WASIRA AMEFUNGUKA: KUZUILIWA KUINGIA IKULU KWA JPM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 дек 2018

Комментарии • 26

  • @kenethfanuel4015
    @kenethfanuel4015 3 года назад +1

    Amekua mbuge wa bunda mji kwa miaka zaidi ya 20 lakini mji wa bunda haukua na maji safi na salama, pia jimbo lake ni miongoni mwa majimbo fukara hapa nchini. Huyu mzee ni mnafiki na mbinafsi.

  • @ignasnyembo1256
    @ignasnyembo1256 5 месяцев назад

    Ikulu ni mahali patakatifu. Mbwa km nyinyi wa kujipendekeza hamtakiwi. Nchi hii yetu sote.

  • @simonlulenga7062
    @simonlulenga7062 5 лет назад

    Kada no.1 wa chama chetu tawala CCM. I always like your wisedom komred. Thank you!

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 5 лет назад +2

    Jamanu. J.M wapeni umri wa.kugombea ubunge na Uwaziri. Mtu Ali.kiaka 60.out. SASA huyu WASIRA ANATAKA NINI?? PUMZIKA.MZEE.

  • @matindembaratani6221
    @matindembaratani6221 5 лет назад +3

    Wasilaa bana kilaza kweliii wakati wa ubunge hakna chochote alichofanya kwenye jimbo lake bora kwa ujmla hafai kabisaa

  • @godyfrey1347
    @godyfrey1347 4 года назад +1

    Mzee wasira ikulu nisehemu takatifu awaingii watu wachafu kukuzuia wako sahihi ulienda kufatanini

  • @bonifasiemanueli2708
    @bonifasiemanueli2708 5 лет назад +2

    kama ungeziwiwa kuingia Mbinguni ndo ungelaumu na kulia si kwingineko,

  • @ramadhanmpare905
    @ramadhanmpare905 4 года назад

    Nawaomba sana tutume mtandao vizuri

  • @robertfabian3030
    @robertfabian3030 5 лет назад +1

    Watu wamitandao sio wakuwaamini.Kwan mambo mengi wanafanya bila uhakika...Marla oo furani kusema,mara fulani kafa.duh kweli pesa hatujawahi kukuachia mtu salama

  • @issamagana426
    @issamagana426 4 года назад

    Wandishi wahabari wengine huwa ni mataira wanaropoka tu

  • @tibeitajoseph6646
    @tibeitajoseph6646 5 лет назад

    Haaa haya bana

  • @jumahaji2795
    @jumahaji2795 5 лет назад

    Sio kama nilikuepo ila wasira amezuiwa katika kikao na ushahidi upo

  • @innocentbugomola549
    @innocentbugomola549 3 года назад

    Waandishi wa bongo Nwaongo san

  • @chachamagoti2400
    @chachamagoti2400 5 лет назад

    Hahaaaa mzeee tushajua ukweli. Hizo tetesi/hisia

  • @danielnyari1119
    @danielnyari1119 5 лет назад

    Good

  • @ashminaabdullah5626
    @ashminaabdullah5626 5 лет назад

    kweli mzee

  • @ndarogamba191
    @ndarogamba191 5 лет назад

    Na hizo tetesi zitakuwa ndio zenyewe kama umekiri kuwa zipo!.Tusubiri⌚⌚

  • @peterkisanga8089
    @peterkisanga8089 5 лет назад

    Hizo hisia ndo zenyewe

  • @jacklinemushi4326
    @jacklinemushi4326 5 лет назад +1

    Yani we baba ktk uongozi wako watu, walikuwa hawakupendi hata kidogo, ndomana saiv huna uwaziri, Dicteta ww

    • @naomiwasira3208
      @naomiwasira3208 5 лет назад +3

      Wewe Jackline Mushi, kwa hiyo wewe ndiyo msemaji na mwakilishi wa watu? Maana unaandika kwa kujiamini asilimia mia moja huo upuuzi wako. Huyu mzee ni dikteta? Unajua maana ya dikteta? Huna tofauti na huyo aliyetunga story ya uongo. Ndiyo hayo hayo yanayoongelewa katika hiyo clip. Watu mnaandika pumba kwa sababu mnadhani hamjulikani. Lord have mercy on this stupid ass generation😏

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo 5 лет назад

    So bold

  • @hamzarashid9705
    @hamzarashid9705 5 лет назад

    We mzurii

  • @jumahaji2795
    @jumahaji2795 5 лет назад

    Wasira umezuiwa kuingia ikulu sema ukweli

    • @lamecktheonest225
      @lamecktheonest225 5 лет назад

      Juma Haji tujuze wewe basi naona ukweli unaujua naulikuepo

  • @MOJAZAIDI.
    @MOJAZAIDI. 5 лет назад

    HAHA....

  • @matindembaratani6221
    @matindembaratani6221 5 лет назад

    Wasilaa bana kilaza kweliii wakati wa ubunge hakna chochote alichofanya kwenye jimbo lake bora kwa ujmla hafai kabisaa