Naomba mungu umlinde huyu mtoto wako adui asimpate natunakuomba mungu wewe ukisema ndiyo hakuna wa pinga baba ninakuomba wewe uliye juu ya maserafi na makerubi naomba umlinde makonda Mungu wangu ninaomba baada ya raisi Samia kuimaliza awamu yake Mungu naomba umpe hii nchi Makonda maana huyu ni mtumishi wako ukampake mafuta ya roho wako Mungu nitakushukuru najua unalituma neno lako ulitimize na hata Sasa utalitimiza Mana neno lako halitoki bure kinywani mwako amen.
Acha tu ndugu, Japo tunao hawa viongozi wetu! Mijizi na mijambazi ina roho ya Kenge. Sikiliza hapo mijizi ipo kuanzia majumbani mpaka serikalini. Africa kazi tunayo.
Makonda unaudhubutu sana kama magu nchi hili inapigwa sana kilasehemu kwenye makusanyo yahela itakuwa nishida tungekuwanaakina Makonda kilamkoa inchiinge pigahatua sana
Paulo Makonda be covered by the blood of Jesus.watakuacha kweli ndo hofu yetu God lntevention in your life ,career job and everything that has to do with you in Jesus name.
Mafisadi hawataisha kwenye hii nchi. Mpaka hapo tutakapo pata watu, wenye uchungu na Maendeleo ya Nchi yetu. Makonda yupo Arusha, je Mikoa mengine wanafanya hivyo?. Barabara zetu za mitaani ni mbovu. Kodi ni kwa ajili ya Maendeleo ya Taifa letu, lakini sasa inakuwa ni Maendeleo ya Familia zao na Matumbo yao. Mungu atusaidie sana
Makonda nakuomba kwa dhati uchaguzi ujao ugombee ubunge jimbo la ubungo, hatuna mbunge ubungo. Wala hatujawahi kumuona mitaani, magufuli alikua kiongozi mzuri lakini kwenye wabunge fake alitukosea sana wapiga kura. Kimara barabara za mitaani ni disaster
Yaani uyo mkurugenzi si alisamehewa wakati wa Magufuli..akajilizaga ule wakati. Wakamsamehe akarudishwa kazini na uko Arusha analikoroga tena..piga .chini
Inawezekana hajui kinachoendelea kati ya vijana wake wa kazi na wahasibu wa Tanganyika Wilderness Camp, vijana wake (wafanyakazi wa halmashauri) hawawezi kuipiga hiyo pesa bila ushirikiano wa wafanyakazi wa kampuni ya Tanganyika Wilderness Camp. Hapo Kuna siri na mwisho wa siku itajulikana tu.........tusishangae TWC akaja kumuomba msamaha mkurugenzi.
Je,Makonda ana mamlaka ya kumfukuza kazi mteule wa Mhe. Raisi? Mbona waliokula mabilioni yaliyoibuliwa na"CAG" mbona hawagusi?Kile anachotuhumiwa kula huyo bwana,je kiliibuliwa na CAG,Internal Auditor au Makonda tu ktk kuonyesha ubabe wake hadharani? Ni mimi Ally Daudi Ngoyeji wa Kijiji cha Itilima ,Kishapu;Shinyanga.
Yy hatoweza kumfukuza icpokua atapeleka taarifa juu kutokana na utensaji mbovu wa mkurugenzi wake ss apo anaweza kupewa mamlaka na ata apo hajasema km mkurugenzi akamatwe
kesi ya mbuzi unaipeleka kwa mbwehaa shidaa nikuondoa chama chapinduzi madarakani wenye mamalamiko nitanzania nzimaa mtapiga kelele mpaka mchoke hakuna msaada
We nae siasa kila mahari haowapizan wako pia hakunachochote waowenyewe nimafisadi katika vyama vyao wakishika nchi itakuaje, madiwan wachama pinzan walikua wengi sana kipindi cha nyuma lakin walikua wanatafuna pesa nawatu wa harimashauri siasa pizan za tanzania kilamtu apigania tumbo lake wala si kuleta mabadiliko viongozi kama makonda tunawahitaji sana
Naomba mungu umlinde huyu mtoto wako adui asimpate natunakuomba mungu wewe ukisema ndiyo hakuna wa pinga baba ninakuomba wewe uliye juu ya maserafi na makerubi naomba umlinde makonda Mungu wangu ninaomba baada ya raisi Samia kuimaliza awamu yake Mungu naomba umpe hii nchi Makonda maana huyu ni mtumishi wako ukampake mafuta ya roho wako Mungu nitakushukuru najua unalituma neno lako ulitimize na hata Sasa utalitimiza Mana neno lako halitoki bure kinywani mwako amen.
Sijui itatugarimu miaka mingapi Kenya kutokea viongozi kama hawa
Acha tu ndugu, Japo tunao hawa viongozi wetu! Mijizi na mijambazi ina roho ya Kenge. Sikiliza hapo mijizi ipo kuanzia majumbani mpaka serikalini. Africa kazi tunayo.
Makonda jamani makonda mungu akupe maisha marefu sanaaaa.... Kwa maana umeumbwa kutetea wanyonge kila la kher Kaka....
Makonda njoo na hukuuuuuu kwanguu kuna shida inayotikana na shida
Kwa mwendo huu Makonda jitegemeze kwa Mwenyezi Mungu bila hivyo utarogwa kwa kuwamwagia watu unga.
Safi Sana hiyo mijizi ya halmashauri inatusumbua Sana mitaani huku kumbe pesa wenyewe inajaza matumbo Yao, Sukuma ndani
Mikoa yote na alimashauri zote na wakurugunzi ni shida tu wizi mwingi makonda ww ni jembe upewe ulinzi pia ww bola uwe rais wa Tanzania tutapona wengi
Hongera sana Mkuu
HUYU JAMAA ANAWEZA KUWA RAIS WA TANZANIA 🇹🇿 SIYO SIKU NYINGI NAONA NYOTA YAKE NI YA URAISI SIYO MKUU WA MKOA
ANAFAAA KWA 100%
Makonda unaudhubutu sana kama magu nchi hili inapigwa sana kilasehemu kwenye makusanyo yahela itakuwa nishida tungekuwanaakina Makonda kilamkoa inchiinge pigahatua sana
sisi watanzania hatupendi watu wanamna hii mungu aingilie kati kuwaweka ka iblahimu wa bukinafaso makonda oyeé raisi ajaye
Safiii
Duh kaz tunayo hongera mkuu wamkoa
Hii nchi imeoza kweli!!!
Paulo Makonda be covered by the blood of Jesus.watakuacha kweli ndo hofu yetu God lntevention in your life ,career job and everything that has to do with you in Jesus name.
Nakukubari sana makonda ww ni jembe
Makonda Nina buku Yako hapa kadri ya uwezo Wangu Utamnunulia Jojo kijana wako
Nchii ni tajiri sana maana inapigwa usiku na mchana, hasa tamisemi, inatisha
Huyo Ndio BABA KIGAN
Mafisadi hawataisha kwenye hii nchi. Mpaka hapo tutakapo pata watu, wenye uchungu na Maendeleo ya Nchi yetu. Makonda yupo Arusha, je Mikoa mengine wanafanya hivyo?. Barabara zetu za mitaani ni mbovu.
Kodi ni kwa ajili ya Maendeleo ya Taifa letu, lakini sasa inakuwa ni Maendeleo ya Familia zao na Matumbo yao. Mungu atusaidie sana
Makonda nakuomba kwa dhati uchaguzi ujao ugombee ubunge jimbo la ubungo, hatuna mbunge ubungo. Wala hatujawahi kumuona mitaani, magufuli alikua kiongozi mzuri lakini kwenye wabunge fake alitukosea sana wapiga kura. Kimara barabara za mitaani ni disaster
Piga makonda tunahitaji watu kam nyie
Makonda hoyeeeee
Usijekutulogea tuu watu na hiyo mipete yako😂😂😂😂
Hamuwezi,toka anapelekewa moto tungeona matokeo
Kumbe RAS anamtumbua DED?🤔
Nakubali
Makondaa apewe nchi.
Salute 🫡 makonda
Duu. Kazi kweli ila Mungu asimsimame kwenye haki jamani
Hivi ajira za wazee kama huyu asieweza hata kujieleza wanazipatagaje jamanii
Next president of tz
Makonda kuna mjinga mmoja alisema ulipata ziro alupata wapi ujasiri wakuongea utombo wakuku
Kila kona majanga naomba Makonda apewe Tamisemi
Wakurugenzi wakiwa wanasiasa na sio wataalam , professionals itawasumbua saana,
Mmelea watu hawa miaka mingi. Kufukuza haisaidii. Wengine wangekua wananyongwa ingesaidia
Mweshimiwa wanyooshe hao ndio wanaozuia maendeleo yetu ya Arusha...
Makonda usiogope Hawa vibaraka pambana nao.
Tamisemi Pana shida, serikali yetu Ina serikali nyingine ya Siri ,deep state, Hawa wanakusanya Kodi nje ya Kodi serikali
Mama Samia tuletee sabaya uku dar kumeoza
Yaani uyo mkurugenzi si alisamehewa wakati wa Magufuli..akajilizaga ule wakati. Wakamsamehe akarudishwa kazini na uko Arusha analikoroga tena..piga .chini
Makonda Tanzania hii nishidaaaaaaa wizi mtupu unamaana nchihiii wizi tuna hasa malipo yaserikali yamfumo waconrooo helanyingi zinaliwatu
Makonda tembelea halmashauri za mkoa wote huu ni muozo ndo maana Arusha hainekani kubadilika kila mwaka barabara ni zilezile ndo zinajazwa vifusi
Kama ningekua rais wakulugenz wangetokea jeshin
sasa makonda unamsaidiane mkulugezi kwaanavyoonekana anawatu juu sio anaptaje ujasili wakwenda kunyu.e nawew
Huyo mkurugenzi hana adabu, ni mpigaji ndio maana aliitisha waandishi ili kudhiofisha maamuzi ya RC
Inawezekana hajui kinachoendelea kati ya vijana wake wa kazi na wahasibu wa Tanganyika Wilderness Camp, vijana wake (wafanyakazi wa halmashauri) hawawezi kuipiga hiyo pesa bila ushirikiano wa wafanyakazi wa kampuni ya Tanganyika Wilderness Camp.
Hapo Kuna siri na mwisho wa siku itajulikana tu.........tusishangae TWC akaja kumuomba msamaha mkurugenzi.
TUNGEPATA RAIS TANZANIA KAMA MAKONDA MIAKA MITANO TU WAZUNGU WANGEJIULIZA KICHWA KIPO KATIKA KITI TANZANIA 🇹🇿 😂😂😂
Mi pete imegoma
😂😂😂
😅😅😅😅😅😅
Mh makonda endesha kazi kwa uwazi hivihivi ili tusipotoshwe kuhusu utendaji wako wa kazi tunauona mubashara
Je,Makonda ana mamlaka ya kumfukuza kazi mteule wa Mhe. Raisi?
Mbona waliokula mabilioni yaliyoibuliwa na"CAG" mbona hawagusi?Kile anachotuhumiwa kula huyo bwana,je kiliibuliwa na CAG,Internal Auditor au Makonda tu ktk kuonyesha ubabe wake hadharani?
Ni mimi Ally Daudi Ngoyeji wa Kijiji cha Itilima ,Kishapu;Shinyanga.
Chuki za mafisadi
Ana malaka ya kumsimamisha na ndicho alicho kifanya umeelewa we kibaka
Unachohoji. Na uchofaidika na kipii apo katika ilo swali lakooo .?
Yy hatoweza kumfukuza icpokua atapeleka taarifa juu kutokana na utensaji mbovu wa mkurugenzi wake ss apo anaweza kupewa mamlaka na ata apo hajasema km mkurugenzi akamatwe
We ndo mganga wa mkurugenzi nini,mapete yamefeli Sasa kambadilishie
kesi ya mbuzi unaipeleka kwa mbwehaa shidaa nikuondoa chama chapinduzi madarakani wenye mamalamiko nitanzania nzimaa mtapiga kelele mpaka mchoke hakuna msaada
We nae siasa kila mahari haowapizan wako pia hakunachochote waowenyewe nimafisadi katika vyama vyao wakishika nchi itakuaje, madiwan wachama pinzan walikua wengi sana kipindi cha nyuma lakin walikua wanatafuna pesa nawatu wa harimashauri siasa pizan za tanzania kilamtu apigania tumbo lake wala si kuleta mabadiliko viongozi kama makonda tunawahitaji sana
Dah umesema kweli ndugu@@bugapeasant1827
Chama chako kimefanya nini toka umeanza maisha?
Umekariri ujinga poleeee😅😅