MWAMNYANYI: CONFIRMED! UONGOZI MPYA SIMBA BALAA WAFYEKA NYOTA 9? KIBU,CHAMA,NGOMA...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 май 2024
  • #tpmazembe #timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumoNukuu#mamelodi
  • СпортСпорт

Комментарии • 18

  • @LESHABAHATI
    @LESHABAHATI 13 дней назад +2

    Uchambuzi mzuri hongereni ni sahihi kuachana na wachezaji hao nishati imepungua tunahitaji damu changa Ili tuweze kufikia malengo yetu.

  • @SaidMana-dp4et
    @SaidMana-dp4et 12 дней назад

    Hongera mwamnyami nakupa bigup tungepata wachambuzi wazuri kama wewe tungefurahi sana unaongea ukweli tupu asante sana hongera sana

  • @athmanimkangara9290
    @athmanimkangara9290 13 дней назад

    Mtangazaji bora
    Mchambuzi bora Gifted Mwamnyami
    Pointi tupu "Bravo" kaka

  • @YohanaAgrey-bh5vb
    @YohanaAgrey-bh5vb 13 дней назад

    Huyu bro mchambuzi,yupo vzr sana

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 13 дней назад +1

    Huyu JAMAA anajua anafaa kuwa mshauri

  • @shizoshop2469
    @shizoshop2469 13 дней назад

    Toa try again weka mwamnyanyi toa mangungu weka kaduguda

  • @SalmaChamy-tg4bo
    @SalmaChamy-tg4bo 13 дней назад +1

    Msimu ujao chonde chonde viongozi wetu msimuache mgunda tafadhalini mpeni wachezaji wazuri tu.
    Atatufikisha mbali sana.
    Hamna haja ya kuleta makocha wa kigeni kwa sasa.
    Maitia hasara club kulipa mishahara mikubwa na hawafanyi vizuri

  • @msafirimalima3249
    @msafirimalima3249 13 дней назад

    Wachezaji wa Simba hawana nishati ya kutosha

  • @omanbarka1588
    @omanbarka1588 13 дней назад

    Useny abelli aende Aisha Manula aende hatuwataki tena Ally salimu aBaki kuitumikia Simba Ayubu lakred aBaki kuitumikia simba

  • @husseinmpuruti1372
    @husseinmpuruti1372 13 дней назад

    Mchambuzi unazingua kwa fred michael na beleke sijui hata nini beleke alikuwepo ulishindwa hebu fred amalize msim badae ndio mnaombaga msamaha fred sijui anasema ya kunkuni mbona anafunga mnataka nini? Anasifa za mpira na yupo Sirius tofauti na mtoto wa beleke eti upo na gilikipa unakosa goli unacheka fred mpeni mda. Mtamuomba msamaha fred ananguvu siyo mchoyo anatafuta mpira acheni mapenzi binafsi 😅

  • @LaidKitiga
    @LaidKitiga 13 дней назад +1

    Uongoz wasimba wanapaswa kumsikilizahuyu jama anaweza kuchangia kitu

    • @ArafaMkomwele-vi2hp
      @ArafaMkomwele-vi2hp 13 дней назад

      Hawawezi kusikiliza hayo wao shida yao sio mafanikio

    • @ummymuya.2060
      @ummymuya.2060 13 дней назад

      ​@@ArafaMkomwele-vi2hpSwadakta... Wanachotaka ni kushibisha matumbo yao tu!

  • @dominickiungulia1016
    @dominickiungulia1016 13 дней назад

    Simba acheni wachezaji walioshindwa Yanga! Angalieni wale ambao ni wazuri zaidi. Tumechoka kufungwa fungwa na hata timu za kiwango cha chini! Mo afanye kweli achane na wasaliti na washauru wabovu!

  • @bakarimakalo7128
    @bakarimakalo7128 13 дней назад

    Wewe Mchambuzi huna Hoja. Siku zote Usajili mara nyingi ni kama KAMARI. Hata leo ukipewa Fedha unayotaka utakwama. Ona Man-United na Chelsea walivyosajili wachezaji wengi Lkn hakuna kinachoendelea kwa timu hizo. Acha uchambuzi wa Uongo.

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp 13 дней назад +2

    Mugunda ana tosha viongozi mletee vyuma vya maana

  • @omanbarka1588
    @omanbarka1588 13 дней назад

    Hadi viongozi nao wai chee tmu co wachezaji Tu uongozi nao washa chemka nao waende tuwalete viongozi wapya wanao weza kuipambania simba