🔴LIVE: MAKONDA ashitukiza mpaka wa NAMANGA, wananchi wamlilia, awabana watendaji wa serikali

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 апр 2024
  • ..................
    Kwa taarifa zaidi subscribe channel yetu na endelea kutufuatilia kupitia mitandao ya kijamii
    Instagram, Twitter na Facebook
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 55

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 16 дней назад +10

    Mwamba, Mwamba huyu hapa oyeeeeee 🎉🎉🎉 Mh Makonda kiukweli kila sekta anakubalika, Mungu asimame na ww

  • @mohdsaid8744
    @mohdsaid8744 14 дней назад +3

    Makonda Mungu Amueke ni kiongozi wa mfano mwenye upendo wa wananchi na ni mzalendo mwenye huruma na mcha Mungu God blessing Makonda

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 2 дня назад

    Huyu ndio kiongozi anayetakiwa...Salute kwake Makonda

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 16 дней назад +5

    Makonda uko right kabisa. Customer service Tanzania ni zero

  • @user-qj2fz8uq3j
    @user-qj2fz8uq3j 16 дней назад +9

    Kila chaka anafaa hata mkimpa kitongoji atanyosha palipo pinda big up sana kiongozi

  • @devotatarimo8141
    @devotatarimo8141 15 дней назад +1

    Safi kabisa Mh. Makonda unattended haki Nchi yako kwa kuwaelimisha hao TRA wanatesa watu sana hasa wafanya biashara ndogo. Mungu akulinde Makonda.

  • @IsmailMatola
    @IsmailMatola 16 дней назад +3

    Mh rais mama Samia neno langu kwako kama mkuu was nchi makonda nikiongozi Tena niwakuigwa kama mtaona awafeni sisi kama Wana nchi tunaomba mtuachie sisi wenye inchi tutajuwa pakumuweka pamoja na mungu wetu

  • @user-pt7lc4xu3d
    @user-pt7lc4xu3d 16 дней назад +4

    Mkuu WA mkoa Leo humepgwa point tupuuuuuu❤

  • @hezronmangulamangula9718
    @hezronmangulamangula9718 16 дней назад +4

    Rais ajae jamni mungu amwekee

  • @dundocostantine4018
    @dundocostantine4018 16 дней назад +1

    Makonda chumaaaaaa barikiwa sana one day yes keep it

  • @user-pt7lc4xu3d
    @user-pt7lc4xu3d 16 дней назад +5

    Mama Samia apo kazi indelee

  • @ellymagoke6079
    @ellymagoke6079 9 часов назад

    Nakukubali bro

  • @lizzykoyo9307
    @lizzykoyo9307 9 дней назад

    Kazi nzr kaka yangu kazi iendelee

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 15 дней назад

    Mwamba huyu hapa huyu chapa kazi kaka yangu nakupenda sana unachapa kazi mama samia oyeeee❤

  • @hezronmangulamangula9718
    @hezronmangulamangula9718 16 дней назад +4

    Wewe ni kiongozi wa kuigwa

  • @MosesKaponda
    @MosesKaponda 5 дней назад

    Nc thanks for letting me thanks so much

  • @user-rt4nr7wk9k
    @user-rt4nr7wk9k 16 дней назад +1

    Unafaa kuwa raisi munguakupe maishamarefutu

  • @clemenceshoo7377
    @clemenceshoo7377 16 дней назад +2

    Kaka hapo ni kama mahakamani bila roho ngumu Namanga watu wanaiogopa sana

  • @bakarimusa6297
    @bakarimusa6297 15 дней назад

    Mama Samia usimuache uyu kijana mafanikio yake yapo mikonon mwako sababu wewe mungu amekuchaguwa amani kwako Raisi wetu mama Samia

  • @OdenBidili-lj5qi
    @OdenBidili-lj5qi 16 дней назад +2

    Yani nchi hii mpaka wananchi wake ni vigeugeu

  • @johnokuyu
    @johnokuyu 16 дней назад

    🙏 Ameeeein 🇹🇿🇰🇪

  • @FunnyHikingWaterfall-wv7dc
    @FunnyHikingWaterfall-wv7dc 16 дней назад

    Nakukubali sana

  • @AllyMaya-yj3xd
    @AllyMaya-yj3xd 16 дней назад +1

    LEMA KWA HUYU KAFELI 😂😂😂 JAMAA ANANYOTA YAKE TU

  • @mamaamima1055
    @mamaamima1055 13 дней назад

    Gwajima

  • @ZaituniAthuman-gd6op
    @ZaituniAthuman-gd6op 4 дня назад

    Keel kabisa

  • @MzamiduKajuna
    @MzamiduKajuna 16 дней назад

    Makonda ana kipaji cha uwongozi pia hapendi uzembe pia ni mwepesi kugundua dosali hata ukimficha atagundua.Mh RAISI SAMIA endelea kumlea vizuri

  • @MosesKaponda
    @MosesKaponda 5 дней назад

    2009 mpaka 2024 ni miaka 5 iliopita si sita

  • @hassan-sarumbo
    @hassan-sarumbo 16 дней назад +1

    rais wa chuga anasimama popote sjawahi ona mkuu yoyote wa mkoa anae simam juu ya ukuta kuskiliza wananchi😂😂uyu na chalamila utasema wamezaliwa pamoja yani

  • @HassanKingaz
    @HassanKingaz 16 дней назад +1

    Makonda kiongozi wakuigwa

  • @ZaituniAthuman-gd6op
    @ZaituniAthuman-gd6op 4 дня назад

    Mama Sena kwel

  • @AhmedHassan-vl5zf
    @AhmedHassan-vl5zf 7 дней назад

    Alivyo makonda na anavyo taka nchi iende ki uwazi na kisasa kabisa na akiweza basi Arusha itakuwa Singapore

  • @user-jh4hg2ev9s
    @user-jh4hg2ev9s 16 дней назад

    Nchi hii ingekuwa na wakuy wa wilaya na mikoa km Makonda nchi hii na wNchi wake tungekuwa na furaha sana

  • @MosesKaponda
    @MosesKaponda 5 дней назад

  • @kamilusmgaya6476
    @kamilusmgaya6476 15 дней назад

    Natamani uwe rais hata leo

  • @RobertMachenga-tz3re
    @RobertMachenga-tz3re 16 дней назад

    Mh. Makonda watu wako hao mizigo yako hiyo. Watu wanakulilia.

  • @HassanKingaz
    @HassanKingaz 16 дней назад

    5:21

  • @Heismasai
    @Heismasai 16 дней назад

    🎉

  • @SaidRajhi-ev3hm
    @SaidRajhi-ev3hm 16 дней назад

    Advatise muhimu mkuu kuanzia hapo border patangaze utalii wetu

  • @user-sg6lz5nw7b
    @user-sg6lz5nw7b 16 дней назад

    Safi mkuu mkoa

  • @user-ff4sh6lq7t
    @user-ff4sh6lq7t 8 дней назад

    Makonda waambie hapo namanga waige askari mmoja aliyesaidia watalii walioharibikiwa gari porini hatimaye watalii Hao waliporudi ujerumani waliisifia sana nchi yetu kwa huduma bora za ocs huyo wa namanga

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u 15 дней назад

    ARUSHA HAPO MMEPATA CHUMA, VILIO VYA WANYONGE VIMEISHA

  • @hezronmangulamangula9718
    @hezronmangulamangula9718 16 дней назад

    Huyu akiwa rais itakuwaje jamani

  • @mossyfimbo3577
    @mossyfimbo3577 15 дней назад

    Mungu watu wanashida jamani

  • @RobertMachenga-tz3re
    @RobertMachenga-tz3re 16 дней назад

    Hapo Namanga wakaangalie Mtukula kwani wameboresha kwamba wewe ukiingia Mtukula Tanzania uhamiaji wapo maafisa wa Tanzania na maafisa wa Uganda wako kwenye jengo moja unamaliza shughuli zote humohumo ukitoka nikupanda bus tu.

  • @user-pt7lc4xu3d
    @user-pt7lc4xu3d 16 дней назад +1

    Asee uyu mfisa yupo vzr sana awa watu wanatakiwa sana ongera sana kka ynguakonda

  • @hezronmangulamangula9718
    @hezronmangulamangula9718 16 дней назад

    Huyu ni rais wa 2035

  • @bakarimusa6297
    @bakarimusa6297 15 дней назад

    Mashaallah.. Mungu akuongoze siku moja uje kuwa Raisi wa Tanzania

  • @FunnyHikingWaterfall-wv7dc
    @FunnyHikingWaterfall-wv7dc 16 дней назад

    Mwamba

  • @IsmailMatola
    @IsmailMatola 16 дней назад +2

    Mh rais mama Samia neno langu kwako kama mkuu was nchi makonda nikiongozi Tena niwakuigwa kama mtaona awafeni sisi kama Wana nchi tunaomba mtuachie sisi wenye inchi tutajuwa pakumuweka pamoja na mungu wetu

  • @user-ek6on1rh9x
    @user-ek6on1rh9x 16 дней назад

  • @othmanali7408
    @othmanali7408 16 дней назад

    Humu mipakani Kuna changamoto nyingi hata rusumo Kuna rushwa sana .

  • @IsmailMatola
    @IsmailMatola 16 дней назад +2

    Mh rais mama Samia neno langu kwako kama mkuu was nchi makonda nikiongozi Tena niwakuigwa kama mtaona awafeni sisi kama Wana nchi tunaomba mtuachie sisi wenye inchi tutajuwa pakumuweka pamoja na mungu wetu

    • @janetymatola6639
      @janetymatola6639 16 дней назад

      Mimi nalia kila Makonda anapo ongea ananigusa sana mama Samia mimi naishi Ireland ila kiukweli mama huyu Makonda anatufaa kuwa waziri wa septa fulani usijali mama yetu watu wanaomchukia Makonda usiwaunge mkono huyu ni mwamba na pesa ni za Wananchi siyo za watu binafsi wsliokaa madarakzni mama Samia Makonda tuna muhitaji sis wznanchi tunampenda sana