MCHUNGAJI KUTOKA NCHINI BURUNDI AFIKA ARUSHA KUMSAKA MAKONDA - ASEMA AMETUMWA na MUNGU....
HTML-код
- Опубликовано: 24 май 2024
- MCHUNGAJI KUTOKA NCHINI BURUNDI AFIKA ARUSHA KUMSAKA MAKONDA - ASEMA AMETUMWA na MUNGU....
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Mungu mlinde Uyu mchungaji kutoka Burundi 🙏🇹🇿🇹🇿🙏🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mh Makonda Mungu akusimamie kila hatua Dua kwakweli tunakupenda Mungu akulinde
Burundi 🇧🇮 Bujumbura ❤ best country in Africa 🌍 GOD bless Burundi 🇧🇮 and all Africa 🇧🇮 🇹🇿🇨🇩🇰🇪👍🏿🫵🏿👊🏿
❤❤❤
Nawafata, from Drcongo 🇨🇩✅
Makonda umeitangaza Arusha yetu 🌹
Makonda ni jicho la tanzania pamoja na East Africa mashariki
Tayari mumesahau Kama yule ni bashite aisee
@@noahemanuel7015 Hilo jina mafisadi waliamua kumpa lkn si jina lake. Wapo viongozi wengi ambao wahujumu uchumi, mafisadi wala rushwa kwa kiwango cha lami lkn wapo serikalini hawafanyi kitu chochote. lkn kilasiku watu wenye chuki roho za husda wanamnenea mabaya Mh Makonda. Binafsi namuombea Mh Makonda Mungu azidi kumpa ubunifu
Mwenyezi mungu aweze kukutanisha nae 🤝
Umefanya vizuli sana mchungaji kwa ukweli uliosema hongera sanna
*Vizuri
Nabii hakubaliki nyumbani wambari wanaona utumishi mwema wa makonda GOD bless makonda spirit of magufuli continue sasa !!!!
Kabisa..Ilikuwa hivyo kwa Magufuli..but ameondoka watu ndiyo wanagundua kuwa alikuwa kiongozi mzuri.
*Wambali
Wanaojua na kugundua umuhimu ni watu wa mbali aiseeee
UKweli haufickiki makonda unapendwa sana
Hongera na karibu sana mchungaji toka Burundi.
Mwandishi wa habari uko vizuri sana. Kuhakiki vielelezo vyake ni umahiri Mkubwa . Ila , Mh. Paul Makonda awe makini na watu wa dini.
Mungu akubariki sana
MUNGU wetu akuchunge sikuzote za maisha Yako mchungaji wetu
Mungu awabariki watangazaji
Basi sawa
Mungu Mbariki Makonda
Makonda mdogo wangu Mungu akipenda sana. na atakuelusha na kila jambo kiukweli tunakipenda sana kama vile tulivyo mpenda Magufuli ila .kuheshimiwa Makonda nakuomba kaka mchungaji naweza sema ameguswa kutoka moyoni kutokana na kazi inayoifanya kizuri lakini hiyo zawadi apokee mtu mwingine afu ikafanyiwe uchuguzi tunakipenda Makonda Mungu akupe umli mrefu hapa duniani Asa nte🙏
Paul mdogo wangu usipokee kila kitu huwezi kujua nani ni nani msikilize agana nae
To be honest Makonda ni anafanya kaz sio mnafiki,,yani ni mtu na nusu
Ameeeeeeeeen ♥️
Shida tuliyo nayo ni kubwa sana, tunaoneana wivu wenyewe kwa wenyewe,chama kilekile nimeguswa sipendi, makonda ni binadamu ana. Madhaifu yake, hata wewe na mimi tuna madhaifu yetu, na kama Tunaona kuna jambo amefanya aitwe aonywe tena kwa upendo, chama chetu kina taratibu zake, za kuwatunza,watumishi, kitendo cha kumsema kiongozi anayeaminiwa na wananchi kwa kile mungu alichoweka ndani yake, ni kuwavunja moyo wale waliomuamini, hasa kwa mkoa. Mgumu kama huu wa arusha, hauhitaki kiongozi. Mwana siasa,
Amen wa kwetu Burundi❤❤
❤
Makonda yuko vizuri
Hakika ni Mungu na amegusa maisha ya watu wengi sana, na amenigusa sana.
Mmmmh! Noma sana😂😂😂
Hiyo zawadi ni sawa, ila itifaki izingatiwe, zawadi kama hizo zipitie maabara kabla hazijamfikia.
Makonda ni mtu mzuri sana
Mungu anaitangaza tz anahaja na nchi hii
Mtetezi wa wanyonge Poro Makonda
Mtuonyeshr pia anavyomuombea mtetezi wetu
Ni lazima kuwa makini na wageni hao kwa usalama wa mh. Paul Makonda
Mimi mwenyewe na mkubali majaliwa,ila makonda anakitu ukikitizama kiundani nizaidi sana najuwa kunawana siyaasa wazuri tena wasomi kumzidi makonda,ila jamaa anakitu tofauti na wengine wana siyasa.kuna mwana mama jana kamtabiriya makubwa jana.oneni huyu mchungaji kasafiri vilometa kazaa nazawadi.mpaka machozi,yaani makonda akiwa raisi atatemesha dunia sifa zake zinatambulika kimataifa.
Anakipaji cha uongozi
Sure Makonda amejaliwa kipawa Cha uongozi
Vilometa kazaa ndio nini?
Watu wengi wanajificha na mungu ila sijui huyu ana nia gani na makonda mungu amtumie malik kila upande wamzunguke
Tanzania Mungu anatubariki sana viongozi wazuri…Watz wanaweza wasione hilo but nchi zingine wanaona hilo..Hata kama anamapingufu yake but Makonda ni kiongozi wa watu.
Mpereke bwana unamhiji sana makonda ninabii wa wanyonge
Akuna kingine zaidi ya kuwa Raisi ajaye,
Kweli Nabii hakubaliki kwao, watu kutoka Burundi wamempa Makonda heshima kubwa.
Mungu hatumi viumbe baqda ya viumbe kua na viumbe vyao vya kwanza. Mungu angekua anafanya hivyo hapangekua na mgawanyiko wa watu na habari
Jaman Jaman 😂😂😂
nipo kenya na napenda makonda sana walai hua namfuatilia kila siku anakokwenda
Nani tena.anapita mbele huyo😂😂😂😂😂😂
Why between his interview she's passing around, I hate her 😂😂😂😂
@@bcozhenry2698😂😂😂
😅😅😅😅😅😅umenichekesha upo km mm nikisikia jambo zuri napenda nilisikie na nilione siyo kelele mtu anapita pita ata mm sipendi yani umenifurahisha.sana.
@@leylaruhabaye9017 Hahahaha wakitukanwa watu wabaya
Bodaboda😅
Viva Makonda
Mmmmmm!!
Makonda Mungu akuinue mar zaidi
Chapa kazi mheshimiwa makonda MUNGU Yuko pamoja nawe, Kwa Afrika ukigusa haki unapigwa Vita sana.
Mbona makabidhiano hayakuonyeshwa?
Usikute katumwa dadeq manake watu siyo watu
Niukweri kabsa tunampenda but think muhemiwa makonda hajui kua nimpendwa wawengi
Niukweli*
Kama ni makonda ni mtu safi kwa nini Marekani walimnyima haki ya kuingia taifa hilo nchi kama Marekani yenye intelijensia kubwa kumuona si mtu mzuri sisi tunashawishika vipi kumuona ni mtu safi
Afya ya akili hiyo
Nenda katibowe kwa mbowe maana ndyo kakuharibu
Mbona hujamfikisha tukaona
Kwa heshima na taadhima naomba mheshimiwa Makonda aonane na huyu mtumishi, maana ameshatumia Muda na gharama nyingi kumfuata muheshimiwa Makonda
Mh. Msapoti huyo Mungu anafanya jambo
Mungu huwa sapotiwi ww
Hv mungu yupi? Anaependa kumkashifu binadamu mwenzake? Acheni upuz wandishi wa habar mmempanga ili iweje? Mungu hadhihakiwi,
Hv nani alietangaza lowasa amekataa mtoto wake, nani alienda cloud na kutisha watu kwa bunduki, nani aliesema ww syo mchumba wangu nina mke mzuri usenge hautaisha nchii hii
Hawa jamaaa ni comedian kweli🤔 wameyasahau kweli hayo! Wanayafukia hayo yte kutusahaulisha Wabongo aise;!!
Kila mwanadamu ana udhaifu!!
rudia nyumbani Burundi bwana kwasababu nyinyi watumishi niwaongo bwana Hapa kwetu Burundi tunawatumishi wengi kama nyinyi
Ww ndyo muongo mwache mtumishi akutane mh makonda ili afikishe ujumbe wake ndg yangu
@@ndogoroedson199 ok
Hapana amekuja kutoa ujumbe wa Mungu
Mheshimiwa Makonda hufuatilia wongozi wa kutoka kwa Mheshimiwa Hayati Magufuli kusikiliza wanyonge
Siamini kila kitu kama ninavyo kiona; lakini hii inaonyesha jinsi watu wa Afrika tulivyo na kiu na uongozi unaowajibika, tunawajua Viongozi tunaowataka.
Yaah uyu mpendwa nimempenda bule nimnyenyekevu sana,so kuna kitu cha kujifunza apa
*bure
*hapa
Hata Intaneti Za Tz Zingekua Na Kasi Kama Ya Makonda Basi Nasi Tusingekua Tunaambiwa Dunia Ya Tatu Wenzetu Wanaenda Mwezini Sisi Intaneti Tabu Kupley Video RUclips
Muheshimiwa mkuu mkoa makonda Fanya kazi na selikali selikali ya paullo kagame ukiludi tutajua kama ulaya
*Serikali
*Ulirudi
raisi mama wetu tunaomba huyu makonda umulinde usikie maneno ya waizi mwache afanye kazi akikosea ongea naye
Kkkkkk😂ana maono
Asiwe muuaji huyo
Njaa mbaya jamani 😂😂😂
Unaweza kuwa ww ndyo una njaaa! Mtu atoke burundi aje mpak a tz useme njaa wadangaji ninyi mnanuka shombo sana
Rudi nyuma shetani
@@ndogoroedson199 ninanjaa. Wee unijuitu
@@janethmwihumbo1289 ww ndiyo sheitwani
Mimi nataka kabisaaa makonda aje kuwa raisi atanyoosha mambo mengi mno
Anataka kiki atoke ana kondoo 200tu anataka makonda amuongeze kondoo ili sadaka iendele kua kubwa😂😂😂😂😂
Sasa na wewe akili ziro. Makonda anamuongezeaje kutoka Tanzania wakati Kanisa liko Burundi😂😂😂
@@GibsonNtamamilo kwani huyo mchungaji anaka wapi ? Tumia akili siamemuona kwenye vyombo vya habar dunia ni ndog sana siku hizi Akili mtu wangu.mchungaji ataongeza kondooo siku akirudi kwao 🫣
acheni uhuni makonda nani kwenye hinchi mnajidangamya nalolotenadanganyika nahuyujama waze sanukeni
*nchi
Mchungaji longo longo huyo ana tafuta kiki
Kama umeona wakwetu kutoka Burundi weka lik
Hamna lolote apo imetenqenezwa
Unajua Ubaya Wa Binadamu Mtu Akisema Kapata Ujumbe Wanajua Wenda Mtu Awe Na Mabawa Au Awe Mzungu Lakini Kumbe Ujumbe Kutoka Kwa Mungu Unaweza Kuletewa Hata Na Ndege Hata Mmbwa Kwaivo Binadamu Tuache Maneno Mengi Tujali Isia Za Mtu Cha Ajabu Wewe Unaezalau Watu Ukifungwa Jela Watu Kama Awa Utawaeshimu Kupitiliza Yani Bila Kikomo Jela Shida Nzizo Zinamfanya Binadamu Aeshimu Viongozi Wa Dini Mfano Wa Uyu Mtu Anakua Na Mwili Mdogo Sana Lakini Ndani Yake Anakua Na Kitu Kikubwa Sana Japo Tunajua Kiongozi Anaitaji Kulindwa Lakini Zawadi Utaifungua Wewe Na Kumpa Mana Hata Shetani Anatembea Kwa Maumbo Ya Binadamu
Upo sahihi mtumishi Mungu sikuzote hutumia wanyonge sasa inabaki nikazi kwa Mhusika
Comedy show..😂
Hata mimi ni mcongo ambaye naishi South African,makonda ni mtu ambaye ana ni inspire saana. Na namfatiliya saaana
Usanii mtupu
Hapo unatafutwa ugari😅😅
Ugali*
Pumbavu wewe
Unatafuta pa kutokea 😏😏
Makona ni rais ujae tz oeeeeeee
Ana ujumbe kutoka kwa mungu 😅😂 dini hii raha sana yaan mungu anakutumia ujumbe uende arusha ukampe zawad makonda😂
Ni kweli dini yetu Mungu anaongea nasi kupitia roho mtakatifu sio dini yenu ya majini
UKweli haufickiki makonda unapendwa sana
Na nani
@@fredyjeremia7074watu WOTE wenye akili timamu!!