Makonda mnasema anaupungufu ok sawa nakubali si mmesema bana, ila sasa china, Korea na nchi zinajitambua kuacha wanaojifnya kujua demokrasia kumbe uhuni wangempa nafasi kubwa zaid na hao watumishi ambao wanafany mmbo kama vile nchi si yakwao wote daea yao n vitamzi tuu, tujaribu na wengin ambao watakua tayari kuweka Tanzania mbele kwanza........ Piga kazi makonda kikubwa asionewe mtu haki ikatamalaki💪❤
CHAPA KAZI MH, SHERIYA MSUMENO, HAKUNA CHA KUANGALIANA USONI, TAIFA LINAKUTEGEMEA NA KUKUAMINI. MAFISADI TU NDIYO WANATAFUTA UDHAIFU WAKO WANA ARUSHA TUMEKUELEWA. UZEMBE NO.
Makonda kila sehemu anayowekwa lazima ahakikishe anawagusa wananchi, huu ndio uongozi unaotakiwa, shida unakuta jamaa anapiga kazi alafu kesho kaamishwa tena, awe tu mkuu wa mikoa yote asafishe nchi nzima, ikishindikana tumpe uraisi kabisa sijui tunakwama wapi wananchi. Hii nchi haiitaji mtu mpole bado maafisa wetu waliopewa nafasi za kuongoza wananchi wanaongoza kwa rushwa, ubadhirifu wa mali za umma na ukandamizaji wa haki za wananchi.
Makonda komaa kukomesha uzembe wa bahazi ya viongozi hakuna kitu wanacho fanya ni kula kadi zetu tu bure monduli hiyo hakuna kitu shuka kijiji cha lashaine
Mmbadilifu wa Mali ya serikali kwa makusudi au bahati mbaya hukumu iwe kifo sheria ya sasa ibadilishwe alafu muone kama kiila mtumishi wa serikali habadiliki, chukueni hii mtakuja kunishukuru kumuongoza mtu yataka ujasiri mkibwa
Mifumo ya ki undugunization ya ccm ndio imetufikisha hapa. Bila kubadilis mifumo kwa katiba mpya hata aje yesu haya hataikwisha. Akiondoka Makonda tuu mafisadi yanarudi na nguvu mpya na ari mpya, muulizeni Magu. Si ameondka tuu yakaanza na kuuza bandari alizokataa kuuza? Msipoyaondoa mafisiem kwenye madaraka mtaendelea kucheza hii ngoma
@@GibsonNtamamilo ndio ukweli huu, we cheki Wana vyo msomea makabrasha, nenda sasa kwenye utekelezaji wenyewe? Ni madudu mtindo mmoja, fuatilia utaona.
Huyu Makonda ndo mfano Bora kwa viongozi wa Tanzania Je nyie viongozi Mnafanyaje mbona hamsikiki au mnajaza matumbo na umalaya? Ndo maaana nchi imekwama sababu kumbe ni viongozi wa bovu Yani Makonda akifa nitajua HATA Magufuli ninyie😅nitawaroga
Makonda mnasema anaupungufu ok sawa nakubali si mmesema bana, ila sasa china, Korea na nchi zinajitambua kuacha wanaojifnya kujua demokrasia kumbe uhuni wangempa nafasi kubwa zaid na hao watumishi ambao wanafany mmbo kama vile nchi si yakwao wote daea yao n vitamzi tuu, tujaribu na wengin ambao watakua tayari kuweka Tanzania mbele kwanza........ Piga kazi makonda kikubwa asionewe mtu haki ikatamalaki💪❤
Father,piga kazi. Mungu akulinde ndugu yangu. Tuko pamoja
Makondaaa wewe genius upo straight wanyoookeeeee haoooo,,,,,,,kama miujizaaaa ,,,,Arushaa watakula rahaa jamani ,,,,uzembe uvivu, kazini hautakuwapo
Safi sana Mh wabane hao wana rushwa. Pia kuwa makini na hivyo vupaza sauti. Nunua chako usitumie vyao Kuna wasio kupenda kwa hii kazi 🎉🎉🎉🎉🎉
Ninaiman kabla ya kupewa kuvitumia vinapimwa kama kuna vipandikizi vya sumu
Mungu awe pamoja naww mh. Makonda
Hii ni safi sana maana kwa mtindo huu utafahamu aina ya watendaji wa mkoa na halimashauri zake.l pamoja na kuzifahamu kero za wananchi.
Big up Makonda
Jembe letu usije uka tumia kipaza sauti chakupewa. Wahuni majizi. Wala rushwa. Hawafurahii wanaweza kutegea sumu. Tuka kupoteza pls, uwemakini,, jembe letu ila nakuamia wewe una akili saba 7 kifo chamagu kilitufungua macho,
Makonda piga kazi mti wenye matunda unapigwa mawe sana usiogope mungu yupo atakulinda
Mara Pa, Mwamba huyu hapa. Nani MAKONDA😂😂😂
Makonda uko sawa tumeanza kukuelew
CHAPA KAZI MH, SHERIYA MSUMENO, HAKUNA CHA KUANGALIANA USONI, TAIFA LINAKUTEGEMEA NA KUKUAMINI. MAFISADI TU NDIYO WANATAFUTA UDHAIFU WAKO WANA ARUSHA TUMEKUELEWA. UZEMBE NO.
Uyo mwenye tumbo kubwa hap pemben ndio mwizi😂😂😂😂
kazi kazi kiongozi
Makonda kila sehemu anayowekwa lazima ahakikishe anawagusa wananchi, huu ndio uongozi unaotakiwa, shida unakuta jamaa anapiga kazi alafu kesho kaamishwa tena, awe tu mkuu wa mikoa yote asafishe nchi nzima, ikishindikana tumpe uraisi kabisa sijui tunakwama wapi wananchi. Hii nchi haiitaji mtu mpole bado maafisa wetu waliopewa nafasi za kuongoza wananchi wanaongoza kwa rushwa, ubadhirifu wa mali za umma na ukandamizaji wa haki za wananchi.
Hiv mikoa mwingine viongoz wanafanya Kaz gan🤔🤔
Nimemuona babangu
Arusha Wana bahat mnoooo
Mungu Akulinde kaka yangu mungu yupo nawewe 🤝🤝🤝🤝🤝
Huyu makonda sio bure anaakili nyingi hana papara anielekeze kwa mganga wake🙌🙌🙌
Washirikina na wachawi hawatakiwi kabisaaaa
Alu yule dada aje kusema makonda anazalilisha watumishi dada kikubwa unachikijua ni kupanua kikuma tu mku pinga kazi
😂😂😂😂 Arusha mtasema kilichomnyoa kanga manyoya!!
😅😅😅😅
Loth molel father bigup lkn
Makonda komaa kukomesha uzembe wa bahazi ya viongozi hakuna kitu wanacho fanya ni kula kadi zetu tu bure monduli hiyo hakuna kitu shuka kijiji cha lashaine
Kaka unajuwa kumbana sana
Mmbadilifu wa Mali ya serikali kwa makusudi au bahati mbaya hukumu iwe kifo sheria ya sasa ibadilishwe alafu muone kama kiila mtumishi wa serikali habadiliki, chukueni hii mtakuja kunishukuru kumuongoza mtu yataka ujasiri mkibwa
Huyu ndo kiongozi ambae amekivaa kiatu cha jembe letu hayati magufuli, samia oeeeee
😂😂😂hawakujui hao.
Mifumo ya ki undugunization ya ccm ndio imetufikisha hapa. Bila kubadilis mifumo kwa katiba mpya hata aje yesu haya hataikwisha. Akiondoka Makonda tuu mafisadi yanarudi na nguvu mpya na ari mpya, muulizeni Magu. Si ameondka tuu yakaanza na kuuza bandari alizokataa kuuza? Msipoyaondoa mafisiem kwenye madaraka mtaendelea kucheza hii ngoma
MKONDA AKIFIKA SEHEMU SASA NI KAMA WAZIRI MKUU WATUMISHI WAPIGAJI AMBAO HAWAELEWEK.
I😂😂😂😂 mjomba kaanza kujipiga mitama mwenyewe
msechu anafanya nini Arusha
Hawajasema yani mpaka waseme
Wamemchokoza teenah
Mizigo hio Bw Makondo, utakutana nayo Sana, bado. Kwenye uajibikaji vigugumizi vya kutosha, Ila Kwa upigaji WA dili za fedha za miradi kama kasuku.
😂😂😂😂 eti kama Kasuku 😂😂😂
@@GibsonNtamamilo ndio ukweli huu, we cheki Wana vyo msomea makabrasha, nenda sasa kwenye utekelezaji wenyewe? Ni madudu mtindo mmoja, fuatilia utaona.
Huyu Makonda ndo mfano Bora kwa viongozi wa Tanzania Je nyie viongozi Mnafanyaje mbona hamsikiki au mnajaza matumbo na umalaya? Ndo maaana nchi imekwama sababu kumbe ni viongozi wa bovu Yani Makonda akifa nitajua HATA Magufuli ninyie😅nitawaroga
Kazi kazi kaka wafinye kisawa sawa kaka
MAKONDA SAFIII❤❤❤
Kumekucha watanyooka hao
Afu anatokea mtu anasema makonda anadhalilisha watu shenz kabisa
Shangaa wewe ndugu yangu
Mtu anaulizwa maswali anajing'ata ng'ata,akisemeshwa kwa ukali eti anadhalilishwa mxiuuuu
Ni hatari ndugu yangu. Tumtie moyo tu huyu mwamba Makonda
Kwa kazi hii ya makonda ukute magufuri atafufuka kwa furaha aje ampe ukuu wa mikoa zote Tanzania 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 😂😂😂
Zz
Eti Naam😅😅😅hajasikia au kiwewe
soma hiyoooo (mwaniri na makonda the same )
Mwanri ni mashuhuri,Makonda sifuri
@@mataypanga5262we naye vipi
Kaka makonda uko kazini kweli bali unafanya kazi na magenge ya wapigaji
Maskini hata kujibu maswali hawajui eti wamepewa kazi kwa vyeti sasa wamesoma nn ujinga mtupu jamani
Wanyooshe kaka hakuna kuzalilisha yaani wale kodi halafu atokee mpuuzi aseme unawazalilisah waongo waongo sana haw kazi kuchezea kodi zetu
Makonda wewe ni😂kiongozi
Huyu NI magufuli kabisa yaani HUYU makonda amekivaa kiatu cha jembe letu hayati magufuli,
@@mercyzakariahKama ni Magufuli ,atapotea bila habari😂
@@mataypanga5262 daah hawakawii aisee😔
Magufuli alikuwa makini, huyu bwana mtafuta umaarufu tu@@mercyzakariah
Chuma kiko kazn saf sanaaaaaaaa piga Kaz mkuu