"MWIGULU futa kauli yako haraka" Waziri MWIGULU ashambuliwa vikali na WABUNGE spika TULIA aingilia

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 139

  • @HabibuAthumani-w4o
    @HabibuAthumani-w4o 10 месяцев назад +11

    Waziri hana point yoyote

  • @JumaHamisi-gi9ki
    @JumaHamisi-gi9ki 10 месяцев назад +4

    Nyie wabunge wa ccm mungu anawaona mnafanya nchi yakwenu kumbukeni kuna kufa na mtaenda kujibu kwa mungu

    • @JumaHamisi-gi9ki
      @JumaHamisi-gi9ki 10 месяцев назад

      Kinacho niuma ni kauli ya kusema eti kama maisha magumu tuhame nchi mana kwamba sis hatuna haki kwenye nchi hii yani natamani sana na nyie muishi maisha tunayo ishi hata mwezi mmoja wengi wako wamezaliwa wazazi wao viongozi akiamka asubuhi chai anaita brek fast na alikuwa na kuingia kwenye uongozi mojkwamoja hajawahi ona hata tattoo wenzake wa hali ya chini wanavyo teseka afu mnampa ubunge dah nchi ifike mahali tubadilike jaman

  • @c75923
    @c75923 10 месяцев назад +10

    Jitu nafiki sana hili kama uliona hakuna political will katika utawala uliopita kwanini usijiuzulu kenge wahed!!

  • @godwineliya4686
    @godwineliya4686 10 месяцев назад +7

    Jizi tu hilo Alafu kina dharau Sana hicho Sindiyo Alisrma Watanzania Waamie Burundi

  • @user-qp2pq1uq4k
    @user-qp2pq1uq4k 10 месяцев назад +5

    Naliona giza katika nchi yetu, ukweli utaongea daima RIP Rais Magufuli.😢

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 10 месяцев назад +3

    Mwigulu akili huna 😂😂😂 kubali tu auna akili

  • @mwamakaassely2260
    @mwamakaassely2260 10 месяцев назад +6

    Mwigulu mwizi sana huyu jamaa, jambazi,

  • @deomuro3557
    @deomuro3557 10 месяцев назад +3

    Sijaridhika na waziri wa fedha hata kidogo na je huu ndo utaratibu mbona yeye anataka asikilizwe tu?

  • @mukhtarkassamali7802
    @mukhtarkassamali7802 10 месяцев назад +1

    See how Friendly Supporter supporting mizigo Minister

  • @ombendaud5938
    @ombendaud5938 10 месяцев назад +3

    Mwigulu mwehu wewe ni mwizi mwizi.Acha sisi tumechoka na uwizi wako ndo maana na mama yako ameruhusu mawaziri muibe kufuata urefu wa kamba zenu na mumevimbiwa .Nenda Mwigulu hatutaki hata kusikia sauti yako

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 10 месяцев назад +3

    Huyu Mwigulu mbona haenei kwenye hiyo wizara? Mawaziri pateni semina ya kujibu,kufanya kazi kwa Mchengerwa.

  • @alidchaula9708
    @alidchaula9708 10 месяцев назад +3

    Hivi Spika huwezi kutusaidia kuzuia hizo vurugu za kugonga meza bila utaratibu hasa huyo mama.

    • @PantaleoBundala-tl2kd
      @PantaleoBundala-tl2kd 10 месяцев назад +1

      Yaani linakera kweli.....lenyewe kqzi kugonga tu meza...kila anayesimama ni kugonga meza tu

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express 10 месяцев назад +3

    Kuna .... inagonga meza inatia hasira 😢😢😢

  • @cleophacemasole
    @cleophacemasole 3 месяца назад +1

    Nampenda sana Mh Dr. Mwigulu Nchemba anajua kujenga hoja. Hongera sana

    • @mohanmashine3518
      @mohanmashine3518 3 месяца назад

      huuna unachokipenda kwa mwiguru na km kipo bac hukijui

    • @user13375
      @user13375 3 месяца назад

      Ufinyu wa fkra

    • @PartySekemi
      @PartySekemi 3 месяца назад

      Mwizi siku zote anajaribu kujieleza hana lolote

    • @GodfreyMwamaso
      @GodfreyMwamaso 3 месяца назад

      Kwa bunge hili na waziri wa fedha aina kama Mwigulu sioni Tanzania ikisonga mbele kiuchumi pamoja na kumsifia mama Samia Kama ametoa pesa zake mfukoni mwake

  • @meshackgelson672
    @meshackgelson672 10 месяцев назад +2

    Bunge linalaaana, mmepita bila kupingwa

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallah 10 месяцев назад +6

    Watanzani tunakubali wewe mwiguru ni jambazi

  • @mashakambugi6730
    @mashakambugi6730 10 месяцев назад

    Sijaelewa zaidi ya real time audit na compliance audit ambayo kwa sasa ni requirement ya kimataifa. Pili kusema Prof. Assad aliondolewa kwa zengwe ni mpya sana kwangu. Na inaashiria zaidi nazaria iliyopo ya cag kunyimwa uhuru ama uhuru wake kutegemea utashi wa mkaguliwa.

  • @user-jt4lo1og8w
    @user-jt4lo1og8w 10 месяцев назад +3

    Huyu ni waziri mpigaji tu, rais alibugi sana kuteua hili jitu .

    • @aishahasan7722
      @aishahasan7722 10 месяцев назад

      Hili ni jiz sana😂😂😂

    • @marcynhumbi3534
      @marcynhumbi3534 10 месяцев назад

      Linavyojikuta Sasa na hizo tai za bendera ya taifa utafikiri mzalendo

  • @JaneJennifer-zk7bk
    @JaneJennifer-zk7bk 9 месяцев назад +1

    Sijawahi kujua anaongeaga kitu gani jamani

  • @sifaheryjeremiah9725
    @sifaheryjeremiah9725 10 месяцев назад +2

    Mwigulu kumbe mjinga hivyo

  • @JohnsonBagambi
    @JohnsonBagambi 3 месяца назад

    Ujumbe umefka mwigulu wambie ukweli mama oyeee👍👍👍

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 10 месяцев назад +1

    Kiufupi tu huyu Waziri wa Fedha hatishi Rais wangu ondoa huyu jamaa eti ana PhD😂😂😂

  • @emmanuelademba7919
    @emmanuelademba7919 10 месяцев назад +1

    Mwigulu siku izi anaachia ndevu!!!,zamani alikuwa ananyoa, nadhani sabu hiyo imemsababisha kujiamini zaidi.

  • @nassoroigalawa5329
    @nassoroigalawa5329 10 месяцев назад +1

    Dah! Hii imeendaaa

  • @wilsonyeza8202
    @wilsonyeza8202 10 месяцев назад +3

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Ili taifa tumepigwa

  • @meshackgelson672
    @meshackgelson672 10 месяцев назад +3

    Mwinguru afungwe

  • @issakwisamwasanjobe541
    @issakwisamwasanjobe541 10 месяцев назад +1

    Nchi hii mkitaka iwe salama wafanyabiashara kwenye uongozi WA nchi wawekwe pembeni( conflicts of interest) nchi itazama, Azimio la Arusha wenye akili ya kuona mbele walijua hayo.

  • @FadhiliMwaitete-ls2li
    @FadhiliMwaitete-ls2li 3 месяца назад

    Huyu mwiguru ni mwizi na mnafiki sana 😮😮😮😮anacho sema tofauti na anacho ulizwa mnampigia makofi mwizi. Mnafiki kweli ccm ni mazuzu kweli

  • @yapukahassan
    @yapukahassan 10 месяцев назад +1

    Huyo mwanamke anaye gonga meza anaonekana anagonga meza nae

  • @StevenMgaya-h9l
    @StevenMgaya-h9l 10 дней назад

    Ivi watanzania tumekutwa na nini lakin majizi yanavo utetea wizi wao mwigulu ni mwizi kama majizi wengine tu

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 10 месяцев назад +2

    We kwenda zako huko mwigulu, nafuu mh msukuma awe waziri wa fedha kuliko wewe

  • @evancykashaga6576
    @evancykashaga6576 10 месяцев назад

    Mafanikio yako wapii??? Kupandisha bei ya chakula maisha haya mna piga elauko tunaitaji mabadiriko makubwa sana Tanzania

  • @user-zm7kk1tr5l
    @user-zm7kk1tr5l Месяц назад

    Huyu waziri nijipu tena rimekosa mtumbuwaji maana hana hoja ya misngi unajitahidi kuongea lakini bado khaaa mungu atuaideye sana wanichi

  • @LucianSanga-q8j
    @LucianSanga-q8j 3 месяца назад

    MH Sp Mwgulu Ana sema ukweli una mwambia Afute kauliyeke kwani kusema kweli kwenye Bumgelako ni dhambi?Lakini Wa Tanzaia wote wana jua kufukuzwa kwa Saad kulitokana na kusema kweli kwamba kuna Wizi Mkubwa

  • @MartinChawangula
    @MartinChawangula 10 месяцев назад +1

    Bravo

  • @user-vv9kk3gz5f
    @user-vv9kk3gz5f 2 месяца назад

    Raisi wetu mpendwa magufuli alimuona hafai sijui sijui kwa nn mama anamlea

  • @thomastarimo
    @thomastarimo 10 месяцев назад +1

    hivi huyu mwingulu ana nini aswaa asikamatwe

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express 10 месяцев назад +2

    CAG ni mtu au kikosi?. Maana nasikia alipwe bilioni kukagua miladi 😂

  • @user-vv9kk3gz5f
    @user-vv9kk3gz5f 2 месяца назад

    Hufai bwana sijui kwanini huyu mama haoni

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv
    @DeogratiusAndrew-zi7zv 3 месяца назад

    Ooh wanaiba kwa njia ya sheria ?

  • @MikidadiMahumbi
    @MikidadiMahumbi 2 месяца назад

    Mwiguru Yuko sawa wizi mnaosema atuna ushaidi

  • @khamysamursally5932
    @khamysamursally5932 10 месяцев назад

    Mama huyuu mtu sio mzuri kwakowatu hawamtaki mtoee

  • @HanifaBruno-lv1qf
    @HanifaBruno-lv1qf 2 месяца назад

    Sijaridhishwa na waziri mwigulu

  • @shamsakiobia6421
    @shamsakiobia6421 10 месяцев назад +1

    Atamfanyaje huyo anakula na mama, ameiba mpaka kachoka sasa anawatukana hivi mtamfanya nini mnanini kumzidi huyu, eti wabunge amumuwezi huyo muwekeeni mdomo muone kama kwenye kamati ya wabunge mtapita mwacheni huyo wa mama

  • @danielchacha1305
    @danielchacha1305 10 месяцев назад +1

    Yaani Mwigulu anamtetea Samia na sio nchi yetu. Kwani ishu ni Samia au wizi unaoendelea katika nchi hii?

  • @flova7022
    @flova7022 10 месяцев назад

    Wezi wenzie ni kumpigia makofi Tu...kama watumishi WA afya wakikosea hapohapo wanachukuliwa hatua why not these ministers

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 10 месяцев назад +5

    👇🏿
    #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi !✍🏿

  • @user-ds2qr6fx6c
    @user-ds2qr6fx6c 10 месяцев назад +1

    Sulangumu ilatu nilangi kidogo inalizisha 😂😂

    • @jeremiahdioniz2927
      @jeremiahdioniz2927 10 месяцев назад

      Mnajifanya nchi kuwa yenu wenye CCM yenu ipo siku mtajuta tu na nyie

  • @flova7022
    @flova7022 10 месяцев назад

    Kwan makonda kwann asimhoji nchemmba kma kweli yuko kikaz

  • @frankangira7909
    @frankangira7909 10 месяцев назад

    Siasa bana,!sijui wanasiasa wanafaham tunafaham kuwa wanaatuibia,,!?

  • @The1979bornagain
    @The1979bornagain 3 месяца назад

    Huyu bwana (Ng'wigulu Nchemba) nadhani ana tatizo la kisaikolojia, hana utulivu na ana-lack u - serousness katika jukumu lake la uwaziri wa fedha. Huyu nafasi hii ya uwaziri wa fedha haiwezi. Huyu arudishwe chamani huko akawe mfanya propaganda na uongo uongo. Utendaji ktk serikali ni lazima uzingatiape sheria, kanuni na taratibu hakuwezi. Lakini yeye anaonekana ni mtu asiye serious na majukumu yake. Anapenda siasa badala ya kutenda na kuisaidia nchi na wananchi kukua kiuchumi!

  • @gasperaroni5751
    @gasperaroni5751 3 месяца назад

    Hakuna waziri hapo huyu ni wa mama samia

  • @ChristerShao
    @ChristerShao 10 месяцев назад

    Kama waliambiwa wale urefu wa kamba zao,ndo wamekula sasa hawajafikia huo urefu wa kamba.

  • @user-gb4yp3um8o
    @user-gb4yp3um8o 3 месяца назад

    Mwiguru watanzania unao mbunge mpaka wajue Yako hivi kwenu Kuna wakulima subili kiama 2025

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 2 месяца назад

    jamaa hawezagi kuongea bila kurusha mikono na kupiga kelele..😢

  • @johnsonngowo1183
    @johnsonngowo1183 6 месяцев назад

    Hasira 😢

  • @tumainiellyimo4657
    @tumainiellyimo4657 2 месяца назад

    😂😂😂😂mbunge anayekubalika jimboni kwake?

  • @mwaamwetahussain9947
    @mwaamwetahussain9947 2 месяца назад

    Huyu waziri mbona simulewi watu wanakimbiana wakati wakuandaa sio wakati wa kula

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 10 месяцев назад +1

    Hili limama linalogonga meza ovyo ni libunge la wapi au viti maalumu?

  • @mangashajunior242
    @mangashajunior242 10 месяцев назад

    Waendeè ni mzigo kwa nchi....

  • @givenkessy9540
    @givenkessy9540 10 месяцев назад

    Tuna genge la wezi ,hatuna viongozi

  • @lipandapiyumba1405
    @lipandapiyumba1405 10 месяцев назад

    Hii inchi imehalibika mtahan hakuna ela watu hawanauluma kabisa na taifa lao

  • @alfoncejohn2104
    @alfoncejohn2104 10 месяцев назад

    We ni mwizi unapenda kuvaaa s skafu ya bendera unatuzuga TU.Braza we ni mpigaji tyu

  • @SaidNjenjema
    @SaidNjenjema 3 месяца назад

    Hvi wanaepga makofi wanaelewa?

  • @flova7022
    @flova7022 10 месяцев назад

    Haka kamama pembeni mbona kanampigia xn makofi?

  • @chidampiri1012
    @chidampiri1012 10 месяцев назад

    Zengeli anaingiaje hapa

  • @augustinesombi6285
    @augustinesombi6285 2 месяца назад

    R.I.P JPM

  • @user-vv9kk3gz5f
    @user-vv9kk3gz5f 2 месяца назад

    Nyie pigen makofi mtu anafanya ujinga mnashangilia mtakuja kuomba kula

  • @PartySekemi
    @PartySekemi 3 месяца назад

    Hakuna waziri hapa ni ujinga tu

  • @leylasaid9641
    @leylasaid9641 10 месяцев назад +1

    WOTE WAMEPENDEZA.

  • @mwitamwikwabe6611
    @mwitamwikwabe6611 Месяц назад

    Hayo makofi ni nn ee ccm bac tu

  • @Ashahabibu-yr1rn
    @Ashahabibu-yr1rn 6 месяцев назад

    Mwigulu huna lolote ,ndiomaaana magu alikutumbua ,huna lolote yani wewe ni jibu tu

  • @levissanga8867
    @levissanga8867 10 месяцев назад

    Mh Bashe umebadilika lini kuwa mgonga meza badala ya critical thinker as you used to be?

  • @KwikwegaKwikwega
    @KwikwegaKwikwega 10 месяцев назад

    Kanyoe ndevu kwanza mwigulu

  • @ombendaud5938
    @ombendaud5938 10 месяцев назад

    Mbona huyo huyo Raisi Samia ameruhusu kuiba mawaziri hapo unafunika funika Samia ni mwizi mwizi kama wewe mwenyewe

  • @sifaheryjeremiah9725
    @sifaheryjeremiah9725 10 месяцев назад +1

    Alafu mnaiba na hamchukuliwi hatua very stupid

  • @monicachacha455
    @monicachacha455 3 месяца назад

    mmmmm

  • @JumaDea
    @JumaDea 10 месяцев назад

    Nyieee

  • @JohnsonBagambi
    @JohnsonBagambi 10 месяцев назад

    Mwigulu ujumbe umefekaaa

  • @stevinngenza8704
    @stevinngenza8704 3 месяца назад

    Tapeli tu

  • @alfoncejohn2104
    @alfoncejohn2104 10 месяцев назад

    Haya majizi mnayataja mbona hatuoni yanatajwa na yanafungwa? Mwigulu ni mwizi ana jazba .Mwigulu pita huku

  • @consesaphelician9266
    @consesaphelician9266 10 месяцев назад

    Jenista ckuelewi? Hiyo meza unaigonga ya nn
    Kuna nini baina yako na mwigulu
    Make mwigulu kapanik vibrant mno

  • @charlestogolai1407
    @charlestogolai1407 10 месяцев назад

    Njie jipigieni tu makofi tutaona huku mtaani

  • @zachayojohn7065
    @zachayojohn7065 10 месяцев назад

    Hivi Nini mtu kabla hajapa wadhifa ndani ya Serikali anakuwa mzalendo lakini akishapata Uongozi hawezi katu kutetea wanyonge!

    • @sultansallah8772
      @sultansallah8772 10 месяцев назад

      Uliona wapi mvuvi anampa sanaki chambo baada ya kumvua

  • @NorbethJosphath-hm1zb
    @NorbethJosphath-hm1zb 10 месяцев назад

    Rais wangu inatisha wizi huu umekisili huku barabara hatuna rami tunaugua tibii vumbi tu masika taabu kutoka ispii mbaka mafinga inauma kuona watu wanapiga hela tu

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 10 месяцев назад

    Maji hufuata mkondo.

  • @user-vv9kk3gz5f
    @user-vv9kk3gz5f 2 месяца назад

    Hunadodose

  • @thomastarimo
    @thomastarimo 10 месяцев назад

    lijitu lijambazi kama nini

  • @MwitaSenso
    @MwitaSenso 12 дней назад

    Jina lenyewe chemba maan yake huyu ni jemba ya maji machafu Amna kitu apo

  • @josephshee
    @josephshee 9 месяцев назад

    Kuiba kwa utaratibu maana yake ni nini?

  • @user-ey8zi1es4p
    @user-ey8zi1es4p 10 месяцев назад

    Kama ameaidi kushughurikia ki katiba,mbona sasa ataka kuleta katiba mpya?mafisadi ni nyie wenyewe tu mmeashindwa kuwakilisha vyema

  • @mlimakenedy-qi4jz
    @mlimakenedy-qi4jz 10 месяцев назад

    Kubwa lamaizi ludisha helsazatozoonaulisema twendebulundii

  • @HusseinseifSachirama-tn2fj
    @HusseinseifSachirama-tn2fj 10 месяцев назад

    Jipu hili

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 10 месяцев назад

    Tangu lini mwizi akakubali kuwa ni mwizi

  • @isackbosa2628
    @isackbosa2628 10 месяцев назад

    usituunganishe nawe sisi watanzania hatuusiki, ukiiba unagawana na nani?

  • @BizzBoy-g4o
    @BizzBoy-g4o 2 месяца назад

    mashavu kama matako ya mtoto

  • @claudiusbernard8178
    @claudiusbernard8178 10 месяцев назад

    Jamaa mbona kapaniki sana kuna nini hapa😂

  • @leylasaid9641
    @leylasaid9641 10 месяцев назад

    BAADA YA KUKAGUA KUNA HATUA GANI ZINACHUKULIWA?

  • @mwitamwikwabe6611
    @mwitamwikwabe6611 Месяц назад

    Piga makofi ccm howe

  • @IsayaMtuli-ln9jx
    @IsayaMtuli-ln9jx 10 месяцев назад

    Anamabasi mengi sana