"NAMUUNGA MKONO MAKONDA KWA MOYO WOTE" WABUNGE WASHINDWA KUJIZUIA
HTML-код
- Опубликовано: 3 ноя 2023
- #OFFTRACKTV #offtracktv #samiasuluhuhassan #raissamia #ikulu #rcchalamila #tulia #ipu
Karibu kujiunga na Channel yetu ya WhatsApp kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 whatsapp.com/channel/0029VaDF...
KWA HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA ELIMU,MAKALA NA BURUDANI KWA UHAKIKA MASAA 24,TUFUATILIE OFFTRACK TV.
PIA USISAHAU KUSUBSCRIBE OFFTRACK TV
/ offtracktv
Email | info@offtrack.co.tz
🔴 JE, NA WEWE UNA HABARI AU UNAHITAJI KUTANGAZA NASI?
🔴 WASILIANA NA OFFTRACK TV : (+255 621 149 014)
🔴 Email: info@offtrack.co.tz
Www.offtrack.co.tz
𝙏𝙝𝙖𝙣𝙠 𝙔𝙤𝙪 𝙁𝙤𝙧 𝙒𝙖𝙩𝙘𝙝𝙞𝙣𝙜
...............................................................................................
Subscribe: / offtracktv
MKuu Mungu akulinde pambana kiukweli watu wa Mungu walikuwa wameteseka sana
Hongera sana Makonda ni chuma bhana
Jamaa anaongea point wabunge hawajitambui hawatendei haki wanainchi
Wasukuma hongera Kwa nondo za
safi sana unakipenda chama chako hauna unafiki
Baadhi ya Watu wanatakiwa wawekewe sheria kali ili wakae kwenye mstari,kuwasematu haito saidia wataendelea kuiba, toka lini wanasemwa mbon bado wanaendelea nawizi, inatakiwa walazimishwe na sheria ya kunyongwa kam wakiiba, kwasheria hio wataacha wizi !!
Inasema kweli ndugu
Safi sana mbunge
Iviiiiiiiii michango ya ulizi kwann wanawatesa wanch
Wabungeeeee uwiiiiiiiiii tusaidieni sisi wananchi tulioko kiteto tuna nyanyasika sana tuna nyanyaswa na kabila moja la kimasai
Makonda anae power sio mwoga Na anauthubutu kama jpm
Umenena mheshimiwa na kigahe asimamishwe aulizwe amefanya nini?
Naomba ipitishwe sheria ya kunyongwa maana mafisadi hawaachi kuiba
Sema baba huna baya
Nikweli mafisadi wanatakiwa wanyongwe,nchi itapata maendeleo, jifunzeni kwa china, !!!
Makonda mkombozi wetu
Naunga mkono Ila na mbunge asipotekeleza anyongwe
Kama Nyinyi Wa Bunge Mmeshindwa kukamata wezi Minao mezani kwenu Makonda Ata kuwa mpiga kelele tu Wakamataji ni Nyinyi Hapo Muna fanya kazi gani? Mpaka Makonda Ateseke hivyo
kunyonga ni zambi hata magufuli alikataa. ila wataifishwe mali zao zote ziludi selekalini.ukinyonga utanyongwa
SEMA mimi nalamba minguu ya bashite
Naona magufuri anaanza kufufuka yajayo nimazuri zahidi upinzani kaapembeni mpaka magu afufuke kabisa