MAKONDA AWAJIBU WANAOSEMA ANADHALILISHA WATUMISHI.
HTML-код
- Опубликовано: 26 май 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Nakupenda sn Kaka yangu Makonda unanikumbusha enzi za mwenda zake,chapa kazi kwa kwenda mbele si kwa kurudi nyuma,sisi wananchi tunapenda sn kazi unayoifanya juu ya sisi wananchi,tulikuwa hatusikilizwi kero zetu,Sasa wewe u mkombozi wa kero za watu,Mungu wa mbinguni azidi kukutunza na kukuifadzi km Yona alivyomuhifathi kwenye tumbo la samaki.mungu akubariki sn Makonda, piga kazi,kaka mwenye jopu la uwongozi,wananchi tunataka Kiongozi watu km Makonda,ili Taifa lisimame imara.mungu akubariki sn Makonda
Hongera Mh Makonda. Chapa kazi yako usisikilize wanaokurudisha nyuma kuwa unadhalilisha.
kwahiyo akizalilishwa Samia inakupa wewe uhalali wa kuzalilisha wengine?? kweli unaweza foji vyeti vya shule lakini huwezi foji akili na hekima..
Usiogope mwanangu chapa kazi Mungu Yuko pamoja nawe
Mama hawezi kutetea ujinga hata kama ni mama mama yangu samia naomba mwache makonda atupe nafasi ya kuamini serikali yetu wapo wawili makonda na chalamila
Piga kazi achana na hao wanaorudisha Tanzania nyuma go ahead
Mungu akupe siku nyingi za kuishi MAKONDA,unafanya kazi nzuri sana.
Hongera mh. Mkuu wetu wa mkoa upo sawa kusimamia mkoa
Mungu ndiye mtete wako Mkuu wa Mkoa Arusha Songa mbele usirudi nyuma wataisoma namba hao wazembe
Hongera sana, ufisadi kila pahala, si wanawake si wanaume kulwahed, upigaji kama kawa
Mama Samia hoyee! Nakupongeza sanaa kutuletea mkombozi wetu mkoa wa Arusha. Ni jembe haswa na ni mtetezi wa wanyonge na haki za kila mtu. Mungu awabariki wote kwa utendaji uliotukuka si mwingine ni Makonda
Ndugu yangu piga kazi.watu wengi hawapendi maendeleo ya nchi. Piga kazi wananchi wanapenda maendeleo
Tanzania imecheleweshwa sana na wapigaji, wazembe, na machawa. Hakafu kina bakonda ni wachache Sanaa na vita wanavyopigwa ni vikali mno kisaikolojia na kwa kila hali, lkn hamna vinginevyo utu uwe mafanikio ya kazi tuu
Songa mbele Mtumishi wa Mungu, hizo ni hila za shetani coz hapendi kuona ukiwatumikia wananchi kwa upendo wa dhati, hivyo ameinua maajenti wake ili wakuvunje moyo wa kuwatumikia wananchi wanyonge.
Piga kazi mzee baba
TENA UAZE NA WALE WANASEMA WANADHALILISHWA NDO WAFUKUZWE WEZI KABISA WAKUBWA WA NCHI YETU
Safi sana Makonda ❤❤❤❤❤
Piga kazi makonda mungu akulinde
Maoni yangu wabane kweli kweli.watumishi wanzembe.
kazi iendelee
Makonda anapiga kazi tena sana, lakini anapaswa kuwa na nidhamu, nadhani kuna vikao vya ndani ambavyo angekuwa huru kuongea chochote lkn siyo mbele umati...
Ukiwalinda kwa sababu hiyo hawa watumishi hawawezi kuacha kuiba na kula rushwa sababu tutakuwa tunawapa heshima na kuwalinda wakati huo wamesababisha hasara kubwa kwa nchi wakidhalilishwa uenda wakapungua kwa kuwa na uoga wa kudhalilishwa au kubabanishwa,nchi ilipofikia inataka hivyo maana kama kulindwa huko nyuma walishalindwa sana na kuheshimiwa lakini kila mwaka madudu ni meengi sana
pumbavu wewe nizam ndo nn wewe unanizam gan muache magufuri wapil awanyooshe huyu bludoza
@@tazrywiser5126 Nakubaliana na mtazamo wako wa kuwaadhibu viongozi wala rushwa na wabadhirifu wa mali za Umma ikibainika bila shaka, lkn Adhabu zitolewe na mfumo wa haki(mahakama) na siyo wanasiasa majukwaani.
😂😂😂 Makonda kuna watu wanakufatilia ukosee waongee! Ila wewe ndo kiboko yao! Wanafiki ni wengi sana! Tunakuombea kwa Mungu!
Wavivu wamezidi mikoani makonda na wala rushwa wsmezidi wskomeshe arisha
Mbele za Mungu kila mtu ana haki yake Bali moyo wenye hila kwake jaukubali
Chapa kazi mkuu wetu usisikilize kelele za wapumbavu. Ambao wananchi tunapopiganiwa wanachukia. Mazuri hawayasemi ikitokea kasoro wanapanua mamidomo yao ya kinafiki. MAKONDA WETU piga kazi
Mi naomba niulize ndugu zangu kwa hiyo watumishi waserikali wakifanya makosa wasiulizwe na makonda
Acha tu wanasema wanazalilishwa ila wananchi wanavyoteseka na haki zao ni sawa. Inasikitisha sana walahi.
Go Makonda❤
Piga kazi
Fanya kazi ndugu ukosee kuliko kutofanya kabisa. Pambana ndugu.
Hongera makonda piga kazi
Piga kazi kaka yangu.Mungu yupo nawe
Wanaosema wamezalilishwa ndio watakao sema serikali hakuna inacho fanya kwa kuongopa kuwahoji watu waserikali
Mh.Makonda mm napenda sana utendajiwa wako pia nashauri wakuu wamikoa wangine watoke hazalani kutetea wanyonge!
Jembeeeeee
Makonda piga kazi mungu yupo nawewe
Chapa kazi Makonda wananchi tinakupenda sn tn sn, hawo wanao lalamika walizoeya kitupola wananchi Sasa wanaona kaa la mawe,achana nawo hawo ndiyo waliyotutesa sn wananchi, MUNGU akubariki sn Makonda
Mh Makonda chapa kazi watanzania wana imani nawe na unamsaidi vema Mh Rais katika utendaji wako mzuri wa kazi.
Makonda mdogo wangu usisumbue ubongo kuwazia mijitu mijaza vyoo kama mery
BAADHI YETU TUMEJAA UJINGA MARA KWA MARA ANADHALILISHWA RAIS HATUSEMI KI2 LEO WATU WANABWATUKA 2 ETI MAKONDA KAMDHALILISAHA YULE DADA .... TUPUNGUZE MIHEMKO
Kabisa
Mange alisema hata kwa Rais Samia mbona hamjasema kitu. Unafiq tu mulionao. Makonda piga kazi wanyooshe weshazowea hao kusema serikalini hafukuzwi mtu. Kwahiyo wanafanya watakavyo. Kwahiyo kila anaefanya utumbo mshuhulikie awe mwanamke au mwanaume.
Mama huyu mtu tuletee na huku kwetu mbeya maana tuna viongozi wazembe wanaojal matumbo Yaohawashuliki na shida za watu
Safi unasimamia haki wezi wapishe bana mpaka wanye
Piga kazi mkuu, achana na waliozoea business as usual.
Kulindana kubaya ndiko kunako hangamiza Tanzania wapo tayari wauwe ili usitende haki usiwe mkweli muwazi Taifa Jipya wamezshutumiwa kufanya Ugaidi ilihali UGAIDI MAMBOLEO UNADUMISHWA NA WALIO AMINIWA WHAT THE FUCK IS THIS YOU EXPECT???
VIJANA HATUOGOPI MAFISADI SEMA BROTHER
Asiye fanya kaz na asile wanakula pesa bila kutoa jasho.wakimbize hao makonda.
Chapa KAZI makonda humzalilishi mtu wanajizalilisha wenyewe makonda usicheke na kima utavuna mabua
Usisikilize kenge yyte FANYA uwezavyo baba kegan
Hao ni wanafiki, wanatafuta Kiki, ww chapa KAZI, ningependa mama akimaliza muda wake upokee kijiti uwanyooShe ndio mafisadi wenyewe hawapendi kuelezwa ukweli
Ila watu ni wanafiki mungu ana waonaaa
Hilo nijeshi la mtu mmoja vyeka mapoli palikua Giza Sasa mwanga simama imala usiyumbe kiongozi
piga kazi makonda binaaadamu huwa hawaeleweki musa mwenyewe hakuwaelewa
Alizalilishwa ndiyo kiswahili Gani.
Kijana unayewaza kua kiongozi unachakujifunza apa
Fanya kazi kaka achana na mambo ya wanawake,uwt wanamuangusha raisi samia kisa kwa sababu mwanamke uongozi hauna mwanamke ukikosea unapaswa kukosolewa ama kufukuzwa kabisaa muda wa kubembelezana ushapita wanawake wapiga dili piga spana tu.
Wapigaji wanachachawa
Hivi nauliza Tanzania nzima wakuu wa mikoa wako wa 2 ? Mbona wakuu wa mikoa wengine siwasikii utendaji wao kazi kwenye mikoa yao?au ndio wale wale Nini?
mwana ana lindwa na jeshi
Yaani shida kubwa tuliyonayo watanganyika tumezoea kufunikwa,na kuambiwa nyuma ndiyo mbele ndo kinachotutesa watanganyika,tujifunze majibu mawili tu ni hapana na ndiyo
Brooo piga kazi watu wanapenda kufanya kazi kw kusumwa
Wapige spana Mzee mpaka wanyoooooke balabala mtetezi yuhai tu
Uyu dada ajitambui makonda piga kazi
Pinga kaz wonyoshe watumishi wazemb
Wale wamama nafikiiii si waje wasome comeno waone wananchi wanaongea Nini....!!! Kuhusu huyu kamanda Makonda au wananchi wanafaidika vipi na makondaaa kama walikuwa hawafaham naomba muwaambie ..... Kuwa makonda akifika sehem ni Kama masahaa
Makonda ma bunge ni Asili 69 ukimsikiliza Makonda utapata ufafaka wa jambo
Haukubali
Makonda piga kazi achana na hao wahuni tuu.
Mkuu piga kazi acha na wanasiasa uchara
Mh kuna changamoto kubwa ya maji, barabara na umeme wa REA kwenye Kata na Vijiji vingi vya Wilaya ya Monduli. Miradi haikamiliki muda mrefu na wakati mwingine ubora mdogo ni changamoto kubwa.
Piga piga 😂
Arusha imempata Mkuu wa mkoa tangu Uhuru makonda ndo test one
Mtoto wa mama huyo jamani , mwacheni apige kazi, kudalilisha hilo ni neno tu , na maneno hayavunji mfupa, wala hayaondoki na kiungo cha mtu, , wa Tz ss tunataka kujidai sisi ni malaika, kashfa kidogo wanahaha, eti kwann, kwann, asietaka makasiriko apae aende mbinguni akaishi na malaika huko, mwacheni makonda apige kazi.
Usipofanya Kazi utakutana na moto wetu😂mim😂😂pigwa spana Barabara,😂
😂😂
Uyo mery ushuz ulimbana wajinga wenzie wanapopiga vigelegele lenyewe linabinuatako kujamba mumkome mtt wa mwanamke mwenzenu achape kaz mijambaz mikubwa
Piga kazi kijana. Piga kazi.
Hakuna mtu anaepinga utendaji kazi ila udhalilishaji na lugha yako ndilo swala hapa. Viongozi wote wangekuwa na lugha ya udhalilishaji nchi ingekuwa ya aina gani.
Hovyo wewe
Piga kazi
Wivu hwana lolote.Hwa ndio wale wanaopewa kazi wanajikuta wako juu hwajui kusikiliza watanzania,wanabadilika kujiona wao ndio wao,ndiomana wameweza kutoa hizo kauli
Kukosea ni kawaida yetu wanadamu wote! Nyie ambao hamkosei basi si binadamu wa kawaida nyie, jichunguzeni!
Uyo mery ushuz ulimbana wajinga wenzie wanapopiga vigelegele lenyewe linabinuatako kujamba mumkome mtt wa mwanamke mwenzenu achape kaz mijambaz mikubwa
Piga kazi