Yaani Tanzania tungekuwa na Msukuma wanne tuu na wa tano wakutekeleza ,tungekuwa mbali mmno.ila janjajanja nyinngi ,wakusikia na kutekeleza hawapo kabisa inauma mno.Msukuma Mungu akujaze hekima ,utamshangaa Mungu pale atakapokupa ukuu wa nchi.amina.
Yani ukimsikiliza huyu jamaa utatamani kulia machozi jinsi Watanzania maskini wanavyoibiwa! Ni kama wapiga dili sasa wameamka wote kutoka mafichoni kila kona ni dili tu , haya mama kazi kwako
Wasomi hao wanaojiita Ma Doctor ndio wenzi na wapumbavu sana na Msukuma ana akili nyingi sana siyo za kusomea ana akili za kuzaliwa toka kwa Mungu hivyo hao wasomi wa madarasani ni kuiba mitihani na kujipa Degree wakisema wamesoma kumbe hovyo kabisa. Tanzania tungekuwa na Watu 20 km Msukuma Tanzania tungekuwa mbali sana.
Darasa la Saba oyeee wasomi asilimia 79 hovyooooo uhalisia wa maisha yetu waafrka,unahitaji maamuzi tu,nchi ina mitaji ya kutosha,tunawakodolea mataifa ya watu weupe macho? wapeni hawa watu nafasi kubwa,tuangalie utendaji wao nao
Bw. Napoleon Bornapathe aliwahi kutuambia “"Never interrupt your enemy when he is making a mistake.” “Usimshtue/usimuingilie adui yako pindi anapofanya makosa”
Kusamehe wakwepa Kodi ni kosa kubwa. Marekani wakwepa wanafungwa na wanafirisiwa hawasamehewi serikari nyingi duniani zinaendeshwa na kodi. Kwahiyo mnasamehe kodi alafu mnaenda kukopa. Mnasamehe watu madeni alafu serikari inakopa kujiongezea madeni. Hayo ndio mambo ya kuvuja nyama mchuzi unabaki. Tunatiwa changa la macho. Msukuma ni mdaiwa ndio maana anataka tra wasamehe madeni. Na tozo msitoze zinawaibia wananchi wana lipa kodi mara nyingi kwa mshahara mmoja.
Mbali na Dr wa heshima,msukuma wewe ni Mzalendo kweli kweli na wazalendo ktk taifa ili ni wachache mno Yn km nusu ya viongozi wadizaini ya msukuma tungekuwa nao taifa ili lingekuwa mbali kiuchumi na watanzania tungekuwa tunajinadi Sasa yamebaki majizi tu 😢😢
Namuona kama magufuli ajaye miaka ya mbeleni hapo Congratulations 👏👏 👏
Huyu jamaa ni muhimu sana kwenye taifa letu la Tanzania. Mungu akubariki sana msukuma
Wewe muone hivyo sio mtu huyo
Yaani Tanzania tungekuwa na Msukuma wanne tuu na wa tano wakutekeleza ,tungekuwa mbali mmno.ila janjajanja nyinngi ,wakusikia na kutekeleza hawapo kabisa inauma mno.Msukuma Mungu akujaze hekima ,utamshangaa Mungu pale atakapokupa ukuu wa nchi.amina.
Hii nchi Ina watu wa ajabu sana? Wabunge wote wangekuwa kama msukuma tungefika mbali sana. Big up Msukuma.
Ww noma sana
Daaih ih nnchi ila. mungu yupo
Msukuma unapiga pabaya hapa hatutumi akiri kuongoza tunatumia nguvu madaraka sio uongozi bari wanafanya wanavyo jisikia
Lasaba wako vizuri kuliko wenye digrii
Msukuma n mtu muhimu sana bungeni maana hafichi kitu yeye anaongeya ukweli mtu Allah amfanyie wepec na amlinde maana dah!!!
I love Msukuma kwa kweli, huyu wala sio degree ya kheshima hii ni ya darasani kabisa, hao waliokalia degree za shule hawana kitu
Kuna Mhe Msukuma na Mhe Kishimba huwa nawakubali sana
Msukuma umeongea facts kweli,big up.
Msukuma uko vzr sana sema wanatumia usomi wao kukukwepa kijanja.
Musukuma Mungu akuweke miaka buku100
Dr. Msukuma ni ana akili sana sema hawa majamaa ni wanaiba bila hata kutumia akili
Dr. Endelea kuwanyoosha
Hongera sana msukuma,huyu ni mzalendo wa kweli
Kanda ya ziwa Ina watu vichwaaa
Hongera Mh Joseph Kasheku,unawapita kwa hoja Madoctor Uchwara...
Hongera sana mh Msukuma
Uyu kweli Dr wa heshima
Uko vizuri sana Msukuma
Khaaa!! Mbona hi taaarifa ni kama ugomvi jamani!!!
Hapana anasema ukweli ndo maaaana mpka anaskia hasila
2025 amkeni Watanganyika muikombowe nchi yenu kutoka kwenye mikono ya raisi. wa sanamu na walaji wanao muwezesha
Hongera sana mbunge msukuma upo sawa kabisaa. Hapa chato nyamirembe
Uko vizuri sana Dr musukuma
Msukumaaaa uko vizuri sanaaaaa😂❤
Hongera kwa kupiga kelele ila hovyo ndivyo Nchi hii inavyo kwenda, nation cake inaliwa na watu wa chache,,
Upo vizuri Dr
Ila Mh. Msukuma wewe ni zaidi ya Dr.
Yani ukimsikiliza huyu jamaa utatamani kulia machozi jinsi Watanzania maskini wanavyoibiwa! Ni kama wapiga dili sasa wameamka wote kutoka mafichoni kila kona ni dili tu , haya mama kazi kwako
Namkubali sana msukuma
Sema msukuma dili ziko chalinze kwa wauza madawa ya kulevya tumewachoka kweli kweli timu msoga tunaomba na wao wafe kama walivyomuua magufuli
Msukuma anatemaga facts sana 😅
Nampenda xana msukuma anauchungu xana na wanachi WA Tanzania
Unafaa kuwa RAIS WETU MSUKUMAA
Musukuma nakuerewa sana kuna mambo ukweli ayaitaji erim
Mkiambiwa mtu anapotunukiwa u dr kama huo wat wamemfatilia sana nawakagundua kna kit anacho akilin
Huyo ndiyo msukuma anayesema ukweli mtupu
PhD ya heshima
Ff4
Ni mmoja ya wabunge mashujaa
Wasomi hao wanaojiita Ma Doctor ndio wenzi na wapumbavu sana na Msukuma ana akili nyingi sana siyo za kusomea ana akili za kuzaliwa toka kwa Mungu hivyo hao wasomi wa madarasani ni kuiba mitihani na kujipa Degree wakisema wamesoma kumbe hovyo kabisa. Tanzania tungekuwa na Watu 20 km Msukuma Tanzania tungekuwa mbali sana.
Darasa la Saba oyeee
wasomi asilimia 79 hovyooooo
uhalisia wa maisha yetu waafrka,unahitaji maamuzi tu,nchi ina mitaji ya kutosha,tunawakodolea mataifa ya watu weupe macho?
wapeni hawa watu nafasi kubwa,tuangalie utendaji wao nao
Safi ndio inatakiwa uzalendo kama huu
Bw. Napoleon Bornapathe aliwahi kutuambia “"Never interrupt your enemy when he is making a mistake.” “Usimshtue/usimuingilie adui yako pindi anapofanya makosa”
Kama nikupigwa,watanzania tunapigwa,Mungu tuhurumie,ccm mko wapi?
Muheshimiwa msukuma, wewe ni magufuri, Yani ukisimama wewe namuona magufuri kasimama, dah! Mpaka machozi🤔🤔😭😭😭
Hakika hii nchi kunabaazi yaviongoz Wana tiahasira sana, ila ipo cku mtatapika namlichomeza endeleen nakujiaminisha kuwa hii nchi niyenu😮😮😮
Kutoka kwa wasukuma Kuna watu vichwa sana mm nawakabali sana
Namkubali sana mungu amlinde
Halafu eti wanawapiga vita darasa la 7 !!!loh 😢
Msukuma ni mwamba sana
100% Nakupa Musukuma kweli jimboni kwako wanajembe inatakiwa tuwe na wambuge kama wewe Hongera sana MH
Ila wasukuma wanauwezo na hawana woga wako vzr raisi mwingne atokee uko uko
Sana
SAFI SANA LY DALASALA SABA MH KING MSUKUMA
Hii sehemu ya Taarifa inapoteza mda haina maaana
Unakili sana jamaaaa
Upo ok
TRA ndo kikwazo kuliko kitu chochotea kwa nchi hii wanasumbua Sana wafanyabiashara
Good 👍
Safi sana msukuma wewe kweli ni Docta.
Huyu jamaa..mwenyezi mungu amuweke sanaa
Msukuma uko vizuri lakini kwenye bandari umelambishwa asali
Shida sionii Watuu waku support jamaaan what's wrong kila siku msukuma yupo mbele wengine mwaogopa or
Hicho kiwanda ni ni msoga si ndo . wenye nchi. Wimbo wa roma mkatoliki.
Msukuma Mungu akubariki
Huyu ni zaidi ya wasomi
Safi
Asande musukuma mjane🇹🇿✋
Hii ni akili za ya kuzaliwa sio ya shuleni, big up Msukuma ,
Kazi iendeleee wabunge teteeni haki za watanzania.
Good
Fact mr dokt msukuma
Mtani wangu mungu akulinde maaana hawapendi ukweli
Sitaki taarifa 😂😂😂😂❤
Unafaa Sana Baba,nayo kweli itawaweka huru
Pamoja sana
Hahaaaaaa shikamoo msukumaaa
Wewe ni Rais ajaye
Uelewa sio kusoma mpaka upate dngrii mnamuona msukuma. MUNGU atupe nani zaidi ya huyu mtetezi .
Vamoos! Kasheku!!
Facts
Huyu jamaa angesoma sijuw ingekuwaje
Angekuwa kama wasomi wetu walivyo tu ndiyo shida hapo
Angeharibika
Asingekuwa na akili kama waliosoma
super talent ,,,,,bigup mr kagasheki
P
Kusamehe wakwepa Kodi ni kosa kubwa. Marekani wakwepa wanafungwa na wanafirisiwa hawasamehewi serikari nyingi duniani zinaendeshwa na kodi. Kwahiyo mnasamehe kodi alafu mnaenda kukopa. Mnasamehe watu madeni alafu serikari inakopa kujiongezea madeni. Hayo ndio mambo ya kuvuja nyama mchuzi unabaki. Tunatiwa changa la macho. Msukuma ni mdaiwa ndio maana anataka tra wasamehe madeni. Na tozo msitoze zinawaibia wananchi wana lipa kodi mara nyingi kwa mshahara mmoja.
TRA leo wamekula 20,000 ki nguvu
Kwani apo msukuma alimpaa nini uyo mwenzake apo🤔🤔🤔 au nime ona mimi tu
Simu iliwaka ni kama imeita ndo akampa
Wanakula urefu wa kamba yao sawa sawa na maagizo
Uwo niwizi mtupu.kwahalihiyo nchi haitoenderea.
Msukuma anapaswa apewe nchi
Aaahhh imeelewa
Shida ni kwamba haya yanazungumzwa yanaishia uko bungeni mwakani atakuja tena kuyauliza yaleyale ovyo kabisa
Mbali na Dr wa heshima,msukuma wewe ni Mzalendo kweli kweli na wazalendo ktk taifa ili ni wachache mno
Yn km nusu ya viongozi wadizaini ya msukuma tungekuwa nao taifa ili lingekuwa mbali kiuchumi na watanzania tungekuwa tunajinadi
Sasa yamebaki majizi tu 😢😢
Do world
Kubali kataa wasukuma wana akili
Hivi mnauhakika ni darasa la saba B??huyu jamaa anatudaganya huyo ni profesa kbx
Natamani nikutane na huyu jamaaa angalau tule na kunywa pamoja
Hakipoo hicho kiwanda chalinze
Nikionaga hoja za dr msukuma huwa siwez pita bila kuzisikiliza MUNGU AKUSIMAMIE
Unatisha ly
Ndiyo upumbavu wa hii Nchi
Huyu bwana msukuma wakati mwingine huwa yuko makini .Hivi kweli kama hivi ndivyo mmmmmh nchi hii vipi?
Siku zote ukweli unauma pambano musukuma
Vijana wa kitaa wanasema "Ameuwaaaaaa"
Bora wewe kuliko wenye phd