EXCLUSIVE INTERVIEW NA KIBU DENIS AKIZUNGUMZIA SAFARI YAKE YA MAISHA YA SOKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 апр 2023
  • СпортСпорт

Комментарии • 470

  • @chrissg4026
    @chrissg4026 Год назад +23

    Mashabiki tuchunge sana midomo yetu! Inawaharibu wachezaji wetu! Bora tujitahidi kufunga midomo yetu na kuwaachia benchi la ufundi na viongozi kuamua! Mashabiki tunapowakandia wachezaji wanaposhuka kiwango kidogo inawakatisha sana tamaa wachezaji wetu! Ona sasa Kibu tuliyekuwa tunamkandia amesharudi kwenye kiwango chake na juzi anatutoa kimasomaso! Lile shuti lilikuwa ni kombora la nyuklia💪

  • @brianitunda6051
    @brianitunda6051 Год назад +32

    Interview nzuri sana, Mungu akutunze na kuzidi kukuza kiwango chako Kibu D.

  • @muttae2
    @muttae2 Год назад +16

    Ila Ahmed anajua kuhoji vizuri sana. Full utulivu na kumsikiliza mtu amalize then swali. Big up sana man.

  • @dannydannizo8099
    @dannydannizo8099 Год назад +129

    nikiitazama na kuisikiliza hii interview namkumbuka Baraka Mpenja pale lunyasi baada ya Kibu kufunga goli la pili Baraka alisema "usimkatie mtu tamaa" Kibu ana kitu naomba mashabiki wenzangu wa simba tusimkatie tamaa"SIMBA NGUVU MOJA💪"

  • @zundahbartazal4861
    @zundahbartazal4861 Год назад +25

    Keep It Up RastaMan..Umeitafuta fursa kwa juhudi zako..

  • @omarswaleh6082
    @omarswaleh6082 Год назад +14

    Amebadilika sana yaonesha huyu kocha mbrazil ni mzuri sana wana simba tuweni na subra ikiwa kambadilisha kibo na kumfanya tegemeo la simba sio mchezo na mkubali

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Год назад +11

    Jamaa anafaa kuwa wakara. Alitambua magarasa kule Ngara akamuelekeza walipo Wachezaji. Big up Kib Dider Drogba.

  • @victorwilliam8428
    @victorwilliam8428 Год назад +12

    Red Star ya Kasulu Mjini🎉🎉

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija1957 Год назад +9

    Mm nishabiki wa yanga lkn nimevutiwa kufuatilia interview ya kibu kutokana na changa moto alizokua akipitia,tuckate tamaa kwenye maisha,Kibu amenifunza kitu💪

  • @JaribiwaRungwe-nl6gf
    @JaribiwaRungwe-nl6gf Год назад +22

    licha ya kujituma kibu unanidhamu sana uwanjan sijawahi kukuona unamfokea mtu au mpinzani ukifanyiwa rafu

  • @aureusngonyani4299
    @aureusngonyani4299 Год назад +14

    Pongezi sana kibu, izo rasta juz umewachezesha rege pale kwa mkapa noumaa

  • @amosafrica2350
    @amosafrica2350 Год назад +10

    Hiyo game ya finali Kumuyamge na Eleven Stars naikumbuka nilikuwa Bukoba. Ilikuwaga gumzo mkoa mziama hiyo Eleven Stars ya Mutukula walikuwa ni Waganda watupu. Hongera Kibu

  • @pacificalembegaspard7624
    @pacificalembegaspard7624 Год назад +17

    From black American I’m always proud of kibu d❤❤

  • @joscoboy1
    @joscoboy1 Год назад +4

    Nimemkumbuka Kibu Denis Pale Kwenye timu Ya Young Boys Pale Kigoma Daah Bro Ulikuwa Level Nyingine Brother Niliona Mzuka Wako - Watu Walikuita Msuva..!

  • @stevejeremiah4497
    @stevejeremiah4497 Год назад +6

    Kuna ile unakuwa star wa kufunga magoli, lakini kuna ule ustar unakuwa the big star ukidondosha utopolo,
    One love Mha mwezangu

  • @ericksumari6892
    @ericksumari6892 Год назад +11

    This one is ICONIC interview what a story

  • @vumiliachacha1730
    @vumiliachacha1730 Год назад +7

    Kiukweli mdogo wangu kibu nakupenda sana nilikuwa najisikia vibaya sana kwa kweliuliyokuwa unapitia,mimi binafsi nakuombeaga sana

  • @emanuelmbise2348
    @emanuelmbise2348 Год назад +21

    Every successful man has a painful story to tell and each painfull story has a successful ending,,,, hongera kibu umetokea mbali....

    • @timcee2670
      @timcee2670 Год назад

      watoto wa kishua waliovikuta wapo kwenye hilo kundi ?

  • @gabrielmathias6445
    @gabrielmathias6445 Год назад +7

    kasulu moja nakukubali kaka kama nakuona ukiwa na RED STAR KASULU

  • @simonmadiba2053
    @simonmadiba2053 Год назад +7

    No one can stop reggae

  • @mmassadieudonnengomoya8607
    @mmassadieudonnengomoya8607 Год назад +19

    Kigoma akutokagi fara we are the best for everything 🙏🏾 keep going bra 👊🏾

    • @donaldmartin-ps2ig
      @donaldmartin-ps2ig Год назад

      Sawa kigoma hatoki fara lakin huyu kigoma ni mpitaj tu kibu a boy from Congo

  • @Baba_p7295
    @Baba_p7295 Год назад +8

    Nakumbuka kipindi hicho upo team ya mtahani ukitwa jina la msuva daah umetoka mbali pambana bro 🔥🔥🔥

  • @medardnhungwa685
    @medardnhungwa685 Год назад +48

    mzee wetu magori alitabiri utakuwa tishio afrika. naona maneno yake yanaenda kutimia. kibu upo vizuri sana pamoja na baadhi ya mashabiki wa simba kutaka kukutoa kwenye reli lakini umekuwa mtulivu. kibu utafika mbali sana

    • @modestebirindwa8693
      @modestebirindwa8693 Год назад +2

      Nyinyi wa Tanzania mna zarau sana kibu mkali tokea kigoma kwenye team Ya Young Boys
      Hata huyo Ezekiel rafiki yake wa team ya Aliance sio poa ni moto kuliko hata kibu mwenyewe….bahati nzuri yeye tupo nae hapa USA sasaivi

    • @thehunter5920
      @thehunter5920 Год назад +1

      Labda USA ya buza

    • @officialnadoboytz1005
      @officialnadoboytz1005 Год назад

      @@modestebirindwa8693 Eze hakuwa Tishio kama KIbu mzee tulio

    • @modestebirindwa8693
      @modestebirindwa8693 Год назад

      @@thehunter5920 we matako kweli kibu mwenyewe hana jua Eze sio level zake

    • @justiniankamuli5259
      @justiniankamuli5259 Год назад

      @@thehunter5920 atakua Usaliva Arusha

  • @bonanzagaston6975
    @bonanzagaston6975 Год назад +17

    Kila mtu kwenye maisha ana historia yake.keep walking brother ulumugabho🥴

  • @yassinmsabila6850
    @yassinmsabila6850 Год назад +29

    Very humble aise Huwa tunawakosea sana wachezaj kwasababu wenyew ndio wanajiandaa kuliko mfumo kuwaandaa .

    • @wilsongeorge1353
      @wilsongeorge1353 Год назад

      Huyo jamaa muongo sio mtu wa kigoma ni mkimbizi huyo amepata tu ulaia wa tanzania .leo kuwafunga yanga ndio amekua mungu wenu duuuu wewe fara kweli

    • @wilsongeorge1353
      @wilsongeorge1353 Год назад

      Mimi ni simba acheni kumpa sifa huyo jamaa hana chochte kile

    • @chengeson
      @chengeson Год назад +1

      @@wilsongeorge1353 pole sana african akuna mkimbizi hapa sote niwapitaji na machafuko yanapo tokea kwa ndugu zetu tusi wabague kwani kesho yako uijui

    • @africanentertainment2124
      @africanentertainment2124 Год назад +1

      @@wilsongeorge1353acha wivu wewe mbembe

    • @byaombeomary7996
      @byaombeomary7996 Год назад +1

      @@wilsongeorge1353 Roho mbaya ya nini kaka ?
      Hacha majungu kwenye mafanikio ya mwezako hayakusaidii kitu.
      Pambania ya kwako.

  • @conradmwingira684
    @conradmwingira684 Год назад +10

    Work hard Kibu Mungu ndiye mpaji

  • @GuerschomOmollo-wz9ly
    @GuerschomOmollo-wz9ly Год назад +16

    Mtoto wa nyumbani Kibu D💪✌️

  • @EmmaPallanjo
    @EmmaPallanjo Год назад +10

    Kweli maisha ni safari ndefu nemeenjoy sana na kujifunza mengi kutoka kwenye live story ya Mwamba Kibu D ni bonge la stori

  • @mwajumaabdallah3254
    @mwajumaabdallah3254 Год назад +32

    Tuwavumilie wachezaji wetu,sometimes wanapitia kipindi kigumu cha uchezaji wao,hata maisha ya kawaida kwenye nyumba zetu baadhi ya wakati yanatetereka,tuwavumilie,i love u Simba❤❤

    • @teddymhagama611
      @teddymhagama611 Год назад

      umetuheshimisha kibu😍

    • @chrissg4026
      @chrissg4026 Год назад

      Kweli kabisa! Midomo yetu ndo inayowaharibu wachezaji wetu! Bora tujitahidi kufunga midomo yetu na kuwaachia benchi la ufundi na viongozi kuamua! Mashabiki wanapowakandia wachezaji wanaposhuka kiwango inawakatisha sana tamaa wachezaji wetu!

    • @justiniankamuli5259
      @justiniankamuli5259 Год назад

      Kweli kuanzia leo Kibu nmemsamehe na Mungu anisamehe nilikuwa namsema vibaya

  • @mariatinda3264
    @mariatinda3264 Год назад +10

    Kibu dii hongera sanaa tunakup endaa Simba nguvu moja ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @muganyizifilbert2609
    @muganyizifilbert2609 Год назад +2

    Dah!; Mwambaa Kweli Huyuu Kibu Denis Prosper 💪💪💪💪.

  • @samsonilengteng-oc4hp
    @samsonilengteng-oc4hp Год назад +16

    Kibu D Mungu akubariki sana na akupe afya njema 🙏🙏🙏

  • @erastomwakalukwa3946
    @erastomwakalukwa3946 Год назад +3

    Ninachokipenda kwako dogo,ni nidhamu YAKO,utafika mbali Sana 🔥🔥🔥

  • @Makavelithedon2086
    @Makavelithedon2086 Год назад +8

    *Watu wa nyumbani tunamjua Kibu Denis tangu Young Boys EF3 enzi hizo anaupiga mwingi kinoma noma,Mungu hamtupi mja wake cha msingi tuendelee kupambana*

  • @modestebirindwa8693
    @modestebirindwa8693 Год назад +15

    Wa Tanzania mna zarau sana kibu mkali tokea kigoma kwenye team Ya Young Boys
    Hata huyo Ezekiel rafiki yake wa team ya Aliance sio poa ni moto kuliko hata kibu mwenyewe….bahati nzuri yeye tupo nae hapa USA sasaivi

  • @ministeramanirobin2454
    @ministeramanirobin2454 Год назад +7

    Very humble

  • @karimhemed9261
    @karimhemed9261 Год назад +11

    Very Humble Man… 👏🏽 KIBU D

  • @mjagambahamza579
    @mjagambahamza579 Год назад +29

    KIGOMA FINEST 🙌💥

  • @chrissg4026
    @chrissg4026 Год назад +3

    Duh! Bonge la Interview! Tamu sana! Yani hadidhi flani hivi amazing! Jamaa anajua sana kusimulia! Safi sana!

  • @drfrancismsawila1014
    @drfrancismsawila1014 Год назад +28

    Great Interview Ever 💪

  • @piuslaurian5777
    @piuslaurian5777 Год назад +8

    Kumbe kibu wa nyumbani mpk nyakanaz umefika bro

  • @user-yh7fr7vp9s
    @user-yh7fr7vp9s 7 месяцев назад +1

    Kibu wewe ❤ nauongeze mazoezi ya binafsi hasa mashuti ya mbali hongera sana tunakutegeme taifa hili wewe moto

  • @willembwilo8833
    @willembwilo8833 Год назад +7

    Kibu d mimi nimmoja yawatu ninae simama KILa Mahala kukutetea kuwa wewe nibonge lamchezaji sema vipindi vya mpito vipo kwa kila binadam. Mungu azidi kukublles kibu uwe na afya njema Ili uwashangaze wale watesi wako wote. Good luck kibu denis.🦁💪

    • @AmosSniper
      @AmosSniper Год назад

      Utakua umecheza fotbool,ndiyo bana unamtetea! Washangiliji hawawezi jua uwezo wa kibuD, mie Hadi Leo ninamkubali sana Sawa dogo,sema mikelele mingi ndiyo inamtoa kwny reli yule nae bonge la mchezaji

    • @nuhhumwakanyamale4771
      @nuhhumwakanyamale4771 Год назад

      Sure,
      I salute you

  • @matendostephano2274
    @matendostephano2274 Год назад +10

    Kibu Kama kibu💪

  • @promax699
    @promax699 Год назад +5

    No one can stop Regee

  • @user-dv4xw4mb4l
    @user-dv4xw4mb4l Год назад +1

    Kibu Denis from lubengera kigoma . Kigoma all the best on foot ball

  • @davidbahati3748
    @davidbahati3748 Год назад +5

    Kibu Tunaomba utusamehe sisi utusamehe sana, 😢😢

  • @josephkibasa6926
    @josephkibasa6926 Год назад +1

    Hongera sana Kibu Dennis Rasta man umetuheshimisha, Mungu aendelee kukupigania Uzidi kupiga hatua

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 Год назад +1

    Dah mshkaji yuko very hubble sura siyoroho mshkaji pisi shida hana kabisa mungu akubarik KIBU D interview iko moto sana

  • @gapablessgadison6863
    @gapablessgadison6863 Год назад +4

    MUNGU hatuachi watu wake, KIGOMA kisiwa Cha vipaji🔥🙏💪🇹🇿, biggup KIB D, karibu KASULU MJINI uwekeze pia

  • @khadijamisayo7476
    @khadijamisayo7476 Год назад +5

    mimi siujui sana mpira, ila baada ya kukufwatilia mechi zile za kwanza kwanza tangu umesajiliwa simba nilikukubali mpaka leo kibu nakukubali, nakuombea kwa mungu ufike mbali zaidi ya hapo ulipo,

  • @agustinoshukran8558
    @agustinoshukran8558 Год назад +20

    I'm always proud of KIBU. ❤ I'm happy when he misses scoring a goal because we all learn from our mistakes ❤

  • @khatibumpare6865
    @khatibumpare6865 Год назад +6

    Kweli mwamba umetisha pambana ufike mbali

  • @anoldmbarama985
    @anoldmbarama985 Год назад +13

    Unajuhud sana kibu ongeza kujiamini ongeza utulivu pia ongeza usahihi wa matendo ndan ya uwanja

  • @donaldmartin-ps2ig
    @donaldmartin-ps2ig Год назад +1

    Naaam interview kubwa Sana hii interview ya mtoto wa maskini mpambanaji mwenye njaa kali mkubwa MUNGU tu maisha hayana mwenyewe bwanaa all the best kibu D mkandaji interview haichoshi kusikiliza

  • @jeffferdinand788
    @jeffferdinand788 Год назад +4

    Tulimchukia Sana jamaa Ila akubali maisha bila lawama uwezi kufika nchi ya ahadi Ila tunaomba mashabiki wengi utusamehe

  • @lumo9999
    @lumo9999 Год назад +2

    Hongera sana bro, mengi umeyapitia lakini mwishoni umewine. Kaka hongera sana

  • @browndebora2195
    @browndebora2195 Год назад +4

    Mungu akulinde kibu D sio kwa goli lile

  • @mirladymirla6180
    @mirladymirla6180 Год назад +3

    Mungu akujalie kibu d

  • @daudiwilliam1971
    @daudiwilliam1971 Год назад +16

    Duuh!! Maisha ni safari kweli nimeamini. Kumbe #KIBU_DENIS Nyumbani ni #Lubengera?!!! Mwambao wa Ziwa #Tanganyika Barabara ya kuelekea #Hifadhi_ya_Taifa ya #Milima_ya_Mahale. Ndio nyumbani huko. Aiseeh!! #Mungu Mkubwa sana. Akubariki uzidi kuzifikia ndoto zako. #Nguvu_Moja💪

    • @3malis
      @3malis Год назад

    • @daudiwilliam1971
      @daudiwilliam1971 Год назад +1

      Daah!! Kumbe jamaa wa nyumbani huyo

    • @3malis
      @3malis Год назад

      @@daudiwilliam1971 kijiji kikubwa sana mpaka usimjue??

    • @daudiwilliam1971
      @daudiwilliam1971 Год назад +1

      @@3malis kaka yaani hicho kijiji cha #Lubengera anacho tokea Bwana #Kibu kipo njiani nakipita nikiwa naelekea nyumbani kwetu. Ila hapo alipotokea napafahamu japo Sijawahi ishi.

    • @3malis
      @3malis Год назад

      @@daudiwilliam1971 ahaaa apo nmekupata

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 Год назад +2

    Mungu akujalie kibu d kwenyemihangaiko watu wanatokea mbali sana asee mungu akujalie ufike mbali sana

  • @osbonmusa2619
    @osbonmusa2619 Год назад +2

    Ukimsikiliza kibu history yake Kuna kitu unajifunza usikate tamaa na jambo lolote ukiamua na kumtanguliza Mungu inawezekana

  • @Mwene_Jery
    @Mwene_Jery Год назад +5

    Kibu Denis msuva young boys tumekumisi wewe na crisia bro😢 ila Mungu abariki kipaji chako bro 💯💯🇨🇩🇨🇩🇹🇿🇹🇿

  • @sirkingsky108
    @sirkingsky108 Год назад +4

    Kaka kibu unisamehe sana kama niliwah kkukosea, sasa naenda kkufollow na ntakuwa shabiki yako namba moja kudadeki hata ukilud kamuyange yaani nakushabikia hukohuko

  • @festorama4580
    @festorama4580 Год назад +6

    Hersi alitaka akufanye Kama Feisal Una bahati

  • @aaronswai6935
    @aaronswai6935 Год назад +3

    Bidii hajawahi kumtupa mtu. Huyu Kijana alidharauliwa sana. Sasa Mungu anawathibitishia waliomdharau kuwa walikosea. Kama ataendelea na unyenyekevu huu na asinyanyue mabega na kulewa sifa basi Mungu atamuinua sana. Sitoshangaa siku moja nikimkuta nje ya nchi, haswa klabu kubwa za Afrika hata Ulaya. Kila la kheri Kibu Denis

  • @samsonilengteng-oc4hp
    @samsonilengteng-oc4hp Год назад +5

    Kibu D 🔥🔥🔥👏👏👏👏👏👏

  • @cosimasedward
    @cosimasedward Год назад +3

    Sisi aooo💪💪💪

  • @babusbabu3699
    @babusbabu3699 Год назад +5

    wachezaji wakitanzania wenye juhudi kwasasa ni wachache sana akiwepo na jibu mungu atamfikisha mbali no master what

  • @salumjumah5648
    @salumjumah5648 Год назад +3

    KIGOMA FINEST KIBU DENGA

  • @emanuelsamanii6318
    @emanuelsamanii6318 Год назад +8

    Very humble 💪

  • @ngarasaajunior5323
    @ngarasaajunior5323 Год назад +2

    Kibu is talented star big up Rasta man🤷

  • @matthewbwanga395
    @matthewbwanga395 11 месяцев назад

    Ubarikiwe sana kijana Kibu Denis, umefanya vizuri na Mungu akuwezeshe uendelee mbele ⚽⚽⚽🦁🦁🦁👍👍

    • @GraceMhoja-zc7yg
      @GraceMhoja-zc7yg 7 месяцев назад

      Ndio maana unapambana kumbe unapenda Simba love much KIBU d

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 Год назад +2

    Now ur improved a lot

  • @farukimustafa8437
    @farukimustafa8437 Год назад +2

    Keep up kibu Denis

  • @athumanmgissasimbadamu3316
    @athumanmgissasimbadamu3316 Год назад +5

    Starehe Ya Kibu Ni Ngumuuuuu Sanaaaa 😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @sarahtz4936
    @sarahtz4936 Год назад +2

    Kumbe una sauti nzuri hivyo 🥰🥰🥰🥰🥰🥰♥️♥️♥️♥️♥️♥️

  • @aminakeya9951
    @aminakeya9951 Год назад +1

    Kibu D mkandaji ❤❤😊

  • @claraluoga6828
    @claraluoga6828 Год назад +6

    Umewanyoosha yanga

  • @zundahbartazal4861
    @zundahbartazal4861 Год назад +7

    KIBU HANA TAMAA KABISA...

  • @abatinkalango4571
    @abatinkalango4571 Год назад +1

    Interesting interview 🙏

  • @khadijamisayo7476
    @khadijamisayo7476 Год назад +6

    naomba wote mliomsema vibaya kibu, mumuombe msamaha, mungu anawaona

  • @mcbartonkesh3664
    @mcbartonkesh3664 Год назад +1

    Red star ndo team pedwa mkoani Kigoma

  • @suwediselemani8884
    @suwediselemani8884 Год назад +1

    Nmegundua kumbe hii interview ni ya zaman sanaaa yan mwanzo wa msimu lakn wamekuja kupost baada ya mech ya dabi na baada ya kumkanda mtan na Kibu akiwa miongon mwa waongozaji wa ukandaji wa mtani lengo kuendelea kuwakumbusha mkandaj wao

  • @nilmadaudi9358
    @nilmadaudi9358 Год назад +2

    Interview ipo 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @hosanarecords9192
    @hosanarecords9192 Год назад +2

    Mungu akutunze sana Kb

  • @westfreight6797
    @westfreight6797 Год назад +2

    YOUR GOOD PLAYER

  • @lekianzuruni8400
    @lekianzuruni8400 Год назад +2

    KIBU D Mungu Akutangulie Katika Safari yako ya Mpira,, nategemea Miaka ijayo Tutakuona CHELSEA Pale UK.

  • @DoctorEvarist
    @DoctorEvarist Год назад +3

    Kibu Drogba 🔥👏👏

  • @privanuskimario719
    @privanuskimario719 Год назад +5

    Pongez kwake

  • @fredfrancis2544
    @fredfrancis2544 Год назад +6

    Kibu dee🎉

  • @user-cr8uo6yb1u
    @user-cr8uo6yb1u 25 дней назад

    Kilalakheri kb mwenyez mungu akupemafanikiomema🙏

  • @emmanuelstephenringo2106
    @emmanuelstephenringo2106 Год назад +8

    mzee wa msumari wa moto

  • @seifsaiyd3798
    @seifsaiyd3798 Год назад

    Nadhani hii interview na nyingine zingewekwa kwa episode........... ni nzuri sana na zingekatwa ingekuwa poa zaidi

  • @Johnnestory-lk7wz
    @Johnnestory-lk7wz Год назад +1

    Good blessing for you my friend 🙏❤ kibu

  • @nasibyahya9778
    @nasibyahya9778 Год назад +2

    God bless you bro...#kibu

  • @ruthawakola8869
    @ruthawakola8869 Год назад +2

    Mungu akutangulie

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr Год назад +1

    Nice interview 👏👏👏👏mungu azidi kukubariki kibu

  • @fpyusuphmagige3954
    @fpyusuphmagige3954 Год назад +5

    Kila la heri brother kwenye safari yako ya mpira

  • @raheemvianey7343
    @raheemvianey7343 Год назад +1

    Mtu poa, hambo, mkweli sn na muungwana. Ahsante Kibu kwa intavyuu nzuri sana.