🔴LIVE: MAKONDA ashitukiza mpaka wa NAMANGA, wananchi wamlilia, awabana watendaji wa serikali
HTML-код
- Опубликовано: 18 апр 2024
- ..................
Kwa taarifa zaidi subscribe channel yetu na endelea kutufuatilia kupitia mitandao ya kijamii
Instagram, Twitter na Facebook - Развлечения
Mwamba, Mwamba huyu hapa oyeeeeee 🎉🎉🎉 Mh Makonda kiukweli kila sekta anakubalika, Mungu asimame na ww
Makonda Mungu Amueke ni kiongozi wa mfano mwenye upendo wa wananchi na ni mzalendo mwenye huruma na mcha Mungu God blessing Makonda
Huyu ndio kiongozi anayetakiwa...Salute kwake Makonda
Makonda uko right kabisa. Customer service Tanzania ni zero
Kila chaka anafaa hata mkimpa kitongoji atanyosha palipo pinda big up sana kiongozi
Safi kabisa Mh. Makonda unattended haki Nchi yako kwa kuwaelimisha hao TRA wanatesa watu sana hasa wafanya biashara ndogo. Mungu akulinde Makonda.
Mh rais mama Samia neno langu kwako kama mkuu was nchi makonda nikiongozi Tena niwakuigwa kama mtaona awafeni sisi kama Wana nchi tunaomba mtuachie sisi wenye inchi tutajuwa pakumuweka pamoja na mungu wetu
Mkuu WA mkoa Leo humepgwa point tupuuuuuu❤
Rais ajae jamni mungu amwekee
Makonda chumaaaaaa barikiwa sana one day yes keep it
Mama Samia apo kazi indelee
Nakukubali bro
Kazi nzr kaka yangu kazi iendelee
Mwamba huyu hapa huyu chapa kazi kaka yangu nakupenda sana unachapa kazi mama samia oyeeee❤
Wewe ni kiongozi wa kuigwa
Nc thanks for letting me thanks so much
Unafaa kuwa raisi munguakupe maishamarefutu
Kaka hapo ni kama mahakamani bila roho ngumu Namanga watu wanaiogopa sana
Mama Samia usimuache uyu kijana mafanikio yake yapo mikonon mwako sababu wewe mungu amekuchaguwa amani kwako Raisi wetu mama Samia
Yani nchi hii mpaka wananchi wake ni vigeugeu
🙏 Ameeeein 🇹🇿🇰🇪
Nakukubali sana
LEMA KWA HUYU KAFELI 😂😂😂 JAMAA ANANYOTA YAKE TU
Gwajima
Keel kabisa
Makonda ana kipaji cha uwongozi pia hapendi uzembe pia ni mwepesi kugundua dosali hata ukimficha atagundua.Mh RAISI SAMIA endelea kumlea vizuri
2009 mpaka 2024 ni miaka 5 iliopita si sita
rais wa chuga anasimama popote sjawahi ona mkuu yoyote wa mkoa anae simam juu ya ukuta kuskiliza wananchi😂😂uyu na chalamila utasema wamezaliwa pamoja yani
Makonda kiongozi wakuigwa
Mama Sena kwel
Alivyo makonda na anavyo taka nchi iende ki uwazi na kisasa kabisa na akiweza basi Arusha itakuwa Singapore
Nchi hii ingekuwa na wakuy wa wilaya na mikoa km Makonda nchi hii na wNchi wake tungekuwa na furaha sana
❤
Natamani uwe rais hata leo
Mh. Makonda watu wako hao mizigo yako hiyo. Watu wanakulilia.
5:21
🎉
Advatise muhimu mkuu kuanzia hapo border patangaze utalii wetu
Safi mkuu mkoa
Makonda waambie hapo namanga waige askari mmoja aliyesaidia watalii walioharibikiwa gari porini hatimaye watalii Hao waliporudi ujerumani waliisifia sana nchi yetu kwa huduma bora za ocs huyo wa namanga
ARUSHA HAPO MMEPATA CHUMA, VILIO VYA WANYONGE VIMEISHA
Huyu akiwa rais itakuwaje jamani
Mungu watu wanashida jamani
Hapo Namanga wakaangalie Mtukula kwani wameboresha kwamba wewe ukiingia Mtukula Tanzania uhamiaji wapo maafisa wa Tanzania na maafisa wa Uganda wako kwenye jengo moja unamaliza shughuli zote humohumo ukitoka nikupanda bus tu.
Asee uyu mfisa yupo vzr sana awa watu wanatakiwa sana ongera sana kka ynguakonda
Huyu ni rais wa 2035
Acha ujinga
Mashaallah.. Mungu akuongoze siku moja uje kuwa Raisi wa Tanzania
Mwamba
Mh rais mama Samia neno langu kwako kama mkuu was nchi makonda nikiongozi Tena niwakuigwa kama mtaona awafeni sisi kama Wana nchi tunaomba mtuachie sisi wenye inchi tutajuwa pakumuweka pamoja na mungu wetu
❤
Humu mipakani Kuna changamoto nyingi hata rusumo Kuna rushwa sana .
Mh rais mama Samia neno langu kwako kama mkuu was nchi makonda nikiongozi Tena niwakuigwa kama mtaona awafeni sisi kama Wana nchi tunaomba mtuachie sisi wenye inchi tutajuwa pakumuweka pamoja na mungu wetu
Mimi nalia kila Makonda anapo ongea ananigusa sana mama Samia mimi naishi Ireland ila kiukweli mama huyu Makonda anatufaa kuwa waziri wa septa fulani usijali mama yetu watu wanaomchukia Makonda usiwaunge mkono huyu ni mwamba na pesa ni za Wananchi siyo za watu binafsi wsliokaa madarakzni mama Samia Makonda tuna muhitaji sis wznanchi tunampenda sana