MBUNGE MUSUKUMA AHOJI KIWANDA CHA CHALINZE SIMENTI, AMTAJA RIDHIWANI “HIZI DILI ZITATUMALIZA”

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 май 2023

Комментарии • 160

  • @abdulrazackkipingu5437
    @abdulrazackkipingu5437 Год назад +17

    Namuona kama magufuli ajaye miaka ya mbeleni hapo Congratulations 👏👏 👏

  • @rosechuwa9493
    @rosechuwa9493 Год назад +30

    Huyu jamaa ni muhimu sana kwenye taifa letu la Tanzania. Mungu akubariki sana msukuma

  • @honoratamafala6968
    @honoratamafala6968 Год назад +16

    Yaani Tanzania tungekuwa na Msukuma wanne tuu na wa tano wakutekeleza ,tungekuwa mbali mmno.ila janjajanja nyinngi ,wakusikia na kutekeleza hawapo kabisa inauma mno.Msukuma Mungu akujaze hekima ,utamshangaa Mungu pale atakapokupa ukuu wa nchi.amina.

  • @gasparmhapa1329
    @gasparmhapa1329 Год назад +18

    Hii nchi Ina watu wa ajabu sana? Wabunge wote wangekuwa kama msukuma tungefika mbali sana. Big up Msukuma.

    • @buswerumanyama971
      @buswerumanyama971 Год назад +1

      Ww noma sana

    • @uredmwasembo8579
      @uredmwasembo8579 Год назад +1

      Daaih ih nnchi ila. mungu yupo

    • @leonardmwayeya13
      @leonardmwayeya13 6 месяцев назад

      Msukuma unapiga pabaya hapa hatutumi akiri kuongoza tunatumia nguvu madaraka sio uongozi bari wanafanya wanavyo jisikia

  • @psj1564
    @psj1564 Год назад +14

    Lasaba wako vizuri kuliko wenye digrii

  • @HashimMpenja-tq9ft
    @HashimMpenja-tq9ft Год назад +13

    Msukuma n mtu muhimu sana bungeni maana hafichi kitu yeye anaongeya ukweli mtu Allah amfanyie wepec na amlinde maana dah!!!

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 Год назад +24

    I love Msukuma kwa kweli, huyu wala sio degree ya kheshima hii ni ya darasani kabisa, hao waliokalia degree za shule hawana kitu

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 Год назад +10

    Kuna Mhe Msukuma na Mhe Kishimba huwa nawakubali sana

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 Год назад +13

    Msukuma umeongea facts kweli,big up.

  • @spiderelexander9977
    @spiderelexander9977 Год назад +9

    Msukuma uko vzr sana sema wanatumia usomi wao kukukwepa kijanja.

  • @amosmwanga4027
    @amosmwanga4027 Год назад +9

    Musukuma Mungu akuweke miaka buku100

  • @hassanidrisankingilea8827
    @hassanidrisankingilea8827 Год назад +18

    Dr. Msukuma ni ana akili sana sema hawa majamaa ni wanaiba bila hata kutumia akili
    Dr. Endelea kuwanyoosha

  • @Kristofanitv4120
    @Kristofanitv4120 Год назад +12

    Hongera sana msukuma,huyu ni mzalendo wa kweli

  • @mamaluusoap5834
    @mamaluusoap5834 Год назад +8

    Kanda ya ziwa Ina watu vichwaaa

  • @martinmadodo4666
    @martinmadodo4666 Год назад +1

    Hongera Mh Joseph Kasheku,unawapita kwa hoja Madoctor Uchwara...

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 Год назад +6

    Hongera sana mh Msukuma

  • @nayopamlimbatv1382
    @nayopamlimbatv1382 Год назад +8

    Uyu kweli Dr wa heshima

  • @annawillbard4138
    @annawillbard4138 Год назад +8

    Uko vizuri sana Msukuma

  • @rosemuhandoofficial5676
    @rosemuhandoofficial5676 Год назад +9

    Khaaa!! Mbona hi taaarifa ni kama ugomvi jamani!!!

    • @angelchimamy9775
      @angelchimamy9775 Год назад

      Hapana anasema ukweli ndo maaaana mpka anaskia hasila

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.8793 Год назад +13

    2025 amkeni Watanganyika muikombowe nchi yenu kutoka kwenye mikono ya raisi. wa sanamu na walaji wanao muwezesha

  • @DAUDENOS-hn7go
    @DAUDENOS-hn7go 8 месяцев назад +1

    Hongera sana mbunge msukuma upo sawa kabisaa. Hapa chato nyamirembe

  • @mgemamgema95
    @mgemamgema95 Год назад +2

    Uko vizuri sana Dr musukuma

  • @octavianmushi
    @octavianmushi Год назад +5

    Msukumaaaa uko vizuri sanaaaaa😂❤

  • @migerajacob581
    @migerajacob581 Год назад +6

    Hongera kwa kupiga kelele ila hovyo ndivyo Nchi hii inavyo kwenda, nation cake inaliwa na watu wa chache,,

  • @samwelhechei8537
    @samwelhechei8537 Год назад +4

    Upo vizuri Dr

  • @edimundrevelian1246
    @edimundrevelian1246 Год назад +7

    Ila Mh. Msukuma wewe ni zaidi ya Dr.

  • @mako331
    @mako331 Год назад +7

    Yani ukimsikiliza huyu jamaa utatamani kulia machozi jinsi Watanzania maskini wanavyoibiwa! Ni kama wapiga dili sasa wameamka wote kutoka mafichoni kila kona ni dili tu , haya mama kazi kwako

  • @chybuwagwantaz8054
    @chybuwagwantaz8054 Год назад +8

    Namkubali sana msukuma

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Год назад +13

    Sema msukuma dili ziko chalinze kwa wauza madawa ya kulevya tumewachoka kweli kweli timu msoga tunaomba na wao wafe kama walivyomuua magufuli

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc Год назад +6

    Msukuma anatemaga facts sana 😅

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl Год назад +10

    Nampenda xana msukuma anauchungu xana na wanachi WA Tanzania

  • @mamaluusoap5834
    @mamaluusoap5834 Год назад +4

    Unafaa kuwa RAIS WETU MSUKUMAA

  • @deogratiuswambura7597
    @deogratiuswambura7597 Год назад +3

    Musukuma nakuerewa sana kuna mambo ukweli ayaitaji erim

  • @fintanmkesha1077
    @fintanmkesha1077 Год назад +7

    Mkiambiwa mtu anapotunukiwa u dr kama huo wat wamemfatilia sana nawakagundua kna kit anacho akilin

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 Год назад +3

    Huyo ndiyo msukuma anayesema ukweli mtupu

  • @rohomtv1115
    @rohomtv1115 Год назад +8

    PhD ya heshima

  • @petrohaonga4353
    @petrohaonga4353 Год назад +2

    Ni mmoja ya wabunge mashujaa

  • @victormtani7170
    @victormtani7170 Год назад +6

    Wasomi hao wanaojiita Ma Doctor ndio wenzi na wapumbavu sana na Msukuma ana akili nyingi sana siyo za kusomea ana akili za kuzaliwa toka kwa Mungu hivyo hao wasomi wa madarasani ni kuiba mitihani na kujipa Degree wakisema wamesoma kumbe hovyo kabisa. Tanzania tungekuwa na Watu 20 km Msukuma Tanzania tungekuwa mbali sana.

    • @ndewariopeter
      @ndewariopeter Год назад

      Darasa la Saba oyeee
      wasomi asilimia 79 hovyooooo
      uhalisia wa maisha yetu waafrka,unahitaji maamuzi tu,nchi ina mitaji ya kutosha,tunawakodolea mataifa ya watu weupe macho?
      wapeni hawa watu nafasi kubwa,tuangalie utendaji wao nao

  • @mwitawakimara3649
    @mwitawakimara3649 Год назад +6

    Safi ndio inatakiwa uzalendo kama huu

  • @chaulachaulaya5259
    @chaulachaulaya5259 Год назад +1

    Bw. Napoleon Bornapathe aliwahi kutuambia “"Never interrupt your enemy when he is making a mistake.” “Usimshtue/usimuingilie adui yako pindi anapofanya makosa”

  • @aminimushi6945
    @aminimushi6945 Год назад +3

    Kama nikupigwa,watanzania tunapigwa,Mungu tuhurumie,ccm mko wapi?

  • @jacksondaniel5577
    @jacksondaniel5577 Год назад +2

    Muheshimiwa msukuma, wewe ni magufuri, Yani ukisimama wewe namuona magufuri kasimama, dah! Mpaka machozi🤔🤔😭😭😭

  • @geraldndila5172
    @geraldndila5172 Год назад +3

    Hakika hii nchi kunabaazi yaviongoz Wana tiahasira sana, ila ipo cku mtatapika namlichomeza endeleen nakujiaminisha kuwa hii nchi niyenu😮😮😮

  • @meshacknyandongo577
    @meshacknyandongo577 22 дня назад

    Kutoka kwa wasukuma Kuna watu vichwa sana mm nawakabali sana

  • @user-fk3wi6nj1i
    @user-fk3wi6nj1i Год назад +1

    Namkubali sana mungu amlinde

  • @emmanuelletema8385
    @emmanuelletema8385 Год назад +2

    Halafu eti wanawapiga vita darasa la 7 !!!loh 😢

  • @malimusi-uf4ib
    @malimusi-uf4ib Год назад +3

    Msukuma ni mwamba sana

  • @eliudkibona7138
    @eliudkibona7138 Год назад

    100% Nakupa Musukuma kweli jimboni kwako wanajembe inatakiwa tuwe na wambuge kama wewe Hongera sana MH

  • @cosein
    @cosein Год назад +4

    Ila wasukuma wanauwezo na hawana woga wako vzr raisi mwingne atokee uko uko

  • @kelvinimasagasi7398
    @kelvinimasagasi7398 Год назад +1

    SAFI SANA LY DALASALA SABA MH KING MSUKUMA

  • @lennymallya
    @lennymallya Год назад +4

    Hii sehemu ya Taarifa inapoteza mda haina maaana

  • @waziriuledi6322
    @waziriuledi6322 Год назад +5

    Unakili sana jamaaaa

  • @SalminTenga-fx6wi
    @SalminTenga-fx6wi 19 дней назад

    Upo ok

  • @kitovagvankiwele3447
    @kitovagvankiwele3447 Год назад +3

    TRA ndo kikwazo kuliko kitu chochotea kwa nchi hii wanasumbua Sana wafanyabiashara

  • @BuluguJames
    @BuluguJames 23 дня назад

    Good 👍

  • @robertabel6984
    @robertabel6984 Год назад

    Safi sana msukuma wewe kweli ni Docta.

  • @mohamedithabiti4476
    @mohamedithabiti4476 Год назад

    Huyu jamaa..mwenyezi mungu amuweke sanaa

  • @tatoorashedi1787
    @tatoorashedi1787 11 месяцев назад

    Msukuma uko vizuri lakini kwenye bandari umelambishwa asali

  • @vicentmlumba591
    @vicentmlumba591 Год назад +2

    Shida sionii Watuu waku support jamaaan what's wrong kila siku msukuma yupo mbele wengine mwaogopa or

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Год назад +3

    Hicho kiwanda ni ni msoga si ndo . wenye nchi. Wimbo wa roma mkatoliki.

  • @leticiaboniface2949
    @leticiaboniface2949 Год назад

    Msukuma Mungu akubariki

  • @mohdmood9726
    @mohdmood9726 Год назад +3

    Huyu ni zaidi ya wasomi

  • @ChongemarwaChongemarwa-qz4hy
    @ChongemarwaChongemarwa-qz4hy Месяц назад

    Safi

  • @JumaKamasa-kl6pz
    @JumaKamasa-kl6pz Месяц назад

    Asande musukuma mjane🇹🇿✋

  • @kenjoseph3337
    @kenjoseph3337 Год назад

    Hii ni akili za ya kuzaliwa sio ya shuleni, big up Msukuma ,

  • @RamiaRess-tu8it
    @RamiaRess-tu8it 9 месяцев назад

    Kazi iendeleee wabunge teteeni haki za watanzania.

  • @simonmathias3969
    @simonmathias3969 Год назад +1

    Good

  • @mlewamlewa976
    @mlewamlewa976 Год назад

    Fact mr dokt msukuma

  • @Vitusseleman
    @Vitusseleman 10 месяцев назад

    Mtani wangu mungu akulinde maaana hawapendi ukweli

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Год назад +1

    Sitaki taarifa 😂😂😂😂❤

  • @catherinemuya-zm1mr
    @catherinemuya-zm1mr 23 дня назад

    Unafaa Sana Baba,nayo kweli itawaweka huru

  • @frankthomas6509
    @frankthomas6509 Год назад +1

    Pamoja sana

  • @annajohn2488
    @annajohn2488 Год назад +1

    Hahaaaaaa shikamoo msukumaaa

  • @antonynhungo8641
    @antonynhungo8641 Год назад

    Wewe ni Rais ajaye

  • @DAUDENOS-hn7go
    @DAUDENOS-hn7go 8 месяцев назад

    Uelewa sio kusoma mpaka upate dngrii mnamuona msukuma. MUNGU atupe nani zaidi ya huyu mtetezi .

  • @kenjoseph3337
    @kenjoseph3337 Год назад

    Vamoos! Kasheku!!

  • @kibonajuhudi4214
    @kibonajuhudi4214 Год назад

    Facts

  • @anthonycharles1551
    @anthonycharles1551 Год назад +3

    Huyu jamaa angesoma sijuw ingekuwaje

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 Год назад +2

    super talent ,,,,,bigup mr kagasheki

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 Год назад +2

    Kusamehe wakwepa Kodi ni kosa kubwa. Marekani wakwepa wanafungwa na wanafirisiwa hawasamehewi serikari nyingi duniani zinaendeshwa na kodi. Kwahiyo mnasamehe kodi alafu mnaenda kukopa. Mnasamehe watu madeni alafu serikari inakopa kujiongezea madeni. Hayo ndio mambo ya kuvuja nyama mchuzi unabaki. Tunatiwa changa la macho. Msukuma ni mdaiwa ndio maana anataka tra wasamehe madeni. Na tozo msitoze zinawaibia wananchi wana lipa kodi mara nyingi kwa mshahara mmoja.

  • @souksoukeventsandmarketing653
    @souksoukeventsandmarketing653 Год назад +2

    TRA leo wamekula 20,000 ki nguvu

  • @brayanjames9953
    @brayanjames9953 Год назад +2

    Kwani apo msukuma alimpaa nini uyo mwenzake apo🤔🤔🤔 au nime ona mimi tu

    • @mandava4153
      @mandava4153 3 месяца назад

      Simu iliwaka ni kama imeita ndo akampa

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 Год назад +1

    Wanakula urefu wa kamba yao sawa sawa na maagizo

  • @Saiddoti
    @Saiddoti 15 дней назад

    Uwo niwizi mtupu.kwahalihiyo nchi haitoenderea.

  • @user-hk6ls3yw9q
    @user-hk6ls3yw9q 13 дней назад

    Msukuma anapaswa apewe nchi

  • @andrewkitaly6003
    @andrewkitaly6003 Год назад

    Aaahhh imeelewa

  • @fridoliusrushunju9093
    @fridoliusrushunju9093 Год назад +1

    Shida ni kwamba haya yanazungumzwa yanaishia uko bungeni mwakani atakuja tena kuyauliza yaleyale ovyo kabisa

  • @magesagambajr3546
    @magesagambajr3546 Год назад

    Mbali na Dr wa heshima,msukuma wewe ni Mzalendo kweli kweli na wazalendo ktk taifa ili ni wachache mno
    Yn km nusu ya viongozi wadizaini ya msukuma tungekuwa nao taifa ili lingekuwa mbali kiuchumi na watanzania tungekuwa tunajinadi
    Sasa yamebaki majizi tu 😢😢

  • @AbdyJuma-oq2xg
    @AbdyJuma-oq2xg 9 месяцев назад

    Do world

  • @piusmayanga
    @piusmayanga Год назад +2

    Kubali kataa wasukuma wana akili

  • @leonarddimdoy6237
    @leonarddimdoy6237 Год назад

    Hivi mnauhakika ni darasa la saba B??huyu jamaa anatudaganya huyo ni profesa kbx

  • @yahyajuma8793
    @yahyajuma8793 Год назад

    Natamani nikutane na huyu jamaaa angalau tule na kunywa pamoja

  • @user-ej5xu7hi7n
    @user-ej5xu7hi7n Месяц назад

    Hakipoo hicho kiwanda chalinze

  • @raphaelukani2637
    @raphaelukani2637 Год назад

    Nikionaga hoja za dr msukuma huwa siwez pita bila kuzisikiliza MUNGU AKUSIMAMIE

  • @mosessiame924
    @mosessiame924 3 месяца назад

    Unatisha ly

  • @user-jc8vt7ct9t
    @user-jc8vt7ct9t 17 дней назад

    Ndiyo upumbavu wa hii Nchi

  • @salummhina4857
    @salummhina4857 Год назад +1

    Huyu bwana msukuma wakati mwingine huwa yuko makini .Hivi kweli kama hivi ndivyo mmmmmh nchi hii vipi?

  • @user-je9gk5tl5h
    @user-je9gk5tl5h 7 месяцев назад

    Siku zote ukweli unauma pambano musukuma

  • @jesuinababili2280
    @jesuinababili2280 Год назад

    Vijana wa kitaa wanasema "Ameuwaaaaaa"

  • @kimingowameno4068
    @kimingowameno4068 Год назад +1

    Bora wewe kuliko wenye phd