Kinacho niuma ni kauli ya kusema eti kama maisha magumu tuhame nchi mana kwamba sis hatuna haki kwenye nchi hii yani natamani sana na nyie muishi maisha tunayo ishi hata mwezi mmoja wengi wako wamezaliwa wazazi wao viongozi akiamka asubuhi chai anaita brek fast na alikuwa na kuingia kwenye uongozi mojkwamoja hajawahi ona hata tattoo wenzake wa hali ya chini wanavyo teseka afu mnampa ubunge dah nchi ifike mahali tubadilike jaman
Mwigulu mwehu wewe ni mwizi mwizi.Acha sisi tumechoka na uwizi wako ndo maana na mama yako ameruhusu mawaziri muibe kufuata urefu wa kamba zenu na mumevimbiwa .Nenda Mwigulu hatutaki hata kusikia sauti yako
Kwa bunge hili na waziri wa fedha aina kama Mwigulu sioni Tanzania ikisonga mbele kiuchumi pamoja na kumsifia mama Samia Kama ametoa pesa zake mfukoni mwake
Sijaelewa zaidi ya real time audit na compliance audit ambayo kwa sasa ni requirement ya kimataifa. Pili kusema Prof. Assad aliondolewa kwa zengwe ni mpya sana kwangu. Na inaashiria zaidi nazaria iliyopo ya cag kunyimwa uhuru ama uhuru wake kutegemea utashi wa mkaguliwa.
Nchi hii mkitaka iwe salama wafanyabiashara kwenye uongozi WA nchi wawekwe pembeni( conflicts of interest) nchi itazama, Azimio la Arusha wenye akili ya kuona mbele walijua hayo.
MH Sp Mwgulu Ana sema ukweli una mwambia Afute kauliyeke kwani kusema kweli kwenye Bumgelako ni dhambi?Lakini Wa Tanzaia wote wana jua kufukuzwa kwa Saad kulitokana na kusema kweli kwamba kuna Wizi Mkubwa
Atamfanyaje huyo anakula na mama, ameiba mpaka kachoka sasa anawatukana hivi mtamfanya nini mnanini kumzidi huyu, eti wabunge amumuwezi huyo muwekeeni mdomo muone kama kwenye kamati ya wabunge mtapita mwacheni huyo wa mama
Huyu bwana (Ng'wigulu Nchemba) nadhani ana tatizo la kisaikolojia, hana utulivu na ana-lack u - serousness katika jukumu lake la uwaziri wa fedha. Huyu nafasi hii ya uwaziri wa fedha haiwezi. Huyu arudishwe chamani huko akawe mfanya propaganda na uongo uongo. Utendaji ktk serikali ni lazima uzingatiape sheria, kanuni na taratibu hakuwezi. Lakini yeye anaonekana ni mtu asiye serious na majukumu yake. Anapenda siasa badala ya kutenda na kuisaidia nchi na wananchi kukua kiuchumi!
Rais wangu inatisha wizi huu umekisili huku barabara hatuna rami tunaugua tibii vumbi tu masika taabu kutoka ispii mbaka mafinga inauma kuona watu wanapiga hela tu
Waziri hana point yoyote
Nyie wabunge wa ccm mungu anawaona mnafanya nchi yakwenu kumbukeni kuna kufa na mtaenda kujibu kwa mungu
Kinacho niuma ni kauli ya kusema eti kama maisha magumu tuhame nchi mana kwamba sis hatuna haki kwenye nchi hii yani natamani sana na nyie muishi maisha tunayo ishi hata mwezi mmoja wengi wako wamezaliwa wazazi wao viongozi akiamka asubuhi chai anaita brek fast na alikuwa na kuingia kwenye uongozi mojkwamoja hajawahi ona hata tattoo wenzake wa hali ya chini wanavyo teseka afu mnampa ubunge dah nchi ifike mahali tubadilike jaman
Jitu nafiki sana hili kama uliona hakuna political will katika utawala uliopita kwanini usijiuzulu kenge wahed!!
Jizi tu hilo Alafu kina dharau Sana hicho Sindiyo Alisrma Watanzania Waamie Burundi
Ndio chenyewe
Ropooo nyiiingii angekua rais angetuuza kwa waburundi
Naliona giza katika nchi yetu, ukweli utaongea daima RIP Rais Magufuli.😢
Mwigulu akili huna 😂😂😂 kubali tu auna akili
Mwigulu mwizi sana huyu jamaa, jambazi,
Sijaridhika na waziri wa fedha hata kidogo na je huu ndo utaratibu mbona yeye anataka asikilizwe tu?
See how Friendly Supporter supporting mizigo Minister
Mwigulu mwehu wewe ni mwizi mwizi.Acha sisi tumechoka na uwizi wako ndo maana na mama yako ameruhusu mawaziri muibe kufuata urefu wa kamba zenu na mumevimbiwa .Nenda Mwigulu hatutaki hata kusikia sauti yako
Huyu Mwigulu mbona haenei kwenye hiyo wizara? Mawaziri pateni semina ya kujibu,kufanya kazi kwa Mchengerwa.
Hivi Spika huwezi kutusaidia kuzuia hizo vurugu za kugonga meza bila utaratibu hasa huyo mama.
Yaani linakera kweli.....lenyewe kqzi kugonga tu meza...kila anayesimama ni kugonga meza tu
Kuna .... inagonga meza inatia hasira 😢😢😢
Nampenda sana Mh Dr. Mwigulu Nchemba anajua kujenga hoja. Hongera sana
huuna unachokipenda kwa mwiguru na km kipo bac hukijui
Ufinyu wa fkra
Mwizi siku zote anajaribu kujieleza hana lolote
Kwa bunge hili na waziri wa fedha aina kama Mwigulu sioni Tanzania ikisonga mbele kiuchumi pamoja na kumsifia mama Samia Kama ametoa pesa zake mfukoni mwake
Bunge linalaaana, mmepita bila kupingwa
Watanzani tunakubali wewe mwiguru ni jambazi
Sijaelewa zaidi ya real time audit na compliance audit ambayo kwa sasa ni requirement ya kimataifa. Pili kusema Prof. Assad aliondolewa kwa zengwe ni mpya sana kwangu. Na inaashiria zaidi nazaria iliyopo ya cag kunyimwa uhuru ama uhuru wake kutegemea utashi wa mkaguliwa.
Huyu ni waziri mpigaji tu, rais alibugi sana kuteua hili jitu .
Hili ni jiz sana😂😂😂
Linavyojikuta Sasa na hizo tai za bendera ya taifa utafikiri mzalendo
Sijawahi kujua anaongeaga kitu gani jamani
Mwigulu kumbe mjinga hivyo
Ujumbe umefka mwigulu wambie ukweli mama oyeee👍👍👍
Kiufupi tu huyu Waziri wa Fedha hatishi Rais wangu ondoa huyu jamaa eti ana PhD😂😂😂
Mwigulu siku izi anaachia ndevu!!!,zamani alikuwa ananyoa, nadhani sabu hiyo imemsababisha kujiamini zaidi.
Dah! Hii imeendaaa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Ili taifa tumepigwa
Mwinguru afungwe
Nchi hii mkitaka iwe salama wafanyabiashara kwenye uongozi WA nchi wawekwe pembeni( conflicts of interest) nchi itazama, Azimio la Arusha wenye akili ya kuona mbele walijua hayo.
Huyu mwiguru ni mwizi na mnafiki sana 😮😮😮😮anacho sema tofauti na anacho ulizwa mnampigia makofi mwizi. Mnafiki kweli ccm ni mazuzu kweli
Huyo mwanamke anaye gonga meza anaonekana anagonga meza nae
Ivi watanzania tumekutwa na nini lakin majizi yanavo utetea wizi wao mwigulu ni mwizi kama majizi wengine tu
We kwenda zako huko mwigulu, nafuu mh msukuma awe waziri wa fedha kuliko wewe
Mafanikio yako wapii??? Kupandisha bei ya chakula maisha haya mna piga elauko tunaitaji mabadiriko makubwa sana Tanzania
Huyu waziri nijipu tena rimekosa mtumbuwaji maana hana hoja ya misngi unajitahidi kuongea lakini bado khaaa mungu atuaideye sana wanichi
MH Sp Mwgulu Ana sema ukweli una mwambia Afute kauliyeke kwani kusema kweli kwenye Bumgelako ni dhambi?Lakini Wa Tanzaia wote wana jua kufukuzwa kwa Saad kulitokana na kusema kweli kwamba kuna Wizi Mkubwa
Bravo
Raisi wetu mpendwa magufuli alimuona hafai sijui sijui kwa nn mama anamlea
hivi huyu mwingulu ana nini aswaa asikamatwe
CAG ni mtu au kikosi?. Maana nasikia alipwe bilioni kukagua miladi 😂
Hufai bwana sijui kwanini huyu mama haoni
Ooh wanaiba kwa njia ya sheria ?
Mwiguru Yuko sawa wizi mnaosema atuna ushaidi
Mama huyuu mtu sio mzuri kwakowatu hawamtaki mtoee
Sijaridhishwa na waziri mwigulu
Atamfanyaje huyo anakula na mama, ameiba mpaka kachoka sasa anawatukana hivi mtamfanya nini mnanini kumzidi huyu, eti wabunge amumuwezi huyo muwekeeni mdomo muone kama kwenye kamati ya wabunge mtapita mwacheni huyo wa mama
Yaani Mwigulu anamtetea Samia na sio nchi yetu. Kwani ishu ni Samia au wizi unaoendelea katika nchi hii?
Anatetea teuzi yake
Wezi wenzie ni kumpigia makofi Tu...kama watumishi WA afya wakikosea hapohapo wanachukuliwa hatua why not these ministers
👇🏿
#katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi !✍🏿
Sulangumu ilatu nilangi kidogo inalizisha 😂😂
Mnajifanya nchi kuwa yenu wenye CCM yenu ipo siku mtajuta tu na nyie
Kwan makonda kwann asimhoji nchemmba kma kweli yuko kikaz
Siasa bana,!sijui wanasiasa wanafaham tunafaham kuwa wanaatuibia,,!?
Huyu bwana (Ng'wigulu Nchemba) nadhani ana tatizo la kisaikolojia, hana utulivu na ana-lack u - serousness katika jukumu lake la uwaziri wa fedha. Huyu nafasi hii ya uwaziri wa fedha haiwezi. Huyu arudishwe chamani huko akawe mfanya propaganda na uongo uongo. Utendaji ktk serikali ni lazima uzingatiape sheria, kanuni na taratibu hakuwezi. Lakini yeye anaonekana ni mtu asiye serious na majukumu yake. Anapenda siasa badala ya kutenda na kuisaidia nchi na wananchi kukua kiuchumi!
Hakuna waziri hapo huyu ni wa mama samia
Kama waliambiwa wale urefu wa kamba zao,ndo wamekula sasa hawajafikia huo urefu wa kamba.
Mwiguru watanzania unao mbunge mpaka wajue Yako hivi kwenu Kuna wakulima subili kiama 2025
jamaa hawezagi kuongea bila kurusha mikono na kupiga kelele..😢
Hasira 😢
😂😂😂😂mbunge anayekubalika jimboni kwake?
Huyu waziri mbona simulewi watu wanakimbiana wakati wakuandaa sio wakati wa kula
Hili limama linalogonga meza ovyo ni libunge la wapi au viti maalumu?
Yaani likera
Waendeè ni mzigo kwa nchi....
Tuna genge la wezi ,hatuna viongozi
Hii inchi imehalibika mtahan hakuna ela watu hawanauluma kabisa na taifa lao
We ni mwizi unapenda kuvaaa s skafu ya bendera unatuzuga TU.Braza we ni mpigaji tyu
Hvi wanaepga makofi wanaelewa?
Haka kamama pembeni mbona kanampigia xn makofi?
Zengeli anaingiaje hapa
R.I.P JPM
Nyie pigen makofi mtu anafanya ujinga mnashangilia mtakuja kuomba kula
Hakuna waziri hapa ni ujinga tu
WOTE WAMEPENDEZA.
Hayo makofi ni nn ee ccm bac tu
Mwigulu huna lolote ,ndiomaaana magu alikutumbua ,huna lolote yani wewe ni jibu tu
Mh Bashe umebadilika lini kuwa mgonga meza badala ya critical thinker as you used to be?
Kanyoe ndevu kwanza mwigulu
Mbona huyo huyo Raisi Samia ameruhusu kuiba mawaziri hapo unafunika funika Samia ni mwizi mwizi kama wewe mwenyewe
Alafu mnaiba na hamchukuliwi hatua very stupid
mmmmm
Nyieee
Mwigulu ujumbe umefekaaa
Tapeli tu
Haya majizi mnayataja mbona hatuoni yanatajwa na yanafungwa? Mwigulu ni mwizi ana jazba .Mwigulu pita huku
Jenista ckuelewi? Hiyo meza unaigonga ya nn
Kuna nini baina yako na mwigulu
Make mwigulu kapanik vibrant mno
Njie jipigieni tu makofi tutaona huku mtaani
Hivi Nini mtu kabla hajapa wadhifa ndani ya Serikali anakuwa mzalendo lakini akishapata Uongozi hawezi katu kutetea wanyonge!
Uliona wapi mvuvi anampa sanaki chambo baada ya kumvua
Rais wangu inatisha wizi huu umekisili huku barabara hatuna rami tunaugua tibii vumbi tu masika taabu kutoka ispii mbaka mafinga inauma kuona watu wanapiga hela tu
Maji hufuata mkondo.
Hunadodose
lijitu lijambazi kama nini
Jina lenyewe chemba maan yake huyu ni jemba ya maji machafu Amna kitu apo
Kuiba kwa utaratibu maana yake ni nini?
Forensic audit ukaguzi wa papopapo
Compliance legal anasemea wataiba kwa kufata taratibu
Kama ameaidi kushughurikia ki katiba,mbona sasa ataka kuleta katiba mpya?mafisadi ni nyie wenyewe tu mmeashindwa kuwakilisha vyema
Kubwa lamaizi ludisha helsazatozoonaulisema twendebulundii
Jipu hili
Tangu lini mwizi akakubali kuwa ni mwizi
usituunganishe nawe sisi watanzania hatuusiki, ukiiba unagawana na nani?
mashavu kama matako ya mtoto
Jamaa mbona kapaniki sana kuna nini hapa😂
Kuna mirija yao mipana tu
Hakutemea anachokumbana nacho
Mtu ya ma na na na , feki
BAADA YA KUKAGUA KUNA HATUA GANI ZINACHUKULIWA?
Piga makofi ccm howe
Anamabasi mengi sana
Mabasi ya Esther