Mungu aendelee kutupa uvumilivu tu kwa kweli kama ingekuwa kila mume au mwanaume anayetuchiti stahili yake ni kuuwawa basi wanaume wangebaki wachache sana na wanawake weng tungekuwa jela na watoto wengi wangeendelea kuwa machokoraa ila kwa hekima na uvumilivu anaozidi kutujalia mungu sisi tunadunda kwa kulea vyema watoto wetu na wanaume wakiendelea kuambulia magonjwa na mwisho umauti usio na nuru machoni pa mungu✍️asee mungu endelea kunijaza hekima na uvumilivu katika maisha haya yanayoumiza ni mengi ila isinifanye nikachukua hatua aliyochukua. Mwanamke mwenzetu📌
Pole sana juma raibu kwa kumpoteza rafiki. Poleni sana, nimeumia sana. Jamani mkishindwana ni bora muachane kwa amani kuliko kutoana uhai Mungu hapendi
Unafiki hautaisha dunia hii. Huo wasifu siyo wa kwake. Anaheshimu watu gani kama kashindwa kuheshimu mke na watoto wake? Eti mcha Mungu! Uzinzi ni ucha Mungu? Acheni kutupotosha
Mkewe kwa imani ipi, yeye ni mkristo tena mroma kanisa la kiroma hata padre haruhusiwi tu kuoa wala watawa hawaruhusiwi kuolewa ila waumini ukioa au kuolewa haitambuliki ndo myengine, shida ni vile tunaficha maovu ya wanaotangulia mbele za haki au wanaotangulizwa kabla ya mipango ya Mungu, tunapaswa tu kusema ukweli sababu ya marehemu kufa ni alichomwa na kisu na mke wake kwa wivu wa mapenzi hivyo nasi tujifunze kuwa waaminifu kwenye ndoa zetu kuepuka haya yasitokee watu wangekuwa waoga na vifo kama hivi vitapungua sana, hata mtu akifa kwa HIV iwekwe wazi tu kusaidia wengine kuwa wacha Mungu na kuepuka ngono zembe, mtu amekufa kwa ugonjwa wa moyo figo au kisukari zisemwe sababu za kifo chake kuwa chanzo ni unywaji wa pombe na kutofuata ushauri wa kitabibu hii itasaidia kuzingatia afya na kupunguza vileo usasa na kufanya mazoezi kuzingatia afya.@@LydiaIsangi
Wanawake tuwe werevu kama nyoka siku zote tukishazaa tuangalie watoto wetu na tuwache kuangalia hawa wanaume jmn ona sasa mama huyu ameacha watoto wake wazuri na dhambi za huyu baba alizokua anafanya za kuzini anazibeba huyu mwanamke zote jmn inauma binafsi nimejifunza mengi kwenye jambo hili
Dah watoto wadogo sijui wamezoea kuwaona wazazi muda wote Sasa wanaanza maisha ya uyatima 😢😢😢😢😢 uwiiiiiiii Mungu tujalie subra yarab na nyie makahaba mnaongilia nyumba za wanandoa na kujisahau ndio mjifunze hapa hii dhambi haiwaacha salama
Huyo mwanaume na yy ni kahaba kaenda kwa kahaba mwenzake ndo kifo kikamfika na weye unaesema mwenzako kahaba ww pia ni kahaba tafakari kwanza ndo uongee
@@RehemaselemanMazwil wew inaonekakana una roho lauuji kama huyu alieua, umekazania et yasikukute kwani huku umejuaje maisha yetu ? Yametukuta Sana Tena Sana, asilimia chache ya wanawake ambao hawajakutwa na haya mambo ya mchepuko, qq😥😥😥mtu unatendwa mpaka unajiuliza hivi nimekosea Nini mpaka iwe hivi lakini hata siku moja huwezi kuwaza kuua hata kidogo.. eti hayajakukuta! Kuna mwanamke ambaye sio muhanga wa kuoneshewa michepuko??
Mtu meshafikia utuuzima sio km ni binti wtt sita inamana ndoa unaweza ikawa inamiaka 10 ss chaajabu nikipi kufanya wtt wadhalilike mimi ata angetembea nyumba ya pili mazali niko kwangu pesa yakula anatoa uduma za wtt anawapa naende ata akimaliza mtaa mzima atajijua mwenyewe
Hakufikilia watoto wake alifikilia mapenzi hivi kweli nina watoto sita naenda kugombania mapenzi niache wanangu waangaike hahahahah wee tembea tu hata na dadaaako wala sishtuki
Wanawake tunajua tunapitia magumu sanaa lkn tuombe hekma kwa Mungu kabla ya masmuzi km haya ya kuumiza familia,,,ona wstoto wanavyolia😢😢😢😢😢na nyie wanawake wa nje kuweni ns hruma na ndoa za watu mungu anawaona jmn mkiganda familia za wstu mmeganda dah,naishiwa maneno
Mshenzi kweli wewe ni mmachame yupi uliona kauwa mume au ni stori tu za kipuuz huko mtaan kwenu hyu ni mkibosho piwa uache kudhihaki kabila za watu kenge wewe
Wamachame hawaui kizembe angeumwa tumbo 😂 au kifua. Mnatafuta mali kwa nguvu then mtu anaenda kuzitawanya kwa wanawake wengine. Haya akakipumzishe sasa kwa amani
Yaani mi mungu aniguse tu dkk zote maana mme wangu mimi anayoyafanya jamani,leo tumeanza kuitwa wa wapangaji wa mtu na tulikua na jumba letu la kifahari chanika huku,yote Kuma tu hizo zimesababisha kuuza nyumba na maisha kuyumba kiasi hiki.
Bora umesema kweli wanaume wengiiiii wanauwa wake zao wangapi huwa wanakuja kutetea familia wanaona ni kawaida Leo mwanamke kauwa anaonekana hana akili wanawake tuache unafiki
Mwenyezi Mungu Awatetee Wanandoa Wote Duniani, Wamama Chonde Kazana na Sala na Maombi ili Moyo Uushinde Katika Hizi Zambi za Uzinzi na Mengi Ya Kutisha Eee Mwenyezi Mungu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 🧎🏾♀️🤲🏾👏🏾🙏🏿
Hakuna malaika duniani, tukisema kila mwenye mwanamke nje auwawe...nusu ya wanaume kama sio robo tatu watauwawa. Mungu atusaidie sana , atupe mioyo ya subira, na atupe wanawake uvumilivu.
Na nikuhakikishie kwamba huko aliko ajutiii lolote na ukiona ivo alikua kashafik steji ya mwisho ya Sina cha kupoteza😂😂😂mwanamke akifik hii steji Ata aue nchi nzima atakua Okey kabiss
Kuna kinaulazima gani mpk utatilie mwanaume wtt wadogo watapata shida kwa wivu wa kijinga mtu nyumba mmejenga nasio km umetolewa akaletwa mchepuko upo ndani kwako shida niyanini anawacha wtt wanakuwa na simanzi hata hawa wtt awatoishi kwa raha na familia ya baba yao watakuwa na msimango sn roho yangu imeniima jamani
Anyway naomba niwe tofauti tuu..mguu wangu mmoja na nusu upo upande wa mwanamke,iyo nusu naiweka upande wa mwanaume..embu imagine umezalishwa watoto 7 mwili umekushuka shukii na ukute mda unazalishwa na mishono yako mlikuwa bega kwa bega na mwanaume kuchuma mali..leo kazipata ,mwanamke mwili umejaa makovu mara 7 , ndo anaona bora akajilie vinono na wengine ..aloooo iyo ishu hata shetani anakaaga pembeni,,kabla hawajamfunga uyo mama wajaribu pia kumcheki afya ya akili huenda hata hakuwa sawa kiakili
Poleni wafiwa mungu awape ujasiri , Lakini tuache kutoa hukumu hp duniani ,mkumbuke kwa mungu hakuna SIRI HASA DHAMBI YA KUZINI,utasali sn na majitoleo mengi Lakini mungu akiamua kufunua tabia yk ijulikane ndio hivyo Mtaongea yote na sheria mtumie lakini mtoa kibari cha uhai / pumzi ni mungu mwenyewe anaelewa sitahiki ya kila mwanadamu
Wanawake wengine wapumbavu,sasa unauwa mume wako ili iweje sasa watoto wake watalelewa na nani baba kaburini na mama atafungwa. Wanawake wenzangu tuache ukatili na akili mbovu acheni ujinga ona watoto umewavuruga.poleni sana watoto.
Tusipokuwa na maarifa tutateseka sana kunawatu wapo kuaribu maisha ya wengine umechochea ugonvi wanandoa wameuwana wewe unapata mwanaume mwingine mwanao analelewa watoto wamwenzio wanateseka inatia hasira sana
Hivi huo wivu wa kiasi hicho unatokea wap mpka kumtoa mumeo uhai bila kujali kitakukuta nn na kwann umfuatilie mwanaume na bodaboda kila kona afu umebeba kitu chenye ncha kali ina maana alidhamiria kumuua kwahiyo bora wakose wote roho mbaya sana hii
@@FunnyJumpingSpider-bz9dr watu wote wanapitia magumu ila wana tulia kwa sababu ya watoto ona hapo mama hayupo baba hayupo mimi mwanangu ni bora sana kuliko mwanaume wewe
Hasira ni hasara ningejua inakuja mwishoni majuto ni mjukuu mwishowe uja kinyume watoto wanaumia kukosa wazazi wote kabla ya kutenda nyatupasa tufikilie mapenzi ni ya kupita tu kikubwa kuomba Mungu sana ona sasa.watoto wanatuliza ata watu tunao angalia mtandaoni 😢😢😢
Tufike wakati tujue tu akuna mwaume anerifhika japo sio wt ss unapoishi nae kaa kwaajili ya familia yk umeona umeshindwa basi kajivue kanisani engekuwa nisisi waislamu wamwambia nimeshindwa na km ataki kukuacha pia waenda jivua bakwata yote yanini haya kuwacha wtt wadhalllike wallah nimeumia sn simfikiri bb wala mama nawaonea uruma hawa wtt changamoto watazo kutana nazo Allah awafanyie wepesi
Ongeeni na watoto wenu, ndugu, wakileta wanawake wengine wakanyeni sio kufurahia. Haya ndiyo madhara ya zinaa. Umemchoka mke wako mwache nenda kaoe mwingine. Wanaume kama hamwezi kuwa na mwanamke mmoja si muishi peke yenu mfanye ufuska mkiwa free? Pole Beatrice
Haya ni matokeo ya kuumizana na mtu kukuona mpumbavu na mjinga flani hivi unauliza vitu unajibiwa shombo ila pamoja na yote uamuzi mama aliochukua mgumu ameacha watoto ni kama yatima. Ukiona umepata mchepuko mrembo muache mkeo mtagombana utamuumiza lakini ukweli mapema unakuacha huru. Mwanaume kapenda uzinzi mpaka umemuaa
Tatizo umalaya kaka zetu hawa liziki ndo hapo...mshahara wa dhambi ni mauti...na hapo ukute katika kupigana na kujitetea bahati mbaya kikamchoma...unadhani huyo mama alitaka kumuua mumewe?! hapana...
Mungu atusaidie wanawake unaenda kuharibu maisha ya watoto kisa mapenzi kwelii jaman bora angekuwa msichana sasa mtu una watoto sita ndoa ina miaka 20 kasoro mweee sasa mme kafa wewe unaenda kuozea jela
Wanawake tunapitia magumu sana hasa wake wa ndoa wanaishi kwa mateso sana hivi uko mstari wa mbele kanisani na shirika la moyo wa yesu alafu hata kutulia hutulii si laana hiyo saa ingine mungu anaruhusu tatinzo kwa tabia zako mbaya dini yake hairuhusu poleni sana nachojua ni shetani tuu iko ck atatoka akalee wtt wake mama ni mama tuu hata angekuwa kichaa mtakujakuniambia
Jamani wanawake ss ndo chanzo cha mifarakano katka ndoa nying za waty...unajua kbsa mty ana mume kwann uingilie lakn m namlaani b mdogoo laana imfike maisha yake yoteee yy ndo chanzo cha mwanamke mwenzake kuwa gerezani
Bibilia inasema shahara wa dhambi ni mauti,alicho kifanya Huyo mama mshahara wake ni mauti.Hakuna cha upendo hapo.Upendo husitiri wingi wa dhambi na wivu ni dhambi.
Nyie shabikia mnajua maumivu nyiyni ya mapenz mnahangaika kutafuta pesa kwa bidii mkishafanikiwa mwenzako anaenda kutawanya pesa kwa wanawake wengine unazan yeye ana moyo wa chuma japo angetumia busara tu na hyo mwanaume akakipumzishe kwa amani sasa hicho kinanii chake.
Wanawake wa Moshi Mimi nawaogopa sana maana matukiyo kwenu yamekuwa mengi sana mala kuuwa wazazi Kisa Mali mala muuwe wame zenu namengineyo mengi njiee TU duuuu
Mi natamani hizi taratibu za kanisa kusema hakuna cha kutenganisha ndoa zaidi ya kifo matokeo yake ndo haya... Hawa huenda walishakuwa na migogoro muda mrefu ila kwa sababu ya ndoa ndo matokeo hayo. Watu wameshashindwa ila wanaishi tu kwa sababu ya ndoa. Sheria za ndoa zilegeze mashart
Kwaiyo watoto watakuwa wanasema mama alimuua baba 😢 Na waombee wapate akili na mwongozo wafanikiwe katka maisha maana kuna lawama zitakua juu ya mama yao
😢hapo uyo mama kahawaharibia wanae wakati wa kuolewa na kuowa utasikia nani aozeshe mwanae kwenye ukoo wa wauwaji nani aowe watt wa muuwaji nao wakitulia mtto wetu😢😢 Na hivi vitu ni endelevu chunguzeni uyo mama kwenye ukooo wao utakuta walishauwa
@@ElizabethMkini Kabisa dhambi Ni dhambi Mungu hajawahi sema Uongo Wanamtetea mtu dhahir inajulikana katenda dhambi,Tena huyo mwanamke akitubu Mungu anamsamehe kabisa hsijalishi watu wanasema Nini
Natamka kwa Jina kuu la YESU Kristo hai watoto Wataolewa pasipo maswali Wala Nini Wataoa pasipo maswali Wala Nini Nafuta Maneno ya watu kwa Damu ya YESU hayataumbika hata moja Iko Damu ya Mwanakondoo inenayo mema kuliko Maneno ya watu Ufunuo 12: 11 ikawe spesho kwa Hawa Watoto Ameen Kama Mungu wangu aishivyo hata milele
Unaweza ukawa mwema kwa watu lakini siyo kwa mwenza wako...angetulia na mke wake watoto sita na nje unaenda fata nini ona sasa Uasherati na uzinzi ume mcost hata ulinzi Mungu anakuondolea...shetani ana chukua msukano.
Bora mama aliefanya hayo wa mwache aje kuongoza familia ni shetani tu huyo watoto wadogo sana sasa hapo wanandaliwa panya road na maraya wa kujiuza maisha yeshavurugika duuh
Hakuna sheria ya hivyyo mali zote zitapotea na na watt watahangaika wenyewe na ndugu zao ila mama atachezea kaua kwa kudhamiria maana alikodi boda kufuatilia njia zote mme wake huku akiwa na kitu chenye ncha kali
Mungu aendelee kutupa uvumilivu tu kwa kweli kama ingekuwa kila mume au mwanaume anayetuchiti stahili yake ni kuuwawa basi wanaume wangebaki wachache sana na wanawake weng tungekuwa jela na watoto wengi wangeendelea kuwa machokoraa ila kwa hekima na uvumilivu anaozidi kutujalia mungu sisi tunadunda kwa kulea vyema watoto wetu na wanaume wakiendelea kuambulia magonjwa na mwisho umauti usio na nuru machoni pa mungu✍️asee mungu endelea kunijaza hekima na uvumilivu katika maisha haya yanayoumiza ni mengi ila isinifanye nikachukua hatua aliyochukua. Mwanamke mwenzetu📌
😢😢😢😳😳😳
Uwiiiii watoto bado wadogo.Shetani ashindwe na alaaniwe.Jamani tumtafute Mungu ndio njia pekee ya kumshinda shetani.Hii kali jamani
Poleni Sana watoto wazuri Mungu awape nguvu na subira
Pole sana juma raibu kwa kumpoteza rafiki.
Poleni sana, nimeumia sana.
Jamani mkishindwana ni bora muachane kwa amani kuliko kutoana uhai Mungu hapendi
Mnaachana vp akati inatakiwa kifo ndy kiwatenganishe 😭😭
@@RusiTembo 🥺🥺🥺🥺
Tumsamehe huyu mama jamani hakujua kama ataua
Inauma sana ila yote tuzidi omba Mungu.
@milardayo asante sana kwa taarifa iliyotengeneza mizania ya habari
Unafiki hautaisha dunia hii. Huo wasifu siyo wa kwake. Anaheshimu watu gani kama kashindwa kuheshimu mke na watoto wake? Eti mcha Mungu! Uzinzi ni ucha Mungu? Acheni kutupotosha
Alikuwa mkewe,shida yenu ni kufuata wazungu,
Si ndo hapo Sasa unafki mtupu
Mkewe kwa imani ipi, yeye ni mkristo tena mroma kanisa la kiroma hata padre haruhusiwi tu kuoa wala watawa hawaruhusiwi kuolewa ila waumini ukioa au kuolewa haitambuliki ndo myengine, shida ni vile tunaficha maovu ya wanaotangulia mbele za haki au wanaotangulizwa kabla ya mipango ya Mungu, tunapaswa tu kusema ukweli sababu ya marehemu kufa ni alichomwa na kisu na mke wake kwa wivu wa mapenzi hivyo nasi tujifunze kuwa waaminifu kwenye ndoa zetu kuepuka haya yasitokee watu wangekuwa waoga na vifo kama hivi vitapungua sana, hata mtu akifa kwa HIV iwekwe wazi tu kusaidia wengine kuwa wacha Mungu na kuepuka ngono zembe, mtu amekufa kwa ugonjwa wa moyo figo au kisukari zisemwe sababu za kifo chake kuwa chanzo ni unywaji wa pombe na kutofuata ushauri wa kitabibu hii itasaidia kuzingatia afya na kupunguza vileo usasa na kufanya mazoezi kuzingatia afya.@@LydiaIsangi
Me nashangaa hii dunia ipoje
Usihuku
Kimsingi Kukaa Kwenye Dhehebu Au Kanisani Lakini Huna Chapa Ya Kristo Ni Kujilisha Upepo...YESU ANAOKOA WAPENDWA
Unauhakika hukuona msalaba Kwa hii kanisa katoliki??? Wewe unaona kweli!!!!
Sahihi kabisa, wokovu binafsi na mahusihano yako Mungu binafsi. Ni muhimu zaidi kuliko kanisa au dhehebu
@@BarbaraPatience-qt9ccsicho alichomaanisha ndugu kuwepo msalaba kanisani sio ndio kua na YESU moyoni
Msalaba siyo ishara ya kua watu wanaosali hapo wameamua kumpokea Yesu Kristo awe Bwana na Mwokozi wao.@BarbaraPatience-qt9cc
@@BarbaraPatience-qt9cc catholic sio sehemu salama katika wokovu kamili wa Yesu Kristo ,naomba nisishambuliwe nimeongea kutoka moyoni
Wanawake tuwe werevu kama nyoka siku zote tukishazaa tuangalie watoto wetu na tuwache kuangalia hawa wanaume jmn ona sasa mama huyu ameacha watoto wake wazuri na dhambi za huyu baba alizokua anafanya za kuzini anazibeba huyu mwanamke zote jmn inauma binafsi nimejifunza mengi kwenye jambo hili
Kuma la mama ako unatombw akili mkundu ww
Kila mtu atabeba dhambi zake...
Dah watoto wadogo sijui wamezoea kuwaona wazazi muda wote Sasa wanaanza maisha ya uyatima 😢😢😢😢😢 uwiiiiiiii Mungu tujalie subra yarab na nyie makahaba mnaongilia nyumba za wanandoa na kujisahau ndio mjifunze hapa hii dhambi haiwaacha salama
Kwani huyo alikua kahaba au mke unamwitaje mwanamke mwenzio kahaba wakati katongozwa kama ww ulivyotongozwa?
Huyo mwanaume na yy ni kahaba kaenda kwa kahaba mwenzake ndo kifo kikamfika na weye unaesema mwenzako kahaba ww pia ni kahaba tafakari kwanza ndo uongee
Kwani huyo kahaba ndio kamtuma amuue huyo mume sema nyie watu wamoshi mnajikuta cjuwi mpo nchi gani ya kigaidi hamna shetani ni ujinga alonao angemuacha angepungiwa nini
Eti mchamungu
@@jasmineeomary2041mke walifunga ndoa? Huyo nikahaba kama kahaba wengine
Jamani tuache kupotoshana eti anamcha Mungu jamani
Uwiii nawaza hao watoto tu mama alikosa hekima angalia hao watoto 7uwiii Yesu awatetee
Kama mmetofautiana bora mwachane kuliko kutoa uhai wa mwenzio hata kama angezaa na watu kumi siwezi kuuwa 😢😢😢
Anae ua siyo wewe nihasila zako Kaa kimyaa yakukute kwanza ndo tutajua
@@RehemaselemanMazwil wew inaonekakana una roho lauuji kama huyu alieua, umekazania et yasikukute kwani huku umejuaje maisha yetu ? Yametukuta Sana Tena Sana, asilimia chache ya wanawake ambao hawajakutwa na haya mambo ya mchepuko, qq😥😥😥mtu unatendwa mpaka unajiuliza hivi nimekosea Nini mpaka iwe hivi lakini hata siku moja huwezi kuwaza kuua hata kidogo.. eti hayajakukuta! Kuna mwanamke ambaye sio muhanga wa kuoneshewa michepuko??
Nyieee hizo n hasira n shetani anapitia hapo hapo unazani hata yy huyo mwanamke baada ya hapo nahic amejutia na hakutegemea
@@RehemaselemanMazwil yashanikuta dada niliondokaaa,kuepusha hayo,sasa unazani kaweza kufanya hivi?kauwa mume,yy yuko jela watoto wanabaki na nani?
@@GraceRoman-xw7xmi
Mtu meshafikia utuuzima sio km ni binti wtt sita inamana ndoa unaweza ikawa inamiaka 10 ss chaajabu nikipi kufanya wtt wadhalilike mimi ata angetembea nyumba ya pili mazali niko kwangu pesa yakula anatoa uduma za wtt anawapa naende ata akimaliza mtaa mzima atajijua mwenyewe
Huyu mama ni zaidi ya Rusfeli. Hata hakuweza kufikiria watoto jamani 😭😭😭
Hakufikilia watoto wake alifikilia mapenzi hivi kweli nina watoto sita naenda kugombania mapenzi niache wanangu waangaike hahahahah wee tembea tu hata na dadaaako wala sishtuki
Kwanza haikuwa busara kumfuatilia mume,na pia wanawake kinachowauma sana Wala sio mapenzi ni Mali,
Kama hayajakukuta unaweza kuongea kirahisi
Daaaha bora ameacha mabinti watawatunza wadogo zao wanaume acheni kucheat jamani na Mungu awasafishe mabinti Hawa wasifuate damu ya mama Yao
Wanawake tunajua tunapitia magumu sanaa lkn tuombe hekma kwa Mungu kabla ya masmuzi km haya ya kuumiza familia,,,ona wstoto wanavyolia😢😢😢😢😢na nyie wanawake wa nje kuweni ns hruma na ndoa za watu mungu anawaona jmn mkiganda familia za wstu mmeganda dah,naishiwa maneno
Kweli kabisa.
Huyo Beatrice Kwayu atakuwa ni kutoka Machame. Ogopa sana mwanamke wa kiparestina.
Kina kwayu sio wa machame
Mshenzi kweli wewe ni mmachame yupi uliona kauwa mume au ni stori tu za kipuuz huko mtaan kwenu hyu ni mkibosho piwa uache kudhihaki kabila za watu kenge wewe
Wamachame hawaui kizembe angeumwa tumbo 😂 au kifua. Mnatafuta mali kwa nguvu then mtu anaenda kuzitawanya kwa wanawake wengine. Haya akakipumzishe sasa kwa amani
Poleni sana, maisha bila baba Mungu awasaidie
Na bila mama pia
@@paterinishayo-ef4sxyes maana mama ni jela watoto wanabaki peke yao😢
Ooh jmn polen saan watoto wazuri Mungu awalinde na kuwasimamia msilipize kisasi ambacho mama amekifanya kisiwafanye kuwa wakatili
Ndo muache ukahaba pesa kidogo tayari unaenda kutafuta Kuma nyingine,haya ngoja akapumzishe bolo lake limemponza
Wanaume wasipo badilika watakufa wengi
Yaani mi mungu aniguse tu dkk zote maana mme wangu mimi anayoyafanya jamani,leo tumeanza kuitwa wa wapangaji wa mtu na tulikua na jumba letu la kifahari chanika huku,yote Kuma tu hizo zimesababisha kuuza nyumba na maisha kuyumba kiasi hiki.
Bora umesema kweli wanaume wengiiiii wanauwa wake zao wangapi huwa wanakuja kutetea familia wanaona ni kawaida Leo mwanamke kauwa anaonekana hana akili wanawake tuache unafiki
Mwenyezi Mungu Awatetee Wanandoa Wote Duniani, Wamama Chonde Kazana na Sala na Maombi ili Moyo Uushinde Katika Hizi Zambi za Uzinzi na Mengi Ya Kutisha Eee Mwenyezi Mungu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 🧎🏾♀️🤲🏾👏🏾🙏🏿
Sio akapumzike tu akifika uko afe tena nyoko mmoja
Hakuna malaika duniani, tukisema kila mwenye mwanamke nje auwawe...nusu ya wanaume kama sio robo tatu watauwawa.
Mungu atusaidie sana , atupe mioyo ya subira, na atupe wanawake uvumilivu.
Wanaume nao.wakubali kubadilika unamzalisha mtu watoto 6 halafu unamuona Mzee unatafuta mwingine. Upuuzi
Mda mwingine anakua ni shetani tu kikubwa ni kumuomba Mungu
Muwe waaminifu kuepuka haya,na ukijua mwenzio siyo muaminifu mshtakie Mungu mbona atafanya
Sasa umemuua mwanaume wewe jela maisha watoto hawa wadogo ivi walelewe bila wazazi jamani mama mungu akusameee bure inauma sana😂😂😂
Saa nyingine ni hasira tuu yawezekana Wala hajakusudia Mungu amrehemu Kwa wivu huu
Na nikuhakikishie kwamba huko aliko ajutiii lolote na ukiona ivo alikua kashafik steji ya mwisho ya Sina cha kupoteza😂😂😂mwanamke akifik hii steji Ata aue nchi nzima atakua Okey kabiss
Kuna umuhimu wa kutulia wanaume lakin pia wanawake tuwe busy na kuacha Mungu awanyooshe kwa kuamua yeye
Kuna kinaulazima gani mpk utatilie mwanaume wtt wadogo watapata shida kwa wivu wa kijinga mtu nyumba mmejenga nasio km umetolewa akaletwa mchepuko upo ndani kwako shida niyanini anawacha wtt wanakuwa na simanzi hata hawa wtt awatoishi kwa raha na familia ya baba yao watakuwa na msimango sn roho yangu imeniima jamani
Anyway naomba niwe tofauti tuu..mguu wangu mmoja na nusu upo upande wa mwanamke,iyo nusu naiweka upande wa mwanaume..embu imagine umezalishwa watoto 7 mwili umekushuka shukii na ukute mda unazalishwa na mishono yako mlikuwa bega kwa bega na mwanaume kuchuma mali..leo kazipata ,mwanamke mwili umejaa makovu mara 7 , ndo anaona bora akajilie vinono na wengine ..aloooo iyo ishu hata shetani anakaaga pembeni,,kabla hawajamfunga uyo mama wajaribu pia kumcheki afya ya akili huenda hata hakuwa sawa kiakili
Kweli kabisa
Sijui hawa watoto wanawaza nini hapo walipo,Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi jamani daaah.
Poleni wafiwa mungu awape ujasiri ,
Lakini tuache kutoa hukumu hp duniani ,mkumbuke kwa mungu hakuna SIRI HASA DHAMBI YA KUZINI,utasali sn na majitoleo mengi
Lakini mungu akiamua kufunua tabia yk ijulikane ndio hivyo
Mtaongea yote na sheria mtumie lakini mtoa kibari cha uhai / pumzi ni mungu mwenyewe anaelewa sitahiki ya kila mwanadamu
Wanawake wengine wapumbavu,sasa unauwa mume wako ili iweje sasa watoto wake watalelewa na nani baba kaburini na mama atafungwa. Wanawake wenzangu tuache ukatili na akili mbovu acheni ujinga ona watoto umewavuruga.poleni sana watoto.
Tusipokuwa na maarifa tutateseka sana kunawatu wapo kuaribu maisha ya wengine umechochea ugonvi wanandoa wameuwana wewe unapata mwanaume mwingine mwanao analelewa watoto wamwenzio wanateseka inatia hasira sana
Hivi huo wivu wa kiasi hicho unatokea wap mpka kumtoa mumeo uhai bila kujali kitakukuta nn na kwann umfuatilie mwanaume na bodaboda kila kona afu umebeba kitu chenye ncha kali ina maana alidhamiria kumuua kwahiyo bora wakose wote roho mbaya sana hii
We wanawake tunakumbana na mazito sana ndani ya ndoa zetu tuyasikie tu Kwa wenzetu lakini tuombe mungu yasitukute.
@@FunnyJumpingSpider-bz9dr watu wote wanapitia magumu ila wana tulia kwa sababu ya watoto ona hapo mama hayupo baba hayupo mimi mwanangu ni bora sana kuliko mwanaume wewe
m,bunge kaelezea ukwel watumishi wa sasa wanaombea kuusu miujiza yakpata pesa wamesahau kuimiza upendo upendo umehamia kwenye pesa na vitu
Jmn tuwe makini sana ona watoto.wanavyopitia magumu bado wadogo wengine jmn
😭
Ndo wanaume wajifunze ubaya wa kuwa namichepuko
Omba yasikukute jmn.Sipatii picha jinsi familiya yamwanamke aliefanya tukio wnaumia kiasi Gani.Mama yke nahyu muuaji anaumiaje jmn.Kweli shetani alaaniwe sana.
Wana wakati mgumu. Alafu watoto baba kauwawa mama anafungwa maisha au miaka 30
Kam walishirik maan unaonekan haufikilii zaid
@@itanzaniaAS hilo ndo tatizo linapoanza
Mungu awape amani
DAMU YA YESU KRISTO IWAFUNIKE watoto hawa
AMINA
Hasira ni hasara ningejua inakuja mwishoni majuto ni mjukuu mwishowe uja kinyume watoto wanaumia kukosa wazazi wote kabla ya kutenda nyatupasa tufikilie mapenzi ni ya kupita tu kikubwa kuomba Mungu sana ona sasa.watoto wanatuliza ata watu tunao angalia mtandaoni 😢😢😢
Ukiwa na hela shida ukikosa shida kwani hii dunia inatakaje?
Tufike wakati tujue tu akuna mwaume anerifhika japo sio wt ss unapoishi nae kaa kwaajili ya familia yk umeona umeshindwa basi kajivue kanisani engekuwa nisisi waislamu wamwambia nimeshindwa na km ataki kukuacha pia waenda jivua bakwata yote yanini haya kuwacha wtt wadhalllike wallah nimeumia sn simfikiri bb wala mama nawaonea uruma hawa wtt changamoto watazo kutana nazo Allah awafanyie wepesi
Ongeeni na watoto wenu, ndugu, wakileta wanawake wengine wakanyeni sio kufurahia. Haya ndiyo madhara ya zinaa. Umemchoka mke wako mwache nenda kaoe mwingine. Wanaume kama hamwezi kuwa na mwanamke mmoja si muishi peke yenu mfanye ufuska mkiwa free? Pole Beatrice
Haya ni matokeo ya kuumizana na mtu kukuona mpumbavu na mjinga flani hivi unauliza vitu unajibiwa shombo ila pamoja na yote uamuzi mama aliochukua mgumu ameacha watoto ni kama yatima. Ukiona umepata mchepuko mrembo muache mkeo mtagombana utamuumiza lakini ukweli mapema unakuacha huru. Mwanaume kapenda uzinzi mpaka umemuaa
Ukiona mumeomkapata mchepuko huwezinjuvumilia nenda mahakamani nuachane lakini dinkumuua. Sasa watoto wamebaki.peke yao.
Tatizo umalaya kaka zetu hawa liziki ndo hapo...mshahara wa dhambi ni mauti...na hapo ukute katika kupigana na kujitetea bahati mbaya kikamchoma...unadhani huyo mama alitaka kumuua mumewe?! hapana...
Daaah hii dunia sijui ata tunaelekea wap
Mungu atusaidie wanawake unaenda kuharibu maisha ya watoto kisa mapenzi kwelii jaman bora angekuwa msichana sasa mtu una watoto sita ndoa ina miaka 20 kasoro mweee sasa mme kafa wewe unaenda kuozea jela
Shukuru mungu kama hujakutana nachangamoto za hivyo. Tunatofautiana katika uvumilivu
Mwingine hawezi ndokama huyo.mama
Nasikuzote hasira ni hasara.
Mama alishindwa kuitawala hasira...ona Sasa...pole Kwa familia...
Wanawake tunapitia magumu sana hasa wake wa ndoa wanaishi kwa mateso sana hivi uko mstari wa mbele kanisani na shirika la moyo wa yesu alafu hata kutulia hutulii si laana hiyo saa ingine mungu anaruhusu tatinzo kwa tabia zako mbaya dini yake hairuhusu poleni sana nachojua ni shetani tuu iko ck atatoka akalee wtt wake mama ni mama tuu hata angekuwa kichaa mtakujakuniambia
Daaaah pumzika Kwa amaniiii boss 🥲🥲
pole kwao jmn mwenyenz mungu awatie nguvu miyoyon mwao
Yesu pekee ndiye mfariji wa kweli ,
Kila mtu anamwitaji Yesu kwenye maisha yake
Watoto hapo hawana baba wala mama, ndoa sio kitu cha kuforce kama mtu hakutaki move on na maisha yako
sijui ni macho yangu ndio mabovu au sielewi hapo naona watt watano wakiume wa tatu wakike wawili na wosia unasema wakike watano wakiume wawili
Wameliza watoto jmn daah niwadogo maisha ya bila baba wala mama nimagumu sana hasira hasara
Usiendeshwe na hisia nig , mama kabaki na watoto kaua mzizi, kaua mwanzilish wa familia, kaua kichwa, kaua kila ndoto ya familia damn.
Wamefanana na baba yao jamaniii. Hii tamaa ya mali zinatupeleka pabaya wanawake
Sana copy
Jamani wanawake ss ndo chanzo cha mifarakano katka ndoa nying za waty...unajua kbsa mty ana mume kwann uingilie lakn m namlaani b mdogoo laana imfike maisha yake yoteee yy ndo chanzo cha mwanamke mwenzake kuwa gerezani
Hiii ndo maan halis ya tutagawan majengo ya serikal
Huyu Mama kakosa Hekima ya Tuu .ukishajua ana mke mwingine kuwa busy na watoto wako na kujitoa kanisana utapata maarifa na Hekima...tuu
Kuna wakat ukiwa na family usimfatilie sana mwanaume ona 😢😢sasa watt wamebak yatma ghafla
Pole ni sanamipago ya mungu
Polen saaana
Najua ngum lakn Haina jins
Mwenyezi mungu awatie nguvv watoto
Poleni Watoto maana ndoo tumeachiwa mzizi mzito wa dhambi ya kurithi tujitahidi isitokee kwetu. Wazazi wameshindwa kuaminiana basi
Bibilia inasema shahara wa dhambi ni mauti,alicho kifanya Huyo mama mshahara wake ni mauti.Hakuna cha upendo hapo.Upendo husitiri wingi wa dhambi na wivu ni dhambi.
Nyie shabikia mnajua maumivu nyiyni ya mapenz mnahangaika kutafuta pesa kwa bidii mkishafanikiwa mwenzako anaenda kutawanya pesa kwa wanawake wengine unazan yeye ana moyo wa chuma japo angetumia busara tu na hyo mwanaume akakipumzishe kwa amani sasa hicho kinanii chake.
Wanawake wa Moshi Mimi nawaogopa sana maana matukiyo kwenu yamekuwa mengi sana mala kuuwa wazazi Kisa Mali mala muuwe wame zenu namengineyo mengi njiee TU duuuu
Huruma kwa watoto hawa wadogo kuishi bla wazazi huyo mama najua atafungwa miaka mingi 😭😭😭😭
Wanaume wengi wamesababishia wake zao kupata tatizo la afya ya akili
Aisee kumbe watoto bado wadogo ivo inauma sana
Kawaida wanawake w kichaga kua waume zao,akiwa na Hella,hilo halina shaka n kawaida, yao,mlo oa wachaga tujipange,
Si kweli, huyo kaua kwa sababu ya wivu wa mapenzi
Hii ndo 50% to 50% wanayoitaka wanawake
Watt wamefanana na baba yao adi bas
Wanawake wanaroho mbayaaaaaaaaaaaaa.....!!!!!
Watoto wameachwa wadogo jamani!?! Ukatili una madhara
Pole sana catherine
Watoto wamebaki yatima dahhh😢
MUNGU awatie nguvu 😭😭 jamani awape utayari wa kupokea jambo hili zito na lenye majonzi
Mi natamani hizi taratibu za kanisa kusema hakuna cha kutenganisha ndoa zaidi ya kifo matokeo yake ndo haya... Hawa huenda walishakuwa na migogoro muda mrefu ila kwa sababu ya ndoa ndo matokeo hayo. Watu wameshashindwa ila wanaishi tu kwa sababu ya ndoa. Sheria za ndoa zilegeze mashart
Polen jamn Mungu awatie nguvu
Kama yule mke wa muuza madini aliachiwa huru hata huyu ataachiwa tena serekali yetu bado sana marehemu hana haki Mungu awatunze tu 'mpendane😭😭😭🙏
Amina
Sioni shada la mchepuko. Na mchepuko hauna cha kupoteza maana kaachiwa bonge la nyumba na ma biashara. Aliyepoteza ni huyo mwenye mume wake na watoto😢
Nikiwazaga huu ujinga namwambia shetani pita mbali watoto wangu nitamwachia nani
Mcha Mungu wakati anachepuka na amezaa nje woooi
Hio c mipango ya Mungu una tuharibia siku,umetumwa nn yan mtu aue w useme mipango y Allah,eb huko ww,
Watoto bado wadogo jamani ,,,shetani Ana nguvu Sana😭
Tutafutien mke mdogo chanzo cha kifo cha huyu baba
Kwaiyo watoto watakuwa wanasema mama alimuua baba 😢 Na waombee wapate akili na mwongozo wafanikiwe katka maisha maana kuna lawama zitakua juu ya mama yao
James pole sana kwa msiba
Polen 😢sana watoto jaman tumuogope mungu kwa kweli
Shetani kitu mbaya sana ona kamshawishi mke kaua mume tafsiri yake mke anaenda jela....watoto wanabaki wapweke😢
Mbunge ameongea point Sana 🙏
Wewe mama ona watoto wako wanavyo onekana!!! Kwanini lakini???
😭😭😭
Tugawane Majengo ya serikali mmoja aende jera mwingine mochali ameimba 20 parcent
Watoto wadg jamani
😢hapo uyo mama kahawaharibia wanae wakati wa kuolewa na kuowa utasikia nani aozeshe mwanae kwenye ukoo wa wauwaji nani aowe watt wa muuwaji nao wakitulia mtto wetu😢😢 Na hivi vitu ni endelevu chunguzeni uyo mama kwenye ukooo wao utakuta walishauwa
Umeona kaweka doa kwa wtt wake .kuona na kuolewa itakua shida
@@rosemkama6629Hapana wataolewa vizuri nakuoa vizuri Mawazo ya mwanadamu sio ya Mungu
Na huyo baba yao angetulia yasingemkuta....mshahara wa dhambi ni mauti...
@@ElizabethMkini Kabisa dhambi Ni dhambi Mungu hajawahi sema Uongo Wanamtetea mtu dhahir inajulikana katenda dhambi,Tena huyo mwanamke akitubu Mungu anamsamehe kabisa hsijalishi watu wanasema Nini
Natamka kwa Jina kuu la YESU Kristo hai watoto Wataolewa pasipo maswali Wala Nini Wataoa pasipo maswali Wala Nini Nafuta Maneno ya watu kwa Damu ya YESU hayataumbika hata moja Iko Damu ya Mwanakondoo inenayo mema kuliko Maneno ya watu Ufunuo 12: 11 ikawe spesho kwa Hawa Watoto Ameen Kama Mungu wangu aishivyo hata milele
Ni huzun yenye fundisho😢
Uwingi wa Watu kanisani inaonesha jinsi Gani Mtu Huyu alikua mwema kwa jamii yake... 😢 Pumzika Kwa Amani Kaka Yetu...
Unaweza ukawa mwema kwa watu lakini siyo kwa mwenza wako...angetulia na mke wake watoto sita na nje unaenda fata nini ona sasa Uasherati na uzinzi ume mcost hata ulinzi Mungu anakuondolea...shetani ana chukua msukano.
Jamani ndoa sio ya kuforce kama mwanaume alikuwa kamchoka mke wake mwanamke angetulia sio kuuwa@@ElizabethMkini
Polen San mungu awatete katik wakati mugumu
Poleni sana watoto wa marehemu,
Poleni watoto
Duh poleni sana wafiwa
Bora mama aliefanya hayo wa mwache aje kuongoza familia ni shetani tu huyo watoto wadogo sana sasa hapo wanandaliwa panya road na maraya wa kujiuza maisha yeshavurugika duuh
Hakuna sheria ya hivyyo mali zote zitapotea na na watt watahangaika wenyewe na ndugu zao ila mama atachezea kaua kwa kudhamiria maana alikodi boda kufuatilia njia zote mme wake huku akiwa na kitu chenye ncha kali
Dada Ana mawazo Sana mama baba kaondoka mama yupo jera jaman
Kweli.nasega.siku.zote.mapenzi.shikamooooo