WAJIKAANGA UJENZI WA SHULE YA SAMIA RC MAKONDA ACHUKIA AWABANA MASWALI MAGUMU..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 май 2024
  • #OFFTRACKTV #offtracktv #samiasuluhuhassan #raissamia #ikulu #makonda #arusha
    KWA HABARI ZA KITAIFA,KIMATAIFA ELIMU,MAKALA NA BURUDANI KWA UHAKIKA MASAA 24,TUFUATILIE OFFTRACK TV.
    PIA USISAHAU KUSUBSCRIBE OFFTRACK TV
    / offtracktv
    Email | info@offtrack.co.tz
    🔴 JE, NA WEWE UNA HABARI AU UNAHITAJI KUTANGAZA NASI?
    🔴 WASILIANA NA OFFTRACK TV : (+255 621 149 014)
    🔴 Email: info@offtrack.co.tz
    Www.offtrack.co.tz
    𝙏𝙝𝙖𝙣𝙠 𝙔𝙤𝙪 𝙁𝙤𝙧 𝙒𝙖𝙩𝙘𝙝𝙞𝙣𝙜
    ...............................................................................................
    Subscribe: / offtracktv

Комментарии • 44

  • @emmanuelwarra1025
    @emmanuelwarra1025 24 дня назад +6

    Competent engineer... Stop harassing her...

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 24 дня назад +2

    Duh..!? Hii Kazi ni Shida mno..Makonda wape Nafasi tena wajitafakari...huyu Dada Engineer anajielewa mno Big up sana kwake...maana Kuyajibu Maswali ya Makonda si Mchezo ujipange.

  • @sheikhabdillahmassawe5302
    @sheikhabdillahmassawe5302 21 день назад

    Makonda Mimi binafsi huwa nakuelewa Sanaa

  • @SaidiMiraji-lk3vm
    @SaidiMiraji-lk3vm 24 дня назад +2

    Makonda umepamia kwa huyo Dada leo anajua kujieleza. Sema uko biz kumtafutia sababu

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz 24 дня назад +2

    Makonda fatilia vzur weka tume hapo kunashida kubwa hapako sawa hapo Kuna shida mkuu wa mkoa force ya akaunti ni cheap sana

  • @SalimuAbdala-sg9cw
    @SalimuAbdala-sg9cw 24 дня назад +1

    Injinia anajibu vizuri sana.

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz 24 дня назад +1

    Good makonda

  • @gilbertshirima2684
    @gilbertshirima2684 24 дня назад +4

    Una haki ya kumhoji bila kumfokea wala kumtamkia mtu mzima maneno yasiyo na staha.

    • @SaidiMiraji-lk3vm
      @SaidiMiraji-lk3vm 24 дня назад

      Ni kweli kabisa, kuna muda anafeli ukali unazidi

    • @DSFAMILYGRAPHIC
      @DSFAMILYGRAPHIC 12 дней назад +1

      Kwahiyo unataka kusema je?

    • @crispoleo8771
      @crispoleo8771 7 дней назад

      Ukiona hivyo ujue naww nimwizi

    • @edrisalusonge4141
      @edrisalusonge4141 3 дня назад

      Kaka Hawa watu hata wakitukanwa sawa tubwanatumiza sana usiwaonee huruma kabisaaaa sio Hawa anatunyonya sana kaka

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 24 дня назад +1

    Kwa kweli makonda wakati mingine unafeli

  • @gilbertshirima2684
    @gilbertshirima2684 24 дня назад +1

    Mnawatesa walimu wa watu. Siyo kazi zao kabisaaa.

  • @mhujoaloyce8766
    @mhujoaloyce8766 24 дня назад +1

    Huyu Dada nimempenda bure anajiamini Na Majibu sahihi

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 24 дня назад +2

    Daa huyu dada kaaminiwa nae kazingua duu ila naamini watu wazuri wenye akili kubwa na msoto wa hali ya juu wenye uchungu waliopitia magumu ambao wanaouwezo wa kuwa wazalendo wapo vijiweni ni kwasababu tu hawakupata phd oooh my god natamani kutoa wazo lakn hakuna wa kunisikiliza mimi ni kama samaki ndani ya maji tu ninayo mengi ya kusema lakini..😢

  • @SalimuAbdala-sg9cw
    @SalimuAbdala-sg9cw 24 дня назад

    Injini mzuri dada oyee.

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 24 дня назад +1

    Makonda muache mtu aeleze"mbona unafos sana unataka ajibu nini

  • @imeldamatemu-gg9rl
    @imeldamatemu-gg9rl 22 дня назад

    Hii Mweshimiwa imepigwa

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz 24 дня назад

    Safi sana uchunguzi ifanyike mashimo ya choi manne million hamsini

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz 24 дня назад +1

    Walimu wamekosea kuomba pesa zipitie kwenye akaunti zao badala ya kupitia akaunti ya mkurugenzi na kosa kubwa kutumia force akaunti ni Bora kutafutwa mkandarasi angebananishwa mkurugenzi na mkandarasi wake

  • @seifumussa9493
    @seifumussa9493 24 дня назад

    Tanzania my country

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn 24 дня назад +1

    Kweli mwalimu kusimamia viongozi wa juu niwasumbufu sana mtu anakwambia mandalie mamilion

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz 24 дня назад +1

    Hii shule makonda Kuna shida Mzee milioni 25 vyoo nne tu

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 24 дня назад +1

    Wakuu wa mikoa mingine waige mfano wako,

  • @ericamtuimtui8016
    @ericamtuimtui8016 22 дня назад

    Mnamwonea mwl WA watu yeye ni Engineer

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 23 дня назад

    Mheshimiwa nakukubali ila hapa huyu dada unamtafutia kosa kusema kweli

  • @SalimuAbdala-sg9cw
    @SalimuAbdala-sg9cw 24 дня назад

    Dada anaelewa kazi. Msimcnanganye.

  • @EmmanuelNdahya-ud5nj
    @EmmanuelNdahya-ud5nj 24 дня назад

    Injinia soma hio 😄😄🙏

  • @martinabayyo9982
    @martinabayyo9982 21 день назад

    Makonda piga kazi, mil 460 yote ya nn tena engineer hayuko serious na kazi zake, mwal wa watu mwacheni so kazi zake

  • @ericamtuimtui8016
    @ericamtuimtui8016 22 дня назад

    Hayo maswali ni ya Engineer cio ya Mwalimu jamn yeye anadilii na wanafunzi

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x 23 дня назад

    Huyo dada anafatiliwa na laana ya kutotetea haki za vibarua ndio maana mkuu anakula nae sahani moja 😂

  • @iddyjuma8036
    @iddyjuma8036 24 дня назад

    Anahema huyooo😂😂😂

  • @HemedMnyambwa
    @HemedMnyambwa 24 дня назад

    Fundi analipwa baada ya kamati ya ufundi kujirithisha na kazi ambayo imefanyika n asilimia ngap kwa mujibu wa mkataba wake unavyoelekezaaa

  • @HemedMnyambwa
    @HemedMnyambwa 24 дня назад

    Fundi ataomba nyongeza ya mkataba endapo amefanya kazi asilimia 80 na hela ikaisha kwa sababu maalimu , ndio ataomba nyengeza ya hela na kamati wataa pitia mradi na watakaa kikao kwa pamoja wakiridhia fundi ataomgezewa mkataba wa nyongeza.

  • @harunarashid6404
    @harunarashid6404 4 дня назад

    😂😂😂😂😂😂 mwalim komwe limechoka kbs jmn😅😅😅😅

  • @HemedMnyambwa
    @HemedMnyambwa 24 дня назад

    Huyu muhandisi hewa hajui taaluma yake ya uhandisi akasome ufundii

  • @elardurasa67
    @elardurasa67 24 дня назад

    Hii kazi ni ngumu walahi

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 24 дня назад

    Walimu kwenye mirad hawan meno mh makonda ata kdg hoji mkurugenz,engenear na afisa manu nuzi

  • @HemedMnyambwa
    @HemedMnyambwa 24 дня назад

    Wazee msichukulie poa
    Nguvu kaz ya mafundi wameumia hapo na huenda wamepigana kwa kudaiana na wanacheleweshewa hela na hiyo kamati ya ufundi , na sisi mafundi tunailaumu serikali wanarusha hela ,hawalipi ,kumbe ni ambayo hawana aidia ya ufundi

  • @kelyjames5452
    @kelyjames5452 16 часов назад

    Mwalimu mkojo umekja ghafla 😅😅😅😅

  • @bonifacerobert2960
    @bonifacerobert2960 23 дня назад

    Mpumbavu sana wewe. Hela ni kodi za wananchi.

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz 24 дня назад

    mim ningekuwa mkuu wangenyooka

  • @ericamtuimtui8016
    @ericamtuimtui8016 22 дня назад

    Mnamwonea mwl WA watu yeye ni Engineer