MAKONDA AKASIRIKA-"MWEKAHAZINA NI NINAOMBA UNIAMBIE BILIONI 4 Za MRADI Ziko WAPI NAWAPIGA SPANA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 май 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 70

  • @dubariz_mic_killa
    @dubariz_mic_killa 23 дня назад +4

    Mji wa Arusha umepata mganga wake wagonjwa wapo kibaaao,Mungu amlinde kwenye utatuzi wa kero za wananch wake Makonda ni mwamba❤❤❤❤❤🇹🇿🎤

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 24 дня назад +6

    Makonda be blessed,wakuu wa mikoa mingine waige mfano wa makonda,

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania 24 дня назад +18

    Yaan Makonda utanimalizia pesa muda wote natamani nikuckilize

    • @BuruhaniKitomozi-gb7fb
      @BuruhaniKitomozi-gb7fb 24 дня назад +2

      Asee mimi ni wakwanza mwenyewe kanimalizianyingisana kilamuda niponaenafyatilia

    • @istambulahmed6664
      @istambulahmed6664 24 дня назад +2

      Hata mimi sijui nifanyeje maana nashindwa kujizuia

    • @laurian27
      @laurian27 24 дня назад +1

      Nimeingia mkataba na mwarabh mmoja jirani mwisho wa mwez namlipa elfu 28 kwaajil ya WI-FI, kisa makonda ayseee daaaah?!

    • @jumamustapha8254
      @jumamustapha8254 24 дня назад

      Hata mimi bando langu linaishia kwake.

  • @sosmakanya4901
    @sosmakanya4901 24 дня назад +7

    RAIS NAKUOMBA MAKONDA AWE MKUU WA MIKOA YOTE YA TANZANIA ILI AWEZE KUKUSAIDIA KAZI

  • @babalevinerlameki5425
    @babalevinerlameki5425 24 дня назад +16

    Makonda the future president from god, makonda I see you fare we are waiting you one day

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 24 дня назад +7

    Muongo huyo hawakuombei, sisi wa hali ya chini ndio tunakuombea makonda wetu

  • @ernestaassenga9646
    @ernestaassenga9646 24 дня назад +2

    Mh,Mama Samia Raisi wetu umetishaaa!! Tutafutie makonda wengine kama huyu mama plse

  • @EmanuelMinja-fv9dn
    @EmanuelMinja-fv9dn 24 дня назад +4

    Tunakuomba makonda wew ni role model wa magufuli usiwe chawa wa yeyote

  • @Mpendahaki
    @Mpendahaki 24 дня назад +2

    Huyu rais makonda anachapa kazi vizuri sana

  • @jbdedon
    @jbdedon 24 дня назад +7

    Wasafi bana kila mnachokiandika sicho kinachozungumzwa daaah mnaboa

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa 23 дня назад

      Yaan hawa wana asiri ya kaumbea mbea tu

  • @furahinimbise7969
    @furahinimbise7969 23 дня назад +1

    Makonda unanimalizia bando👏👏

  • @Damian-tt8fv
    @Damian-tt8fv 24 дня назад +2

    Wote wanaohusika kuanzia Mkurugenzi na wa chini yake wachukuliwe hatua akili zao zimeganda zimedumaa haziwezi kuchakata mambo. Wanapwaya kwenye nafasi zao wakachunge ng'ombe

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 24 дня назад +3

    Wapigaji hao nakumbuka magufuli wetu arkuwa haxhereweshi

  • @ipepeetube449
    @ipepeetube449 24 дня назад +1

    Njoo Nyamongo utusaidie tukwisha kaka tarime

  • @mohamedali7544
    @mohamedali7544 24 дня назад +2

    Hela iko fix deposit wanakula

  • @lilianmosha-ph3mp
    @lilianmosha-ph3mp 6 дней назад

    Huyu no mtetez was wanyonge Sina chakukupa Ila nakuombea Manisha marefu uzid kutusaidia

  • @jacobletema3681
    @jacobletema3681 24 дня назад +4

    Mh. Makonda tunaomba utuazime na sisi hizo spana huku kwetu kwa angalau wiki mbili

  • @JosephMargareth
    @JosephMargareth 24 дня назад +1

    Spana, Spana, naona Ndita kwenye nyuso!

  • @user-ij2lp1om6i
    @user-ij2lp1om6i 24 дня назад +1

    Huyu awe waziri mkuu hata kwa miezi mi3

  • @eleonorashirima1604
    @eleonorashirima1604 24 дня назад +2

    Dhu pitia na vyeti vyao mkuu

  • @RafaelNelson-ye3jk
    @RafaelNelson-ye3jk 21 день назад

    Hizo bila Makonda zingepigwa

  • @DeboraNyari
    @DeboraNyari 24 дня назад +2

    Mtego una andaliwa

  • @mohamedali7544
    @mohamedali7544 24 дня назад +2

    Hawa wanahujumu chamaa cha CCM mjini Arusha

  • @EmanuelMinja-fv9dn
    @EmanuelMinja-fv9dn 24 дня назад +1

    Makonda Kuna waliosoma huku mtaan achana hao wababaishaji

  • @bizzyjunior_tz
    @bizzyjunior_tz 24 дня назад +2

    🌟🌟🌟

  • @rajabmwasangala5472
    @rajabmwasangala5472 24 дня назад

    Walio wengi wana chukina hao ndio wezi wakubwa wa Nchi hii,na hawawezi wakampenda Makonda na ndio maana wanamtafutia kila chanzo ili wamg'oe sehemu hiyo ya Mkuu wa Mkoa, nawaomba wana Arusha msikubali kuipoteza baati hiyo.

  • @mohamedali7544
    @mohamedali7544 24 дня назад +1

    Wanaweka fix deposit wakila interest

  • @eleonorashirima1604
    @eleonorashirima1604 24 дня назад

    Mheshimiwa makonda nakwambia ondoeni wote ajirini wengine Kuna wasomomi wengine jamani wapeni na wototo wetu hao wamwsharidhika

  • @mybrain8940
    @mybrain8940 21 день назад

    Shida ya sabaya ni mafujo but good central forward 😂😂

  • @chrismassawe2939
    @chrismassawe2939 22 дня назад

    Ni hatari

  • @user-xn8jh1yw1h
    @user-xn8jh1yw1h 23 дня назад

    Asituchanganye. Ndiyo maana kila mwaka wa serikali kuna Budget yake. Kama pesa ipo kwa nini kazi isifanyike?

  • @kelvinmboya5846
    @kelvinmboya5846 23 дня назад

    😢😢

  • @eleonorashirima1604
    @eleonorashirima1604 24 дня назад

    Dhu pitia na vyeti vyao vipo sawa kwanza wengine wamezeeka anagalia mkuu kagua hivyo vyeti jamani

  • @saadatiyahyashabani-yg2xy
    @saadatiyahyashabani-yg2xy 22 дня назад

    Muwekeni sabaya awe mkuu wa wilaya

  • @selinakatega6691
    @selinakatega6691 24 дня назад +3

    Niko napanga mabegi apa niende zangu arusha Uko ela ipo jamani 😂😂

    • @irenembise541
      @irenembise541 24 дня назад

      😃😃 karibu

    • @SadaKigwangala
      @SadaKigwangala 9 дней назад

      😅😅😅😅😅😅sawa mm nyuma❤❤❤❤

    • @SadaKigwangala
      @SadaKigwangala 9 дней назад

      Mm nabeba na godoro😂😂😂😂😂😂😂

  • @fulgenceoswald3866
    @fulgenceoswald3866 24 дня назад

    Kuna mda hata hao wakuu wa Wilaya wanazingua Mama Samia tumbua hawa wapo kwenye mamlaka yako

  • @SofiaMvungi-zu5tg
    @SofiaMvungi-zu5tg 23 дня назад

    Watumishi wenye roho mbaya wanakalia pesa kisa uzembe tu kujichubua tu hata sura haing,ai

  • @FedyKafyulilo-iz2nw
    @FedyKafyulilo-iz2nw 23 дня назад

    Cku hizi bando anakula makonda hasa zangu maana cwez lala bila kumfuatilia

  • @jumamustapha8254
    @jumamustapha8254 24 дня назад

    Hela hizo mkuu, huwa wanaziweka fiksi akaunti zinazalishwa kisha faida wanachukuwa wao pumbavu hawa.

  • @WilsonOmbati-jc6ll
    @WilsonOmbati-jc6ll 23 дня назад

    Tunataka mtu kama uyo Kenya

  • @yothamgwanika9530
    @yothamgwanika9530 23 дня назад

    Kuna ubaya wengine kuigaaa hivi. Et wakuu wa mikoa

  • @eleonorashirima1604
    @eleonorashirima1604 24 дня назад

    Hawa watu wanapeana kijiti Kwa mtu aliyesoma hawezi kufanya hayo madudu

  • @godfreymasanja354
    @godfreymasanja354 23 дня назад

    Haya ni matatizo ya halmashauri zote janjajanja nyingi

  • @yhasintakalenyula970
    @yhasintakalenyula970 24 дня назад +1

    😂😂😂😂....Nimecheka hapo kwenye maombi😂😂😂😂

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa 23 дня назад

      Apooo moyoni wanajua waoo na mungu wao!

  • @muziki228
    @muziki228 23 дня назад

    NANI KASIKIA WATUKOPESHE 😂😂😂

  • @baishibybaishi5782
    @baishibybaishi5782 21 день назад

    Mshimiwa raisi nakuomba ikikupedeza mchague makonda awe mkuu wamiko ya Tanzania yote Huku chini kunamadudu megi sana

  • @Happizo
    @Happizo 24 дня назад +1

    😢Arusha inanuka rushwa na ni jiji la kitalii..

  • @josphatnduati7868
    @josphatnduati7868 23 дня назад

    makonda siku moja awe raisi wa watazania.

  • @josephatemmanuel458
    @josephatemmanuel458 23 дня назад

    Walikuwa wajiandaa kuzipiga

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 24 дня назад

    😅😅😅😅ilo dua siyo mkuu 😂

  • @lilianmosha-ph3mp
    @lilianmosha-ph3mp 6 дней назад

    Makonda anafaa kuwa raisi anawanyoosha mafisad

  • @user-fu3hn1ms2j
    @user-fu3hn1ms2j 24 дня назад +2

    Lakini nani anawateuwa Hawa watu

    • @wadhhasuleiman2621
      @wadhhasuleiman2621 24 дня назад

      Bro Kila mtu ale Kwa urefu WA kamba Yake huko juu tunaliwa vibaya pia Samia anaweka pesa nje yote Bandar imetolewa

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 24 дня назад +1

    Wapigaji na wala rushwa wameiteka Arusha.

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 23 дня назад +2

    Wajinga wengi wako kundi la wasomi

  • @raymondmbassa1247
    @raymondmbassa1247 24 дня назад +2

    😅😅😅😅😅

  • @eliasinnocent6229
    @eliasinnocent6229 21 день назад

    Hiv kweli jaman mbn sisi tukiwa tunatoa Hela zetu za Kodi hawasikilizi kelo tukavumiliwa iweje wao Hela zetu ziwe na changamoto za kimfumo

  • @lilianmosha-ph3mp
    @lilianmosha-ph3mp 6 дней назад

    Huyu no mtetez was wanyonge Sina chakukupa Ila nakuombea Manisha marefu uzid kutusaidia