@@emanuellukwaro1032 USIKIMBILIE KUMUITA MTU ZUZU,,JITAFAKARI,,,OK TUKUELEWESHE BAS,,NI IVI KAMA UBUNGE HAUHITAJI ELIMU,,,TUSINGESOMA TUNGESUBIRI TUKUE TUKAGOMBEE,,,WENGI WANA ELIMU HATA HAO MNAOSEMA HAWAJASOMA NI BAHATI TU,,,NA LAZIMA WASOME KUTOA UJINGA
mwabukusi alisem hili nibunge lawapiga makofi2 sasa sijui nikweli
Hongera mb msukuma umesema kweli Mungu akubariki
Media jitahidi kuweka taarifa vizuri
Kwa sababu hiyo ndio maana sera ya CDM ni kuongoza Taifa kimajimbo.
MTA seve lakini zitachezewa
Boresheni habari zenu chanel yenu ina mikwaruzo maneno mengine hatusikii bhana
Wanasema vitu ambavyo wanajua havito badilika
Huruma hawana,Gesi,tunao lkn haitusaidi,nauli hazishuki,n waungu MTU,
😊
Bima wa Afya kwa Wote vipi?
Hivi mi nipo Tanzania ipi? Mbona wabunge wanasifia hali ya umeme..au mtaani kwetu tumeishiwa luku?
Sauti iskatwe jaman tuskie representer wetu.
M
Safi
😂😂😂
😂😂😂😂
KAMA WALIKAA WAKASOMA,,,NA KUJITAHIDI MPAKA KUFIKIA HAPO KWANN WASILE HELA YAKO??NA WW UNGETAKA USINGEKIMBIA SHULE
Kuwa mbunge hakuhitaji shule..Ujue tuu kusoma na kuandika baaaas..Ndio maana tuna wabunge wa drs la saba, ma-doctor na maprofesa humohumo
@@DavisEnglishTv USICHAMGANYE BAHATI NA KUSOMA,,TOFAUT
Wabunge wengi hapo ni vilaza kwelikweli
Huyu naye ni zuzuwaliosoma wote wako bungeni
@@emanuellukwaro1032 USIKIMBILIE KUMUITA MTU ZUZU,,JITAFAKARI,,,OK TUKUELEWESHE BAS,,NI IVI KAMA UBUNGE HAUHITAJI ELIMU,,,TUSINGESOMA TUNGESUBIRI TUKUE TUKAGOMBEE,,,WENGI WANA ELIMU HATA HAO MNAOSEMA HAWAJASOMA NI BAHATI TU,,,NA LAZIMA WASOME KUTOA UJINGA
Uongo uongo ili upate views..Hakuna waliposema hvyo kwenye video yako. Unapotosha umma
Gari kutumia gas ni ghali zaidi kuliko kutumia mafuta