONGO MUOMGO TUH, MTU ANAYEDAIWA HIZO HELA ASINGEJICHOMEKA KWENYE HUU MGOGORO BHNA
Naomba muvi. Oxamehewe kirabinadamu anamakoxa
Engineer Juma Hamsini ni moja ya wakurugenzi makini sana!.
Hawa watu wanaovaaga mapete pete mengi huwa nawaogopa sana…
Uyu mkurugenzi muhuni tuu toka enzi za magufuri nakumbuka aliwai lia na kugalagala magufuri amsameh na saiz analudia tena
Hii sheria kandamizi ya kuchaji kwenye matzo gafi ni uwizi mtu kuchaji mauzo gafi ni wizi kabisa
Kwahiyo inamaana gani? Yani mlimfungulia kampuni hewanjamaa au?
Huyo ni mkurugenzi au mganga mbona pete nyingi😂😂😂