Wabongo sijui wapoje , yaani kiongozi akiongea ukweli wanampigia vita, sasa hiyo hela inapanda mara kwa mara na bado mnamlaumu makonda, mnataka juficha maovu ndo maana hatupigi hatua
Hakuna usmrt hapo ameongea kwa kujiamini tu lakini yuko nje ya utaratibu. Ndio maana anachokisema Mkuu wa Shule nitofauti na anachokijua Mhandisi. Kiufupi kuna upigaji Makonda ameshapenyezewa.
Bwana makonda unamuuliza mwanamke maswali ya kumdhalilisha mwanamke,ACHA u babe.vitu vingine waachie watu wa mahakama, hata hivyo huyu na mwanamke mjanja kuliko wewe.
China mtu akichezea pesa za serikali ananyongwa huku kwetu akifokewa mara ooh Haki za binadamu ooh hana busara afrika tumepumbazwa ufisadi uwiz unazidi
Mimi naona kuna SIASA NA UTENDAJI... KUNA VITU VINGINE VINAPASWA KUWEKWA SAWA KABLA YA KUVIWEKA HADHARANI.. NAAMINI HAKUNA TATIZO ILA MAWASILIANO NDI TATIZO... HALAFU MAMBO HAYAENDAGI HIVI... KUCHANGANYANA NI ZAIDI YA 90%..HI STYLE INAUDHALILISHAJI NDANI YAKE
Makonda Kwa Uyu Mdada Unatakiwa Umuombe Radhi Kwasababu Kwanza Anapambana Makonda Kwanza Umesema Unatetea Wanyonge Lakini Mladi Wa Uyu Mdada Ambae Unamtolea Maneno Ayo Ni Mfumo Wa Uko Kwenu Viongozi Angekua Amezulumu Wananchi2 Ambao Wewe Umesema Unawatetea Nibola Kuliko Kumbana Mdada Umpi Muda Wa Kujieleza Hi Sio Sawa Kwa Namna Moja Au Nyingine Kwasababu Gani Izo Pesa Zimetoka Kwa Serikali Nasio Kwa Wananchi Sasa Ayo Ni Mambo Ya Ndani Serikalini Sasa Kukaa Apo Na Kuanza Kutoleana Ndivo Sivo Sio Sawa Endana Na Kauli Zako Za Kutetea Watu Wanyonge Waliozulumiwa Kuliko Kupotez Muda Mwingi Kuongea Mambo Ambayo Yenu Uko Juu Kwenye Uma Unaokusubili Kutatua Haki Zao Tumia Muda Wako Vizuli Kwa Wananchi Wanakaa Juani Kutatua Shida Zao Sasa Muda Mwingi Unautumia Kwenye Mambo Yenu Ya Ndani Kwa Uma Na Wananchi Kubaki Na Mabango Yao Mkononi Hi Sio Sawa Ikiwa Uliwapa Ahadi Za Kuwasikiliza
Huyu bwana Nina mashaka na busara zake za uongozi!!??! Haya mambo sio ya wao wenyewe kwa wenyewe. Serikali imara haifanyi mambo hivyo. Populism ikiendekezwa inazaa matatizo makubwa.
Huyu ni mbabaishaji na ni mwizi
Huyu Dada yupo smart and confident
Yes she is Confident but in wrong direction.
Dada Engineer ni full confidence....safi sana dada!!
Headmaster wangu Leo kayatimba
Makonda yupo sahihi, huyu dada kweli haongei ukweli, hela yote imefanya kazi gani jamani
Injia yuko vizuri hongera sana
Mwalimu yuko smart ni maswali mnamchanganya
Huo mradi kunawizi apo ndio maana mkuu wa mkoa anahoji sana.
Eti ana Mwaka 1 na miezi 5 bado mgeni ofisini hawezi kusemea ya nyuma. 😂😂😂
Ukimsiliza vizuri Mhandisi na Mkuu wa Shule ni wezi watakatifu wameongeza gharama nje ya sheria inavyowataka. Akiingia CAG anapita nao.
Hujapitia shule dada umesoma kweli upo vizuri
Makonda hana shida sikiliza kwanza ndio utajua kulindana ndio linatufanya tuwe maskini
Dada mhandisi wa ujenzi upo vizuri hongera
Dada yupo powa ❤❤❤
Hongera madam engineer
makonda umekutana na mtaalam, Rudi shule ukasome, umeshindwa kushawishi ktk hii clip, umechemka, huyu mwanamke ni shujaa, malkia WA Karne, vitu vingi unalazimisha, unajifanya Magufuli.unalazimisha saana mambo.
hongera mama
Jeuri hili dada😢
Makonda chapa KAZI mafanikio Yako tunayaona.
Wabongo sijui wapoje , yaani kiongozi akiongea ukweli wanampigia vita, sasa hiyo hela inapanda mara kwa mara na bado mnamlaumu makonda, mnataka juficha maovu ndo maana hatupigi hatua
Mama ataongezea hela,at??? Anakuzingua huyo dada. Aseme pesaro ipo wap? Yaan watumishi wa uma ndio mnaoongoza kuzulumu wa ananchi kwa sasa.
Mnasema dada ako smart sioni smartness yake ya akili bali ni akili ya wizi
#+254 following
Dada ni Kichwa....mkuu wa mkoa kazidiwa akili na Engineer parefu sanaa.
Huyo mama anapambana kwel
Dada anakosa majibu
Makonda Kwa Uyu Mdada Umechemka Ayo Mambo Ya Ofisini Kwenu
Mhandisi kabadilisha fani kawa mhasibu sasa amrpotea porini😂😂😂
Mama big up
Mkuu wa shule kuna mda anavo angalia nabaki nacheka
Mama nimefurahi ujibuji wako
Nipo wakwanza,nipeni like zangu
Wacha ushamba utabanduliwa wewe omba like
Hahaha
Engineer anajiamini na anajua sana
Hajui kuna swali kaulizwa kama ipo kisheria kwa yeye Injinia kuandika kwenye barua kukata Kodi sio kazi yake. Hapo kuna fedha wamempiga mkandarasi.
Madudu mengi sana kwakwel
MAKONDA Leo kwa Dada amegonga mwamba 😢😢😢
Vibaya mnooo😂😂😂
Huyu dada mwizi
Makonda nikiongozi
Huyu mdada yupo smart sana
Hakuna usmrt hapo ameongea kwa kujiamini tu lakini yuko nje ya utaratibu. Ndio maana anachokisema Mkuu wa Shule nitofauti na anachokijua Mhandisi. Kiufupi kuna upigaji Makonda ameshapenyezewa.
U smart wa kauli za mwizi aliyebobea😅
Mimi kama Mkenya nmefatilia sana huyu makonda
Lakini mnasema dada ako smart lakini hakuna smart yoyote hapo ni wizi tu
Style ya RC kitaalamu haifai kabisa....
Dada unajua kujielezea
Kazi kweli kweli.
Lao moja hawa wezi walijiandaa ndio mana makonda anawabana sana😂
Uyu dada yup vizur hiki kitu kita mbeba ata panda juu
Dada shule uliosomaa iko vizur
Bwana makonda unamuuliza mwanamke maswali ya kumdhalilisha mwanamke,ACHA u babe.vitu vingine waachie watu wa mahakama, hata hivyo huyu na mwanamke mjanja kuliko wewe.
China mtu akichezea pesa za serikali ananyongwa huku kwetu akifokewa mara ooh Haki za binadamu ooh hana busara afrika tumepumbazwa ufisadi uwiz unazidi
Hapa ni mwanamke au ni engineer?
Huyo mkuu ni mwizi tu fukuza mbali
Hesabu za miradi ya ujenzi inaitaji uzoefu
Huyo dada amekula rushwa ametoa wapi Hela ya kununulia miwani nzuri hivyo??
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hizi Pesa zina mitego kweli
Hivi Mongera huko anajisikiaje
Mimi naona kuna SIASA NA UTENDAJI... KUNA VITU VINGINE VINAPASWA KUWEKWA SAWA KABLA YA KUVIWEKA HADHARANI.. NAAMINI HAKUNA TATIZO ILA MAWASILIANO NDI TATIZO... HALAFU MAMBO HAYAENDAGI HIVI... KUCHANGANYANA NI ZAIDI YA 90%..HI STYLE INAUDHALILISHAJI NDANI YAKE
JE KILA SWALI NA HOJA ZINAZOIBULIWA JE HAWA WATUMISHI WALIJIANDAA NAZO?... MIMI NAONA MASWALI MENGINE HAYANA MAANA.. NA YANALENGA AU ZIMEKAA KISIASA
Makonda Kwa Uyu Mdada Unatakiwa Umuombe Radhi Kwasababu Kwanza Anapambana Makonda Kwanza Umesema Unatetea Wanyonge Lakini Mladi Wa Uyu Mdada Ambae Unamtolea Maneno Ayo Ni Mfumo Wa Uko Kwenu Viongozi Angekua Amezulumu Wananchi2 Ambao Wewe Umesema Unawatetea Nibola Kuliko Kumbana Mdada Umpi Muda Wa Kujieleza Hi Sio Sawa Kwa Namna Moja Au Nyingine Kwasababu Gani Izo Pesa Zimetoka Kwa Serikali Nasio Kwa Wananchi Sasa Ayo Ni Mambo Ya Ndani Serikalini Sasa Kukaa Apo Na Kuanza Kutoleana Ndivo Sivo Sio Sawa Endana Na Kauli Zako Za Kutetea Watu Wanyonge Waliozulumiwa Kuliko Kupotez Muda Mwingi Kuongea Mambo Ambayo Yenu Uko Juu Kwenye Uma Unaokusubili Kutatua Haki Zao Tumia Muda Wako Vizuli Kwa Wananchi Wanakaa Juani Kutatua Shida Zao Sasa Muda Mwingi Unautumia Kwenye Mambo Yenu Ya Ndani Kwa Uma Na Wananchi Kubaki Na Mabango Yao Mkononi Hi Sio Sawa Ikiwa Uliwapa Ahadi Za Kuwasikiliza
Huyu bwana Nina mashaka na busara zake za uongozi!!??! Haya mambo sio ya wao wenyewe kwa wenyewe. Serikali imara haifanyi mambo hivyo. Populism ikiendekezwa inazaa matatizo makubwa.
Wewe kaanzishe utawala wako wa busara utakao fumbia maovu
Hiyo bangi unayoivuta iache haraka sana
Serikali zinazojielewa haziamui Shauri kwenye mkutano, kangaroo courts @@mushumbaeric4916
Hamia Rwanda
Na wasiwasi na ww labda ww mwenyewe mwizi au umehongwa
Funge Hawa watu wanachezea hiii nnchi wajinga hawa
Kisheria Mhandisi hawezi kutoza kodi. AMECHEMKA