RC Makonda: Wewe Niliagiza Ukamatwe Mbona Uko Hapa, Kuanzia Sssa Upo Chini ya Ulinzi, OCD Fanya H..
HTML-код
- Опубликовано: 27 май 2024
- RC Makonda: Wewe Niliagiza Ukamatwe Mbona Uko Hapa, Kuanzia Sssa Upo Chini ya Ulinzi, OCD Fanya H..
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
#rcmakondaarumeru
#ARUSHAYASIMAMA #MKASAWAKUSIKITISHA #RCMAKONDA #rcmakondamonduli #rcmakondamonduli #MAKONDALIVE #makonda #makondaleo #makondakaratu #karatu Развлечения
Anaemiubali mkuu wetu po makonda aweke like nyingi hapa na tutahakikisha tunamuomba mama samia atuachie makonda weetu awe arusha miaka yoooote
Ikifika wakati raia nchi mzima wakamchukulie form. Mtandao wala pesa hawezi kumwachia agombee labda kwa shinikizo la raia. Makonda bado anayo kazi ya kuonyesha ili tumwamini. Lazima hahakishe mifumo ya mamlaka ya raia inafanya kazi. Tangia ngazi ya mtaa mpaka ngazi ya mkoa. Aonnyeshe ushirikikiano na raia kuinua mapato, afya, elimu na uchumi wa watu kwanza.
Makonda ni mtu na Nusu
Kwakweli makonda yuko juu safi sana
Mungu wa mbinguni aendelee kumbaliki huyu mheshimiwa makonda 🎉🎉
Nyie mnaosema watu wanaaibishwa kwanini sasa wanaiba hela za kuwahudumia wananchi? Waache wizi basi!!?
makonda arusha itakuwa kama peponi🙏🙏
Mr. Makonda you're a good man
Mungu a2pe uzima namuona makonda akiwa rais wa jamhur ya muungano wa Tanzania!!
JPM aendelee kupumzika kwa amani. Angekuwepo huyu jamaa angefika mbali sana. Tatizo ni kwamba wapenda haki huwa hawapewi nafasi ya kudili na papa walio chini ya kina cha bahari.
Viongozi wote wa Nchi hii wangekua kama Makonda watu wangenyooka
Inanikumbusha waziri mkuu sokoine na mambo ya ndani mrema na mkuu wa mkoa makonda hongereni sana na mnataji mbinguni kwa kazi ya haki mtendayo
Tunakuombea kwa mungu akujalie maisha marefu amina
CCM mliyo wezi mtanyooka kwa kazi ya Makonda
Uyu makondo uyo we nyie me naona raha wale spana awa jamaa mungu muongoze makonda
huyu kweli ni mtoto wa magufuli!
Mzee wa spana nakukubali balaa
😂😂😂😂😂😂😂
Safi sana makonda,ila nchi hii na viongozi wa juu wanapiga michogo je wao wanashugulikiwa na nani.sio kudili na watumishi wadogo huku wakubwa wanapiga michongo bila kuguswa
Apewe uraisi jamaa
Kila kukicha nakuombea kwa mungu akutunze na akuongoze uje kua rais wa nchi hi makamu wako aje kua jeli silaa kwani kwani mnajitoa sana kwa wananchi mungu awalinde
Hongera Makonda,wakuu wa mikoa wote wangekuwa kama wewe,Rais angepumua angeifurahia nchi anayoiongoza
Kabsa
Makonda makonda makonda
Watakulogaaaa!!!
Mungu akulinde,watu kama wewe wanachukiwana mabebero
mipolisi kazi yao kushika wanyonge tuu ao
Ni police, si mi police, hawa ni watoto wetu, wake au waume wetu na ni raia wenzentu na jamii au taifa linahaja nao, hawako kwa akili yao wenyewe. Kama wana mapungu wao kama sehemu yetu, basi wao ni kama kioo. Wao kama kioo wanatusadia tujione wenyewe. Lazima tujenge uwezo wa kufikiri zaidi. Kila kona tunasikia mambo ambayo hayasitahiri.
Ma Police ni Waadilifu wanao waharibia Uwadilifu ni Raia wenyewe
@@angellomarcel5677 Ndiyo na wakati mwingine mtu au raia anakwenda kituoni na pesa ili kumkomoa mwezaie. Na mara nyingi utasikia utanitambua. Ukifuatilia mfano Makonda unaona raia wenyewe tuna shida ya kunyanyasa kwa makusudi. Jamani maovu ni sisi wenyewe, hawa ni kioo tu cha kujiangalia. Ni sisi. Kipi ambacho hakitokani nasi. Kuna mambo ukiyatafari unalia mwenyewe kama vile ule wimbo wa machozi ya samaki. Tz haijulikani kama tunajua wote kwamba tunahitaji maendeleo. Na maendeleo hayana Dede au Lele mama. Kungetambua wote leo. Tusingecheleweshana hivi. Tungejiohoji kirafiki sana Kwa sera, hi na hi inafuaa au la. Kitabu cha Wimbo wa Lawino. Shairi Mbogo wa Umaskini anapoanguka. Mwenye kisu kikali anakata nyama kubwa. Tunakabiliwa na choyo kwenye jamii. Choyo chetu ndiyo shida. Sio idara gani watu wanafanya kazi. Ujinga ,choyo, wivu, hujuma kwa kujua au kutokujua.ujitokeza katika sura tunazokutana nazo
Huyu jmaa Ni jembe kweli kweli
Kujipeleka mwenyewe 😂😂😂
Makonda natafuta nauli nitoke Rorya nije angalau nipige story na wewe kwa dakika 10 tuu.Mola Akulinde
Piga kazi baba
Pita mikoa yote baba
Wewe jamaa mungu akuongezee siku zakuishi kwakweli
Makonda Mungu kakuleta
Watu wabaya msijaribu kumgusa Makonda wetu.msithubutu😮
Piga kazi kaka mungu akupe afya njema na maisha marefu
Magufuriiiii mtupuuuu
Ee mungu unatufuta machiz ni kama magu kafufu Ka piga kaz brather
Anaye sema Makonda anawaabisha watu na yeye mwizi na anaogopa kuadhirishwa. Kama ni bora watu waibiwe basi wewe leo waingie ajambazi kwako wakuibie uone raha ya kuibiwa.
Afisa utumishi jibu swali
kazi nzuri
Makonda fanya kazi usiogope mtu.
Brother akili nyingi sana mkuu heshima kwako
Namkubari makonda natamani aje na morogoro
Sawa sawa
makonda you are the best always
Arusha majizi aiseee
Tena wanaiba kweeeeli
Respect to u bro
Kwenye historia YESU, alipata mateso na manyanyaso pamoja na masimango kutoka kwa viongozi na jeshi la kiyaundi,..lakini baada ya mateso yote waliompa YESU yupo mwanajeshi mmoja alisimama pale msarabani alipokua YESU na kukikri kwa kumtukuza MUNGU kuwa mtu yule alikua mwema,,,,ipo siku ntarudi tena ipo siku WAPINZANI watakiri yakua MAKONDA alikua mtu wa HAKI tupo hapa
Leo waondoke kazini😢
Yan wakuu wengine hawaigi mazuri ya Mheshimiwa wapo kama hawapo wanajali maslahi yao tu tupa kule Rais tunataka wenye moto wa Makonda
Makonda unahangaika sana kuungana na wana CCM. Kwa sababu hata wanaccm ni wale wale kwa sababu wanapeana. Wanakula nao hao watu wa serikali.
wanyoshee wala rushwa siwapendi wanadhurumu haki za wanyonge
watendaji wadhulumati tuu kuonea wanyonge,
Biashara ngumu sana, viwanda hakuna, mashamba mkubwa hakuna. Sasa haya maendeleo ya watu binafsi chanzo nini? Utafutaji hawa bwana, wanachukuwa za umma
Yeye anaweka komwe nama sururu , na yy pia hawezi kazi kabisa
Afya shikamooo!?
Na kama ni uongo je itakuaje
Makonda kuya Congo,makonda ni mungu alikutuma Tanzanie,ilibidi uzaliwe Congo,ungizaliwaDRC labda ungitusaidiya🇨🇩🇨🇩
Mngeisha mpiga masasi
@@daslamonline4665😂😂😂
@@daslamonline4665😂😂😂
Piga spana wote
Ninajiuliza tuu hivi wakuu wa mikoa wengine hawana changamoto hizi? Na je wakuu wa mikoa wa Arusha waliopita walikuwa hawayaoni haya? Hii ni dhahiri dhuluma ni nyingi sana kwenye mikoa ya Tanzania na inaonekana viongozi wasio na msimamo kama wa Makomda wanakula tuu mishahara ya bure huku kuna watu katika mitaa yao hawana msaada wowote !! Kiukweli hatutaki watu wanajisifia tuu vyeo tunahitaji wetandaji wa kazi kwa vitendo kulingana na mamlaka waliyopewa na Rais !! Mh. Makonda wewe ni mfano wa kuigwa sio Tanzania tuu hata akibidi duniani kote, moja ya mission ya Mungu kuwaweka viongozi ni kuwatetea wale ambao hawawezi kujitetea pale wanapoonewa !! Mungu akufikishe mahali ambapo hutautetea mkoa tuu bali uitetee nchi na dunia nzima !! Viva Mh. Makonda Mungu akulinde na akusimamie
Wanasema mama hiijuiwi ichi kwahiyo wanachukua2 hakuna wakufatiria
Hapo umesema miheshimowa
Alama ya Magufuli
Mama Hana haya huyuu
Ccm oyeee, yafaa huyu Rc Makonda awe either pm or vice president soon after the coming general election of 2025. anafaa,
Napenda sana kazi ya Makonda LAKINI hivi namna anavyowashughulisha Polisi sio sawa. Mamlaka ya RC ni kwa Watumishi wa Serikali, Polisi ni chombo kingine.
Huyo ni mkuu wa usalama mkoa so wako chini yake
Mkuu wa mkoa ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi ya mkoa. Ambayo majeshi yote ndani ya mkoa wake yako chini yake. Anamtuma RPC, na wakuu wengine wote kwa ngazi ya mkoa. Hope umepata kitu hapa
@@user-yf9yn8ym3ksomo la uraia rudia tena ndugu. Huyu ndiye mkuu. Hata ni mwenyekiti wa maadili ya mahakama mkoani
Polisi wenyeeewe wapo wapi???
Au sio watumishi??
Mkuu wa mkoa ni rais wa mkoa na ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa mkoa,,,Lolote linalotokea mkoani yeye ndo wa kwanza kuwajibika kwa waziri wa TAMISEMI,waziri mkuu au rais mwenyewe.
Heisrunning while others aren't and doing humanitarian job in ourcountry
Uyo polisi ajuwi kazi yake na sijuwi kapata wapi vyeo hivyo
Bado sabaya. Namuombea nae aqnze
Mwamba sijui kilichompeleka Mkutanoni ni Nini..?😅 Na Suti yake sasa leo anaenda kutapika Nyonga..😅
😂😂😂
Sasa kuna haja gani ya kumsema huyo jamaa mbele za watu.Huoni unamuaibisha, kwanini usingetoa maelekezo kimyakimya ashughulikiwe.
Alimtarifu kimia kimia hakusikia, hauja sikia alihamuru asiendelee na kazi lakini amemkuta hapo!!! Hukulisikia Hilo? Mungehachana na kumchukia Makonda pia achaneni na ushabiki
Wewe jamaa una matatizo,huwajui tu hawa watumishi wa serikali,wanaumiza sana watu
Acha kulinda watu huyo mwizi
Ha ha 😂 wewe ni mtanzania kweli au mhamiaji?
Unataka asemwe kimya kimya😂😂😂
Mwizi apewe maelekezo kimya kimya kweli?
sio wezi ao ni watafutaji tuu
Majiz yanaanzaga mdogo mdogo likipew nafas kubwa ndo lnakuw lipapa sas
Makonda alindwe kwa gharama zote