MWAMNYANYI: CONFIRMED! UONGOZI MPYA SIMBA BALAA WAFYEKA NYOTA 9? KIBU,CHAMA,NGOMA...
HTML-код
- Опубликовано: 3 май 2024
- #tpmazembe #timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumoNukuu#mamelodi
- Спорт
Uchambuzi mzuri hongereni ni sahihi kuachana na wachezaji hao nishati imepungua tunahitaji damu changa Ili tuweze kufikia malengo yetu.
Hongera mwamnyami nakupa bigup tungepata wachambuzi wazuri kama wewe tungefurahi sana unaongea ukweli tupu asante sana hongera sana
Mtangazaji bora
Mchambuzi bora Gifted Mwamnyami
Pointi tupu "Bravo" kaka
Huyu bro mchambuzi,yupo vzr sana
Huyu JAMAA anajua anafaa kuwa mshauri
Toa try again weka mwamnyanyi toa mangungu weka kaduguda
Msimu ujao chonde chonde viongozi wetu msimuache mgunda tafadhalini mpeni wachezaji wazuri tu.
Atatufikisha mbali sana.
Hamna haja ya kuleta makocha wa kigeni kwa sasa.
Maitia hasara club kulipa mishahara mikubwa na hawafanyi vizuri
Yaani hawamuoni Mgunda kama ni muhimu
Wachezaji wa Simba hawana nishati ya kutosha
Useny abelli aende Aisha Manula aende hatuwataki tena Ally salimu aBaki kuitumikia Simba Ayubu lakred aBaki kuitumikia simba
Mchambuzi unazingua kwa fred michael na beleke sijui hata nini beleke alikuwepo ulishindwa hebu fred amalize msim badae ndio mnaombaga msamaha fred sijui anasema ya kunkuni mbona anafunga mnataka nini? Anasifa za mpira na yupo Sirius tofauti na mtoto wa beleke eti upo na gilikipa unakosa goli unacheka fred mpeni mda. Mtamuomba msamaha fred ananguvu siyo mchoyo anatafuta mpira acheni mapenzi binafsi 😅
Uongoz wasimba wanapaswa kumsikilizahuyu jama anaweza kuchangia kitu
Hawawezi kusikiliza hayo wao shida yao sio mafanikio
@@ArafaMkomwele-vi2hpSwadakta... Wanachotaka ni kushibisha matumbo yao tu!
Simba acheni wachezaji walioshindwa Yanga! Angalieni wale ambao ni wazuri zaidi. Tumechoka kufungwa fungwa na hata timu za kiwango cha chini! Mo afanye kweli achane na wasaliti na washauru wabovu!
Wewe Mchambuzi huna Hoja. Siku zote Usajili mara nyingi ni kama KAMARI. Hata leo ukipewa Fedha unayotaka utakwama. Ona Man-United na Chelsea walivyosajili wachezaji wengi Lkn hakuna kinachoendelea kwa timu hizo. Acha uchambuzi wa Uongo.
Mugunda ana tosha viongozi mletee vyuma vya maana
Hadi viongozi nao wai chee tmu co wachezaji Tu uongozi nao washa chemka nao waende tuwalete viongozi wapya wanao weza kuipambania simba