FESTO SANGA AWAUMBUA VIONGOZI WA SIMBA| MO NA WENZAKE BADONHAWAELEWEKI HII TIMU INATAKA WATU WAKWELI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 май 2024
  • KWA HABARI NA MATANGAZO
    TUPIGIE SASA
    0753393036 CALL
    0625466848 WHATSAPP

Комментарии • 34

  • @DenisiSanga
    @DenisiSanga 13 дней назад

    Mhishimiwa ahsante kwa kutufumbua macho

  • @RahmaKhalfani-qp3vc
    @RahmaKhalfani-qp3vc 13 дней назад

    Muheshimiwa asante sana kwakuliona hilo ifike wakati sasa serikali ingilie kati tusaidieni selikali nyinyi mnamkono mrefu wakuwaondoa hao vingozi 4

  • @jumaali9243
    @jumaali9243 13 дней назад +1

    Mh. Kweli na kuunga mkono unayoyasema

  • @francisphilipo5749
    @francisphilipo5749 13 дней назад +4

    Dunian hapa uliona wap mhindi akapenda soka kwa kweli ule mkataba wa azam wa miaka kumi ulikuwa bora kwa simba bilioni 44 kwa miakaa kumi mooo mungu anakuona

  • @saimonluoga5100
    @saimonluoga5100 13 дней назад +1

    Basi MO atoke maana hana faida

  • @babycandycharles7816
    @babycandycharles7816 13 дней назад +1

    Watu wanasema chukuwachako mapema Sasa mo hameshachukuwa chake mapema simbaiyooo inaangamia bilawenyewe kujijuwa hahahaha nabado msilolijuwa sawa na usiku wa giza

  • @SebastianSteven-pt8kh
    @SebastianSteven-pt8kh 12 дней назад

    Moo siokuikwmua Simba huo nimfumo dume moo tuachie simba yetu

  • @RahmaKhalfani-qp3vc
    @RahmaKhalfani-qp3vc 13 дней назад

    Mo wewe siunasema tim inakutia hasara tunaomba utuachie simba yetu mo tuachie simba yetu

  • @user-rp6ev9ux1o
    @user-rp6ev9ux1o 13 дней назад +1

    Makocha mgunda na matola viongozi mangungu na try again ,yanga watachukua back bac

    • @wangsomollel6169
      @wangsomollel6169 13 дней назад

      😂😂😂😂tuliwaambia mmesajiliwa maboga mkakataa sasa wanamtaka bakari nondo na lomalisa wachezaji ambao awana nafasi yanga leo matola aliekaa apo miaka yote unamuamini atakupa back to back
      mbel ya hersi niuongo jidanganye😂😂

  • @jamesjames2368
    @jamesjames2368 12 дней назад

    Kwenye msafara wa mamba na "kenge" wapo.

  • @user-ri9xg8kg7i
    @user-ri9xg8kg7i 12 дней назад

    mimi.naugana.nambuge.wamakete.nisahihikabisa
    bora.mo.haondeke.tu
    ache.simba.kwaniyeyeyukokwamasaraiyake.binafsi

  • @user-ek7tp2fg8t
    @user-ek7tp2fg8t 13 дней назад

    Viongozi watoke tu

  • @PeterAlphonce-uh2mc
    @PeterAlphonce-uh2mc 13 дней назад

    Viongozi wanahujumu timu waondoke

  • @Kapandetv
    @Kapandetv 12 дней назад

    Mo atuachie timu Yetu

  • @silvanuskisinza4303
    @silvanuskisinza4303 13 дней назад +1

    Mwekezaji hapo hamna ni mjanja janja tu kama asili yake. Aondoke zake akawekeze kwenye cricket.

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 13 дней назад

      😂😂😂 Hivi bongo wanaulew huu mchezo sizan

  • @saimonluoga5100
    @saimonluoga5100 13 дней назад

    Tuombe serikali iingilie Kati

  • @babycandycharles7816
    @babycandycharles7816 13 дней назад

    Wewe Sasa umeongea ukweli mo hafai Ila mashabiki wa Simba hawajuwi panapouma wanarukaruka tu kamamaharage yanavochemka tulizeni akili mashabiki muwelenu moja ujuwe panapouma mo anaiangamiza timuyenu msiogope kusemaukweli msipofanyaivo wachezaji wote wataondoka mwambieni mo ukweli semaukweli Kaka mashabiki wenzio wengi manenotu ukweli hawaujuwi

  • @user-sc2hs6sl6f
    @user-sc2hs6sl6f 13 дней назад

    Chukua chako mapema

  • @user-ds3ry5ws9q
    @user-ds3ry5ws9q 13 дней назад

    Maneno yako sawasawa huyo muhindi atuachie timu yetu yeye ameikuta simba na aiche

  • @AbbasiMdabwa
    @AbbasiMdabwa 13 дней назад

    Kaka we mwana ume ukosahihi mo hafai kabisa kuwa mzamini

    • @sultanngoda5915
      @sultanngoda5915 13 дней назад

      Simlikua mnamtukana kingwangwala nyinyi

  • @EddySempay-qf1on
    @EddySempay-qf1on 13 дней назад

    Mmesikia maneno ya wazalendo wa Simba mbunge msema kweli huyu kaongea point wajinga ndohawato muelewa Simba nguvu moja

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 13 дней назад

    Nakuunga mkono MO atuachie timu yetu pamoj na Mangungu na Try again

  • @athmanimkangara9290
    @athmanimkangara9290 13 дней назад

    Simba
    Organization
    Structure
    Rais wa Heshima
    Mwenyekiti (Bodi)
    Wajumbe. (Bodi)
    Wajumbe21 (Ushauri)
    Mwenyekiti (klabu)
    Mkurugenzi (klabu)
    Msemaji. (klabu)
    Wanachama(Matawi)
    Wahamasishaji

  • @godfrey3926
    @godfrey3926 13 дней назад

    Ebu msituongelee timu yetu, tupo vizuri.wengi wenu ni mamluki na mmetumwa..Hata mseme vipi, Simba is still top 7 club in Africa na tunarudi vizuri.

    • @rynesalewa7043
      @rynesalewa7043 13 дней назад +1

      Em tulia wwe ndio mamluki wa yanga,tena wwe ndio shabik mandaz

    • @wangsomollel6169
      @wangsomollel6169 13 дней назад

      Kuma nina zako uko vizuri unagongwa kotekote na yanga !?miaka yote simba bila moo tena tukiwa hoiiii bila muwekezaji atujawai pigwa nje ndani na moo awezi kaa apo milele fuck u nyie nd mnazeekea nyumbani kwaakili zakuletewa kila siku ndo maana mnafrw