Makonda mnasema anaupungufu ok sawa nakubali si mmesema bana, ila sasa china, Korea na nchi zinajitambua kuacha wanaojifnya kujua demokrasia kumbe uhuni wangempa nafasi kubwa zaid na hao watumishi ambao wanafany mmbo kama vile nchi si yakwao wote daea yao n vitamzi tuu, tujaribu na wengin ambao watakua tayari kuweka Tanzania mbele kwanza........ Piga kazi makonda kikubwa asionewe mtu haki ikatamalaki💪❤
CHAPA KAZI MH, SHERIYA MSUMENO, HAKUNA CHA KUANGALIANA USONI, TAIFA LINAKUTEGEMEA NA KUKUAMINI. MAFISADI TU NDIYO WANATAFUTA UDHAIFU WAKO WANA ARUSHA TUMEKUELEWA. UZEMBE NO.
Makonda kila sehemu anayowekwa lazima ahakikishe anawagusa wananchi, huu ndio uongozi unaotakiwa, shida unakuta jamaa anapiga kazi alafu kesho kaamishwa tena, awe tu mkuu wa mikoa yote asafishe nchi nzima, ikishindikana tumpe uraisi kabisa sijui tunakwama wapi wananchi. Hii nchi haiitaji mtu mpole bado maafisa wetu waliopewa nafasi za kuongoza wananchi wanaongoza kwa rushwa, ubadhirifu wa mali za umma na ukandamizaji wa haki za wananchi.
Makonda komaa kukomesha uzembe wa bahazi ya viongozi hakuna kitu wanacho fanya ni kula kadi zetu tu bure monduli hiyo hakuna kitu shuka kijiji cha lashaine
Huyu Makonda ndo mfano Bora kwa viongozi wa Tanzania Je nyie viongozi Mnafanyaje mbona hamsikiki au mnajaza matumbo na umalaya? Ndo maaana nchi imekwama sababu kumbe ni viongozi wa bovu Yani Makonda akifa nitajua HATA Magufuli ninyie😅nitawaroga
Mifumo ya ki undugunization ya ccm ndio imetufikisha hapa. Bila kubadilis mifumo kwa katiba mpya hata aje yesu haya hataikwisha. Akiondoka Makonda tuu mafisadi yanarudi na nguvu mpya na ari mpya, muulizeni Magu. Si ameondka tuu yakaanza na kuuza bandari alizokataa kuuza? Msipoyaondoa mafisiem kwenye madaraka mtaendelea kucheza hii ngoma
Mmbadilifu wa Mali ya serikali kwa makusudi au bahati mbaya hukumu iwe kifo sheria ya sasa ibadilishwe alafu muone kama kiila mtumishi wa serikali habadiliki, chukueni hii mtakuja kunishukuru kumuongoza mtu yataka ujasiri mkibwa
@@GibsonNtamamilo ndio ukweli huu, we cheki Wana vyo msomea makabrasha, nenda sasa kwenye utekelezaji wenyewe? Ni madudu mtindo mmoja, fuatilia utaona.
Makonda mnasema anaupungufu ok sawa nakubali si mmesema bana, ila sasa china, Korea na nchi zinajitambua kuacha wanaojifnya kujua demokrasia kumbe uhuni wangempa nafasi kubwa zaid na hao watumishi ambao wanafany mmbo kama vile nchi si yakwao wote daea yao n vitamzi tuu, tujaribu na wengin ambao watakua tayari kuweka Tanzania mbele kwanza........ Piga kazi makonda kikubwa asionewe mtu haki ikatamalaki💪❤
Makondaaa wewe genius upo straight wanyoookeeeee haoooo,,,,,,,kama miujizaaaa ,,,,Arushaa watakula rahaa jamani ,,,,uzembe uvivu, kazini hautakuwapo
Father,piga kazi. Mungu akulinde ndugu yangu. Tuko pamoja
Mungu awe pamoja naww mh. Makonda
Jembe letu usije uka tumia kipaza sauti chakupewa. Wahuni majizi. Wala rushwa. Hawafurahii wanaweza kutegea sumu. Tuka kupoteza pls, uwemakini,, jembe letu ila nakuamia wewe una akili saba 7 kifo chamagu kilitufungua macho,
Safi sana Mh wabane hao wana rushwa. Pia kuwa makini na hivyo vupaza sauti. Nunua chako usitumie vyao Kuna wasio kupenda kwa hii kazi 🎉🎉🎉🎉🎉
Ninaiman kabla ya kupewa kuvitumia vinapimwa kama kuna vipandikizi vya sumu
Makonda piga kazi mti wenye matunda unapigwa mawe sana usiogope mungu yupo atakulinda
Mara Pa, Mwamba huyu hapa. Nani MAKONDA😂😂😂
Makonda uko sawa tumeanza kukuelew
Hii ni safi sana maana kwa mtindo huu utafahamu aina ya watendaji wa mkoa na halimashauri zake.l pamoja na kuzifahamu kero za wananchi.
Big up Makonda
kazi kazi kiongozi
Arusha Wana bahat mnoooo
CHAPA KAZI MH, SHERIYA MSUMENO, HAKUNA CHA KUANGALIANA USONI, TAIFA LINAKUTEGEMEA NA KUKUAMINI. MAFISADI TU NDIYO WANATAFUTA UDHAIFU WAKO WANA ARUSHA TUMEKUELEWA. UZEMBE NO.
Makonda kila sehemu anayowekwa lazima ahakikishe anawagusa wananchi, huu ndio uongozi unaotakiwa, shida unakuta jamaa anapiga kazi alafu kesho kaamishwa tena, awe tu mkuu wa mikoa yote asafishe nchi nzima, ikishindikana tumpe uraisi kabisa sijui tunakwama wapi wananchi. Hii nchi haiitaji mtu mpole bado maafisa wetu waliopewa nafasi za kuongoza wananchi wanaongoza kwa rushwa, ubadhirifu wa mali za umma na ukandamizaji wa haki za wananchi.
Uyo mwenye tumbo kubwa hap pemben ndio mwizi😂😂😂😂
Nimemuona babangu
Huyu ndo kiongozi ambae amekivaa kiatu cha jembe letu hayati magufuli, samia oeeeee
Mungu Akulinde kaka yangu mungu yupo nawewe 🤝🤝🤝🤝🤝
Hiv mikoa mwingine viongoz wanafanya Kaz gan🤔🤔
Huyu makonda sio bure anaakili nyingi hana papara anielekeze kwa mganga wake🙌🙌🙌
Washirikina na wachawi hawatakiwi kabisaaaa
Makonda komaa kukomesha uzembe wa bahazi ya viongozi hakuna kitu wanacho fanya ni kula kadi zetu tu bure monduli hiyo hakuna kitu shuka kijiji cha lashaine
Alu yule dada aje kusema makonda anazalilisha watumishi dada kikubwa unachikijua ni kupanua kikuma tu mku pinga kazi
Kaka unajuwa kumbana sana
😂😂😂😂 Arusha mtasema kilichomnyoa kanga manyoya!!
😅😅😅😅
Huyu Makonda ndo mfano Bora kwa viongozi wa Tanzania Je nyie viongozi Mnafanyaje mbona hamsikiki au mnajaza matumbo na umalaya? Ndo maaana nchi imekwama sababu kumbe ni viongozi wa bovu Yani Makonda akifa nitajua HATA Magufuli ninyie😅nitawaroga
😂😂😂hawakujui hao.
Mifumo ya ki undugunization ya ccm ndio imetufikisha hapa. Bila kubadilis mifumo kwa katiba mpya hata aje yesu haya hataikwisha. Akiondoka Makonda tuu mafisadi yanarudi na nguvu mpya na ari mpya, muulizeni Magu. Si ameondka tuu yakaanza na kuuza bandari alizokataa kuuza? Msipoyaondoa mafisiem kwenye madaraka mtaendelea kucheza hii ngoma
Loth molel father bigup lkn
Mmbadilifu wa Mali ya serikali kwa makusudi au bahati mbaya hukumu iwe kifo sheria ya sasa ibadilishwe alafu muone kama kiila mtumishi wa serikali habadiliki, chukueni hii mtakuja kunishukuru kumuongoza mtu yataka ujasiri mkibwa
MKONDA AKIFIKA SEHEMU SASA NI KAMA WAZIRI MKUU WATUMISHI WAPIGAJI AMBAO HAWAELEWEK.
I😂😂😂😂 mjomba kaanza kujipiga mitama mwenyewe
Wamemchokoza teenah
Kazi kazi kaka wafinye kisawa sawa kaka
Hawajasema yani mpaka waseme
msechu anafanya nini Arusha
MAKONDA SAFIII❤❤❤
Kumekucha watanyooka hao
Eti Naam😅😅😅hajasikia au kiwewe
Kwa kazi hii ya makonda ukute magufuri atafufuka kwa furaha aje ampe ukuu wa mikoa zote Tanzania 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 😂😂😂
Mizigo hio Bw Makondo, utakutana nayo Sana, bado. Kwenye uajibikaji vigugumizi vya kutosha, Ila Kwa upigaji WA dili za fedha za miradi kama kasuku.
😂😂😂😂 eti kama Kasuku 😂😂😂
@@GibsonNtamamilo ndio ukweli huu, we cheki Wana vyo msomea makabrasha, nenda sasa kwenye utekelezaji wenyewe? Ni madudu mtindo mmoja, fuatilia utaona.
Zz
Afu anatokea mtu anasema makonda anadhalilisha watu shenz kabisa
Shangaa wewe ndugu yangu
Mtu anaulizwa maswali anajing'ata ng'ata,akisemeshwa kwa ukali eti anadhalilishwa mxiuuuu
Ni hatari ndugu yangu. Tumtie moyo tu huyu mwamba Makonda
Kaka makonda uko kazini kweli bali unafanya kazi na magenge ya wapigaji
Wanyooshe kaka hakuna kuzalilisha yaani wale kodi halafu atokee mpuuzi aseme unawazalilisah waongo waongo sana haw kazi kuchezea kodi zetu
soma hiyoooo (mwaniri na makonda the same )
Mwanri ni mashuhuri,Makonda sifuri
@@mataypanga5262we naye vipi
Maskini hata kujibu maswali hawajui eti wamepewa kazi kwa vyeti sasa wamesoma nn ujinga mtupu jamani
Makonda wewe ni😂kiongozi
Huyu NI magufuli kabisa yaani HUYU makonda amekivaa kiatu cha jembe letu hayati magufuli,
@@mercyzakariahKama ni Magufuli ,atapotea bila habari😂
@@mataypanga5262 daah hawakawii aisee😔
Magufuli alikuwa makini, huyu bwana mtafuta umaarufu tu@@mercyzakariah
Chuma kiko kazn saf sanaaaaaaaa piga Kaz mkuu