MWIGULU NA MPINA VITA BADO MBICHI, WARARUANA TENA BUNGENI, SPIKA ANGILIA "TUHUMA NZITO HIZO"
HTML-код
- Опубликовано: 4 ноя 2023
- MWIGULU NA MPINA VITA BADO MBICHI, WARARUANA TENA BUNGENI, SPIKA ANGILIA "TUHUMA NZITO HIZO"
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina na Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba wameendelea kushindana kwa hoja bungeni kuhusu ripoti ya CAG
Kiongoz wangu mwigulu ujumbe umefka uhooo👍👍👍
Hapa mnajiweka wazi wenyewe muda uende, kisha mwishoni mtarudi pamoja kutekeleza makubaliano ya barazani!,nasi wananchi tutabaki wenyewe, kazi iendelee..lakini Mungu aishiye milele atawaweka bayana mchana kweupee kabla ya siku ya hukumu! Mungu mbariki mama Tanzania
Masauni Kilaza. Kapewa uwaziri kwa ushemeji
Hivi Rais Samoa unaweza weka waziri was mambo ya ndani uwezo wake mdogo sana na hana anachoeleza chenye mantiki
Mungu mwema tusaidiesana, Kama Muhimili wa nchi!!Binge ni vurugu mechi, daaaaah inaumiza Sana.
Huyu mwigulu anafokafoka km ana hati miliki ya nchi watanzania wapi wakati wengi tulishaamia burudi.
jeee mkangiibakifanya kaxii nzurii anaprwa zawadi nganii munatakakufanyiwa vyems kishaa haamurudishi butendakaxi
Mwiguru ndiyo jizi la namba moja
Mbaya Sana
Wataje hao watu na sio kutuambia mambo ya ajabu
Masauni kiukweli Bado sana kwa Nafasi alonayo
Mr. Nchema your playing Drama,
Majz c pamoja naww
Ccm ni ilele majizi
9:18
❤
Huyu Nchemba hakuna kitu huyu...mbwembwe tu
Mtapiga makofi sana
Bunge laovyo
Mwiguru ni msengeremaaaa
Mwiguru ndye mwizi namba 1 na ccm yote
Kumbe huyu jamaa ana weledi mdogo hivi!
Mashavu maaakuubwaa uongo mkuubwaaa
Heshimianeni wabunge mnamwaibisha. Raise wa mabunge ya Dunia.mweee.
Mnacheza shere bungeni kweli? Au ndo mnatuwakilisha? Nashauri mishahara ya wabunge ishuke , na iwe na kikokotooo. Hatuwaelewi kabisa yani. Cag alikuwa viizuri
Vimeuma hapa wangechukuliwa hatua ccm tunge wasifu sana lakini bado CCM mumefanya inchi hii shamba la bibi
Nchemba unaposema miaka yote maana yake serikali ya CCM imeshindwa!!!
Mwigulu kamawewe hujahusika wanaohusika waashitakiwe his Indonesia comedian
Jizi hili halina lolote zaidi ya kuwatesa wananchi
Huyu Masauni ni muhuni tu kama jina lake lilivyo
Masauni anataka uthibitisho gani?Hivi riport ya CAG inamashaka?
Mwizi mkubwa mwingulu
Mwigulu tapeli na mwizi tu
Hapa Sasa pazur
Tulia nilikuchukulia poa kwakikao hiki umeupiga
Kanatoa list ya uwongo kabisa
Huyu mama anayegonga meza sijamwelewa yuko upande gan wadau
Hii wizara ni kula tu ..ona anavyonenepeana
NMMHu MUNGU WANGU
Mwiguru anauwaza urisi 2030
Huyu mama anayepigapiga meza ni mwamba ngoma
.Hana lolote la maana kwa wananchi.
😂😂
Jestina kazi yake kuteteea wenzake tuu....
Shida ya nchii inafikili kusoma ndio akili.
Lp
Urafiki kwa mambo ya kijinga. Masauni acha ujinga kwa mambo ya tija kwa nchi yetu
Ndo mawaziri hovyo,Masauni kapewa kwasababu ya ukanda,hajui anacho jibu