MAKONDA AWABANANISHA WASIMAMIZI wa UJENZI wa HOSPITALI ya WILAYA MONDULI ARUSHA,.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 май 2024

Комментарии • 60

  • @luckyhardson18
    @luckyhardson18 21 день назад +8

    Makonda mnasema anaupungufu ok sawa nakubali si mmesema bana, ila sasa china, Korea na nchi zinajitambua kuacha wanaojifnya kujua demokrasia kumbe uhuni wangempa nafasi kubwa zaid na hao watumishi ambao wanafany mmbo kama vile nchi si yakwao wote daea yao n vitamzi tuu, tujaribu na wengin ambao watakua tayari kuweka Tanzania mbele kwanza........ Piga kazi makonda kikubwa asionewe mtu haki ikatamalaki💪❤

  • @aminielyusufu4351
    @aminielyusufu4351 21 день назад +6

    Father,piga kazi. Mungu akulinde ndugu yangu. Tuko pamoja

  • @user-rk5jf2lq3h
    @user-rk5jf2lq3h 21 день назад +5

    Makondaaa wewe genius upo straight wanyoookeeeee haoooo,,,,,,,kama miujizaaaa ,,,,Arushaa watakula rahaa jamani ,,,,uzembe uvivu, kazini hautakuwapo

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 21 день назад +6

    Safi sana Mh wabane hao wana rushwa. Pia kuwa makini na hivyo vupaza sauti. Nunua chako usitumie vyao Kuna wasio kupenda kwa hii kazi 🎉🎉🎉🎉🎉

    • @SAMPonda
      @SAMPonda 21 день назад

      Ninaiman kabla ya kupewa kuvitumia vinapimwa kama kuna vipandikizi vya sumu

  • @user-jf1sq7lk4g
    @user-jf1sq7lk4g 21 день назад +3

    Mungu awe pamoja naww mh. Makonda

  • @emmanuelmunuo7529
    @emmanuelmunuo7529 21 день назад +1

    Hii ni safi sana maana kwa mtindo huu utafahamu aina ya watendaji wa mkoa na halimashauri zake.l pamoja na kuzifahamu kero za wananchi.
    Big up Makonda

  • @mercyzakariah
    @mercyzakariah 21 день назад +8

    Jembe letu usije uka tumia kipaza sauti chakupewa. Wahuni majizi. Wala rushwa. Hawafurahii wanaweza kutegea sumu. Tuka kupoteza pls, uwemakini,, jembe letu ila nakuamia wewe una akili saba 7 kifo chamagu kilitufungua macho,

  • @kiwalejaphett5846
    @kiwalejaphett5846 21 день назад +6

    Makonda piga kazi mti wenye matunda unapigwa mawe sana usiogope mungu yupo atakulinda

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 21 день назад +2

    Mara Pa, Mwamba huyu hapa. Nani MAKONDA😂😂😂

  • @ChristianSebastian-rh2fq
    @ChristianSebastian-rh2fq 21 день назад +2

    Makonda uko sawa tumeanza kukuelew

  • @user-mc3du2rz8l
    @user-mc3du2rz8l 21 день назад +1

    CHAPA KAZI MH, SHERIYA MSUMENO, HAKUNA CHA KUANGALIANA USONI, TAIFA LINAKUTEGEMEA NA KUKUAMINI. MAFISADI TU NDIYO WANATAFUTA UDHAIFU WAKO WANA ARUSHA TUMEKUELEWA. UZEMBE NO.

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in 20 дней назад +1

    Uyo mwenye tumbo kubwa hap pemben ndio mwizi😂😂😂😂

  • @emanuelmwakikono3702
    @emanuelmwakikono3702 20 дней назад +1

    kazi kazi kiongozi

  • @theempire4058
    @theempire4058 21 день назад +3

    Makonda kila sehemu anayowekwa lazima ahakikishe anawagusa wananchi, huu ndio uongozi unaotakiwa, shida unakuta jamaa anapiga kazi alafu kesho kaamishwa tena, awe tu mkuu wa mikoa yote asafishe nchi nzima, ikishindikana tumpe uraisi kabisa sijui tunakwama wapi wananchi. Hii nchi haiitaji mtu mpole bado maafisa wetu waliopewa nafasi za kuongoza wananchi wanaongoza kwa rushwa, ubadhirifu wa mali za umma na ukandamizaji wa haki za wananchi.

  • @japhetaverin-ou9rp
    @japhetaverin-ou9rp 21 день назад +2

    Hiv mikoa mwingine viongoz wanafanya Kaz gan🤔🤔

  • @wilsonmollel4317
    @wilsonmollel4317 21 день назад +1

    Nimemuona babangu

  • @personalitiesan9806
    @personalitiesan9806 21 день назад +3

    Arusha Wana bahat mnoooo

  • @EmmanuelRazalo-qz5cr
    @EmmanuelRazalo-qz5cr 21 день назад +3

    Mungu Akulinde kaka yangu mungu yupo nawewe 🤝🤝🤝🤝🤝

  • @golebenson4597
    @golebenson4597 21 день назад +1

    Huyu makonda sio bure anaakili nyingi hana papara anielekeze kwa mganga wake🙌🙌🙌

  • @saiditasher8362
    @saiditasher8362 21 день назад +1

    Alu yule dada aje kusema makonda anazalilisha watumishi dada kikubwa unachikijua ni kupanua kikuma tu mku pinga kazi

  • @jacobmakono4399
    @jacobmakono4399 21 день назад +1

    😂😂😂😂 Arusha mtasema kilichomnyoa kanga manyoya!!

  • @wilsonmollel4317
    @wilsonmollel4317 21 день назад

    Loth molel father bigup lkn

  • @LekuleKipuyo-gk4rq
    @LekuleKipuyo-gk4rq 19 дней назад

    Makonda komaa kukomesha uzembe wa bahazi ya viongozi hakuna kitu wanacho fanya ni kula kadi zetu tu bure monduli hiyo hakuna kitu shuka kijiji cha lashaine

  • @EmmanuelRazalo-qz5cr
    @EmmanuelRazalo-qz5cr 21 день назад +3

    Kaka unajuwa kumbana sana

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 20 дней назад

    Mmbadilifu wa Mali ya serikali kwa makusudi au bahati mbaya hukumu iwe kifo sheria ya sasa ibadilishwe alafu muone kama kiila mtumishi wa serikali habadiliki, chukueni hii mtakuja kunishukuru kumuongoza mtu yataka ujasiri mkibwa

  • @mercyzakariah
    @mercyzakariah 21 день назад +5

    Huyu ndo kiongozi ambae amekivaa kiatu cha jembe letu hayati magufuli, samia oeeeee

  • @user-gx4jx4gv9l
    @user-gx4jx4gv9l 21 день назад

    😂😂😂hawakujui hao.

  • @rendiman2878
    @rendiman2878 21 день назад

    Mifumo ya ki undugunization ya ccm ndio imetufikisha hapa. Bila kubadilis mifumo kwa katiba mpya hata aje yesu haya hataikwisha. Akiondoka Makonda tuu mafisadi yanarudi na nguvu mpya na ari mpya, muulizeni Magu. Si ameondka tuu yakaanza na kuuza bandari alizokataa kuuza? Msipoyaondoa mafisiem kwenye madaraka mtaendelea kucheza hii ngoma

  • @AllyMaya-yj3xd
    @AllyMaya-yj3xd 21 день назад +1

    MKONDA AKIFIKA SEHEMU SASA NI KAMA WAZIRI MKUU WATUMISHI WAPIGAJI AMBAO HAWAELEWEK.
    I😂😂😂😂 mjomba kaanza kujipiga mitama mwenyewe

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 21 день назад

    msechu anafanya nini Arusha

  • @athumanimawela3021
    @athumanimawela3021 21 день назад

    Hawajasema yani mpaka waseme

  • @kilimoufugajipesatv5751
    @kilimoufugajipesatv5751 21 день назад

    Wamemchokoza teenah

  • @Kidd11168
    @Kidd11168 21 день назад

    Mizigo hio Bw Makondo, utakutana nayo Sana, bado. Kwenye uajibikaji vigugumizi vya kutosha, Ila Kwa upigaji WA dili za fedha za miradi kama kasuku.

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo 21 день назад

      😂😂😂😂 eti kama Kasuku 😂😂😂

    • @Kidd11168
      @Kidd11168 21 день назад

      @@GibsonNtamamilo ndio ukweli huu, we cheki Wana vyo msomea makabrasha, nenda sasa kwenye utekelezaji wenyewe? Ni madudu mtindo mmoja, fuatilia utaona.

  • @juliusjoseph6320
    @juliusjoseph6320 19 дней назад

    Huyu Makonda ndo mfano Bora kwa viongozi wa Tanzania Je nyie viongozi Mnafanyaje mbona hamsikiki au mnajaza matumbo na umalaya? Ndo maaana nchi imekwama sababu kumbe ni viongozi wa bovu Yani Makonda akifa nitajua HATA Magufuli ninyie😅nitawaroga

  • @EmmanuelRazalo-qz5cr
    @EmmanuelRazalo-qz5cr 21 день назад

    Kazi kazi kaka wafinye kisawa sawa kaka

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 21 день назад +1

    MAKONDA SAFIII❤❤❤

  • @petrobathorimeo639
    @petrobathorimeo639 21 день назад

    Kumekucha watanyooka hao

  • @lanezboy7016
    @lanezboy7016 21 день назад +1

    Afu anatokea mtu anasema makonda anadhalilisha watu shenz kabisa

    • @irenembise541
      @irenembise541 21 день назад

      Shangaa wewe ndugu yangu
      Mtu anaulizwa maswali anajing'ata ng'ata,akisemeshwa kwa ukali eti anadhalilishwa mxiuuuu

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo 21 день назад

      Ni hatari ndugu yangu. Tumtie moyo tu huyu mwamba Makonda

  • @user-oj3lv6et4n
    @user-oj3lv6et4n 21 день назад

    Kwa kazi hii ya makonda ukute magufuri atafufuka kwa furaha aje ampe ukuu wa mikoa zote Tanzania 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 😂😂😂

  • @user-mc3du2rz8l
    @user-mc3du2rz8l 21 день назад

    Zz

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 21 день назад +1

    Eti Naam😅😅😅hajasikia au kiwewe

  • @yaredyndaga6483
    @yaredyndaga6483 21 день назад +1

    soma hiyoooo (mwaniri na makonda the same )

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 21 день назад

    Kaka makonda uko kazini kweli bali unafanya kazi na magenge ya wapigaji

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 21 день назад +1

    Maskini hata kujibu maswali hawajui eti wamepewa kazi kwa vyeti sasa wamesoma nn ujinga mtupu jamani

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 21 день назад +2

    Wanyooshe kaka hakuna kuzalilisha yaani wale kodi halafu atokee mpuuzi aseme unawazalilisah waongo waongo sana haw kazi kuchezea kodi zetu

  • @britonkanumba6828
    @britonkanumba6828 21 день назад +2

    Makonda wewe ni😂kiongozi

    • @mercyzakariah
      @mercyzakariah 21 день назад +2

      Huyu NI magufuli kabisa yaani HUYU makonda amekivaa kiatu cha jembe letu hayati magufuli,

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 21 день назад

      ​@@mercyzakariahKama ni Magufuli ,atapotea bila habari😂

    • @irenembise541
      @irenembise541 21 день назад

      @@mataypanga5262 daah hawakawii aisee😔

    • @petersilas4234
      @petersilas4234 21 день назад

      Magufuli alikuwa makini, huyu bwana mtafuta umaarufu tu​@@mercyzakariah

  • @asajileraphael1951
    @asajileraphael1951 21 день назад

    Chuma kiko kazn saf sanaaaaaaaa piga Kaz mkuu