WATOTO 7 WALIA MBELE YA JENEZA WAKIMUAGA BABA YAO ALIYEUAWA NA MAMA YAO MOSHI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 361

  • @dynachriss5126
    @dynachriss5126 3 месяца назад +36

    Mungu aendelee kutupa uvumilivu tu kwa kweli kama ingekuwa kila mume au mwanaume anayetuchiti stahili yake ni kuuwawa basi wanaume wangebaki wachache sana na wanawake weng tungekuwa jela na watoto wengi wangeendelea kuwa machokoraa ila kwa hekima na uvumilivu anaozidi kutujalia mungu sisi tunadunda kwa kulea vyema watoto wetu na wanaume wakiendelea kuambulia magonjwa na mwisho umauti usio na nuru machoni pa mungu✍️asee mungu endelea kunijaza hekima na uvumilivu katika maisha haya yanayoumiza ni mengi ila isinifanye nikachukua hatua aliyochukua. Mwanamke mwenzetu📌

  • @themaestro-24
    @themaestro-24 3 месяца назад +20

    Uwiiiii watoto bado wadogo.Shetani ashindwe na alaaniwe.Jamani tumtafute Mungu ndio njia pekee ya kumshinda shetani.Hii kali jamani

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 3 месяца назад +28

    Poleni Sana watoto wazuri Mungu awape nguvu na subira

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 3 месяца назад +13

    Pole sana juma raibu kwa kumpoteza rafiki.
    Poleni sana, nimeumia sana.
    Jamani mkishindwana ni bora muachane kwa amani kuliko kutoana uhai Mungu hapendi

    • @RusiTembo
      @RusiTembo 3 месяца назад

      Mnaachana vp akati inatakiwa kifo ndy kiwatenganishe 😭😭

    • @smartonlinetv5144
      @smartonlinetv5144 3 месяца назад

      @@RusiTembo 🥺🥺🥺🥺

    • @paskaziasholla7471
      @paskaziasholla7471 3 месяца назад

      Tumsamehe huyu mama jamani hakujua kama ataua

  • @praygodlivingstone
    @praygodlivingstone 3 месяца назад +6

    Inauma sana ila yote tuzidi omba Mungu.
    @milardayo asante sana kwa taarifa iliyotengeneza mizania ya habari

  • @Mimi-wf7mb
    @Mimi-wf7mb 3 месяца назад +13

    Unafiki hautaisha dunia hii. Huo wasifu siyo wa kwake. Anaheshimu watu gani kama kashindwa kuheshimu mke na watoto wake? Eti mcha Mungu! Uzinzi ni ucha Mungu? Acheni kutupotosha

    • @LydiaIsangi
      @LydiaIsangi 3 месяца назад

      Alikuwa mkewe,shida yenu ni kufuata wazungu,

    • @juditholotu7249
      @juditholotu7249 3 месяца назад

      Si ndo hapo Sasa unafki mtupu

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 3 месяца назад

      Mkewe kwa imani ipi, yeye ni mkristo tena mroma kanisa la kiroma hata padre haruhusiwi tu kuoa wala watawa hawaruhusiwi kuolewa ila waumini ukioa au kuolewa haitambuliki ndo myengine, shida ni vile tunaficha maovu ya wanaotangulia mbele za haki au wanaotangulizwa kabla ya mipango ya Mungu, tunapaswa tu kusema ukweli sababu ya marehemu kufa ni alichomwa na kisu na mke wake kwa wivu wa mapenzi hivyo nasi tujifunze kuwa waaminifu kwenye ndoa zetu kuepuka haya yasitokee watu wangekuwa waoga na vifo kama hivi vitapungua sana, hata mtu akifa kwa HIV iwekwe wazi tu kusaidia wengine kuwa wacha Mungu na kuepuka ngono zembe, mtu amekufa kwa ugonjwa wa moyo figo au kisukari zisemwe sababu za kifo chake kuwa chanzo ni unywaji wa pombe na kutofuata ushauri wa kitabibu ​hii itasaidia kuzingatia afya na kupunguza vileo usasa na kufanya mazoezi kuzingatia afya.@@LydiaIsangi

    • @JamilhaSelemani
      @JamilhaSelemani 3 месяца назад

      Me nashangaa hii dunia ipoje

    • @shoseminja7107
      @shoseminja7107 2 месяца назад

      Usihuku

  • @desderymakoi6595
    @desderymakoi6595 3 месяца назад +53

    Kimsingi Kukaa Kwenye Dhehebu Au Kanisani Lakini Huna Chapa Ya Kristo Ni Kujilisha Upepo...YESU ANAOKOA WAPENDWA

    • @BarbaraPatience-qt9cc
      @BarbaraPatience-qt9cc 3 месяца назад

      Unauhakika hukuona msalaba Kwa hii kanisa katoliki??? Wewe unaona kweli!!!!

    • @neemamwakasape1630
      @neemamwakasape1630 3 месяца назад +7

      Sahihi kabisa, wokovu binafsi na mahusihano yako Mungu binafsi. Ni muhimu zaidi kuliko kanisa au dhehebu

    • @karibunyumbani3824
      @karibunyumbani3824 3 месяца назад +2

      ​@@BarbaraPatience-qt9ccsicho alichomaanisha ndugu kuwepo msalaba kanisani sio ndio kua na YESU moyoni

    • @RoseMayige-gn9qb
      @RoseMayige-gn9qb 3 месяца назад

      Msalaba siyo ishara ya kua watu wanaosali hapo wameamua kumpokea Yesu Kristo awe Bwana na Mwokozi wao.​@BarbaraPatience-qt9cc

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 3 месяца назад +1

      @@BarbaraPatience-qt9cc catholic sio sehemu salama katika wokovu kamili wa Yesu Kristo ,naomba nisishambuliwe nimeongea kutoka moyoni

  • @ChristinaMushi-t1w
    @ChristinaMushi-t1w 3 месяца назад +19

    Wanawake tuwe werevu kama nyoka siku zote tukishazaa tuangalie watoto wetu na tuwache kuangalia hawa wanaume jmn ona sasa mama huyu ameacha watoto wake wazuri na dhambi za huyu baba alizokua anafanya za kuzini anazibeba huyu mwanamke zote jmn inauma binafsi nimejifunza mengi kwenye jambo hili

    • @TeophilBuilding
      @TeophilBuilding 3 месяца назад +2

      Kuma la mama ako unatombw akili mkundu ww

    • @ElizabethMkini
      @ElizabethMkini 3 месяца назад +1

      Kila mtu atabeba dhambi zake...

  • @verombwambo3703
    @verombwambo3703 3 месяца назад +27

    Dah watoto wadogo sijui wamezoea kuwaona wazazi muda wote Sasa wanaanza maisha ya uyatima 😢😢😢😢😢 uwiiiiiiii Mungu tujalie subra yarab na nyie makahaba mnaongilia nyumba za wanandoa na kujisahau ndio mjifunze hapa hii dhambi haiwaacha salama

    • @jasmineeomary2041
      @jasmineeomary2041 3 месяца назад +2

      Kwani huyo alikua kahaba au mke unamwitaje mwanamke mwenzio kahaba wakati katongozwa kama ww ulivyotongozwa?

    • @a2core-wn2wk
      @a2core-wn2wk 3 месяца назад +1

      Huyo mwanaume na yy ni kahaba kaenda kwa kahaba mwenzake ndo kifo kikamfika na weye unaesema mwenzako kahaba ww pia ni kahaba tafakari kwanza ndo uongee

    • @AshuuhCashewnuts
      @AshuuhCashewnuts 3 месяца назад +1

      Kwani huyo kahaba ndio kamtuma amuue huyo mume sema nyie watu wamoshi mnajikuta cjuwi mpo nchi gani ya kigaidi hamna shetani ni ujinga alonao angemuacha angepungiwa nini

    • @AverinaShirati
      @AverinaShirati 3 месяца назад +2

      Eti mchamungu

    • @Njeriii536
      @Njeriii536 3 месяца назад +7

      ​@@jasmineeomary2041mke walifunga ndoa? Huyo nikahaba kama kahaba wengine

  • @MonicaSimon-wr2qj
    @MonicaSimon-wr2qj 3 месяца назад +4

    Jamani tuache kupotoshana eti anamcha Mungu jamani

  • @BossmumGesase
    @BossmumGesase 3 месяца назад +11

    Uwiii nawaza hao watoto tu mama alikosa hekima angalia hao watoto 7uwiii Yesu awatetee

  • @christinakomba689
    @christinakomba689 3 месяца назад +21

    Kama mmetofautiana bora mwachane kuliko kutoa uhai wa mwenzio hata kama angezaa na watu kumi siwezi kuuwa 😢😢😢

    • @RehemaselemanMazwil
      @RehemaselemanMazwil 3 месяца назад +2

      Anae ua siyo wewe nihasila zako Kaa kimyaa yakukute kwanza ndo tutajua

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 3 месяца назад

      @@RehemaselemanMazwil wew inaonekakana una roho lauuji kama huyu alieua, umekazania et yasikukute kwani huku umejuaje maisha yetu ? Yametukuta Sana Tena Sana, asilimia chache ya wanawake ambao hawajakutwa na haya mambo ya mchepuko, qq😥😥😥mtu unatendwa mpaka unajiuliza hivi nimekosea Nini mpaka iwe hivi lakini hata siku moja huwezi kuwaza kuua hata kidogo.. eti hayajakukuta! Kuna mwanamke ambaye sio muhanga wa kuoneshewa michepuko??

    • @GraceRoman-xw7xm
      @GraceRoman-xw7xm 3 месяца назад +1

      Nyieee hizo n hasira n shetani anapitia hapo hapo unazani hata yy huyo mwanamke baada ya hapo nahic amejutia na hakutegemea

    • @christinakomba689
      @christinakomba689 3 месяца назад +2

      @@RehemaselemanMazwil yashanikuta dada niliondokaaa,kuepusha hayo,sasa unazani kaweza kufanya hivi?kauwa mume,yy yuko jela watoto wanabaki na nani?

    • @ambrosiajengo4153
      @ambrosiajengo4153 3 месяца назад

      ​@@GraceRoman-xw7xmi

  • @AdmAlhinai
    @AdmAlhinai 3 месяца назад +12

    Mtu meshafikia utuuzima sio km ni binti wtt sita inamana ndoa unaweza ikawa inamiaka 10 ss chaajabu nikipi kufanya wtt wadhalilike mimi ata angetembea nyumba ya pili mazali niko kwangu pesa yakula anatoa uduma za wtt anawapa naende ata akimaliza mtaa mzima atajijua mwenyewe

    • @TheresiaAndrea-hv9dg
      @TheresiaAndrea-hv9dg 3 месяца назад +1

      Huyu mama ni zaidi ya Rusfeli. Hata hakuweza kufikiria watoto jamani 😭😭😭

    • @emmyomary9640
      @emmyomary9640 3 месяца назад +1

      Hakufikilia watoto wake alifikilia mapenzi hivi kweli nina watoto sita naenda kugombania mapenzi niache wanangu waangaike hahahahah wee tembea tu hata na dadaaako wala sishtuki

    • @LydiaIsangi
      @LydiaIsangi 3 месяца назад

      Kwanza haikuwa busara kumfuatilia mume,na pia wanawake kinachowauma sana Wala sio mapenzi ni Mali,

    • @juditholotu7249
      @juditholotu7249 3 месяца назад

      Kama hayajakukuta unaweza kuongea kirahisi

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 3 месяца назад +2

    Daaaha bora ameacha mabinti watawatunza wadogo zao wanaume acheni kucheat jamani na Mungu awasafishe mabinti Hawa wasifuate damu ya mama Yao

  • @LindaMbilinyi-n3n
    @LindaMbilinyi-n3n 3 месяца назад +1

    Wanawake tunajua tunapitia magumu sanaa lkn tuombe hekma kwa Mungu kabla ya masmuzi km haya ya kuumiza familia,,,ona wstoto wanavyolia😢😢😢😢😢na nyie wanawake wa nje kuweni ns hruma na ndoa za watu mungu anawaona jmn mkiganda familia za wstu mmeganda dah,naishiwa maneno

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard5950 3 месяца назад +4

    Huyo Beatrice Kwayu atakuwa ni kutoka Machame. Ogopa sana mwanamke wa kiparestina.

    • @machakuroger7068
      @machakuroger7068 3 месяца назад

      Kina kwayu sio wa machame

    • @marysawe9356
      @marysawe9356 3 месяца назад

      Mshenzi kweli wewe ni mmachame yupi uliona kauwa mume au ni stori tu za kipuuz huko mtaan kwenu hyu ni mkibosho piwa uache kudhihaki kabila za watu kenge wewe

    • @lindaabraham5365
      @lindaabraham5365 3 месяца назад +1

      Wamachame hawaui kizembe angeumwa tumbo 😂 au kifua. Mnatafuta mali kwa nguvu then mtu anaenda kuzitawanya kwa wanawake wengine. Haya akakipumzishe sasa kwa amani

  • @farajasallah2338
    @farajasallah2338 3 месяца назад +6

    Poleni sana, maisha bila baba Mungu awasaidie

  • @maryjoseph926
    @maryjoseph926 3 месяца назад +1

    Ooh jmn polen saan watoto wazuri Mungu awalinde na kuwasimamia msilipize kisasi ambacho mama amekifanya kisiwafanye kuwa wakatili

  • @annamussa185
    @annamussa185 3 месяца назад +5

    Ndo muache ukahaba pesa kidogo tayari unaenda kutafuta Kuma nyingine,haya ngoja akapumzishe bolo lake limemponza

    • @olivastephano2900
      @olivastephano2900 3 месяца назад +1

      Wanaume wasipo badilika watakufa wengi

    • @tatujuma-ny5nm
      @tatujuma-ny5nm 3 месяца назад

      Yaani mi mungu aniguse tu dkk zote maana mme wangu mimi anayoyafanya jamani,leo tumeanza kuitwa wa wapangaji wa mtu na tulikua na jumba letu la kifahari chanika huku,yote Kuma tu hizo zimesababisha kuuza nyumba na maisha kuyumba kiasi hiki.

    • @evelynisaac8767
      @evelynisaac8767 3 месяца назад +1

      Bora umesema kweli wanaume wengiiiii wanauwa wake zao wangapi huwa wanakuja kutetea familia wanaona ni kawaida Leo mwanamke kauwa anaonekana hana akili wanawake tuache unafiki

    • @ubongosahihi
      @ubongosahihi 3 месяца назад

      Mwenyezi Mungu Awatetee Wanandoa Wote Duniani, Wamama Chonde Kazana na Sala na Maombi ili Moyo Uushinde Katika Hizi Zambi za Uzinzi na Mengi Ya Kutisha Eee Mwenyezi Mungu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 🧎🏾‍♀️🤲🏾👏🏾🙏🏿

    • @ChugaKazi
      @ChugaKazi 3 месяца назад +1

      Sio akapumzike tu akifika uko afe tena nyoko mmoja

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 3 месяца назад +12

    Hakuna malaika duniani, tukisema kila mwenye mwanamke nje auwawe...nusu ya wanaume kama sio robo tatu watauwawa.
    Mungu atusaidie sana , atupe mioyo ya subira, na atupe wanawake uvumilivu.

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 3 месяца назад

      Wanaume nao.wakubali kubadilika unamzalisha mtu watoto 6 halafu unamuona Mzee unatafuta mwingine. Upuuzi

    • @suzandonadi1400
      @suzandonadi1400 3 месяца назад

      Mda mwingine anakua ni shetani tu kikubwa ni kumuomba Mungu

  • @OliverKavishe-hy3zg
    @OliverKavishe-hy3zg 3 месяца назад +3

    Muwe waaminifu kuepuka haya,na ukijua mwenzio siyo muaminifu mshtakie Mungu mbona atafanya

  • @susanraphael5894
    @susanraphael5894 3 месяца назад +5

    Sasa umemuua mwanaume wewe jela maisha watoto hawa wadogo ivi walelewe bila wazazi jamani mama mungu akusameee bure inauma sana😂😂😂

    • @StellaMwasha
      @StellaMwasha 3 месяца назад

      Saa nyingine ni hasira tuu yawezekana Wala hajakusudia Mungu amrehemu Kwa wivu huu

    • @naomicharles5444
      @naomicharles5444 3 месяца назад

      Na nikuhakikishie kwamba huko aliko ajutiii lolote na ukiona ivo alikua kashafik steji ya mwisho ya Sina cha kupoteza😂😂😂mwanamke akifik hii steji Ata aue nchi nzima atakua Okey kabiss

  • @dafrosamsonge2007
    @dafrosamsonge2007 3 месяца назад +3

    Kuna umuhimu wa kutulia wanaume lakin pia wanawake tuwe busy na kuacha Mungu awanyooshe kwa kuamua yeye

  • @AdmAlhinai
    @AdmAlhinai 3 месяца назад +6

    Kuna kinaulazima gani mpk utatilie mwanaume wtt wadogo watapata shida kwa wivu wa kijinga mtu nyumba mmejenga nasio km umetolewa akaletwa mchepuko upo ndani kwako shida niyanini anawacha wtt wanakuwa na simanzi hata hawa wtt awatoishi kwa raha na familia ya baba yao watakuwa na msimango sn roho yangu imeniima jamani

  • @StanleyMolla
    @StanleyMolla 3 месяца назад +1

    Anyway naomba niwe tofauti tuu..mguu wangu mmoja na nusu upo upande wa mwanamke,iyo nusu naiweka upande wa mwanaume..embu imagine umezalishwa watoto 7 mwili umekushuka shukii na ukute mda unazalishwa na mishono yako mlikuwa bega kwa bega na mwanaume kuchuma mali..leo kazipata ,mwanamke mwili umejaa makovu mara 7 , ndo anaona bora akajilie vinono na wengine ..aloooo iyo ishu hata shetani anakaaga pembeni,,kabla hawajamfunga uyo mama wajaribu pia kumcheki afya ya akili huenda hata hakuwa sawa kiakili

  • @neemamassawe3029
    @neemamassawe3029 3 месяца назад +1

    Sijui hawa watoto wanawaza nini hapo walipo,Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi jamani daaah.

  • @IreneBwire-ww3zk
    @IreneBwire-ww3zk 3 месяца назад

    Poleni wafiwa mungu awape ujasiri ,
    Lakini tuache kutoa hukumu hp duniani ,mkumbuke kwa mungu hakuna SIRI HASA DHAMBI YA KUZINI,utasali sn na majitoleo mengi
    Lakini mungu akiamua kufunua tabia yk ijulikane ndio hivyo
    Mtaongea yote na sheria mtumie lakini mtoa kibari cha uhai / pumzi ni mungu mwenyewe anaelewa sitahiki ya kila mwanadamu

  • @Malaikakisseto
    @Malaikakisseto 2 месяца назад

    Wanawake wengine wapumbavu,sasa unauwa mume wako ili iweje sasa watoto wake watalelewa na nani baba kaburini na mama atafungwa. Wanawake wenzangu tuache ukatili na akili mbovu acheni ujinga ona watoto umewavuruga.poleni sana watoto.

  • @joycemkeka3769
    @joycemkeka3769 3 месяца назад +1

    Tusipokuwa na maarifa tutateseka sana kunawatu wapo kuaribu maisha ya wengine umechochea ugonvi wanandoa wameuwana wewe unapata mwanaume mwingine mwanao analelewa watoto wamwenzio wanateseka inatia hasira sana

  • @paterinishayo-ef4sx
    @paterinishayo-ef4sx 3 месяца назад +5

    Hivi huo wivu wa kiasi hicho unatokea wap mpka kumtoa mumeo uhai bila kujali kitakukuta nn na kwann umfuatilie mwanaume na bodaboda kila kona afu umebeba kitu chenye ncha kali ina maana alidhamiria kumuua kwahiyo bora wakose wote roho mbaya sana hii

    • @FunnyJumpingSpider-bz9dr
      @FunnyJumpingSpider-bz9dr 3 месяца назад +2

      We wanawake tunakumbana na mazito sana ndani ya ndoa zetu tuyasikie tu Kwa wenzetu lakini tuombe mungu yasitukute.

    • @emmyomary9640
      @emmyomary9640 3 месяца назад +1

      @@FunnyJumpingSpider-bz9dr watu wote wanapitia magumu ila wana tulia kwa sababu ya watoto ona hapo mama hayupo baba hayupo mimi mwanangu ni bora sana kuliko mwanaume wewe

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony 3 месяца назад +3

    m,bunge kaelezea ukwel watumishi wa sasa wanaombea kuusu miujiza yakpata pesa wamesahau kuimiza upendo upendo umehamia kwenye pesa na vitu

  • @FatmaHamad-g6s
    @FatmaHamad-g6s 3 месяца назад +10

    Jmn tuwe makini sana ona watoto.wanavyopitia magumu bado wadogo wengine jmn

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 3 месяца назад

      😭

    • @siaammo1104
      @siaammo1104 3 месяца назад

      Ndo wanaume wajifunze ubaya wa kuwa namichepuko

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 3 месяца назад +52

    Omba yasikukute jmn.Sipatii picha jinsi familiya yamwanamke aliefanya tukio wnaumia kiasi Gani.Mama yke nahyu muuaji anaumiaje jmn.Kweli shetani alaaniwe sana.

    • @itanzaniaAS
      @itanzaniaAS 3 месяца назад +3

      Wana wakati mgumu. Alafu watoto baba kauwawa mama anafungwa maisha au miaka 30

    • @TeophilBuilding
      @TeophilBuilding 3 месяца назад +2

      Kam walishirik maan unaonekan haufikilii zaid

    • @athumanfuko199
      @athumanfuko199 3 месяца назад

      @@itanzaniaAS hilo ndo tatizo linapoanza

    • @arafamohamed2819
      @arafamohamed2819 3 месяца назад

      Mungu awape amani

  • @aderanderwa7623
    @aderanderwa7623 3 месяца назад +27

    DAMU YA YESU KRISTO IWAFUNIKE watoto hawa

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 3 месяца назад +2

    Hasira ni hasara ningejua inakuja mwishoni majuto ni mjukuu mwishowe uja kinyume watoto wanaumia kukosa wazazi wote kabla ya kutenda nyatupasa tufikilie mapenzi ni ya kupita tu kikubwa kuomba Mungu sana ona sasa.watoto wanatuliza ata watu tunao angalia mtandaoni 😢😢😢

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 3 месяца назад +4

    Ukiwa na hela shida ukikosa shida kwani hii dunia inatakaje?

  • @AdmAlhinai
    @AdmAlhinai 3 месяца назад +3

    Tufike wakati tujue tu akuna mwaume anerifhika japo sio wt ss unapoishi nae kaa kwaajili ya familia yk umeona umeshindwa basi kajivue kanisani engekuwa nisisi waislamu wamwambia nimeshindwa na km ataki kukuacha pia waenda jivua bakwata yote yanini haya kuwacha wtt wadhalllike wallah nimeumia sn simfikiri bb wala mama nawaonea uruma hawa wtt changamoto watazo kutana nazo Allah awafanyie wepesi

  • @lindaabraham5365
    @lindaabraham5365 3 месяца назад

    Ongeeni na watoto wenu, ndugu, wakileta wanawake wengine wakanyeni sio kufurahia. Haya ndiyo madhara ya zinaa. Umemchoka mke wako mwache nenda kaoe mwingine. Wanaume kama hamwezi kuwa na mwanamke mmoja si muishi peke yenu mfanye ufuska mkiwa free? Pole Beatrice

  • @missp-dv6qd
    @missp-dv6qd 3 месяца назад +4

    Haya ni matokeo ya kuumizana na mtu kukuona mpumbavu na mjinga flani hivi unauliza vitu unajibiwa shombo ila pamoja na yote uamuzi mama aliochukua mgumu ameacha watoto ni kama yatima. Ukiona umepata mchepuko mrembo muache mkeo mtagombana utamuumiza lakini ukweli mapema unakuacha huru. Mwanaume kapenda uzinzi mpaka umemuaa

    • @BenedictaMagantg
      @BenedictaMagantg 3 месяца назад +1

      Ukiona mumeomkapata mchepuko huwezinjuvumilia nenda mahakamani nuachane lakini dinkumuua. Sasa watoto wamebaki.peke yao.

    • @ElizabethMkini
      @ElizabethMkini 3 месяца назад

      Tatizo umalaya kaka zetu hawa liziki ndo hapo...mshahara wa dhambi ni mauti...na hapo ukute katika kupigana na kujitetea bahati mbaya kikamchoma...unadhani huyo mama alitaka kumuua mumewe?! hapana...

  • @fadhili-n2s
    @fadhili-n2s 3 месяца назад +8

    Daaah hii dunia sijui ata tunaelekea wap

  • @emmyomary9640
    @emmyomary9640 3 месяца назад +2

    Mungu atusaidie wanawake unaenda kuharibu maisha ya watoto kisa mapenzi kwelii jaman bora angekuwa msichana sasa mtu una watoto sita ndoa ina miaka 20 kasoro mweee sasa mme kafa wewe unaenda kuozea jela

    • @siaammo1104
      @siaammo1104 3 месяца назад +1

      Shukuru mungu kama hujakutana nachangamoto za hivyo. Tunatofautiana katika uvumilivu
      Mwingine hawezi ndokama huyo.mama
      Nasikuzote hasira ni hasara.

  • @mesiamatheo2230
    @mesiamatheo2230 3 месяца назад +1

    Mama alishindwa kuitawala hasira...ona Sasa...pole Kwa familia...

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 3 месяца назад

    Wanawake tunapitia magumu sana hasa wake wa ndoa wanaishi kwa mateso sana hivi uko mstari wa mbele kanisani na shirika la moyo wa yesu alafu hata kutulia hutulii si laana hiyo saa ingine mungu anaruhusu tatinzo kwa tabia zako mbaya dini yake hairuhusu poleni sana nachojua ni shetani tuu iko ck atatoka akalee wtt wake mama ni mama tuu hata angekuwa kichaa mtakujakuniambia

  • @DevothaErnest
    @DevothaErnest 3 месяца назад +6

    Daaaah pumzika Kwa amaniiii boss 🥲🥲

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony 3 месяца назад +1

    pole kwao jmn mwenyenz mungu awatie nguvu miyoyon mwao

  • @sharewithhope1229
    @sharewithhope1229 3 месяца назад

    Yesu pekee ndiye mfariji wa kweli ,
    Kila mtu anamwitaji Yesu kwenye maisha yake

  • @rose_Winchester86
    @rose_Winchester86 3 месяца назад +1

    Watoto hapo hawana baba wala mama, ndoa sio kitu cha kuforce kama mtu hakutaki move on na maisha yako

  • @aishalobullu76
    @aishalobullu76 3 месяца назад

    sijui ni macho yangu ndio mabovu au sielewi hapo naona watt watano wakiume wa tatu wakike wawili na wosia unasema wakike watano wakiume wawili

  • @HappysangaHappy
    @HappysangaHappy 3 месяца назад

    Wameliza watoto jmn daah niwadogo maisha ya bila baba wala mama nimagumu sana hasira hasara

  • @nwntz
    @nwntz 3 месяца назад

    Usiendeshwe na hisia nig , mama kabaki na watoto kaua mzizi, kaua mwanzilish wa familia, kaua kichwa, kaua kila ndoto ya familia damn.

  • @khadijaamur6032
    @khadijaamur6032 3 месяца назад +1

    Wamefanana na baba yao jamaniii. Hii tamaa ya mali zinatupeleka pabaya wanawake

  • @AnethWambura
    @AnethWambura 3 месяца назад

    Jamani wanawake ss ndo chanzo cha mifarakano katka ndoa nying za waty...unajua kbsa mty ana mume kwann uingilie lakn m namlaani b mdogoo laana imfike maisha yake yoteee yy ndo chanzo cha mwanamke mwenzake kuwa gerezani

  • @charlottegichogo
    @charlottegichogo 3 месяца назад +2

    Hiii ndo maan halis ya tutagawan majengo ya serikal

  • @EdithaMartin-t4t
    @EdithaMartin-t4t 3 месяца назад

    Huyu Mama kakosa Hekima ya Tuu .ukishajua ana mke mwingine kuwa busy na watoto wako na kujitoa kanisana utapata maarifa na Hekima...tuu

  • @Catherine-u6g
    @Catherine-u6g 3 месяца назад +1

    Kuna wakat ukiwa na family usimfatilie sana mwanaume ona 😢😢sasa watt wamebak yatma ghafla

  • @TimaMohammed-pn9eh
    @TimaMohammed-pn9eh 3 месяца назад +1

    Pole ni sanamipago ya mungu

  • @Ibrahimkidee
    @Ibrahimkidee 3 месяца назад

    Polen saaana
    Najua ngum lakn Haina jins

  • @aishamakala8045
    @aishamakala8045 3 месяца назад

    Mwenyezi mungu awatie nguvv watoto

  • @josephkulaba
    @josephkulaba 3 месяца назад

    Poleni Watoto maana ndoo tumeachiwa mzizi mzito wa dhambi ya kurithi tujitahidi isitokee kwetu. Wazazi wameshindwa kuaminiana basi

  • @DONALDMTOWE-u9g
    @DONALDMTOWE-u9g 3 месяца назад

    Bibilia inasema shahara wa dhambi ni mauti,alicho kifanya Huyo mama mshahara wake ni mauti.Hakuna cha upendo hapo.Upendo husitiri wingi wa dhambi na wivu ni dhambi.

  • @enockmaige8936
    @enockmaige8936 3 месяца назад

    Nyie shabikia mnajua maumivu nyiyni ya mapenz mnahangaika kutafuta pesa kwa bidii mkishafanikiwa mwenzako anaenda kutawanya pesa kwa wanawake wengine unazan yeye ana moyo wa chuma japo angetumia busara tu na hyo mwanaume akakipumzishe kwa amani sasa hicho kinanii chake.

  • @idinado-wk3lx
    @idinado-wk3lx 3 месяца назад

    Wanawake wa Moshi Mimi nawaogopa sana maana matukiyo kwenu yamekuwa mengi sana mala kuuwa wazazi Kisa Mali mala muuwe wame zenu namengineyo mengi njiee TU duuuu

  • @ChiguzoDama
    @ChiguzoDama 3 месяца назад

    Huruma kwa watoto hawa wadogo kuishi bla wazazi huyo mama najua atafungwa miaka mingi 😭😭😭😭

  • @juditholotu7249
    @juditholotu7249 3 месяца назад

    Wanaume wengi wamesababishia wake zao kupata tatizo la afya ya akili

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 3 месяца назад +2

    Aisee kumbe watoto bado wadogo ivo inauma sana

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 3 месяца назад +1

    Kawaida wanawake w kichaga kua waume zao,akiwa na Hella,hilo halina shaka n kawaida, yao,mlo oa wachaga tujipange,

    • @annammary5593
      @annammary5593 3 месяца назад

      Si kweli, huyo kaua kwa sababu ya wivu wa mapenzi

  • @ezrommussamusssa2540
    @ezrommussamusssa2540 3 месяца назад +2

    Hii ndo 50% to 50% wanayoitaka wanawake

  • @janifajani8875
    @janifajani8875 3 месяца назад +2

    Watt wamefanana na baba yao adi bas

  • @stanleyamlima2085
    @stanleyamlima2085 3 месяца назад +1

    Wanawake wanaroho mbayaaaaaaaaaaaaa.....!!!!!

  • @busandashanyangi6742
    @busandashanyangi6742 3 месяца назад

    Watoto wameachwa wadogo jamani!?! Ukatili una madhara

  • @SophiaMbuya-zt8mw
    @SophiaMbuya-zt8mw 3 месяца назад

    Pole sana catherine

  • @bahatinassorali5222
    @bahatinassorali5222 3 месяца назад +2

    Watoto wamebaki yatima dahhh😢

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471 3 месяца назад

    MUNGU awatie nguvu 😭😭 jamani awape utayari wa kupokea jambo hili zito na lenye majonzi

  • @annammary5593
    @annammary5593 3 месяца назад

    Mi natamani hizi taratibu za kanisa kusema hakuna cha kutenganisha ndoa zaidi ya kifo matokeo yake ndo haya... Hawa huenda walishakuwa na migogoro muda mrefu ila kwa sababu ya ndoa ndo matokeo hayo. Watu wameshashindwa ila wanaishi tu kwa sababu ya ndoa. Sheria za ndoa zilegeze mashart

  • @YasintaJacob
    @YasintaJacob 3 месяца назад

    Polen jamn Mungu awatie nguvu

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 3 месяца назад

    Kama yule mke wa muuza madini aliachiwa huru hata huyu ataachiwa tena serekali yetu bado sana marehemu hana haki Mungu awatunze tu 'mpendane😭😭😭🙏

  • @WiniRasirasi
    @WiniRasirasi 3 месяца назад

    Amina

  • @Mimi-wf7mb
    @Mimi-wf7mb 3 месяца назад

    Sioni shada la mchepuko. Na mchepuko hauna cha kupoteza maana kaachiwa bonge la nyumba na ma biashara. Aliyepoteza ni huyo mwenye mume wake na watoto😢

  • @MagdalenaMatiko
    @MagdalenaMatiko 3 месяца назад +1

    Nikiwazaga huu ujinga namwambia shetani pita mbali watoto wangu nitamwachia nani

  • @Everline398
    @Everline398 3 месяца назад

    Mcha Mungu wakati anachepuka na amezaa nje woooi

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 3 месяца назад

    Hio c mipango ya Mungu una tuharibia siku,umetumwa nn yan mtu aue w useme mipango y Allah,eb huko ww,

  • @yolandachuwa5554
    @yolandachuwa5554 3 месяца назад

    Watoto bado wadogo jamani ,,,shetani Ana nguvu Sana😭

  • @AnethWambura
    @AnethWambura 3 месяца назад

    Tutafutien mke mdogo chanzo cha kifo cha huyu baba

  • @baddestgames2784
    @baddestgames2784 3 месяца назад

    Kwaiyo watoto watakuwa wanasema mama alimuua baba 😢 Na waombee wapate akili na mwongozo wafanikiwe katka maisha maana kuna lawama zitakua juu ya mama yao

  • @GloryMwacha-fw4qb
    @GloryMwacha-fw4qb 3 месяца назад

    James pole sana kwa msiba

  • @GloryMwacha-fw4qb
    @GloryMwacha-fw4qb 3 месяца назад

    Polen 😢sana watoto jaman tumuogope mungu kwa kweli

  • @JonathanNelson-l8h
    @JonathanNelson-l8h 3 месяца назад

    Shetani kitu mbaya sana ona kamshawishi mke kaua mume tafsiri yake mke anaenda jela....watoto wanabaki wapweke😢

  • @AVERINAPINGA
    @AVERINAPINGA 3 месяца назад

    Mbunge ameongea point Sana 🙏

  • @vero57
    @vero57 3 месяца назад +4

    Wewe mama ona watoto wako wanavyo onekana!!! Kwanini lakini???

  • @tajilimtoto5009
    @tajilimtoto5009 3 месяца назад

    Tugawane Majengo ya serikali mmoja aende jera mwingine mochali ameimba 20 parcent

  • @Rachelnsanzu
    @Rachelnsanzu 3 месяца назад

    Watoto wadg jamani

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 3 месяца назад +1

    😢hapo uyo mama kahawaharibia wanae wakati wa kuolewa na kuowa utasikia nani aozeshe mwanae kwenye ukoo wa wauwaji nani aowe watt wa muuwaji nao wakitulia mtto wetu😢😢 Na hivi vitu ni endelevu chunguzeni uyo mama kwenye ukooo wao utakuta walishauwa

    • @rosemkama6629
      @rosemkama6629 3 месяца назад

      Umeona kaweka doa kwa wtt wake .kuona na kuolewa itakua shida

    • @InjiliyaUfalmetv
      @InjiliyaUfalmetv 3 месяца назад +3

      ​@@rosemkama6629Hapana wataolewa vizuri nakuoa vizuri Mawazo ya mwanadamu sio ya Mungu

    • @ElizabethMkini
      @ElizabethMkini 3 месяца назад +1

      Na huyo baba yao angetulia yasingemkuta....mshahara wa dhambi ni mauti...

    • @InjiliyaUfalmetv
      @InjiliyaUfalmetv 3 месяца назад +2

      @@ElizabethMkini Kabisa dhambi Ni dhambi Mungu hajawahi sema Uongo Wanamtetea mtu dhahir inajulikana katenda dhambi,Tena huyo mwanamke akitubu Mungu anamsamehe kabisa hsijalishi watu wanasema Nini

    • @InjiliyaUfalmetv
      @InjiliyaUfalmetv 3 месяца назад +1

      Natamka kwa Jina kuu la YESU Kristo hai watoto Wataolewa pasipo maswali Wala Nini Wataoa pasipo maswali Wala Nini Nafuta Maneno ya watu kwa Damu ya YESU hayataumbika hata moja Iko Damu ya Mwanakondoo inenayo mema kuliko Maneno ya watu Ufunuo 12: 11 ikawe spesho kwa Hawa Watoto Ameen Kama Mungu wangu aishivyo hata milele

  • @rozasamwel2023
    @rozasamwel2023 3 месяца назад

    Ni huzun yenye fundisho😢

  • @ericklibaba1198
    @ericklibaba1198 3 месяца назад +3

    Uwingi wa Watu kanisani inaonesha jinsi Gani Mtu Huyu alikua mwema kwa jamii yake... 😢 Pumzika Kwa Amani Kaka Yetu...

    • @ElizabethMkini
      @ElizabethMkini 3 месяца назад

      Unaweza ukawa mwema kwa watu lakini siyo kwa mwenza wako...angetulia na mke wake watoto sita na nje unaenda fata nini ona sasa Uasherati na uzinzi ume mcost hata ulinzi Mungu anakuondolea...shetani ana chukua msukano.

    • @rose_Winchester86
      @rose_Winchester86 3 месяца назад

      Jamani ndoa sio ya kuforce kama mwanaume alikuwa kamchoka mke wake mwanamke angetulia sio kuuwa​@@ElizabethMkini

  • @LoisaJumma
    @LoisaJumma 3 месяца назад

    Polen San mungu awatete katik wakati mugumu

  • @vero57
    @vero57 3 месяца назад +1

    Poleni sana watoto wa marehemu,

  • @haryanyawu640
    @haryanyawu640 3 месяца назад

    Duh poleni sana wafiwa

  • @selemanisalum7685
    @selemanisalum7685 3 месяца назад

    Bora mama aliefanya hayo wa mwache aje kuongoza familia ni shetani tu huyo watoto wadogo sana sasa hapo wanandaliwa panya road na maraya wa kujiuza maisha yeshavurugika duuh

    • @paterinishayo-ef4sx
      @paterinishayo-ef4sx 3 месяца назад

      Hakuna sheria ya hivyyo mali zote zitapotea na na watt watahangaika wenyewe na ndugu zao ila mama atachezea kaua kwa kudhamiria maana alikodi boda kufuatilia njia zote mme wake huku akiwa na kitu chenye ncha kali

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 3 месяца назад

    Dada Ana mawazo Sana mama baba kaondoka mama yupo jera jaman

  • @HernyMonyo
    @HernyMonyo 3 месяца назад

    Kweli.nasega.siku.zote.mapenzi.shikamooooo